Duh! ASKARI KIBURI Abishana na MAGUFULI Mbele ya RPC - "AMENIINUA"
Duh! ASKARI KIBURI Abishana na MAGUFULI Mbele ya RPC - "AMENIINUA"
Rais Dkt John Magufuli, amefanya ziara ya kushtukiza katika gereza la Butimba lililopo mkoani Mwanza..
Alipofika gerezani hapo Rais Magufuli, amefanya mazungumzo na wafungwa wa gereza hilo na kusikiliza kero zao..
#JPM
kzread.info?list... www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho
Пікірлер: 128
The Police Man acted professionally
I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I discovered and appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. Magufuli will forever remain a political example of integrity for all. I agree about Magulification of Africa!
Huyo mfugwa aliyemchongea, ajiandae kupata mateso mara mia
Confidence is key in life. Usitishiwe na MTU ata rais atatoka tu.
@lepadrechief4642
3 жыл бұрын
Bible inasema tiini mamlaka ya waliokua juu yenu
@moanahlavidas3962
3 жыл бұрын
we jau kichiz u think kujibu hvyo ilipendeza?, ye anaulizwa anajibu jeur et kaniinua kias flani hii wananchi wengin ban et confidence...
@kabete1099
3 жыл бұрын
Haha😂😂 kumbe naeza kua mhenga. Nlitabiri mwisho wa magufuli na imekua kweli.
Ana mshukuru mungu kAinuliwa
Safi kamanda anajiamini hiyo sio kumnyenyekea sana mwanadamu mwenzako
Mimi mkenya ila Rais Magufuli ni kiongozi anayestahili shada👌👌👌
Ma shaa Allah
Magufuli ana kiburi zaidi....kama sio mungu kuinua hata yeye hangekua hapo.....
i love this man he has coufedce i wish ugandans have a prsdua lyk him💪💪💪
@jumakapilima5674
4 жыл бұрын
Ofkoz!!!
@parkermekhi4728
2 жыл бұрын
i guess I am kinda randomly asking but does anyone know a good website to watch new movies online?
Anamshukuru Mungu kapata kuinuliwa ili atoe kero yake juu ya hao wafungwa, he was right i think that statement meant like that.
Huyu atakosa kazi
Apana tishwa
Nimecheka basi tu
Haaahaaaa jaman 😂😂😂🤣🤣ameinuliwa
@kilawaomary7724
3 жыл бұрын
jeje lyrics
Sukuma ndaniiiiiiiii apotelee huko
Anajiamini na kazi yake,maswali mengi amesababisha ajikwae ulimi
Kwel afande
Mbona kwenye media
Dady love you
Safi sana
Et Kapewa Kiki😂😂😂😂
Askar anatakiwa awe hivyo.cheo cha kikatiba na kimafunzo tofauti acheni uoga
@asumaabibu5687
5 жыл бұрын
Askar yuko sawa jmn
@jumakapilima5674
4 жыл бұрын
Kabisa!!! moja ya sifa ya askari ni kijiamini, bahati mbaya sana kujiamini mbele ya viongozi wa nchi hii ni UJEURI/KIBURI
Nimekuja hapa ili wewe uinuliwe? Wewe naona uko na kiburu🤣😂😂
@presidentofafrica.5038
Ай бұрын
😁😁😁
...Maguful your the best president in afrika...GOD Bless you...
@edenbaraka7533
3 жыл бұрын
For you
Kweli yuko kama amelewa yan hiyo mikono amefanyaje
Usalama weshafanya kazi zao wamesha toa taarifa kitambo mno
Mimi nampa siku utasikia katumbuliwa au kashushwa cheo chake
@wamoroboy8963
3 жыл бұрын
😂😂😂
Nimekaa kota ukigoma kwenda shamba eti useme unaumwa cha moto utakiona yaani mgonjwa asiyewez kutembea na kazidiwa hata kuongea lakini maumivi tuuuu kazi utafanya tuuuuu
Huyo askari ni kumchota na kumsukuma ndani
@emmynyodi8436
5 жыл бұрын
Ismail Mashimba angemfyekelea tu
Englishmen say power is like a pendulum. Today on your side tomorrow on the other side.
@amourfaki8737
5 жыл бұрын
Mh dikteta bas wazee wetu
@abedichande2497
5 жыл бұрын
Ujue kuna watu wapo hapa tanzania lkn sina uakika na ulaia wao et dikteta hahahaha....kwel uchawi upo we jamaa utakuwa mchawi wewe
Ahaha kamanda
Muhma kitu chengine, cjui kama haja saura!!
Jamaa hana woga kabisa kuzungumza hivyo na Mh rais
@asumaabibu5687
5 жыл бұрын
Kwani rais kitu gani askar yuko sawa alitaka amlambe matako
@floracharles1313
3 жыл бұрын
We ulitaka aongeeje
Askari magereza wengi wanauonevu sana mateso mengi huko mkuu
@jumakapilima5674
4 жыл бұрын
Na wewe uache kuiba!!!
R I P
hahahahah Magu bana utatuvunja mbavu mkuu,huyo jamaa ameinuliwa haha
@reubenk.kalawa6570
3 жыл бұрын
Huyo jamaa ameinuliwa kweli
Kabisaa maskar kama hawa ndio wanaoalibu nchi
@jumakapilima5674
4 жыл бұрын
Askari yuko sahihi!!!
Hhhhhhhhhjj uyu jamaa noma askari noma
magu
Mikwara haifai., msionee watu wapeni UHURU wa kusema.
Baba etu. Magufuli
Huyo mfungwa atakiona cha moto rais akiondoka
Huyu afande anaconfidance
Amechoka
😂😂😂😂😂😂
R.I.P
Askari jeuri hili,tena anabahati angetumbuliwa
@jumakapilima5674
4 жыл бұрын
Sifa ya askari ni kujiamini, bahati mbaya sana kujiamini mbele ya baadhi ya viongozi wa nchi hii ni ujeuri/kiburi!!
Baba wa mwezetu Huyu ana nyanyasika kwenye utaftaji wake wa ugali watoto wake wakale huyo mfungwa atakoma
huyu kiburii..... alitaka aweke kwenye memes
Huyo askari anahaki yakujieleza naniuhuru wake hanakosa alichokisema nisahihi kilamtu anakazi yake naafanye kazi kulingana nasheria Rais hayupo juu yasheria. Hapo hakuna cha kuomba msamaha Rais wetu magufuli si Mungufuli.
@dominicomakungwa729
5 жыл бұрын
Mzeee tumbua huyo
@amourfaki8737
5 жыл бұрын
Mh nawe kajifunze nidhamu
@yohanandalahwa983
5 жыл бұрын
kama ungelikuwa mchezaji wa mpira tungesema umekimbilia kucheza Rafu bila kujua hata kuwa mwenzio mpira ukifika tu anatoa pass,halafu wewe unamkwatua watu wanabakia wana kushangaa.........umekimbilia ku comment hata hujajua huyo asikari kasema nn hadi jpm ka kasirika....
@asumaabibu5687
5 жыл бұрын
Ata mm nashangaa rais hajamtendea haki.
@jumakapilima5674
4 жыл бұрын
@@yohanandalahwa983 pumba
Nae cheza mnyoe Sina huruma Mimi
Nyundo imepigilia mapaa mengi itajumbukwa
Mr president himself
Toa nyota zake uyooo...
Huyu atakua mndali huyu
askari sidhani kama alipita JESHI. huwezi kuwa na maneno mengi ktk swali la jibu MOJA
@vinnahmichael133
5 жыл бұрын
Kabisa
@jumakapilima5674
4 жыл бұрын
Huyu ndie aina ya askari tunaowataka!!
Maswali mengine yakudhalilishana tu.
Yahni unajua ukiwa na akili afu mjinga ni losi kubwa sana
Jpm hayo afande unamuonea2
Huyo si askari,mpumbavu sana na afutwe kazi mara moja.Haiwezekani askari kujibishana na Rais.
@geofreygodfrey6402
3 жыл бұрын
Foolish
Hehehe
Una pita
Huyu rais mkoloni kweli dictator!!!
@errydeo8865
5 жыл бұрын
fafanua...au ndo unaamka?
@ithewakui4839
5 жыл бұрын
@@errydeo8865 anasomea aje mwanamme ka bibi yake?
🤣🤣🤣🤣 sipati picha uko alipo huyo askar sasa
@saraphinamichael2203
5 жыл бұрын
GEORGE KINABO 😂😂😂😂 Askari mavi si mavi mkojo si mkojo🤣🤣🤣
@georgekinabo68
5 жыл бұрын
@@saraphinamichael2203 🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂
Wanyonge peponi😀😀😀😀😇😇😀😇😀😇😇😇😬😬😉😡😢😢😇😇
Ku
Huyu askari hafai kabisa. Inaonekana ana dharau sana. Tena imeonyesha wazi kama kunawafungwa wako chini yake wanapata taabu sana.
@shaabanramadhan6770
5 жыл бұрын
Yeah ameonesha dharau mbele ya rais imekula kwake
@jumakapilima5674
4 жыл бұрын
Huyu askari yuko vizuri Sana, ndio wanaotakiwa kama hao!!!
Kiburi chake kipo wapi?
@jumakapilima5674
4 жыл бұрын
Yaani we acha tu,,,,lakini ndio kule kujimwambafy kulikosemwa!!!!!
@soudybrown1494
3 жыл бұрын
Askari cku zte ni ndio afande hata kma unaonea malalamiko baadae,askari hutakiw kubishana na mkuu wako wa kazi hata kma hayuko sahihi na hyo ndo nidhamu ya kijeshi na ndo ipo hvyo
Aliinuliwa kivipi? Hela ama mahaba?
H
🤣🤣🤣🤣🤣🤣hyo afande hana chake hpo hamjui magu ati ameniinua hpo hana kazi tena kiburi chake hakina faida
Dicteter kweli
Sifa moja ya uaskari ni kujiamini, bahati mbaya sana, kujiamini mbele ya baadhi ya viongozi wa nchi hii ni ujeuri/kiburi!!!
@daudijohn6429
3 жыл бұрын
Siyo kila sehemu pakujiani inategemeana unajiamini sehemu gani fukuza huyoo
@jumakapilima5674
3 жыл бұрын
@@daudijohn6429 huna unalolijua!!!!
Yaani huyomfungwa atakuwaanapigwa atajuta kasemea nin namwonea hurum
@stanslausmasinde5844
5 жыл бұрын
raisi ninakushukuru kwa kutimiza wajibu wako
😆😆😆😆😆😆
Huyo askari amejieleza hamna cha kuomba msamaha..magufuli ni dictator na ndiye ako na kiburi
Xxx L
Duh tujiajili tu
Hyu askar jela ni mfisadi huyu mwizi kabisa
😂😂😂😂😂