"RAIS WAMEKAMATA NDEGE TENA, YULE YULE" KABUDI AMVAA CAG MSTAAFU

Пікірлер: 410

  • @p.be.s
    @p.be.s4 жыл бұрын

    KOT would have been all over Canadians trolling them and demanding immediate return of the plane, if this had happened to Kenya. Colonialists have to be called out and put on blast. Tzed family...get on this sahii hii. AFRICA supports you all the way. Enough with WS. Black Power prevails all day every day.

  • @Tino_Official_tz
    @Tino_Official_tz4 жыл бұрын

    Mimi ni mwenye nchi. Mimi ni Mtanzania halisi najivunia kuwa Mtanzania. Naenda kinyume na watu wote wa ndani na nje ya nchi wasiopenda maendeleo ya nchi yetu.... najiuliza hizo ndege zisingenunuliwa huyo mkulima angezuia nin huko? Kweli ukifaninikiwa ndipo maadui wanazidi kushamiri...

  • @raphaelsamwel2640

    @raphaelsamwel2640

    4 жыл бұрын

    Mna maendeleo gani kuliko canada mpaka muonewe wivu?? Ni maswala ya kisheria nendeni myamalize kisheria !! Si mnadaiwa afu mnaleta visingizio vya hovyo kutafuta huruma!!!!

  • @martinmetalworkstv1639

    @martinmetalworkstv1639

    4 жыл бұрын

    Saana

  • @paull8659

    @paull8659

    4 жыл бұрын

    Unajihangaisha tulipe deni tu.Kanada haiko kama Tz, wanafuta sheria. Hakuna cha ubeberu hapo, wacheni propaganda, haki ni haki we Prof.Jalalani.

  • @paull8659

    @paull8659

    4 жыл бұрын

    Hizo ndege nani kazipitisha? Budget ipi? Zimenunuliwa kiasi gani? Prof.Jalalani🙉🙈🙈🙈🙈

  • @paull8659

    @paull8659

    4 жыл бұрын

    @@raphaelsamwel2640 , kweli kabisa, hakuna anayetuonea wivu, tuna deni na lilipwe, Canada ituonee wivu????🙉🙉🙉Tuna nini sisi???? tunaishi kwa dola 1/ siku🙈🙉🙉

  • @bekamsafii8330
    @bekamsafii83304 жыл бұрын

    Hawata weza kamwe kwakuwa mungu yupo pamoja na taifa letu kwanza jpm na mkubali kabudi na mkubali na viongozi wengine wengi na wakubali

  • @lukandotv8101

    @lukandotv8101

    4 жыл бұрын

    Dawa ya deni n kulipa,hz mbwembwe n hazina tija.

  • @jonaskilomba4094

    @jonaskilomba4094

    4 жыл бұрын

    @@lukandotv8101 hivi wewe Ni mtanzania kweli

  • @nimrodsigulu2053

    @nimrodsigulu2053

    4 жыл бұрын

    Kwa hiyo Mungu ni wa watanzania tu?...jaribu kuufikirisha ubongo

  • @yusuphomary6200

    @yusuphomary6200

    4 жыл бұрын

    Mataila yanashitakiana nn c jui Leo?

  • @victorsanga2229

    @victorsanga2229

    4 жыл бұрын

    Haki uliinua taifa, Mungu huwanyeshea mvua wema na wabaya!

  • @kiyabonjemu9885
    @kiyabonjemu98854 жыл бұрын

    Mh kabudi nimeelewa, umeongea kizalendo sana, Nina iman sana na wewe, pia rais wetu ni msikivu anasikia! Nawaombea mkashinde kisheria huko CANADA

  • @DrSanai
    @DrSanai4 жыл бұрын

    Mungu aendelee kutusimamia Tanzania.

  • @lukandotv8101

    @lukandotv8101

    4 жыл бұрын

    Amsaulishe Mkulima madeni

  • @abdulrahmansalim9773

    @abdulrahmansalim9773

    4 жыл бұрын

    Wote wizi wanawadanga raia

  • @abdulrahmansalim9773

    @abdulrahmansalim9773

    4 жыл бұрын

    Eyes on yeye mwenyewe mwizi nambari 1

  • @praisesamson8298
    @praisesamson82984 жыл бұрын

    Kabudi muache baba wa watu cag mstaafu apumzike nyie VP vitu vya muhimu alivitaja mkaviyeyusha tu

  • @shafiimsofe9975

    @shafiimsofe9975

    4 жыл бұрын

    inaashiria bado kivuli chake kinawatesa sana, ndio maana hawaishi kumtajataja

  • @richardpeter7223

    @richardpeter7223

    4 жыл бұрын

    Hakika wamuachee CAG Mstaafu......wanateseka sana wezi hawa.....alivyokosoa bunge mkamchukia....Leo mnamwandama...acheni unafiki!!!

  • @romanambelle6356

    @romanambelle6356

    4 жыл бұрын

    Shida gani asisema hati safi ilotolewa haikuwa sawa. Kila baya likemewe na kila nzuri lipongezwe

  • @p.be.s

    @p.be.s

    4 жыл бұрын

    CAG akamatwe leo.

  • @praisesamson8298

    @praisesamson8298

    4 жыл бұрын

    @@p.be.s ni kweli akamatwe kama kweli ili tuamini alafu yakafumuke na mengine kama yapo yaliyo jificha.

  • @Itarusii
    @Itarusii4 жыл бұрын

    Waangaike tu. Ndiyo kwanza wanaifanya Tanzania ifahamike vizuri. Ndege itakuja tu.

  • @gracethomas683

    @gracethomas683

    4 жыл бұрын

    😂

  • @pauljackson8120

    @pauljackson8120

    4 жыл бұрын

    mhemiwa nimefuhi sana umezungumza kwa hisiya kweli wewe mzalendo wakweli

  • @ukhtyalpha1344

    @ukhtyalpha1344

    4 жыл бұрын

    Tanzania ifahamike vizuri kwa dhulma maana inadhaulumu kupita kiasi ifahamike kuwa serikali ya Tanzania wakaidi kulipa deni nyie mnaotetea upuuzi humu wa kila kosa la serikali mkaona sawa hamuipendi Tanzania yetu mahasidi wa nchu yetu hapo tunatakiwa kufuatilia kwa makini kuujuwa ukweli msitake kukoment kwa kuijipendekeza tunadaiwa tulipe hatuwezi kulipa tumuobe radhi sio kumsakama mwenye deni na kumbambikiya mijisifa tu viingozi kwa makosa MMungu nfie alokataza dhulma

  • @bwerumaster6691
    @bwerumaster66914 жыл бұрын

    Mara paaaap! Watakuja kung'oa na SGR yetu swine hawa!

  • @Linkmycommunity

    @Linkmycommunity

    4 жыл бұрын

    Hapa tunawaua

  • @errydeo8865

    @errydeo8865

    4 жыл бұрын

    ni kukwamisha tu kasi ya Jembe..woote wasenge hawa,usipokopa kwao ,ni shida.lol

  • @johnjulius3084

    @johnjulius3084

    4 жыл бұрын

    Ahahahaaaaaa

  • @mohdiddi8203
    @mohdiddi82034 жыл бұрын

    Huyu kabudi pia achunguzwe huenda sio mwaminifu

  • @peternichoraus5983

    @peternichoraus5983

    4 жыл бұрын

    Mmh unamatatizo Kwel hiv watu mnashida gan ama Kwel ww tu hata uongoz wa shulen hukuwahi kuwa lkn unachokiongea kama hujasomavile

  • @mohdiddi8203

    @mohdiddi8203

    4 жыл бұрын

    @@peternichoraus5983 sina uhakika ww umeishia la saba au form two. Kila mtu ana maoni yake na mtazamo wake, usisubiri mm nime comment then una reply kwny comment yng, ww comment kivyako kwa mtazamo wko.

  • @tinyaanosiatha1118
    @tinyaanosiatha11184 жыл бұрын

    Jamani inauma Mungu yuko pamoja na tanzania tutashinda.

  • @ukhtyalpha1344

    @ukhtyalpha1344

    4 жыл бұрын

    Hatuko South Africa kama zitatumika technicality haha dawa alipwe pesa zake serikali isilete uharam kwa kuzungumza kwa uchungu nae mwenye deni lake anao hivyo bora kulipa deni kuliko fedheha za kila siku

  • @eischerschwederm7876
    @eischerschwederm78764 жыл бұрын

    We win and we will continously win...Allah is greater than all

  • @lukandotv8101

    @lukandotv8101

    4 жыл бұрын

    It's your perception,not reality

  • @eischerschwederm7876

    @eischerschwederm7876

    4 жыл бұрын

    @@lukandotv8101 what are talking about..u fool

  • @godfreylyimo4177
    @godfreylyimo41774 жыл бұрын

    Tutapambana kwa sheria hizo hizo za kimataifa. Lkn tukishindwa tutalipa pesa zao ili ndege yetu ifike sbb pesa tunazo na hazina hisa na mabeberu

  • @praisesamson8298

    @praisesamson8298

    4 жыл бұрын

    Kujifariji kuzuli

  • @seiphkaira5372
    @seiphkaira53724 жыл бұрын

    Hakika tumewakabidhi imani yetu watanzania kwenu viongozi watiifu na shupavu na tumaini letu kuwa Tanzania bora ya mfano...Mungu awatie nguvu na maarifa muzidi kutupambania wanyonge wenu💪

  • @victorsanga2229

    @victorsanga2229

    4 жыл бұрын

    Poor TZ

  • @selemanimasatu2421
    @selemanimasatu24214 жыл бұрын

    HUYU MZEE KABUDI MMI WAGA NAMKUBALI SANA ANAVYOONGEA KWA KUJIAMINI SANA MAANA ANAAMINI KILE ANACHOKIJUA YEYE.

  • @gemkachar

    @gemkachar

    4 жыл бұрын

    Kabudi mwanasheria wa ovyo. Eti sasa wa CAnada wamekuwa wabeberu. Anaogopa kumuambia bosi wake ukweli wa mambo. Serikali ya Canada pamoja na balozi wao hawana mamlaka ya kuingilia kesi lililoko mahakamani. Itaeleweka tu.

  • @salimmohamedsalim4448

    @salimmohamedsalim4448

    4 жыл бұрын

    Kuongea sio vitendo endelea kumuamini👍

  • @zaym7769

    @zaym7769

    4 жыл бұрын

    @@gemkachar hovyoooo wewe

  • @khadijashabaniiddy4137
    @khadijashabaniiddy41374 жыл бұрын

    Kama ulikua hujui viongozi wanafki wenye kuongea mbele za masultani kwa matakwa ya masultani basi huu ndio mfano mzuri wa kuwajua

  • @azizauledi4108
    @azizauledi41084 жыл бұрын

    Yaani mitaa hy magu nakuamini wote wanaohusika sukuma ndani ikiwezekana ht kijeshi nchi itawaliwe haiwezekani kutufanya watanzania wajinga kiasi hicho imetosha hatutaki ujinga

  • @jimmytuwa4886
    @jimmytuwa48864 жыл бұрын

    Nakuona mbali sana Mh.kabudi.......naamini wewe ndie Rais wng baada ya Magufuri,Mungu akuguse na kukusemesha ndani yako kuwa unaweza na unatosha kuwanyoosha watanzania.

  • @angelavayinga914
    @angelavayinga9144 жыл бұрын

    Hawataweza kwa lolote lile, tatizo tunajiamini watanzania.

  • @mcibralipuli640

    @mcibralipuli640

    4 жыл бұрын

    Hivi uyo mwadamu anamatatizo gani lakini na Nchi yetu?mbona anaturudisha nyuma kimaendeleo? Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @davidndaha9607
    @davidndaha96074 жыл бұрын

    Hasila hasara! Usipigane na mkuu anaekushinda wezo!.Kuwa najeuri kulusha mawe havisaidii wewe chapakazi.Hata wengine wanazinunua kelele hakuna!!.

  • @emmanuelmussa8331
    @emmanuelmussa83314 жыл бұрын

    Dawa ya deni ni kulipa tu.

  • @tzmny4909

    @tzmny4909

    4 жыл бұрын

    anadai nini?

  • @theleo3899

    @theleo3899

    4 жыл бұрын

    Angekuwa anadai angeshnda kule south

  • @kiyabonjemu9885

    @kiyabonjemu9885

    4 жыл бұрын

    Kuna sheria wewe

  • @mapesamale3379

    @mapesamale3379

    4 жыл бұрын

    Mlikuwa mna mtetea CAG mmeona madudu yake?Ethiopia ubalozi wa Tanzania katoa hati safi kwa balozi wa Tanzania!ndiyo maana Asad anazidi kubwabwaja

  • @charleslwanga6301

    @charleslwanga6301

    4 жыл бұрын

    Emmanuel Mussa 😂

  • @benjaminfataki6898
    @benjaminfataki68984 жыл бұрын

    pesa zake nisawa na samani ya ndege moja. ndo mana kaiziwiya ndege? huyo jama anastaili kulipa fidiya akishindwa

  • @devidpanja115

    @devidpanja115

    4 жыл бұрын

    Kweli humu tupo wengi

  • @ukhtyalpha1344

    @ukhtyalpha1344

    4 жыл бұрын

    Ndio hivyo laka wanakaza macho kama wana tolewa roho kwa kusema uwongo lipeni deni yatakwisha au yata kukuteni ya nuni firauni

  • @eliadligima6554

    @eliadligima6554

    4 жыл бұрын

    nanyie magamba mkishindwa case mlipe naya usumbufu! namimi nitakamata moja nyie subirini2!

  • @cydemanchester2368
    @cydemanchester23684 жыл бұрын

    Kama suala ni la kisheria hakuna haja ya kulalamika kwa nguvu kubwa namna hiyo. Tusubiri haki itapatikana mahakamani

  • @kinjeketilengwale1141
    @kinjeketilengwale11414 жыл бұрын

    Wanatujaribu waone tutafanya nini?wamekasirika kuona hatuwainamii tena,wanatafuta chokochoko ili tusambaratike tufikie malengo yetu hata hili tutavuka tu!

  • @yeasrmsafi7152
    @yeasrmsafi71524 жыл бұрын

    Kabudi namkubali sana tena sana

  • @samwellwiza5339
    @samwellwiza53394 жыл бұрын

    Ukiona vikwazo ujue Tanzania imeanza kuwa tishio duniani...na tukiweza kuvishinda na kuvivuka vipingamizi ujue tayari tutakuwa tumeingia katika orodha ya mataifa tishio na yanayojiweza duniani na katika ukanda Wa Afrika... Mungu mbariki Raisi John na Ibariki na watendaji wrote walio chini yake na Tanzania kwa ujumla wake

  • @mickykiteu7446
    @mickykiteu74464 жыл бұрын

    Hi tz kuma mamae hadi ije naviongozi wasomi tuta pitia mengi sana wazungu mna waita mabeberu ila hao hao mnawaomba condom una Mwita balozi Wa Canada yeye ndomahakama ujinga huo fateni sheria au huko naye pelekeni polis wenu

  • @babangida322
    @babangida3224 жыл бұрын

    CAG WA nini tena, khaa si mshamtema. Mnatamani kumchafua tu,

  • @mosesmaiga8600

    @mosesmaiga8600

    4 жыл бұрын

    Kwahiyo asisemwe yeye ninani

  • @jumajaffary9698

    @jumajaffary9698

    4 жыл бұрын

    @@mosesmaiga8600 Mbona hawasemi Mabalozi wawajibike.. Kama kuna ubadhilifu ubalozini, balozi hausiki?

  • @Kijana-wa-Tanzania

    @Kijana-wa-Tanzania

    4 жыл бұрын

    Juma Jaffary Akikujibu nishtue😀 Viongozi wa kisiasa wanajilinda ili wapate mwanya wa kuwahujumu hadi wataalamu ili wawaogope wafanye nje ya ueledi kufunika maovu yao.

  • @titusmoses7
    @titusmoses74 жыл бұрын

    Mngekua mmemlipa fedha zake yote haya yasingekuwepo, dawa ya deni ni kulipa tu

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu50254 жыл бұрын

    Wakienda wakaguzi wanapigwa cha juu anarudi kimya kimya.Shida viongozi walipewa safari za nje wanachota pesa dable payments nchini wanalipwa wakifika Ubalozini wanahudumiwa na Ubalozi huo ni Wizi. Asante Magufuli kwa kulinda hela za wanyonge

  • @mussajuma1736
    @mussajuma17364 жыл бұрын

    shida mnawafumbia macho weka ndani wote tusonge mbele bgp makufuri usikate tamaa tupo nyuma yako.

  • @lukandotv8101

    @lukandotv8101

    4 жыл бұрын

    Unajua km n wanaccm wenzake?

  • @fatmaally5944
    @fatmaally59444 жыл бұрын

    Ni maadui wa maendeleo ya tanzania coz abiria watakuwa na hofu kwa safari za nje kutumia ATC kwa kukamatwa bila taarifa kama south africa abiria wamesha check in wanashushwa very terrible

  • @ognecro8550
    @ognecro85504 жыл бұрын

    Ayo baba fanya uchunguzi maana uyo kaburu ana dai na ana mikataba yake kwa hiyo serekali ifanye uchunguzi sio kukurupuka kusema matepeli wakati wana dai haki yao

  • @chinemaentertainment1110
    @chinemaentertainment11104 жыл бұрын

    Achana na cag fanya kazi yenu muacheni mzee apumzike

  • @tonyelshabbaz
    @tonyelshabbaz4 жыл бұрын

    Kabla ya kulaumu jiulize Jambo hili, UNGEKUA Ni WEWE NCHI JIRANI (SOUTH AFRICA AMA KENYA ) HAWATAKI KUKUPA HAKI YAKO UNGEJISIKIAJE?

  • @nestorycosmas5717

    @nestorycosmas5717

    4 жыл бұрын

    Timing ndio inaleta wasiwasi ni kama kuna kanongwa ndani take. Walikuwa wapi hawa watu?

  • @blandinamwarabu5025

    @blandinamwarabu5025

    4 жыл бұрын

    Walituzurumu hao wezi walitaka kutupora Ardhi yetu

  • @blandinamwarabu5025

    @blandinamwarabu5025

    4 жыл бұрын

    Hapakuwa na kiongozi Imara wa kuyasimamaia hayo

  • @ukhtyalpha1344

    @ukhtyalpha1344

    4 жыл бұрын

    Uko sawa sawa kaka wao wanfukuza kazi wakandarasi wanaweka watu ndani bila ya kuwafungulia kesi mahakamani Rais ana biopolar mawaziri wana vigugumizi mahakama na mawakili wa serikali wana uziwi wa nyoyo na ukweli basi kazi kututaka akili zetu zisione udhalim wao wa serikali za mitaa walivyo ufamya kubaki wao waendelele madarakani watukamuwe mpaka tone la mwisho la damu aaa hii too much Subhanalla Wataala YAARABIY tupe viongozi wa kweli na waadilifu wenye imani za kweli na raia sio za kujionesha mitandaoni kila kukicha

  • @songorotv2530

    @songorotv2530

    4 жыл бұрын

    Hakuna haki hapo, haki ya eneo la nchi nyingine ni upuuzi,, ardhi hii niyawatanzania na sio ya wageni,,

  • @AbduRahman-os2vx
    @AbduRahman-os2vx4 жыл бұрын

    Yangu macho tuu yajayo yanafurahisha.tunadaiwa tena?duuh.

  • @blandinamwarabu5025

    @blandinamwarabu5025

    4 жыл бұрын

    Hivi mnafurahishwa nini

  • @AbduRahman-os2vx

    @AbduRahman-os2vx

    4 жыл бұрын

    @@blandinamwarabu5025 tunafurahishwa na serikali ambayo inadanganya raia kuwa inakusanya kodi vizuri na inatuletea maendeleo kwa madeni,kama una hoja karibu nikufungulie kitabu tatizo lenu mmezoea kudanganywa,hilo la ndenge mbona dogo kwa faida yako uliza serikali yetu inadaiwa fedha ngapi tangu uhuru na ni ccm...

  • @eliuspeter8163

    @eliuspeter8163

    4 жыл бұрын

    Haya sio madeni ya serikali hii. Ni ya serikali zilizopita. Sasa wanafanya hujuma dhid ya serikali ya JPM

  • @AbduRahman-os2vx

    @AbduRahman-os2vx

    4 жыл бұрын

    @@eliuspeter8163 serikali yetu tangu uanze mfumo wa vyama vingi imetawaliwa na chama gani?halafu jiulize serikali ni nini? Kama sio wewe raia maskini mlipa kodi kwa kunufaisha chama cha madikteta,jpm alikua waziri enzi hizo na uongozi mbalimbali alitetea nn,nakuacha na swali la mwisho kuna haja gani ya kutengeneza uwanja wa ndege chato na wakati huko huko chato raia wanahitaji barabara bora huduma za afya bora miundombinu bora pamoja na maji na umeme kama sio ubadhilifu wa fedha za raia maskini jitambue uzalendo kwanza..

  • @zuleyvendor6577

    @zuleyvendor6577

    4 жыл бұрын

    @@AbduRahman-os2vx wewe una akili kubwa sana watanzania wenye akili km ww bado ni wachache wengi wao bado wajinga wasiojitambua

  • @sulabdul6007
    @sulabdul60074 жыл бұрын

    Viongozi wa afrika ni maselfish au wababe hawataki ushauri wanajifanya ni one man show! This way we will never ever move foward!! Tutapiga hatuwa 3 iksha tutarudi nyuma hatuwa 1.. mataifa ya wenzetu yanapiga hatuwa kwasababu wanafuata katiba na sheria sio sisi.

  • @valenakomba7686
    @valenakomba76864 жыл бұрын

    Even they real don't about Tanzanian people who needs help from them. what they do is Bussines only.

  • @ellysilwani9287
    @ellysilwani92874 жыл бұрын

    Jamani ,hebu mtuambie kwani kulikoni??!juzi tu tumepongezana kurudi kwa ile nyingine,sasa tena inakuwaje??!!,kuna nn nyuma ya pazia??!Professor tusaidie majibu,kuna shida gani?!maana hizo ni kodi za watanzania.

  • @paull8659

    @paull8659

    4 жыл бұрын

    Mkulima alikuwa anadai haki yake akiwa hapa nchini, kwa ubabe wetu tukamfukuza.sasa anatukomoa huko nje, dawa ni kumlipa tu.

  • @Gamba177
    @Gamba1774 жыл бұрын

    Kabundi unaongea utumbo utumbo mtupu hamna msaada wowote kwa Pombe Makufuli bora ufukuzwe utumbuliwe cheo kikubwa umepewa lakini mpaka ndege imekamatwa huna lolote umefanya ila uwongo tu kumdanganya Mzee Pombe Makufuli.

  • @rashidalshaid445
    @rashidalshaid4454 жыл бұрын

    Dahh. Kabudi unafaa Sana Sana. Msaidie Rais wetu

  • @paull8659

    @paull8659

    4 жыл бұрын

    Kabudi ndiye adui wa nchi, kumshauri raisi vibaya, wacha ushamba we

  • @hassanmirambo564

    @hassanmirambo564

    4 жыл бұрын

    Paul L alimshauri nini kibaya hebu tujuze mdogo wake lisu na sisi tujue

  • @paull8659

    @paull8659

    4 жыл бұрын

    @@hassanmirambo564 Prof.Jalalani ni very big propagandist na mnafiki no. 1. wa T Z, anatudanganya. 1. Mkulima alikuwa anadai haki kwa kutumia mahakama yetu akashinda, tukaanza kumlipa. Awamu ya 5 kwa ubabe ikagoma na kumfukuza👉 kosa kubwa. 2.Prof.Jalalani anajua mkulima anatuvizia huko nje kwa kutumia sheria za kimataifa👉 hakuna cha ubeberu, mkulima anadai haki zake. 3. Tumefanya kosa inabidi tulipe. Na mwisho titumlipa.Hata mahakama zetu ,zilimpa haki wakati wa Mkapa.

  • @hassanmirambo564

    @hassanmirambo564

    4 жыл бұрын

    Paul L hizo mahaka za ten parcent usiniambie sitaki hata kusikia sijui awamu ya JK wala ya BEN zilikuwa na udhalimu mkubwa sana huwezi ukasimama na tajiri mahakamani na ukashinda kesi ili hali haki ni yako,nadhani ulikuwa bado mdogo hili niache nichate na watu wazima wanaofahamu tulivyokuwa kwenye maisha ya kisenge wakati huo

  • @josephmalisa2987
    @josephmalisa29874 жыл бұрын

    Ni mara ya kwanza kumwona rais Magufuli ana uso wa huzuni na kukasirika kama leo inanikumbusha taswira ya a uso wa rais wetu wa zamani Julius Nyerere alipokuwa anatangaza kumpiga Iddi Amin. Kwa uwezo wa mwenyezi Mungu na kuungwa mkono na watanzania wote au wengi wao atafanikiwa tu.

  • @wilbertfidelime9473
    @wilbertfidelime94734 жыл бұрын

    Mhe: Rais huyu ni tapeli hebu angalia hata macho yake tu kabisa ishara zinaonekana

  • @stanslauschatata3483

    @stanslauschatata3483

    4 жыл бұрын

    😁😁😁

  • @mosesmaiga8600

    @mosesmaiga8600

    4 жыл бұрын

    Tapeli ninani huyo

  • @jacobgidale.1759

    @jacobgidale.1759

    4 жыл бұрын

    Hahaha nimecheka eti kabadi tapeli anamchezea rais. Kama kuna kaukweli vile .

  • @hamzaliganga7437
    @hamzaliganga74374 жыл бұрын

    Tutapata taabu saana watanzania tatizo tunaficha vitu ila chadema watatugungua masikio

  • @eischerschwederm7876
    @eischerschwederm78764 жыл бұрын

    Balozi wa Canada hafai namjua Muuza sura tu kingereza kingi but kazi hawezi ameshindwa Afya ni limbukeni sana..kwa nchi kama canada ateuwe very intelligent na loyal person..Huyu balozi hafai anajua ya kinafki sana..Magufuli amubadilishe akatibu si daktari huyo wa usingizi..tuna wahitaji nyumbani..kila leadership post haiwezi ni mtu limbukeni sana na tamaa za kuonekana na SI MTENDAJI HATA KIDOGO

  • @theresiangunda2298
    @theresiangunda22984 жыл бұрын

    Baba yetu JPM pole sana naona unaumia sana kushikwa kwa kitega uchumi chetu

  • @fabianialexmpunga8137
    @fabianialexmpunga81374 жыл бұрын

    Africa matatizo mufate sheria wazungu awanaga shida

  • @dollyandthedoliganeloi3025

    @dollyandthedoliganeloi3025

    4 жыл бұрын

    Yaani ni kweli uku London ubalozi uko bond street katikati ya mji very expensive area

  • @josephtemu2633
    @josephtemu26332 жыл бұрын

    Kweli mungu ametuwekea hazina ingine mungu akulinde akuepushe na mabalaa yote

  • @jumamavind7713
    @jumamavind7713 Жыл бұрын

    Hongera sana mh Kabudi wewe nimzalendo wakweli

  • @ezrajuma8970
    @ezrajuma89704 жыл бұрын

    Huyu ni raisi wabadaye

  • @sashaaishajamani1979
    @sashaaishajamani19794 жыл бұрын

    Sio pesa tu na watu wakifika pale wanashindwa kusaidiwa safisana

  • @mohammedmdangwe2056
    @mohammedmdangwe20564 жыл бұрын

    muheshimiwa diwani Athumani watanzania tuna imani kubwa na wewe kwa utendaji wako mzuri hawa wanaotuhujumu mabeberu na mawakala wao waliopo nchini hebu dili nao watz tupo nyuma yako

  • @florianmtunzi9899

    @florianmtunzi9899

    4 жыл бұрын

    Kwel asee

  • @stephenkihongozi2171
    @stephenkihongozi21714 жыл бұрын

    Huyu jamaa anatufuatafata sana kwanini asishikiswe adabu yeye anataka ndege tu aende zake huko

  • @daviskalikumbi2525
    @daviskalikumbi25254 жыл бұрын

    Safisha safisha katika public service lazima iendelee ili hatimaye watu wasio na mapenzi na nchi yetu wasiwepo kwenye maamuzi yanayohusu rasilmali ya nchi hii. Shughulikia vibaraka hawa bila woga wala aibu. LONG LIVE TANZANIA

  • @wilbertfidelime9473
    @wilbertfidelime94734 жыл бұрын

    Yaani mimi siwezi tembea kifua mbele kusema eti Kibudu ni Baba yangu au Meko

  • @carlosmzena548

    @carlosmzena548

    4 жыл бұрын

    Unataka kusema Nini

  • @zuleyvendor6577

    @zuleyvendor6577

    4 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @harountuesday9668
    @harountuesday96684 жыл бұрын

    Hongera sana kiongoz wetu umeongea kwa uchungu.

  • @ukhtyalpha1344

    @ukhtyalpha1344

    4 жыл бұрын

    Kama yeye ana uchungu na akazane alipe deni na mwenye deni lake nae anaona uchungu vile hata bado malipo ya kudhulumu ni mbaya sana

  • @joasitz9559
    @joasitz95594 жыл бұрын

    Watashindwa wenyewe, hope God will do. Rais Iran umetusahau hatuna balozi

  • @angeljasson4376
    @angeljasson43764 жыл бұрын

    Pole kwetu sote ila pole sana muheshimiwa Raisi nimeona ulivyoumia

  • @abishaibahemu3345
    @abishaibahemu33454 жыл бұрын

    Mungu azidi kuwatia nguvu viongozi wetu,Mungu ibariki Tanzania

  • @mangegervas9651
    @mangegervas96514 жыл бұрын

    Rais wangu jpm kuwa jasiri... Haya ndo yaleee vita vya kiuchumi n vigumu mno. Nawaomba watanzania woote tuungane kuomba kwa mungu ndege yetu ya watanzania ije salama

  • @ibrahimkadibo810
    @ibrahimkadibo8104 жыл бұрын

    Nendeni mkasome zabur: hiyo mlio ambiwa 105:1~11

  • @jumaizungo9088
    @jumaizungo90884 жыл бұрын

    Nadhani,kwakua dawa ya deni ni kulipa,ningeshauri @ Mz achangie angalau elf 20, tungekua tayari ,tumelipa kuliko kuhama,viwanda,laa sivyo ndege ziruke hapahaapa2

  • @fadhilmohamoud
    @fadhilmohamoud4 жыл бұрын

    Dah uyu mzee kaongea kwa hisia sana leo

  • @omarymahanja2948
    @omarymahanja29484 жыл бұрын

    Hizi ndiyo arakati za mabeberu kuturudisha nyuma ila tuombe mungu

  • @salumkarim69
    @salumkarim694 жыл бұрын

    itakua wanajiandaa kukamata msafara wa rais wahuni c watu wazuri

  • @devothangonyani1597

    @devothangonyani1597

    4 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @haidaromar2079

    @haidaromar2079

    4 жыл бұрын

    Watashindwa kwa ilo hatuna wanajeshi wazembe tanzania

  • @khafidhsaid7687
    @khafidhsaid76874 жыл бұрын

    Jamani mm Nauliza Simba jana ilishina ngapi? nilikua bize kidogo sikuangalia mpira.

  • @zuleyvendor6577

    @zuleyvendor6577

    4 жыл бұрын

    😂😂😂 5 bila

  • @maufundi5037
    @maufundi50374 жыл бұрын

    Kila mbabe ana mbabe mwenzio

  • @rashidinyegele4077
    @rashidinyegele40774 жыл бұрын

    Talking overconfident ...is he a President

  • @onesmojohnny3905

    @onesmojohnny3905

    4 жыл бұрын

    Huyo jamaa ananini mpaka anashindana na serikali yetu?

  • @shukurumundandu3244
    @shukurumundandu32444 жыл бұрын

    Very painful, kabudi nakukubari sana unafaa kuwa Rais baada ya magufuli

  • @elimwazembe3631
    @elimwazembe36314 жыл бұрын

    Kwaiyo APA CAG,msitafu anatafutiwa kesi kwakuwapa hati safi kutoka isopia

  • @cydemanchester2368
    @cydemanchester23684 жыл бұрын

    Na kama tunadaiwa ni bora tulipe tu ili kuepukana na usumbufu wa kupeleka wanasheria kila mara nje ya nchi. Dawa ya deni ni kulipa tu na sio kusema kwamba ndege ipelekwe sehemu nyingine kwa ajili ya matengenezo. Najua kama huyu mdai asingekuwa na haki kisheria asingepata mamlaka ya kuzuia ndege yetu hivi hivi tu. Lazima kuna namna

  • @mashakaharuna405
    @mashakaharuna4054 жыл бұрын

    Hivi kwanini msinunu maboti yakawa yanapishana tuko bukoba mwanza kila cku hadithi nihizihizi

  • @isaacvtv547
    @isaacvtv5474 жыл бұрын

    Hivi angekuwa mtanzania mkulima kuidayi canada ingekuwaje?

  • @tzmny4909

    @tzmny4909

    4 жыл бұрын

    walahaniwe wote wanao ujumu tanzania na mwenyezi mungu awape udhariri wa wazi

  • @edwinalexander1170

    @edwinalexander1170

    4 жыл бұрын

    Angelipwa kama kesi angeshinda, na asingelipwa kama angeshindwa kesi.

  • @allymadunda7931

    @allymadunda7931

    4 жыл бұрын

    Angeshughulikiwa kisheria

  • @ukhtyalpha1344

    @ukhtyalpha1344

    4 жыл бұрын

    Angepuuzwa wala msaada serikali asingeupata serikali ya kihuni na wao hupata mhuni mwenzako walivyoona wameshinda in technicality sio kisheria wa kafurahi sasa nenda ukashinde tena na kokote mtakwenda ana haki ya kuzuwiya watu hawana matibabu wajane wnahangaika na maisha yameghalika kila mfanya biashara analalamika wewe unataka Rais usifiwe kwa ndege maskini gani ataepanda ndege hamna haya wala vibaya kila siku kutudanganya MMungu nae anamuona mja wake nae mlipeni haki yake kabla hizo ndege hazijaripuka mkatuulia Watanzania wenzetu kwa ukadi na kiburi chenu

  • @the_white_43.
    @the_white_43.4 жыл бұрын

    mimi ni mtanzania mzalendo sana ...ila naona hizi ndege zinanipa pressure tu..kwanini asilipwe deni lake tumalizane nae ? huu ujinga ni wa viongozi wetu tu ...tulipe madeni bwana tuache kujimwambafy

  • @damascongongi1609

    @damascongongi1609

    4 жыл бұрын

    Atalipwaje wakati kesi ya afrika kusini alishindwa na ameenda kufunga kesi hiyo hiyo nchi nyingine? Tuwe na Uhuru wa kifikra tutaona maendeleo na kuwa na uzalendo ktk taifa letu.

  • @polloz77

    @polloz77

    4 жыл бұрын

    Hilo deni halishindwi kulipwa hila tatizo halilipiki kila hukilipa hatatoa madai mengine tena Na hanayoidai ni mtoto wa kambo siyo mtoto wake halisi wakishirikiana na watanzania watwana mwenyewe kudai hasa hamejitoa Lakini baadhi ya watanzania wameungana na huyo mtoto kuhujumu Tanzania pamoja na. Vyama vya upinzani ambavyo siyo wazalendo

  • @hadija846

    @hadija846

    4 жыл бұрын

    Serikali inatuzinguwa tu wanawapa pesa nyingi mahakamani kesi inakwisha baadae yanatokea tena. Na pia anasema zaburi tu inamaana mabalozi wote ni wakiristo?

  • @josboy5384

    @josboy5384

    4 жыл бұрын

    @@hadija846 kasema dini ambayo anaijua unataka azungumze dini ambayo haifahamu?

  • @barakakarama2232

    @barakakarama2232

    4 жыл бұрын

    akimlipa huyo ataibuka mwingine so usiwaze hapa waza tu mbali

  • @issackchalahani1235
    @issackchalahani12354 жыл бұрын

    Mmh! Sawa tunachotaka ni ukweli usemwe sio kutuambia wapo Watu wanaotumika na mabeberu, itafutwe suluhu ya haya yanayojitokeza sio ubabe na vitisho.

  • @gemkachar
    @gemkachar4 жыл бұрын

    dawa ya deni ni kulipa. Itaeleweka tu.

  • @hafidhkhamis4943

    @hafidhkhamis4943

    4 жыл бұрын

    Hilo deni hakuliingia MZEE MAGUFULI ni watangulizi wake.

  • @gemkachar

    @gemkachar

    4 жыл бұрын

    @@hafidhkhamis4943 Deni ni la taifa( Jamhuri ya Muungano ya Tanzania. Deni sio la kiongozi.

  • @zuleyvendor6577

    @zuleyvendor6577

    4 жыл бұрын

    @@gemkachar na ndio Maana waliotangulia walishindwa kufufua Air Tanzania waliyajua haya awakuwa wajinga au Sio kwamba walishindwa.... Sasa ndege zinanunuliwa kwa pesa kubwa na azileti faida maisha yatakuwa magumu sana Tanzania mpka watu wajitambue

  • @maherabubakar8046

    @maherabubakar8046

    4 жыл бұрын

    mimi nataka baadae wawakamate na hawa viongozi wawazuie

  • @aishammohamed5982
    @aishammohamed59824 жыл бұрын

    Raisi teuwa na mwingine ubalozi wa Oman.....wanatucheleweshea kupata passport huku

  • @salimzaidi9203

    @salimzaidi9203

    4 жыл бұрын

    Aisha Mmohamed una muda gani toka umalize prosesi za passport

  • @fatmahassan9153

    @fatmahassan9153

    4 жыл бұрын

    😂😂😂hapo umenena shogaangu

  • @walivyojuma7095
    @walivyojuma70954 жыл бұрын

    Kabudi kaongea kwauchungu saana ukweli inauma ila kama kweli uyu mdai anaidai tz basi tumlipe dawa ya deni nikulipa kwanini anashika ndege zatz tu kama hanazo haki tumlipe uu niuzalilishaji wa nchi

  • @rastheunique631

    @rastheunique631

    4 жыл бұрын

    huu msemo wa Dawa ya Deni ni Kulipa nahisi uliwapita kando hawa, tunapigizana kelele za bure tu na nchi yetu ina mihela kama yote! Wampe vijisenti vyake huyu beberu aachane na sisi kabisa yaani.

  • @michaelxfxana2470
    @michaelxfxana24704 жыл бұрын

    Pole kwahayo

  • @stansilauseliasi7883
    @stansilauseliasi78834 жыл бұрын

    Kabdi acha uongo kama anatudai kweli tutoe kodi tumlipe

  • @yahasalel-sheibany5403
    @yahasalel-sheibany54034 жыл бұрын

    Wanaanza na kuwashwa na CAG tena? 😂

  • @zuleyvendor6577

    @zuleyvendor6577

    4 жыл бұрын

    😁😁😁😁

  • @laurentnkanga9944
    @laurentnkanga99444 жыл бұрын

    Nampenda sana kabudi maana anauchungu sana na mali ya watanzania

  • @romanambelle6356
    @romanambelle63564 жыл бұрын

    CAG mhh hati safi kumbe mabilioni yameliwa.

  • @amouramekhamis5254
    @amouramekhamis52544 жыл бұрын

    Iyo ndege imekamatwa kwa sheria za canada acheni kutafuna maneno

  • @dottopeter3187
    @dottopeter31874 жыл бұрын

    Ni kaz kuyafikia maendeleo

  • @sirq183
    @sirq1834 жыл бұрын

    CAG alie toa iyo hati safi ni yule wazamani au huyu mpya alie teuliwa ckuzakaribuni???

  • @kibonaamenye6878
    @kibonaamenye68784 жыл бұрын

    washindwe na walegee kwa jina la Yesu

  • @mussalameck4667
    @mussalameck46674 жыл бұрын

    Dawa ya Deni Ni kulipa

  • @stevenkyando151
    @stevenkyando1514 жыл бұрын

    Watanzania tumuunge mkono rais wetu katika maendeleo ya nchi

  • @Tiffany340
    @Tiffany3404 жыл бұрын

    Sasa kuanze na usiri sasa kwenye ununuzi wa Mali za watanzania

  • @walivyojuma7095

    @walivyojuma7095

    4 жыл бұрын

    Kweli kabisa si kilia kitu kukitangaza matokeo yake yakutangaza mali zetu ndo inakuwa kama ivi

  • @zainabumtubwi263
    @zainabumtubwi2634 жыл бұрын

    Mungu amuukuum .yaani mtu aunaenda mbele mwengine anakuvuta nyuma

  • @kulwamigo9127
    @kulwamigo91274 жыл бұрын

    Hongera sana Mh. Kabudi...maneno mazito na ya kishujaa..Mungu ibariki Tanzania, Mungu wabariki viongozi wetu!

  • @shafiichanzi1607
    @shafiichanzi16074 жыл бұрын

    Ogopa sana pale sura yako inapo ongea tofauti na mdomo wako, Tazama macho ya mzungumzaji hata km hataki

  • @Gasimba785
    @Gasimba7854 жыл бұрын

    Hao wanafiki muatafute wapelekwe mahakamani.

  • @majaliwamtungwa3727
    @majaliwamtungwa37274 жыл бұрын

    Ahiwezekani mtu ashike ndege ya nchi hivi hivi kama ni deni jamani lipeni mnahonyesha ahibu kwa tahifa

  • @rayrobert524
    @rayrobert5244 жыл бұрын

    Mungu atusimamie watanzania 🇹🇿🙌

  • @selemanikassim7018
    @selemanikassim70184 жыл бұрын

    Inauma sana ila inanipa hope pia i anifanya nazidi kukubali kuwa nchi yangu sasahivi ipo juu mpaka nchi kubwa zinaona gereeee😋

  • @micamathew6433
    @micamathew64334 жыл бұрын

    Namwona majitamajita mwenyewe amekasirikaje....weeeeeeeeeeee

  • @e.j.starelia5672
    @e.j.starelia56724 жыл бұрын

    Watz hamuishiwi majungu na serikali yenu Tanzania lazima isonge mbele haijalishi wachawi mko wangapi

  • @vibetv2270
    @vibetv22704 жыл бұрын

    Nilikuwa natafuta wa kumrithi rais magufuli2025 nimebaini huyu waziri anatufaa kidogo na lukuvi waziri wa aridhi

  • @josephharri9015
    @josephharri90154 жыл бұрын

    Halo ndo ujue Pua Ndefu wanaumizwa namafanikio Yetu

Келесі