WAMELAANIWA wafuasi wa Mwakasege, Mwamposa, kuhani Musa, Abiud Mbarikiwa nk msipofanya yote..
Жүктеу.....
Пікірлер: 208
@adelisupendo241720 күн бұрын
Mwalimu Mwakasege Mwalimu wangu amenivusha ba kubwa sana nampenda
@K-go1qj
13 күн бұрын
Zichunguzeni kila roho
@CRISENSIASHOKI22 күн бұрын
Wee mtumishi nakupenda sana,, we umetumwa na MUNGU hakika,, zidi kuifanya kazi ya MUNGU kama ulivyoagizwa...
@janesuma-is4wc
17 күн бұрын
mungu yupi kamtuma
@ElisonguoShayo-hb2gs21 күн бұрын
Review your calling mtumishi. Seek again the guidance of the Holy Spirit. Naona unaweza jiona sawa unavyowashambulia wenzake at the end of the day ukajikuta wewe ndio iko wrong.
@SaimonmsimbegeMwakajonga-wt6rr22 күн бұрын
Kamanda kiukweli MUNGU anajua kuwa unasema kweli mtu ambaye ajawai kuingia huko ndani atakuksoa tu bola wanyamaze ipo siku tu tutakuwa mbele yahukum ya Mzee wasiku
@Samwelianaseti17 күн бұрын
Mwanzo mbarikiwa nilikuwa nakukubari lakini kwa sasa nahanza kukutiria mashaka kwa sababu unatafuta kutrendi kwa kuwasema wenzako vibaya sehem nyingine uko sawa lakini sehem nyingine unakosea
@user-wi8og3sv4j22 күн бұрын
Paulo mtu wa mungu alimchomoa simon yule mchawi miujoza yake yote ya kichawi wewe unasubiri nini acha maneno piga dua kama paulo mchungaji mwenye mikono yakichawi ing'okee!
@user-wf5tx3cw8e22 күн бұрын
Be blessed father Kenya tunakupenda sana baba
@ezekielmkinga777316 күн бұрын
Hakika tabia zao zinaonyesha kwamba wanamwabudu mungu gani maana ni wezi waongo wazinzi Wana roho mbaya wachafu Wana husuda wanafiki nk
@SmilingApron-zw6ne22 күн бұрын
WOOOOOU, BARIKIWA SANA MPENDWA WETU SANA MBARIKIWA NA UMESHABARIKIWA KAAATTIKA JIMA. KUBWA LAKE YESU KRISTO.
@Apostledanielsmith254322 күн бұрын
Upo kweli baba mimi nipo nyuma yako hapa Kenya
@wilfredyhumphrey9186 күн бұрын
Mwalimu mwakasege nakupenda MUNGU akawa adui wa adui zako
@davidkehogo323020 күн бұрын
Ole wako wewe ujionaye upo salama na huku mguu wako ungali ktk shimo la kaburi 😢 wamelaaniwa wafuasi wako na wataambukizwa roho ya umbea na Masengenyo. Ndg fundisha Neno la Mungu swala la Uhariri Mungu hajakupa. Siyo kazi yako
@berthamwaitenda720716 күн бұрын
Ifike wakati watumishi wa Mungu alie hai muhubiri ufalme wa Mungu ndilo agizo alotupa Yesu alipokuwa anarudi kwa baba ake mathayo 28:19,20.....muda ni mchache shetani anacheza hapo ili watu wengi wasipate injili ya ufalme wa Mungu na kuacha dhambi ila tuanze kuona watumishi wakijibishana wakirushiana maneno wapendwa waloitwa na BWANA KUTUMIKA MUDA NI MCHACHE TUKAZANE KUHUBIRI UFALME WA MBINGUNI kila mmoja atavuna alichopanda shetani halali anaona muda ni mchache ila watumishi kutwa kujibishana Mungu atusaidie
@Mbarikiwa_Mwakipesile
16 күн бұрын
Wazungu waliwaweza. Wamewaambia ukimwambia mtu awahurumie Waafrika wenzake sio injili ya ufalme wa Mungu ila mkisubiri hadithi za mateso walipoteswa wao ndio injili. Pumbavu
@user-wi8og3sv4j22 күн бұрын
Gidio alivunja madhahu mbaya na kuziharibu hakuwaletea watu maneno yasikuwa na matokeo
@danielmakelemo239514 күн бұрын
Mmebarikiiwa amepewa huduma hiyo ya kuwakemea wajiitao watumishi wa Mungu na kumbe ni waongo.hii huduma ngumu sana na siku zote huwa Haina waumini wengi ila inatengeneza watu watakao simama Kwa ujasiri.kumbuka kwenye dhiki kuu watakao simama kama Mashaidi wa nyakati hyo watakuwa Nabii Eliya na Henock ni wachache lakini watasaidia kuokolewa wengi Kwa damu Yao na mateso.mbarikiwa simama na wito wako Mungu yupo na wewe
@ivonaevarista465420 күн бұрын
Ubarikiwe Sana na BWANA YESU KRISTO
@mashakalupindo13 күн бұрын
Mtumishi iogope hukumu ya kulaani wenzio usije ukahukumiwa maana mahubili Yako ni kuhukumu wengine tu.
@user-ny1tf2gg8g22 күн бұрын
MUNGU nuunganishe kiroho na huyu Mtumishi wako Mbarikiwa mwakipesile. Natamani sana ,sana.
@festinamwakipale391922 күн бұрын
Viache vikuwe pamoja anakuja mwenye shamba mtumishi.awahurumii watu waache dhambi anasema kama mzinzi.poa alete sadaka tuko mwishoni
@rozijackson446716 күн бұрын
Ajidhaniaye amesimama na aangalie asije anguka Fanya wewe basi waige kutoka kwako ,kazi majungu tu ndo yamejaaa
@aeshraykidumars3668
2 күн бұрын
😅😅😅 umenichekesh sana aisee nimajung kweli yanayo onekana apa kwawezake
@PascalMbwilo-vh5rn14 күн бұрын
Duuuh 🙌 mtumishi wa Mungu,,,🔥 Lakini najarbu kuwaza kama wa shetani wanafanya makubwa hv ad watu wanawafuata and we know exactly YESU ni mkubwa kuliko shetani,, Kwa nn watumishi wake unaowaona wa ukwel hawafany kama hao unaona wa shetani? Je tuseme Mungu hana nguvu kama shetani? Au je nguvu za Mungu zna masharti magumu kuliko za shetan au je Mungu hajawapa watumishi wake nguvu nyingi kawapa kidogo?? Najarbu kuwaza kama Mungu amekupa message uambie kanisa lake kuhusu kwenda mbinguni tu,,? Je Mungu hana meseji za how to become successful? Hana meseji mpya ya mambo yanayoendelea duniani ambazo manabii(unaowaona washetan) wanatuambia na vtu vnatokea,,au Mungu wetu has no time to those things? What he focus is twende mbinguni tu? Vp kuhusu maisha yetu hapa duniani kiuchumi kiafya kjamii kisiasa?? @kikosikazichainjili me ukinipa jbu hapa ntaanz kukuelewa maana naona umefocuss in one well of salvation,,,leo IPM kesho mwamposa kesho yake shusho kesho tena kiboko ya wachawi now umeenda mbali zaidi mpaka mwakasege🙌😁 Ukiiona hii coment naomba uweke vdeo kuijibu nielewe GOD bless you
@user-fy9uk4oh7x17 күн бұрын
Laana haipo juu ya Kila aliye Mwamini Yesu Kristo maana alifanyika laaana Ili sisi tuwe baraka Yesu ,upendo wa Mungu sio kumlaani mtu baali ni kumbariki
@Hapomwanzo21 күн бұрын
Hii laana kwa kweli inatutafuna wengi, Mungu tu atusaidie.
@EliaMhile18 күн бұрын
Mwakipesile kuna wakati unaongea point lakini kuna wakati unaongea pumba.... Haya mbarikiwa pambana na injili yako ya laana
@IbuGang13 күн бұрын
Jamani mbarikiwa anaishi kwa kukosoa wezake roho mtakatifu hayuko hivyo huyu aliyenaye ni mtakashari pole sana
@jacquelineswai60216 күн бұрын
Hawa acheni kuwakashifu watumishi wa Mungu kwa sababu ya nguvu zenu za giza
@ebenezermachange-zp4es21 күн бұрын
Ukiona mtumishi unawatakia watumishi wenzako walaaniwe..umepotea katika wito wako roho ya shetani inafanya kazi ndani yako ole wako
@shukranimpomwa7460
21 күн бұрын
Hiyo ni Biblia imesomwa jamani!!! Au kwasababu aliyesoma Ni mtu mnaemchukia? Kumbukumbu la Torati 27:26 Na alaaniwe asiyeyaweka imara maneno ya torati hii kwa kuyafanya. Na watu wote waseme, Amina.
@caljersilverhabor464
21 күн бұрын
Huskii amesoma bibilia?
@user-wi8og3sv4j22 күн бұрын
Mbarikiwa mh naona ngoma inalia sana hii inaelekea kupasuka
@user-eu6ql9zl7n6 күн бұрын
Huyu tutaotesha vijit tuone huduma ya nan itachipua
@isaacsanga970721 күн бұрын
Ni kweli wanaomchukia mtumishi wa Mungu mbarikiwa wanaweza wakajikuta wanaichukia na biblia maana hata akinukuu biblia watachukia kwa wajitathimini maana wanaweza kulaaniwa katika hilo.
@catherinechanda963022 күн бұрын
Amen
@sirpaza851322 күн бұрын
Amelaaniwa mfuasi wa yeyote yule atendaye dhambi
@samwelingasa163818 күн бұрын
Unamsema sana Mwakasege anahubiri mafundisho ya Mwakasege anahubiri mafundisho ya kishetani thibitisha wapi na Abiudi unasema ni tapeli toa video kama ww ni mtumishi wa Mungu kweli acha kupotosha watu
@GladTolage19 күн бұрын
Ubarikiwe kwa huu wimbo
@anjelinamwinga21 күн бұрын
Nakupenda baba mno yesu akukumbuke
@dolvinshao695622 күн бұрын
Mimi sidhani kama ni wivu ni mahubiri ya kumpeleka mtu mbinguni
@Yesuninuru15 күн бұрын
Wewe Unaishi kwa kuwakosoa Watumishi wa Mungu inaonekana ww una Matatizo Sana
@RemiKim-yt5cl16 күн бұрын
SASA MWAKASEGE AMFNYJE JMNI ..OLE WAKO AMNYOOSHEAE MTUMISHI WA BWANA KIDOLEE DUNIA IMEKWISHAAA😢😢😢😢😢😢
@EliaMhile
15 күн бұрын
@@RemiKim-yt5cl Huyu amekuwa mpuuzi tu, badala ya kuhuburi injili ameamua kuchafua watumishi tu bila sababu za msingi.
@ExcitedFerryBoat-fc9fu14 күн бұрын
Kukemea ubaya si dhambi kuyafichua maovu ili watu wafumbuke akili zao si dhambi upo sahii kabsa watu wanahubiri kinyume na mpango wa mungu wanamuhubiri kristo kwa hila ubarkiwe mtu wa mungu unatufundsha kuijua biblia na namna wanavyoipotoxha jamii
@jeckobass750222 күн бұрын
Mzeee KZread imeanza kumlipa nia kubwa nikuingiza ela KZread ndio maana vichwa vyaa habari vimekaa kichokozi😂😂😂😂😂
@shukranimpomwa7460
21 күн бұрын
Sio kichokozi, hapo iko hivyo vivyo; ameambiwa yeyote asiye yaweka imala Maneno haya; 👉👉Kumbukumbu la Torati 27:26 Na alaaniwe asiyeyaweka imara maneno ya torati hii kwa kuyafanya. Na watu wote waseme, Amina.
@joycefrances45163 күн бұрын
umelaaniwa wewe na kizazi chako cha ushoga,umebanduliwa nyuma na mateja,huna jipya,unatafuta kutukana mpaka waumini usiowajua,umebanduliwa tulia
@EsterJohn-yy8nh4 күн бұрын
Usihukumu usije kuhukumiwa
@itsyourboy140722 күн бұрын
Picha inaanza Single ina dakika 12:46 nomaaa sanaa hapa Khadija kopa akasome 🎉
@user-dp6ze5gm4u14 күн бұрын
Unapata shida wapi mtumishi wa MUNGU? Yote yametabiriwa lazima yawepo.. kazi yangu na Yako ni kuhubiri neno la uzima liokoe wale waliokusudiwa kwenye huduma yako sio kushambulia wengine.
@isayamwashibanda581922 күн бұрын
❤❤❤
@user-nt4rt4hz1h20 күн бұрын
Amen amen.❤❤
@user-re8fu5lp9f22 күн бұрын
Baba tupe makosa ya mwakasege kosa lake nini jamaniii mbona tunamwelewa mahubiri yake
@Mbarikiwa_Mwakipesile
21 күн бұрын
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu? Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia. Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho. Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu? Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
@asamwklkw
21 күн бұрын
Elimu ya darasani na busara vina umuhimu mkubwa,, kwa kueleweka zaidi c ungesema wakwako pia ambao hawafuati yte biblia imeagiza wamelaaniwa pia
@Mbarikiwa_Mwakipesile
21 күн бұрын
@@asamwklkw rudia kusoma title utaona wafuasi wa Abiud, Mbarikiwa nk. Hiyo haijaandikwa leo.
@asamwklkw
15 күн бұрын
Ata Biblia haijaandikwa leo
@msomajuma881113 күн бұрын
Kukosoa manabii na mitume mamilionea Uwe makini
@WilliamSomela22 күн бұрын
MCHUNGAJI NATAMANI NIJIFUNZE MENGI ZAIDI NAOMBA NISAIDIE NAMNA YA KUFIKA KANISANI KWAKO NIPO DAR ES SALAAM
@salvatorymushi203822 күн бұрын
Sasa mtumish ... Kichwa habari hakiko sawa kabsa ..... Kila mtu anadhambi ...hata nyie sio watakatifu ,,,,Neno la MUNGU linasema tukisema kwamba hatuna dhambi twajidanganya ,,,,kikubwa wewe hubiri kweli ,,,kemea,karipia ,onya ,ila sio kwa kuandika vichwa vya habari vya kijinga namna hiyo ... Yaaan unatupa ukakasi kweli ,,,,,ebu kemea dhambi na sio kuwataja watumishi wa MUNGU....wewe kila mtu kwako ni mbaya, Yup ni mwema kwako au wewe ndo mtakatifu peke Yako ?? Angalia bna usiwalishe kondoo wako sumu ...naona unaandaa kizazi cha kupigana kimwili kabsa
@Mbarikiwa_Mwakipesile
21 күн бұрын
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu? Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia. Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho. Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu? Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
@LusajoKabuka13 күн бұрын
Huyu jamaa analana ndo maana anavaa nguo za ufungwa amefungwa milele majunguu na biblia hayakuhusu wewe wambiage haohao wa majungu wexmzako
@MagdalenaMatiko22 күн бұрын
Kwanini asbh jioni ni maneno si neno Nilisema hv toka mwanzo huyu baba alishapigwa zamani,,alijaribiwa kwa mwanae ,ndipo ukichaa ulipoanzia,sasa hataki aende mwenyewe,anataka aumize watumishi wa Mungu ,asipotee mwenyewe,wew hubiri,kemea,ombea,hukumu mwachie alowaajiri,
@Mbarikiwa_Mwakipesile
21 күн бұрын
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu? Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia. Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho. Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu? Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
@shukranimpomwa7460
21 күн бұрын
Basi hata Mungu ni KICHAA; Kumbukumbu la Torati 27:26 Na alaaniwe asiyeyaweka imara maneno ya torati hii kwa kuyafanya. Na watu wote waseme, Amina. Hapo ni Mbarikiwa anasema au MUNGU?? Uchizi tu.
@user-mn2hb7xt9k20 күн бұрын
Mwakipesile umesahau hata waumini wako upo kujadili mwamposa utakuwa London zako uko upo bz mitandaoni na mwamposa nachukua mzigo Kwa ajili yako nikuombee alafu usiangalie huyo Tu alie kufa tazama hata waliofunguliwa shetani
@jerrysonbusega816112 күн бұрын
Nakuomba uliepost hii video ufute mara moja lasiivyo nitajua chakukufanya huwez kumthalilisha mtumishi wa Mungu Mwalimu Christopher Mwakasege amehudumu kwa miaka mingi katika injiri hii Leo una mkashifu ivi unajielewa kweli
@Mbarikiwa_Mwakipesile
12 күн бұрын
Mtu mzima hatishiwi nyau. Hebu chukua hiyo hatua haraka. Mwana wa joka wewe.
@user-nt4rt4hz1h19 күн бұрын
Wimbo upo sahihi ila tatizo lipo kwenye kichwa cha habari,kwakusema wafasi wa abiud,mwakasege.wamelaaniwa,tatizo lipo hapo ndiyo maana watu wanacoment vibaya,ushauri kichwa kilitakiwa kukaa hivi=wafaasi wote wa wachungaji na manabii wasio tii sheria ya mungu wamelaaniwa.
@DeoMwampamba-ru3yo20 күн бұрын
Mbona yeye fanueli sedekia alikuwa anaimba bila kujibu anayokerwa na wanaomuudhi! Lakini ninyi! Munatupandikizia tu uadui kwa watu ili tuwe tunawapiga na kuwachukia na kuimba kwenu na kuhubiri kwenu"
@Mbarikiwa_Mwakipesile
20 күн бұрын
Fanuel Sedekia hakuwa mkuu kuliko Biblia. Aliimba nyimbo zilizoburudisha wazinzi na wezi
@DAUDIMWAMBALASA22 күн бұрын
ubalikiwe sana
@JESUSISLO89121 күн бұрын
Hebu nimabie Abiud pia amefanya nn
@Yesuninuru15 күн бұрын
Wewe ndio wakwanza kulaaniwa
@isaacsanga970721 күн бұрын
Walaaniwe tu sasa hata kama wakijizima data
@user-eu6ql9zl7n6 күн бұрын
Sawa MKAGUZI
@kikosikaziupdate20 күн бұрын
Walaaaniweeeeee
@janengaga292822 күн бұрын
Dunia imekwisha. Purukushani hadi kanisani.
@elizabethrichard769420 күн бұрын
Unavojikutaga we maraika au nimoja kati yawale wazee 24 me nakuona kama uchizi unakunyemelea tu
@CRISENSIASHOKI22 күн бұрын
Naomba nije nielekeze natamani nifike mbeya nipo dar es salaam...
@Mbarikiwa_Mwakipesile
21 күн бұрын
Dar mpigie huyo 0714483548
@AnnaEndur19 күн бұрын
Kama umemfikia mwakasege wewe hata sikuekewi jaman niache
@DeoMwampamba-ru3yo20 күн бұрын
Mbona sasa wewe mbarikiwa kazi yako tu imekuwa ni kuwafuatilia watu na kuwajibu kila walilokukera nalo mambo ambayo yanaleta ugomvi na mapigano tu! Mungu akiwainua ninyi watu hamuwi wazuri tena mnabadilika pakubwa!.
@Mbarikiwa_Mwakipesile
20 күн бұрын
Ni kwa sababu injili na neno la Mungu lilikuja kwa ajili ya watu. Ama kwa nini wewe kazi yako ni kufuatilia Mbarikiwa?
@user-bc6yv5qb8c22 күн бұрын
Mtumishi wa MUNGU mwalimu mwakasege.Kosa lake ni lipi
@Mbarikiwa_Mwakipesile
21 күн бұрын
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu? Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia. Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho. Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu? Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
@Namtumbo
21 күн бұрын
@@Mbarikiwa_MwakipesileAmina sanasana Barikiwa kama jina lako,msalimie mama na wapenda sana
@WalterMtweve-xn2dl22 күн бұрын
Ungine ni uchochezi mind your deal
@durangobasics619521 күн бұрын
Lol usajili 😂😂😂
@felisterandrew874122 күн бұрын
Abiud kumbe anatatizo Alikuwa mchungaji wangu wakati nipo huko
@Mbarikiwa_Mwakipesile
21 күн бұрын
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu? Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia. Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho. Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu? Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
@messiah-l4r
15 күн бұрын
Kichwa chat habari chako. WAFUASI WA MWAKASEGE MWAMPOSA, KUHANI MUSA, ABIUD WAMELAANIWA😭🙄 Alafu unakana zaidi sana video zako zimewaonyesha manabii wa uwongo mfano kiboko ya wachawi akisema Kwa kinywa chake yeye akemei dhambi.😂😂😂 Alafu unawaita ma dogo kwahiyo Mwakasege ni dogo🤔
@messiah-l4r
15 күн бұрын
@@Mbarikiwa_MwakipesileKama shomoro katika kutanga-tanga kwake, Na kama mbayuwayu katika kuruka kwake; Kadhalika laana isiyo na sababu haimpigi mtu. Mithali 26:2
@jitulakaleboymastr647722 күн бұрын
Walaaniwwee
@prosperitymaarifa332417 күн бұрын
lakn huyu jamaa ananikosha
@Producervbaddset22 күн бұрын
WAFUASI WAKO SISI TUNAOUFWATILIA NDIO TUMELAANIWA MAANA TANGU TUNAKUFWATILIA HUJAWAHI KUTUFUNDISHA ZAIDI YA KUWASEMA WENZAKO KAMA YESU NA WATUMISHI WENGINE KWENYE BIBLIA WANGEKUWA KAMA WEWE MZEE SIJUI KAMA TUNGEKUWA HAPA😅 SISI NA KIKOSI KAZI TUMELAANIWA
@DanielYusuph-071
22 күн бұрын
Yesu na watumishi wengine wa kwenye biblia ya ukoo wako ?
@DanielYusuph-071
22 күн бұрын
Yesu na watumishi wengine kwenye biblia ya ukoo wako
@BerylSeer1
22 күн бұрын
Hahaha @@DanielYusuph-071
@user-bo7hp4hh1x
22 күн бұрын
Hata siku ya mwisho atakapojizihirisha zaid waziwazi Mungu atatuma wajumbe wawili kuzuia wasimsikilize mnyama lakini watu watawakataa na mnyama atawaua na baada ya siku tatu Mungu atawakusanya watu bila kujua na hao mashahidi waliokufa watainuka na kupaaa tazama tetemeko kubwa litatokea na kujua watu wengi sana. Na hata Sasa hamtaamini hiki anachosema mbalikiwa wala amieli Wala gwajima wala wahubili wadogo wadogo hamtasikia Ila ukifa utatamani kurudi duniani ili uwakataze wasiwasikilize lakin utakua umechelewa amee
@joycedartus6903
22 күн бұрын
Kwahiyo wewe umelaaniwa au nd mlaani😂
@m.m.tvmbebamaono21 күн бұрын
Walaaniwe
@goldermeirshoo122822 күн бұрын
KUMBE NAWE UNAWAFUATILIA, HONGERA KUWA MSHIRIKA WAO,HIVI KAMA WAMELAANIWA SHIDA YAKO NI NINI? ACHA WALAANIWE WEWE SI UWAAMBIE WASHIRIKA WAKO WASILAANIWE, MBONA KAMA UMEKAA KWENYE MLANGO WA KUINGIA MBINGUNI?
@Mbarikiwa_Mwakipesile
21 күн бұрын
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu? Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia. Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho. Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu? Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
@Gracemsomba-ic2xp22 күн бұрын
Achakumchafua abihudi muachemtumishi wamungu
@Mbarikiwa_Mwakipesile
21 күн бұрын
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu? Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia. Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho. Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu? Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
@user-pb3bx7rl6c22 күн бұрын
Yaan Mwakasege na Abiudi unawaweka kundi moja na hao wengine kina kiboko ya wachawi, mwamposa, IPM huko ni kuwakosea heshima na MUNGU atalipa nimeona mmoja ameuliza akajibiwa "wasio na mihemuko ya kishetan ndio wataelewa" msiwe mnachanganya watumishi feki na original katika kukemea
@Mbarikiwa_Mwakipesile
22 күн бұрын
Elewa wimbo umesema watu wote wasipofanya alivyoagiza Mungu wamelaaniwa. Je watu wote wanahubiriwa na huyo Mwakasege na Abiud wanafanya yote aliyoagiza Mungu? Acha ushabiki wa kizuzu
@ChristinaSanga-pl5jm
22 күн бұрын
Utumishi mzuri ni pamoja na unyenyekevu kuzuia midomo isinene mabaya ikiwa nawe huna kipimo Cha utakatifu zaidi ya Mungu mwenyewe ndio maana Yesu alijibu kwa hekima kubwa akasema " Acha magugu na ngano vimee pamoja mnaweza mkang'oa magugu mkajikuta na ngano imeng'ooka " tafakarini Kwa kina
@YohanaMahimbo22 күн бұрын
Kalaaniwa baba yako mzazi alie zaaa laaana ya kukosoa watumishi huna akili hata Kidogo
@Mbarikiwa_Mwakipesile
22 күн бұрын
Kwa hiyo unamlaani Mungu?
@Dianamwansasu
22 күн бұрын
@@Mbarikiwa_MwakipesileMungu akurehemu maana una maneno mengi.
@emanuelmkama1325
22 күн бұрын
Mathew 24 ,inarhux au wew unatumia bible ipi ya keki nn??
@petromgaya1746
22 күн бұрын
Weka akiba ya matusi biblia haijaruhusu hayo
@joycedartus6903
22 күн бұрын
Yote hayo sijui kuchanganyikiwa 😂 ni machozi ya mama mzazi na watumishi wengine wanajitia hawaoni na bado hamjasema hapa
@RoseChacha-bp6yi20 күн бұрын
hivi Mungu analaani laani tuu..?
@jescarwegoshola1754
16 күн бұрын
Mbarikiwa kadata,achana nae 😂😂😂
@BerylSeer122 күн бұрын
Aiiilili uwiiiii!!! Wimbo mzuri nimekatika Sana.
@shukranimpomwa7460
21 күн бұрын
Angalia usife.
@AgnesKalinga-if3uf22 күн бұрын
Sema tupone
@jamesmaths229621 күн бұрын
Mchungaji Mbarikiwa neno la Mungu katika Warumi 14:4-6 Neno la Mungu linasema: Wewe ni nani hata umhukumu mtumishi wa mtu mwingine? Ni bwana wake tu awezaye kuamua kama amesimama au ameanguka. Naye atasi mama kwa sababu Bwana anaweza kumfanya asimame. Paulo naye alipingwa sana na Wayahudi wenzake lakini alisimama katika wito wake. Katika Biblia hakuna mtumishi aliyepewa wito wa kuwasema vibaya watumishi wa Mungu
@Mbarikiwa_Mwakipesile
21 күн бұрын
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu? Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia. Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho. Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu? Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
@avelinaluoga9141
17 күн бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile acha kuchafua watu mtandaoni sasa umeweka picha zao ili iweje unataka vihela vya kulipwa utube yan ww ndomchumia tumbo mkubwa ndomana wivu kwa kila anayejaza watu
@Gracemsomba-ic2xp22 күн бұрын
Wemwakipesile uponywe umechanganyikiwa
@Mbarikiwa_Mwakipesile
21 күн бұрын
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu? Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia. Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho. Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu? Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
@Namtumbo
21 күн бұрын
Hongera dana
@BernadetteKiwelu-kg6fv22 күн бұрын
Kazi yako kukosoa watu wewe unanini cha kutuonyesha
@shukranimpomwa7460
21 күн бұрын
Hiyo ni Biblia imesomwa jamani Duhh!! Au kwasababu aliyesoma Ni mtu mnaemchukia??? 👉👉Kumbukumbu la Torati 27:26 Na alaaniwe asiyeyaweka imara maneno ya torati hii kwa kuyafanya. Na watu wote waseme, Amina.
@DeodatusPhabian22 күн бұрын
Mwakasege na abiud. Msiwachanganye na mabii.
@Mbarikiwa_Mwakipesile
21 күн бұрын
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu? Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia. Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho. Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu? Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
@saraphinalupenza7580
21 күн бұрын
Mhhhhhh
@jorambranchofmud629922 күн бұрын
Mimi nabarikiwa na abihudi misholi hasa nyimbo zake sinaendelea kunibariki wewe Endelea kumtukana ila mimi najua MUNGU amemuinua ili MUNGU atukuzwe na watu wamataifa kupitia nyimbo zake
@Mbarikiwa_Mwakipesile
21 күн бұрын
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu? Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia. Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho. Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu? Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
@jorambranchofmud6299
21 күн бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile saww nimekuelewa inatakikana useme hawaambii watu ukweli ndo tujue ila tena title ya post yako pia ndo inafanya nikuelewe vibaya
@jorambranchofmud6299
21 күн бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile lakini nimesikiliza maneno ya wimbo Ni mazuri sana na maonyo kwa wale ambao wamekataa kweli barikiwa
@Mbarikiwa_Mwakipesile
21 күн бұрын
@@jorambranchofmud6299 post ina maelezo madogo yanayofanana kinachomaanishwa kwenye wimbo.
@piussimtala511122 күн бұрын
Ujumbe mzuri ila waliobarikiwa kwako Kikosi kazi ni wepi? Au ni wewe peke yako?
@Mbarikiwa_Mwakipesile
21 күн бұрын
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu? Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia. Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho. Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu? Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
@judithtitomalyeta400022 күн бұрын
Ulaniwe mwenyewe
@emanuelmkama1325
22 күн бұрын
Lusfa amekutawal uwez kuon kwel
@shukranimpomwa7460
21 күн бұрын
Yaani Mungu alaaniwe, maana hiyo ni Biblia imesomwa; 👉👉IKumbukumbu la Torati 27:26 Na alaaniwe asiyeyaweka imara maneno ya torati hii kwa kuyafanya. Na watu wote waseme, Amina.
@issayamsyani784217 күн бұрын
ila Kumbuka wao hawakuwa maarufu kwa kushinda kuwasema watu mitandaoni Hukuwahi dhani kuwa Mungu anaweza kuwatumia hata wasio Fundisha Ubatizo kama wako Sasa Ungekuwa Mungu unge mfutilia Mbali kwa Bahati Mbaya haiko hivyo Uchungu tuu na Wivu
@Mbarikiwa_Mwakipesile
17 күн бұрын
Wewe hapa unamsema panya haumsemi mtu? Na wewe unatafuta umaarufu?
@issayamsyani7842
17 күн бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile WE NI MCHOKOZI TUU ukikamatwa UNASINGIZIA HATA MITUME AKINA PETRO NA PAULO WALIWEKWA MAGEREZANI wakati wao si kwasababu za KUJITAKIA na KUTAFUTA KIKI kama wewe SAWA Kuna wakati upo sahihi ila sio KWAMBA UNAJUWA KILA KITU na hata UKIONYWA HUWEZI KUGEUKA KWASABABU YA KIBURI ILA WEWE NDIO UNATAKA UWE UNAONYA WATU ila wewe hutaki unahisi upo Sahihi kwa kila KITU Think again Man of God
@JoyceKabula-in1sh22 күн бұрын
Umelaaniwa mwenyewe
@Mbarikiwa_Mwakipesile
21 күн бұрын
Wewe umebarikiwa chuki na hasira zisizo na sababu. Bila shaka umebarikiwa na kila aina ya uchungu na ubaya kwa sababu ya ubaya wa roho yako.
@shukranimpomwa7460
21 күн бұрын
Hahahahaha 🤣🤣🤣🤣🤣, Ninywe maji kidogo🥤. Sasa hapo unaniambia Mungu alaaniwe, maana hiyo ni Biblia imesomwa. 👉👉Kumbukumbu la Torati 27:26 Na alaaniwe asiyeyaweka imara maneno ya torati hii kwa kuyafanya. Na watu wote waseme, Amina.
@samwelingasa163822 күн бұрын
Ukimsema mtu toa sababu Mwakasege na Abiudi wana shida gan
@Mbarikiwa_Mwakipesile
22 күн бұрын
Sikiliza wimbo mpaka mwisho. Wasio na mihemko ya kishetani wameelewa
@Dianamwansasu
22 күн бұрын
@@Mbarikiwa_MwakipesileMungu akusamehe
@samwelingasa1638
22 күн бұрын
Mseme mtu Kwa udhibitisho wa video kama hauna bas wewe ni mnafiki
@damilesmlongo2259
22 күн бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile Mungu akusamehe .......kiburi cha uzima hicho......tangu umeanza kuwasema hawajawahi kukujibu.......tafakari........
@Mbarikiwa_Mwakipesile
21 күн бұрын
@@damilesmlongo2259 ukijibu wewe ndiyo jibu lao
@YohanaMchala22 күн бұрын
Yani mbarikiwa kazi yako ni kukosoa watumissh wa mungu wewe je nimkamilifu
@Dianamwansasu
22 күн бұрын
Haswa
@Mbarikiwa_Mwakipesile
21 күн бұрын
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu? Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia. Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho. Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu? Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
@elihurumamushi252122 күн бұрын
wewe umefanya nini jipu mgogoni limepona wewe kila siku unakosowa serikali mara unakosowa watumishi wa mungu wewe nani hata uwaone hawa wanapotea wewe ni mjinga sana unamkashifu mwakasege mtu wa mungu ameubiri zaidi ya miaka 40 leo unasema alaaniwe mwamposa ameubiri zaidi ya miaka 28 wewe unasema amelaaniwe umelaaniwa wewe na uzao wako una heshima una adabu wewe
@petromgaya1746
22 күн бұрын
Weka akiba ya matusi na maneno hayo siku ya mwisho utatoa hesabu amina
@Mbarikiwa_Mwakipesile
21 күн бұрын
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu? Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia. Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho. Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu? Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
@RoseChacha-bp6yi
20 күн бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile we unawalaani Mungu anatamani wabadilike. Mungu anampenda kila mtu, wewe unaombea mabaya yeye anaombewa na wengine. Hivi Mungu analaani laani tuu😢
@Mbarikiwa_Mwakipesile
20 күн бұрын
@@RoseChacha-bp6yi sio Mbarikiwa aliyewalaani ni maandiko (KUMBU 27:26, 28:15-68).
@user-lc6te2pe2l
18 күн бұрын
Sema walokole wengi wanapenda kujihesabia haki na hata wakitenda dhambi hawataki kuambiwa ukweli chapa injili Mbarikiwa.
@samwelingasa163822 күн бұрын
Mwakasege amekufanya nn na Abiudi
@Mbarikiwa_Mwakipesile
22 күн бұрын
Sikiliza wimbo mpaka mwisho. Wasio na mihemko ya kishetani wameelewa
@Dianamwansasu
22 күн бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesiletukitii sauti ya bwana tutabarikiwa tutokapo na tuingiapo
@samwelingasa1638
22 күн бұрын
Mseme mtu Kwa udhibitisho wa video kama hauna bas wewe ni mnafiki
@humphreymwihambi4330
22 күн бұрын
Naona unachanganyikiwa zaidi. Elimi nayo ambayo huna inachangia sana@@Mbarikiwa_Mwakipesile
@shukranimpomwa7460
21 күн бұрын
@@samwelingasa1638🤣🤣🤣🤣, tumefika mbali yaani Mpaka Unaitusi Biblia.
@RashidMwasiposya-ck6py22 күн бұрын
Wivi na Hila mbaya sana achawivu
@samwelingasa163822 күн бұрын
Mseme mtu Kwa udhibitisho wa video kama hauna bas wewe ni mnafiki nipe video ya Mwakasege na Abiudi wakihubiri vibaya nikuone ww mwamba sio wote wabaya
@Mbarikiwa_Mwakipesile
21 күн бұрын
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu? Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia. Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho. Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu? Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
@samwelingasa1638
18 күн бұрын
Unamsema sana Mwakasege anahubiri mafundisho ya kishetani thibitisha wapi na Abiudi unasema ni tapeli toa video useme amekutapeli wapi tuone kweli ww ni mtumishi wa Mungu
@avelinaluoga9141
17 күн бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile huna jipya mtumishi gan anashinda mitandaoni na kujibu kila comment
@Mbarikiwa_Mwakipesile
17 күн бұрын
@@avelinaluoga9141 ni kwa sababu wewe pia unashinda mtandaoni kujua kuwa tunajibu kila comment.
@avelinaluoga9141
17 күн бұрын
Hakuna kitu hapo mnabwata mno
@joshuanyambele192121 күн бұрын
Acha mawazo potofu kuhisi upo sahihi wewe
@shukranimpomwa7460
21 күн бұрын
Kweli tumefika mbali, yaani Mpaka kuitusi Biblia?? Hayo ni maandiko kayasoma; au kwasababu aliyesoma Ni mtu mnaemchukia. Kumbukumbu la Torati 27:26 Na alaaniwe asiyeyaweka imara maneno ya torati hii kwa kuyafanya. Na watu wote waseme, Amina.
@agapeKabelege-ci4hr
21 күн бұрын
Sio kakosea kusoma biblia ila majina ya watu kwenye title ya Nini? Na ndio mana watu wanapata shda mnawachamganya lakini angesoma biblia tu bila uchokozi wa hiyo title mbn angeeleweka? Ni wimbo mzuri tu na unaeleweka ila hiyo title ni uchokozi kabisa Yani Mungu atusaidie jmn😥@@shukranimpomwa7460
@EmmanuelSimkwai18 күн бұрын
Ndio mtendao zambi mmelaniwa kwa mjibu wa biblia ata kama mna pessa ila mmelaniwa wote mnao ubili kinyume na biblia Wakolosai 3 5 Basi, vifisheni viungo vyenu vilivyo katika nchi, uasherati, uchafu, tamaa mbaya, mawazo mabaya, na kutamani, ndiyo ibada ya sanamu; 6 kwa ajili ya mambo hayo huja ghadhabu ya Mungu.
@user-eu6ql9zl7n6 күн бұрын
Huyu tutaotesha vijit tuone huduma ya nan itachipua
Пікірлер: 208
Mwalimu Mwakasege Mwalimu wangu amenivusha ba kubwa sana nampenda
@K-go1qj
13 күн бұрын
Zichunguzeni kila roho
Wee mtumishi nakupenda sana,, we umetumwa na MUNGU hakika,, zidi kuifanya kazi ya MUNGU kama ulivyoagizwa...
@janesuma-is4wc
17 күн бұрын
mungu yupi kamtuma
Review your calling mtumishi. Seek again the guidance of the Holy Spirit. Naona unaweza jiona sawa unavyowashambulia wenzake at the end of the day ukajikuta wewe ndio iko wrong.
Kamanda kiukweli MUNGU anajua kuwa unasema kweli mtu ambaye ajawai kuingia huko ndani atakuksoa tu bola wanyamaze ipo siku tu tutakuwa mbele yahukum ya Mzee wasiku
Mwanzo mbarikiwa nilikuwa nakukubari lakini kwa sasa nahanza kukutiria mashaka kwa sababu unatafuta kutrendi kwa kuwasema wenzako vibaya sehem nyingine uko sawa lakini sehem nyingine unakosea
Paulo mtu wa mungu alimchomoa simon yule mchawi miujoza yake yote ya kichawi wewe unasubiri nini acha maneno piga dua kama paulo mchungaji mwenye mikono yakichawi ing'okee!
Be blessed father Kenya tunakupenda sana baba
Hakika tabia zao zinaonyesha kwamba wanamwabudu mungu gani maana ni wezi waongo wazinzi Wana roho mbaya wachafu Wana husuda wanafiki nk
WOOOOOU, BARIKIWA SANA MPENDWA WETU SANA MBARIKIWA NA UMESHABARIKIWA KAAATTIKA JIMA. KUBWA LAKE YESU KRISTO.
Upo kweli baba mimi nipo nyuma yako hapa Kenya
Mwalimu mwakasege nakupenda MUNGU akawa adui wa adui zako
Ole wako wewe ujionaye upo salama na huku mguu wako ungali ktk shimo la kaburi 😢 wamelaaniwa wafuasi wako na wataambukizwa roho ya umbea na Masengenyo. Ndg fundisha Neno la Mungu swala la Uhariri Mungu hajakupa. Siyo kazi yako
Ifike wakati watumishi wa Mungu alie hai muhubiri ufalme wa Mungu ndilo agizo alotupa Yesu alipokuwa anarudi kwa baba ake mathayo 28:19,20.....muda ni mchache shetani anacheza hapo ili watu wengi wasipate injili ya ufalme wa Mungu na kuacha dhambi ila tuanze kuona watumishi wakijibishana wakirushiana maneno wapendwa waloitwa na BWANA KUTUMIKA MUDA NI MCHACHE TUKAZANE KUHUBIRI UFALME WA MBINGUNI kila mmoja atavuna alichopanda shetani halali anaona muda ni mchache ila watumishi kutwa kujibishana Mungu atusaidie
@Mbarikiwa_Mwakipesile
16 күн бұрын
Wazungu waliwaweza. Wamewaambia ukimwambia mtu awahurumie Waafrika wenzake sio injili ya ufalme wa Mungu ila mkisubiri hadithi za mateso walipoteswa wao ndio injili. Pumbavu
Gidio alivunja madhahu mbaya na kuziharibu hakuwaletea watu maneno yasikuwa na matokeo
Mmebarikiiwa amepewa huduma hiyo ya kuwakemea wajiitao watumishi wa Mungu na kumbe ni waongo.hii huduma ngumu sana na siku zote huwa Haina waumini wengi ila inatengeneza watu watakao simama Kwa ujasiri.kumbuka kwenye dhiki kuu watakao simama kama Mashaidi wa nyakati hyo watakuwa Nabii Eliya na Henock ni wachache lakini watasaidia kuokolewa wengi Kwa damu Yao na mateso.mbarikiwa simama na wito wako Mungu yupo na wewe
Ubarikiwe Sana na BWANA YESU KRISTO
Mtumishi iogope hukumu ya kulaani wenzio usije ukahukumiwa maana mahubili Yako ni kuhukumu wengine tu.
MUNGU nuunganishe kiroho na huyu Mtumishi wako Mbarikiwa mwakipesile. Natamani sana ,sana.
Viache vikuwe pamoja anakuja mwenye shamba mtumishi.awahurumii watu waache dhambi anasema kama mzinzi.poa alete sadaka tuko mwishoni
Ajidhaniaye amesimama na aangalie asije anguka Fanya wewe basi waige kutoka kwako ,kazi majungu tu ndo yamejaaa
@aeshraykidumars3668
2 күн бұрын
😅😅😅 umenichekesh sana aisee nimajung kweli yanayo onekana apa kwawezake
Duuuh 🙌 mtumishi wa Mungu,,,🔥 Lakini najarbu kuwaza kama wa shetani wanafanya makubwa hv ad watu wanawafuata and we know exactly YESU ni mkubwa kuliko shetani,, Kwa nn watumishi wake unaowaona wa ukwel hawafany kama hao unaona wa shetani? Je tuseme Mungu hana nguvu kama shetani? Au je nguvu za Mungu zna masharti magumu kuliko za shetan au je Mungu hajawapa watumishi wake nguvu nyingi kawapa kidogo?? Najarbu kuwaza kama Mungu amekupa message uambie kanisa lake kuhusu kwenda mbinguni tu,,? Je Mungu hana meseji za how to become successful? Hana meseji mpya ya mambo yanayoendelea duniani ambazo manabii(unaowaona washetan) wanatuambia na vtu vnatokea,,au Mungu wetu has no time to those things? What he focus is twende mbinguni tu? Vp kuhusu maisha yetu hapa duniani kiuchumi kiafya kjamii kisiasa?? @kikosikazichainjili me ukinipa jbu hapa ntaanz kukuelewa maana naona umefocuss in one well of salvation,,,leo IPM kesho mwamposa kesho yake shusho kesho tena kiboko ya wachawi now umeenda mbali zaidi mpaka mwakasege🙌😁 Ukiiona hii coment naomba uweke vdeo kuijibu nielewe GOD bless you
Laana haipo juu ya Kila aliye Mwamini Yesu Kristo maana alifanyika laaana Ili sisi tuwe baraka Yesu ,upendo wa Mungu sio kumlaani mtu baali ni kumbariki
Hii laana kwa kweli inatutafuna wengi, Mungu tu atusaidie.
Mwakipesile kuna wakati unaongea point lakini kuna wakati unaongea pumba.... Haya mbarikiwa pambana na injili yako ya laana
Jamani mbarikiwa anaishi kwa kukosoa wezake roho mtakatifu hayuko hivyo huyu aliyenaye ni mtakashari pole sana
Hawa acheni kuwakashifu watumishi wa Mungu kwa sababu ya nguvu zenu za giza
Ukiona mtumishi unawatakia watumishi wenzako walaaniwe..umepotea katika wito wako roho ya shetani inafanya kazi ndani yako ole wako
@shukranimpomwa7460
21 күн бұрын
Hiyo ni Biblia imesomwa jamani!!! Au kwasababu aliyesoma Ni mtu mnaemchukia? Kumbukumbu la Torati 27:26 Na alaaniwe asiyeyaweka imara maneno ya torati hii kwa kuyafanya. Na watu wote waseme, Amina.
@caljersilverhabor464
21 күн бұрын
Huskii amesoma bibilia?
Mbarikiwa mh naona ngoma inalia sana hii inaelekea kupasuka
Huyu tutaotesha vijit tuone huduma ya nan itachipua
Ni kweli wanaomchukia mtumishi wa Mungu mbarikiwa wanaweza wakajikuta wanaichukia na biblia maana hata akinukuu biblia watachukia kwa wajitathimini maana wanaweza kulaaniwa katika hilo.
Amen
Amelaaniwa mfuasi wa yeyote yule atendaye dhambi
Unamsema sana Mwakasege anahubiri mafundisho ya Mwakasege anahubiri mafundisho ya kishetani thibitisha wapi na Abiudi unasema ni tapeli toa video kama ww ni mtumishi wa Mungu kweli acha kupotosha watu
Ubarikiwe kwa huu wimbo
Nakupenda baba mno yesu akukumbuke
Mimi sidhani kama ni wivu ni mahubiri ya kumpeleka mtu mbinguni
Wewe Unaishi kwa kuwakosoa Watumishi wa Mungu inaonekana ww una Matatizo Sana
SASA MWAKASEGE AMFNYJE JMNI ..OLE WAKO AMNYOOSHEAE MTUMISHI WA BWANA KIDOLEE DUNIA IMEKWISHAAA😢😢😢😢😢😢
@EliaMhile
15 күн бұрын
@@RemiKim-yt5cl Huyu amekuwa mpuuzi tu, badala ya kuhuburi injili ameamua kuchafua watumishi tu bila sababu za msingi.
Kukemea ubaya si dhambi kuyafichua maovu ili watu wafumbuke akili zao si dhambi upo sahii kabsa watu wanahubiri kinyume na mpango wa mungu wanamuhubiri kristo kwa hila ubarkiwe mtu wa mungu unatufundsha kuijua biblia na namna wanavyoipotoxha jamii
Mzeee KZread imeanza kumlipa nia kubwa nikuingiza ela KZread ndio maana vichwa vyaa habari vimekaa kichokozi😂😂😂😂😂
@shukranimpomwa7460
21 күн бұрын
Sio kichokozi, hapo iko hivyo vivyo; ameambiwa yeyote asiye yaweka imala Maneno haya; 👉👉Kumbukumbu la Torati 27:26 Na alaaniwe asiyeyaweka imara maneno ya torati hii kwa kuyafanya. Na watu wote waseme, Amina.
umelaaniwa wewe na kizazi chako cha ushoga,umebanduliwa nyuma na mateja,huna jipya,unatafuta kutukana mpaka waumini usiowajua,umebanduliwa tulia
Usihukumu usije kuhukumiwa
Picha inaanza Single ina dakika 12:46 nomaaa sanaa hapa Khadija kopa akasome 🎉
Unapata shida wapi mtumishi wa MUNGU? Yote yametabiriwa lazima yawepo.. kazi yangu na Yako ni kuhubiri neno la uzima liokoe wale waliokusudiwa kwenye huduma yako sio kushambulia wengine.
❤❤❤
Amen amen.❤❤
Baba tupe makosa ya mwakasege kosa lake nini jamaniii mbona tunamwelewa mahubiri yake
@Mbarikiwa_Mwakipesile
21 күн бұрын
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu? Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia. Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho. Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu? Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
@asamwklkw
21 күн бұрын
Elimu ya darasani na busara vina umuhimu mkubwa,, kwa kueleweka zaidi c ungesema wakwako pia ambao hawafuati yte biblia imeagiza wamelaaniwa pia
@Mbarikiwa_Mwakipesile
21 күн бұрын
@@asamwklkw rudia kusoma title utaona wafuasi wa Abiud, Mbarikiwa nk. Hiyo haijaandikwa leo.
@asamwklkw
15 күн бұрын
Ata Biblia haijaandikwa leo
Kukosoa manabii na mitume mamilionea Uwe makini
MCHUNGAJI NATAMANI NIJIFUNZE MENGI ZAIDI NAOMBA NISAIDIE NAMNA YA KUFIKA KANISANI KWAKO NIPO DAR ES SALAAM
Sasa mtumish ... Kichwa habari hakiko sawa kabsa ..... Kila mtu anadhambi ...hata nyie sio watakatifu ,,,,Neno la MUNGU linasema tukisema kwamba hatuna dhambi twajidanganya ,,,,kikubwa wewe hubiri kweli ,,,kemea,karipia ,onya ,ila sio kwa kuandika vichwa vya habari vya kijinga namna hiyo ... Yaaan unatupa ukakasi kweli ,,,,,ebu kemea dhambi na sio kuwataja watumishi wa MUNGU....wewe kila mtu kwako ni mbaya, Yup ni mwema kwako au wewe ndo mtakatifu peke Yako ?? Angalia bna usiwalishe kondoo wako sumu ...naona unaandaa kizazi cha kupigana kimwili kabsa
@Mbarikiwa_Mwakipesile
21 күн бұрын
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu? Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia. Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho. Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu? Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
Huyu jamaa analana ndo maana anavaa nguo za ufungwa amefungwa milele majunguu na biblia hayakuhusu wewe wambiage haohao wa majungu wexmzako
Kwanini asbh jioni ni maneno si neno Nilisema hv toka mwanzo huyu baba alishapigwa zamani,,alijaribiwa kwa mwanae ,ndipo ukichaa ulipoanzia,sasa hataki aende mwenyewe,anataka aumize watumishi wa Mungu ,asipotee mwenyewe,wew hubiri,kemea,ombea,hukumu mwachie alowaajiri,
@Mbarikiwa_Mwakipesile
21 күн бұрын
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu? Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia. Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho. Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu? Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
@shukranimpomwa7460
21 күн бұрын
Basi hata Mungu ni KICHAA; Kumbukumbu la Torati 27:26 Na alaaniwe asiyeyaweka imara maneno ya torati hii kwa kuyafanya. Na watu wote waseme, Amina. Hapo ni Mbarikiwa anasema au MUNGU?? Uchizi tu.
Mwakipesile umesahau hata waumini wako upo kujadili mwamposa utakuwa London zako uko upo bz mitandaoni na mwamposa nachukua mzigo Kwa ajili yako nikuombee alafu usiangalie huyo Tu alie kufa tazama hata waliofunguliwa shetani
Nakuomba uliepost hii video ufute mara moja lasiivyo nitajua chakukufanya huwez kumthalilisha mtumishi wa Mungu Mwalimu Christopher Mwakasege amehudumu kwa miaka mingi katika injiri hii Leo una mkashifu ivi unajielewa kweli
@Mbarikiwa_Mwakipesile
12 күн бұрын
Mtu mzima hatishiwi nyau. Hebu chukua hiyo hatua haraka. Mwana wa joka wewe.
Wimbo upo sahihi ila tatizo lipo kwenye kichwa cha habari,kwakusema wafasi wa abiud,mwakasege.wamelaaniwa,tatizo lipo hapo ndiyo maana watu wanacoment vibaya,ushauri kichwa kilitakiwa kukaa hivi=wafaasi wote wa wachungaji na manabii wasio tii sheria ya mungu wamelaaniwa.
Mbona yeye fanueli sedekia alikuwa anaimba bila kujibu anayokerwa na wanaomuudhi! Lakini ninyi! Munatupandikizia tu uadui kwa watu ili tuwe tunawapiga na kuwachukia na kuimba kwenu na kuhubiri kwenu"
@Mbarikiwa_Mwakipesile
20 күн бұрын
Fanuel Sedekia hakuwa mkuu kuliko Biblia. Aliimba nyimbo zilizoburudisha wazinzi na wezi
ubalikiwe sana
Hebu nimabie Abiud pia amefanya nn
Wewe ndio wakwanza kulaaniwa
Walaaniwe tu sasa hata kama wakijizima data
Sawa MKAGUZI
Walaaaniweeeeee
Dunia imekwisha. Purukushani hadi kanisani.
Unavojikutaga we maraika au nimoja kati yawale wazee 24 me nakuona kama uchizi unakunyemelea tu
Naomba nije nielekeze natamani nifike mbeya nipo dar es salaam...
@Mbarikiwa_Mwakipesile
21 күн бұрын
Dar mpigie huyo 0714483548
Kama umemfikia mwakasege wewe hata sikuekewi jaman niache
Mbona sasa wewe mbarikiwa kazi yako tu imekuwa ni kuwafuatilia watu na kuwajibu kila walilokukera nalo mambo ambayo yanaleta ugomvi na mapigano tu! Mungu akiwainua ninyi watu hamuwi wazuri tena mnabadilika pakubwa!.
@Mbarikiwa_Mwakipesile
20 күн бұрын
Ni kwa sababu injili na neno la Mungu lilikuja kwa ajili ya watu. Ama kwa nini wewe kazi yako ni kufuatilia Mbarikiwa?
Mtumishi wa MUNGU mwalimu mwakasege.Kosa lake ni lipi
@Mbarikiwa_Mwakipesile
21 күн бұрын
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu? Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia. Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho. Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu? Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
@Namtumbo
21 күн бұрын
@@Mbarikiwa_MwakipesileAmina sanasana Barikiwa kama jina lako,msalimie mama na wapenda sana
Ungine ni uchochezi mind your deal
Lol usajili 😂😂😂
Abiud kumbe anatatizo Alikuwa mchungaji wangu wakati nipo huko
@Mbarikiwa_Mwakipesile
21 күн бұрын
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu? Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia. Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho. Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu? Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
@messiah-l4r
15 күн бұрын
Kichwa chat habari chako. WAFUASI WA MWAKASEGE MWAMPOSA, KUHANI MUSA, ABIUD WAMELAANIWA😭🙄 Alafu unakana zaidi sana video zako zimewaonyesha manabii wa uwongo mfano kiboko ya wachawi akisema Kwa kinywa chake yeye akemei dhambi.😂😂😂 Alafu unawaita ma dogo kwahiyo Mwakasege ni dogo🤔
@messiah-l4r
15 күн бұрын
@@Mbarikiwa_MwakipesileKama shomoro katika kutanga-tanga kwake, Na kama mbayuwayu katika kuruka kwake; Kadhalika laana isiyo na sababu haimpigi mtu. Mithali 26:2
Walaaniwwee
lakn huyu jamaa ananikosha
WAFUASI WAKO SISI TUNAOUFWATILIA NDIO TUMELAANIWA MAANA TANGU TUNAKUFWATILIA HUJAWAHI KUTUFUNDISHA ZAIDI YA KUWASEMA WENZAKO KAMA YESU NA WATUMISHI WENGINE KWENYE BIBLIA WANGEKUWA KAMA WEWE MZEE SIJUI KAMA TUNGEKUWA HAPA😅 SISI NA KIKOSI KAZI TUMELAANIWA
@DanielYusuph-071
22 күн бұрын
Yesu na watumishi wengine wa kwenye biblia ya ukoo wako ?
@DanielYusuph-071
22 күн бұрын
Yesu na watumishi wengine kwenye biblia ya ukoo wako
@BerylSeer1
22 күн бұрын
Hahaha @@DanielYusuph-071
@user-bo7hp4hh1x
22 күн бұрын
Hata siku ya mwisho atakapojizihirisha zaid waziwazi Mungu atatuma wajumbe wawili kuzuia wasimsikilize mnyama lakini watu watawakataa na mnyama atawaua na baada ya siku tatu Mungu atawakusanya watu bila kujua na hao mashahidi waliokufa watainuka na kupaaa tazama tetemeko kubwa litatokea na kujua watu wengi sana. Na hata Sasa hamtaamini hiki anachosema mbalikiwa wala amieli Wala gwajima wala wahubili wadogo wadogo hamtasikia Ila ukifa utatamani kurudi duniani ili uwakataze wasiwasikilize lakin utakua umechelewa amee
@joycedartus6903
22 күн бұрын
Kwahiyo wewe umelaaniwa au nd mlaani😂
Walaaniwe
KUMBE NAWE UNAWAFUATILIA, HONGERA KUWA MSHIRIKA WAO,HIVI KAMA WAMELAANIWA SHIDA YAKO NI NINI? ACHA WALAANIWE WEWE SI UWAAMBIE WASHIRIKA WAKO WASILAANIWE, MBONA KAMA UMEKAA KWENYE MLANGO WA KUINGIA MBINGUNI?
@Mbarikiwa_Mwakipesile
21 күн бұрын
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu? Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia. Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho. Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu? Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
Achakumchafua abihudi muachemtumishi wamungu
@Mbarikiwa_Mwakipesile
21 күн бұрын
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu? Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia. Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho. Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu? Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
Yaan Mwakasege na Abiudi unawaweka kundi moja na hao wengine kina kiboko ya wachawi, mwamposa, IPM huko ni kuwakosea heshima na MUNGU atalipa nimeona mmoja ameuliza akajibiwa "wasio na mihemuko ya kishetan ndio wataelewa" msiwe mnachanganya watumishi feki na original katika kukemea
@Mbarikiwa_Mwakipesile
22 күн бұрын
Elewa wimbo umesema watu wote wasipofanya alivyoagiza Mungu wamelaaniwa. Je watu wote wanahubiriwa na huyo Mwakasege na Abiud wanafanya yote aliyoagiza Mungu? Acha ushabiki wa kizuzu
@ChristinaSanga-pl5jm
22 күн бұрын
Utumishi mzuri ni pamoja na unyenyekevu kuzuia midomo isinene mabaya ikiwa nawe huna kipimo Cha utakatifu zaidi ya Mungu mwenyewe ndio maana Yesu alijibu kwa hekima kubwa akasema " Acha magugu na ngano vimee pamoja mnaweza mkang'oa magugu mkajikuta na ngano imeng'ooka " tafakarini Kwa kina
Kalaaniwa baba yako mzazi alie zaaa laaana ya kukosoa watumishi huna akili hata Kidogo
@Mbarikiwa_Mwakipesile
22 күн бұрын
Kwa hiyo unamlaani Mungu?
@Dianamwansasu
22 күн бұрын
@@Mbarikiwa_MwakipesileMungu akurehemu maana una maneno mengi.
@emanuelmkama1325
22 күн бұрын
Mathew 24 ,inarhux au wew unatumia bible ipi ya keki nn??
@petromgaya1746
22 күн бұрын
Weka akiba ya matusi biblia haijaruhusu hayo
@joycedartus6903
22 күн бұрын
Yote hayo sijui kuchanganyikiwa 😂 ni machozi ya mama mzazi na watumishi wengine wanajitia hawaoni na bado hamjasema hapa
hivi Mungu analaani laani tuu..?
@jescarwegoshola1754
16 күн бұрын
Mbarikiwa kadata,achana nae 😂😂😂
Aiiilili uwiiiii!!! Wimbo mzuri nimekatika Sana.
@shukranimpomwa7460
21 күн бұрын
Angalia usife.
Sema tupone
Mchungaji Mbarikiwa neno la Mungu katika Warumi 14:4-6 Neno la Mungu linasema: Wewe ni nani hata umhukumu mtumishi wa mtu mwingine? Ni bwana wake tu awezaye kuamua kama amesimama au ameanguka. Naye atasi mama kwa sababu Bwana anaweza kumfanya asimame. Paulo naye alipingwa sana na Wayahudi wenzake lakini alisimama katika wito wake. Katika Biblia hakuna mtumishi aliyepewa wito wa kuwasema vibaya watumishi wa Mungu
@Mbarikiwa_Mwakipesile
21 күн бұрын
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu? Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia. Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho. Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu? Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
@avelinaluoga9141
17 күн бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile acha kuchafua watu mtandaoni sasa umeweka picha zao ili iweje unataka vihela vya kulipwa utube yan ww ndomchumia tumbo mkubwa ndomana wivu kwa kila anayejaza watu
Wemwakipesile uponywe umechanganyikiwa
@Mbarikiwa_Mwakipesile
21 күн бұрын
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu? Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia. Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho. Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu? Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
@Namtumbo
21 күн бұрын
Hongera dana
Kazi yako kukosoa watu wewe unanini cha kutuonyesha
@shukranimpomwa7460
21 күн бұрын
Hiyo ni Biblia imesomwa jamani Duhh!! Au kwasababu aliyesoma Ni mtu mnaemchukia??? 👉👉Kumbukumbu la Torati 27:26 Na alaaniwe asiyeyaweka imara maneno ya torati hii kwa kuyafanya. Na watu wote waseme, Amina.
Mwakasege na abiud. Msiwachanganye na mabii.
@Mbarikiwa_Mwakipesile
21 күн бұрын
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu? Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia. Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho. Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu? Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
@saraphinalupenza7580
21 күн бұрын
Mhhhhhh
Mimi nabarikiwa na abihudi misholi hasa nyimbo zake sinaendelea kunibariki wewe Endelea kumtukana ila mimi najua MUNGU amemuinua ili MUNGU atukuzwe na watu wamataifa kupitia nyimbo zake
@Mbarikiwa_Mwakipesile
21 күн бұрын
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu? Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia. Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho. Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu? Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
@jorambranchofmud6299
21 күн бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile saww nimekuelewa inatakikana useme hawaambii watu ukweli ndo tujue ila tena title ya post yako pia ndo inafanya nikuelewe vibaya
@jorambranchofmud6299
21 күн бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile lakini nimesikiliza maneno ya wimbo Ni mazuri sana na maonyo kwa wale ambao wamekataa kweli barikiwa
@Mbarikiwa_Mwakipesile
21 күн бұрын
@@jorambranchofmud6299 post ina maelezo madogo yanayofanana kinachomaanishwa kwenye wimbo.
Ujumbe mzuri ila waliobarikiwa kwako Kikosi kazi ni wepi? Au ni wewe peke yako?
@Mbarikiwa_Mwakipesile
21 күн бұрын
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu? Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia. Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho. Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu? Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
Ulaniwe mwenyewe
@emanuelmkama1325
22 күн бұрын
Lusfa amekutawal uwez kuon kwel
@shukranimpomwa7460
21 күн бұрын
Yaani Mungu alaaniwe, maana hiyo ni Biblia imesomwa; 👉👉IKumbukumbu la Torati 27:26 Na alaaniwe asiyeyaweka imara maneno ya torati hii kwa kuyafanya. Na watu wote waseme, Amina.
ila Kumbuka wao hawakuwa maarufu kwa kushinda kuwasema watu mitandaoni Hukuwahi dhani kuwa Mungu anaweza kuwatumia hata wasio Fundisha Ubatizo kama wako Sasa Ungekuwa Mungu unge mfutilia Mbali kwa Bahati Mbaya haiko hivyo Uchungu tuu na Wivu
@Mbarikiwa_Mwakipesile
17 күн бұрын
Wewe hapa unamsema panya haumsemi mtu? Na wewe unatafuta umaarufu?
@issayamsyani7842
17 күн бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile WE NI MCHOKOZI TUU ukikamatwa UNASINGIZIA HATA MITUME AKINA PETRO NA PAULO WALIWEKWA MAGEREZANI wakati wao si kwasababu za KUJITAKIA na KUTAFUTA KIKI kama wewe SAWA Kuna wakati upo sahihi ila sio KWAMBA UNAJUWA KILA KITU na hata UKIONYWA HUWEZI KUGEUKA KWASABABU YA KIBURI ILA WEWE NDIO UNATAKA UWE UNAONYA WATU ila wewe hutaki unahisi upo Sahihi kwa kila KITU Think again Man of God
Umelaaniwa mwenyewe
@Mbarikiwa_Mwakipesile
21 күн бұрын
Wewe umebarikiwa chuki na hasira zisizo na sababu. Bila shaka umebarikiwa na kila aina ya uchungu na ubaya kwa sababu ya ubaya wa roho yako.
@shukranimpomwa7460
21 күн бұрын
Hahahahaha 🤣🤣🤣🤣🤣, Ninywe maji kidogo🥤. Sasa hapo unaniambia Mungu alaaniwe, maana hiyo ni Biblia imesomwa. 👉👉Kumbukumbu la Torati 27:26 Na alaaniwe asiyeyaweka imara maneno ya torati hii kwa kuyafanya. Na watu wote waseme, Amina.
Ukimsema mtu toa sababu Mwakasege na Abiudi wana shida gan
@Mbarikiwa_Mwakipesile
22 күн бұрын
Sikiliza wimbo mpaka mwisho. Wasio na mihemko ya kishetani wameelewa
@Dianamwansasu
22 күн бұрын
@@Mbarikiwa_MwakipesileMungu akusamehe
@samwelingasa1638
22 күн бұрын
Mseme mtu Kwa udhibitisho wa video kama hauna bas wewe ni mnafiki
@damilesmlongo2259
22 күн бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile Mungu akusamehe .......kiburi cha uzima hicho......tangu umeanza kuwasema hawajawahi kukujibu.......tafakari........
@Mbarikiwa_Mwakipesile
21 күн бұрын
@@damilesmlongo2259 ukijibu wewe ndiyo jibu lao
Yani mbarikiwa kazi yako ni kukosoa watumissh wa mungu wewe je nimkamilifu
@Dianamwansasu
22 күн бұрын
Haswa
@Mbarikiwa_Mwakipesile
21 күн бұрын
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu? Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia. Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho. Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu? Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
wewe umefanya nini jipu mgogoni limepona wewe kila siku unakosowa serikali mara unakosowa watumishi wa mungu wewe nani hata uwaone hawa wanapotea wewe ni mjinga sana unamkashifu mwakasege mtu wa mungu ameubiri zaidi ya miaka 40 leo unasema alaaniwe mwamposa ameubiri zaidi ya miaka 28 wewe unasema amelaaniwe umelaaniwa wewe na uzao wako una heshima una adabu wewe
@petromgaya1746
22 күн бұрын
Weka akiba ya matusi na maneno hayo siku ya mwisho utatoa hesabu amina
@Mbarikiwa_Mwakipesile
21 күн бұрын
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu? Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia. Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho. Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu? Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
@RoseChacha-bp6yi
20 күн бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile we unawalaani Mungu anatamani wabadilike. Mungu anampenda kila mtu, wewe unaombea mabaya yeye anaombewa na wengine. Hivi Mungu analaani laani tuu😢
@Mbarikiwa_Mwakipesile
20 күн бұрын
@@RoseChacha-bp6yi sio Mbarikiwa aliyewalaani ni maandiko (KUMBU 27:26, 28:15-68).
@user-lc6te2pe2l
18 күн бұрын
Sema walokole wengi wanapenda kujihesabia haki na hata wakitenda dhambi hawataki kuambiwa ukweli chapa injili Mbarikiwa.
Mwakasege amekufanya nn na Abiudi
@Mbarikiwa_Mwakipesile
22 күн бұрын
Sikiliza wimbo mpaka mwisho. Wasio na mihemko ya kishetani wameelewa
@Dianamwansasu
22 күн бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesiletukitii sauti ya bwana tutabarikiwa tutokapo na tuingiapo
@samwelingasa1638
22 күн бұрын
Mseme mtu Kwa udhibitisho wa video kama hauna bas wewe ni mnafiki
@humphreymwihambi4330
22 күн бұрын
Naona unachanganyikiwa zaidi. Elimi nayo ambayo huna inachangia sana@@Mbarikiwa_Mwakipesile
@shukranimpomwa7460
21 күн бұрын
@@samwelingasa1638🤣🤣🤣🤣, tumefika mbali yaani Mpaka Unaitusi Biblia.
Wivi na Hila mbaya sana achawivu
Mseme mtu Kwa udhibitisho wa video kama hauna bas wewe ni mnafiki nipe video ya Mwakasege na Abiudi wakihubiri vibaya nikuone ww mwamba sio wote wabaya
@Mbarikiwa_Mwakipesile
21 күн бұрын
Hapo sijasema Mwakasege wala Abiud au Mbarikiwa wana matatizo, bali wafuasi wao au wanaosikiliza mahubiri yao, KAMA HAWAFANYI YOTE AMBAYO BIBLIA ILIAGIZA WAMELAANIWA. MBONA NIMESOMA MAANDIKO NDIVYO ALIVYOSEMA KATIKA KUMB 27:26, 28:15:66? Wanadamu Mbarikiwa mnamchukia na Biblia nayo pia mwaichukia kwa sababu imesomwa na adui yenu? Nabii, au mtume, au mchungaji au mcha Mungu anatakiwa kupinga na kukemea rushwa, mauaji, wizi, ufisadi, maonezi, dhuluma nk. Hiyo sio karama au kipawa cha mtu fulani kwa sababu mnasema ni mwinjilisti au ni karama yake. Imeandikwa hivi katika Mithali 8:13 Kumcha Bwana ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia. Kisha IKAANDIKWA kuwa (2 Timotheo 4:2) lihubiri neno, uwe tayari, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, na kuonya kwa uvumilivu wote na mafundisho. Je, hapo imesema mwenye kukemea uovu ni huyo mnayemwita mwinjilisti tu? Au ni wajibu wa kila amchae Mungu? Nimeona wengi wenu mkionyesha kuwa mnafurahishwa sana na kuuawa kwa mwanangu na kufungwa kwangu gerezani kwa sababu ya kusoma maandiko yanayowakela. Anyway, endeleeni na sherehe ila kwangu huko ndio kuhubiri. Nimepatwa na yote yaliyonipata kwa sababu hiyo na kwa sababu hiyo niko tayari kwa yote mnayoyataka yanipate. Ila kila mtakaponiona kwa wimbo au mahubiri mtaona nikikemea hayo.
@samwelingasa1638
18 күн бұрын
Unamsema sana Mwakasege anahubiri mafundisho ya kishetani thibitisha wapi na Abiudi unasema ni tapeli toa video useme amekutapeli wapi tuone kweli ww ni mtumishi wa Mungu
@avelinaluoga9141
17 күн бұрын
@@Mbarikiwa_Mwakipesile huna jipya mtumishi gan anashinda mitandaoni na kujibu kila comment
@Mbarikiwa_Mwakipesile
17 күн бұрын
@@avelinaluoga9141 ni kwa sababu wewe pia unashinda mtandaoni kujua kuwa tunajibu kila comment.
@avelinaluoga9141
17 күн бұрын
Hakuna kitu hapo mnabwata mno
Acha mawazo potofu kuhisi upo sahihi wewe
@shukranimpomwa7460
21 күн бұрын
Kweli tumefika mbali, yaani Mpaka kuitusi Biblia?? Hayo ni maandiko kayasoma; au kwasababu aliyesoma Ni mtu mnaemchukia. Kumbukumbu la Torati 27:26 Na alaaniwe asiyeyaweka imara maneno ya torati hii kwa kuyafanya. Na watu wote waseme, Amina.
@agapeKabelege-ci4hr
21 күн бұрын
Sio kakosea kusoma biblia ila majina ya watu kwenye title ya Nini? Na ndio mana watu wanapata shda mnawachamganya lakini angesoma biblia tu bila uchokozi wa hiyo title mbn angeeleweka? Ni wimbo mzuri tu na unaeleweka ila hiyo title ni uchokozi kabisa Yani Mungu atusaidie jmn😥@@shukranimpomwa7460
Ndio mtendao zambi mmelaniwa kwa mjibu wa biblia ata kama mna pessa ila mmelaniwa wote mnao ubili kinyume na biblia Wakolosai 3 5 Basi, vifisheni viungo vyenu vilivyo katika nchi, uasherati, uchafu, tamaa mbaya, mawazo mabaya, na kutamani, ndiyo ibada ya sanamu; 6 kwa ajili ya mambo hayo huja ghadhabu ya Mungu.
Huyu tutaotesha vijit tuone huduma ya nan itachipua