Hotuba ya Rais Magufuli katika Kongamano la Kumbukizi ya Mwalimu Nyerere

Hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli patika ufunguzi wa Kongamano la Kumbukizi ya Mwalimu Julius Nyerere, Ukumbi wa Nkrumah, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, tarehe 10 Oktoba, 2019; iliyowasilishwa na Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi.

Пікірлер: 14

  • @yakobomaganga6557
    @yakobomaganga6557 Жыл бұрын

    Hakika 🙏 mkuu wangu Mungu akubariki Sana 🙏 Kwa kutuwlimisha kongole BABA yetu mungu akujalie Sana Sana Mzee 🙏🏿🙏🏿 Nadhani WAMEKUELEWAA mzee asante Sana 🇹🇿✍️🙏🏿🙏🏿🇹🇿✍️"

  • @wekesaemanuelmasika6822
    @wekesaemanuelmasika68222 жыл бұрын

    Napenda hotuba zake profesa Kabudi. Ombi langu ni kwamba sikumoja apewe hatamu ya kuongoza nchi ya Tazanzia

  • @saidbarawa9096
    @saidbarawa90969 ай бұрын

    The great leaders of Tanzania, Nyerere,maghufuli,and now kabudi

  • @carolihando6271
    @carolihando627110 ай бұрын

    This talented guy, God bless him.

  • @saidbarawa9096
    @saidbarawa90969 ай бұрын

    Njoo Kenya Uwe Rais wetu

  • @saidbarawa9096
    @saidbarawa90969 ай бұрын

    Kabudi Rais mtarajiwa ❤ from Kenya

  • @saidbarawa9096
    @saidbarawa90969 ай бұрын

    Mimi ni mkenya, lakini nimekubali Tanzania iko mbele ya Kenya,Kwa siasa Bora, viongozi Bora,Kwa kambumbu,Kwa muziki,Kwa wasani wa filamu,Kenya Yuko mbele Kwa ukabila Hasi Na viongozi wafisadi

  • @catherinechifebe5800
    @catherinechifebe58004 жыл бұрын

    Mheshimiwa Waziri umemwakilisha vyema Raisi wetu,,barikiwa sana

  • @majaliwasmoshi774
    @majaliwasmoshi7744 жыл бұрын

    Nyirere x magufuli x kabudi munawesa Sana kasi nawapenda asana

  • @MuhungaMasengo-og3vk
    @MuhungaMasengo-og3vkАй бұрын

    Fizi tupo tayari kuwapiga wanyanganyi tumesimama kama daudi mbele yagoli yati

  • @josephkafumu3006
    @josephkafumu3006 Жыл бұрын

    Mimi najivunia sana wewe maaana unajiamini vizuri

  • @MuhungaMasengo-og3vk
    @MuhungaMasengo-og3vkАй бұрын

    Tuta pigana mpaka mwisho wadahari

  • @saidbarawa9096
    @saidbarawa90969 ай бұрын

    Hapa kwetu Kenya viongozi walioko serikali I wakitoa hutuba,hutuba Yao ni kumwita Raila mzee wa kitendawili,mganga, wanamaliza hutuba

  • @saidbarawa9096
    @saidbarawa90969 ай бұрын

    You're aleader worth to be.apresident