Rais Magufuli aimbana TRA, Wizara ya Fedha, ataka majibu
Rais Magufuli ambana Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato
Tanzania (TRA), Charles Kichere pamoja na Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango juu ya makato ya kodi yanayolalamikiwa na wachimbaji wa madini.
Пікірлер: 1
Watanzania tumeondokewa hpa