MAGUFULI BILA KUPEPESA MACHO AMPA MAKAVU WAZIRI MKUU "WAKUOMBEA, MIAKA 10 NI PROBABILITY"
Жүктеу.....
Пікірлер: 70
@ibel4lf3 жыл бұрын
JPM hawezi kukaa na kitu moyoni yy anaongea tu kilichoko moyoni ucheke unune yy keshaongea.... nilipokuwa naangalia live nilikuwa naogopa utadhani mie ndio Kassim Majaliwa 🤣
@munaahmed84993 жыл бұрын
Yaani rais wetu ukiwa hueleweki kwenye kazi yako tu haangalii kuw ww ni nani kwake hata kam ni mwanae yeye anatumbua ndio tujue kuw tumejaaliw rais asokuw na ubaguz angekuw mtu mwingine hatumbui anakaa kimya ili anaekula ale tu jmn tuna rais walah Allah atulindie
@mohamedkikale72413 жыл бұрын
Ni ngumu sana wengi wetu kukuelewa, chapa kazi kiongozi wetu, Allah akuongoze vyema kwenye majukum yako ya kila siku.
@WASHATube
3 жыл бұрын
HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥
@maimunafundi35443 жыл бұрын
Hongera Magufuli kwa kuwa muwazi juu ya mawaziri na Waziri Mķuu ili wasijisahau
@mjitahidiomary87333 жыл бұрын
Jpm Wwe noma Sana hatutozulumiwa Haki zetu mungu akulinde MA shallah
@andulilemwakihabha20483 жыл бұрын
Wanao mchukia Magufuri Basi hao ni wachawi tu sio bule watanzania inabidi tumshukuru Mungu kwa kutupa huyu raisi ni raisi muwazi na mkweli
@WASHATube
3 жыл бұрын
HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥
@mwanajumaomahundumla65043 жыл бұрын
Ninachompendea huyu baba anasemagaukweli haogopi chochote ukinuna au ucheke utajua mwenyewe
@hamedabashir9
3 жыл бұрын
Umeliona eeh😂😂😂😂😀
@mwanajumaomahundumla6504
3 жыл бұрын
@@hamedabashir9 kabisa😁
@andulilemwakihabha2048
3 жыл бұрын
Kweli kabisa mtu mkweli ni mapenzi wa Mungu
@mwanajumaomahundumla6504
3 жыл бұрын
@@andulilemwakihabha2048 sanaa
@deborahdeogratius44473 жыл бұрын
Tunaotamani majaliwa aendelee kuwa waziri mkuu like tujuane
@agnesjuma679
3 жыл бұрын
Tuko pamoj
@titosiampala92833 жыл бұрын
Tanzania president is for the people, not corrupt like many in his position.
@WASHATube
3 жыл бұрын
HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥
@WASHATube3 жыл бұрын
HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥
@emmanuelzao3 жыл бұрын
😎
@bjzee19813 жыл бұрын
Mkapanishiwe kule. Wapi
@dizodi_vituko3 жыл бұрын
mcheki magufuli hapa
@kondoagirl38163 жыл бұрын
😭😭😭
@peterblack52803 жыл бұрын
Really sarcastic words
@WASHATube
3 жыл бұрын
HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥
@jokeableking70393 жыл бұрын
Magufuli hazoeleki ukiteteleka tu anakutupilia mbali!!!!!!!!!!!!!! Hapo ndo ujue magufuli yuko pekee yake hana guarantee pia
@WASHATube
3 жыл бұрын
HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥
@ibel4lf
3 жыл бұрын
Kabisa na ndio maana Majaliwa alipoteuliwa alisema sikutarajia
@samwelombeni6850
3 жыл бұрын
@@ibel4lf kweli kabisa
@ibrahimally73613 жыл бұрын
Songen pa1 Mzee
@danielalphonce1653
3 жыл бұрын
Huwezi kusonga na mtu anayekuvuta shati dawa ni kumpa tahadhari mapema kwamba tunasonga pamoja ila ukizingua njiani nakuacha na hiyo imekaa vzr maana ushapewa tahadhari tena hadharani tena mapema kabla ya safari haijaanza. JPM anamuamini Majaliwa tena sana ila hapo ni kumkumbusha kuwa mzigo walioubeba hasa mhula huu wa pili ni mzito kwaiyo ni lazima achape kazi vinginevyo atatupwa nje ya ulingo. Nikuibie siri Majaliwa anaandaliwa kuwa Rais ajaye na hilo liweke akilini
@haikajohn75803 жыл бұрын
Utenda kazi wenu utawasimamia ongezeni bidii
@WASHATube
3 жыл бұрын
HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥
Пікірлер: 70
JPM hawezi kukaa na kitu moyoni yy anaongea tu kilichoko moyoni ucheke unune yy keshaongea.... nilipokuwa naangalia live nilikuwa naogopa utadhani mie ndio Kassim Majaliwa 🤣
Yaani rais wetu ukiwa hueleweki kwenye kazi yako tu haangalii kuw ww ni nani kwake hata kam ni mwanae yeye anatumbua ndio tujue kuw tumejaaliw rais asokuw na ubaguz angekuw mtu mwingine hatumbui anakaa kimya ili anaekula ale tu jmn tuna rais walah Allah atulindie
Ni ngumu sana wengi wetu kukuelewa, chapa kazi kiongozi wetu, Allah akuongoze vyema kwenye majukum yako ya kila siku.
@WASHATube
3 жыл бұрын
HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥
Hongera Magufuli kwa kuwa muwazi juu ya mawaziri na Waziri Mķuu ili wasijisahau
Jpm Wwe noma Sana hatutozulumiwa Haki zetu mungu akulinde MA shallah
Wanao mchukia Magufuri Basi hao ni wachawi tu sio bule watanzania inabidi tumshukuru Mungu kwa kutupa huyu raisi ni raisi muwazi na mkweli
@WASHATube
3 жыл бұрын
HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥
Ninachompendea huyu baba anasemagaukweli haogopi chochote ukinuna au ucheke utajua mwenyewe
@hamedabashir9
3 жыл бұрын
Umeliona eeh😂😂😂😂😀
@mwanajumaomahundumla6504
3 жыл бұрын
@@hamedabashir9 kabisa😁
@andulilemwakihabha2048
3 жыл бұрын
Kweli kabisa mtu mkweli ni mapenzi wa Mungu
@mwanajumaomahundumla6504
3 жыл бұрын
@@andulilemwakihabha2048 sanaa
Tunaotamani majaliwa aendelee kuwa waziri mkuu like tujuane
@agnesjuma679
3 жыл бұрын
Tuko pamoj
Tanzania president is for the people, not corrupt like many in his position.
@WASHATube
3 жыл бұрын
HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥
HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥
😎
Mkapanishiwe kule. Wapi
mcheki magufuli hapa
😭😭😭
Really sarcastic words
@WASHATube
3 жыл бұрын
HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥
Magufuli hazoeleki ukiteteleka tu anakutupilia mbali!!!!!!!!!!!!!! Hapo ndo ujue magufuli yuko pekee yake hana guarantee pia
@WASHATube
3 жыл бұрын
HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥
@ibel4lf
3 жыл бұрын
Kabisa na ndio maana Majaliwa alipoteuliwa alisema sikutarajia
@samwelombeni6850
3 жыл бұрын
@@ibel4lf kweli kabisa
Songen pa1 Mzee
@danielalphonce1653
3 жыл бұрын
Huwezi kusonga na mtu anayekuvuta shati dawa ni kumpa tahadhari mapema kwamba tunasonga pamoja ila ukizingua njiani nakuacha na hiyo imekaa vzr maana ushapewa tahadhari tena hadharani tena mapema kabla ya safari haijaanza. JPM anamuamini Majaliwa tena sana ila hapo ni kumkumbusha kuwa mzigo walioubeba hasa mhula huu wa pili ni mzito kwaiyo ni lazima achape kazi vinginevyo atatupwa nje ya ulingo. Nikuibie siri Majaliwa anaandaliwa kuwa Rais ajaye na hilo liweke akilini
Utenda kazi wenu utawasimamia ongezeni bidii
@WASHATube
3 жыл бұрын
HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥
Naona majariwa arikuwa tumbojoto arijuwa anatumburiwa
VPN
Wananchi mumewakopa sio wamekukopa , na hivyo ni wajibu wenu kurudisha deni sasa
@WASHATube
3 жыл бұрын
HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥
JPM 🤣🤣🤣🤣
Bora nikae jobless kiliko kuteuliwa na huyu mzee 😂
@jumakapilima5674
3 жыл бұрын
Yaani,,,,,,,,amezidi mno kutishana!!!
@andulilemwakihabha2048
3 жыл бұрын
@@jumakapilima5674 hawatishi ila anawambia ukweli
@jumakapilima5674
3 жыл бұрын
@@andulilemwakihabha2048 hamna kitu!!
@WASHATube
3 жыл бұрын
HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥
@gloririwad5683
3 жыл бұрын
😂nimecheka kwa saut
Wajina kaza wanakusini tunakuombea
@WASHATube
3 жыл бұрын
HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥
Huko sasa ni kutishana, kiuongozi sio nzuri!!!
@bjzee1981
3 жыл бұрын
Hahaha. Chaguo letu wenyeweee. Acha tuisome namba
@andulilemwakihabha2048
3 жыл бұрын
Kwenye kazi sio kwa kuchekeana uo ni ukweli sio kutishana mana binaadam tunajisahau so lazima kuzingatia majukum walio pewa
@jumakapilima5674
3 жыл бұрын
@@andulilemwakihabha2048 huko ni kutishana bwana!!!
@yessecharles3155
3 жыл бұрын
sasa usitishwe ili ufanye mambo ya hovyo magufuli sio kwamba anamtisha bali anamwambia ukweli ili awe makini katika kazi zake
@jumakapilima5674
3 жыл бұрын
@@yessecharles3155 kaka huko ni kutishana, hamna namna nyingine unavyoweza kusema
🔥
Msuya alikua anarudiarudia
@WASHATube
3 жыл бұрын
HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥
Mungu anawaon washenzi wakubwa
@aishajuma7739
3 жыл бұрын
😡😡
A
@WASHATube
3 жыл бұрын
HOTELI YA KIFAHARI WATU ZAIDI YA MIL.1 WANAISHI HAPA kzread.info/dash/bejne/f59o1ZuJj9rgnNo.html NI UPDATE AMAIZING SANA🔥🔥
Mshaanza kulana wenyewe baada ya kuua wazanzibar mungu yupo
@nkwabicharles8752
3 жыл бұрын
U
@graceshawa3944
3 жыл бұрын
Usihukumu usije kuhukumiwa
@markpeter7101
3 жыл бұрын
Ni ukweli polisi waliua watu Nani kawatuma JPM jilo tutawaambia Tu
Wakurungezi na maafisa wa usalama walipiga kazi mno na tume ya uchaguzi
@jumakapilima5674
3 жыл бұрын
Hahahaa,,,,,!!!
Sio mchezo
Mwinyi ameelew mmeiba kura ndo maan hashangilii hata mara mmoja
@hamedabashir9
3 жыл бұрын
Toka hapa pimbi wee
@andulilemwakihabha2048
3 жыл бұрын
Wew mgonjwa