RAIS DKT. MAGUFULI AZNGUMZA NA WANANCHI WA KISAKI MOROGORO KABLA YA KUELEKEA MTO RUFIJI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt John Pombe Magufuli akitekeleza majukumu ya kiserikali na kuzungumza na Wananchi wa maeneo mbalimbali kabla ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa bwawa la kufua umeme la mto Rufiji
Пікірлер: 50
chato ya kisaki hiyo,haahaaaa,hongera watumishi wangu kazi yenu nzuri
Watanzania wenzangu kwa umoja wetu kwa mshikamano wetu kwa pamoja tuzidi kumuombea raisi wetu kwa imani zetu mwenyez MUNGU yupo pamoja nasi
Mungu akubariki Rais wetu na akulinde siku zote,Tanzania yetu sawa ni raha tupu
Huyu raisi 2020 wala asihangaike kupiga kampeni ni hatari sana jmn!!!!!!
Tuendelee kumuombea Rais wetu Mungu azidi Kumlinda
@kuluthumkalonga4757
5 жыл бұрын
Ni kweli kabisa tumuombee
Hii style mpya ya kuchangisha inanikosha sana 😅 endelea kuwachangisha mzee baba.. 🤣🤣🤣🤣🤣 Angalau waweke kumbukumbu kwenye maisha yao 😊
@ahmadnassor7375
5 жыл бұрын
Kabisaaaaaa labda watakuwa na uchungu . Maana ukiwa kwenye msafara wake ujipange na kibunda cha michango Kama waenda msibani
DAAAA NAMKUBALI SANAAA COMMANDO JPM
Wewe ni rais wa wanyoge daima tutaendelea kukuombea rais wetu
Hongera jembe letu ,kwa hizo shs400 milioni ni heshima kubwa na wajibu wa kiongozi wetu kututendea haki hii ya kujenga hicho kituo cha afya.
Ongera jembe ltu Mungu awe upande wko pmja nasi
JPM BW. KAONA AMTOE KBS KWENYE GARI MAMA WA TAIFA HONGERA SANA MH
Mh. Rais Tunakupenda
Hongera xana Rais wetu mpendwa mh Dr John Pombe Joseph Magufuli; kwa uchapakaz uliotukuka
Kwenye ziara ya mh Rais ujipange usiende kifisadifisadi!
Eti huyu 2020 asishinde sio bure
Mungu akubariki
Raisi wetu itabaki historia tu Tuta kusimulia kwa wototo wetu
@zefamange7281
5 жыл бұрын
Sanaaaa
Safi snaa uncle magu
Aisee safar hii tume mpata rais wakwel Mungu ashukuliwe
Nani kama Rais wangu Magufuli. 2020√√√√√√
Kkkkkk mbavu zangu mie Mungu yu nawe mzee jpm
hii sela ya hapa kazi Kazi yaonekana magu
Ooo! Haleluya mangufuli Rais wetu rais wa wanyonge mungu azidi kukutunza milele daima.....
Mungu akulinde rais wetu hakika ww nikiongozi mchapakaz
HAPA KAZI TU!
@chidboychichalo9201
5 жыл бұрын
Safi sana kiongoz wetu
Pamoja Mkuu
Hongera sana rais wetu
Fantastic Mr president
Asnte sana baba
Safi rais wetu, kanyaga twende mzee
Muwe na kazalika ntakuja kununua
Diwani wa Chadema nachangia laki 2 🤣🤣🤣, halafu mnataka nchi😜😜
@burhanrashidhussein6037
5 жыл бұрын
Hhhhhh umeniacha hoi
@abdulabdul6370
5 жыл бұрын
Duh! 😂 😂 😂 😂
@MpayOnlineTv4696
5 жыл бұрын
ukisikia nchi inajengwa kwa fedha za wananchi ndio hivi, leo ww unakuja na laki moja,kuleta maendeleo
@corrolesscps
5 жыл бұрын
Elias Mpay . Ndio maana yake nchi inajengwa na mwananchi, Sio kwamba atakuja mchina kujenga, ni kujidanganya, mchina atakuja na stayle zake ili apate faida au kukomba, si mmeshidwa kujenga wenyewe nchi yenu alafu mwisho wa siku manaendelea kubaki na umasikini wenu,si mmelala mnasubiria mpka furani aje kutujengea. Wnakwambia usimwamshe alie lala, usije ukalala wewe
Na sisi tutachangiaje! Mfungue akaunti ya wadau wa mitandao ili tushiriki wote kuijenga nchi yetu.✍️
Nchi inajengwa na wananchi yao
Mungu akiwa anakuongoza siku zote utafanya kazi Kwa kujiamini utawala mzuri wa haki kukamilika Kwa muda bila watu kuchukia ukiona wale wachache wanakuchukia ujue hata mambo wanayoyafikiria ni mabaya ndo maana ni wachache God bless you doctor magufuli
Huyu jamaa anawapenzi hatar,watu wananjaa c kawaida
Rais mgawa thawabu
Raisi anachangia milioni tano. Alafu we unatoa laki tano ndo nini asa hamuoni aibu
Rest in peace jpm
😂😂😂😂😂😂😂
@charlesmatofali2850
5 жыл бұрын
Kweli tunaye Rais wa watu anayejali wananchi wake
Mnaulizwa umeme utakuja lini mnaanza kumuimbia raisi ngonjera. Hekaya za abunuwas