Azam TV - Historia ya kusisimua jaji mkuu mpya wa Tanzania

Waziri wa Sheria na Katiba Prof. Palamagamba Kabudi, ameelezea historia ya jaji mkuu mpya wa Tanzania Prof. Ibrahim Juma, ikiwa ni pamoja na kumfundisha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

Пікірлер: 25

  • @tumainielmaruwa3148
    @tumainielmaruwa31482 жыл бұрын

    Prof Juma namkubali sana natamani hiki kichwa kitukwamue hapa tupo. Asante

  • @mariammussa9292
    @mariammussa92923 жыл бұрын

    Mashaa Allah Allah akuongoze jaji mkuu ibrahim juma

  • @jumaramadhani5861
    @jumaramadhani58616 жыл бұрын

    Allah amfanyie wepesi katika kazi yake

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri81144 жыл бұрын

    Ibrahim anaonekantu kiukweli nimpole sana sana

  • @abdulrazakyussef3177
    @abdulrazakyussef31775 жыл бұрын

    kweli Jaji Mkuu Khamis Juma anaonekana mpole sana, lakini ndani ni chuma tupu, dhabiti sana.

  • @abdulatifmoxamed8047

    @abdulatifmoxamed8047

    4 жыл бұрын

    Anaonekana hana sifa ya kujikweza

  • @ommarymzee1161
    @ommarymzee11616 жыл бұрын

    ibrahimu piga kaz baba wahukumuu wez maaana nomaa kwel

  • @japhetkazeri7135
    @japhetkazeri71354 жыл бұрын

    Sisi Mara hivi ni vitu vya kawaida tu,toka zamani

  • @dhoulkefyljr8637
    @dhoulkefyljr86376 жыл бұрын

    Mungu amlinde na amuwezeshe kuwa na uadilifu

  • @sagudakisasila8449

    @sagudakisasila8449

    6 жыл бұрын

    Hongera jaji mkuu wa utumishi uliotukuka.

  • @dedakisika6669
    @dedakisika66692 жыл бұрын

    Nakuelewa Sana kabudi

  • @yordanyona1234
    @yordanyona12346 жыл бұрын

    awe kama wa kenya

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.653 жыл бұрын

    wahh

  • @mohdshebe5640
    @mohdshebe56402 жыл бұрын

    Naona misifa kibao Duhhh

  • @saidiseif6172
    @saidiseif61726 жыл бұрын

    hakuna chochote mnatetea ajira zenu tuu.

  • @kisulaabas2614
    @kisulaabas26145 жыл бұрын

    Namwona Makonda hapo Msomiiii

  • @miltonjohn9779

    @miltonjohn9779

    6 ай бұрын

    Makonda ni msomi wa wapi!

  • @suleimanbakar3429
    @suleimanbakar34292 жыл бұрын

    asema uongo kwa kujipendekeza na kumsifu mtu kwa uongo

  • @ibrahimshilinde6129
    @ibrahimshilinde61296 жыл бұрын

    kilamtu akieleza SV zake itakuaje,kuna wafanyakazi wanafanya kazi 24hrs,unakuta kituo cha afya,shule wapo wafanyakazi wa2 au wa3,hawa unawafikiriajee?

  • @ibrahimislam1493

    @ibrahimislam1493

    4 жыл бұрын

    IBRAHIM SHILINDE usiwe na wivu mtu akipewa uwezo wake.je kama ingikua wewe unge pinga.ficheni udhaifu wenu

  • @suleimanbakar3429
    @suleimanbakar34292 жыл бұрын

    masifa matupu lkn hana la maana

  • @bakariyusufu839
    @bakariyusufu8396 жыл бұрын

    Naona bashite nae anapiga makofi

  • @mnzavachris5423

    @mnzavachris5423

    5 жыл бұрын

    bakari yusufu hhahahaha tungemuwahi pale alivyotoka tukamuuliza alikuwa anapigia nini

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno79146 жыл бұрын

    Uwongo mtupu sifa zikizidi

  • @mnzavachris5423
    @mnzavachris54235 жыл бұрын

    ani niache nyapu ya mke wangu kisaaaa..io ofisi yanipa nn kitamu zaidi ya cha mke wangu, tena cha asbh kina ladha ya pekee sana! Na ni matatizo hayo ya usafiri na labd pengine uko nyumbani afukuzwa. Ila yote kwa yote kazi njema nafikiri anaifany vyema. #GGTZ🇹🇿