RAIS DKT. MAGUFULI AZNGUMZA NA WANANCHI WA KISAKI MOROGORO KABLA YA KUELEKEA MTO RUFIJI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt John Pombe Magufuli akitekeleza majukumu ya kiserikali na kuzungumza na Wananchi wa maeneo mbalimbali kabla ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa bwawa la kufua umeme la mto Rufiji

Пікірлер: 50

  • @edwardisack1890
    @edwardisack18905 жыл бұрын

    chato ya kisaki hiyo,haahaaaa,hongera watumishi wangu kazi yenu nzuri

  • @athumanomary1171
    @athumanomary11715 жыл бұрын

    Watanzania wenzangu kwa umoja wetu kwa mshikamano wetu kwa pamoja tuzidi kumuombea raisi wetu kwa imani zetu mwenyez MUNGU yupo pamoja nasi

  • @martinngonyani5494
    @martinngonyani54945 жыл бұрын

    Mungu akubariki Rais wetu na akulinde siku zote,Tanzania yetu sawa ni raha tupu

  • @kemmymuhandiki5243
    @kemmymuhandiki52435 жыл бұрын

    Huyu raisi 2020 wala asihangaike kupiga kampeni ni hatari sana jmn!!!!!!

  • @hassanabdu6862
    @hassanabdu68625 жыл бұрын

    Tuendelee kumuombea Rais wetu Mungu azidi Kumlinda

  • @kuluthumkalonga4757

    @kuluthumkalonga4757

    5 жыл бұрын

    Ni kweli kabisa tumuombee

  • @april7teen
    @april7teen5 жыл бұрын

    Hii style mpya ya kuchangisha inanikosha sana 😅 endelea kuwachangisha mzee baba.. 🤣🤣🤣🤣🤣 Angalau waweke kumbukumbu kwenye maisha yao 😊

  • @ahmadnassor7375

    @ahmadnassor7375

    5 жыл бұрын

    Kabisaaaaaa labda watakuwa na uchungu . Maana ukiwa kwenye msafara wake ujipange na kibunda cha michango Kama waenda msibani

  • @zefamange7281
    @zefamange72815 жыл бұрын

    DAAAA NAMKUBALI SANAAA COMMANDO JPM

  • @petergebo8198
    @petergebo81985 жыл бұрын

    Wewe ni rais wa wanyoge daima tutaendelea kukuombea rais wetu

  • @shijasagali5161
    @shijasagali51615 жыл бұрын

    Hongera jembe letu ,kwa hizo shs400 milioni ni heshima kubwa na wajibu wa kiongozi wetu kututendea haki hii ya kujenga hicho kituo cha afya.

  • @samwelmfinanga4769
    @samwelmfinanga47695 жыл бұрын

    Ongera jembe ltu Mungu awe upande wko pmja nasi

  • @simbawateranga7020
    @simbawateranga70205 жыл бұрын

    JPM BW. KAONA AMTOE KBS KWENYE GARI MAMA WA TAIFA HONGERA SANA MH

  • @richardndumbaro3566
    @richardndumbaro35665 жыл бұрын

    Mh. Rais Tunakupenda

  • @nyangetaissa4916
    @nyangetaissa49165 жыл бұрын

    Hongera xana Rais wetu mpendwa mh Dr John Pombe Joseph Magufuli; kwa uchapakaz uliotukuka

  • @bedamichael7103
    @bedamichael71035 жыл бұрын

    Kwenye ziara ya mh Rais ujipange usiende kifisadifisadi!

  • @abdulabass5808
    @abdulabass58085 жыл бұрын

    Eti huyu 2020 asishinde sio bure

  • @mtakimjinja2328
    @mtakimjinja23285 жыл бұрын

    Mungu akubariki

  • @hasanially9294
    @hasanially92945 жыл бұрын

    Raisi wetu itabaki historia tu Tuta kusimulia kwa wototo wetu

  • @zefamange7281

    @zefamange7281

    5 жыл бұрын

    Sanaaaa

  • @petergebo8198
    @petergebo81985 жыл бұрын

    Safi snaa uncle magu

  • @tamiymabubakar3665
    @tamiymabubakar36655 жыл бұрын

    Aisee safar hii tume mpata rais wakwel Mungu ashukuliwe

  • @emanuelshayayi54
    @emanuelshayayi545 жыл бұрын

    Nani kama Rais wangu Magufuli. 2020√√√√√√

  • @famitoissanawanda7011
    @famitoissanawanda70115 жыл бұрын

    Kkkkkk mbavu zangu mie Mungu yu nawe mzee jpm

  • @hasanially9294
    @hasanially92945 жыл бұрын

    hii sela ya hapa kazi Kazi yaonekana magu

  • @williamngazija7284
    @williamngazija72845 жыл бұрын

    Ooo! Haleluya mangufuli Rais wetu rais wa wanyonge mungu azidi kukutunza milele daima.....

  • @rajabuseleman4515
    @rajabuseleman45155 жыл бұрын

    Mungu akulinde rais wetu hakika ww nikiongozi mchapakaz

  • @kambiibrahim415
    @kambiibrahim4155 жыл бұрын

    HAPA KAZI TU!

  • @chidboychichalo9201

    @chidboychichalo9201

    5 жыл бұрын

    Safi sana kiongoz wetu

  • @nassoronkelanza6161
    @nassoronkelanza61615 жыл бұрын

    Pamoja Mkuu

  • @isayaerasto7550
    @isayaerasto75505 жыл бұрын

    Hongera sana rais wetu

  • @khamiskidiko3827
    @khamiskidiko38275 жыл бұрын

    Fantastic Mr president

  • @deodatusdeogratias6332
    @deodatusdeogratias63325 жыл бұрын

    Asnte sana baba

  • @mpondaahamida2146
    @mpondaahamida21465 жыл бұрын

    Safi rais wetu, kanyaga twende mzee

  • @richardaron8797
    @richardaron87975 жыл бұрын

    Muwe na kazalika ntakuja kununua

  • @MpayOnlineTv4696
    @MpayOnlineTv46965 жыл бұрын

    Diwani wa Chadema nachangia laki 2 🤣🤣🤣, halafu mnataka nchi😜😜

  • @burhanrashidhussein6037

    @burhanrashidhussein6037

    5 жыл бұрын

    Hhhhhh umeniacha hoi

  • @abdulabdul6370

    @abdulabdul6370

    5 жыл бұрын

    Duh! 😂 😂 😂 😂

  • @MpayOnlineTv4696

    @MpayOnlineTv4696

    5 жыл бұрын

    ukisikia nchi inajengwa kwa fedha za wananchi ndio hivi, leo ww unakuja na laki moja,kuleta maendeleo

  • @corrolesscps

    @corrolesscps

    5 жыл бұрын

    Elias Mpay . Ndio maana yake nchi inajengwa na mwananchi, Sio kwamba atakuja mchina kujenga, ni kujidanganya, mchina atakuja na stayle zake ili apate faida au kukomba, si mmeshidwa kujenga wenyewe nchi yenu alafu mwisho wa siku manaendelea kubaki na umasikini wenu,si mmelala mnasubiria mpka furani aje kutujengea. Wnakwambia usimwamshe alie lala, usije ukalala wewe

  • @mohamedkassimu8789
    @mohamedkassimu87895 жыл бұрын

    Na sisi tutachangiaje! Mfungue akaunti ya wadau wa mitandao ili tushiriki wote kuijenga nchi yetu.✍️

  • @luluamri370
    @luluamri3705 жыл бұрын

    Nchi inajengwa na wananchi yao

  • @AMBROSIJOSEPH-qc7xo
    @AMBROSIJOSEPH-qc7xo3 ай бұрын

    Mungu akiwa anakuongoza siku zote utafanya kazi Kwa kujiamini utawala mzuri wa haki kukamilika Kwa muda bila watu kuchukia ukiona wale wachache wanakuchukia ujue hata mambo wanayoyafikiria ni mabaya ndo maana ni wachache God bless you doctor magufuli

  • @mathiasnsegenelo7598
    @mathiasnsegenelo75985 жыл бұрын

    Huyu jamaa anawapenzi hatar,watu wananjaa c kawaida

  • @luluamri370
    @luluamri3705 жыл бұрын

    Rais mgawa thawabu

  • @hanifawaliya7976
    @hanifawaliya79765 жыл бұрын

    Raisi anachangia milioni tano. Alafu we unatoa laki tano ndo nini asa hamuoni aibu

  • @aminamwivita7690
    @aminamwivita76908 ай бұрын

    Rest in peace jpm

  • @ramadhanichilumba3610
    @ramadhanichilumba36105 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @charlesmatofali2850

    @charlesmatofali2850

    5 жыл бұрын

    Kweli tunaye Rais wa watu anayejali wananchi wake

  • @hanifawaliya7976
    @hanifawaliya79765 жыл бұрын

    Mnaulizwa umeme utakuja lini mnaanza kumuimbia raisi ngonjera. Hekaya za abunuwas

Келесі