AIC Chang'ombe Choir (CVC) - ELOHIM (Official Live Video)
Музыка
#ELOHIM, wimbo wa kwanza katika IBADA YA MOYO WA SHUKRANI iliyofanyika 10 NOV, 2023 katika kanisa la AICT Chang'ombe, Sokota Temeke Dar es salaam.
Ndani ya wimbo huu AIC Chang'ombe Choir tunamshukuru Mungu kwa baraka zake alizotukirimia kwa zaidi ya miaka 35 tangu kuanzishwa kwa kwaya yetu.
Tunaamini wimbo huu utaenda kuwa muongozo wako katika kumshukuru Mungu kwa yale mambo makuu aliyokutendea katika safari ya maisha yako.
LYRICS
Asante ELOHIM
Wewe Ni MUNGU Unaetenda
Asante ELOHIM
Wewe Ni MUNGU
Ni Mungu ( Unaetenda)
Tumetembea na wewe
Toka mwanzo uko pamoja nasi
Hapa Tulipo Ni kwanguvu Zako (Asante ELOHIM)
Ulitangulia Mbele
Bila wewe Tusingeweza
Hapa Tulipo Ni kwanguvu Zako
( Asante ELOHIM)
Mabaya Yaliinuka
Lakini hayakutupata
Ulitutetea, Ulitushindia
( Asante ELOHIM)
Ndio Maana Tunakusifu
Umetenda Makuu Kwetu
Umetutetea,Umetushindia
(Asante ELOHIM)
Tunashukuru Ee Baba (Asante ELOHIM )
Mkono Wako Umetubeba(Asante ELOHIM)
Special Thanks
AICT CHANG'OMBE CHURCH
Mch. Dr Joseph Mayala Mitinje
CREDITS.
Audio production - CVC Music Department
Video production - CVC Media
Audio Mixing & Mastering Engineer - Tamie Bimha
Sound System, Backline, Lights, Stage - Haddypro Campany Limited
Project Manager - Dr.Elidady Msangi Ejazz01 Music Pro
Пікірлер: 1 300
Wenye tumetoka tiktok tukaja kuwatch huku tupite na like
@maureenwambaya6528
5 ай бұрын
Tupo hapa
@queenclement7676
15 күн бұрын
Yean nlivyoisaka hii nyimboo yule dada apewe mauwa yake
Anaengalia zaid ya mara moja mkono juu
@eme_sax1498
6 ай бұрын
Wimbo wa kuombea mkopo Bank huu. 😂
@happymako-mb7is
6 ай бұрын
🙌🙌🙌🙌
@happinesswilliam9045
6 ай бұрын
🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
@annaelias1250
6 ай бұрын
Narudisha rudisha jmn kukodoa mweee,kazi nzuri sanaaa
@rebecastephano9340
6 ай бұрын
🖐️🖐️
Waoooo tulio toka TikTok kuja kuutafuta tujuane❤🎉
@mayalajbubele9696
6 ай бұрын
Tunakoment wapi
@sayunimrocky8445
4 ай бұрын
Tupo
It is a great song. Mwanzoni wimbo unaanza kama siyo mzuri hivi, lakini mwishoni hasa kwenye kiitikio unavuta na kuvuta hisia sana. Shortly mmenigusa sana
Hakika mnaweza kumtoa mtu kwenye zambi kupitia nyimbo zenu mbalikiwe sana❤
@rachelsenni8919
6 ай бұрын
Amen. Jina la BWANA libarikiwe na sifa zimrudie yeye Mungu wetu.
Imagine in the same church there is #Neema gospel and CVC 🔥🔥🔥🔥
At the moment I have a fracture on my right leg but I can't stop dancing to this beautiful song. I know ELOHIM is healing me in Jesus name. Oh God may you fight all my battles. AMEN
@rachelsenni8919
5 ай бұрын
Amen. Jehova Rapha is healing you in Jesus's name
@elizabethyusuph9221
4 ай бұрын
Receive the healing in Jesus name 🙏
Murakoze cane! Imana ibahezagire! Listening from Burundi!
@rachelsenni8919
6 ай бұрын
Be blessed
@victoriarichard8761
6 ай бұрын
Urakoze chane na wewe 🙏
@fabricendayikorere8832
6 ай бұрын
@@victoriarichard8761 Welcome!
@fabricendayikorere8832
6 ай бұрын
@@rachelsenni8919 Amen,you too!
Gusa raised me when I was 7 years old.....I'm 22 nasema asante kwa Mwenyezi mbarikiwe zaidi walezi wangu
@rachelsenni8919
6 ай бұрын
Mungu aendelee kukuinua
@stephenmumo194
6 ай бұрын
@@rachelsenni8919 amina Rachel. Amejibu maombi na huu wimbo wa walezi wangu naomba uwe wako🙏
Mimi na familia yangu tunabarikiwa sana na nyimbo zetu. Mzidi kubarikiwa zaidi na zaidi.
@rachelsenni8919
6 ай бұрын
Amen mtumishi wa BWANA. Sifa, heshima na utukufu kwa BWANA.
Du! Aise aliyepewa maono ya kutunga huu wimbo Mungu amubarikia sana, adi majilani wananishangaa et mtu gani wiki nzima unapiga wimbo mmoja, nabaki natabasamu tu ukuu wa Mungu kwa yale ambayo anatuepusha nayo.
@rachelsenni8919
6 ай бұрын
Amina. Jina la BWANA libarikiwe. Barikiwa mtumishi.
@AICTChangombeChoir_
6 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi
@nestoryntogwa805
6 ай бұрын
Endelea kumtukuza Elohim kwa anayoyatenda kwako.
@user-vg6me9vk7y
6 ай бұрын
Kwakweli majirani waache tu washangae hawajui vyenye MUNGU anatupiganiaga
Hata usiku wa Manane tupo tu 01:03am Asante Elohim!
@user-bz4kf7hr6q
6 ай бұрын
Amen
Jaman waambieni club hakuna issue njoon kwa yesu Kuna Raha km hizi❤❤
Kila mmoja wetu akiri kwa kinywa chake kwamba kama si Bwana tusingefika hapa, kisha Sifa na utukufu zimrudie Yeye.
@rachelsenni8919
6 ай бұрын
Amen. Hakika kama si BWANA tusingekua hapa. Sifa, heshima na utukufu vimrudie BWANA.
@joellumala3206
6 ай бұрын
Hakika ni kwa mkono wa Bwana
Wimbo unaimbika kila wakati unasinzia zako ndotoni upo nao tu. ELOHIM
@Protas_joseph1
6 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@Protas_joseph1
6 ай бұрын
Yaaani Dah
Wimbo mzuri Sana wasisimua moyo wangu🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@victoriansolo3842
6 ай бұрын
Amina
Huu wimbo unaweza kukutoa mahali kukuweka mahal pengine
@rachelsenni8919
6 ай бұрын
Amen. Hakika, tuendelee kuuombea nguvu ya ki Mungu ili watu wake wavushwe walipo kwa utukufu wake tu.
Aic Changombe vijana choir mnanibari tangu Guza,pazia ya hekalu hadi Elohim from Machakos county Kenya
@rachelsenni8919
6 ай бұрын
Amen. Be blessed for following us, we believe you're praying for us
@rachelsenni8919
6 ай бұрын
Glory be to God. Before Gusa kuna Vunja.
Asante sana huu wimbo kwa kweli unaponya majeraha yote asante ELOHIM 🙏
@rachelsenni8919
6 ай бұрын
Amen. Hakika sissy.
@ruthmagulu4896
6 ай бұрын
Ameen my Dada
mnavyoimba raha sana na mnanifanya niikumbuke ukombozi kkkt msasani .,nimebarikiwa na huduma yenu watumishi wa MUNGU ,MUNGU atukuzwe
@ezekielmasaga258
6 ай бұрын
Amen mtumishi
@rachelsenni8919
6 ай бұрын
Amen
@mayalajbubele9696
6 ай бұрын
Amen
@joellumala3206
6 ай бұрын
Amen
Congrats alot servants of Jesus Christ..#ELOHIM
@rachelsenni8919
6 ай бұрын
Asanteni sana watumishi wenzetu shambani mwa BWANA
Huu wimbo ni kama wameniimbia mimi na wanangu, yani kila nikisikiliza najikuta namwaga machozi kwa shukrani zangu kwa Mungu. Mkono wa Mungu umetubeba
@AICTChangombeChoir_
2 ай бұрын
Amen 🙏🏾 Utukufu kwa Mungu
My favourite choir CVC.I saw the short clip of this song as you were practicing it. Be blessed brethren. Always your biggest supporter . I'm blessed.Mabaya yaliinuka lakini hayakutupa,ulitutetea,ulitushindia Asante Elohim wewe ni Mungu unayetenda❤. 🇺🇸 🇺🇸
@mayalajbubele9696
6 ай бұрын
Now you have it all
@rachelsenni8919
6 ай бұрын
Amen. Continue praying for us.
The best song ever it can bring heaven down weee
@rachelsenni8919
6 ай бұрын
Amen. Glory be to God.
Nasema hivi gonga like na subscribe kabisaa kama umeipenda ELOHIM❤❤❤❤❤
Hakika atuteteaye ni MUNGU tu, Mengi mabaya yanainuka kwetu lakini MUNGU anatushindia
Ogopa ni hatari MUNGU wangu awabariki sanaaa hii kitu ya moto sanaaaa ❤ kwenye mkesha lazma niipige hii❤
AICT-vijana choir chang'ombe,tangu enzi za Gusa mpaka leo Mungu anawatumia kuhudumu na kufanya kazi yake kwa njia ya uimbaji mnaendelea kuwa choir kwangu mm kwa East Africa mnaongoza.Elohim amekuja vzr sana ila hatamfikia"Nafsi yangu imechoka sana."
#Mimi huu wimbo ndo chakula changu chai ya asubuhi,'#Chakula cha mchana,na #Usiku yani hupati njaaa kabisa maana ni #Mungu Ndo anayetenda kwakila Jambo Nilazima Umshukuru ELOHIM KWAKUSEMA ASANTE.
@mwanandohele
6 ай бұрын
A BIG AMEN
@rachelsenni8919
6 ай бұрын
Amen
Asante ELOHIM Huu ni wimbo Bora wa kufungia Mwaka wimbo umeimbwa haushoshi kusiliza jamani miziki imepigwa aisee MUNGU aendelee kuwabariki sanaa yani nyie nawapenda hadi naumwa ❤❤🔥🔥
@rachelsenni8919
6 ай бұрын
Barikiwa mtumishi, tuombee
Mabaya yaliinuka lkn hayakunipata. aiseeeee nyie watumishi neema ya Mungu isiwapungukie jamani
@EmmanuelyThomas
6 ай бұрын
Amen
Hakika Wewe Baba Ni Elohim, Umetushika mkono❤
The repeat on the chorus!!!if you know what God has done in your life,nishukurani tu
Winbo umejaa upako wa Mungu na kibali, mbarikiwe sana watumishi wa Mungu
Libarikiwe jina la Bwana Yesu. Aliyetunga huu wimbo, Md nawasalimiaa katika jina la Bwana Yesu, mmebarikiwa.
@rachelsenni8919
6 ай бұрын
Amen. Sifa na utukufu kwa BWANA
@joseymhina5025
6 ай бұрын
@@rachelsenni8919 kuna powefull message.
Sijui kwanini natokwa na machozi😢 asante ELOHIM
@joellumala3206
6 ай бұрын
Elohim ni Bwana na Anatenda
Nyimbo kali sana imenitoa TikTok fasta kuifata umu jamaa hawajawai kosea 🥰🥰🙋♀️💞
@EmmanuelyThomas
6 ай бұрын
Amen🙏
Hakika ni Elohim CVC Mungu awabariki huduma izidi kusomga mbele.. hii imeenda
The most powerful song.... Yaani hii nyimbo hata ukija kusikiliza baada ya miaka 10 bado itakuwa na upako wenye nguvu ❤❤❤❤🎉🎉🎉 ASANTE ELOHIM 🙏
HII NI COMMENT YANGU YA PILI.....ILA AISEE AISEE HUU WIMBO ULIYEANDIKA MUNGU WA MBINGUNI AKUINUE ZAIDI YA HAPO NASIKIA NGUVU YA MUNGU KWA HARI MPYA SANA NDANI YANGU HUSUSANI KATIKA KIPINDI HIKI... MELODY YA WIMBO TU INANIPA UAMSHO NA NGUVU YA KUPATA TIMAINI JIPYA DHIDI YA KUMTEGEA MUNGU YAANI CVC MMEJUA KUNIPA MLO KAMILI...❤❤❤❤
@AICTChangombeChoir_
3 ай бұрын
Amen 🙏🏾 Ubarikiwe sana
Nikikunbuka january ilipo anza hata leo decenber Mungu ametusaidia Asante Elohim
Heri ya mwaka mpya ndugu zangu 🎉, uwe wenye Baraka tele kwa Jina La Yesu Kristo.,#Elohim😊
@rachelsenni8919
6 ай бұрын
Amen. Na iwe kwako.
Iam in love with the chorus of this blessed song oohh..be blessed🙏🙏
@rachelsenni8919
5 ай бұрын
Amen. Glory and honour to God
Nikitazama nilikopita mwaka jana!!! Hakika ELOHIM anastahili kupwewa shukrani kwa wema wake kwetu.
@EmmanuelyThomas
6 ай бұрын
Amen🙏
@Protas_joseph1
6 ай бұрын
Amen
@user-bz4kf7hr6q
6 ай бұрын
Amina mama
Asante ELOHIM, Wimbo wa kufunga mwaka na kufungua mwaka
Wimbo wangu wa muda wote,namshukuru Mungu kila mara nahaya ndiyo maneno yangu
Last day of 2023 and I'm jumping into the new year with this song 🙏🏿
@elizabethyusuph9221
6 ай бұрын
Hallelujah
@rachelsenni8919
6 ай бұрын
Amen
Yaani nikipanda daladala nikafika salama,bado nasema,"ASANTE ELOHIM,WEWE NI MUNGU UNAYE TENDA".
@rachelsenni8919
6 ай бұрын
Amen
@Protas_joseph1
6 ай бұрын
Amen
❤❤❤❤❤❤waoooooooh hii ndo maan ya kwaya kubwaaa 🎉🎉🎉hakiika mmeonesha ukubwa wenu Mungu awabarik sana .......kazi nzuri sana aiseee nakosa maneno ya kusema ....ila Mungu awabariki sana
@rachelsenni8919
6 ай бұрын
Amen. Endelea kutuombea.
I really love the song even I don't understand the language. ELOHIM.
@rachelsenni8919
6 ай бұрын
Amen. Just check and follow the words passing as you play the video, you may get something.
What a chorus 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Wimho wa Mwaka Hongereni sana such a sweet song
@rachelsenni8919
5 ай бұрын
Amen. Glory be to God.
I don’t understand the language but the spirit of lord make it simple for me to understand and love the song , may the lord increase you more n more
@eliamahuna832
4 ай бұрын
that is how holy spirit ministered to his people even when you don't understand the language
@rachelsenni8919
4 ай бұрын
Amen. It is a thanks giving song. We're thankful to God for being with us from the beginning to where we are now. His hand protected us against all Evils
Wimbo mzuri wa kumtukuza Mungu,kwa kutulinda kwa yote yaliyopita nyuma. Mungu atukuzwe.
Wimbo umeanza kua mzuri dak ya tatu. Huko mwanzoni nadhani wale wataalam wa instruments watakua wameelewa Nini mlitaka kuonesha. Sisi wengine tumebarikiwa huku mwishoni. Ahsanteni sana, Mbarikiwe. Nasubiri video ya MSIKILIZE ROHO. Natanguliza shukrani
Mmejitahid kiac chake ... nasubili moyo jamani ule wimbooo dahh😢😢
@rachelsenni8919
6 ай бұрын
Kazi ni ya Mungu nasi katika hali zote tunampa sifa, heshima na utukufu yeye tu.
@jacksonkalaki2402
6 ай бұрын
Moyo ni hatar lait ungekuwwpo kwenye live recording ungesimulia
Wimbo mzito, ujumbe mzito, daraja kwa mhitaji. Hongera nyingi kwenu @Aic_Chang'ombe
Nawapenda sana.karibuni Singida mtupe Siri ya mafanikio yenu
@rachelsenni8919
6 ай бұрын
Tuombeane
Mabaya yaliinuka lakini ulitutetea umekuwa nasi Mungu 2023 endelea kuwa nasi tena Bwana 2024🙏, mbarikiwe❤
Yaaani hiyi nyimbo nimeitafta san sahv nimeipata na inavyo anza kam sio yenyew kumbe ukiisikiliz mwisho ina maona sio poa mungu azidi kuwapa kipaj cha kuimba zaid ya hapo mlipo fikia
✋I have listened to the song more like 1000times
@rachelsenni8919
5 ай бұрын
Be blessed, let God be glorified
@elizabethyusuph9221
4 ай бұрын
God bless you Liz
Nimetazama mala kumi.nawapenda sana cvc toka niko kijana mdogo.gusa na nyimbo zingine
@MagrethMagulu-pj3cm
6 ай бұрын
Asante mtumishi wa Mungu,endelea kubarikiwa tu❤
@EmmanuelyThomas
6 ай бұрын
Barikiwa sana Mtumishi🙏
@josephwayesu338
6 ай бұрын
Amen amen tubarikiwe sote
Asante ELOHIM
Siku ile ya huu wimbo nilibubujika mnoo nikishuhudia yale Mungu alifanya kwangu
@susankasembe6270
5 ай бұрын
🙏🙏,ni vyema na sifa kwake Mungu kwakuwa ujumbe wa wimbo huu umechukua nafasi ya kukukumbusha na kutoa shukurani kwa Mungu moyoni mwako. barikiwa sana
ELOHIM Ni siku nyingine tena Yesu ni mwema Kwetu.
@EmmanuelyThomas
6 ай бұрын
Sifa na utukufu ni kwa Bwana 🙏
Asee yaan tunaiangalia Mara mbili mbili mungu azidi kuwatumia sawasawa na mapenzi yake 🙏🏿🙌🔥🔥❤️
I love seeing real heart of worship ,this is priceless . I am smiling ❤❤. Love all the way from Zimbabwe 🇿🇼
@rachelsenni8919
5 ай бұрын
Amen. Glory be to God.
Asante Elohim❤
Nawapenda Mungu azidi kuwatumia💞💯🙏
@dicksonsenni9109
6 ай бұрын
Amina Yesu azidi kuinuliwa
Elohim haichoshi kusikiliza jamani,wimbo mzuri sana.
Production Niko safi sana nimependa stage arrangements nimependa digital stage plus lights set ups lan wange rotate light nyeupe kuwa main light ikirotare more ili kupunguza darkness kwa mbali,nyimbo nzuri mtunzi kafanya kweli.dressing safi,color za nguo safi ila nilitamani wide shots zingepungua then medium shots zingeongezwa,ningetamani medium shots za watoto hapo mbele kuimpress watoto wetu kupenda kuimba pia. otherwise 90% excellent
@sulemanmuyomba3524
6 ай бұрын
Kazi imebamba hatari
@AICTChangombeChoir_
6 ай бұрын
Shukran @Charles
@rachelsenni8919
6 ай бұрын
Amen
@nestoryntogwa805
3 ай бұрын
Asante kwa ushauri mkuu,umechukuliwa
Tunaomba Uendelee Kutembea nasi Ee Bwana. Asante Elohimu
@rachelsenni8919
6 ай бұрын
Amen
Hawa watu wa Mungu wamebarikiwa, hongera mtunzi, mwalimu, wapiga vyombo, music$sound! Waimbaji, utukufu kwa Mungu
@mayalajames370
5 ай бұрын
Hongera sana kwako kwa kuwa sehemu ya baraka hii
Maana kwanza ni wengi halafu pia Wana sare nzuri sana na nyingi sasa wanafanyaje dah
Ahsante Elohim, Mungu utusaidiae
ELOHIM inaendelea ndani ya kikao
Imekuwa national anthem kwa masikio yangu🎉
@glorymyega
6 ай бұрын
Hakika kama ilivyokuwa kwenye usiku wa manane
@rachelsenni8919
6 ай бұрын
Amen. Glory be to God.
Mabaya yaliinuka lkn Mungu wa mbinguni alitutetea 🙌🙌
@rachelsenni8919
6 ай бұрын
Amen
I have loved this choir over 2 decades nakumbuka tukicheza nyimbo zao kabisa my mom had those Caset ....Thank you Eloim
@AICTChangombeChoir_
6 ай бұрын
Amen 🙏🏾
@AICTChangombeChoir_
6 ай бұрын
We love you too
@joellumala3206
6 ай бұрын
Amen, what a testimony
@rachelsenni8919
6 ай бұрын
Amen. Glory be to God. Be blessed for spreading the word of God with us by listening and sharing with your loved ones
I keep coming back .....totally blessed
@rachelsenni8919
5 ай бұрын
Amen. Glory be to God
Hakika Mungu ni mwema wakati wote hapa nilipo ni kwa nguvu zako❤❤
Best song..song of the year! Mungu awabariki na awatetee..
@dicksonsenni9109
6 ай бұрын
Amina. Yesu ni Mwema
Elohim, Mkono wako umetubeba
Wimbo mzuri wa kufungua 2024 🎉 Shukrani kwa Mungu kwa kuwa nasi kila wakati, hallelujah
Aki wimbo unabariki Sana, hongereni na Mungu awabariki sana
@rachelsenni8919
6 ай бұрын
Amen mtumishi, nanyi mbarikiwe kwa kutuombea. We value your support.
Hii nyimbo inaweza ikakufanya ustoe sadaka ya shukran ukiamin yenyew tupu inatoshaaa, Ni hatariiiiiii ogopaaaaaa😂😂🙌🙌🙌
@boazphillip4019
6 ай бұрын
Kabsa😂😂😂
Wimbo mzuri nimeuangalia zaid ya mara 3🎉🎉🎉🎉😊
@SulemaniKasenga
6 ай бұрын
Endelea mpaka mara 10000
Utukufu KWA Bwana kazi nzur sanaaaa
@rachelsenni8919
6 ай бұрын
Amen
Kazii nzuri Sanaa Ndugu zangu Miziki imeliaa mwalim wenu Elisher Apewe maua yake🎉🎉
Tunaendelea kutambua matendo makuu ya Mungu katika Maisha yetu
@rachelsenni8919
6 ай бұрын
Amen. Hakika.
Like nyingi Mungu ameishakushindia
Nahisi kutokwa na machozi, kweli hapa nilipo ni kwa nguvu za mungu!!!! Ahsante ELOHIM
Asante ellohim
@rachelsenni8919
6 ай бұрын
Amen
Tangu enzi za gusa vunja na nyingine nyingi hampoi barikiweni sana
@rachelsenni8919
5 ай бұрын
Sifa kwa BWANA
@rachelsenni8919
5 ай бұрын
Amen
Asante Elohim nimetoka kwenda kwenye shughuli zangu nakurudi salama
Asant elohim mungu awabariki san wapendwa
@rachelsenni8919
6 ай бұрын
Amen. Sifa na utukufu kwa BWANA
Mungu azidi kuwainua zaidi watumishi❤
@rachelsenni8919
6 ай бұрын
Amen. Sifa zirudi kwa Mungu wetu
nimebarikiwa sana na huu wimbo,,,asanteni sana na Mungu awabariki
@rachelsenni8919
5 ай бұрын
Amen
😢😢😢😢 asante MUNGU,MACHOZI YANITOKA MIMI,ASANTE MUNGU KWA NILIPO
@victoriansolo3842
5 ай бұрын
Amina ubarikiww
@mayalajames370
5 ай бұрын
Barikiwa zaidi na zaidi mtu wa Mungu
@EverlynKenneth
5 ай бұрын
😢😢 AMEEEN ,kwakweli bila yeye tusingeweza ni kwa nguvuzakeee, ametutetea😢😢😢
Yesu awainue zaidi pia viongozi nawalimu wanaosimamia kwaya hii mbingu ziwakumbuke sn kupitia nyinyi kunavitu najifunza sn
@rachelsenni8919
4 ай бұрын
Amen. Glory be to God