RAIS DKT. MAGUFULI AKIWA NJIANI KUELEKEA JIJINI DODOMA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wananchi mbalimbali waliomsubiri njiani akilekea Mako makuu ya Nchi Jijini Dodoma .

Пікірлер: 37

  • @abdulihafidhali5379
    @abdulihafidhali53794 жыл бұрын

    Naomba like zenu mm ni mtu wa mwanzo kukoment Leo magufuli ni mchapakazi sana anaeamini hili agonge like hapa chini 🙏

  • @athumanfather6080

    @athumanfather6080

    4 жыл бұрын

    Abdulihafidh Ali saanatu

  • @mosesmzakwe7774

    @mosesmzakwe7774

    4 жыл бұрын

    HAPO SAWA MHESHIMIWA RAIS

  • @jumayahaya4910
    @jumayahaya49104 жыл бұрын

    Kam unamkubar jpm gong like za nguvu

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu41574 жыл бұрын

    Asante sana mheshimiwa baba yetu mpendwa

  • @enockcharles6835
    @enockcharles68354 жыл бұрын

    Safi sana Mheshimiwa rais, penye ukweli sema ukweli baba. Wengine wanafanya kazi ya wizi, vibaka na shughuli za uvunjifu wa amani wanategemea ukipata watumie fursa hiyo kuonekana hawana makosa. Wakati wa kubembelezana haupo tena. Piga kazi

  • @onesmoakwilini6254
    @onesmoakwilini62544 жыл бұрын

    AMRI JESHI WA MAJESHI

  • @wilsonjohn1919
    @wilsonjohn19194 жыл бұрын

    Ndani ya kombat president

  • @masukahima3676
    @masukahima36764 жыл бұрын

    Salute kwako mkuu...

  • @mhandoabasi9968
    @mhandoabasi99684 жыл бұрын

    Mungu.akujalie.rais.wetu.tunaona.kz.nzur.taifa.lako.laenda.mbele.uchumi..saf.sana

  • @manyotaskipper5765
    @manyotaskipper57654 жыл бұрын

    Wananchi bwana UKIWA UNAONGOPA WANAKUZOMEA 😀😀hawataki UJINGA

  • @agneomasonda2462
    @agneomasonda24624 жыл бұрын

    Hapa kazi tu. Piga kazi baba JPM

  • @jamessanga5453
    @jamessanga54534 жыл бұрын

    mzee wa zeke halilali

  • @manyotaskipper5765
    @manyotaskipper57654 жыл бұрын

    Mzee KAVAA COMBAT SASA TAREHE 24 wewe jifanye MBUBU UANDAMANE KISA ZITO KAKWAMBIA AU MBOWE

  • @mhojamsafiri2273

    @mhojamsafiri2273

    4 жыл бұрын

    🤭🤭

  • @swahibal-karama145
    @swahibal-karama1454 жыл бұрын

    Hapa kiukweli umenimaliza MH:RAISI MAGUFULI WEWE NI RAISI WA PEKEE USIONDOKE MADARAKANI WALA HAKUNA HAJA YA UCHAGUZI.

  • @lexisavage1770
    @lexisavage17704 жыл бұрын

    asante sana rais wetu mpendwa Magufuli mtetezi wa wanyonge

  • @lamecktheonest225
    @lamecktheonest2254 жыл бұрын

    Kila lakheri Mungu akutangulie safari hiyo

  • @mosesmzakwe7774

    @mosesmzakwe7774

    4 жыл бұрын

    JPM NAKUPONGEZA SANA HUKUUMBWA KUWA MNAFIKI KWA WALE UNAOWAONGOZA KATIKA ZIARA ZAKO USIKOSEEE KWENDA KIJIJINI MZAKWE TUMEZURUMIWA KIJIJI CHETU.

  • @isackcsimba1436
    @isackcsimba14364 жыл бұрын

    Yan Uyo Salange Mjinga Kwel Kaambiwa Una Shida Gan Yeye Kajitetea Baada Akubal . Mweshimiwa Ujue Alikua Anataka Amwachie Mpunga Mrefu tu . Lakin Sio Mbaya Kajisemea Ukwel

  • @temkezatv4381
    @temkezatv43814 жыл бұрын

    Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI

  • @micamathew6433
    @micamathew64334 жыл бұрын

    Mkuu leo suti iko wap??? Hahahahaaa ahhh natania tu. Kiukweli mimi huwa nafurahi sana punde tu napokuona. Huwa najisikia raha sana. Comando uko juu milele.

  • @J4UPro

    @J4UPro

    4 жыл бұрын

    Mica Mathew huyu niamir jeshi mkuu.

  • @batulimwasisime5601
    @batulimwasisime56014 жыл бұрын

    Hapo ndiyo huwa nakukubari ukiona Bei juu kalime yakwako

  • @travsscott6603
    @travsscott66034 жыл бұрын

    Afande C.I.C U Get our saLute

  • @babaelisha6620
    @babaelisha66204 жыл бұрын

    Hongera,Mh,Rais kwa kuwasikiliza wapiga kila wako, yaani nafikiria ukomo wa uongozi wako ifikapo 2025 Rais ajae atafuata nyayo Zako? Mungu atujulie atupe uzima tuifke 2025.

  • @swahibal-karama145
    @swahibal-karama1454 жыл бұрын

    NAAMINI UNA UWEZO WA KUIREKEBISHA ZANZIBAR MIEZI SITAA TU. MAENDELEO MAZITO YATAKUWA YASHAPATIKANWA.

  • @J4UPro
    @J4UPro4 жыл бұрын

    Piga kazi baba

  • @batulimwasisime5601
    @batulimwasisime56014 жыл бұрын

    BABA KILA UNAKO KWENDA WATU WANAPENDA KUZUNGUMZA NA WEWE MBARALI TULIKOSA NAFASI HII NJOO TENA BABA KIFUKU KIMESOGEA MAMBO NI MENGI

  • @majaliwagibson7295
    @majaliwagibson72954 жыл бұрын

    Piga Kazi Mkuu Tupo Nyuma yako

  • @mhojamsafiri2273
    @mhojamsafiri22734 жыл бұрын

    Madebe yakiisha utapiga nn🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @solomonrein5440
    @solomonrein54404 жыл бұрын

    shetani ashindwee na alegee haswaa

  • @flightclubtanzania1638
    @flightclubtanzania16384 жыл бұрын

    Kwa anayeona wapiga debe ni wazururaji wezi nipe like.

  • @KM-hx8zy
    @KM-hx8zy4 жыл бұрын

    Raïsi anaye tosha haya ku mafrika kabisa

  • @J4UPro
    @J4UPro4 жыл бұрын

    Huyu jamaa anafaaa miaka 1000

  • @mamasandra542

    @mamasandra542

    4 жыл бұрын

    Mungu akutangulie

Келесі