Hussein Bashe afungukia waraka wa Kinana na Makamba
Mbunge wa Nzega Hussein Bashe amefanya mahojiano maalum na Azam TV na kuzungumzia sakata linaloendelea kushika vichwa vya habari kwenye medani za siasa la waraka ulioandikwa na makatibu wakuu wastaafu wa CCM Abdulrahman Kinana na Yusuf Makamba.
Msikilize alivyofunguka.
Пікірлер: 112
I stand with you Bashe!
You are very straight Bashe. Unakonga mioyo ya Watanzania wengi. Keep it up!
Bashe una hekima sana
Nampenda Kijana wetu Bashi si mnafiki kabisa bungeni kipa siku Bashe akiikosoa Serikali mnafurahia leo kakosoa Wazee wastaafu leko Bashe kawa mbaya acheni unafiki ogopeni Mungu mtachomwa kwa unafiki kesho umulikiama Mwacheni Bashe kasema ukweli mezeni tu mawe msukumie na vijiti ili mawe yapite
Wanamzunguka Raisi Wetu,watanzania tunajua,wamwache Raisi wetu,tunampenda,hatutaki kabisa,wabaki na ustaafu wao
Kusema Kweli mpenzi Mungu, Mh. Hussein Bashe nimekuelewa wema, na Mungu atakulipa kwa kusema ukweli wako, Aamina.
Bashe kashindwa kueleza kwanini Musiba anawekewa Kinga.. Huu Ndo mzizi wa Tatizo.. Haya yote mnayoongea ni matokeo tu.. Wanasiasa Nyie Ndo Maadui No.1 wa Taifa Letu.
Bashe anaakili sana,na ni mzalendo MUNGU AKUBARIKI BROTHER
@imanwilliam4073
5 жыл бұрын
AMOS CHEYO bashe hakuna kitu ni mnafki zamani alikuw anamtetea lowassa na ufisadi wake sana
Hao wazee mi waharibifu . Wananchi Hatutokubali.
Bashe you are genius...man
@epafrangweshemi4014
2 жыл бұрын
Of course the guy is pontential and deserve to be more than where he is.
God bless Tanzania!
sisi wananchi tunamuomba rais magufuli afukuwe makaburi kinana akamatwe kwa kumaliza tembo wetu muujumu uchumi tumevuliya vya kutosha wananchi turuhusiwe tumshugulikie kinana hawa ndiyo wamelifikisha taifa hapa tulipo
Kaka bashe umeongea ukweli hawa watu lengo lao ni kuiua ccm, Lakini hawataweza
@evancekimaro9774
5 жыл бұрын
Ccm itakufa na wew kilaza utakufa pia had mm
@leonelleo4425
5 жыл бұрын
@@evancekimaro9774 utakufa wewe kabla ya CCM haijafa..roho mbaya itakupeleka kaburini mapema sana..
@evancekimaro9774
5 жыл бұрын
Chama kimekuwa taasisi hicho kusema ukweli kwao mwiko sasa ni kuishi kinafiki tu
Unaakili sana Bashe, God bless you
Bashe mpuuzi kweli!!
Uko sahihi sana mh Bashe
@abdulkhamis1170
5 жыл бұрын
Bashe huko sahihi mrindeni raisi wetu
Alieguswa aende mahakamani basi ndio suruisho zidi ya apo musiba amepiga pale pale ukisikia yaraaa umeingia
Napenda wanaosema kweli big up Bashe
Bashe, Bashe, bashe slow down bro.. sometime revolutions eats their own children, I can assure you bro..politics is such dynamic you can't tell what the future holds for you,
Huyu dogo yupo vizuri Sana kinana anataka siasa taka ndani yachama
Good
Niko kachoma nzega bashe uko vizuri
Upo sahihi bashe vyema sanaaaa
Point sana Bashe uko right sanaaaa
Big up Mr Bashe! Hao wazee wameishiwa pumzi just ignore them!
Bado tunasubiri habari za voice za.kinana.na nape mbona kimya? Mtazitowa lini walivyomsengenya Rais
@bilali30.
5 жыл бұрын
Makamba na kinana kwanin wasikae kimya kama kina Jaka Mwambi na Mangula
@sheryphamwenevalley6124
5 жыл бұрын
@@bilali30. awana akili bado wanataka siasa za kifisadi na familia, zao.za.matumbo yao, wanadhani bado watanzania wamelala
Bro bashe kwakweli umeonge kitu chapwent xana nchi hii ilikua nawapigaji xana hata wengine aibu hawaoni....
Hawa walizoea kuitafuna nchi tunawajua hata wanaoshauriana. Bashe uko sahihi kabusa na sio mnafiki.
Huyu naye anaile PhD ya unafiki kama alivyodai mwanachama na mwanaharakati wa kujitetea musiba. Hongera sana.
Nchi hii siasa tu wallah jamn waafrika nyinyi lini mutawek akili zenu ktk maendeleo na mamb ya msingi.
@loudanmfundo5289
5 жыл бұрын
I real like u bashe
Kinana kamaliza tembo kule ngorongoro na Hao OBC yaan ukisimuliwa unalia mwenyewe bax tu
Huwa nakuelewa sana daima endelea kuwa muwazi na mkweli Kama ulivyo
hao hao wabaya leo mliwapa sehemu nyeti ya nchi utadhani samia hakuona huu ujinga
Hawa wazee wana matatizo, wao kipindi chao ndiyo walikigawa chama na vyote alivyovisema musiba ni kweli, chama kilivurugika mpk ccm ilichukiwa
Mambo mangapi yanafanyika kinyume na katiba mbona hausemi? Acha kupotosha Bashe
Am here 2nd April 2022
Hussein bashe is a somali, his origins comes from east somalia
hongera bashe
Bashe kweli umekomaa
Mimi nakuelewa kaka yangu Bashe hawa wazeee wameshauriwa vibaya kuna agenda ya siri
Wewe Bashe hunaga unafiki mtoto wa watu. Ila hao wazee wapumzike tu kwa amani, wasitafute visingizio. WAKATI UKUTA.
Sometimes huyu ni fara ila ajue panya wapo kila mahali,tunaishi nao streets na beer tunakunywa nao na hela tunawakopesha na unafki unatokea uswazi sembuse ccm
Sasa ustaafu unamaana gani kama wastaafu wanakuwa na maamuzi ktk kile walichostaafu as if ni viongozi juu ya wenye muda katik hicho wao walichokistaafu ?
duuuh. bashe uko sahiii kabisa hogera
mmmmh naangalia leo tar. 01.04.2022
Ccm oyeeeee kazi inaendelea
Mfano alipotishiwa bastola kwa nini asingefata utaratibu anaanza kulopoka hadharani au nshu zile hazikuhusu chama?(siasa) na angetokea wa kuilaumu report ile angeelewekaje? au anajitoa ufahamu kwamba hajui ni report za usalama namkubali bashe kweli ila ukweli huko ni kum support ujinga wa musiba kiaina
Tulia komaa simamia kweli na haki wafaa kuwa msaada kwa wanyonge.
Musiba anatumwa na nani? Mbona vyombo vya usalama vinampiga chenga? Msiangalie mlipo anguka angalieni mlipojikwaa. CCM imeshakufa hapo inaendeelea kuoza tu taratibu, wapo kwenye friji ( polisi) ili wasiaribike
Twambieni huyo misiba anatumwa na Nani mbona ccm na vyombo vya dola vipo kimya!?
@evancesolomon5494
5 жыл бұрын
Alisha Sema yeye mwenyewe wazi kabisa kuwa yeye ni mwanaharakati Kama walivyo kina Kalume,Salungi,Ngurumo,Mdude,Mange na wengine.na hata siku moja sijawahi muona kwenye shughuri za chama.
Bashe Ni hazina ya taifa hili
Hili picha makamba na kinana kuchafuliwa wakilalamika wanekosea na musiba akiwatuhumu watu ccm wanakuwa kimyaa
Bashe kumbe wewe nimjanja
Kwani hata yeye musiba si anadai anamtetea raisi??
Unasema Makamba hana maandishi yake mule.?????Makamba katumbuliwa sasa ww sasa ni naibu waziri....tufanye kazi kwa moyo mmoja wa kuinua taifa hili tutoke kwenye ujinga ambaye ni adui namba moja wa maendeleo yetu...Magufuli anafanya mambo tangible kabisa na wananchi tunafurahi.....adumu Magu
Kama ungekua we we ungefanyeje?
Wenye CCM Yao Wamerudi. Utaficha wapi Sura yako
mmmmmmm ☺☺☺☺☺🤔
bashe unajitahidi sana kusema ukweli sometime unaongea uongo wewe hujui km musiba ni mwanachama wa ccm kweli...ivi ushawahi kuandika habari ZA raisi anapokosea?
Asiseme musiba hahusiani na ccm maneno yale angekua anamsema mheshimiwa raisi ingekuwaje? Umeyumba blaza ungenyamaza tu usubili kampeni
zamani bashe alikua na akili kweli
Magufuli alimpa unaibu Waziri wa kilimo bana
Raisi ndiye anayetoa kinga ni kweli
Bashe na king msukuma mko vzurisanaaa nyie n viongoz wa kuigwa kabxaa ktka hii taifa
@emanuelmasele8213
5 жыл бұрын
Umemsahau na Lusinde aka kibajaji
Bashe iko naongea kwel kabsa.Mpa yeye gahawa.
Umeteta soon umepewa shavu
Bashe na wewe mwenyewe hatukutaki, ondoka
Musiba amesema ili uwe mwana CCM lazima uwe na PhD ya unafiki kwa maana hiyo ni pamoja JPM anayo hiyo PhD.. Nae ni mwanachama na wewe, Nape, Kinana na kila mwenye Kadi ya CCM... Anajiamini nini kuweza kumtukana mpaka Rais?
Umesema hawa makatibu wana M target JPM je JPM ndie anaemtuma Musiba???
@uledimtumwa2406
5 жыл бұрын
Kila anaetetea jambo ni mtumwa wa jambo lenyewe.ukimtetea mungu ni mtumwa wa mungu sio mpaka akutume.
niko pamoja nawe bashe
Bashe shavu
Ccm wapumzike wametuchosha sasa
Bashe kila siku anampinga magufulu....leo kabadirika!....uyu kweli mnafiki......wote, yeye na kaka yake nape!
@aludomakori7692
5 жыл бұрын
Divide and rule,kuanzia sasa urafiki wake na Nape kwisha ye ni kiongozi wa serikali sasa
Bashe ni msomi
Wapi bashe now hahaaaa
Magufuli akistaafu! Natamani upokee wewe bashe kijiti..
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
ktk watu ninao waelewa vizuri nchi hii huyu wa kwanza tena ni jembe
Mapinduz cio chama yamebaki mavaz yao tu wanaovaa
Hawana uchungu na taifa hili hawa jamaa
ujingaujinga tu
CCM mkipata matatizo wananchi tunapata faraja.
@chrisantgeorge3677
5 жыл бұрын
Kama ccm haikusambaratika wakati wa lowasa 2015 basi usitarajie tena nyumbu
@bilalwilliam2535
5 жыл бұрын
Huwa nakuelewa vizuri sana mh Bashe
@bilalwilliam2535
5 жыл бұрын
Umesema iliyo kweli mh,BASHE
@abdulkareemseif667
5 жыл бұрын
Jamal Naeem sanaa mana tunaomba hichi chama kife labisa
@casttraining1575
5 жыл бұрын
Bashe msimba ni mwanachama wa ccm kabixa na aliwahi kugombea ubungu jimbo la kibara mara Kula za maoni kangi alimushinda
sasa kinana ndio boss cjui itakuaje
@jumakapilima7295
9 күн бұрын
Hawa watoto hawaijui siasa,,
Tuliosikia kuwa makamba hana maandishi yake tujuane. Je sahihi sio yakwake na wewe unalinda ubunge wako 2020
lols
Mnachokimaanisha ni kwamba musiba ana maslahi ktk ccm coz hakuna asiyejua mabaya ya musiba tena kwa wazee na watu wa heshima ambao wanapaswa kulindiwa maisha na heshima yao kama ni watu mhimu kwa chama sasa tusemaje basi kwa maneno yale kama selikari haiyakanushi je ubaya wa kauli ya huo waraka ni kusema kweli au?
Kamata wote sukuma ndani
Safi sana Bashe hawa wazee waricho kifanya nikutaka kufuruga katiba nakukigawa chama, Hatukubari kwa wazee hawa wario zeeka, wapumzike . wasimchafuwe rais wetu.
Iyo ni sawa na kumfinya mtu na kumwambia alie kwa utaratibu it's not making sense afu kwa mitazamo yangu bashe ameyumba kuanza kuujadili huu waraka coz ana heshima yake haikuwa zambi kunyamaza tu
Wewe ninoma bashe, nakuonaga kama mhuni, kumbe bonge lakiongozi nipo nawewe.