Mbarikiwa amuaga balozi Idi Siwa. Kwa heri. Si ushindi kwangu ila ni vema ungekuwa na rekodi ya wema
Edited by VideoGuru:videoguru.page.link/Best
Жүктеу.....
Пікірлер: 20
@mbelechimakobola883521 күн бұрын
Hapa injili tu na injili iendelee Amina
@johnjulius661922 күн бұрын
Huu nao ni ufunuo kutoka kwa Mungu. Ubarikiwe mtumishi wa Mungu kwa kazi njema iliyotukuka mbele ya Mungu.
@frankbutati834321 күн бұрын
Sahihi kabsaa, job ndugai alianza kuweweseka na kuongea hovyo baada ya mtu aliemtumainia kutoweka, Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu, naamini watasikia
@obedimunguachiza843422 күн бұрын
Mbarikiwa Mwakipesile Mungu anakwwnda kukufungulia mlango wakuonana na mweshimiwa Rahisi SAMIA kuisaidia nchi hii ya Tanzania 🇹🇿 in Jesus Christ name i pray amen 🙏
@user-xv5kz7zy7r22 күн бұрын
Mchungaji umenena maneno mazito yaliyo jaa ukweli na nguvu ya mungu umenibariki kweli
@GloriaCharles-bu4fk8 күн бұрын
Ni kweli baba ninakuelewa saaana
@paschalfausitine710822 күн бұрын
Tuchoche maombi mungu atajibu, tyu, much lovely 😍 ,wokovu,mbarikiwa,❤
@josephmwakatika909122 күн бұрын
Mungu akubariki Mda wa paulo na silah Umesha timia kwako yunasubilia mda
@natressvayinga51821 күн бұрын
Kwakuwa Dunia haiwezi kukuelewa mapema, basi hutatiwa moyo na wengi. Hivyo Mtegemee MUNGU pekee akupaye nguvu ya ndani kuendelea Kutetea kusudi la MUNGU Kwa Taifa letu na Jamii ya wenye Nia ya Kumwabudu MUNGU. Mimi kama Binadamu, naumizwaga sana Kwa mapito Yako, lakini Aliyeweka hicho ndani Yako, ajua jinsi ya kukilinda
@jofreyulaya984222 күн бұрын
Background sound ni kubwa saaana......... Engineer Anorld shughulikiaa kama inawezekana
@user-ev2xf1tv3w22 күн бұрын
Hakika sauti ya Mungu iko ndan yako
@raphaelmramba457319 күн бұрын
Editor Punguza Rangi kwenye namba za simu hapo Tumia Rangi Moja kwani hizo namba hazionekani , Tunaona Vivuli vya Rangi Tu.
@DicksonJaphet-fq7ov22 күн бұрын
MUNGU awatie nguvu watumishi 🎉
@JestinaMdemu22 күн бұрын
Mungu akutunze kwa kuongea hayo.
@omuze129022 күн бұрын
Tunaomba background sound kama ni lazima kuiweka basi iwe ya sauti ya chini sana. Sasa imagine hiyo sauti ya wimbo anapoongea huyo mchungaji anayemtetea mch. Mbarikiwa inafikisha ujumbe gani? Tusikilize wimbo au tumsikilize huyo mchungaji? Tunashindwa kuzingatia sauti ya wimbo na ujumbe wa mchungaji.
@user-qm2ve7tx3s22 күн бұрын
Namshukulu mngu kwakuwa wengi wameanza kuona kilichomo ndani yaloho ya mbalikiwa d mwakipesile Asantemngu endelea kusambaza hio loho kwa watanzania kama si wote basi wengi tuwe kama mbalikiwa ameen
@thelonewolf442922 күн бұрын
Tafadhali uyu mtumishi wa Mungu anaitwa nani mnambien nimfwatilie . Ameongea ukweli mtupu
Пікірлер: 20
Hapa injili tu na injili iendelee Amina
Huu nao ni ufunuo kutoka kwa Mungu. Ubarikiwe mtumishi wa Mungu kwa kazi njema iliyotukuka mbele ya Mungu.
Sahihi kabsaa, job ndugai alianza kuweweseka na kuongea hovyo baada ya mtu aliemtumainia kutoweka, Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu, naamini watasikia
Mbarikiwa Mwakipesile Mungu anakwwnda kukufungulia mlango wakuonana na mweshimiwa Rahisi SAMIA kuisaidia nchi hii ya Tanzania 🇹🇿 in Jesus Christ name i pray amen 🙏
Mchungaji umenena maneno mazito yaliyo jaa ukweli na nguvu ya mungu umenibariki kweli
Ni kweli baba ninakuelewa saaana
Tuchoche maombi mungu atajibu, tyu, much lovely 😍 ,wokovu,mbarikiwa,❤
Mungu akubariki Mda wa paulo na silah Umesha timia kwako yunasubilia mda
Kwakuwa Dunia haiwezi kukuelewa mapema, basi hutatiwa moyo na wengi. Hivyo Mtegemee MUNGU pekee akupaye nguvu ya ndani kuendelea Kutetea kusudi la MUNGU Kwa Taifa letu na Jamii ya wenye Nia ya Kumwabudu MUNGU. Mimi kama Binadamu, naumizwaga sana Kwa mapito Yako, lakini Aliyeweka hicho ndani Yako, ajua jinsi ya kukilinda
Background sound ni kubwa saaana......... Engineer Anorld shughulikiaa kama inawezekana
Hakika sauti ya Mungu iko ndan yako
Editor Punguza Rangi kwenye namba za simu hapo Tumia Rangi Moja kwani hizo namba hazionekani , Tunaona Vivuli vya Rangi Tu.
MUNGU awatie nguvu watumishi 🎉
Mungu akutunze kwa kuongea hayo.
Tunaomba background sound kama ni lazima kuiweka basi iwe ya sauti ya chini sana. Sasa imagine hiyo sauti ya wimbo anapoongea huyo mchungaji anayemtetea mch. Mbarikiwa inafikisha ujumbe gani? Tusikilize wimbo au tumsikilize huyo mchungaji? Tunashindwa kuzingatia sauti ya wimbo na ujumbe wa mchungaji.
Namshukulu mngu kwakuwa wengi wameanza kuona kilichomo ndani yaloho ya mbalikiwa d mwakipesile Asantemngu endelea kusambaza hio loho kwa watanzania kama si wote basi wengi tuwe kama mbalikiwa ameen
Tafadhali uyu mtumishi wa Mungu anaitwa nani mnambien nimfwatilie . Ameongea ukweli mtupu
@Mbarikiwa_Mwakipesile
22 күн бұрын
Uzima media TV
@user-cs3ui5or6t
15 күн бұрын
Mbarkiwa mwakipesile
@user-cs3ui5or6t
15 күн бұрын
Mungu akutunze sana sana