Hotuba ya Rais Magufuli katika Kongamano la Kumbukizi ya Mwalimu Nyerere
Hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli patika ufunguzi wa Kongamano la Kumbukizi ya Mwalimu Julius Nyerere, Ukumbi wa Nkrumah, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, tarehe 10 Oktoba, 2019; iliyowasilishwa na Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi.
Пікірлер: 14
Hakika 🙏 mkuu wangu Mungu akubariki Sana 🙏 Kwa kutuwlimisha kongole BABA yetu mungu akujalie Sana Sana Mzee 🙏🏿🙏🏿 Nadhani WAMEKUELEWAA mzee asante Sana 🇹🇿✍️🙏🏿🙏🏿🇹🇿✍️"
Napenda hotuba zake profesa Kabudi. Ombi langu ni kwamba sikumoja apewe hatamu ya kuongoza nchi ya Tazanzia
The great leaders of Tanzania, Nyerere,maghufuli,and now kabudi
This talented guy, God bless him.
Njoo Kenya Uwe Rais wetu
Kabudi Rais mtarajiwa ❤ from Kenya
Mimi ni mkenya, lakini nimekubali Tanzania iko mbele ya Kenya,Kwa siasa Bora, viongozi Bora,Kwa kambumbu,Kwa muziki,Kwa wasani wa filamu,Kenya Yuko mbele Kwa ukabila Hasi Na viongozi wafisadi
Mheshimiwa Waziri umemwakilisha vyema Raisi wetu,,barikiwa sana
Nyirere x magufuli x kabudi munawesa Sana kasi nawapenda asana
Fizi tupo tayari kuwapiga wanyanganyi tumesimama kama daudi mbele yagoli yati
Mimi najivunia sana wewe maaana unajiamini vizuri
Tuta pigana mpaka mwisho wadahari
Hapa kwetu Kenya viongozi walioko serikali I wakitoa hutuba,hutuba Yao ni kumwita Raila mzee wa kitendawili,mganga, wanamaliza hutuba
You're aleader worth to be.apresident