ZIARA YA RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI RUANGWA MKOA WA LINDI.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli ambaye ameongozana na Mkewe Mama Janeth Magufuli tarehe 15 Oktoba, 2019 anaendelea na ziara yake Mkoani Lindi ambapo atazindua barabara za Mji wa Ruangwa, ataweka jiwe la msingi la ujenzi wa ghala la mazao la Kijiji cha Lipande Wilayani Ruangwa na atahutubia mkutano wa hadhara Mjini Ruangwa Mkoani Lindi
Пікірлер: 9
Mungu aendelee kuwabariki serikali ya 5
Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala milele kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGO
Dah leo mi wakwnz
hakika treckta limepata mkulima bashe mungu akupe afya njema kwa kuleta mipango ya kileo kukomboa wakulima bashe oyee mh raisi hoyeee ccm safiii mh rais hakika umekibeba vyema ccm sasa tunajivunia serekali ya jpm ni fireee maemdeleo kila sehemu shikamooo raisi
Mother land
01:23:25 13:05 42:51
muzee magu huku vijijijni hunatusaau sana nasisi tunahomba tupatiwe fulusa zakazi
Mh Dk magufuri tuna omba ufike makao makuu ya wilaya Rufiji kata ya utete uku tuna hamu na wewe atujawai kukuona
Home sweet home ruangwa likangara