Hussein Bashe afungukia waraka wa Kinana na Makamba

Mbunge wa Nzega Hussein Bashe amefanya mahojiano maalum na Azam TV na kuzungumzia sakata linaloendelea kushika vichwa vya habari kwenye medani za siasa la waraka ulioandikwa na makatibu wakuu wastaafu wa CCM Abdulrahman Kinana na Yusuf Makamba.
Msikilize alivyofunguka.

Пікірлер: 112

  • @softrock7155
    @softrock71555 жыл бұрын

    I stand with you Bashe!

  • @simonkabuka9170
    @simonkabuka91702 жыл бұрын

    You are very straight Bashe. Unakonga mioyo ya Watanzania wengi. Keep it up!

  • @homeboybeyondtheborders4935
    @homeboybeyondtheborders49355 жыл бұрын

    Bashe una hekima sana

  • @mossymtwana6422
    @mossymtwana64225 жыл бұрын

    Nampenda Kijana wetu Bashi si mnafiki kabisa bungeni kipa siku Bashe akiikosoa Serikali mnafurahia leo kakosoa Wazee wastaafu leko Bashe kawa mbaya acheni unafiki ogopeni Mungu mtachomwa kwa unafiki kesho umulikiama Mwacheni Bashe kasema ukweli mezeni tu mawe msukumie na vijiti ili mawe yapite

  • @barakamweta9958
    @barakamweta99585 жыл бұрын

    Wanamzunguka Raisi Wetu,watanzania tunajua,wamwache Raisi wetu,tunampenda,hatutaki kabisa,wabaki na ustaafu wao

  • @binurusm8886
    @binurusm88865 жыл бұрын

    Kusema Kweli mpenzi Mungu, Mh. Hussein Bashe nimekuelewa wema, na Mungu atakulipa kwa kusema ukweli wako, Aamina.

  • @amandusmark3060
    @amandusmark30605 жыл бұрын

    Bashe kashindwa kueleza kwanini Musiba anawekewa Kinga.. Huu Ndo mzizi wa Tatizo.. Haya yote mnayoongea ni matokeo tu.. Wanasiasa Nyie Ndo Maadui No.1 wa Taifa Letu.

  • @amoscheyo7406
    @amoscheyo74065 жыл бұрын

    Bashe anaakili sana,na ni mzalendo MUNGU AKUBARIKI BROTHER

  • @imanwilliam4073

    @imanwilliam4073

    5 жыл бұрын

    AMOS CHEYO bashe hakuna kitu ni mnafki zamani alikuw anamtetea lowassa na ufisadi wake sana

  • @rosemarymsulwa203
    @rosemarymsulwa2035 жыл бұрын

    Hao wazee mi waharibifu . Wananchi Hatutokubali.

  • @selemanichillo8287
    @selemanichillo82875 жыл бұрын

    Bashe you are genius...man

  • @epafrangweshemi4014

    @epafrangweshemi4014

    2 жыл бұрын

    Of course the guy is pontential and deserve to be more than where he is.

  • @nowelalenze7099
    @nowelalenze70995 жыл бұрын

    God bless Tanzania!

  • @mohammedmdangwe2056
    @mohammedmdangwe20565 жыл бұрын

    sisi wananchi tunamuomba rais magufuli afukuwe makaburi kinana akamatwe kwa kumaliza tembo wetu muujumu uchumi tumevuliya vya kutosha wananchi turuhusiwe tumshugulikie kinana hawa ndiyo wamelifikisha taifa hapa tulipo

  • @jazilmasunga6405
    @jazilmasunga64055 жыл бұрын

    Kaka bashe umeongea ukweli hawa watu lengo lao ni kuiua ccm, Lakini hawataweza

  • @evancekimaro9774

    @evancekimaro9774

    5 жыл бұрын

    Ccm itakufa na wew kilaza utakufa pia had mm

  • @leonelleo4425

    @leonelleo4425

    5 жыл бұрын

    @@evancekimaro9774 utakufa wewe kabla ya CCM haijafa..roho mbaya itakupeleka kaburini mapema sana..

  • @evancekimaro9774

    @evancekimaro9774

    5 жыл бұрын

    Chama kimekuwa taasisi hicho kusema ukweli kwao mwiko sasa ni kuishi kinafiki tu

  • @magidalenarauya4286
    @magidalenarauya42862 жыл бұрын

    Unaakili sana Bashe, God bless you

  • @raphaelsamwel2640
    @raphaelsamwel26405 жыл бұрын

    Bashe mpuuzi kweli!!

  • @johnsaitakatei9621
    @johnsaitakatei96215 жыл бұрын

    Uko sahihi sana mh Bashe

  • @abdulkhamis1170

    @abdulkhamis1170

    5 жыл бұрын

    Bashe huko sahihi mrindeni raisi wetu

  • @anuaryally6177
    @anuaryally61775 жыл бұрын

    Alieguswa aende mahakamani basi ndio suruisho zidi ya apo musiba amepiga pale pale ukisikia yaraaa umeingia

  • @samuelndalahwa3423
    @samuelndalahwa34235 жыл бұрын

    Napenda wanaosema kweli big up Bashe

  • @kyangalakevin8866
    @kyangalakevin88665 жыл бұрын

    Bashe, Bashe, bashe slow down bro.. sometime revolutions eats their own children, I can assure you bro..politics is such dynamic you can't tell what the future holds for you,

  • @abdulmalickupete9015
    @abdulmalickupete90155 жыл бұрын

    Huyu dogo yupo vizuri Sana kinana anataka siasa taka ndani yachama

  • @davidbalele8770
    @davidbalele87702 жыл бұрын

    Good

  • @salumkabunda3312
    @salumkabunda33125 жыл бұрын

    Niko kachoma nzega bashe uko vizuri

  • @tozzaalexandar4905
    @tozzaalexandar49055 жыл бұрын

    Upo sahihi bashe vyema sanaaaa

  • @kenedyochieng155
    @kenedyochieng1555 жыл бұрын

    Point sana Bashe uko right sanaaaa

  • @johnmwambungu7434
    @johnmwambungu74345 жыл бұрын

    Big up Mr Bashe! Hao wazee wameishiwa pumzi just ignore them!

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley61245 жыл бұрын

    Bado tunasubiri habari za voice za.kinana.na nape mbona kimya? Mtazitowa lini walivyomsengenya Rais

  • @bilali30.

    @bilali30.

    5 жыл бұрын

    Makamba na kinana kwanin wasikae kimya kama kina Jaka Mwambi na Mangula

  • @sheryphamwenevalley6124

    @sheryphamwenevalley6124

    5 жыл бұрын

    @@bilali30. awana akili bado wanataka siasa za kifisadi na familia, zao.za.matumbo yao, wanadhani bado watanzania wamelala

  • @allyhashim7935
    @allyhashim79355 жыл бұрын

    Bro bashe kwakweli umeonge kitu chapwent xana nchi hii ilikua nawapigaji xana hata wengine aibu hawaoni....

  • @priscambwambo1030
    @priscambwambo10305 жыл бұрын

    Hawa walizoea kuitafuna nchi tunawajua hata wanaoshauriana. Bashe uko sahihi kabusa na sio mnafiki.

  • @clementmathias9512
    @clementmathias95125 жыл бұрын

    Huyu naye anaile PhD ya unafiki kama alivyodai mwanachama na mwanaharakati wa kujitetea musiba. Hongera sana.

  • @hemedjackson2261
    @hemedjackson22615 жыл бұрын

    Nchi hii siasa tu wallah jamn waafrika nyinyi lini mutawek akili zenu ktk maendeleo na mamb ya msingi.

  • @loudanmfundo5289

    @loudanmfundo5289

    5 жыл бұрын

    I real like u bashe

  • @zunyagapeter4647
    @zunyagapeter46475 жыл бұрын

    Kinana kamaliza tembo kule ngorongoro na Hao OBC yaan ukisimuliwa unalia mwenyewe bax tu

  • @petersynto8634
    @petersynto86345 жыл бұрын

    Huwa nakuelewa sana daima endelea kuwa muwazi na mkweli Kama ulivyo

  • @aishaalbalushaishabalush8291
    @aishaalbalushaishabalush82914 күн бұрын

    hao hao wabaya leo mliwapa sehemu nyeti ya nchi utadhani samia hakuona huu ujinga

  • @peterkailembo4101
    @peterkailembo41015 жыл бұрын

    Hawa wazee wana matatizo, wao kipindi chao ndiyo walikigawa chama na vyote alivyovisema musiba ni kweli, chama kilivurugika mpk ccm ilichukiwa

  • @salumuhamissi3492
    @salumuhamissi34925 жыл бұрын

    Mambo mangapi yanafanyika kinyume na katiba mbona hausemi? Acha kupotosha Bashe

  • @osaqweamour2753
    @osaqweamour27532 жыл бұрын

    Am here 2nd April 2022

  • @mhassan5374
    @mhassan53745 жыл бұрын

    Hussein bashe is a somali, his origins comes from east somalia

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri81145 жыл бұрын

    hongera bashe

  • @humayduwe1762
    @humayduwe17625 жыл бұрын

    Bashe kweli umekomaa

  • @agnessjosephath4330
    @agnessjosephath43305 жыл бұрын

    Mimi nakuelewa kaka yangu Bashe hawa wazeee wameshauriwa vibaya kuna agenda ya siri

  • @elminakalunga4030
    @elminakalunga40305 жыл бұрын

    Wewe Bashe hunaga unafiki mtoto wa watu. Ila hao wazee wapumzike tu kwa amani, wasitafute visingizio. WAKATI UKUTA.

  • @skuhenga
    @skuhenga5 жыл бұрын

    Sometimes huyu ni fara ila ajue panya wapo kila mahali,tunaishi nao streets na beer tunakunywa nao na hela tunawakopesha na unafki unatokea uswazi sembuse ccm

  • @loner_wolf
    @loner_wolf2 жыл бұрын

    Sasa ustaafu unamaana gani kama wastaafu wanakuwa na maamuzi ktk kile walichostaafu as if ni viongozi juu ya wenye muda katik hicho wao walichokistaafu ?

  • @hassangomai8884
    @hassangomai88845 жыл бұрын

    duuuh. bashe uko sahiii kabisa hogera

  • @wemachristian286
    @wemachristian2862 жыл бұрын

    mmmmh naangalia leo tar. 01.04.2022

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole74382 жыл бұрын

    Ccm oyeeeee kazi inaendelea

  • @saimonseleka8478
    @saimonseleka84785 жыл бұрын

    Mfano alipotishiwa bastola kwa nini asingefata utaratibu anaanza kulopoka hadharani au nshu zile hazikuhusu chama?(siasa) na angetokea wa kuilaumu report ile angeelewekaje? au anajitoa ufahamu kwamba hajui ni report za usalama namkubali bashe kweli ila ukweli huko ni kum support ujinga wa musiba kiaina

  • @epafrangweshemi4014
    @epafrangweshemi40142 жыл бұрын

    Tulia komaa simamia kweli na haki wafaa kuwa msaada kwa wanyonge.

  • @nyarinkya6102
    @nyarinkya61025 жыл бұрын

    Musiba anatumwa na nani? Mbona vyombo vya usalama vinampiga chenga? Msiangalie mlipo anguka angalieni mlipojikwaa. CCM imeshakufa hapo inaendeelea kuoza tu taratibu, wapo kwenye friji ( polisi) ili wasiaribike

  • @danielmanyama4504
    @danielmanyama45045 жыл бұрын

    Twambieni huyo misiba anatumwa na Nani mbona ccm na vyombo vya dola vipo kimya!?

  • @evancesolomon5494

    @evancesolomon5494

    5 жыл бұрын

    Alisha Sema yeye mwenyewe wazi kabisa kuwa yeye ni mwanaharakati Kama walivyo kina Kalume,Salungi,Ngurumo,Mdude,Mange na wengine.na hata siku moja sijawahi muona kwenye shughuri za chama.

  • @kpetres2872
    @kpetres28722 жыл бұрын

    Bashe Ni hazina ya taifa hili

  • @abduazizi4536
    @abduazizi45365 жыл бұрын

    Hili picha makamba na kinana kuchafuliwa wakilalamika wanekosea na musiba akiwatuhumu watu ccm wanakuwa kimyaa

  • @ramadhanisuru1822
    @ramadhanisuru18225 жыл бұрын

    Bashe kumbe wewe nimjanja

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima56745 жыл бұрын

    Kwani hata yeye musiba si anadai anamtetea raisi??

  • @raymondkaswaga8334
    @raymondkaswaga83345 жыл бұрын

    Unasema Makamba hana maandishi yake mule.?????Makamba katumbuliwa sasa ww sasa ni naibu waziri....tufanye kazi kwa moyo mmoja wa kuinua taifa hili tutoke kwenye ujinga ambaye ni adui namba moja wa maendeleo yetu...Magufuli anafanya mambo tangible kabisa na wananchi tunafurahi.....adumu Magu

  • @magigejoseph255
    @magigejoseph2555 жыл бұрын

    Kama ungekua we we ungefanyeje?

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk2 жыл бұрын

    Wenye CCM Yao Wamerudi. Utaficha wapi Sura yako

  • @jorammasoro3536
    @jorammasoro35362 жыл бұрын

    mmmmmmm ☺☺☺☺☺🤔

  • @abdulkareemseif667
    @abdulkareemseif6675 жыл бұрын

    bashe unajitahidi sana kusema ukweli sometime unaongea uongo wewe hujui km musiba ni mwanachama wa ccm kweli...ivi ushawahi kuandika habari ZA raisi anapokosea?

  • @saimonseleka8478
    @saimonseleka84785 жыл бұрын

    Asiseme musiba hahusiani na ccm maneno yale angekua anamsema mheshimiwa raisi ingekuwaje? Umeyumba blaza ungenyamaza tu usubili kampeni

  • @aishaalbalushaishabalush8291
    @aishaalbalushaishabalush82914 күн бұрын

    zamani bashe alikua na akili kweli

  • @festochanga7140
    @festochanga71402 жыл бұрын

    Magufuli alimpa unaibu Waziri wa kilimo bana

  • @KaskasTHEfinderCLIP
    @KaskasTHEfinderCLIP5 жыл бұрын

    Raisi ndiye anayetoa kinga ni kweli

  • @omarymaulid2090
    @omarymaulid20905 жыл бұрын

    Bashe na king msukuma mko vzurisanaaa nyie n viongoz wa kuigwa kabxaa ktka hii taifa

  • @emanuelmasele8213

    @emanuelmasele8213

    5 жыл бұрын

    Umemsahau na Lusinde aka kibajaji

  • @waltermbelwa4973
    @waltermbelwa49735 жыл бұрын

    Bashe iko naongea kwel kabsa.Mpa yeye gahawa.

  • @mwansasu
    @mwansasu5 жыл бұрын

    Umeteta soon umepewa shavu

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun301511 күн бұрын

    Bashe na wewe mwenyewe hatukutaki, ondoka

  • @jumajaffary9698
    @jumajaffary96985 жыл бұрын

    Musiba amesema ili uwe mwana CCM lazima uwe na PhD ya unafiki kwa maana hiyo ni pamoja JPM anayo hiyo PhD.. Nae ni mwanachama na wewe, Nape, Kinana na kila mwenye Kadi ya CCM... Anajiamini nini kuweza kumtukana mpaka Rais?

  • @jumajaffary9698
    @jumajaffary96985 жыл бұрын

    Umesema hawa makatibu wana M target JPM je JPM ndie anaemtuma Musiba???

  • @uledimtumwa2406

    @uledimtumwa2406

    5 жыл бұрын

    Kila anaetetea jambo ni mtumwa wa jambo lenyewe.ukimtetea mungu ni mtumwa wa mungu sio mpaka akutume.

  • @ibahimmuna1252
    @ibahimmuna12525 жыл бұрын

    niko pamoja nawe bashe

  • @daktar_kapaku_natural529
    @daktar_kapaku_natural5295 жыл бұрын

    Bashe shavu

  • @inocentmarandu3323
    @inocentmarandu33235 жыл бұрын

    Ccm wapumzike wametuchosha sasa

  • @universalcliptv4871
    @universalcliptv48715 жыл бұрын

    Bashe kila siku anampinga magufulu....leo kabadirika!....uyu kweli mnafiki......wote, yeye na kaka yake nape!

  • @aludomakori7692

    @aludomakori7692

    5 жыл бұрын

    Divide and rule,kuanzia sasa urafiki wake na Nape kwisha ye ni kiongozi wa serikali sasa

  • @juliasbeda2894
    @juliasbeda28945 жыл бұрын

    Bashe ni msomi

  • @hemedmsella6496
    @hemedmsella64962 жыл бұрын

    Wapi bashe now hahaaaa

  • @babarenee4797
    @babarenee47975 жыл бұрын

    Magufuli akistaafu! Natamani upokee wewe bashe kijiti..

  • @ttec9431
    @ttec94315 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @lenardisrael6505
    @lenardisrael65055 жыл бұрын

    ktk watu ninao waelewa vizuri nchi hii huyu wa kwanza tena ni jembe

  • @steveherclles2295
    @steveherclles22955 жыл бұрын

    Mapinduz cio chama yamebaki mavaz yao tu wanaovaa

  • @anafisuleimani7083
    @anafisuleimani70835 жыл бұрын

    Hawana uchungu na taifa hili hawa jamaa

  • @ernestsinje9532
    @ernestsinje95325 жыл бұрын

    ujingaujinga tu

  • @jamalnaeem9569
    @jamalnaeem95695 жыл бұрын

    CCM mkipata matatizo wananchi tunapata faraja.

  • @chrisantgeorge3677

    @chrisantgeorge3677

    5 жыл бұрын

    Kama ccm haikusambaratika wakati wa lowasa 2015 basi usitarajie tena nyumbu

  • @bilalwilliam2535

    @bilalwilliam2535

    5 жыл бұрын

    Huwa nakuelewa vizuri sana mh Bashe

  • @bilalwilliam2535

    @bilalwilliam2535

    5 жыл бұрын

    Umesema iliyo kweli mh,BASHE

  • @abdulkareemseif667

    @abdulkareemseif667

    5 жыл бұрын

    Jamal Naeem sanaa mana tunaomba hichi chama kife labisa

  • @casttraining1575

    @casttraining1575

    5 жыл бұрын

    Bashe msimba ni mwanachama wa ccm kabixa na aliwahi kugombea ubungu jimbo la kibara mara Kula za maoni kangi alimushinda

  • @sponsor7882
    @sponsor78822 жыл бұрын

    sasa kinana ndio boss cjui itakuaje

  • @jumakapilima7295

    @jumakapilima7295

    9 күн бұрын

    Hawa watoto hawaijui siasa,,

  • @francisabdallah7743
    @francisabdallah77435 жыл бұрын

    Tuliosikia kuwa makamba hana maandishi yake tujuane. Je sahihi sio yakwake na wewe unalinda ubunge wako 2020

  • @barikiwa22
    @barikiwa225 жыл бұрын

    lols

  • @saimonseleka8478
    @saimonseleka84785 жыл бұрын

    Mnachokimaanisha ni kwamba musiba ana maslahi ktk ccm coz hakuna asiyejua mabaya ya musiba tena kwa wazee na watu wa heshima ambao wanapaswa kulindiwa maisha na heshima yao kama ni watu mhimu kwa chama sasa tusemaje basi kwa maneno yale kama selikari haiyakanushi je ubaya wa kauli ya huo waraka ni kusema kweli au?

  • @jameschubiri9453
    @jameschubiri94535 жыл бұрын

    Kamata wote sukuma ndani

  • @williamngazija7284
    @williamngazija72845 жыл бұрын

    Safi sana Bashe hawa wazee waricho kifanya nikutaka kufuruga katiba nakukigawa chama, Hatukubari kwa wazee hawa wario zeeka, wapumzike . wasimchafuwe rais wetu.

  • @saimonseleka8478
    @saimonseleka84785 жыл бұрын

    Iyo ni sawa na kumfinya mtu na kumwambia alie kwa utaratibu it's not making sense afu kwa mitazamo yangu bashe ameyumba kuanza kuujadili huu waraka coz ana heshima yake haikuwa zambi kunyamaza tu

  • @samwelimashaka8997
    @samwelimashaka89975 жыл бұрын

    Wewe ninoma bashe, nakuonaga kama mhuni, kumbe bonge lakiongozi nipo nawewe.

Келесі