Duh! ASKARI KIBURI Abishana na MAGUFULI Mbele ya RPC - "AMENIINUA"

Duh! ASKARI KIBURI Abishana na MAGUFULI Mbele ya RPC - "AMENIINUA"
Rais Dkt John Magufuli, amefanya ziara ya kushtukiza katika gereza la Butimba lililopo mkoani Mwanza..
Alipofika gerezani hapo Rais Magufuli, amefanya mazungumzo na wafungwa wa gereza hilo na kusikiliza kero zao..
#JPM
kzread.info?list... www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

Пікірлер: 128

  • @Bennymwangaza
    @Bennymwangaza2 жыл бұрын

    The Police Man acted professionally

  • @DottRoBroc
    @DottRoBroc3 жыл бұрын

    I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I discovered and appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. Magufuli will forever remain a political example of integrity for all. I agree about Magulification of Africa!

  • @ashab2537
    @ashab25375 жыл бұрын

    Huyo mfugwa aliyemchongea, ajiandae kupata mateso mara mia

  • @kabete1099
    @kabete10993 жыл бұрын

    Confidence is key in life. Usitishiwe na MTU ata rais atatoka tu.

  • @lepadrechief4642

    @lepadrechief4642

    3 жыл бұрын

    Bible inasema tiini mamlaka ya waliokua juu yenu

  • @moanahlavidas3962

    @moanahlavidas3962

    3 жыл бұрын

    we jau kichiz u think kujibu hvyo ilipendeza?, ye anaulizwa anajibu jeur et kaniinua kias flani hii wananchi wengin ban et confidence...

  • @kabete1099

    @kabete1099

    3 жыл бұрын

    Haha😂😂 kumbe naeza kua mhenga. Nlitabiri mwisho wa magufuli na imekua kweli.

  • @alibabu4818
    @alibabu48183 жыл бұрын

    Ana mshukuru mungu kAinuliwa

  • @richardbuhatwa1940
    @richardbuhatwa19403 жыл бұрын

    Safi kamanda anajiamini hiyo sio kumnyenyekea sana mwanadamu mwenzako

  • @lydiaaruba6670
    @lydiaaruba66705 жыл бұрын

    Mimi mkenya ila Rais Magufuli ni kiongozi anayestahili shada👌👌👌

  • @allymbonyinshuti7200
    @allymbonyinshuti72003 жыл бұрын

    Ma shaa Allah

  • @danmarley4648
    @danmarley46483 жыл бұрын

    Magufuli ana kiburi zaidi....kama sio mungu kuinua hata yeye hangekua hapo.....

  • @sntiaratiara7211
    @sntiaratiara72115 жыл бұрын

    i love this man he has coufedce i wish ugandans have a prsdua lyk him💪💪💪

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    4 жыл бұрын

    Ofkoz!!!

  • @parkermekhi4728

    @parkermekhi4728

    2 жыл бұрын

    i guess I am kinda randomly asking but does anyone know a good website to watch new movies online?

  • @samwelmbua4193
    @samwelmbua41933 жыл бұрын

    Anamshukuru Mungu kapata kuinuliwa ili atoe kero yake juu ya hao wafungwa, he was right i think that statement meant like that.

  • @micamathew6433
    @micamathew64335 жыл бұрын

    Huyu atakosa kazi

  • @amnotthefather1518
    @amnotthefather15183 жыл бұрын

    Apana tishwa

  • @januarimagobe59
    @januarimagobe594 жыл бұрын

    Nimecheka basi tu

  • @bintiiddy7043
    @bintiiddy70435 жыл бұрын

    Haaahaaaa jaman 😂😂😂🤣🤣ameinuliwa

  • @kilawaomary7724

    @kilawaomary7724

    3 жыл бұрын

    jeje lyrics

  • @furahakefa4806
    @furahakefa48065 жыл бұрын

    Sukuma ndaniiiiiiiii apotelee huko

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga28483 жыл бұрын

    Anajiamini na kazi yake,maswali mengi amesababisha ajikwae ulimi

  • @abuukajembe2885
    @abuukajembe28853 жыл бұрын

    Kwel afande

  • @linalinhwefwe6584
    @linalinhwefwe65843 жыл бұрын

    Mbona kwenye media

  • @patientkambaza5686
    @patientkambaza56864 жыл бұрын

    Dady love you

  • @gaudencemlowe8399
    @gaudencemlowe8399 Жыл бұрын

    Safi sana

  • @elienezarumisha9996
    @elienezarumisha99965 жыл бұрын

    Et Kapewa Kiki😂😂😂😂

  • @stellapeter7208
    @stellapeter72085 жыл бұрын

    Askar anatakiwa awe hivyo.cheo cha kikatiba na kimafunzo tofauti acheni uoga

  • @asumaabibu5687

    @asumaabibu5687

    5 жыл бұрын

    Askar yuko sawa jmn

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    4 жыл бұрын

    Kabisa!!! moja ya sifa ya askari ni kijiamini, bahati mbaya sana kujiamini mbele ya viongozi wa nchi hii ni UJEURI/KIBURI

  • @erickmoenga1206
    @erickmoenga12063 жыл бұрын

    Nimekuja hapa ili wewe uinuliwe? Wewe naona uko na kiburu🤣😂😂

  • @presidentofafrica.5038

    @presidentofafrica.5038

    Ай бұрын

    😁😁😁

  • @luckygona3494
    @luckygona34945 жыл бұрын

    ...Maguful your the best president in afrika...GOD Bless you...

  • @edenbaraka7533

    @edenbaraka7533

    3 жыл бұрын

    For you

  • @lovekissseries4099
    @lovekissseries40995 жыл бұрын

    Kweli yuko kama amelewa yan hiyo mikono amefanyaje

  • @ramadhanmatinya7053
    @ramadhanmatinya70533 жыл бұрын

    Usalama weshafanya kazi zao wamesha toa taarifa kitambo mno

  • @thomasnyalianga242
    @thomasnyalianga2425 жыл бұрын

    Mimi nampa siku utasikia katumbuliwa au kashushwa cheo chake

  • @wamoroboy8963

    @wamoroboy8963

    3 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @dignajohnball5571
    @dignajohnball55715 жыл бұрын

    Nimekaa kota ukigoma kwenda shamba eti useme unaumwa cha moto utakiona yaani mgonjwa asiyewez kutembea na kazidiwa hata kuongea lakini maumivi tuuuu kazi utafanya tuuuuu

  • @ismailmashimba3470
    @ismailmashimba34705 жыл бұрын

    Huyo askari ni kumchota na kumsukuma ndani

  • @emmynyodi8436

    @emmynyodi8436

    5 жыл бұрын

    Ismail Mashimba angemfyekelea tu

  • @franklinekipkoech9453
    @franklinekipkoech94535 жыл бұрын

    Englishmen say power is like a pendulum. Today on your side tomorrow on the other side.

  • @amourfaki8737

    @amourfaki8737

    5 жыл бұрын

    Mh dikteta bas wazee wetu

  • @abedichande2497

    @abedichande2497

    5 жыл бұрын

    Ujue kuna watu wapo hapa tanzania lkn sina uakika na ulaia wao et dikteta hahahaha....kwel uchawi upo we jamaa utakuwa mchawi wewe

  • @evodiuskivili7499
    @evodiuskivili74993 жыл бұрын

    Ahaha kamanda

  • @fadhilmawazo9009
    @fadhilmawazo90095 жыл бұрын

    Muhma kitu chengine, cjui kama haja saura!!

  • @aishamussa9799
    @aishamussa97995 жыл бұрын

    Jamaa hana woga kabisa kuzungumza hivyo na Mh rais

  • @asumaabibu5687

    @asumaabibu5687

    5 жыл бұрын

    Kwani rais kitu gani askar yuko sawa alitaka amlambe matako

  • @floracharles1313

    @floracharles1313

    3 жыл бұрын

    We ulitaka aongeeje

  • @mako331
    @mako3315 жыл бұрын

    Askari magereza wengi wanauonevu sana mateso mengi huko mkuu

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    4 жыл бұрын

    Na wewe uache kuiba!!!

  • @daudichirstopher6727
    @daudichirstopher67273 жыл бұрын

    R I P

  • @jeanmubemba1204
    @jeanmubemba12045 жыл бұрын

    hahahahah Magu bana utatuvunja mbavu mkuu,huyo jamaa ameinuliwa haha

  • @reubenk.kalawa6570

    @reubenk.kalawa6570

    3 жыл бұрын

    Huyo jamaa ameinuliwa kweli

  • @naharajr6745
    @naharajr67455 жыл бұрын

    Kabisaa maskar kama hawa ndio wanaoalibu nchi

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    4 жыл бұрын

    Askari yuko sahihi!!!

  • @emanuelmwanga4
    @emanuelmwanga43 жыл бұрын

    Hhhhhhhhhjj uyu jamaa noma askari noma

  • @jimisonpius8100
    @jimisonpius81002 ай бұрын

    magu

  • @samwelmbua4193
    @samwelmbua41933 жыл бұрын

    Mikwara haifai., msionee watu wapeni UHURU wa kusema.

  • @chaucassim4123
    @chaucassim412310 ай бұрын

    Baba etu. Magufuli

  • @husseininteligence6234
    @husseininteligence62344 жыл бұрын

    Huyo mfungwa atakiona cha moto rais akiondoka

  • @assaandrew2411
    @assaandrew24113 жыл бұрын

    Huyu afande anaconfidance

  • @tinamzava834
    @tinamzava8343 жыл бұрын

    Amechoka

  • @nasbakari1849
    @nasbakari18495 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @abdilale52
    @abdilale523 жыл бұрын

    R.I.P

  • @mashaelieazer6120
    @mashaelieazer61205 жыл бұрын

    Askari jeuri hili,tena anabahati angetumbuliwa

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    4 жыл бұрын

    Sifa ya askari ni kujiamini, bahati mbaya sana kujiamini mbele ya baadhi ya viongozi wa nchi hii ni ujeuri/kiburi!!

  • @tomdee7504
    @tomdee75043 жыл бұрын

    Baba wa mwezetu Huyu ana nyanyasika kwenye utaftaji wake wa ugali watoto wake wakale huyo mfungwa atakoma

  • @moanahlavidas3962
    @moanahlavidas39623 жыл бұрын

    huyu kiburii..... alitaka aweke kwenye memes

  • @abdallahomari8680
    @abdallahomari86805 жыл бұрын

    Huyo askari anahaki yakujieleza naniuhuru wake hanakosa alichokisema nisahihi kilamtu anakazi yake naafanye kazi kulingana nasheria Rais hayupo juu yasheria. Hapo hakuna cha kuomba msamaha Rais wetu magufuli si Mungufuli.

  • @dominicomakungwa729

    @dominicomakungwa729

    5 жыл бұрын

    Mzeee tumbua huyo

  • @amourfaki8737

    @amourfaki8737

    5 жыл бұрын

    Mh nawe kajifunze nidhamu

  • @yohanandalahwa983

    @yohanandalahwa983

    5 жыл бұрын

    kama ungelikuwa mchezaji wa mpira tungesema umekimbilia kucheza Rafu bila kujua hata kuwa mwenzio mpira ukifika tu anatoa pass,halafu wewe unamkwatua watu wanabakia wana kushangaa.........umekimbilia ku comment hata hujajua huyo asikari kasema nn hadi jpm ka kasirika....

  • @asumaabibu5687

    @asumaabibu5687

    5 жыл бұрын

    Ata mm nashangaa rais hajamtendea haki.

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    4 жыл бұрын

    @@yohanandalahwa983 pumba

  • @sammysammy2001
    @sammysammy20013 жыл бұрын

    Nae cheza mnyoe Sina huruma Mimi

  • @user-rb9kv7bm6m
    @user-rb9kv7bm6m6 ай бұрын

    Nyundo imepigilia mapaa mengi itajumbukwa

  • @kavisille1815
    @kavisille18153 жыл бұрын

    Mr president himself

  • @sifamushi1747
    @sifamushi17473 жыл бұрын

    Toa nyota zake uyooo...

  • @awardhakimu4777
    @awardhakimu47773 жыл бұрын

    Huyu atakua mndali huyu

  • @lucywilliam3559
    @lucywilliam35595 жыл бұрын

    askari sidhani kama alipita JESHI. huwezi kuwa na maneno mengi ktk swali la jibu MOJA

  • @vinnahmichael133

    @vinnahmichael133

    5 жыл бұрын

    Kabisa

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    4 жыл бұрын

    Huyu ndie aina ya askari tunaowataka!!

  • @edenbaraka7533
    @edenbaraka75333 жыл бұрын

    Maswali mengine yakudhalilishana tu.

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri65243 жыл бұрын

    Yahni unajua ukiwa na akili afu mjinga ni losi kubwa sana

  • @bonabonala42
    @bonabonala423 жыл бұрын

    Jpm hayo afande unamuonea2

  • @osodowilberforce2321
    @osodowilberforce23213 жыл бұрын

    Huyo si askari,mpumbavu sana na afutwe kazi mara moja.Haiwezekani askari kujibishana na Rais.

  • @geofreygodfrey6402

    @geofreygodfrey6402

    3 жыл бұрын

    Foolish

  • @Danmetrofm
    @Danmetrofm3 жыл бұрын

    Hehehe

  • @penpoomsukuma1818
    @penpoomsukuma18183 жыл бұрын

    Una pita

  • @ithewakui4839
    @ithewakui48395 жыл бұрын

    Huyu rais mkoloni kweli dictator!!!

  • @errydeo8865

    @errydeo8865

    5 жыл бұрын

    fafanua...au ndo unaamka?

  • @ithewakui4839

    @ithewakui4839

    5 жыл бұрын

    @@errydeo8865 anasomea aje mwanamme ka bibi yake?

  • @georgekinabo68
    @georgekinabo685 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣 sipati picha uko alipo huyo askar sasa

  • @saraphinamichael2203

    @saraphinamichael2203

    5 жыл бұрын

    GEORGE KINABO 😂😂😂😂 Askari mavi si mavi mkojo si mkojo🤣🤣🤣

  • @georgekinabo68

    @georgekinabo68

    5 жыл бұрын

    @@saraphinamichael2203 🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂

  • @latifahabib8413
    @latifahabib84135 жыл бұрын

    Wanyonge peponi😀😀😀😀😇😇😀😇😀😇😇😇😬😬😉😡😢😢😇😇

  • @jawawahab4689
    @jawawahab46893 жыл бұрын

    Ku

  • @dianafyondi3265
    @dianafyondi32655 жыл бұрын

    Huyu askari hafai kabisa. Inaonekana ana dharau sana. Tena imeonyesha wazi kama kunawafungwa wako chini yake wanapata taabu sana.

  • @shaabanramadhan6770

    @shaabanramadhan6770

    5 жыл бұрын

    Yeah ameonesha dharau mbele ya rais imekula kwake

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    4 жыл бұрын

    Huyu askari yuko vizuri Sana, ndio wanaotakiwa kama hao!!!

  • @neemamassawe3029
    @neemamassawe30295 жыл бұрын

    Kiburi chake kipo wapi?

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    4 жыл бұрын

    Yaani we acha tu,,,,lakini ndio kule kujimwambafy kulikosemwa!!!!!

  • @soudybrown1494

    @soudybrown1494

    3 жыл бұрын

    Askari cku zte ni ndio afande hata kma unaonea malalamiko baadae,askari hutakiw kubishana na mkuu wako wa kazi hata kma hayuko sahihi na hyo ndo nidhamu ya kijeshi na ndo ipo hvyo

  • @b.3940
    @b.39404 жыл бұрын

    Aliinuliwa kivipi? Hela ama mahaba?

  • @eliasinyamoya7959
    @eliasinyamoya79594 жыл бұрын

    H

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan67705 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣hyo afande hana chake hpo hamjui magu ati ameniinua hpo hana kazi tena kiburi chake hakina faida

  • @ezekielmalibani1484
    @ezekielmalibani14844 жыл бұрын

    Dicteter kweli

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima56744 жыл бұрын

    Sifa moja ya uaskari ni kujiamini, bahati mbaya sana, kujiamini mbele ya baadhi ya viongozi wa nchi hii ni ujeuri/kiburi!!!

  • @daudijohn6429

    @daudijohn6429

    3 жыл бұрын

    Siyo kila sehemu pakujiani inategemeana unajiamini sehemu gani fukuza huyoo

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    3 жыл бұрын

    @@daudijohn6429 huna unalolijua!!!!

  • @dignajohnball5571
    @dignajohnball55715 жыл бұрын

    Yaani huyomfungwa atakuwaanapigwa atajuta kasemea nin namwonea hurum

  • @stanslausmasinde5844

    @stanslausmasinde5844

    5 жыл бұрын

    raisi ninakushukuru kwa kutimiza wajibu wako

  • @yussufdegea6662
    @yussufdegea66623 жыл бұрын

    😆😆😆😆😆😆

  • @mahony1664
    @mahony16644 жыл бұрын

    Huyo askari amejieleza hamna cha kuomba msamaha..magufuli ni dictator na ndiye ako na kiburi

  • @shabaniiddi5081
    @shabaniiddi50813 жыл бұрын

    Xxx L

  • @yusuphmeshack2157
    @yusuphmeshack21573 жыл бұрын

    Duh tujiajili tu

  • @dadakijembe3706
    @dadakijembe37065 жыл бұрын

    Hyu askar jela ni mfisadi huyu mwizi kabisa

  • @edwardlucas8912
    @edwardlucas89123 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂

Келесі