EXCLUSIVE: TAZAMA WASIFU wa JAJI WARIOBA KABLA HAJAFA/KUNYWESHWA SUMU/SHULE/WAZAZI/MKE NA CHEO

Ойын-сауық

Yote usiyoyafahamu kuhusu Maisha ya Jaji warioba Tokea Akiwa mdogo ,Makala hii inazungumzia Yote mpaka Aliponyweshwa sumu, Fuatilia Makala hii kabla hajafa Kunamengi utajifunza katika Maisha na Hali ya sasa kidunia
#history #alhamdulillah #cloudsmedia #efm #exclusive #simulizinasauti #wasafimedia #dullysantz #millardayo #santzmedia
© Copyright 2024 on SAN TZ MEDIA

Пікірлер: 43

  • @hopegwimile53
    @hopegwimile533 ай бұрын

    Muhimu kwa wanafunzi kusaidia wasome kwa makini kuinua nchi yetu. Wapelekwe kumuona akiwepo awape siri ya Mafanikio makubwa kwa kuinua Tanzania. Historia ziwekwe Makumbusho zisomwe na Picha tafadhali. Mungu amlinde jemedari wetu.

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    3 ай бұрын

    Ushauri mzuri @hopegwimile53 ilo linapaswa kufanyiwa kazi na maoni yako tutayapeleka Sehemu husika na hata hivyo hapa viongozi wengi wanaangalia video hii ,hivyo tunatumai ombi lako teyari limeshafika mahali husika😊

  • @user-et9vf2ro2k

    @user-et9vf2ro2k

    3 ай бұрын

    Huyu ni mtu muhinu kwa watanzania ukilinganisha na wengi kati ya watu

  • @user-et9vf2ro2k

    @user-et9vf2ro2k

    3 ай бұрын

    Halafu ni muhimu sana watu kama hawa kuekwa katika kumbu kumbu za nchi yetu na historia za vitabu vya kihistoria

  • @Worldunite
    @Worldunite3 ай бұрын

    Kichwa cha habari "kabla hajafa" kinatatanisha kinaleta maana tofauti

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    3 ай бұрын

    Sasa Unatakiwa kusikiliza mpaka mwisho

  • @janemtoma1082

    @janemtoma1082

    21 күн бұрын

    Nadhani amemaanisha wadhifu wake kabla hajafa maana tumezoea kusikia wadhifu baada ya mtu kufa

  • @eliandutila774
    @eliandutila77426 күн бұрын

    Kipindi Warioba akiwa waziri mkuu pia alikuwa Makamu wa kwanza wa Rais na sio makamu wa pili wa Rais. Tujitahidi kuweka taarifa sahihi kwa manufaa ya umma

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    26 күн бұрын

    👍

  • @DAVIDMGOBA
    @DAVIDMGOBAАй бұрын

    Waanze kumuenze akiwa bado yupo kupitia rasim ya katiba mpya

  • @User255tv
    @User255tv3 ай бұрын

    Masahihisho: Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais, na siyo Waziri Mkuu na Makamu wa Pili wa Rais.

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    3 ай бұрын

    🤝

  • @stephenndagalla8183
    @stephenndagalla8183Ай бұрын

    Mwandishi wa makala anapaswa kurudi Chuo cha uandishi wa Habari, vinginevyo ataendelea kutoa habari zilizo chini ya viwango.

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    Ай бұрын

    Tuahidi kulifanyia KAZI🙏

  • @stephenndagalla8183

    @stephenndagalla8183

    Ай бұрын

    @@Santzmedia Asante. Usikatishwe tamaa kwani kikubwa ni kuendelea KUTHUBUTU na KUPITIA MAKOSA NDIO UBORA WA KAZI HUPATIKANA.

  • @edwardmakonge6951
    @edwardmakonge69513 ай бұрын

    huko mwanza alisoma shule ya sekondari Bwiru.form 1 hadi form 4.

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    3 ай бұрын

    Sahihi ☑️☑️

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    3 ай бұрын

    Sahihi ☑️☑️

  • @NYAKONGOBWIRE
    @NYAKONGOBWIRE2 ай бұрын

    Jaji Joseph Sinde Warioba alikwa Mwanasheria mkuu wa Serikali na wakati huohuo akiwa Waziri wa Sheria pia; Jaji Warioba alikuwa Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais tangu mwaka 1985 mpaka 1990

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    2 ай бұрын

    Clear na Ahsante Kwa msaada wako ,Uandishi mzuri pia tumepata faida wengi zaidi 🤝

  • @yusufmohamed8874

    @yusufmohamed8874

    Ай бұрын

    Kulikuwa hakuna wasomi?

  • @onesmothimos2635
    @onesmothimos26352 ай бұрын

    Uyu jaa alie andika kichwa cha habari sijui yukoje

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    2 ай бұрын

    Kafanyeje Kwani?

  • @geofreysekei7792
    @geofreysekei77923 ай бұрын

    Hamjui namna ya kuandika hata vichwa vya habari yenu

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    3 ай бұрын

    Tusaidie kuandika " kutokana na Wasifu huo"

  • @michaelligwa9448
    @michaelligwa94483 ай бұрын

    Question mark why wasifu?

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    3 ай бұрын

    Kama Mtanzania kufahamu Wasifu wa viongozi wako ni muhimu Sana ,so Pendelea Sana kufuatilia Makala mbalimbali za Maisha ya viongozi na watu maarufu,Kuna mengi ya kujifunza ndugu😊

  • @stephenndagalla8183
    @stephenndagalla8183Ай бұрын

    Hiyo picha ya Makonda akimzonga zonga Jaji Warioba(wakati akielezea ripoti yaTume ya Warioba/Katiba mpya), anajisikiaje huyo Makonda aionapo hiyo picha?? Pia Jaji Warioba,anajisikiaje?? Aidha, Rais wa nchi (Mwenye imani kubwa kwa Makonda), anajisikiaje??

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    Ай бұрын

    Ndio maana ikaitwa Makala ,Ama Wasifu mkuu ,humo vinakusanywa vitu vyote vinavyomuhusu Jaji warioba

  • @danielshimora5315
    @danielshimora53153 ай бұрын

    Tupe habari za mwinyi.

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    3 ай бұрын

    Mwinyi link iyo nenda uitazame kzread.info/dash/bejne/l3-BqZSLd93WmMY.htmlsi=SAulx689yqW80qYi

  • @HabibuSalumu-iv5wl
    @HabibuSalumu-iv5wlАй бұрын

    Tutakuja kutetea pombe furani

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    Ай бұрын

    😆😆

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda13193 ай бұрын

    Judge warioba is the simple man in Tanzania national as the former prime minister during late julias kambarege Nyerere leadership has the experience in Tanzania gavment Since late julias kambarege Nyerere leadership has been advised ccm gavment for long but gavment official sametime lngnorant whale judge warioba has experience from Tanzania to lntanationol organization considering his duty done by judge warioba on lntanationol community organization question are leasening to judge warioba

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    3 ай бұрын

    Thank you very much for explaining to us at least a little and we know Judge Warioba

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    3 ай бұрын

    Don't stop following us, we promise you good things are coming

  • @asteriashios1852
    @asteriashios18523 ай бұрын

    Wasifu kwani alikufa si yupo? Tena tunatoka katiba mpya aliyoiandaa mpo?

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    3 ай бұрын

    😔😂😂😂

  • @MiriamAbdallah

    @MiriamAbdallah

    3 ай бұрын

    Hahafa na tunataka rasimu yake kwenye kudai katiba mpya

  • @chire4574

    @chire4574

    3 ай бұрын

    Sio lazime afe ..Iyo Ni biography yake

  • @HabibuSalumu-iv5wl

    @HabibuSalumu-iv5wl

    Ай бұрын

    Katiba ni yawa Tanzania siyo yake yeye alikuwa Mkt wa kamati iliundwa kukusanya maoni Hivi Nijiulize Jaji Mkuu Anapo Mwapisha Rais inakuwaje hapo tutawita yeye ndie mwenye nchi au

  • @user-nr3bf4om8z

    @user-nr3bf4om8z

    24 күн бұрын

    Mh. Hii nchi wamemzika bila heshima babawa watu

Келесі