Tujifunze kukubali wengine, Watu wenye uwezo kama huu Waheshimiwe, Prof. Kabudi yupo vizuri sana.
@temuemanuel4671
2 жыл бұрын
Kabisa
@antoinekatembo8520
2 жыл бұрын
Huyo ni PROFESA! Huaga namkubali sana hadi basi tuu…!
@charlesmartine3467
2 жыл бұрын
Alisoma historia ya marehemu magufuri mpaka nikashituka uwezo wake jamaa pia ujasiri na na ujuaji wa mambo
@jeremiyastevenkivuyo7934
Жыл бұрын
Professor tunakukubali sana
@chedielimrutu69552 жыл бұрын
Professor nimekukubali nakupenda bure. You not a chicken you are Eagle
@gracekagoma32312 жыл бұрын
Kabuni wewe ni nguzo yetu Ninamuomba Mungu wale mashetani wasije kukuondoa duniai.Tunakuhitaji baba.Amen
@muddah7559
2 жыл бұрын
Umemalizia Yale ningeyasema
@mashakaamosgabinza38932 жыл бұрын
Kabudi is the best person for presentations
@muddah7559
2 жыл бұрын
Exactly!
@alexandermutune6131
2 жыл бұрын
Leadership ain't all about presentations.Always remember this.
@josephatmakaranga70432 жыл бұрын
Wew mzee nakuelewa sana Mungu akukumbuke siku moja ktk nafasi za juu ktk nchi hii
@mossadistanambassador51932 жыл бұрын
John Khaminwa from Kenya is still a very distinguished lawyer and jurist in Kenya. The University of Dar Es Salaam was the place for training the most elite lawyers in Kenya
@alonsobrazzel30112 жыл бұрын
🇹🇿👍 - PROFESSOR KABUDI - Is a Very Good HISTORIAN & Good Orator too.👌 I heard his Speech in Kenya at BOMAS OF KENYA During BBI and it was Superb. Professor KABUDI Can also make a Good President. Perhaps when MAMA SAMIA HASSAN is Done being President.✔👏
@dominickalume28912 жыл бұрын
My thoughts, this guy is smart, he can be a President of TZ.
@muddah7559
2 жыл бұрын
Washetani wasimuue
@zuberimohamedi255
2 жыл бұрын
It's true
@nuranzubail8134
2 жыл бұрын
It is your bad to think the president need to be a historian,
@alexandermutune6131
2 жыл бұрын
Why?
@jumahamis227
2 жыл бұрын
Ana akili sana mheshimiwa sema shida ni mkali sana na mtu wa kupanic sana 😂.
@godfreychitanda80982 жыл бұрын
Safi professor kabudi, umenikumbusha mzumbe miaka yangu nikiwa chuoni,
@michaelmwankemwa82442 жыл бұрын
Huyu palamagamba alikuwa wapi mda wote hadihayati jpm kamtoa huko aliko kuwa kuja kunisaidia nchi kisheria? Profesa nakuelewa Sana nikisikia hotuba zako,mungu akuzidishie hekima na busara na maisha marefu,msaidie pia rais Samia suluhu hasani ka ulivyo msaidia sir jpm,mungu akubaliki
@alfinmbilinyi13262 жыл бұрын
Yeah!kongole prof.kabudi
@innocentelphas4382 жыл бұрын
Kabudi anatoa hii historia bila kusoma!! Hichi kichwa hatar
@emmanueljoshua83372 жыл бұрын
Nakukubali sana professor kabudi
@nasrahassan73462 жыл бұрын
Yaani baba kabudi nakupenda sana yaani ukiongea kama jpm unaongeaga point sana mi nakuelewa sana upo makini na kutuelimisha watz
@muddah75592 жыл бұрын
Mimi ni mkongo Yani DRC. Huyu Prof. Kabudi namupenda tangu ... Apewe kazi na shujaa John Pombe Magufuli.
@ndeshukurwakaaya43852 жыл бұрын
Taifa la Tanzania limejengwa kwenye mwamba imara . HAKI UMOJA NA AMANI. MISINGI IMARA HAIBOMOKI VIZAZI VITANAWIRI JUU YA MWAMBA HUO. 🙏 🇹🇿
@temuemanuel4671
2 жыл бұрын
Umenena ukweli
@muddah75592 жыл бұрын
Enyi waTanzania, kauli za Nyerere na. JP Magufuli ndio msingi wa Kila kitu Tanzania. Msisubutu kuyabuuzia djameni.
@josephatrugaiganisa57962 жыл бұрын
Baba Mzee Kabudi P, Mungu akulinde, wewe ni msingi na Insaikolopidia ya Taifa.
@stephanokigosi6562 жыл бұрын
Umefanya vzr sana kutupatia hii.
@leganmichael61482 жыл бұрын
Prf. Kabuni ni hadhina ya Taifa hili. Anafahamu mambo mengi na muhimu sana kwa Mustakabali wa Taifa.
@laiserkuyan60752 жыл бұрын
Baba wa history ya Taifa letu Mimi uwa Nakukumbali kwa kila hotuba yako ugekuwa kifo inapinga Hondo jpm Angekuteua uchukue Navazi yake we Ni Rais mtarajiwa wa Taifa letu
@dianajohn3493
2 жыл бұрын
Yaani umeongea mpaka machozi yamenilengalenga ndio ombi langu kwa mwenyezi Mungu kila uchwao huyu mwamba siku moja aje ashike nchi
@temuemanuel4671
2 жыл бұрын
@@dianajohn3493 Kweli kabisa
@rukundojms2309 Жыл бұрын
Professor Namupenda Sana❤
@saidbarawa90969 ай бұрын
Kenya wanatawaliwa na wajambazi na wala si viongozi
@fatumamcharo39292 жыл бұрын
Upo vizuri kabudi!!
@johnnathan71042 жыл бұрын
Huwa namkubali sana kabudi
@innocentelphas4382 жыл бұрын
Kabudi kama museum
@kasumilikamilius13382 жыл бұрын
Mama usigombee 2025 muachie mtu mwenye uweze aongoze tz isonge mbele
@muddah7559
2 жыл бұрын
Nimeyafikilia mbele ya kumutimua Samia suluhu
@leverimlaki56672 жыл бұрын
Kabudi ni hazina ya nchi.
@tumainielmaruwa31482 жыл бұрын
Huyu Prof alipaswa kuwa Rais wa Jamuhuri ya Watu wa Tanzania.
@raymondkavumo2921
2 жыл бұрын
Tatizo letu hatuangalii mtu amefanya nini, ndio tutamani awe kiongozi wetu, tunaangalia anachokiongea, kuongea sio uongozi
@machaggechacha34222 жыл бұрын
Omba omba kwa wazungu mtaacha lini? Na Tz ni tajiri?
@mwanakherikhalfani29532 жыл бұрын
Kongole kwako,kwa tupa historia
@nestor3842 жыл бұрын
Masuala ya kugeuza jinsi hasa ya kike kuwa ndiyo hoja ya kitaifa sidhani kama ni jambo lenye tija kwa wananchi. Wananchi wanahitaji maji safi na salama, barabara mjini na vijijini, uhuru wa kuishi na kutoa maoni,uhuru wa kujitaftia ridhiki, elimu bora, ulinzi wa raia na mali zakei, uhuru nchi(national sovereignty) nk. si haya ya jinsi na upuuzi mwingine
@kambamazig02024
2 жыл бұрын
Nani wanaotumia muda mrefu kuyatafuta hayo maji? Sijui kama utakumbuka hata Mwalimu Nyerere alkiliona na kulijua kuwa elimu ukiitoa kwa mwanamke umefundisha taifa zima ama hilo nalo gumu kulielewa? Pia huwezi kuongelea afya na maendeleo bila ya kuongelea elimu kwa akina mama na pia kuwakwamua kiuchumi. Think out of the box sio kuangalia tu jinisia bila kuangalia effect yake kwa jamii nzima. Mama asiyekuwa na elimu nyumbani kwake shida nyingi tu na huwa hawezi kuzitatua.
@nestor384
2 жыл бұрын
@@kambamazig02024 usichokijua kuna tofauti kati ya maarifa na elimu.
@peterkazimoto54212 жыл бұрын
Nianacho mimi mama yetu akikamilisha miaka 05 aiachie chuma hii nchi itasonga mbele.Tunakupenda sana kabudi kwanza ni mzalendo na unaheshima kwa viongozi wenzio
@dianajohn3493
2 жыл бұрын
Ndio ndoto kubwa ya watanzania asilimia 90 na Mungu asikie... Huwa nalia huyu mwamba achukue nchi
@temuemanuel4671
2 жыл бұрын
Ni sala yangu pia
@malianonicass7029
Жыл бұрын
Mimi naona majaliwa zaidi kuliko huyo anaongea sana kuliko vitendo
@fredrickkalu89942 жыл бұрын
I really don't know why Kabudi should not be the president of this beautiful country
@nikkimbishiunju24022 жыл бұрын
Lini tutaacha kuongelea Ujinsia na Urais?Rais ni Rais na haongozi kwa Uanamke wake bali kwa matakwa ya KATIBA!
@kambamazig02024
2 жыл бұрын
Siku haki kamili kwa akina mama itakuwepom Tanzania na siku ambapo wataacha kunyanyaswa ama wewe huna macho na masikio kuhusu hilo? Shida yako ni ipi?
@josephkafumu3006 Жыл бұрын
Nakuelewa sana mkuuu
@temuemanuel46712 жыл бұрын
Huwa namkubali sana Prof Kabudi
@saidbarawa90969 ай бұрын
Kenya hatuna viongozi tuna vinyozi wanaotunyoa kiuchumi
@ahmedsalim58052 жыл бұрын
Salute kwa kabuduu
@saumsaum19162 жыл бұрын
Huyu bb angekuwa raisi
@saidbarawa90969 ай бұрын
Rais Ruto unasikiza viongozi bora wakiongea,na yako ni kuongea tu juu ya Raila
@nixonjohnson63462 жыл бұрын
Kuanzia ulipokuwa unamtukuza mtu mpka unamwita Mungu ndipo udhaifu wako ulipo .. hovyo mno.
@josephmarco54662 жыл бұрын
Ww ni tunu ya taifa sema wakuu wetu wanatuangusha
@furahamwajeka74632 жыл бұрын
Kabudiii indeed your a prof...wengine mmmmm
@mwazanimussa23742 жыл бұрын
Professor
@emanuelgella820110 ай бұрын
Mwamba 🎉
@abineljoab18132 жыл бұрын
Daaah Huyu jamaa ni maktaba tosha aiseee
@hassankurwa4642 жыл бұрын
JPM aliona mbali sana kumteua mtu huyu Msomi na mwenye busara na hekima kubwa. Mama Samia kama utatumia nafasi yako ipasavyo unahitaji kujua mtu kama Kabudi ni wa kuwa karibu yako. Ni msomi mkweli na mbunifu wa lugha za kiungwana na alijua hili Taifa na Dunia
@sulaimankalisa72472 жыл бұрын
Super minister
@kibetmiteiezekiel9162 жыл бұрын
Raisi mtarajiwa wa TZ mungu akipenda
@marymwaya96852 жыл бұрын
Bonge la Prof. Hazina hiyo
@bishopfrederickchingwaba53378 ай бұрын
Big Brain!
@andrewmakanga56172 жыл бұрын
sasa MH. Rais ataongea nini?
@cleofaslucas9992 жыл бұрын
Safi Sana
@pastorlutebukabahinyuye2382 жыл бұрын
Huyu kabudi kasoma lakini alikuwa mkosoaji mkubwa wa serekali ya mwl. Nyerere kwa Nia njema aliandika na vitabu ambavyo leo yet mwenyewe anatofautiana navyo kiukweli Tanzania tunavichwa ambavyo hata kwenye mikutano ya kimataifa wakisimama kila mmoja anapiga saruti ila hawayaishi wanayo yasema Mfano kabudi alikuwepo kwenye kamati ya katiba mpya na Rais Samia wote hao leo wasikie wanakwambia katiba siyo mhim wananchi wanataka maji barabara nk. Hapo ndipo unapata picha akipewa nafas ya kuingia kwenye mfumo ataongea tofauti nakile alicho kuwa anakiamini Elimu yake haifanyii kazi Tena.
@tours152 жыл бұрын
Professor gani wakati katika Kiswahili hakuna neno mia moja na kenda
@hassanmpwepwe38262 жыл бұрын
2sha choka story 2nataka vitendo
@jamaa27602 жыл бұрын
Unaenea kwenye nafasi yako.
@denicemwitakabwere77262 жыл бұрын
Hiki kichwa bigup #prof
@aljabery.binruz
2 жыл бұрын
He's 4 presentation only
@melkzedeckmaimu83442 жыл бұрын
Hawa wNa2ambia tjiajr wkt wao wmajrw.dahh 1 dy ys
@beatricehenry67762 жыл бұрын
Personality yako imekuponza .unaenea kila mahali lazima wakuogope
Kiongozi wa namna gani huyu ambae hawezi hata kulitaja jina la Yesu Kristo hadharani, basi si angesema kwa jina la Mungu au hata kwa jina la muhamedi. kama ime
@rashidsaid4369
2 жыл бұрын
Kwani ataje majina hayo umeambiwa yupo kanisani
@enockshayo9688
2 жыл бұрын
@@rashidsaid4369 ulisikia wapi wewe mtu akisalimia watu kwa jinz la nchi yake, labda ni sawa kwako wewe kwangu sio.
@saimonjmai801
2 жыл бұрын
Hayo majina uliamini kwakuambiwa, hacheni kujadili msio yajuwa serekali haina dini Ni sawa kusalimia watu kwa jina la Tanzania
@enockshayo9688
2 жыл бұрын
@@saimonjmai801 ni sawa kwako wewe sio kwa watu wote.
@emmanuelbenson6149
2 жыл бұрын
Akili halo ni sawa na betri isiyokuwa na chaji mpaka ibustiwe😂😂😂😂😂😂
@dassustephen53912 жыл бұрын
Helloooooo
@andymalle18152 жыл бұрын
Watanzania mkiitishwa watu werevu pelekeni huyu mjamaa.
@alexandermutune61312 жыл бұрын
Speaking fluent Swahili doesn't make him necessarily a good leader.What matters most is the decisions he has made in the past for the progress of Africans in general.Africa without unity will have no seat in the high table of world leaders.
@saidbarawa9096
9 ай бұрын
But you can't compare him with greedy Kenya leaders
@alexandermutune6131
8 ай бұрын
@@saidbarawa9096 greedy leaders are present in every country almost in equal measure.This includes in the mighty USA and Europa.What matters are the structures/systems incorporated in each country to fight the vice.
@erickkirui46222 жыл бұрын
Fluence Swahili ascent,, Kenyan Swahili is broken
@alexandermutune6131
2 жыл бұрын
So what?
@ernestkerich691
2 жыл бұрын
Kamet ab prof. Kabudi ko bo kipsigis…
@kingbuddah63722 жыл бұрын
WATANZANIA HUYO RAIS ATUMTAKI AJIUZURU
@victorkaseko1118
2 жыл бұрын
Kiongozi hbari za kazi? Vp kiongozi waliopata matatizo kazini Barack tunataka sana tulisha terekezwa mm mwenyewe naumwa san
@frankndenga783
2 жыл бұрын
Safi Mh,Kabudi,tunakukubali sana.
@dianajohn3493
2 жыл бұрын
@@frankndenga783 namkubali ndio ombi langu kwa Mungu kila uchwao uyu mwamba ashike nchi
@petermeshack4418
2 жыл бұрын
We lv you baba na tunatarajia utakuwa rais mtarajiwa
@solomonadams6337
2 жыл бұрын
Rais gani huyo ajiudhulu hamumtaki¿Kama Hamumtaki Samiah ndio hamuutaki Muun'gano sawa¿Tanganyika kwenu na Zanzibar kwetu sawa?thanks
Пікірлер: 114
Tujifunze kukubali wengine, Watu wenye uwezo kama huu Waheshimiwe, Prof. Kabudi yupo vizuri sana.
@temuemanuel4671
2 жыл бұрын
Kabisa
@antoinekatembo8520
2 жыл бұрын
Huyo ni PROFESA! Huaga namkubali sana hadi basi tuu…!
@charlesmartine3467
2 жыл бұрын
Alisoma historia ya marehemu magufuri mpaka nikashituka uwezo wake jamaa pia ujasiri na na ujuaji wa mambo
@jeremiyastevenkivuyo7934
Жыл бұрын
Professor tunakukubali sana
Professor nimekukubali nakupenda bure. You not a chicken you are Eagle
Kabuni wewe ni nguzo yetu Ninamuomba Mungu wale mashetani wasije kukuondoa duniai.Tunakuhitaji baba.Amen
@muddah7559
2 жыл бұрын
Umemalizia Yale ningeyasema
Kabudi is the best person for presentations
@muddah7559
2 жыл бұрын
Exactly!
@alexandermutune6131
2 жыл бұрын
Leadership ain't all about presentations.Always remember this.
Wew mzee nakuelewa sana Mungu akukumbuke siku moja ktk nafasi za juu ktk nchi hii
John Khaminwa from Kenya is still a very distinguished lawyer and jurist in Kenya. The University of Dar Es Salaam was the place for training the most elite lawyers in Kenya
🇹🇿👍 - PROFESSOR KABUDI - Is a Very Good HISTORIAN & Good Orator too.👌 I heard his Speech in Kenya at BOMAS OF KENYA During BBI and it was Superb. Professor KABUDI Can also make a Good President. Perhaps when MAMA SAMIA HASSAN is Done being President.✔👏
My thoughts, this guy is smart, he can be a President of TZ.
@muddah7559
2 жыл бұрын
Washetani wasimuue
@zuberimohamedi255
2 жыл бұрын
It's true
@nuranzubail8134
2 жыл бұрын
It is your bad to think the president need to be a historian,
@alexandermutune6131
2 жыл бұрын
Why?
@jumahamis227
2 жыл бұрын
Ana akili sana mheshimiwa sema shida ni mkali sana na mtu wa kupanic sana 😂.
Safi professor kabudi, umenikumbusha mzumbe miaka yangu nikiwa chuoni,
Huyu palamagamba alikuwa wapi mda wote hadihayati jpm kamtoa huko aliko kuwa kuja kunisaidia nchi kisheria? Profesa nakuelewa Sana nikisikia hotuba zako,mungu akuzidishie hekima na busara na maisha marefu,msaidie pia rais Samia suluhu hasani ka ulivyo msaidia sir jpm,mungu akubaliki
Yeah!kongole prof.kabudi
Kabudi anatoa hii historia bila kusoma!! Hichi kichwa hatar
Nakukubali sana professor kabudi
Yaani baba kabudi nakupenda sana yaani ukiongea kama jpm unaongeaga point sana mi nakuelewa sana upo makini na kutuelimisha watz
Mimi ni mkongo Yani DRC. Huyu Prof. Kabudi namupenda tangu ... Apewe kazi na shujaa John Pombe Magufuli.
Taifa la Tanzania limejengwa kwenye mwamba imara . HAKI UMOJA NA AMANI. MISINGI IMARA HAIBOMOKI VIZAZI VITANAWIRI JUU YA MWAMBA HUO. 🙏 🇹🇿
@temuemanuel4671
2 жыл бұрын
Umenena ukweli
Enyi waTanzania, kauli za Nyerere na. JP Magufuli ndio msingi wa Kila kitu Tanzania. Msisubutu kuyabuuzia djameni.
Baba Mzee Kabudi P, Mungu akulinde, wewe ni msingi na Insaikolopidia ya Taifa.
Umefanya vzr sana kutupatia hii.
Prf. Kabuni ni hadhina ya Taifa hili. Anafahamu mambo mengi na muhimu sana kwa Mustakabali wa Taifa.
Baba wa history ya Taifa letu Mimi uwa Nakukumbali kwa kila hotuba yako ugekuwa kifo inapinga Hondo jpm Angekuteua uchukue Navazi yake we Ni Rais mtarajiwa wa Taifa letu
@dianajohn3493
2 жыл бұрын
Yaani umeongea mpaka machozi yamenilengalenga ndio ombi langu kwa mwenyezi Mungu kila uchwao huyu mwamba siku moja aje ashike nchi
@temuemanuel4671
2 жыл бұрын
@@dianajohn3493 Kweli kabisa
Professor Namupenda Sana❤
Kenya wanatawaliwa na wajambazi na wala si viongozi
Upo vizuri kabudi!!
Huwa namkubali sana kabudi
Kabudi kama museum
Mama usigombee 2025 muachie mtu mwenye uweze aongoze tz isonge mbele
@muddah7559
2 жыл бұрын
Nimeyafikilia mbele ya kumutimua Samia suluhu
Kabudi ni hazina ya nchi.
Huyu Prof alipaswa kuwa Rais wa Jamuhuri ya Watu wa Tanzania.
@raymondkavumo2921
2 жыл бұрын
Tatizo letu hatuangalii mtu amefanya nini, ndio tutamani awe kiongozi wetu, tunaangalia anachokiongea, kuongea sio uongozi
Omba omba kwa wazungu mtaacha lini? Na Tz ni tajiri?
Kongole kwako,kwa tupa historia
Masuala ya kugeuza jinsi hasa ya kike kuwa ndiyo hoja ya kitaifa sidhani kama ni jambo lenye tija kwa wananchi. Wananchi wanahitaji maji safi na salama, barabara mjini na vijijini, uhuru wa kuishi na kutoa maoni,uhuru wa kujitaftia ridhiki, elimu bora, ulinzi wa raia na mali zakei, uhuru nchi(national sovereignty) nk. si haya ya jinsi na upuuzi mwingine
@kambamazig02024
2 жыл бұрын
Nani wanaotumia muda mrefu kuyatafuta hayo maji? Sijui kama utakumbuka hata Mwalimu Nyerere alkiliona na kulijua kuwa elimu ukiitoa kwa mwanamke umefundisha taifa zima ama hilo nalo gumu kulielewa? Pia huwezi kuongelea afya na maendeleo bila ya kuongelea elimu kwa akina mama na pia kuwakwamua kiuchumi. Think out of the box sio kuangalia tu jinisia bila kuangalia effect yake kwa jamii nzima. Mama asiyekuwa na elimu nyumbani kwake shida nyingi tu na huwa hawezi kuzitatua.
@nestor384
2 жыл бұрын
@@kambamazig02024 usichokijua kuna tofauti kati ya maarifa na elimu.
Nianacho mimi mama yetu akikamilisha miaka 05 aiachie chuma hii nchi itasonga mbele.Tunakupenda sana kabudi kwanza ni mzalendo na unaheshima kwa viongozi wenzio
@dianajohn3493
2 жыл бұрын
Ndio ndoto kubwa ya watanzania asilimia 90 na Mungu asikie... Huwa nalia huyu mwamba achukue nchi
@temuemanuel4671
2 жыл бұрын
Ni sala yangu pia
@malianonicass7029
Жыл бұрын
Mimi naona majaliwa zaidi kuliko huyo anaongea sana kuliko vitendo
I really don't know why Kabudi should not be the president of this beautiful country
Lini tutaacha kuongelea Ujinsia na Urais?Rais ni Rais na haongozi kwa Uanamke wake bali kwa matakwa ya KATIBA!
@kambamazig02024
2 жыл бұрын
Siku haki kamili kwa akina mama itakuwepom Tanzania na siku ambapo wataacha kunyanyaswa ama wewe huna macho na masikio kuhusu hilo? Shida yako ni ipi?
Nakuelewa sana mkuuu
Huwa namkubali sana Prof Kabudi
Kenya hatuna viongozi tuna vinyozi wanaotunyoa kiuchumi
Salute kwa kabuduu
Huyu bb angekuwa raisi
Rais Ruto unasikiza viongozi bora wakiongea,na yako ni kuongea tu juu ya Raila
Kuanzia ulipokuwa unamtukuza mtu mpka unamwita Mungu ndipo udhaifu wako ulipo .. hovyo mno.
Ww ni tunu ya taifa sema wakuu wetu wanatuangusha
Kabudiii indeed your a prof...wengine mmmmm
Professor
Mwamba 🎉
Daaah Huyu jamaa ni maktaba tosha aiseee
JPM aliona mbali sana kumteua mtu huyu Msomi na mwenye busara na hekima kubwa. Mama Samia kama utatumia nafasi yako ipasavyo unahitaji kujua mtu kama Kabudi ni wa kuwa karibu yako. Ni msomi mkweli na mbunifu wa lugha za kiungwana na alijua hili Taifa na Dunia
Super minister
Raisi mtarajiwa wa TZ mungu akipenda
Bonge la Prof. Hazina hiyo
Big Brain!
sasa MH. Rais ataongea nini?
Safi Sana
Huyu kabudi kasoma lakini alikuwa mkosoaji mkubwa wa serekali ya mwl. Nyerere kwa Nia njema aliandika na vitabu ambavyo leo yet mwenyewe anatofautiana navyo kiukweli Tanzania tunavichwa ambavyo hata kwenye mikutano ya kimataifa wakisimama kila mmoja anapiga saruti ila hawayaishi wanayo yasema Mfano kabudi alikuwepo kwenye kamati ya katiba mpya na Rais Samia wote hao leo wasikie wanakwambia katiba siyo mhim wananchi wanataka maji barabara nk. Hapo ndipo unapata picha akipewa nafas ya kuingia kwenye mfumo ataongea tofauti nakile alicho kuwa anakiamini Elimu yake haifanyii kazi Tena.
Professor gani wakati katika Kiswahili hakuna neno mia moja na kenda
2sha choka story 2nataka vitendo
Unaenea kwenye nafasi yako.
Hiki kichwa bigup #prof
@aljabery.binruz
2 жыл бұрын
He's 4 presentation only
Hawa wNa2ambia tjiajr wkt wao wmajrw.dahh 1 dy ys
Personality yako imekuponza .unaenea kila mahali lazima wakuogope
Utatamani aseme hadi kesho
TUNATAKA AJIUZURU AGENDA WANAWAKE HOVYO HOVYO ATUMTAKI HUYO BIBI SAMIA
@semhineshauri3410
2 жыл бұрын
Huyu mama anatakiwa pa pa pa tatu za kichwa
Kiongozi wa namna gani huyu ambae hawezi hata kulitaja jina la Yesu Kristo hadharani, basi si angesema kwa jina la Mungu au hata kwa jina la muhamedi. kama ime
@rashidsaid4369
2 жыл бұрын
Kwani ataje majina hayo umeambiwa yupo kanisani
@enockshayo9688
2 жыл бұрын
@@rashidsaid4369 ulisikia wapi wewe mtu akisalimia watu kwa jinz la nchi yake, labda ni sawa kwako wewe kwangu sio.
@saimonjmai801
2 жыл бұрын
Hayo majina uliamini kwakuambiwa, hacheni kujadili msio yajuwa serekali haina dini Ni sawa kusalimia watu kwa jina la Tanzania
@enockshayo9688
2 жыл бұрын
@@saimonjmai801 ni sawa kwako wewe sio kwa watu wote.
@emmanuelbenson6149
2 жыл бұрын
Akili halo ni sawa na betri isiyokuwa na chaji mpaka ibustiwe😂😂😂😂😂😂
Helloooooo
Watanzania mkiitishwa watu werevu pelekeni huyu mjamaa.
Speaking fluent Swahili doesn't make him necessarily a good leader.What matters most is the decisions he has made in the past for the progress of Africans in general.Africa without unity will have no seat in the high table of world leaders.
@saidbarawa9096
9 ай бұрын
But you can't compare him with greedy Kenya leaders
@alexandermutune6131
8 ай бұрын
@@saidbarawa9096 greedy leaders are present in every country almost in equal measure.This includes in the mighty USA and Europa.What matters are the structures/systems incorporated in each country to fight the vice.
Fluence Swahili ascent,, Kenyan Swahili is broken
@alexandermutune6131
2 жыл бұрын
So what?
@ernestkerich691
2 жыл бұрын
Kamet ab prof. Kabudi ko bo kipsigis…
WATANZANIA HUYO RAIS ATUMTAKI AJIUZURU
@victorkaseko1118
2 жыл бұрын
Kiongozi hbari za kazi? Vp kiongozi waliopata matatizo kazini Barack tunataka sana tulisha terekezwa mm mwenyewe naumwa san
@frankndenga783
2 жыл бұрын
Safi Mh,Kabudi,tunakukubali sana.
@dianajohn3493
2 жыл бұрын
@@frankndenga783 namkubali ndio ombi langu kwa Mungu kila uchwao uyu mwamba ashike nchi
@petermeshack4418
2 жыл бұрын
We lv you baba na tunatarajia utakuwa rais mtarajiwa
@solomonadams6337
2 жыл бұрын
Rais gani huyo ajiudhulu hamumtaki¿Kama Hamumtaki Samiah ndio hamuutaki Muun'gano sawa¿Tanganyika kwenu na Zanzibar kwetu sawa?thanks
Walikuwepo wapi wanafunzi kutoka Zinjibar ¿