Rais Magufuli aeleza sababu za kuwabadilisha Prof Kabudi na Dkt Mahiga
Rais John Magufuli ameweka wazi sababu za kufanya mabadiliko madogo kwenye baraza la mawaziri kwa kuwabadilisha Waziri wa Katiba na Sheria hivi sasa Dkt Mahiga na Prof Kabudi aliyeteuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.
#Uteuzi #AzamTWO #AzamTVApp #AzamTVUpdates
Пікірлер: 9
kabud anaijua sheria kwahyo hata mwekezaj akitaka kuja anapewa mistar ya mana safi Sana hongera jpm
Rais wangu kocha wa timu ya Maendeleo FC TZ panga tu kikosi muhimu tunashinda mechi nyingi za nje na ndani ya nchi
Huu ni mchezo wa kuigiza tu hebu hoji na Yale makontena ya bashite magari bandarini mkasa wahivi karbuni kuhusu utoroshaji wa dhahabu kuhusu kupigwa risasi tundu lisu na mengine ama mkuu huyakumbuki hayo
Wakwanxa kucomment....likes zenu plx
Bonyeza picha hii yangu kushoto kwako kisha bonyeza neno subscribe uone mwanzo mwisho Tundu Lisu alicho ongea kuhusu Lowasa kuhamia CCM
Nam mheshiwa panga tim yako
@gabumasalu9785
5 жыл бұрын
Safi Sana
Jaji mkuu is not part of wizara ya sheria kimfumo.
@fredchuwa845
5 жыл бұрын
👍