Neema Gospel Choir - Nikurejeshee (Live Music Video)

Музыка

Urejesho ni mchakato wa kurudisha kitu kilichoharibika au kupotea. Biblia inatuhimiza kumgeukia Mungu. Na kupitia imani na maombi, tutapata uponyaji, kurejeshewa nguvu, na kupewa maisha mapya katika Kristo Yesu.
‭Yer‬emia 30:17‬
Maana nitakurudishia afya, nami nitakuponya jeraha zako, asema BWANA ...
‭‭Yoe‬li ‭2:25‬ ‭
Nami nitawarudishia hiyo miaka iliyoliwa na nzige, na parare, na madumadu, na tunutu, jeshi langu kubwa nililotuma kati yenu.
Mnamo mwaka 2022, Familia ya Ev. Mchome, ilipitia kipindi kigumu sana baada ya kumpoteza mama yao mpendwa (Aliyeanguka ghafla na kufariki). Majonzi na simanzi kubwa ilitanda mioyoni mwao mithili ya wingu zito na giza totoro, hakuna maneno mazuri ambayo yangetosha kuwapa faraja familia hii.
Na hapa ndipo yalipatikana Mafunuo ya wimbo huu: Full story link - • Neema Gospel Choir - N...
Songwriter & Composer: Herman Mchome
Leader: Herman Mchome
#neemagospelchoir #gospel #nikurejeshee
--
VICTORIOUS JOURNEY PRODUCT
held on 01st December 2023 at Uhuru Stadium - Dar es Salaam.
𝗖𝗥𝗘𝗗𝗜𝗧:
𝐕𝐢𝐝𝐞𝐨 𝐃𝐢𝐫𝐞𝐜𝐭𝐨𝐫: Amigo Johnson
𝐕𝐢𝐝𝐞𝐨 𝐄𝐝𝐢𝐭𝐨𝐫: Titus Alfred
𝐀𝐮𝐝𝐢𝐨: Victorious Production
𝐒𝐨𝐮𝐧𝐝 & 𝐒𝐭𝐚𝐠𝐞: ABE Professional Sound
𝐒𝐜𝐫𝐞𝐞𝐧: ABE & Ryzen
𝐒𝐨𝐮𝐧𝐝 𝐄𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞𝐞𝐫: Jeddy
𝐌𝐨𝐧𝐢𝐭𝐨𝐫 𝐄𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞𝐞𝐫: Junior Albert (Gaddy)
𝐋𝐢𝐠𝐡𝐭𝐬 𝐏𝐫𝐨𝐯𝐢𝐝𝐞𝐫: Allan Lights
𝐋𝐢𝐠𝐡𝐭𝐢𝐧𝐠 𝐄𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞𝐞𝐫: Maxlifah. (Max the Alternative) 🇰🇪
𝐒𝐭𝐚𝐠𝐞 𝐃𝐞𝐬𝐢𝐠𝐧: Parmena Winfred
𝐏𝐫𝐨𝐝𝐮𝐜𝐭𝐢𝐨𝐧 𝐌𝐚𝐧𝐚𝐠𝐞𝐫: Production Fundamentals Limited
𝐑𝐢𝐠𝐠𝐢𝐧𝐠 𝐚𝐧𝐝 𝐬𝐚𝐟𝐞𝐭𝐲 𝐞𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞𝐞𝐫: Maurice Sikuku 🇰🇪
𝗖𝗢𝗡𝗡𝗘𝗖𝗧 𝗪𝗜𝗧𝗛 𝗨𝗦:
Instagram: Neema Gospel Choir
Facebook: Neema Gospel Choir
X: Neema Gospel Choir
Threads: Neema Gospel Choir
Tiktok: Neema Gospel Choir
𝐂𝐨𝐧𝐭𝐚𝐜𝐭 𝐮𝐬:
Whatsapp: +255 766 777 288
Email: info@neemagospelchoir.org
Website: www.neemagospelchoir.org
©️2024

Пікірлер: 3 400

  • @NeemaGospelChoir
    @NeemaGospelChoir3 ай бұрын

    NIKUREJESHEE LYRICS Nasikia kuitwa na sauti yake anasema njoo kwangu nikurejeshe Yaliobiwa yaliyochukuliwa na mwovu anasema njoo kwangu nikurejeshe Nikurejeshe, nikurejeshe Anasema njoo kwangu nikurejeshe Amani ya moyo iliyotoweka usiitafute pengine, Kwake Yesu utaipata Furaha ya kweli iliyotoweka usiitafute pengine, Kwake Yesu utaipata Ndipo hayo mema yatakujilia Atarejesha vyote adui alivyochua Ndipo hayo mema yatakujilia Atarejesha amani ya moyo na furaha ilipotea Nikurejeshe Nikurejeshe Anasema Njoo kwangu Nikurejeshe Nikurejeshe Nikurejeshe Anasema Njoo kwangu Nikurejeshe

  • @kaybkay

    @kaybkay

    3 ай бұрын

    Amani iliyotoweka usitafute kwingne ila kwa Yesu.. hallelujah

  • @josephmussa0625

    @josephmussa0625

    3 ай бұрын

    Yesu aendelee kuiinua juu sana hii huduma

  • @paulajoho2223

    @paulajoho2223

    3 ай бұрын

    Ameeen! Hallelujah! Mko vizuri sana. Mbarikiwe sana. ❤

  • @puritymambih2988

    @puritymambih2988

    3 ай бұрын

  • @kevodhiz

    @kevodhiz

    3 ай бұрын

    Nawapenda

  • @lutumbinduta1702
    @lutumbinduta17023 ай бұрын

    Wanaorudia mara kwa mara wimbo huu wa upako mnoo gonga like za kutoshaa hapaa.

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    3 ай бұрын

    🔥🔥🔥🔥🙌🙌

  • @lutumbinduta1702

    @lutumbinduta1702

    3 ай бұрын

    Mbarikiwee sana watumishi wa Mungu. Mungu azidi kuwainua Juu sana zaidi ya Hapo!!

  • @BeatriceMwakyusa-xi4gk

    @BeatriceMwakyusa-xi4gk

    3 ай бұрын

    Munofu wimbo mzr san

  • @wuodoketch

    @wuodoketch

    3 ай бұрын

    💪👍🙏🏾👍🤗👍👍

  • @jael2450

    @jael2450

    3 ай бұрын

    🎉🎉❤❤❤

  • @newsreporttv2
    @newsreporttv22 ай бұрын

    Wimbo mzuri sana. Kama unaomba Urejesho April 2024 piga like hapa. 🇰🇪🇰🇪

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    2 ай бұрын

    Amen🙏🙏🙏

  • @SaidNasibu-pu9dx

    @SaidNasibu-pu9dx

    Ай бұрын

    Amen

  • @mutukiworldwide
    @mutukiworldwide2 ай бұрын

    Piga likes hapa kama ume barikiwa na huu wimbo 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    2 ай бұрын

    Amen🔥🔥🔥🇰🇪🇰🇪

  • @CatherineMtotela
    @CatherineMtotela2 ай бұрын

    Naomba nirejeshee nafasi ya kuitwa mama na mimi kama wamama wengine🙏🙏😭😭

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    2 ай бұрын

    Amen

  • @jlngweshemi

    @jlngweshemi

    Ай бұрын

    MUNGU akurendee kwa imani kama alivyo tenda kwa Sara

  • @JennaSolo6835

    @JennaSolo6835

    Ай бұрын

    God Will surely do that

  • @roselinenalyaka6125

    @roselinenalyaka6125

    Ай бұрын

    Mungu mweza yote atakurejeshea mummy

  • @purityngari6821

    @purityngari6821

    Ай бұрын

    Mungu ni mwaminifu. Atarejesha

  • @qnmwashuya-dq4vy
    @qnmwashuya-dq4vy3 ай бұрын

    Ten days ago nilisikiliza huu wimbo nikaandika bwana arejesheee afya ya mama yangu Figo, inni, uvimbe na tumbo kujaaa maji Sasa bwana amerejesha kwa imaniiiii thanks Jesus umeleta aman na furaha kweli vyapatikana kwako. Thanks watumishi walimwombea mama yangu na huuu mwimbo umeongeza imaniiiiiiiiiiiii. Daah bwana Asante mbarikiwe sana neeema group

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    3 ай бұрын

    Amen tunafurahi kusikia huduma iliyofanyika kupitia wimbo huu❤️🙏🙏🙏🙏 Kindly Subscribe to our youtube channel and follow our instagram page for more updates 🙏

  • @StellaJohn-dz6gv

    @StellaJohn-dz6gv

    2 ай бұрын

    Amen Mungu wetu ni mwaminifu sana🔥

  • @user-zk5dj7kp9z

    @user-zk5dj7kp9z

    2 ай бұрын

    waoooh prays the Lord

  • @israelisponsor8755

    @israelisponsor8755

    2 ай бұрын

    Mungu ni mwema sana

  • @kategodia334

    @kategodia334

    2 ай бұрын

    Amina

  • @TheWorldGospel
    @TheWorldGospel4 ай бұрын

    Gonga Likes hapa TUNAOREJESHEWA 🔥🔥🇹🇿🇺🇬🇷🇼🇧🇮🇰🇪

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    3 ай бұрын

    🔥🔥🔥🙏

  • @triphoniaallute8934

    @triphoniaallute8934

    3 ай бұрын

    ❤❤

  • @jafaliomarymapeyu

    @jafaliomarymapeyu

    26 күн бұрын

    yaaaaaaaaaaaaniiiiii nihatari nanusu

  • @loycejames
    @loycejamesАй бұрын

    Wanaotamani hii nyimbo ifike 3 million views. like hapa 🙏🙌

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    Ай бұрын

    🔥🔥🔥🔥Amen na iwe hivyo

  • @jnmsangi75
    @jnmsangi75Ай бұрын

    One day ntarudi katika comment hii na Ushuhuda 🙏🏾

  • @jackyatieno4012

    @jackyatieno4012

    18 күн бұрын

    Amen 🙏

  • @alicemuvea

    @alicemuvea

    13 күн бұрын

    He gave me back kidneys and liver faithful God

  • @salomewandya7257

    @salomewandya7257

    11 күн бұрын

    Ameen 🙏🙏

  • @maureenmushiyi8579

    @maureenmushiyi8579

    11 күн бұрын

    Me too dear

  • @PCEAImmanuel23

    @PCEAImmanuel23

    5 күн бұрын

    Very soon

  • @ambindwilehosea6837
    @ambindwilehosea68373 ай бұрын

    Kama unaamini Yesu analudisha yaliyo liwa ma parale na madumadu analehesha nione like Moja hapa hallelujah analehesha🎉🎉 🎉🎉. Congratulations all the team neema gospel Mungu awazidishie

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    3 ай бұрын

    Amen🙏

  • @saraphinaramso6387

    @saraphinaramso6387

    2 ай бұрын

    Aimeeen

  • @ezelinemboma1716

    @ezelinemboma1716

    2 ай бұрын

    Amen

  • @JacksonJackson-ny1mi

    @JacksonJackson-ny1mi

    2 ай бұрын

    Kiukweli analejesha hakika

  • @user-yf4dm8dn2q

    @user-yf4dm8dn2q

    2 ай бұрын

    mungu atarejesha

  • @yonamwakilembe1152
    @yonamwakilembe11522 ай бұрын

    kama wewe pia umesikia kuitwa na MUNGU through this song usiache kulike 😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    2 ай бұрын

    🔥🔥🔥

  • @user-vu2in9wi1x

    @user-vu2in9wi1x

    2 ай бұрын

    Namuomba Mungu anirejeshehe kupitia wimbo huu

  • @sevelinahinnocent6803

    @sevelinahinnocent6803

    Ай бұрын

    Amen ❤

  • @achievefinancetz

    @achievefinancetz

    17 күн бұрын

    Acha kabisa I am blessed beyond measure, this song has something I can’t explain only my heart feels it. Nimebarikiwa.

  • @elibarikikija6482
    @elibarikikija6482Ай бұрын

    Kama duniani ni burudani hivi vipi huko mbinguni,

  • @achievefinancetz

    @achievefinancetz

    17 күн бұрын

    Sijui mbinguni itakuwaje aisee this is too much furaha na blessings. Nampenda sana Yesu

  • @kipkiruigillie4332
    @kipkiruigillie43323 ай бұрын

    Kenya tufanye viile likes zipandeee 🇰🇪🇰🇪....Willian & Andrew mko fire sana 🔥🔥🔥

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    3 ай бұрын

    🔥🔥🔥🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @paulgitahi4992

    @paulgitahi4992

    2 ай бұрын

    Mara that that folks ....am restored in Jesus name🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @marymrefu4096
    @marymrefu40963 ай бұрын

    Jana usiku Mungu alinifanyia jambo kupitia huu wimbo😭😭🙌🙌🙌🙌🙌nilikuwa naumwa kichwa sana kwa masaa karibia 6 kuanzia mchana hadi saa 5 usiku ila nilipoweka huu wimbo na kutamka urejesho kabla hata ya wimbo kuisha nilipata nafuu ya ghafla sana na nikawa mzima kabisa😭😭🙌🙌nilikuwa siwezi soma sababu ya kuumwa ila namshukuru Mungu kupitia NIKUREJESHEE nilirejeshewa afya yangu na nikaweza kusoma na kufanya mtihani🥰🥰 nikiwa ndani ya chumba cha mtihani huu wimbo umekuwa unazunguka tu kichwani mwangu mwanzo mwisho🙌🙌 Hakika Huu ni mwaka wa marejesho🙌🙌🙌🙌🙌Mungu azidi kukubariki familia yangu❤❤

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    3 ай бұрын

    What a testimony, Mungu aendelee kutukuzwa kupitia ushuhuda huu, umebarikiwa sana mpendwa 🙏🙏🙏

  • @marymrefu4096

    @marymrefu4096

    3 ай бұрын

    Amen❤❤

  • @purengeikasosikerry6663

    @purengeikasosikerry6663

    3 ай бұрын

    A living testimony!Our God can restore anything!!!🎉❤❤

  • @user-pq3iq7hx7x

    @user-pq3iq7hx7x

    3 ай бұрын

    Amen

  • @josephinemtei186

    @josephinemtei186

    2 ай бұрын

    Amen❤❤❤

  • @user-gf3gn4qh2q
    @user-gf3gn4qh2q2 ай бұрын

    Nimeanza kuusikia huu wimbo kwenye msiba wa mama yangu ambae ametwaliwa, wimbo umekuwa ukinipa nguvu, tumaini jipya, ktk kipindi hiki kigumu, Hakika amani, furaha inapatikana kwa Bwana Yesu pekee😭😭😭😭😭😭

  • @catherinemnuga2440

    @catherinemnuga2440

    2 ай бұрын

    MUNGU AKUTIE NGUVU NA AWE MFARIJI WAKO MPENDWA

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    2 ай бұрын

    Amen hakika Mungu anarejesha amani yote, pole kwa msiba mpendwa wetu🙏

  • @user-ss8mn8wu5r

    @user-ss8mn8wu5r

    2 ай бұрын

    Pole mpendwa kweli mungu ndo anaerejesha vyote usife moyo

  • @febianandunguru8054

    @febianandunguru8054

    2 ай бұрын

    Pole Mungu akawe mfariji wako.

  • @lucykayombo9987

    @lucykayombo9987

    2 ай бұрын

    Amina, moyo wako ufarijiwe na Bwana Yesu, ukikumbuka neno Lake kuwa kifo sio mwisho, tutaonana na wapendwa wetu bado kitambo kidogo

  • @beatricemghase4104
    @beatricemghase41042 ай бұрын

    Amani ya moyo uliyotoweka usiitafute kwingine,kwa Yesu utaipata…Furaha ya kweli uliyotoweka usiitafute kwingine kwa Yesu utaipata….gonga like hapa

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    2 ай бұрын

    Hakika tuzidi kumtegemea Mungu🙏🙏

  • @Sunguti1

    @Sunguti1

    Ай бұрын

    Am still waiting for more miracles to happen to my family and me as well

  • @kilangiih
    @kilangiih4 ай бұрын

    Mnaosubiri kurejeshewa na bwana siku ya kesho mkuje hapa 🇹🇿🇰🇪🇺🇬🇷🇼🇳🇬🇺🇿🇹🇰🇹🇬🇹🇯🇺🇸🇵🇷🇸🇷🇸🇸🇺🇬🇰🇪🇺🇸🇷🇼🇷🇼

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    3 ай бұрын

    🔥🔥🔥🔥

  • @Dansonny203

    @Dansonny203

    3 ай бұрын

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @gracepaul5901

    @gracepaul5901

    3 ай бұрын

    🎉

  • @paulgitahi4992

    @paulgitahi4992

    2 ай бұрын

    🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪team kubwaa Iko ndani❤❤❤❤❤❤Aki u guys mko tops

  • @sevelinahinnocent6803

    @sevelinahinnocent6803

    Ай бұрын

    Amen ❤

  • @NyabonyiKairo
    @NyabonyiKairo3 ай бұрын

    2024 kila kilichoibiwa kinarejeshwa Afya yangu Uchumi wangu Ndoa yangu Kazi yangu

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    3 ай бұрын

    Naiwe hivyo katika jina la Yesu🙏

  • @leahkajuju3447

    @leahkajuju3447

    2 ай бұрын

    In Jesus name amen

  • @MedelinaSandagila
    @MedelinaSandagilaАй бұрын

    Mungu naomba unirejeshee vyote adui alivyochukua kwangu katika jina la Yesu kristo wa Nazareth aliye hai

  • @DottoKillangi

    @DottoKillangi

    Ай бұрын

    Mungu nirejeshee Neema yako kristo nipate haki,furaha na amani yako

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    Ай бұрын

    Amen🙏🙏🙏🙏

  • @gracejackson836
    @gracejackson8362 ай бұрын

    Ninarejeshewa kila adui amechukua iwe kazini,ndoa,biashara, familia vitarejea in the might name of JESUS❤❤❤❤❤

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    2 ай бұрын

    Amen

  • @JennaSolo6835

    @JennaSolo6835

    Ай бұрын

    And so be it

  • @Ev_mwl_daniel_mollel

    @Ev_mwl_daniel_mollel

    23 күн бұрын

    anirejeshe zaidi ya shetani alivyo iba kwangu wimbo huu ni wa wakati kabisa 🙏🙏🙏🙏🙏🤲🤲🤲🤲🤲

  • @gilbertkipkirui3261
    @gilbertkipkirui32613 ай бұрын

    Huu wimbo una mguso sana Herman mchome yupo na sauti nzuri na pia kipaji cha ajabu..mavazi pia yameenda shule , instrumentalists: Andrew, Willian and the lead pianist na wote kwa jumla mzidi hivo hivo huku Kenya 🇰🇪 mnapendwa sana ...kenyans likes zipae kama kawaida ❤

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    3 ай бұрын

    Amen tunawapenda pia🇰🇪🇰🇪🙏

  • @wuodoketch

    @wuodoketch

    3 ай бұрын

    Awesome 👍😎

  • @Pascalmwise1994

    @Pascalmwise1994

    3 ай бұрын

    May almighty God restore me

  • @rabanphotostudionyakanazi_4115

    @rabanphotostudionyakanazi_4115

    3 ай бұрын

    Naomba namba yenu ya simu

  • @nickyamani7402

    @nickyamani7402

    3 ай бұрын

    I personally this guy takes me to dimensions of worship 😢😭😭😭😭🥺my neighbors are wondering why I'm repeating this sound overnight 😢be blessed

  • @user-jc6fy1dl2e
    @user-jc6fy1dl2e3 ай бұрын

    Jaman Tanzania MUNGU ametupa hazina kubwa tunajivunia Neema gospel choir kutoka TZ,,,,miak 100...yan MUNGU namm ucnipite unaporejesha wengine

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    3 ай бұрын

    🙏🙏🙏Amen

  • @magrethjsimon6272
    @magrethjsimon62723 ай бұрын

    😭😭😭😭😭🙏🙏mungu naomba nilejeshee mtoto wangu nilie nyang'anywa

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    3 ай бұрын

    Amen na iwe hivyo kwako🙏🙏

  • @cathryneenos8288

    @cathryneenos8288

    2 ай бұрын

    Amen Na Mungu wetu akusikie mpendwa

  • @yvonneivo6617

    @yvonneivo6617

    2 ай бұрын

    Atakurejeshea ,namwomba Mungu akurejeshee kwa wakati,Ameeen.

  • @lilyomary7795

    @lilyomary7795

    2 ай бұрын

    Mungu akupe haja ya Moyo wako. Akurejeshee

  • @ndechiliotarimo

    @ndechiliotarimo

    20 күн бұрын

    Pokea kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareth

  • @liliankemunto1349
    @liliankemunto1349Ай бұрын

    Shetani aliiba mume wangu akafa,yote ntapata kwake Yesu

  • @ndechiliotarimo

    @ndechiliotarimo

    20 күн бұрын

    Mungu akulinde katika mahitaji yako ,Pokea Kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareth

  • @jacksonadamu2654

    @jacksonadamu2654

    20 күн бұрын

    God will comfort you my sister❤

  • @law_otieno1114
    @law_otieno11143 ай бұрын

    Let me leave this comment here so anytime someone likes it i'm reminded to listen to this song

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    3 ай бұрын

    Amen, be blessed 🙏

  • @OFFICIALSEMAH
    @OFFICIALSEMAH4 ай бұрын

    From Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 napenda sama music 🎵🎶🎶🎶🎶 neema gospel choir naoma like hapa za neema gospel choir nikurejesheeee

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    4 ай бұрын

    Ubarikiwa sana mpendwa 🙏

  • @OFFICIALSEMAH

    @OFFICIALSEMAH

    3 ай бұрын

    @@NeemaGospelChoir amen

  • @sarahonyango-xp8vg

    @sarahonyango-xp8vg

    Ай бұрын

    Naamini anarejesha vyote na ushindo mkubwa katika jina Kuu la Yesu Kristo mwana wa Mungu

  • @wuodoketch
    @wuodoketchАй бұрын

    Awesome AMEN tumevukaa 1M already 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾wapi likes ya Kenyans 🇰🇪🇰🇪

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    Ай бұрын

    Amen

  • @JudithKabaitilaki
    @JudithKabaitilakiАй бұрын

    Naomba urejeshe aman kwenye maisha yangu kile adui kaiibia familia yangu kirud kwa jina la Yesu na ninapokea urejesho.

  • @user-uc1rt9gp5q
    @user-uc1rt9gp5q3 ай бұрын

    Je vous capte depuis république démocratique du Congo Mungu aturejecheyee amani katika inchi yetu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    3 ай бұрын

    Merci mon frère🇨🇩🇨🇩 Bwana atawarejeshea amani yake kweli🙏🙏

  • @wuodoketch

    @wuodoketch

    3 ай бұрын

    🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @eliumbanambowe722

    @eliumbanambowe722

    3 ай бұрын

    We are praying for you Congo

  • @DoreenLifardGPP

    @DoreenLifardGPP

    3 ай бұрын

    Amen 🙏🏽

  • @AliceInnocent-kv2dz

    @AliceInnocent-kv2dz

    2 ай бұрын

    Amen

  • @EfraimEzekiel
    @EfraimEzekiel3 ай бұрын

    Hallelujah hakika mwaka huu tutarejeshewa Kila kitu Kwa jina la Yesu hongereni sana Neema Gospel Kwaya yetu pendwa

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    3 ай бұрын

    Amen

  • @user-dp5ku1dq5l

    @user-dp5ku1dq5l

    3 ай бұрын

    Amen

  • @deborasimon422

    @deborasimon422

    3 ай бұрын

    Amen

  • @helnaamon3553
    @helnaamon3553Ай бұрын

    Mungu anirejeshee kila adui alichoiba kwenye maisha yangu,pia ibada yangu ikarejeshwee,nafasi yangu,kibali changu,huduma yangu,na wote mnaosoma coment hii mniombeee Mungu anikumbuke ,naandika kwa kumaanisha

  • @unidabusiness

    @unidabusiness

    20 күн бұрын

    Mungu wetu ni mwamimifu ameshafanya amini litatimia mwilimi

  • @ndechiliotarimo

    @ndechiliotarimo

    20 күн бұрын

    Pokea Kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareth

  • @julianas2072
    @julianas20722 ай бұрын

    "Nikurejeshee Nikurejeshee anasema njoo kwangu nikurejeshee". Nani anasikia uhakika wa maneno haya katika ulimwengu wa roho kama mimi. Nayasikia ni uhakika na kweli. Wimbo wa msimu huu. Amen na amen.

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    2 ай бұрын

    🙏🙏🙏

  • @islabocco478
    @islabocco4783 ай бұрын

    Nimemuona Mungu kweny hii nyimbo kuna namna maisha yangu yana badilika kupitia huu mwimbo 🙏♥️🙏

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    3 ай бұрын

    Amen🙏🙏🙏🙏🙌

  • @user-vg3id5xl9j
    @user-vg3id5xl9j2 ай бұрын

    Tunao urudia huu wimbo tujuane maana sio kwa upako huu ❤

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    2 ай бұрын

    Amen🔥🔥🔥🙏

  • @alexkachengo_254
    @alexkachengo_254Ай бұрын

    Wimbo huu umekua wa baraka sana katika maisha yangu

  • @wuodoketch
    @wuodoketchАй бұрын

    We are heading to 10M by the end of the year 🤗 this awesome Wapi likes wa Kenyans 🇰🇪 God bless you guys

  • @elishaelia4276
    @elishaelia42763 ай бұрын

    Kila ninaposikiliza hii nyimbo naona kurejeshwa katika kristo mungu awatangulie kwa kazi njema ya kutangaza injili ya kristo❤❤❤

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    3 ай бұрын

    Amen

  • @irenekaruga2012
    @irenekaruga20123 ай бұрын

    Joel 2:25 God will indeed restore everything we lost or was stolen. A double portion restoration.

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    3 ай бұрын

    Amen🙏🙏🙏

  • @gloriauroki1769
    @gloriauroki1769Ай бұрын

    Watu wanatumia pumzi za Mungu vizuri. Yesu awainue

  • @beatricemapesa
    @beatricemapesaАй бұрын

    Namuona Mungu kupitia wimbo huu mbarikiwe ewatumishi

  • @dshawno.1894
    @dshawno.18943 ай бұрын

    Bwana ananirejeshea vyote adui alivyochukua..Huu wimbo umekuja kwa wakati mwafaka. Abarikiwe Mungu sana na pia na aliepewa wimbo huu Mungu azidi kuongezeka ndani yake na ndani ya huduma yake

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    3 ай бұрын

    Amen endelea kubarikiwa sana🙏🙏

  • @mercynmuraguri1455
    @mercynmuraguri14552 ай бұрын

    Who is watching the 10th time. Beautiful song....blessed assurance from Jesus...nikurejeshee......

  • @lindakisaka4467

    @lindakisaka4467

    2 ай бұрын

    Listen to it everyday!!

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    2 ай бұрын

    Amen

  • @Linda-lr1lu
    @Linda-lr1luАй бұрын

    Aliyetunga huu wimbo nani mzuri kweli kweli👌👌📌

  • @julianasingo6689
    @julianasingo66893 ай бұрын

    Nimelia kwasaab niliibiwa ila naona mkono wa Mungu...kupitia huu wimbo namwona Mungu

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    3 ай бұрын

    🙌🙌🙏🙏🙏🙏

  • @user-xz4gp6mw6w
    @user-xz4gp6mw6w3 ай бұрын

    Mungu awabariki nina ushuhuda na huu wimbo ninausikiliza tena na tena🙏🙏🙏

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    3 ай бұрын

    Amen endelea kubarikiwa 🙏

  • @estherkalengo5493
    @estherkalengo54933 ай бұрын

    Nimefungua KZread nakukutana na baraka za wimbo huu,Bwana atarejesha hakika 🙌🙌🙏 Much love from🇿🇲

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    3 ай бұрын

    Much love to 🇿🇲 family 🙏❤️

  • @sevelinahinnocent6803

    @sevelinahinnocent6803

    Ай бұрын

    Amen ❤

  • @EstherKivuva-nj6su
    @EstherKivuva-nj6suАй бұрын

    Anarudisha kila kitu adui alichukua kwa familia yangu, furaha, amani, kazi, ndoa, pesa...we can only worship in true and spirit. Amen

  • @farajamwandima6585
    @farajamwandima65852 ай бұрын

    Mungu kupitia wimbo huu naomba nirejeshee kila kitu changu kilichopotea Ameen

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    2 ай бұрын

    Amen na iwe hivyo katika jina la Yesu

  • @osiahjoel1906

    @osiahjoel1906

    7 күн бұрын

    Naamini hata mimi kila kitu kitarejea kwangu this year.

  • @user-lf2qq2es6w
    @user-lf2qq2es6w3 ай бұрын

    I'm a broken who lately met Jesus and I can testify that in I've found happiness in my Lords territory and at the sound of this song my glory is restored👏

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    3 ай бұрын

    Amen 🙏🙏be blessed

  • @lailamushi3030

    @lailamushi3030

    3 ай бұрын

    You are always a winner you got this...much love ❤

  • @kamalaeditha5864

    @kamalaeditha5864

    3 ай бұрын

    In deed it is a blessint to us. Glory to God Almighty

  • @user-kb4jp4vc4t
    @user-kb4jp4vc4t3 ай бұрын

    THIS SONG DESERVES A MILLIONS LIKES PLS... LET'S CONTINUE GETHERING SPREAD THE GOSPEL ALL OVER THE 🌎

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    3 ай бұрын

    Amen🙏🙏🙏

  • @frankangira7909
    @frankangira7909Ай бұрын

    Asee jamaa wamenifanya nianze penda nyimbo zao..mungu ni mwema vocal nzurii kila kitu kiko vizur mbarikiwe sana..

  • @elishafaustine663
    @elishafaustine66321 күн бұрын

    Ibada ya mwaka 2024, wimbo wa maisha yangu, Asante Yesu kwa urejesho, tukutane hapa kumwambia Mungu asante kwa ajili ya Neema gospel

  • @Nhabato5599
    @Nhabato55993 ай бұрын

    Sio uzuri wa Wimbo tu ,bali hata huu mziki 😂,Majirani nawakera kweli , Muniombee tafadhali😂😂, NGC 😍😍😍😍😍

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    3 ай бұрын

    😃😃😃😃😃 Bwana atakulinda na mabaya yote, wewe timiza kusudi lake🔥🔥🙌🙌🙏

  • @linahsulle1526

    @linahsulle1526

    2 ай бұрын

    ​@@NeemaGospelChoirAmen Amen tupo hapa tumewawekea saut mpka mwisho majiran

  • @user-js6po4zo3j

    @user-js6po4zo3j

    2 ай бұрын

    😂😂tumekuelewa neema ya Mungu ikufunike popote ulipo

  • @sarakajiu8890

    @sarakajiu8890

    2 ай бұрын

    Na hilo vibe la pianist, ni mimi kabisaaaa😂🙌❤

  • @hidayamakunga8715

    @hidayamakunga8715

    2 ай бұрын

    Usiwe na wasiwasi uko chini ya mbawa zake MUNGU

  • @humphreypeter5641
    @humphreypeter56413 ай бұрын

    Mungu akarejeshe yote tulioibiwa kupitia wimbo huu kwa jina la Yesu AMEN 🙏

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    3 ай бұрын

    Na iwe hivyo🙏🙏

  • @user-nb3pg2zc1t
    @user-nb3pg2zc1t2 ай бұрын

    Mungu anirejeshee afya yangu na familia yangu

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    2 ай бұрын

    Amen

  • @dianaakinyi6833
    @dianaakinyi68332 ай бұрын

    I’ve played this song more than 20 times today and I’ve shared it with my friends. The words are so powerful, God used you to speak to me and many others. “Nikurejeshee…. Nikurejeshee… anasema njoo kwangu Nikurejeshee “. Amina 🙏🏾. Such a blessing.

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    2 ай бұрын

    Wow Glory to God, be blessed 🔥🔥🔥🔥🙏

  • @MasiwaNatema
    @MasiwaNatema3 ай бұрын

    Sifa na utukufu Kwa Mungu aliyewapa uwezo wakuimba nyimbo nzuri hivi

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    3 ай бұрын

    Amen utukufu kwa Mungu 🙏🙏

  • @lizyjonath2226
    @lizyjonath22263 ай бұрын

    For the love of my church AICT mnaliwakilisha vyema kanisa wana wa Mungu@neema gospel

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    3 ай бұрын

    Amen🙏🙏

  • @margaretmandia8867
    @margaretmandia88677 күн бұрын

    Baba Kwa Jima la Yesu Kristo nimekuja kwako naomba unirejeshee yote yaliyoibiwa na mwivi

  • @JacksonLazaro-mm3qs
    @JacksonLazaro-mm3qs3 ай бұрын

    ❤❤ 2024 hii nyimbo nzuri Sana jaman MUNGU azidi kuwatia nguvu watumishi Wake

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    2 ай бұрын

    Amen, ubarikiwe sana🙏🙏

  • @Gprecious-jy8lj
    @Gprecious-jy8lj3 ай бұрын

    Me listening in the office for the first time .............. still wondering were was I for the past 2 weeks ,...........Wimbo huu wanipa faraja sana ......Mubarikiwe watumishi wa BWANA

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    3 ай бұрын

    Amen endelea kubarikiwa sana🙏🙏

  • @gracefrancos2705

    @gracefrancos2705

    Ай бұрын

    same here🥰

  • @Gprecious-jy8lj

    @Gprecious-jy8lj

    Ай бұрын

    @@gracefrancos2705 oooh its a karma then .......wa jina wangu 🥰🥰

  • @benjaminndaki8212
    @benjaminndaki82123 ай бұрын

    Hakika nafarijika sana kupata nyimbo nzuri kutoka kweye kwaya iliyo nizaa mbalikiwe sana Neema gospel ❤.

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    3 ай бұрын

    Amen, endelea kubarikiwa 🙏🙏

  • @NEEMADANNY-db9xy
    @NEEMADANNY-db9xy3 ай бұрын

    Wimbo mzuri na una ujumbe mzuri Mungu wa Mbinguni azidi kuwainua viwango vya juu Neema gospel

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    3 ай бұрын

    Amen asante sana🙌🙌🙌🙏🙏🔥

  • @godlivergordian1481
    @godlivergordian14813 ай бұрын

    Hallelujah kama kawaida sauti zenu lazima zinitoe goosebumps. Glory to God, Mungu awabariki sana na awatetee katika kuyatunza mafuta yake.❤❤❤

  • @michaeltz3446

    @michaeltz3446

    3 ай бұрын

    yan mimi tangu naanza kusikiliza huu wimbo goosebumps and tears are all I felt. Glory to the Highest and Living God

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    3 ай бұрын

    Sifa zote n Utukufu wote ni wake Mungu, yeye atuwezeshae katika kutumiza kusudi lake, ubarikiwe sana dada yetu kwa kuendelea kusupport kazi ya Mungu hakika Bwana atakutendea na atakurejeshea vyote vilivyopotezwa na mwovu🙏

  • @priscasolomon5715
    @priscasolomon57153 ай бұрын

    😢😢😢 Mungu naomba nirejeshee vilivyoliwa na madumadu na tunutu...asante kwa huu wimbo unanifariji mnoo ....napitia kipindi kigumu mnoo cha kufiwa na mwanangu...Jehova naomba unirejeshee twins

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    3 ай бұрын

    Amen, Mungu hawezi kukuacha utapata kila hitaji lako kwa uweza wa Mungu🙏🙏

  • @elishafaustine663

    @elishafaustine663

    2 ай бұрын

    Oooooh so sorry Mungu akaseme na wewe Mpendwa

  • @rosemwaijande3391

    @rosemwaijande3391

    2 ай бұрын

    Pole saaana Mungu atakutana na haja ya moyo wako

  • @rosemwaijande3391

    @rosemwaijande3391

    2 ай бұрын

    Wimbo mzuri Munhu akutane na magonjwa yanayonisumbuwa nipone siwezi kutembea kufanya chochote ni kulala tuu hata natamani kwenda kanisani siwezi zMungu alejeshe uzima wangu kama zamani

  • @barakaedward9206

    @barakaedward9206

    2 ай бұрын

    May God heal your soul 🙏

  • @EverMinja
    @EverMinjaАй бұрын

    Ee Mungu naomba umrejeshee mama angu aafya njema akapate kuwa na furaha. Muondolee mumivu yote yanayomsumbua mrejeshee afya,amani,tumaini la kuishi😢😢😢😢

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    Ай бұрын

    Amen hakika Mungu atafanya hivyo kwako🙏🙏🙌

  • @mylifediary03
    @mylifediary03Ай бұрын

    Naaam naja kwako Bwana kwa Imani iliyo juu kabisa unirejeshee...May 6,2024

  • @samuelsyanda5479

    @samuelsyanda5479

    Ай бұрын

    Amen

  • @johnmasonga426
    @johnmasonga4263 ай бұрын

    Hongereni Neema Gospel choir kwa kazi nzuri hongera pia mwanangu Simon kwa utumishi wa kumsifu na kumwimbia Bwana wimbo upo vizuri sana nami namuomba Mungu anirejeshee vyote vilivyoibiwa na ibilisi naamini kuna urejesho katika Kristo Yesu

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    3 ай бұрын

    Asante sana mtumishi, na ikawe hivyo kwako katika jina la Yesu, ubarikiwe sana🙏🙏

  • @bashmo7880
    @bashmo78803 ай бұрын

    Do u even know how much i love this song? I don't know how many times i play it in my shop? Am Ugandan 🇺🇬🇺🇬🇺🇬and don't know much Swahili but the Holyspirit is my translator. Love youuuuuu 💕💕💕💕💕💕💕

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    3 ай бұрын

    Amen be blessed, we love you more 🇺🇬 🇺🇬 ❤️

  • @carolinamollel
    @carolinamollel26 күн бұрын

    Tumebarkiwa naiman tutarejeshewa vilivyo chukulowa

  • @marymaweza5303
    @marymaweza5303Ай бұрын

    Wimbo unanipa uwepo wa Mungu ...nirejeshee mapacha Yesu..kma ulivowapenda nirejeshee amein

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    Ай бұрын

    Amen

  • @unidabusiness

    @unidabusiness

    20 күн бұрын

    Amen

  • @unidabusiness

    @unidabusiness

    20 күн бұрын

    🙏 ❤

  • @janethmollel406
    @janethmollel4063 ай бұрын

    Nimeskiliza wimbo siku nzima. Hakika huu wimbo ni mzuri sanaaa. MUNGU anarejesha jamani 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    3 ай бұрын

    Amen, endelea kubarikiwa 🙏🙏

  • @faithkakuta6017
    @faithkakuta60173 ай бұрын

    Who else is glued on the screen like me, honestly this is the song of Year. God bless you guys, you never disappoint. Much Love all the way from 🇰🇪 may God continue Elevating you. Blessings. "Bwana Ataturejeshea chochote shetani aliiba kwa Jina la Yesu"

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    3 ай бұрын

    Thank you, To God be the Glory 🙏🙏

  • @TapuwaAlishdamba
    @TapuwaAlishdambaАй бұрын

    once upon a time, i fell in love with neema gospel choir❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @GodloveKishele
    @GodloveKishele2 ай бұрын

    Asente MUNGU Kwa kunirejeshea watoto wangu waliotoroshwa 🙏🙏sifa na utukufu ni kwako Jehova

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    2 ай бұрын

    Amen

  • @ZaituniSanga
    @ZaituniSangaАй бұрын

    Naomba Mungu anilejeshee kizazi changu kilichoibiwa na adui niweze kuitwa mama😢

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    Ай бұрын

    Amen na iwe hivyo kwako katika jina la Yesu🙏🙏🙏

  • @unidabusiness

    @unidabusiness

    20 күн бұрын

    God gives 🙏

  • @BettyGeorge-el1gb
    @BettyGeorge-el1gb3 ай бұрын

    🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽 Asante sana Yesu kwa urejesho wa kila kilichopotea kwenye maisha yangu

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    3 ай бұрын

    Amen, ubarikiwe sana 🙏

  • @ZawadiTunze
    @ZawadiTunze26 күн бұрын

    Wimbo bora,faraja kwa wenye huzuni. Hakika amani ya moyo hipatikana kwa YESU. Turejeshee kila kilichoibiwa na mwovu❤❤❤

  • @JacksonJackson-ny1mi
    @JacksonJackson-ny1mi2 ай бұрын

    Ndoa yangu mungu nilejeshe adui ameivuluga

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    2 ай бұрын

    Amen na iwe hivyo kwako

  • @epifaniakavishe9282
    @epifaniakavishe92823 ай бұрын

    Eeeeh najikuta nalia sana huu wimbo unagusa sana maisha yangu eeeh Mungu turejeshee miaka yetu yote iliyoliwa na nzige😢

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    3 ай бұрын

    Hakika utukufu utabaki kuwa wa Mungu pekee🙏🙏

  • @JoyceKalinga-ub2df

    @JoyceKalinga-ub2df

    2 ай бұрын

    Aminaa ,duuu kwa kweli ,Miaka yetu iliyoliwa na nzige na madumadu ,Mungu atulejeshee

  • @leahmaligana5257
    @leahmaligana52573 ай бұрын

    Usipoguswa na huu wimbo ukapata uponyaji basi we hata mafuta ya kwa poda hayatakusaidia

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    3 ай бұрын

    Amen, Mungu aendelee kurejesha vyote vilivyoibiwa na mwovu 🙏

  • @elionoramtei4410
    @elionoramtei4410Ай бұрын

    Yesu asbh ya leo ninaomba unirejeshee yote yalioibiwa ktk maisha na ndoa yangu,Amen

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    Ай бұрын

    Amen

  • @happyshayo5397
    @happyshayo53972 ай бұрын

    Bwana anakwenda kunirejeshea ndoa yangu,uchumi wangu,huduma yangu,Kalama na vipaya,hatma yangu,yesu asntee😢😢

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    2 ай бұрын

    Amen na iwe hivyo kwako🙏

  • @user-jg2zl8gz2x
    @user-jg2zl8gz2x3 ай бұрын

    Bwana anakwenda kurejesha kila kitu changu ameeen

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    3 ай бұрын

    Amen na ikawe hivyo kwako🙏🙏🙏

  • @hossanajosiah5716
    @hossanajosiah57162 ай бұрын

    NIREJESHEE YESU WANGU KILA KITU KILICHOPOTEA NA KUHARIBIKA NA KUIBIWA KATIKA MAISHA YANGU, WATOTO WANGU, WAZAZI WANGU, WATU WA NYUMBANI MWANGU. TUMAINI LETU NI WEWE PEKEEE YAKO 🙏😔

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    2 ай бұрын

    Na iwe hivyo kwako, Amen 🙏

  • @kolimbaperesi9604
    @kolimbaperesi96042 ай бұрын

    Mwamba umetisha sifa na utukufu kwa Mungu Aliye juu Nikurejeshee nimeikubali Big Endelea kutamia maono naafunuo utukufu kwa aMungu

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    2 ай бұрын

    Amen

  • @deboraelirehemaurio668
    @deboraelirehemaurio6682 ай бұрын

    Mungu atukuzwe juu yenu wapendo mmejua kuukonga moyo ,,,,.wimbo wangu pendwa nimeucheza sanaaa maskion moyoni na kwenye akili haupoi Wala kisinyaa thanks much Mungu wa mbinguni wanarejeshee zaidi

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    2 ай бұрын

    Wow Utukufu kwa Mungu, ubarikiwe sana🙏🙏

  • @deniswambuamusyoki5869
    @deniswambuamusyoki58693 ай бұрын

    Nina amani moyoni kwa kuwa Mungu atanirejeshea yote🙏🙏🙏

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    3 ай бұрын

    Amen🙏🙏

  • @elishacharles3073
    @elishacharles30733 ай бұрын

    Nimerudi tena hi kitu ni chakula kabisa, hongereni watumishi UJUMBE, UJUMBE UJUMBE MZITO, mko vizuri sana dressing code, vocal, inshort NEEMA GOSPEL musiache daima hi huduma ya bwana.

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    3 ай бұрын

    Amen, ubarikiwe sana 🙏

  • @user-hg4vg4ix4h
    @user-hg4vg4ix4hАй бұрын

    Mungu anawatumia vizur hawa wapendwa kutufikishia ujembe azidi kuwabariki zaid na zaid na awape maisha marefu tuzidi kupata vizuri

  • @steverichard8758
    @steverichard87584 күн бұрын

    Cna Cha kucomment zaidi ya kusema Mungu atufikishe Ile nnch ya maziwa na asali ni nzuri sana 🙏🙏

  • @user-rc8sv9dg2l
    @user-rc8sv9dg2l3 ай бұрын

    Yaani vile anasolo mwili wangu unasisimuka kama nipae kwenda mbinguni😊❤mbarikiwe kwa utumishi huu

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    3 ай бұрын

    Amen tunapokea kwa Jina la Yesu🙏

  • @Anthonynjeri9747
    @Anthonynjeri97473 ай бұрын

    Bwana awabariki sana. Ufunuo wa nguvu huu. Kweli Bwana ako katika harakati za kuturejeshea na anatuita tuje kwake. Yumepoteza mengi. Mengi yamelia na nzige. Lakini namshukuru Mungu kwamba ametupa tumaini na hakikisho la urejesho. Bwana azidi kuwainua Neema Gospel Choir

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    3 ай бұрын

    Amen, endelea kubarikiwa 🙏🙏

  • @wuodoketch
    @wuodoketch2 ай бұрын

    We approaching 1M mark we are almost there.... this awesome🤗🤗 🎉🎉🎉.... Wapi Kenyans 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🏾🤗

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    2 ай бұрын

    Amen🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙏

  • @wuodoketch

    @wuodoketch

    Ай бұрын

    It has to come to pass AMEN 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @stelacharles8867
    @stelacharles88672 ай бұрын

    leo tena tunarejeshewa 28/3/2024 glooooooory

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    2 ай бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @batrobananyaro1069
    @batrobananyaro10693 ай бұрын

    MUNGU anarejesha yote yaliyochukuliwa na watesi wangu Afya elimu Amani uchumi wa familia yangu barikiwa sana watumishi wa Mungu

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    3 ай бұрын

    Amen ubarikiwe pia🙏🙏

  • @user-ur8re6cj4p
    @user-ur8re6cj4p3 ай бұрын

    Best song ever,nimeiskiza leo more than 10 times,,,Neema izidi kuwatosha.

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    3 ай бұрын

    Amen 🙏🙏🙏

  • @user-wp3ij3ew6e
    @user-wp3ij3ew6e2 ай бұрын

    Mungu kupitia huu wimbo nakuomba nilejeshee vile wewe upendavyo❤

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    2 ай бұрын

    AMEN na iwe hivyo kwako

  • @thamyrsa6275
    @thamyrsa6275Ай бұрын

    Naomba unirejeshee Amani nyumbani kwangu na Imani ndani yangu ..🙏

  • @ruthmuna1264
    @ruthmuna12643 ай бұрын

    Kwakwel Mungu ana watumishi wake na anajivua kupitia wao. Hakika Mungu awabariki sana kwa kazi nzuri ya Mungu kusaidia kuvusha wengine kwa njia hii

  • @NeemaGospelChoir

    @NeemaGospelChoir

    3 ай бұрын

    Amen utukufu kwa Mungu 🙏🙏

  • @ruthmuna1264

    @ruthmuna1264

    3 ай бұрын

    Aminaa sana

Келесі