RAIS MAGUFULI AMPA MAKAVU LAIVU WAZIRI MKUU MAJALIWA - "SIJASEMA UTAKUWA WAZIRI KWA MIAKA 5".....
RAIS MAGUFULI AMPA MAKAVU LAIVU WAZIRI MKUU MAJALIWA - "SIJASEMA UTAKUWA WAZIRI KWA MIAKA 5".....
RAIS Dkt John Pombe Magufuli, leo Novemba 16, amewaapisha Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, Waziri wa Fedha, Dkt Philip Mpango na waziri wa Mambo ya nje, Profesa Palamagamba Kabudi...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 739 750 910)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Пікірлер: 74
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u6Dk3QxRsVCJ7kW2e
@user-vz3uv4cb7k
3 ай бұрын
😂😂😂
Hapo kazi tu. Mheshimiwa Rais Magufuli hongera kwa kutoa Ukweli wako.. Kazi kubwa unayo Mheshimiwa waziri mkuu. Mwenyezi Mungu atakuongoza usiwe na hofu..
Nimejifunza kitu... Kazi na urafiki havikai pamoja
Mungu aiweke mahari pema ww urikuwa mwamba
My og president Magufuli miss you so much
Kama umesikia lowasa katanjwa na Raisi magufuli gonga like nyingi kwangu
Nakupenda sana Mh. Rais, Jpm ndio kila kitu. Tunakuombea na nchi utaisaidia kusonga mbele.
Dah....!!!uncle kweli hatabiriki na Hana urafiki kwenye kazi &hajizuii kuzungumza anacho kiamini hata Kama wengine hawapo tayari kukipokea ili mradi ni sahihi.
@scolasticahpeterh8649
4 ай бұрын
Unasema rafiki yy hata mkewe alikuwa anamsema
Mwaka 2024 lakin bado nakuangalia JPM. Rest In Paradise
Safi sana walobahatika Waziri Mkuu nawapongeza Sumaye wakwetu Manyara umedumu miaka kumi Hapa ni miaka ya mavuno awamu ya tano Tz Mpya ya Dr JPM imebarikiwa kwa pamoja tusonge mbele HAPA KAZI TU
Ubarikiwe baba nakupenda sanaaa
Care uncle love so much
Safiiiiiiiiiii best one
Yani apo akuna ukingunge wakujifanyizia ukingunge, kula kwenu mazima apa ni demokresi, ishi maisha yako the pari over here
Mmmm sawa
Ninacho kupendea raisi wangu wew ni mkweli unawambia watu Ukweli nakukubali Sana JPM 👍🏼👍🏼
Mungu akupe pumziko lenye heri huko MBINGUNI.TUTAONANA BAADAYE.NIMEMISS UTENDAJI WAKO MAHIRI.
R I P UNCLE
Huyu ndo Rais wangu
Dahhhhh
Enzi hizi ulikuwa ukiteuliwa unajua cheo ni dhamana na unakinyenyekea lakini Leo? Toa comment yako chini
6:40
Vijana wa jkt
Duh
Da jembe liko kazini kila siku ikilima natarajia mavuno Tutakalo vuma baaada ya miaka tano lijalo ni makubwa sana na maisha tatakuwa ni raha tu baada ya miundo binu zote kukamilika
Mmmh
Aaaaaa alieleza ukweli sana Magu tunakukumbuka sana viongozi wengine wanaona wao Ni wao
Vizuri havidum mwenyez mungu uilaze roho ya Mareham babaet mahala pema peponi😂😂
Hyo ndo alikuwa kiongozi nchi hii
Tunamkumbuka sana
Mmm
Kweli hayo Makavu live.
Mmmmuh!
Mzee mpaka utoke marakani tutatambaa manaake haitaki mchezo mchezo na hiyo ndio kuwajibika
@abelmayala6667
3 жыл бұрын
Hahah.....!!!!Dah...!!!kwel uncle hatabiliki Hana urafiki kwenye kazi
Munguwaraze. Maharapeemapeponi
Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI.
@stevenkawawa7807
3 жыл бұрын
apo unamanisha nin
Rais
We caming from the high lands on a Bus of we never right Daar every the police STOP as . I asking wat nou. Is there a problem of the Bus . I not see the police cam to the problem. The condator gou out whiff close hands when she cam back hire hand in open. I asking hir what nou on this matter of the police. The people in the Bus talk to me . Tanzania is back . Hou you can tack Tanzania forward. Think cappel years bag . Think of now voting 🤔🤔
26/2/2023.😭😭😭 RAIS WETU kipenzi UMETUACHA NJIA panda.2025,nipo tayar kuipigia kula KABURI lako.labda Majaliwa huyo akiteuliwa KUGOMBEA Urais.
Mzee alikuwa mwamba sana
Hapa kazitu pumzika babayetu Sasa msemo ulisha badilika Sasa uwizi uendereee Sasa mpaka asikali niwezi takukuru nao huwaoni raiya ushuru mdogo tunafungi ilawao wanaiba matiliyoni haya takukuru hawahojiwi nishida sasa ulisema tutamkumbuka nikweli tumekukumbuka
Huyu Mbaba Hana Urafiki Na mtu Hataki Utani Na Mtu
Hiki cheo alikua anataka kumpa mtu wa kanda ya ziwa lakini hakufanikiwa mara huyo kaitwa kwa Allah akaitika wito wake bado mm na wewe kuitwa tu..!
Hapepesagi
Mtengue majaliwa,2025 tumpe Nchi
Ukweli unaomezwa kiuchungu
Huyo ndo rais hatabiriki kwa vyovyote nikwere kweche bbk
Hatutakuona Tena maneno yako yanaishi
WAZIRI MKUU MAJALIWA,CHUNGA MAGUFULI HAELEWEKI
Hapo alitakua kumtumbua majaliwa alikua anatafuta upenyo
@hassanmfaume4522
8 ай бұрын
Ndio ilikua kusudio lake amlete msukuma au mhaya 😅😅😅
Laisi Magufuli ampa makavu majaliwa
Ngumu kumezahiyo
Rais Magufuli ampa makavu majaliwa
Ilikuwa sawasawa kweli?
Nakuombea khasim utumikie Miaka 20
Duh Magufuri ilikuwa kichwa nyingine kabisa
skupend we mbaba
@jonathanoffice9096
3 жыл бұрын
Humpend kwa nn
@samwelsimon7392
Жыл бұрын
na sio lazima umpende wew kaa na chuki zako
@jumakhamis226
Жыл бұрын
Kwann
@shaffihsiraji3141
10 ай бұрын
Wewe anakupenda nani mbwa wewe
wazili muku
JPM JPM JPM PUMZIKA KWA AMANI MZEE.
Mpumbavu tu
Kweli kabisa ningetamani Sana tukifikia hapa ukwel mtupu baba
ila hili jembe tulipoteza chuma
Nin maana ta tai nyekndu
Rais Magufuli ampa makavu majaliwa
Rais Magufuli ampa makavu majaliwa