Prof. Kabudi ni mzalendo wa kweli. Hakika anaitendea haki nafasi aliyoaminiwa kuiongoza na mara nyingi huwa anajitahidi sana kuitumia taaluma yake haswa katika kazi yake. Mungu aendelee kukuongoza daima.
@thieryniyonkuru10675 жыл бұрын
Nina wivu kabisa kuwa inchi yangu haina mtu wenye uzalendo kama bwana Kabudi. Ana uzalendo, Ana hoja, anagusa historia na anaunyenyekevu sijaona. God bless kabudi👌👌👌☝️💪💪💪💪
@boniphacekasagamba465
5 жыл бұрын
Mungu akusimamie katika yote ayafanyayo
@asubuhiotieno2463
5 жыл бұрын
Kukosa skill ya tafakari night janga
@traudkamugisha80515 жыл бұрын
Prof. Kabudi yuko vizur sana huyu Baba ni mtaalamu sana anafahamu historia
@meshackmayenga9695 жыл бұрын
Mtani wangu nakuheshimu sana, hakika upo vizuri. Mungu akujaalie.
@bonifacebenny27335 жыл бұрын
I just like this bold prof... I love his love over the mama Tanzania.. naungana na wewe... my eyes always filled with tears when listerning to you prof P. KABUDI.. keep it up baba
@goldengordian68355 жыл бұрын
Bro...my Lovely Prof. Kabudi, U deserve 2b our next Presedent after our Presedent Dr. JPM kumaliza Muda wake wa Miaka 10.
@boniphacekasagamba465
5 жыл бұрын
We should need this professor Kabudi
@athumanomary14385 жыл бұрын
Asante san baba mwenyez MUNGU yupo pamoja nawe
@manyotaskipper57655 жыл бұрын
Prof KABUDI KAPIGA 4-4-2 KUMBE MAKELELE YOOTE YALE HOFU KUWA HUYU NDIO KIUNGO hatari katoka team ya MAGUFULI
@petercheyo7255
5 жыл бұрын
Dah hatari sana
@joasitz95595 жыл бұрын
Salute Professor, proudly of my country. Piga kazi upo vizuri sana.
@athumanomary14385 жыл бұрын
Ewe mwenyez MUNGU tunazidi kukuomba endelea kuliongoza vyema taifa letu na raisi wetu ewe mwenyez MUNGU mkuu
@wanderaothumani49195 жыл бұрын
Aghh Huyu Prof.kabudi is such a bold man yaani he talks like it's his last breathe yaani dahhh I wanna be him one day I will be a professor one day
@castatomatovu3362
5 жыл бұрын
wandera othumani I wanna be like him
@benmbwele
5 жыл бұрын
I like the determination in you
@EK-kp2np5 жыл бұрын
Prof. Wewe ni zawadi mojawapo Mungu aloyoitunuku Tanzania, asante kwa nia yako njema kwa nchi yetu
@mrphylophylo78425 жыл бұрын
This guy bhana.......yupo vzur aisee
@ericklyatuu1301
5 жыл бұрын
Katapeliwa na wakaenya juzi
@prospermakundi27875 жыл бұрын
Nalichukia Sana hili neno kuomba misaada,miguu mikono tunayo akili aridhi madini wanyama bahari gesi tunavyo,rasimali watu tupo.TANZANIA TUAMKE.
@mwasoprince34595 жыл бұрын
Prof. Umenena kweli kweli,,,,si wapendi wazungu mm.
@ericklyatuu1301
5 жыл бұрын
Ndo wanakulisha utakufa njaa wakavuta handbrake
@muammarghadaffi3554
5 жыл бұрын
Huwapendi wazungu na unatumia simu iliyotengenezwa na haohao weupe kucomment ushuzi wako hapa........ So stupid
@matingo-bk1248
5 жыл бұрын
@@muammarghadaffi3554 hajakuambia hawapendi watu weupe fala wewe, yeye anawazungumzia wazungu simu anayotumia sio ya wazungu
unaweza uciione leo athar jazba ila baada miaka kazaaa ukakumbuka
@saidrubeya64155 жыл бұрын
Safi sana tunakukubali hao chadema wameuzwa.sasa shukuma ndani tuu wasije kulita machafuko kama libya.tunamkubali raisi wetu mwanzo mwesho.proff tunga sheria ya raisi akae miaka 7. Kwa awamo.raisi putti wa urusi wamemkubali na china mpaka akifa sisi tunashindwa nini?
@someaafrika.33793 жыл бұрын
I've come to love 💘 this man 💪
@tinyaanosiatha11185 жыл бұрын
Safi sana kabudi uko vizuri
@wilsonluzibila56955 жыл бұрын
Uko vizuri sana
@johnsonjulius78325 жыл бұрын
I really appreciate this man
@pantaleokulaya53085 жыл бұрын
big up our next president pmk
@PH-hg2vn5 жыл бұрын
Ki ukweli Professor Kabudi ni msumari wa inch 6, unafaa sana mzee wetu, Mungu akubariki sana
@yessecharles31555 жыл бұрын
Magufuli aliona hichi kichwa jman dah kweli baada ya miaka. Mitano Tanzania itakuwa nchi kubwa sana jmn
@aidanbugufi62005 жыл бұрын
Mwanangu john mwaliko kabudi naona kazi yako iliyo tukuka
@naymlip29565 жыл бұрын
Sio ukabila ila wakaguru tuko vizur kwenye maswala ya kiuongozi keep it up professor,, kudahaa
@eliankya32725 жыл бұрын
Uko vizuri mzee wetu ukiona upinzani wa tz umekusifia lazima ujiangalie mara mbilimbili kitu kizuri kwao uwaga awakipendi kabisa
@ericklyatuu1301
5 жыл бұрын
Vp korosho tumeuza au tumetapeliwa?
@mashimbazephania35115 жыл бұрын
Hao chadomo watasubiri saana, na wale wanaomdanganya Tundu la choo bora wangemshauli aboleshe fani yake YA sheria siyo kuongoza tz
@subiramohd8855 жыл бұрын
Mungu Akubark sana Waziri.Akukinge na Uwadui wa wasiokupenda.ila mimi Nakuombea Duwa kwa Mungu lnsha Allah Atakulinda kwa Uwezo wake Allah
@judyngowi3915 жыл бұрын
Kabudi upo juu
@sebastiansalamba82365 жыл бұрын
Wape sindano hao
@mashakalonka94075 жыл бұрын
Kiukweli huyu jamaa ni hazina ya taifa letu.Anazungumza mambo mazito ambayo twapasa kujifunza.Nashangaa hata huyo mbunge anayeomba utaratibu/mwongozo!.
@enockosward58135 жыл бұрын
Fact of all
@barakazakayo37985 жыл бұрын
Najiskia fahari sana inchi ninapoishi nikishuhudi viongozi kama hawa wakilitumikia taifa.
@priscambwambo10305 жыл бұрын
Safiii Pr Kabudi barikiwa sana .hatutakiwii kuuza utu wetu kwa wazunguuu .super sana .srikali inajitambua sana hiii.
@lexisavage17705 жыл бұрын
vizuri sana waziri wetu Kabudi waambie ili hao wasioelewa , wanaotumiwa na mabeberu na wanaotaka kushibisha matumbo yao na washindwe kwa jina la Mwenyezi Mungu na tunampenda sana rais wetu Magufuli Mungu amubariki na amulinde
@dennisstafford4505 жыл бұрын
Tundu lisu listen to inteligence guy professor John Aidan Mwaluko Kabudi
@michaelndilima6210
5 жыл бұрын
Thanks
@Gamba177
5 жыл бұрын
Kabudi mwizi kaiba hela yetu ya korosho kibaka huyu.
@saimonmanyerezi7169
4 жыл бұрын
@@Gamba177 hahahaaaaaaa.Pole sana
@omarwahab71914 жыл бұрын
I love so March prof Kabudi wallah nikikusikiliza ww napata raha sana
@evansignas37325 жыл бұрын
Yan hata kama hupendi SIASA kwa huyu mzee utavuna HISTORIA
@juliankamugisha98865 жыл бұрын
Kabudi unatisha Kura yangu unayo songa prof.
@leonardkigutu71904 жыл бұрын
Profesa Kabudi ni mzalendo was kweli....nampenda sana..ukiipenda Tanzania na rais wetu Dr J Magufuli lazima nikupende sana.
@rehemashaban68585 жыл бұрын
Baba umesema sana, hao wasio jielewa kazi kwao
@godifalsafa69564 жыл бұрын
The true definition of professor 🔥🔥🔥🔥
@omarykaita435 жыл бұрын
Umekuwa si tu waziri kwa serikali yetu bali pia umekuwa ni mwalimu wetu wa lugha yetu ya kiswahili
@ababuumwana51025 жыл бұрын
Tanzania kwanza mengine baadae sema baba usiogope maana Taifa hili ni huru na sisi ndio wenyewe hakuna mwengine anaeweza kutuelekeza wanavyotaka wao
@matingo-bk12485 жыл бұрын
I like this
@manyanyapeter46405 жыл бұрын
Mh nimekuelewa sanaaaa
@maxmiliangunze89315 жыл бұрын
Mim nakujua toka kwenye maoni ya katiba ya warioba! Upo sawa balaa
@lgffumbuka1835 жыл бұрын
Kabudi hajasema kuwa sheria nyingi za EU za ajira zinaweka mshahara mkubwa mwanaume kuliko mwanamke kwa kazi hiyo hiyo. Hatuna demokrasia ya kuiga huko, mashoga tu basi.
@jumajasjas2925
5 жыл бұрын
fuatilia tena alaf uje... hili suala yaonesha fika hulijui
@romeoromeo4125
5 жыл бұрын
@@jumajasjas2925 Mwambie mpuuzi uyo, mengi ya muhim hawaoni wanaleta hoja za kipuuzi na wala hazipo.
@exaurdkalongole1150
4 жыл бұрын
Prof itapebdeza saana 25 ampokee mheshimiwa magu akimakimaluza muda wake
@ngwandujoseph21555 жыл бұрын
Umetisha
@juliussonga53534 жыл бұрын
Wewe Ni professor kweli,nakukubali sanaaaaa.
@Unclerammaschannel5 жыл бұрын
Kaa chini bunju Huna kanuni bwege kanuni chadema hovyo 🐅🐅🐅
@emiliusfrance8286
5 жыл бұрын
Bunju mamakooooo
@henryndosi38005 жыл бұрын
Waambie hao vibaraka wa mabeberu
@emmapaul1766
5 жыл бұрын
Kweli awambie magamba wenzake wanaoenda kukopa kila kukicha.
@leinamwilongo6890
4 жыл бұрын
Uuu
@255LK5 жыл бұрын
DUH LEO PARAMAGAMBA AMERUSHA MABOMU KINOMA NOMA. WAPINZANI HOIII!.
@boniphacekasagamba465
5 жыл бұрын
Wametepeta hawana issue
@chumizola18475 жыл бұрын
Akimaliza JPM kipindi chake, huyu Anafaa Kuwa Rais
@bernardmcabbeys9627
5 жыл бұрын
Chumi Zola wazt siyo wajinga aisee
@williamhonest3156
5 жыл бұрын
Mimi mwaka wowote ukigombea Mimi mapema naenda kupigia msitari nakupa mapema haki yako
@hoseakaponya5070
5 жыл бұрын
Anafaa kuwa waziri wa ulinzi na siyo urais maana anaamini yake nakubeza ya wengine, anawachukia wazungu ila anapenda hela zao.
@hoseakaponya5070
5 жыл бұрын
Halafu ananikera anapojaribu kuaminisha watanzania kwamba kuna vibaraka wa mabeberu bila kuthibitisha
@michaelndilima6210
5 жыл бұрын
Kweli namuomba mungu aliye hai ampe urais atakapo maliza muhura wake rais magufuli
@gregorychogelo20135 жыл бұрын
Perfect!!
@zumbeshauri81145 жыл бұрын
sijui kama kuna mwenye uwezo kama huyu mzee
@emmanuelmhina95
5 жыл бұрын
wapo japo wajapata nafasi
@abdallahmagera9160
4 жыл бұрын
Nimekuelewa mkuu wangu
@Unclerammaschannel5 жыл бұрын
Tusi pige magot kwa tamaa ya hao vijana walevi chadema
@michaelndilima6210
5 жыл бұрын
Kweli
@kebo2155
5 жыл бұрын
Kweli 💯 💯
@saimonmanyerezi7169
4 жыл бұрын
Asikie tundu na wenzie.
@aidanbugufi62005 жыл бұрын
Siku ukingombea uraisi nitafrahi sana
@maulidibrahim96654 жыл бұрын
Upo vzuri professor
@Amani7154 жыл бұрын
hongera baba
@masuseleman9785 жыл бұрын
Hii kichwa hii haito dumu na mzee jiwe..kama namuona mwaka huu hautobisha.
@emmanuelrobert72225 жыл бұрын
Nchi yangu nguvu ipo palepale Tuwe wazalendo
@edinamutakyawa68725 жыл бұрын
safi cn mzee wangu
@jallyhill18845 жыл бұрын
Safi sana mzee minakukubali sana wewe nimsomi kupitiliza minaamini wewe ndie tanzania mh magufuli amekuweka pahalapake unapo sitahili kuepo hiyo sehem naamini mh rais anaumizwa sana nawewe hapo uliopo mana hapo ulipo hakutaka uwe hapo mana yeye alitaka uwejuu ya hapo lakini hana budi unamsaidia sana kazi unauwezo mkubwa BABA.
@balozidaud50924 жыл бұрын
Huyu jamaa noma, na mimi mbona sijawai mskia m bunge wa arumeru akiongea hata siku moja, Gibson tulikuchagua utuwakilishe kwa kupeleka malalamiko bungeni tupate barabara nzuri umeme na kathalika,lakini tumeambulia patupu lakini mungu yupo pamoja nasi Amin
@msafirimwangamba52585 жыл бұрын
Tafta mwingne bas kama wwe mzee kabudi tukiwa nao wawil tu,inatosha sana kuisaidia nchi
@kiwangodaniel13025 жыл бұрын
Je aliyeshangiliwa Africa kusini ni Rais yupi?
@johannesmaloda82095 жыл бұрын
kati ya vichwa vichache vyenye upeo, watalipwa na Mungu..
@abdallahmagera9160
4 жыл бұрын
Amina
@niholausbarnaba33145 жыл бұрын
Asante sana prof.kabudi
@alexjackson66084 жыл бұрын
Uko vizuri mkuu
@charlesbarongo69225 жыл бұрын
Kazi bado tunayo!
@selemakilawa39694 жыл бұрын
Mm huwa najiuliza watu kama hawa mliwaficha wapi? Tz yetu ingekua mbali sana kongole Dr John pombe Magufuli kwa kumteua huyu ndugu mwazoni tulijua Lisu Ndio kiboko ya wanasheria kumbe yupo mwalimu wao na mtu mwenye historia kubwa ya nchi yetu Afrika na hata nchi za ugaibuni safi sana
@andrewoscar23324 жыл бұрын
Kwel mzee kabudi, uko sahihi
@kimchi-914 жыл бұрын
Huyu ndo professor wa kuiga nchini tanzania,achana na wale maprofesa uchwara kama akina Lipumba.
@abuyabally50865 жыл бұрын
huyu jamaa ni muungwana sana
@jacksonmollel79404 жыл бұрын
I believe you
@alimasijuma82485 жыл бұрын
Wasomi wanazungumza mambo makubwa mazwazwa wanaomba utaratibu mwakajoka nenda ukasome
@alicksinkamba3401
5 жыл бұрын
Level gan ya Elimu mwaka joka?
@jumakatema63485 жыл бұрын
👍👍👍👍👍
@eddynyaki55395 жыл бұрын
Mungu azidi kukujalia afya njema mzidi kuiongoza Tanzania yetu
@lodrickmasawe62645 жыл бұрын
Mungu akubariki xana
@omarwahab71914 жыл бұрын
Allah akuweke
@nisilesimon67814 жыл бұрын
Hivi hao wanaomzomea huyo profesor uelewa wa mambo ni mdogo sana kwenye sheria palamagamba ni moto wa kuotea mbali
@ebenernnko33395 жыл бұрын
Kutokupiga magoti nivizuri lkn usiwe mnafki wa kisiasa Tatizo LA umasikini wa Africa ni ninyie viyongozi mnashindwa kusimamia ukweli nakuwa mkweli Mnabaki kulilinda matumbo yenu Hata pale Taifa linapo angamia likikosa ushahuri wa kitaalamu Mnaweka siasa
@sabihimngetuka69715 жыл бұрын
Wewe kweli ni mwalimu piga msasa
@selemakilawa39694 жыл бұрын
Yaani ww ungekua na umri mdogo ilibidi uje kua rais mm nakuombea kwa Mungu uje uwe ata waziri mkuu ktk hii nchi
@abdallahmagera91604 жыл бұрын
Kabudi msaidie mh,rais akika MUNGU kaitendea kweli Tanzania nasema Amina
@nickluhende5 жыл бұрын
Am saddened!
@zackrichard36175 жыл бұрын
kuna siku JPM. alisema...nanukuu '''Tanzania tupo 55mil. siwezi nikasimama..na kusema mim.. ni...bora sana kuliko wengine ...vivyo hivyo kwa viongoz..wengine..ni Mungu tu ametaka.tue viongoz angeweza..kuwachagua..wengine...""
@priscambwambo10305 жыл бұрын
AMINAAA PR KABUDI HII NI SERIKALI YA AWAMU YA 5 MUNGU YUPO NANYI VIONGOZI WANGU MKIONGOZWA NA JEMEDARY MKUU JOHN POMBE MAGUFULI.
@kibogoyomasai48765 жыл бұрын
umejitahidi kutetea ugali wako, mzee kaa ukijua dunia ingekuwa na maprofesa km wewe sijui leo tungekuwa wapi
Пікірлер: 217
Prof. Kabudi ni mzalendo wa kweli. Hakika anaitendea haki nafasi aliyoaminiwa kuiongoza na mara nyingi huwa anajitahidi sana kuitumia taaluma yake haswa katika kazi yake. Mungu aendelee kukuongoza daima.
Nina wivu kabisa kuwa inchi yangu haina mtu wenye uzalendo kama bwana Kabudi. Ana uzalendo, Ana hoja, anagusa historia na anaunyenyekevu sijaona. God bless kabudi👌👌👌☝️💪💪💪💪
@boniphacekasagamba465
5 жыл бұрын
Mungu akusimamie katika yote ayafanyayo
@asubuhiotieno2463
5 жыл бұрын
Kukosa skill ya tafakari night janga
Prof. Kabudi yuko vizur sana huyu Baba ni mtaalamu sana anafahamu historia
Mtani wangu nakuheshimu sana, hakika upo vizuri. Mungu akujaalie.
I just like this bold prof... I love his love over the mama Tanzania.. naungana na wewe... my eyes always filled with tears when listerning to you prof P. KABUDI.. keep it up baba
Bro...my Lovely Prof. Kabudi, U deserve 2b our next Presedent after our Presedent Dr. JPM kumaliza Muda wake wa Miaka 10.
@boniphacekasagamba465
5 жыл бұрын
We should need this professor Kabudi
Asante san baba mwenyez MUNGU yupo pamoja nawe
Prof KABUDI KAPIGA 4-4-2 KUMBE MAKELELE YOOTE YALE HOFU KUWA HUYU NDIO KIUNGO hatari katoka team ya MAGUFULI
@petercheyo7255
5 жыл бұрын
Dah hatari sana
Salute Professor, proudly of my country. Piga kazi upo vizuri sana.
Ewe mwenyez MUNGU tunazidi kukuomba endelea kuliongoza vyema taifa letu na raisi wetu ewe mwenyez MUNGU mkuu
Aghh Huyu Prof.kabudi is such a bold man yaani he talks like it's his last breathe yaani dahhh I wanna be him one day I will be a professor one day
@castatomatovu3362
5 жыл бұрын
wandera othumani I wanna be like him
@benmbwele
5 жыл бұрын
I like the determination in you
Prof. Wewe ni zawadi mojawapo Mungu aloyoitunuku Tanzania, asante kwa nia yako njema kwa nchi yetu
This guy bhana.......yupo vzur aisee
@ericklyatuu1301
5 жыл бұрын
Katapeliwa na wakaenya juzi
Nalichukia Sana hili neno kuomba misaada,miguu mikono tunayo akili aridhi madini wanyama bahari gesi tunavyo,rasimali watu tupo.TANZANIA TUAMKE.
Prof. Umenena kweli kweli,,,,si wapendi wazungu mm.
@ericklyatuu1301
5 жыл бұрын
Ndo wanakulisha utakufa njaa wakavuta handbrake
@muammarghadaffi3554
5 жыл бұрын
Huwapendi wazungu na unatumia simu iliyotengenezwa na haohao weupe kucomment ushuzi wako hapa........ So stupid
@matingo-bk1248
5 жыл бұрын
@@muammarghadaffi3554 hajakuambia hawapendi watu weupe fala wewe, yeye anawazungumzia wazungu simu anayotumia sio ya wazungu
@kebo2155
5 жыл бұрын
@@ericklyatuu1301 tunajilisha wenyewe...wazungu wanakulisha sumu...
Safi sana Professor Kabudi umenena vyema,
Nakukubali sana prof. Kabudi
Hivi mnaonaje wakuu tukimuachia mrs kabud agombee kiti cha urais . Kama unakubaliana na hii hoja piga like yako hapo
Namkubali sana Pr. Kabudi
Kabud wew ni jembe baba 🔥🔥🔥
nampenda kabudi
This is Tanzania 🇹🇿
Profesa makin sana huyu aisee anajua vitu
Big up Hon. Minister
Nakukubali waziri wangu uko vizuri
@shaabanimasoud5686
5 жыл бұрын
mheshimiwa jazbar haita saidia nnchi tetea katiba mpya ulio icimamamia cheo kina kushusha sasa mheshimiwa
@shaabanimasoud5686
5 жыл бұрын
tuciwabeze wazungu allwa kawapa zaid ye2 wapo walokua najazba leo wako wp
@shaabanimasoud5686
5 жыл бұрын
unaweza uciione leo athar jazba ila baada miaka kazaaa ukakumbuka
Safi sana tunakukubali hao chadema wameuzwa.sasa shukuma ndani tuu wasije kulita machafuko kama libya.tunamkubali raisi wetu mwanzo mwesho.proff tunga sheria ya raisi akae miaka 7. Kwa awamo.raisi putti wa urusi wamemkubali na china mpaka akifa sisi tunashindwa nini?
I've come to love 💘 this man 💪
Safi sana kabudi uko vizuri
Uko vizuri sana
I really appreciate this man
big up our next president pmk
Ki ukweli Professor Kabudi ni msumari wa inch 6, unafaa sana mzee wetu, Mungu akubariki sana
Magufuli aliona hichi kichwa jman dah kweli baada ya miaka. Mitano Tanzania itakuwa nchi kubwa sana jmn
Mwanangu john mwaliko kabudi naona kazi yako iliyo tukuka
Sio ukabila ila wakaguru tuko vizur kwenye maswala ya kiuongozi keep it up professor,, kudahaa
Uko vizuri mzee wetu ukiona upinzani wa tz umekusifia lazima ujiangalie mara mbilimbili kitu kizuri kwao uwaga awakipendi kabisa
@ericklyatuu1301
5 жыл бұрын
Vp korosho tumeuza au tumetapeliwa?
Hao chadomo watasubiri saana, na wale wanaomdanganya Tundu la choo bora wangemshauli aboleshe fani yake YA sheria siyo kuongoza tz
Mungu Akubark sana Waziri.Akukinge na Uwadui wa wasiokupenda.ila mimi Nakuombea Duwa kwa Mungu lnsha Allah Atakulinda kwa Uwezo wake Allah
Kabudi upo juu
Wape sindano hao
Kiukweli huyu jamaa ni hazina ya taifa letu.Anazungumza mambo mazito ambayo twapasa kujifunza.Nashangaa hata huyo mbunge anayeomba utaratibu/mwongozo!.
Fact of all
Najiskia fahari sana inchi ninapoishi nikishuhudi viongozi kama hawa wakilitumikia taifa.
Safiii Pr Kabudi barikiwa sana .hatutakiwii kuuza utu wetu kwa wazunguuu .super sana .srikali inajitambua sana hiii.
vizuri sana waziri wetu Kabudi waambie ili hao wasioelewa , wanaotumiwa na mabeberu na wanaotaka kushibisha matumbo yao na washindwe kwa jina la Mwenyezi Mungu na tunampenda sana rais wetu Magufuli Mungu amubariki na amulinde
Tundu lisu listen to inteligence guy professor John Aidan Mwaluko Kabudi
@michaelndilima6210
5 жыл бұрын
Thanks
@Gamba177
5 жыл бұрын
Kabudi mwizi kaiba hela yetu ya korosho kibaka huyu.
@saimonmanyerezi7169
4 жыл бұрын
@@Gamba177 hahahaaaaaaa.Pole sana
I love so March prof Kabudi wallah nikikusikiliza ww napata raha sana
Yan hata kama hupendi SIASA kwa huyu mzee utavuna HISTORIA
Kabudi unatisha Kura yangu unayo songa prof.
Profesa Kabudi ni mzalendo was kweli....nampenda sana..ukiipenda Tanzania na rais wetu Dr J Magufuli lazima nikupende sana.
Baba umesema sana, hao wasio jielewa kazi kwao
The true definition of professor 🔥🔥🔥🔥
Umekuwa si tu waziri kwa serikali yetu bali pia umekuwa ni mwalimu wetu wa lugha yetu ya kiswahili
Tanzania kwanza mengine baadae sema baba usiogope maana Taifa hili ni huru na sisi ndio wenyewe hakuna mwengine anaeweza kutuelekeza wanavyotaka wao
I like this
Mh nimekuelewa sanaaaa
Mim nakujua toka kwenye maoni ya katiba ya warioba! Upo sawa balaa
Kabudi hajasema kuwa sheria nyingi za EU za ajira zinaweka mshahara mkubwa mwanaume kuliko mwanamke kwa kazi hiyo hiyo. Hatuna demokrasia ya kuiga huko, mashoga tu basi.
@jumajasjas2925
5 жыл бұрын
fuatilia tena alaf uje... hili suala yaonesha fika hulijui
@romeoromeo4125
5 жыл бұрын
@@jumajasjas2925 Mwambie mpuuzi uyo, mengi ya muhim hawaoni wanaleta hoja za kipuuzi na wala hazipo.
@exaurdkalongole1150
4 жыл бұрын
Prof itapebdeza saana 25 ampokee mheshimiwa magu akimakimaluza muda wake
Umetisha
Wewe Ni professor kweli,nakukubali sanaaaaa.
Kaa chini bunju Huna kanuni bwege kanuni chadema hovyo 🐅🐅🐅
@emiliusfrance8286
5 жыл бұрын
Bunju mamakooooo
Waambie hao vibaraka wa mabeberu
@emmapaul1766
5 жыл бұрын
Kweli awambie magamba wenzake wanaoenda kukopa kila kukicha.
@leinamwilongo6890
4 жыл бұрын
Uuu
DUH LEO PARAMAGAMBA AMERUSHA MABOMU KINOMA NOMA. WAPINZANI HOIII!.
@boniphacekasagamba465
5 жыл бұрын
Wametepeta hawana issue
Akimaliza JPM kipindi chake, huyu Anafaa Kuwa Rais
@bernardmcabbeys9627
5 жыл бұрын
Chumi Zola wazt siyo wajinga aisee
@williamhonest3156
5 жыл бұрын
Mimi mwaka wowote ukigombea Mimi mapema naenda kupigia msitari nakupa mapema haki yako
@hoseakaponya5070
5 жыл бұрын
Anafaa kuwa waziri wa ulinzi na siyo urais maana anaamini yake nakubeza ya wengine, anawachukia wazungu ila anapenda hela zao.
@hoseakaponya5070
5 жыл бұрын
Halafu ananikera anapojaribu kuaminisha watanzania kwamba kuna vibaraka wa mabeberu bila kuthibitisha
@michaelndilima6210
5 жыл бұрын
Kweli namuomba mungu aliye hai ampe urais atakapo maliza muhura wake rais magufuli
Perfect!!
sijui kama kuna mwenye uwezo kama huyu mzee
@emmanuelmhina95
5 жыл бұрын
wapo japo wajapata nafasi
@abdallahmagera9160
4 жыл бұрын
Nimekuelewa mkuu wangu
Tusi pige magot kwa tamaa ya hao vijana walevi chadema
@michaelndilima6210
5 жыл бұрын
Kweli
@kebo2155
5 жыл бұрын
Kweli 💯 💯
@saimonmanyerezi7169
4 жыл бұрын
Asikie tundu na wenzie.
Siku ukingombea uraisi nitafrahi sana
Upo vzuri professor
hongera baba
Hii kichwa hii haito dumu na mzee jiwe..kama namuona mwaka huu hautobisha.
Nchi yangu nguvu ipo palepale Tuwe wazalendo
safi cn mzee wangu
Safi sana mzee minakukubali sana wewe nimsomi kupitiliza minaamini wewe ndie tanzania mh magufuli amekuweka pahalapake unapo sitahili kuepo hiyo sehem naamini mh rais anaumizwa sana nawewe hapo uliopo mana hapo ulipo hakutaka uwe hapo mana yeye alitaka uwejuu ya hapo lakini hana budi unamsaidia sana kazi unauwezo mkubwa BABA.
Huyu jamaa noma, na mimi mbona sijawai mskia m bunge wa arumeru akiongea hata siku moja, Gibson tulikuchagua utuwakilishe kwa kupeleka malalamiko bungeni tupate barabara nzuri umeme na kathalika,lakini tumeambulia patupu lakini mungu yupo pamoja nasi Amin
Tafta mwingne bas kama wwe mzee kabudi tukiwa nao wawil tu,inatosha sana kuisaidia nchi
Je aliyeshangiliwa Africa kusini ni Rais yupi?
kati ya vichwa vichache vyenye upeo, watalipwa na Mungu..
@abdallahmagera9160
4 жыл бұрын
Amina
Asante sana prof.kabudi
Uko vizuri mkuu
Kazi bado tunayo!
Mm huwa najiuliza watu kama hawa mliwaficha wapi? Tz yetu ingekua mbali sana kongole Dr John pombe Magufuli kwa kumteua huyu ndugu mwazoni tulijua Lisu Ndio kiboko ya wanasheria kumbe yupo mwalimu wao na mtu mwenye historia kubwa ya nchi yetu Afrika na hata nchi za ugaibuni safi sana
Kwel mzee kabudi, uko sahihi
Huyu ndo professor wa kuiga nchini tanzania,achana na wale maprofesa uchwara kama akina Lipumba.
huyu jamaa ni muungwana sana
I believe you
Wasomi wanazungumza mambo makubwa mazwazwa wanaomba utaratibu mwakajoka nenda ukasome
@alicksinkamba3401
5 жыл бұрын
Level gan ya Elimu mwaka joka?
👍👍👍👍👍
Mungu azidi kukujalia afya njema mzidi kuiongoza Tanzania yetu
Mungu akubariki xana
Allah akuweke
Hivi hao wanaomzomea huyo profesor uelewa wa mambo ni mdogo sana kwenye sheria palamagamba ni moto wa kuotea mbali
Kutokupiga magoti nivizuri lkn usiwe mnafki wa kisiasa Tatizo LA umasikini wa Africa ni ninyie viyongozi mnashindwa kusimamia ukweli nakuwa mkweli Mnabaki kulilinda matumbo yenu Hata pale Taifa linapo angamia likikosa ushahuri wa kitaalamu Mnaweka siasa
Wewe kweli ni mwalimu piga msasa
Yaani ww ungekua na umri mdogo ilibidi uje kua rais mm nakuombea kwa Mungu uje uwe ata waziri mkuu ktk hii nchi
Kabudi msaidie mh,rais akika MUNGU kaitendea kweli Tanzania nasema Amina
Am saddened!
kuna siku JPM. alisema...nanukuu '''Tanzania tupo 55mil. siwezi nikasimama..na kusema mim.. ni...bora sana kuliko wengine ...vivyo hivyo kwa viongoz..wengine..ni Mungu tu ametaka.tue viongoz angeweza..kuwachagua..wengine...""
AMINAAA PR KABUDI HII NI SERIKALI YA AWAMU YA 5 MUNGU YUPO NANYI VIONGOZI WANGU MKIONGOZWA NA JEMEDARY MKUU JOHN POMBE MAGUFULI.
umejitahidi kutetea ugali wako, mzee kaa ukijua dunia ingekuwa na maprofesa km wewe sijui leo tungekuwa wapi