Mapenzi ni Pamoja na Kipigo - Waziri wa Katiba na Sheria Prof. Palamagamba

Пікірлер: 11

  • @mshindimshindi9120
    @mshindimshindi91206 жыл бұрын

    Mimi kiukweli nakukubali Waziri Wa Katiba na Sheria..Ni baba,Mwalimu,Unayemheshimu Mungu.Mungu akubariki na uenende hivyo hivyo bila kuburuzwa na siasa

  • @kebo2155
    @kebo21557 жыл бұрын

    class.... tumekuelewa. ...

  • @kainlangson7482
    @kainlangson74825 жыл бұрын

    kabudi alipaswa baada ya magufuli afuate yeye

  • @vevo3130
    @vevo31306 жыл бұрын

    mi sielewi wanacheka cheka nini hapo tunadiscuss very crucial issue wabunge wanachekacheka, wanaharakati watanielewa naongelea nini!

  • @janewacera7812
    @janewacera78127 жыл бұрын

    Tumesikia

  • @EcoEssence_wellness
    @EcoEssence_wellness7 жыл бұрын

    Ok

  • @mamahustru
    @mamahustru7 жыл бұрын

    Waziri kasema kweli. Wakurya talanta yao ukitoa hata huo ukeketaji, ni kipigo kwa wanawake. Ndo ushangae mbona hawaendi kupigana ndondi za kulipwa kama wao mahodari kiasi hicho? Kuzichapa na wanaume wenzao hawawezi, lakini kuchapa wanawake ni mahodari.

  • @samwelmanjale834

    @samwelmanjale834

    3 жыл бұрын

    Noma

  • @pancrasmwenda7307
    @pancrasmwenda73074 жыл бұрын

    Hahaha

  • @mamahustru
    @mamahustru7 жыл бұрын

    Jamani Waitara kalewa hapo?

  • @mamahustru

    @mamahustru

    7 жыл бұрын

    Umeona eeh. Yaani nikutudharau wananchi tuliomtuma huko, kuingia kazini na uso mzito kama kabeba kifusi.