Rais Magufuli aeleza sababu za kuwabadilisha Prof Kabudi na Dkt Mahiga

Rais John Magufuli ameweka wazi sababu za kufanya mabadiliko madogo kwenye baraza la mawaziri kwa kuwabadilisha Waziri wa Katiba na Sheria hivi sasa Dkt Mahiga na Prof Kabudi aliyeteuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.
#Uteuzi #AzamTWO #AzamTVApp #AzamTVUpdates

Пікірлер: 9

  • @deustutu1162
    @deustutu11625 жыл бұрын

    kabud anaijua sheria kwahyo hata mwekezaj akitaka kuja anapewa mistar ya mana safi Sana hongera jpm

  • @issakabwende5083
    @issakabwende50835 жыл бұрын

    Rais wangu kocha wa timu ya Maendeleo FC TZ panga tu kikosi muhimu tunashinda mechi nyingi za nje na ndani ya nchi

  • @salimmauly9575
    @salimmauly95755 жыл бұрын

    Huu ni mchezo wa kuigiza tu hebu hoji na Yale makontena ya bashite magari bandarini mkasa wahivi karbuni kuhusu utoroshaji wa dhahabu kuhusu kupigwa risasi tundu lisu na mengine ama mkuu huyakumbuki hayo

  • @manuelgonzalezz4193
    @manuelgonzalezz41935 жыл бұрын

    Wakwanxa kucomment....likes zenu plx

  • @jaydon3361
    @jaydon33615 жыл бұрын

    Bonyeza picha hii yangu kushoto kwako kisha bonyeza neno subscribe uone mwanzo mwisho Tundu Lisu alicho ongea kuhusu Lowasa kuhamia CCM

  • @daruweshimohamed1906
    @daruweshimohamed19065 жыл бұрын

    Nam mheshiwa panga tim yako

  • @gabumasalu9785

    @gabumasalu9785

    5 жыл бұрын

    Safi Sana

  • @Kijana-wa-Tanzania
    @Kijana-wa-Tanzania5 жыл бұрын

    Jaji mkuu is not part of wizara ya sheria kimfumo.

  • @fredchuwa845

    @fredchuwa845

    5 жыл бұрын

    👍

Келесі