ZIARA YA RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI RUANGWA MKOA WA LINDI.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli ambaye ameongozana na Mkewe Mama Janeth Magufuli tarehe 15 Oktoba, 2019 anaendelea na ziara yake Mkoani Lindi ambapo atazindua barabara za Mji wa Ruangwa, ataweka jiwe la msingi la ujenzi wa ghala la mazao la Kijiji cha Lipande Wilayani Ruangwa na atahutubia mkutano wa hadhara Mjini Ruangwa Mkoani Lindi

Пікірлер: 9

  • @yusufurahabiamu6052
    @yusufurahabiamu60524 жыл бұрын

    Mungu aendelee kuwabariki serikali ya 5

  • @temkezatv4381
    @temkezatv43814 жыл бұрын

    Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala milele kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGO

  • @immamwaluko458
    @immamwaluko4584 жыл бұрын

    Dah leo mi wakwnz

  • @abuyabally5086
    @abuyabally50864 жыл бұрын

    hakika treckta limepata mkulima bashe mungu akupe afya njema kwa kuleta mipango ya kileo kukomboa wakulima bashe oyee mh raisi hoyeee ccm safiii mh rais hakika umekibeba vyema ccm sasa tunajivunia serekali ya jpm ni fireee maemdeleo kila sehemu shikamooo raisi

  • @omarimaina8512
    @omarimaina85124 жыл бұрын

    Mother land

  • @kayealey1097
    @kayealey10974 жыл бұрын

    01:23:25 13:05 42:51

  • @jacksonfrenk1961
    @jacksonfrenk19614 жыл бұрын

    muzee magu huku vijijijni hunatusaau sana nasisi tunahomba tupatiwe fulusa zakazi

  • @AmmieTz
    @AmmieTz4 жыл бұрын

    Mh Dk magufuri tuna omba ufike makao makuu ya wilaya Rufiji kata ya utete uku tuna hamu na wewe atujawai kukuona

  • @aboubackhrkassangullah8380
    @aboubackhrkassangullah83804 жыл бұрын

    Home sweet home ruangwa likangara