Neema Gospel Choir - Nikurejeshee (Live Music Video)
Музыка
Urejesho ni mchakato wa kurudisha kitu kilichoharibika au kupotea. Biblia inatuhimiza kumgeukia Mungu. Na kupitia imani na maombi, tutapata uponyaji, kurejeshewa nguvu, na kupewa maisha mapya katika Kristo Yesu.
Yeremia 30:17
Maana nitakurudishia afya, nami nitakuponya jeraha zako, asema BWANA ...
Yoeli 2:25
Nami nitawarudishia hiyo miaka iliyoliwa na nzige, na parare, na madumadu, na tunutu, jeshi langu kubwa nililotuma kati yenu.
Mnamo mwaka 2022, Familia ya Ev. Mchome, ilipitia kipindi kigumu sana baada ya kumpoteza mama yao mpendwa (Aliyeanguka ghafla na kufariki). Majonzi na simanzi kubwa ilitanda mioyoni mwao mithili ya wingu zito na giza totoro, hakuna maneno mazuri ambayo yangetosha kuwapa faraja familia hii.
Na hapa ndipo yalipatikana Mafunuo ya wimbo huu: Full story link - • Neema Gospel Choir - N...
Songwriter & Composer: Herman Mchome
Leader: Herman Mchome
#neemagospelchoir #gospel #nikurejeshee
--
VICTORIOUS JOURNEY PRODUCT
held on 01st December 2023 at Uhuru Stadium - Dar es Salaam.
𝗖𝗥𝗘𝗗𝗜𝗧:
𝐕𝐢𝐝𝐞𝐨 𝐃𝐢𝐫𝐞𝐜𝐭𝐨𝐫: Amigo Johnson
𝐕𝐢𝐝𝐞𝐨 𝐄𝐝𝐢𝐭𝐨𝐫: Titus Alfred
𝐀𝐮𝐝𝐢𝐨: Victorious Production
𝐒𝐨𝐮𝐧𝐝 & 𝐒𝐭𝐚𝐠𝐞: ABE Professional Sound
𝐒𝐜𝐫𝐞𝐞𝐧: ABE & Ryzen
𝐒𝐨𝐮𝐧𝐝 𝐄𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞𝐞𝐫: Jeddy
𝐌𝐨𝐧𝐢𝐭𝐨𝐫 𝐄𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞𝐞𝐫: Junior Albert (Gaddy)
𝐋𝐢𝐠𝐡𝐭𝐬 𝐏𝐫𝐨𝐯𝐢𝐝𝐞𝐫: Allan Lights
𝐋𝐢𝐠𝐡𝐭𝐢𝐧𝐠 𝐄𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞𝐞𝐫: Maxlifah. (Max the Alternative) 🇰🇪
𝐒𝐭𝐚𝐠𝐞 𝐃𝐞𝐬𝐢𝐠𝐧: Parmena Winfred
𝐏𝐫𝐨𝐝𝐮𝐜𝐭𝐢𝐨𝐧 𝐌𝐚𝐧𝐚𝐠𝐞𝐫: Production Fundamentals Limited
𝐑𝐢𝐠𝐠𝐢𝐧𝐠 𝐚𝐧𝐝 𝐬𝐚𝐟𝐞𝐭𝐲 𝐞𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞𝐞𝐫: Maurice Sikuku 🇰🇪
𝗖𝗢𝗡𝗡𝗘𝗖𝗧 𝗪𝗜𝗧𝗛 𝗨𝗦:
Instagram: Neema Gospel Choir
Facebook: Neema Gospel Choir
X: Neema Gospel Choir
Threads: Neema Gospel Choir
Tiktok: Neema Gospel Choir
𝐂𝐨𝐧𝐭𝐚𝐜𝐭 𝐮𝐬:
Whatsapp: +255 766 777 288
Email: info@neemagospelchoir.org
Website: www.neemagospelchoir.org
©️2024
Пікірлер: 3 400
NIKUREJESHEE LYRICS Nasikia kuitwa na sauti yake anasema njoo kwangu nikurejeshe Yaliobiwa yaliyochukuliwa na mwovu anasema njoo kwangu nikurejeshe Nikurejeshe, nikurejeshe Anasema njoo kwangu nikurejeshe Amani ya moyo iliyotoweka usiitafute pengine, Kwake Yesu utaipata Furaha ya kweli iliyotoweka usiitafute pengine, Kwake Yesu utaipata Ndipo hayo mema yatakujilia Atarejesha vyote adui alivyochua Ndipo hayo mema yatakujilia Atarejesha amani ya moyo na furaha ilipotea Nikurejeshe Nikurejeshe Anasema Njoo kwangu Nikurejeshe Nikurejeshe Nikurejeshe Anasema Njoo kwangu Nikurejeshe
@kaybkay
3 ай бұрын
Amani iliyotoweka usitafute kwingne ila kwa Yesu.. hallelujah
@josephmussa0625
3 ай бұрын
Yesu aendelee kuiinua juu sana hii huduma
@paulajoho2223
3 ай бұрын
Ameeen! Hallelujah! Mko vizuri sana. Mbarikiwe sana. ❤
@puritymambih2988
3 ай бұрын
❤
@kevodhiz
3 ай бұрын
Nawapenda
Wanaorudia mara kwa mara wimbo huu wa upako mnoo gonga like za kutoshaa hapaa.
@NeemaGospelChoir
3 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥🙌🙌
@lutumbinduta1702
3 ай бұрын
Mbarikiwee sana watumishi wa Mungu. Mungu azidi kuwainua Juu sana zaidi ya Hapo!!
@BeatriceMwakyusa-xi4gk
3 ай бұрын
Munofu wimbo mzr san
@wuodoketch
3 ай бұрын
💪👍🙏🏾👍🤗👍👍
@jael2450
3 ай бұрын
🎉🎉❤❤❤
Wimbo mzuri sana. Kama unaomba Urejesho April 2024 piga like hapa. 🇰🇪🇰🇪
@NeemaGospelChoir
2 ай бұрын
Amen🙏🙏🙏
@SaidNasibu-pu9dx
Ай бұрын
Amen
Piga likes hapa kama ume barikiwa na huu wimbo 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@NeemaGospelChoir
2 ай бұрын
Amen🔥🔥🔥🇰🇪🇰🇪
Naomba nirejeshee nafasi ya kuitwa mama na mimi kama wamama wengine🙏🙏😭😭
@NeemaGospelChoir
2 ай бұрын
Amen
@jlngweshemi
Ай бұрын
MUNGU akurendee kwa imani kama alivyo tenda kwa Sara
@JennaSolo6835
Ай бұрын
God Will surely do that
@roselinenalyaka6125
Ай бұрын
Mungu mweza yote atakurejeshea mummy
@purityngari6821
Ай бұрын
Mungu ni mwaminifu. Atarejesha
Ten days ago nilisikiliza huu wimbo nikaandika bwana arejesheee afya ya mama yangu Figo, inni, uvimbe na tumbo kujaaa maji Sasa bwana amerejesha kwa imaniiiii thanks Jesus umeleta aman na furaha kweli vyapatikana kwako. Thanks watumishi walimwombea mama yangu na huuu mwimbo umeongeza imaniiiiiiiiiiiii. Daah bwana Asante mbarikiwe sana neeema group
@NeemaGospelChoir
3 ай бұрын
Amen tunafurahi kusikia huduma iliyofanyika kupitia wimbo huu❤️🙏🙏🙏🙏 Kindly Subscribe to our youtube channel and follow our instagram page for more updates 🙏
@StellaJohn-dz6gv
2 ай бұрын
Amen Mungu wetu ni mwaminifu sana🔥
@user-zk5dj7kp9z
2 ай бұрын
waoooh prays the Lord
@israelisponsor8755
2 ай бұрын
Mungu ni mwema sana
@kategodia334
2 ай бұрын
Amina
Gonga Likes hapa TUNAOREJESHEWA 🔥🔥🇹🇿🇺🇬🇷🇼🇧🇮🇰🇪
@NeemaGospelChoir
3 ай бұрын
🔥🔥🔥🙏
@triphoniaallute8934
3 ай бұрын
❤❤
@jafaliomarymapeyu
26 күн бұрын
yaaaaaaaaaaaaniiiiii nihatari nanusu
Wanaotamani hii nyimbo ifike 3 million views. like hapa 🙏🙌
@NeemaGospelChoir
Ай бұрын
🔥🔥🔥🔥Amen na iwe hivyo
One day ntarudi katika comment hii na Ushuhuda 🙏🏾
@jackyatieno4012
18 күн бұрын
Amen 🙏
@alicemuvea
13 күн бұрын
He gave me back kidneys and liver faithful God
@salomewandya7257
11 күн бұрын
Ameen 🙏🙏
@maureenmushiyi8579
11 күн бұрын
Me too dear
@PCEAImmanuel23
5 күн бұрын
Very soon
Kama unaamini Yesu analudisha yaliyo liwa ma parale na madumadu analehesha nione like Moja hapa hallelujah analehesha🎉🎉 🎉🎉. Congratulations all the team neema gospel Mungu awazidishie
@NeemaGospelChoir
3 ай бұрын
Amen🙏
@saraphinaramso6387
2 ай бұрын
Aimeeen
@ezelinemboma1716
2 ай бұрын
Amen
@JacksonJackson-ny1mi
2 ай бұрын
Kiukweli analejesha hakika
@user-yf4dm8dn2q
2 ай бұрын
mungu atarejesha
kama wewe pia umesikia kuitwa na MUNGU through this song usiache kulike 😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘
@NeemaGospelChoir
2 ай бұрын
🔥🔥🔥
@user-vu2in9wi1x
2 ай бұрын
Namuomba Mungu anirejeshehe kupitia wimbo huu
@sevelinahinnocent6803
Ай бұрын
Amen ❤
@achievefinancetz
17 күн бұрын
Acha kabisa I am blessed beyond measure, this song has something I can’t explain only my heart feels it. Nimebarikiwa.
Kama duniani ni burudani hivi vipi huko mbinguni,
@achievefinancetz
17 күн бұрын
Sijui mbinguni itakuwaje aisee this is too much furaha na blessings. Nampenda sana Yesu
Kenya tufanye viile likes zipandeee 🇰🇪🇰🇪....Willian & Andrew mko fire sana 🔥🔥🔥
@NeemaGospelChoir
3 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@paulgitahi4992
2 ай бұрын
Mara that that folks ....am restored in Jesus name🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Jana usiku Mungu alinifanyia jambo kupitia huu wimbo😭😭🙌🙌🙌🙌🙌nilikuwa naumwa kichwa sana kwa masaa karibia 6 kuanzia mchana hadi saa 5 usiku ila nilipoweka huu wimbo na kutamka urejesho kabla hata ya wimbo kuisha nilipata nafuu ya ghafla sana na nikawa mzima kabisa😭😭🙌🙌nilikuwa siwezi soma sababu ya kuumwa ila namshukuru Mungu kupitia NIKUREJESHEE nilirejeshewa afya yangu na nikaweza kusoma na kufanya mtihani🥰🥰 nikiwa ndani ya chumba cha mtihani huu wimbo umekuwa unazunguka tu kichwani mwangu mwanzo mwisho🙌🙌 Hakika Huu ni mwaka wa marejesho🙌🙌🙌🙌🙌Mungu azidi kukubariki familia yangu❤❤
@NeemaGospelChoir
3 ай бұрын
What a testimony, Mungu aendelee kutukuzwa kupitia ushuhuda huu, umebarikiwa sana mpendwa 🙏🙏🙏
@marymrefu4096
3 ай бұрын
Amen❤❤
@purengeikasosikerry6663
3 ай бұрын
A living testimony!Our God can restore anything!!!🎉❤❤
@user-pq3iq7hx7x
3 ай бұрын
Amen
@josephinemtei186
2 ай бұрын
Amen❤❤❤
Nimeanza kuusikia huu wimbo kwenye msiba wa mama yangu ambae ametwaliwa, wimbo umekuwa ukinipa nguvu, tumaini jipya, ktk kipindi hiki kigumu, Hakika amani, furaha inapatikana kwa Bwana Yesu pekee😭😭😭😭😭😭
@catherinemnuga2440
2 ай бұрын
MUNGU AKUTIE NGUVU NA AWE MFARIJI WAKO MPENDWA
@NeemaGospelChoir
2 ай бұрын
Amen hakika Mungu anarejesha amani yote, pole kwa msiba mpendwa wetu🙏
@user-ss8mn8wu5r
2 ай бұрын
Pole mpendwa kweli mungu ndo anaerejesha vyote usife moyo
@febianandunguru8054
2 ай бұрын
Pole Mungu akawe mfariji wako.
@lucykayombo9987
2 ай бұрын
Amina, moyo wako ufarijiwe na Bwana Yesu, ukikumbuka neno Lake kuwa kifo sio mwisho, tutaonana na wapendwa wetu bado kitambo kidogo
Amani ya moyo uliyotoweka usiitafute kwingine,kwa Yesu utaipata…Furaha ya kweli uliyotoweka usiitafute kwingine kwa Yesu utaipata….gonga like hapa
@NeemaGospelChoir
2 ай бұрын
Hakika tuzidi kumtegemea Mungu🙏🙏
@Sunguti1
Ай бұрын
Am still waiting for more miracles to happen to my family and me as well
Mnaosubiri kurejeshewa na bwana siku ya kesho mkuje hapa 🇹🇿🇰🇪🇺🇬🇷🇼🇳🇬🇺🇿🇹🇰🇹🇬🇹🇯🇺🇸🇵🇷🇸🇷🇸🇸🇺🇬🇰🇪🇺🇸🇷🇼🇷🇼
@NeemaGospelChoir
3 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥
@Dansonny203
3 ай бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@gracepaul5901
3 ай бұрын
🎉
@paulgitahi4992
2 ай бұрын
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪team kubwaa Iko ndani❤❤❤❤❤❤Aki u guys mko tops
@sevelinahinnocent6803
Ай бұрын
Amen ❤
2024 kila kilichoibiwa kinarejeshwa Afya yangu Uchumi wangu Ndoa yangu Kazi yangu
@NeemaGospelChoir
3 ай бұрын
Naiwe hivyo katika jina la Yesu🙏
@leahkajuju3447
2 ай бұрын
In Jesus name amen
Mungu naomba unirejeshee vyote adui alivyochukua kwangu katika jina la Yesu kristo wa Nazareth aliye hai
@DottoKillangi
Ай бұрын
Mungu nirejeshee Neema yako kristo nipate haki,furaha na amani yako
@NeemaGospelChoir
Ай бұрын
Amen🙏🙏🙏🙏
Ninarejeshewa kila adui amechukua iwe kazini,ndoa,biashara, familia vitarejea in the might name of JESUS❤❤❤❤❤
@NeemaGospelChoir
2 ай бұрын
Amen
@JennaSolo6835
Ай бұрын
And so be it
@Ev_mwl_daniel_mollel
23 күн бұрын
anirejeshe zaidi ya shetani alivyo iba kwangu wimbo huu ni wa wakati kabisa 🙏🙏🙏🙏🙏🤲🤲🤲🤲🤲
Huu wimbo una mguso sana Herman mchome yupo na sauti nzuri na pia kipaji cha ajabu..mavazi pia yameenda shule , instrumentalists: Andrew, Willian and the lead pianist na wote kwa jumla mzidi hivo hivo huku Kenya 🇰🇪 mnapendwa sana ...kenyans likes zipae kama kawaida ❤
@NeemaGospelChoir
3 ай бұрын
Amen tunawapenda pia🇰🇪🇰🇪🙏
@wuodoketch
3 ай бұрын
Awesome 👍😎
@Pascalmwise1994
3 ай бұрын
May almighty God restore me
@rabanphotostudionyakanazi_4115
3 ай бұрын
Naomba namba yenu ya simu
@nickyamani7402
3 ай бұрын
I personally this guy takes me to dimensions of worship 😢😭😭😭😭🥺my neighbors are wondering why I'm repeating this sound overnight 😢be blessed
Jaman Tanzania MUNGU ametupa hazina kubwa tunajivunia Neema gospel choir kutoka TZ,,,,miak 100...yan MUNGU namm ucnipite unaporejesha wengine
@NeemaGospelChoir
3 ай бұрын
🙏🙏🙏Amen
😭😭😭😭😭🙏🙏mungu naomba nilejeshee mtoto wangu nilie nyang'anywa
@NeemaGospelChoir
3 ай бұрын
Amen na iwe hivyo kwako🙏🙏
@cathryneenos8288
2 ай бұрын
Amen Na Mungu wetu akusikie mpendwa
@yvonneivo6617
2 ай бұрын
Atakurejeshea ,namwomba Mungu akurejeshee kwa wakati,Ameeen.
@lilyomary7795
2 ай бұрын
Mungu akupe haja ya Moyo wako. Akurejeshee
@ndechiliotarimo
20 күн бұрын
Pokea kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareth
Shetani aliiba mume wangu akafa,yote ntapata kwake Yesu
@ndechiliotarimo
20 күн бұрын
Mungu akulinde katika mahitaji yako ,Pokea Kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareth
@jacksonadamu2654
20 күн бұрын
God will comfort you my sister❤
Let me leave this comment here so anytime someone likes it i'm reminded to listen to this song
@NeemaGospelChoir
3 ай бұрын
Amen, be blessed 🙏
From Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 napenda sama music 🎵🎶🎶🎶🎶 neema gospel choir naoma like hapa za neema gospel choir nikurejesheeee
@NeemaGospelChoir
4 ай бұрын
Ubarikiwa sana mpendwa 🙏
@OFFICIALSEMAH
3 ай бұрын
@@NeemaGospelChoir amen
@sarahonyango-xp8vg
Ай бұрын
Naamini anarejesha vyote na ushindo mkubwa katika jina Kuu la Yesu Kristo mwana wa Mungu
Awesome AMEN tumevukaa 1M already 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾wapi likes ya Kenyans 🇰🇪🇰🇪
@NeemaGospelChoir
Ай бұрын
Amen
Naomba urejeshe aman kwenye maisha yangu kile adui kaiibia familia yangu kirud kwa jina la Yesu na ninapokea urejesho.
Je vous capte depuis république démocratique du Congo Mungu aturejecheyee amani katika inchi yetu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@NeemaGospelChoir
3 ай бұрын
Merci mon frère🇨🇩🇨🇩 Bwana atawarejeshea amani yake kweli🙏🙏
@wuodoketch
3 ай бұрын
🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@eliumbanambowe722
3 ай бұрын
We are praying for you Congo
@DoreenLifardGPP
3 ай бұрын
Amen 🙏🏽
@AliceInnocent-kv2dz
2 ай бұрын
Amen
Hallelujah hakika mwaka huu tutarejeshewa Kila kitu Kwa jina la Yesu hongereni sana Neema Gospel Kwaya yetu pendwa
@NeemaGospelChoir
3 ай бұрын
Amen
@user-dp5ku1dq5l
3 ай бұрын
Amen
@deborasimon422
3 ай бұрын
Amen
Mungu anirejeshee kila adui alichoiba kwenye maisha yangu,pia ibada yangu ikarejeshwee,nafasi yangu,kibali changu,huduma yangu,na wote mnaosoma coment hii mniombeee Mungu anikumbuke ,naandika kwa kumaanisha
@unidabusiness
20 күн бұрын
Mungu wetu ni mwamimifu ameshafanya amini litatimia mwilimi
@ndechiliotarimo
20 күн бұрын
Pokea Kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareth
"Nikurejeshee Nikurejeshee anasema njoo kwangu nikurejeshee". Nani anasikia uhakika wa maneno haya katika ulimwengu wa roho kama mimi. Nayasikia ni uhakika na kweli. Wimbo wa msimu huu. Amen na amen.
@NeemaGospelChoir
2 ай бұрын
🙏🙏🙏
Nimemuona Mungu kweny hii nyimbo kuna namna maisha yangu yana badilika kupitia huu mwimbo 🙏♥️🙏
@NeemaGospelChoir
3 ай бұрын
Amen🙏🙏🙏🙏🙌
Tunao urudia huu wimbo tujuane maana sio kwa upako huu ❤
@NeemaGospelChoir
2 ай бұрын
Amen🔥🔥🔥🙏
Wimbo huu umekua wa baraka sana katika maisha yangu
We are heading to 10M by the end of the year 🤗 this awesome Wapi likes wa Kenyans 🇰🇪 God bless you guys
Kila ninaposikiliza hii nyimbo naona kurejeshwa katika kristo mungu awatangulie kwa kazi njema ya kutangaza injili ya kristo❤❤❤
@NeemaGospelChoir
3 ай бұрын
Amen
Joel 2:25 God will indeed restore everything we lost or was stolen. A double portion restoration.
@NeemaGospelChoir
3 ай бұрын
Amen🙏🙏🙏
Watu wanatumia pumzi za Mungu vizuri. Yesu awainue
Namuona Mungu kupitia wimbo huu mbarikiwe ewatumishi
Bwana ananirejeshea vyote adui alivyochukua..Huu wimbo umekuja kwa wakati mwafaka. Abarikiwe Mungu sana na pia na aliepewa wimbo huu Mungu azidi kuongezeka ndani yake na ndani ya huduma yake
@NeemaGospelChoir
3 ай бұрын
Amen endelea kubarikiwa sana🙏🙏
Who is watching the 10th time. Beautiful song....blessed assurance from Jesus...nikurejeshee......
@lindakisaka4467
2 ай бұрын
Listen to it everyday!!
@NeemaGospelChoir
2 ай бұрын
Amen
Aliyetunga huu wimbo nani mzuri kweli kweli👌👌📌
Nimelia kwasaab niliibiwa ila naona mkono wa Mungu...kupitia huu wimbo namwona Mungu
@NeemaGospelChoir
3 ай бұрын
🙌🙌🙏🙏🙏🙏
Mungu awabariki nina ushuhuda na huu wimbo ninausikiliza tena na tena🙏🙏🙏
@NeemaGospelChoir
3 ай бұрын
Amen endelea kubarikiwa 🙏
Nimefungua KZread nakukutana na baraka za wimbo huu,Bwana atarejesha hakika 🙌🙌🙏 Much love from🇿🇲
@NeemaGospelChoir
3 ай бұрын
Much love to 🇿🇲 family 🙏❤️
@sevelinahinnocent6803
Ай бұрын
Amen ❤
Anarudisha kila kitu adui alichukua kwa familia yangu, furaha, amani, kazi, ndoa, pesa...we can only worship in true and spirit. Amen
Mungu kupitia wimbo huu naomba nirejeshee kila kitu changu kilichopotea Ameen
@NeemaGospelChoir
2 ай бұрын
Amen na iwe hivyo katika jina la Yesu
@osiahjoel1906
7 күн бұрын
Naamini hata mimi kila kitu kitarejea kwangu this year.
I'm a broken who lately met Jesus and I can testify that in I've found happiness in my Lords territory and at the sound of this song my glory is restored👏
@NeemaGospelChoir
3 ай бұрын
Amen 🙏🙏be blessed
@lailamushi3030
3 ай бұрын
You are always a winner you got this...much love ❤
@kamalaeditha5864
3 ай бұрын
In deed it is a blessint to us. Glory to God Almighty
THIS SONG DESERVES A MILLIONS LIKES PLS... LET'S CONTINUE GETHERING SPREAD THE GOSPEL ALL OVER THE 🌎
@NeemaGospelChoir
3 ай бұрын
Amen🙏🙏🙏
Asee jamaa wamenifanya nianze penda nyimbo zao..mungu ni mwema vocal nzurii kila kitu kiko vizur mbarikiwe sana..
Ibada ya mwaka 2024, wimbo wa maisha yangu, Asante Yesu kwa urejesho, tukutane hapa kumwambia Mungu asante kwa ajili ya Neema gospel
Sio uzuri wa Wimbo tu ,bali hata huu mziki 😂,Majirani nawakera kweli , Muniombee tafadhali😂😂, NGC 😍😍😍😍😍
@NeemaGospelChoir
3 ай бұрын
😃😃😃😃😃 Bwana atakulinda na mabaya yote, wewe timiza kusudi lake🔥🔥🙌🙌🙏
@linahsulle1526
2 ай бұрын
@@NeemaGospelChoirAmen Amen tupo hapa tumewawekea saut mpka mwisho majiran
@user-js6po4zo3j
2 ай бұрын
😂😂tumekuelewa neema ya Mungu ikufunike popote ulipo
@sarakajiu8890
2 ай бұрын
Na hilo vibe la pianist, ni mimi kabisaaaa😂🙌❤
@hidayamakunga8715
2 ай бұрын
Usiwe na wasiwasi uko chini ya mbawa zake MUNGU
Mungu akarejeshe yote tulioibiwa kupitia wimbo huu kwa jina la Yesu AMEN 🙏
@NeemaGospelChoir
3 ай бұрын
Na iwe hivyo🙏🙏
Mungu anirejeshee afya yangu na familia yangu
@NeemaGospelChoir
2 ай бұрын
Amen
I’ve played this song more than 20 times today and I’ve shared it with my friends. The words are so powerful, God used you to speak to me and many others. “Nikurejeshee…. Nikurejeshee… anasema njoo kwangu Nikurejeshee “. Amina 🙏🏾. Such a blessing.
@NeemaGospelChoir
2 ай бұрын
Wow Glory to God, be blessed 🔥🔥🔥🔥🙏
Sifa na utukufu Kwa Mungu aliyewapa uwezo wakuimba nyimbo nzuri hivi
@NeemaGospelChoir
3 ай бұрын
Amen utukufu kwa Mungu 🙏🙏
For the love of my church AICT mnaliwakilisha vyema kanisa wana wa Mungu@neema gospel
@NeemaGospelChoir
3 ай бұрын
Amen🙏🙏
Baba Kwa Jima la Yesu Kristo nimekuja kwako naomba unirejeshee yote yaliyoibiwa na mwivi
❤❤ 2024 hii nyimbo nzuri Sana jaman MUNGU azidi kuwatia nguvu watumishi Wake
@NeemaGospelChoir
2 ай бұрын
Amen, ubarikiwe sana🙏🙏
Me listening in the office for the first time .............. still wondering were was I for the past 2 weeks ,...........Wimbo huu wanipa faraja sana ......Mubarikiwe watumishi wa BWANA
@NeemaGospelChoir
3 ай бұрын
Amen endelea kubarikiwa sana🙏🙏
@gracefrancos2705
Ай бұрын
same here🥰
@Gprecious-jy8lj
Ай бұрын
@@gracefrancos2705 oooh its a karma then .......wa jina wangu 🥰🥰
Hakika nafarijika sana kupata nyimbo nzuri kutoka kweye kwaya iliyo nizaa mbalikiwe sana Neema gospel ❤.
@NeemaGospelChoir
3 ай бұрын
Amen, endelea kubarikiwa 🙏🙏
Wimbo mzuri na una ujumbe mzuri Mungu wa Mbinguni azidi kuwainua viwango vya juu Neema gospel
@NeemaGospelChoir
3 ай бұрын
Amen asante sana🙌🙌🙌🙏🙏🔥
Hallelujah kama kawaida sauti zenu lazima zinitoe goosebumps. Glory to God, Mungu awabariki sana na awatetee katika kuyatunza mafuta yake.❤❤❤
@michaeltz3446
3 ай бұрын
yan mimi tangu naanza kusikiliza huu wimbo goosebumps and tears are all I felt. Glory to the Highest and Living God
@NeemaGospelChoir
3 ай бұрын
Sifa zote n Utukufu wote ni wake Mungu, yeye atuwezeshae katika kutumiza kusudi lake, ubarikiwe sana dada yetu kwa kuendelea kusupport kazi ya Mungu hakika Bwana atakutendea na atakurejeshea vyote vilivyopotezwa na mwovu🙏
😢😢😢 Mungu naomba nirejeshee vilivyoliwa na madumadu na tunutu...asante kwa huu wimbo unanifariji mnoo ....napitia kipindi kigumu mnoo cha kufiwa na mwanangu...Jehova naomba unirejeshee twins
@NeemaGospelChoir
3 ай бұрын
Amen, Mungu hawezi kukuacha utapata kila hitaji lako kwa uweza wa Mungu🙏🙏
@elishafaustine663
2 ай бұрын
Oooooh so sorry Mungu akaseme na wewe Mpendwa
@rosemwaijande3391
2 ай бұрын
Pole saaana Mungu atakutana na haja ya moyo wako
@rosemwaijande3391
2 ай бұрын
Wimbo mzuri Munhu akutane na magonjwa yanayonisumbuwa nipone siwezi kutembea kufanya chochote ni kulala tuu hata natamani kwenda kanisani siwezi zMungu alejeshe uzima wangu kama zamani
@barakaedward9206
2 ай бұрын
May God heal your soul 🙏
Ee Mungu naomba umrejeshee mama angu aafya njema akapate kuwa na furaha. Muondolee mumivu yote yanayomsumbua mrejeshee afya,amani,tumaini la kuishi😢😢😢😢
@NeemaGospelChoir
Ай бұрын
Amen hakika Mungu atafanya hivyo kwako🙏🙏🙌
Naaam naja kwako Bwana kwa Imani iliyo juu kabisa unirejeshee...May 6,2024
@samuelsyanda5479
Ай бұрын
Amen
Hongereni Neema Gospel choir kwa kazi nzuri hongera pia mwanangu Simon kwa utumishi wa kumsifu na kumwimbia Bwana wimbo upo vizuri sana nami namuomba Mungu anirejeshee vyote vilivyoibiwa na ibilisi naamini kuna urejesho katika Kristo Yesu
@NeemaGospelChoir
3 ай бұрын
Asante sana mtumishi, na ikawe hivyo kwako katika jina la Yesu, ubarikiwe sana🙏🙏
Do u even know how much i love this song? I don't know how many times i play it in my shop? Am Ugandan 🇺🇬🇺🇬🇺🇬and don't know much Swahili but the Holyspirit is my translator. Love youuuuuu 💕💕💕💕💕💕💕
@NeemaGospelChoir
3 ай бұрын
Amen be blessed, we love you more 🇺🇬 🇺🇬 ❤️
Tumebarkiwa naiman tutarejeshewa vilivyo chukulowa
Wimbo unanipa uwepo wa Mungu ...nirejeshee mapacha Yesu..kma ulivowapenda nirejeshee amein
@NeemaGospelChoir
Ай бұрын
Amen
@unidabusiness
20 күн бұрын
Amen
@unidabusiness
20 күн бұрын
🙏 ❤
Nimeskiliza wimbo siku nzima. Hakika huu wimbo ni mzuri sanaaa. MUNGU anarejesha jamani 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@NeemaGospelChoir
3 ай бұрын
Amen, endelea kubarikiwa 🙏🙏
Who else is glued on the screen like me, honestly this is the song of Year. God bless you guys, you never disappoint. Much Love all the way from 🇰🇪 may God continue Elevating you. Blessings. "Bwana Ataturejeshea chochote shetani aliiba kwa Jina la Yesu"
@NeemaGospelChoir
3 ай бұрын
Thank you, To God be the Glory 🙏🙏
once upon a time, i fell in love with neema gospel choir❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Asente MUNGU Kwa kunirejeshea watoto wangu waliotoroshwa 🙏🙏sifa na utukufu ni kwako Jehova
@NeemaGospelChoir
2 ай бұрын
Amen
Naomba Mungu anilejeshee kizazi changu kilichoibiwa na adui niweze kuitwa mama😢
@NeemaGospelChoir
Ай бұрын
Amen na iwe hivyo kwako katika jina la Yesu🙏🙏🙏
@unidabusiness
20 күн бұрын
God gives 🙏
🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽 Asante sana Yesu kwa urejesho wa kila kilichopotea kwenye maisha yangu
@NeemaGospelChoir
3 ай бұрын
Amen, ubarikiwe sana 🙏
Wimbo bora,faraja kwa wenye huzuni. Hakika amani ya moyo hipatikana kwa YESU. Turejeshee kila kilichoibiwa na mwovu❤❤❤
Ndoa yangu mungu nilejeshe adui ameivuluga
@NeemaGospelChoir
2 ай бұрын
Amen na iwe hivyo kwako
Eeeeh najikuta nalia sana huu wimbo unagusa sana maisha yangu eeeh Mungu turejeshee miaka yetu yote iliyoliwa na nzige😢
@NeemaGospelChoir
3 ай бұрын
Hakika utukufu utabaki kuwa wa Mungu pekee🙏🙏
@JoyceKalinga-ub2df
2 ай бұрын
Aminaa ,duuu kwa kweli ,Miaka yetu iliyoliwa na nzige na madumadu ,Mungu atulejeshee
Usipoguswa na huu wimbo ukapata uponyaji basi we hata mafuta ya kwa poda hayatakusaidia
@NeemaGospelChoir
3 ай бұрын
Amen, Mungu aendelee kurejesha vyote vilivyoibiwa na mwovu 🙏
Yesu asbh ya leo ninaomba unirejeshee yote yalioibiwa ktk maisha na ndoa yangu,Amen
@NeemaGospelChoir
Ай бұрын
Amen
Bwana anakwenda kunirejeshea ndoa yangu,uchumi wangu,huduma yangu,Kalama na vipaya,hatma yangu,yesu asntee😢😢
@NeemaGospelChoir
2 ай бұрын
Amen na iwe hivyo kwako🙏
Bwana anakwenda kurejesha kila kitu changu ameeen
@NeemaGospelChoir
3 ай бұрын
Amen na ikawe hivyo kwako🙏🙏🙏
NIREJESHEE YESU WANGU KILA KITU KILICHOPOTEA NA KUHARIBIKA NA KUIBIWA KATIKA MAISHA YANGU, WATOTO WANGU, WAZAZI WANGU, WATU WA NYUMBANI MWANGU. TUMAINI LETU NI WEWE PEKEEE YAKO 🙏😔
@NeemaGospelChoir
2 ай бұрын
Na iwe hivyo kwako, Amen 🙏
Mwamba umetisha sifa na utukufu kwa Mungu Aliye juu Nikurejeshee nimeikubali Big Endelea kutamia maono naafunuo utukufu kwa aMungu
@NeemaGospelChoir
2 ай бұрын
Amen
Mungu atukuzwe juu yenu wapendo mmejua kuukonga moyo ,,,,.wimbo wangu pendwa nimeucheza sanaaa maskion moyoni na kwenye akili haupoi Wala kisinyaa thanks much Mungu wa mbinguni wanarejeshee zaidi
@NeemaGospelChoir
2 ай бұрын
Wow Utukufu kwa Mungu, ubarikiwe sana🙏🙏
Nina amani moyoni kwa kuwa Mungu atanirejeshea yote🙏🙏🙏
@NeemaGospelChoir
3 ай бұрын
Amen🙏🙏
Nimerudi tena hi kitu ni chakula kabisa, hongereni watumishi UJUMBE, UJUMBE UJUMBE MZITO, mko vizuri sana dressing code, vocal, inshort NEEMA GOSPEL musiache daima hi huduma ya bwana.
@NeemaGospelChoir
3 ай бұрын
Amen, ubarikiwe sana 🙏
Mungu anawatumia vizur hawa wapendwa kutufikishia ujembe azidi kuwabariki zaid na zaid na awape maisha marefu tuzidi kupata vizuri
Cna Cha kucomment zaidi ya kusema Mungu atufikishe Ile nnch ya maziwa na asali ni nzuri sana 🙏🙏
Yaani vile anasolo mwili wangu unasisimuka kama nipae kwenda mbinguni😊❤mbarikiwe kwa utumishi huu
@NeemaGospelChoir
3 ай бұрын
Amen tunapokea kwa Jina la Yesu🙏
Bwana awabariki sana. Ufunuo wa nguvu huu. Kweli Bwana ako katika harakati za kuturejeshea na anatuita tuje kwake. Yumepoteza mengi. Mengi yamelia na nzige. Lakini namshukuru Mungu kwamba ametupa tumaini na hakikisho la urejesho. Bwana azidi kuwainua Neema Gospel Choir
@NeemaGospelChoir
3 ай бұрын
Amen, endelea kubarikiwa 🙏🙏
We approaching 1M mark we are almost there.... this awesome🤗🤗 🎉🎉🎉.... Wapi Kenyans 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🏾🤗
@NeemaGospelChoir
2 ай бұрын
Amen🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙏
@wuodoketch
Ай бұрын
It has to come to pass AMEN 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
leo tena tunarejeshewa 28/3/2024 glooooooory
@NeemaGospelChoir
2 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
MUNGU anarejesha yote yaliyochukuliwa na watesi wangu Afya elimu Amani uchumi wa familia yangu barikiwa sana watumishi wa Mungu
@NeemaGospelChoir
3 ай бұрын
Amen ubarikiwe pia🙏🙏
Best song ever,nimeiskiza leo more than 10 times,,,Neema izidi kuwatosha.
@NeemaGospelChoir
3 ай бұрын
Amen 🙏🙏🙏
Mungu kupitia huu wimbo nakuomba nilejeshee vile wewe upendavyo❤
@NeemaGospelChoir
2 ай бұрын
AMEN na iwe hivyo kwako
Naomba unirejeshee Amani nyumbani kwangu na Imani ndani yangu ..🙏
Kwakwel Mungu ana watumishi wake na anajivua kupitia wao. Hakika Mungu awabariki sana kwa kazi nzuri ya Mungu kusaidia kuvusha wengine kwa njia hii
@NeemaGospelChoir
3 ай бұрын
Amen utukufu kwa Mungu 🙏🙏
@ruthmuna1264
3 ай бұрын
Aminaa sana