Prof. Palamagamba Kabudi Amwaga Madini Bungeni
Waziri wa Katiba Na Sheria Prof Palamagamba Kabudi Amejibu Hoja za Wabunge Wa Bunge La Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Baada ya Majadiano Ya Bajeti Ya Wizara Hiyo Ambapo Aliwataka Wabunge Asa Wanasheria Kuwa Na Nidhamu Kutokana Na Taaluma Yao
Ambapo Katika Hutuba Yake Wabunge Waliingia Darasani Kujifunza Sheria Kutoka Kwa Profesa uyo Wa Sheria
Пікірлер: 80
Naona baadhi ya wabunge wanachukua notes, aliyeona kama mimi gonga like chini, Prof. Kabudi hongera sana kwa nondo hizo you are full of knowledge, skill and power.
Sheria ndo Msingi wa Utawala na Mamlaka yoyote hapa duniani,hongera sana mh.Prof.Kabudi kwa somo safi sana...ubarikiwe!
Asante sana Prof. Kabudi
Nilifurahi ulipoteuliwa, Chapa kazi, toa somo wataelewa tu. safiiiiiiiiii sanas.
Mbona TUNDU LISSU kakimbia darasa leo? Angepata somo la kumfaa kwenye kelele zake. Safi sana Prof.Kabudi.
Mtu kama huyu ndiyo unapoona kuna watu wanaijua sheria yenye tija.badala ya wale wanaotumia sheria kupalaza palaza tu kutafuta sifa za kisiasa (Tundu Lisu).Kabudi ni bingwa aisee.nampa big up sana huyu mzee
Amazing! Amazing!
"don't dare me! " thank you professor Kabudi. "we spoke when the law was the law and when the president was president " Haaa asante professor
we spoke when the law was law and when the president was president............kabudi raha
@modernfarming5938
7 жыл бұрын
Tigahwa Mugongo tundulisu hapa kapata mkali wake
@mamahustru
7 жыл бұрын
Umeona ehh. Na Tundu kakimbia somo
@nicholausrutayuga5865
7 жыл бұрын
Vicent Paul Nadhani huyu wataendana na Tundu, kwani Tundu anaumizwa sana na wasioelewa sheria na historia vizuri. Mambo yakieleweka kwa wote tutafika mbali
@bigdad1816
7 жыл бұрын
Huyu ndio professor aliyebobea katika sheria Leo amewapa full dose ya kweli kabisa na lissu amejifunza Leo na kelele zake Professor nyinyi ndio mnaotakiwa kufanya Kazi Raising big up big up
@mamahustru
7 жыл бұрын
Yaani Prof Kabudi natamani nimnunulie soda. Sasa sijui UKAWA utakuwa umoja wa nini. Maana kawapa somo kwanini waingereza walituandikia sie katiba wakati wao hawana. PATAMU HAPO. Maana wasomi aina ya Akina LISSU walikariri tu darasani, sasa inabidi waanze kutafakari waliyo yasomaga.
Wabongo tuna-brains nzuri sana....Duuuuuh!
hichi kichwa Mungu kilindi kiishi maisha marefuuuuuu
Uko vizuri wape somo. Wasituchanganye, lawama kila siku.
Schooling the damaged Kenyan System! Totally sweet!
ahsante, vyama ruzuku vimepata darasa zuuuri.
Wafundishe muheshiwa maana kuna Watu wanajitia midomo sana wape somo wana kuelewa muheshiwa
Noma sana
hakik we noma sana wazir
Nakuelewa sana professor paramagamba kabudi kuliko yule mwenzio wa mwanzo
Mh Kabudi pambaneni tumechelewesha sana na wanasheria walikuwa hawataki kwenda kutenda matendo ya harali kwa taifa lao tena mbaya zaidi wanakuwa (malayamalaya)
Safi Prof
hawa ndio mawaziri tunao wataka wakweri, uwazi, na uzarendo pia, RAIS watafute Kama hao wasaidie taifa hili nina hakina tutafika pazuri
Hongera Baba kwa somo maana watu wengi hatujui sheria na umuhimu wake
@muhinazuberi1029
7 жыл бұрын
Adam Njovu
Prof ,nimekukubali sana duh,!!
@omarjumanne4471
6 жыл бұрын
Onesmo Jeremia umamaliza kuwa mkweri safi Sana
nmependa sana perception yako honorable mp(minister) your enough minister on that position
Nchi hii inahitaji watu wa aina yako, congulaturation our president.
Baaaado sijaona tanzania hii profesa kama kabudi wengine wote kanyanga
He's transformed me....
@mamahustru
7 жыл бұрын
Safi kaka. Wapinzani walizidi kudanganya watoto. Na naona Lissu kakimbia somo, alitaiwa awepo asikilize kwa maini.
@nicholausrutayuga5865
7 жыл бұрын
Moyosafi Tundu alikuwepo sema huenda hujaangalia vizuri
@umrahmaissa7724
7 жыл бұрын
Moyosafi Tundu yupo anatikisa kichwa tuuu....nimempenda Raisi wetu kutuwekea watu wanaoelewa. Hii itapunguza sela za watu waliotaka kutupotosha.
@mamahustru
7 жыл бұрын
Kweli nilioa Tundu alipoingia, alikuwa hayupo mwanzoi Yaani Prof Kabudi natamani nimnunulie soda. Sasa sijui UKAWA utakuwa umoja wa nini. Maana kawapa somo kwanini waingereza walituandikia sie katiba wakati wao hawana. PATAMU HAPO. Maana wasmi aina ya Akina LISSU walikariri tu darasani, sasa inabidi waanze kutafakari waliyo yasomaga.
daaaah amakweli viatu vimepata mvaaji aseee
kumbe wasomi wapo CCM lakini waliwekwa kando kwa saba za kisiasa tu kwani mwana siasa hapendi wasomi kwa kuzani unaweza kumpiku kwa kutumia elimu yako. Watanzania wanajuwa umuhimu wa katiba nasheria, lakini viongozi wetu ndio wenye kuikiuka katiba na kuikanyaga sheria. sasa kwa waziri huyu Lisu ajipange kwa hoja vizuri.
Imebidi nikusikilize tena na tena Prof.Kabudi kwa kutoa Elimu maridhawa.Wape somo hao waliopata 'PASS' ktk shahada zao za sheria.
Professor kabudi ni balaa
SAFI PROF NIMEKUKUBALI
Moja ya mawaziri bora kabisa kutokea tz
ulikuwa wapi kipindi chote ...kweli tanzania ina hazina nzuri sana ya viongozi
@mamahustru
7 жыл бұрын
Umeona eeh. Yaani Magufuli ndo amenifanya nitambue kuwa Tanzania ina vichwa vingi. Kikwete alikuwa wa ajabu sana, uongozi wa serikali hakuweza na maoni ya wasomi alikuwa hasikilizi. Labda inabidi Uwe kichwa kutambua vichwa wenzio.
@japhetmwamlenga7078
7 жыл бұрын
Moyoccvc b safi
Nani anaangalia na kusikiliza haya maneno yanayofaa kwa kila kipande mwaka 2019, maana sichoki kusikiliza...🤔🤔
siyo lecturer....Bali lecture
@EcoEssence_wellness
7 жыл бұрын
Tigahwa Mugongo Jamani waandishi jifunzeni lugha..
Droit sous les intérêts du président
Kama mtu hana uwezo wa kujielezee anasauriwa awe akipendelea kuwasikiliza viongozi kama hawa pole pole na yeye uwezo wake wa kujielezea utaongezeka na kujiamini
Nice
Tumekuelewa mzee kwa fikra za haraka haraka unastahili kuwa ulipo
HUYU Prof. amenifanya nikubali wanaotaka kutenganisha uwaziri na ubunge. Kuwa mawaziri sio lazima wawe wabunge, ili raisi aweze kuchagua yeyote yule anayefaa kuwa waziri. Nawazia umahiri wa huyu Prof., Prof. Mbarawa, Prof. Ndalichako, na Dr.Mpango. Kuna vichwa vingapi huko kitaa ambavyo havitaki michezo michafu ya siasa za majimbo, lakini wangeweza kuwa hazina na msaada mkubwa katika kuhudumia wananchi kwa kuongoza wizara?
@yusuflittanda2949
7 жыл бұрын
upo sawa mawazo yako yameshabihiana na yangu. Inshaallah
@josephkyomo8235
7 жыл бұрын
bonge moja la waziri
duh aisee professor pitia Kwa mango unywe soda ntalipia
Paramagamba Kabubudi ist jetzt ein nicht neutraler Anwalt
Alitabiri uondokaji wa ZUMA kwa mujibu wa kanuni za Chama huko SA
Taarifa mmeshimiwa spika haha jarib
Mmepewa nafasi na dhamana kubwa nanyi si kuliko watu wote hepukeni mikono isije ikanuka damu za wanadamu nyinyi mwajuwa uzao wenu mnaoishi nao tz makandokando yapo yatatue AMANI ITAWALE
wasomi tunao wengi lakini hawaonekani mpaka wapitie kwenye siasa
@mohammedsalim6398
6 жыл бұрын
Swidick Batenga hatA ukiwateua wengí si wazalendo wanapenda masifa tu
@mohammedsalim6398
6 жыл бұрын
Wabunge wengi wa upinzani wanapungukiwa busara. Aidha Nadhani wanaamini mawazo yao na chama chao ndio yA maana kuliko wenzao,au wamechoka kuongozwa? hivyo hujenga dharau. Wazo lao hatA kama ni bovu wanaliona sawa hili ni tatizo la bunge letu
@mohammedsalim6398
6 жыл бұрын
Hawataki hatA kusoma Hao Vi digrii vyao kimoja kimoja cha sheria? Vimewalevya ndio maana wakishindwa tu ubunge wanachanganyikiwa ?sheria ni kusoma? Kichwa kimejaa Siasa lazima mambo yawe magumu kwao. Asante kabudi baelezee
Kweli Rais Magufuli no jembe maana alimuona huyu
PROF,HONGERA
@dianam1161
5 жыл бұрын
Safi sana Muheshimiwa kwa madini juu ya nchi yetu especially in law
Prof. kama huyu ndio wanaositahili katika nchi maana cheo chake kinasadifu ufahamu wake katika nafasi na anaitendea haki elimu yake
Prof Paramaganda kabudi hatari sana
Jamani kwanini Global wamemkta patamu hivyo? Nilitaka kusikia maoni yake kwenye matumizi ya neno MHESHIMIWA. Maana mheshimiwa anatukana na kurusha ngumi mjengoni? Wananchi wake waimshangilia mubashara?
Prof kabuni ni jembe kali inafaa àwe Raisi ajae anaweza hazi anayo
Hakuna mtu mbaya kama huyu nchi hii na huyu ndiye anayemshauri rais lkn anaroho mbaya kama nini...
@isayalaizerhunaloloteccmnd4027
5 жыл бұрын
Ayubu Daniel huna akili kweli kabudi aliyetetea makenikia yetu na kugundua tunaibiwa mnyonge mnyongeni haki yake mpeni
tabu yako.waziri.unachongea.leo.kesho.unakiuka.unaonekana.km.unachunga.kitumbuachko.uskitie mchanga
@luchiombifile6339
3 жыл бұрын
Hujamuelewa wewe sikiliza upyaa
@franciscomohamedjumanne1136
3 жыл бұрын
Wengi huwa hamuelewi ila unaandika ulichonacho kwenye ubongo wako ,rudia kusikiliza