Rais Magufuli aimbana TRA, Wizara ya Fedha, ataka majibu

Rais Magufuli ambana Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato
Tanzania (TRA), Charles Kichere pamoja na Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango juu ya makato ya kodi yanayolalamikiwa na wachimbaji wa madini.

Пікірлер: 1

  • @kassimdneedy7100
    @kassimdneedy7100 Жыл бұрын

    Watanzania tumeondokewa hpa