“NASEMA KAMWE HATUTAPIGA MAGOTI, TUMEONA VIHOJA VYAO”-WAZIRI KABUDI

Пікірлер: 217

  • @frankbangimoto3462
    @frankbangimoto34625 жыл бұрын

    Prof. Kabudi ni mzalendo wa kweli. Hakika anaitendea haki nafasi aliyoaminiwa kuiongoza na mara nyingi huwa anajitahidi sana kuitumia taaluma yake haswa katika kazi yake. Mungu aendelee kukuongoza daima.

  • @thieryniyonkuru1067
    @thieryniyonkuru10675 жыл бұрын

    Nina wivu kabisa kuwa inchi yangu haina mtu wenye uzalendo kama bwana Kabudi. Ana uzalendo, Ana hoja, anagusa historia na anaunyenyekevu sijaona. God bless kabudi👌👌👌☝️💪💪💪💪

  • @boniphacekasagamba465

    @boniphacekasagamba465

    5 жыл бұрын

    Mungu akusimamie katika yote ayafanyayo

  • @asubuhiotieno2463

    @asubuhiotieno2463

    5 жыл бұрын

    Kukosa skill ya tafakari night janga

  • @traudkamugisha8051
    @traudkamugisha80515 жыл бұрын

    Prof. Kabudi yuko vizur sana huyu Baba ni mtaalamu sana anafahamu historia

  • @meshackmayenga969
    @meshackmayenga9695 жыл бұрын

    Mtani wangu nakuheshimu sana, hakika upo vizuri. Mungu akujaalie.

  • @bonifacebenny2733
    @bonifacebenny27335 жыл бұрын

    I just like this bold prof... I love his love over the mama Tanzania.. naungana na wewe... my eyes always filled with tears when listerning to you prof P. KABUDI.. keep it up baba

  • @goldengordian6835
    @goldengordian68355 жыл бұрын

    Bro...my Lovely Prof. Kabudi, U deserve 2b our next Presedent after our Presedent Dr. JPM kumaliza Muda wake wa Miaka 10.

  • @boniphacekasagamba465

    @boniphacekasagamba465

    5 жыл бұрын

    We should need this professor Kabudi

  • @athumanomary1438
    @athumanomary14385 жыл бұрын

    Asante san baba mwenyez MUNGU yupo pamoja nawe

  • @manyotaskipper5765
    @manyotaskipper57655 жыл бұрын

    Prof KABUDI KAPIGA 4-4-2 KUMBE MAKELELE YOOTE YALE HOFU KUWA HUYU NDIO KIUNGO hatari katoka team ya MAGUFULI

  • @petercheyo7255

    @petercheyo7255

    5 жыл бұрын

    Dah hatari sana

  • @joasitz9559
    @joasitz95595 жыл бұрын

    Salute Professor, proudly of my country. Piga kazi upo vizuri sana.

  • @athumanomary1438
    @athumanomary14385 жыл бұрын

    Ewe mwenyez MUNGU tunazidi kukuomba endelea kuliongoza vyema taifa letu na raisi wetu ewe mwenyez MUNGU mkuu

  • @wanderaothumani4919
    @wanderaothumani49195 жыл бұрын

    Aghh Huyu Prof.kabudi is such a bold man yaani he talks like it's his last breathe yaani dahhh I wanna be him one day I will be a professor one day

  • @castatomatovu3362

    @castatomatovu3362

    5 жыл бұрын

    wandera othumani I wanna be like him

  • @benmbwele

    @benmbwele

    5 жыл бұрын

    I like the determination in you

  • @EK-kp2np
    @EK-kp2np5 жыл бұрын

    Prof. Wewe ni zawadi mojawapo Mungu aloyoitunuku Tanzania, asante kwa nia yako njema kwa nchi yetu

  • @mrphylophylo7842
    @mrphylophylo78425 жыл бұрын

    This guy bhana.......yupo vzur aisee

  • @ericklyatuu1301

    @ericklyatuu1301

    5 жыл бұрын

    Katapeliwa na wakaenya juzi

  • @prospermakundi2787
    @prospermakundi27875 жыл бұрын

    Nalichukia Sana hili neno kuomba misaada,miguu mikono tunayo akili aridhi madini wanyama bahari gesi tunavyo,rasimali watu tupo.TANZANIA TUAMKE.

  • @mwasoprince3459
    @mwasoprince34595 жыл бұрын

    Prof. Umenena kweli kweli,,,,si wapendi wazungu mm.

  • @ericklyatuu1301

    @ericklyatuu1301

    5 жыл бұрын

    Ndo wanakulisha utakufa njaa wakavuta handbrake

  • @muammarghadaffi3554

    @muammarghadaffi3554

    5 жыл бұрын

    Huwapendi wazungu na unatumia simu iliyotengenezwa na haohao weupe kucomment ushuzi wako hapa........ So stupid

  • @matingo-bk1248

    @matingo-bk1248

    5 жыл бұрын

    @@muammarghadaffi3554 hajakuambia hawapendi watu weupe fala wewe, yeye anawazungumzia wazungu simu anayotumia sio ya wazungu

  • @kebo2155

    @kebo2155

    5 жыл бұрын

    @@ericklyatuu1301 tunajilisha wenyewe...wazungu wanakulisha sumu...

  • @jamesmethuselafredrick6064
    @jamesmethuselafredrick60645 жыл бұрын

    Safi sana Professor Kabudi umenena vyema,

  • @allymkali
    @allymkali5 жыл бұрын

    Nakukubali sana prof. Kabudi

  • @alexjackson6608
    @alexjackson66084 жыл бұрын

    Hivi mnaonaje wakuu tukimuachia mrs kabud agombee kiti cha urais . Kama unakubaliana na hii hoja piga like yako hapo

  • @mansourynawab8923
    @mansourynawab89235 жыл бұрын

    Namkubali sana Pr. Kabudi

  • @michaelmrosso2106
    @michaelmrosso21065 жыл бұрын

    Kabud wew ni jembe baba 🔥🔥🔥

  • @janeypheremmanuel9844
    @janeypheremmanuel98445 жыл бұрын

    nampenda kabudi

  • @husainabdu2676
    @husainabdu26765 жыл бұрын

    This is Tanzania 🇹🇿

  • @kelvinkimambo7534
    @kelvinkimambo75345 жыл бұрын

    Profesa makin sana huyu aisee anajua vitu

  • @dismasswai5838
    @dismasswai58385 жыл бұрын

    Big up Hon. Minister

  • @fidesmassoyi9174
    @fidesmassoyi91745 жыл бұрын

    Nakukubali waziri wangu uko vizuri

  • @shaabanimasoud5686

    @shaabanimasoud5686

    5 жыл бұрын

    mheshimiwa jazbar haita saidia nnchi tetea katiba mpya ulio icimamamia cheo kina kushusha sasa mheshimiwa

  • @shaabanimasoud5686

    @shaabanimasoud5686

    5 жыл бұрын

    tuciwabeze wazungu allwa kawapa zaid ye2 wapo walokua najazba leo wako wp

  • @shaabanimasoud5686

    @shaabanimasoud5686

    5 жыл бұрын

    unaweza uciione leo athar jazba ila baada miaka kazaaa ukakumbuka

  • @saidrubeya6415
    @saidrubeya64155 жыл бұрын

    Safi sana tunakukubali hao chadema wameuzwa.sasa shukuma ndani tuu wasije kulita machafuko kama libya.tunamkubali raisi wetu mwanzo mwesho.proff tunga sheria ya raisi akae miaka 7. Kwa awamo.raisi putti wa urusi wamemkubali na china mpaka akifa sisi tunashindwa nini?

  • @someaafrika.3379
    @someaafrika.33793 жыл бұрын

    I've come to love 💘 this man 💪

  • @tinyaanosiatha1118
    @tinyaanosiatha11185 жыл бұрын

    Safi sana kabudi uko vizuri

  • @wilsonluzibila5695
    @wilsonluzibila56955 жыл бұрын

    Uko vizuri sana

  • @johnsonjulius7832
    @johnsonjulius78325 жыл бұрын

    I really appreciate this man

  • @pantaleokulaya5308
    @pantaleokulaya53085 жыл бұрын

    big up our next president pmk

  • @PH-hg2vn
    @PH-hg2vn5 жыл бұрын

    Ki ukweli Professor Kabudi ni msumari wa inch 6, unafaa sana mzee wetu, Mungu akubariki sana

  • @yessecharles3155
    @yessecharles31555 жыл бұрын

    Magufuli aliona hichi kichwa jman dah kweli baada ya miaka. Mitano Tanzania itakuwa nchi kubwa sana jmn

  • @aidanbugufi6200
    @aidanbugufi62005 жыл бұрын

    Mwanangu john mwaliko kabudi naona kazi yako iliyo tukuka

  • @naymlip2956
    @naymlip29565 жыл бұрын

    Sio ukabila ila wakaguru tuko vizur kwenye maswala ya kiuongozi keep it up professor,, kudahaa

  • @eliankya3272
    @eliankya32725 жыл бұрын

    Uko vizuri mzee wetu ukiona upinzani wa tz umekusifia lazima ujiangalie mara mbilimbili kitu kizuri kwao uwaga awakipendi kabisa

  • @ericklyatuu1301

    @ericklyatuu1301

    5 жыл бұрын

    Vp korosho tumeuza au tumetapeliwa?

  • @mashimbazephania3511
    @mashimbazephania35115 жыл бұрын

    Hao chadomo watasubiri saana, na wale wanaomdanganya Tundu la choo bora wangemshauli aboleshe fani yake YA sheria siyo kuongoza tz

  • @subiramohd885
    @subiramohd8855 жыл бұрын

    Mungu Akubark sana Waziri.Akukinge na Uwadui wa wasiokupenda.ila mimi Nakuombea Duwa kwa Mungu lnsha Allah Atakulinda kwa Uwezo wake Allah

  • @judyngowi391
    @judyngowi3915 жыл бұрын

    Kabudi upo juu

  • @sebastiansalamba8236
    @sebastiansalamba82365 жыл бұрын

    Wape sindano hao

  • @mashakalonka9407
    @mashakalonka94075 жыл бұрын

    Kiukweli huyu jamaa ni hazina ya taifa letu.Anazungumza mambo mazito ambayo twapasa kujifunza.Nashangaa hata huyo mbunge anayeomba utaratibu/mwongozo!.

  • @enockosward5813
    @enockosward58135 жыл бұрын

    Fact of all

  • @barakazakayo3798
    @barakazakayo37985 жыл бұрын

    Najiskia fahari sana inchi ninapoishi nikishuhudi viongozi kama hawa wakilitumikia taifa.

  • @priscambwambo1030
    @priscambwambo10305 жыл бұрын

    Safiii Pr Kabudi barikiwa sana .hatutakiwii kuuza utu wetu kwa wazunguuu .super sana .srikali inajitambua sana hiii.

  • @lexisavage1770
    @lexisavage17705 жыл бұрын

    vizuri sana waziri wetu Kabudi waambie ili hao wasioelewa , wanaotumiwa na mabeberu na wanaotaka kushibisha matumbo yao na washindwe kwa jina la Mwenyezi Mungu na tunampenda sana rais wetu Magufuli Mungu amubariki na amulinde

  • @dennisstafford450
    @dennisstafford4505 жыл бұрын

    Tundu lisu listen to inteligence guy professor John Aidan Mwaluko Kabudi

  • @michaelndilima6210

    @michaelndilima6210

    5 жыл бұрын

    Thanks

  • @Gamba177

    @Gamba177

    5 жыл бұрын

    Kabudi mwizi kaiba hela yetu ya korosho kibaka huyu.

  • @saimonmanyerezi7169

    @saimonmanyerezi7169

    4 жыл бұрын

    @@Gamba177 hahahaaaaaaa.Pole sana

  • @omarwahab7191
    @omarwahab71914 жыл бұрын

    I love so March prof Kabudi wallah nikikusikiliza ww napata raha sana

  • @evansignas3732
    @evansignas37325 жыл бұрын

    Yan hata kama hupendi SIASA kwa huyu mzee utavuna HISTORIA

  • @juliankamugisha9886
    @juliankamugisha98865 жыл бұрын

    Kabudi unatisha Kura yangu unayo songa prof.

  • @leonardkigutu7190
    @leonardkigutu71904 жыл бұрын

    Profesa Kabudi ni mzalendo was kweli....nampenda sana..ukiipenda Tanzania na rais wetu Dr J Magufuli lazima nikupende sana.

  • @rehemashaban6858
    @rehemashaban68585 жыл бұрын

    Baba umesema sana, hao wasio jielewa kazi kwao

  • @godifalsafa6956
    @godifalsafa69564 жыл бұрын

    The true definition of professor 🔥🔥🔥🔥

  • @omarykaita43
    @omarykaita435 жыл бұрын

    Umekuwa si tu waziri kwa serikali yetu bali pia umekuwa ni mwalimu wetu wa lugha yetu ya kiswahili

  • @ababuumwana5102
    @ababuumwana51025 жыл бұрын

    Tanzania kwanza mengine baadae sema baba usiogope maana Taifa hili ni huru na sisi ndio wenyewe hakuna mwengine anaeweza kutuelekeza wanavyotaka wao

  • @matingo-bk1248
    @matingo-bk12485 жыл бұрын

    I like this

  • @manyanyapeter4640
    @manyanyapeter46405 жыл бұрын

    Mh nimekuelewa sanaaaa

  • @maxmiliangunze8931
    @maxmiliangunze89315 жыл бұрын

    Mim nakujua toka kwenye maoni ya katiba ya warioba! Upo sawa balaa

  • @lgffumbuka183
    @lgffumbuka1835 жыл бұрын

    Kabudi hajasema kuwa sheria nyingi za EU za ajira zinaweka mshahara mkubwa mwanaume kuliko mwanamke kwa kazi hiyo hiyo. Hatuna demokrasia ya kuiga huko, mashoga tu basi.

  • @jumajasjas2925

    @jumajasjas2925

    5 жыл бұрын

    fuatilia tena alaf uje... hili suala yaonesha fika hulijui

  • @romeoromeo4125

    @romeoromeo4125

    5 жыл бұрын

    @@jumajasjas2925 Mwambie mpuuzi uyo, mengi ya muhim hawaoni wanaleta hoja za kipuuzi na wala hazipo.

  • @exaurdkalongole1150

    @exaurdkalongole1150

    4 жыл бұрын

    Prof itapebdeza saana 25 ampokee mheshimiwa magu akimakimaluza muda wake

  • @ngwandujoseph2155
    @ngwandujoseph21555 жыл бұрын

    Umetisha

  • @juliussonga5353
    @juliussonga53534 жыл бұрын

    Wewe Ni professor kweli,nakukubali sanaaaaa.

  • @Unclerammaschannel
    @Unclerammaschannel5 жыл бұрын

    Kaa chini bunju Huna kanuni bwege kanuni chadema hovyo 🐅🐅🐅

  • @emiliusfrance8286

    @emiliusfrance8286

    5 жыл бұрын

    Bunju mamakooooo

  • @henryndosi3800
    @henryndosi38005 жыл бұрын

    Waambie hao vibaraka wa mabeberu

  • @emmapaul1766

    @emmapaul1766

    5 жыл бұрын

    Kweli awambie magamba wenzake wanaoenda kukopa kila kukicha.

  • @leinamwilongo6890

    @leinamwilongo6890

    4 жыл бұрын

    Uuu

  • @255LK
    @255LK5 жыл бұрын

    DUH LEO PARAMAGAMBA AMERUSHA MABOMU KINOMA NOMA. WAPINZANI HOIII!.

  • @boniphacekasagamba465

    @boniphacekasagamba465

    5 жыл бұрын

    Wametepeta hawana issue

  • @chumizola1847
    @chumizola18475 жыл бұрын

    Akimaliza JPM kipindi chake, huyu Anafaa Kuwa Rais

  • @bernardmcabbeys9627

    @bernardmcabbeys9627

    5 жыл бұрын

    Chumi Zola wazt siyo wajinga aisee

  • @williamhonest3156

    @williamhonest3156

    5 жыл бұрын

    Mimi mwaka wowote ukigombea Mimi mapema naenda kupigia msitari nakupa mapema haki yako

  • @hoseakaponya5070

    @hoseakaponya5070

    5 жыл бұрын

    Anafaa kuwa waziri wa ulinzi na siyo urais maana anaamini yake nakubeza ya wengine, anawachukia wazungu ila anapenda hela zao.

  • @hoseakaponya5070

    @hoseakaponya5070

    5 жыл бұрын

    Halafu ananikera anapojaribu kuaminisha watanzania kwamba kuna vibaraka wa mabeberu bila kuthibitisha

  • @michaelndilima6210

    @michaelndilima6210

    5 жыл бұрын

    Kweli namuomba mungu aliye hai ampe urais atakapo maliza muhura wake rais magufuli

  • @gregorychogelo2013
    @gregorychogelo20135 жыл бұрын

    Perfect!!

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri81145 жыл бұрын

    sijui kama kuna mwenye uwezo kama huyu mzee

  • @emmanuelmhina95

    @emmanuelmhina95

    5 жыл бұрын

    wapo japo wajapata nafasi

  • @abdallahmagera9160

    @abdallahmagera9160

    4 жыл бұрын

    Nimekuelewa mkuu wangu

  • @Unclerammaschannel
    @Unclerammaschannel5 жыл бұрын

    Tusi pige magot kwa tamaa ya hao vijana walevi chadema

  • @michaelndilima6210

    @michaelndilima6210

    5 жыл бұрын

    Kweli

  • @kebo2155

    @kebo2155

    5 жыл бұрын

    Kweli 💯 💯

  • @saimonmanyerezi7169

    @saimonmanyerezi7169

    4 жыл бұрын

    Asikie tundu na wenzie.

  • @aidanbugufi6200
    @aidanbugufi62005 жыл бұрын

    Siku ukingombea uraisi nitafrahi sana

  • @maulidibrahim9665
    @maulidibrahim96654 жыл бұрын

    Upo vzuri professor

  • @Amani715
    @Amani7154 жыл бұрын

    hongera baba

  • @masuseleman978
    @masuseleman9785 жыл бұрын

    Hii kichwa hii haito dumu na mzee jiwe..kama namuona mwaka huu hautobisha.

  • @emmanuelrobert7222
    @emmanuelrobert72225 жыл бұрын

    Nchi yangu nguvu ipo palepale Tuwe wazalendo

  • @edinamutakyawa6872
    @edinamutakyawa68725 жыл бұрын

    safi cn mzee wangu

  • @jallyhill1884
    @jallyhill18845 жыл бұрын

    Safi sana mzee minakukubali sana wewe nimsomi kupitiliza minaamini wewe ndie tanzania mh magufuli amekuweka pahalapake unapo sitahili kuepo hiyo sehem naamini mh rais anaumizwa sana nawewe hapo uliopo mana hapo ulipo hakutaka uwe hapo mana yeye alitaka uwejuu ya hapo lakini hana budi unamsaidia sana kazi unauwezo mkubwa BABA.

  • @balozidaud5092
    @balozidaud50924 жыл бұрын

    Huyu jamaa noma, na mimi mbona sijawai mskia m bunge wa arumeru akiongea hata siku moja, Gibson tulikuchagua utuwakilishe kwa kupeleka malalamiko bungeni tupate barabara nzuri umeme na kathalika,lakini tumeambulia patupu lakini mungu yupo pamoja nasi Amin

  • @msafirimwangamba5258
    @msafirimwangamba52585 жыл бұрын

    Tafta mwingne bas kama wwe mzee kabudi tukiwa nao wawil tu,inatosha sana kuisaidia nchi

  • @kiwangodaniel1302
    @kiwangodaniel13025 жыл бұрын

    Je aliyeshangiliwa Africa kusini ni Rais yupi?

  • @johannesmaloda8209
    @johannesmaloda82095 жыл бұрын

    kati ya vichwa vichache vyenye upeo, watalipwa na Mungu..

  • @abdallahmagera9160

    @abdallahmagera9160

    4 жыл бұрын

    Amina

  • @niholausbarnaba3314
    @niholausbarnaba33145 жыл бұрын

    Asante sana prof.kabudi

  • @alexjackson6608
    @alexjackson66084 жыл бұрын

    Uko vizuri mkuu

  • @charlesbarongo6922
    @charlesbarongo69225 жыл бұрын

    Kazi bado tunayo!

  • @selemakilawa3969
    @selemakilawa39694 жыл бұрын

    Mm huwa najiuliza watu kama hawa mliwaficha wapi? Tz yetu ingekua mbali sana kongole Dr John pombe Magufuli kwa kumteua huyu ndugu mwazoni tulijua Lisu Ndio kiboko ya wanasheria kumbe yupo mwalimu wao na mtu mwenye historia kubwa ya nchi yetu Afrika na hata nchi za ugaibuni safi sana

  • @andrewoscar2332
    @andrewoscar23324 жыл бұрын

    Kwel mzee kabudi, uko sahihi

  • @kimchi-91
    @kimchi-914 жыл бұрын

    Huyu ndo professor wa kuiga nchini tanzania,achana na wale maprofesa uchwara kama akina Lipumba.

  • @abuyabally5086
    @abuyabally50865 жыл бұрын

    huyu jamaa ni muungwana sana

  • @jacksonmollel7940
    @jacksonmollel79404 жыл бұрын

    I believe you

  • @alimasijuma8248
    @alimasijuma82485 жыл бұрын

    Wasomi wanazungumza mambo makubwa mazwazwa wanaomba utaratibu mwakajoka nenda ukasome

  • @alicksinkamba3401

    @alicksinkamba3401

    5 жыл бұрын

    Level gan ya Elimu mwaka joka?

  • @jumakatema6348
    @jumakatema63485 жыл бұрын

    👍👍👍👍👍

  • @eddynyaki5539
    @eddynyaki55395 жыл бұрын

    Mungu azidi kukujalia afya njema mzidi kuiongoza Tanzania yetu

  • @lodrickmasawe6264
    @lodrickmasawe62645 жыл бұрын

    Mungu akubariki xana

  • @omarwahab7191
    @omarwahab71914 жыл бұрын

    Allah akuweke

  • @nisilesimon6781
    @nisilesimon67814 жыл бұрын

    Hivi hao wanaomzomea huyo profesor uelewa wa mambo ni mdogo sana kwenye sheria palamagamba ni moto wa kuotea mbali

  • @ebenernnko3339
    @ebenernnko33395 жыл бұрын

    Kutokupiga magoti nivizuri lkn usiwe mnafki wa kisiasa Tatizo LA umasikini wa Africa ni ninyie viyongozi mnashindwa kusimamia ukweli nakuwa mkweli Mnabaki kulilinda matumbo yenu Hata pale Taifa linapo angamia likikosa ushahuri wa kitaalamu Mnaweka siasa

  • @sabihimngetuka6971
    @sabihimngetuka69715 жыл бұрын

    Wewe kweli ni mwalimu piga msasa

  • @selemakilawa3969
    @selemakilawa39694 жыл бұрын

    Yaani ww ungekua na umri mdogo ilibidi uje kua rais mm nakuombea kwa Mungu uje uwe ata waziri mkuu ktk hii nchi

  • @abdallahmagera9160
    @abdallahmagera91604 жыл бұрын

    Kabudi msaidie mh,rais akika MUNGU kaitendea kweli Tanzania nasema Amina

  • @nickluhende
    @nickluhende5 жыл бұрын

    Am saddened!

  • @zackrichard3617
    @zackrichard36175 жыл бұрын

    kuna siku JPM. alisema...nanukuu '''Tanzania tupo 55mil. siwezi nikasimama..na kusema mim.. ni...bora sana kuliko wengine ...vivyo hivyo kwa viongoz..wengine..ni Mungu tu ametaka.tue viongoz angeweza..kuwachagua..wengine...""

  • @priscambwambo1030
    @priscambwambo10305 жыл бұрын

    AMINAAA PR KABUDI HII NI SERIKALI YA AWAMU YA 5 MUNGU YUPO NANYI VIONGOZI WANGU MKIONGOZWA NA JEMEDARY MKUU JOHN POMBE MAGUFULI.

  • @kibogoyomasai4876
    @kibogoyomasai48765 жыл бұрын

    umejitahidi kutetea ugali wako, mzee kaa ukijua dunia ingekuwa na maprofesa km wewe sijui leo tungekuwa wapi