RAIS DKT. MAGUFULI AKIWA NJIANI KUELEKEA JIJINI DODOMA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wananchi mbalimbali waliomsubiri njiani akilekea Mako makuu ya Nchi Jijini Dodoma .
Жүктеу.....
Пікірлер: 37
@abdulihafidhali53794 жыл бұрын
Naomba like zenu mm ni mtu wa mwanzo kukoment Leo magufuli ni mchapakazi sana anaeamini hili agonge like hapa chini 🙏
@athumanfather6080
4 жыл бұрын
Abdulihafidh Ali saanatu
@mosesmzakwe7774
4 жыл бұрын
HAPO SAWA MHESHIMIWA RAIS
@jumayahaya49104 жыл бұрын
Kam unamkubar jpm gong like za nguvu
@simbarajabu41574 жыл бұрын
Asante sana mheshimiwa baba yetu mpendwa
@enockcharles68354 жыл бұрын
Safi sana Mheshimiwa rais, penye ukweli sema ukweli baba. Wengine wanafanya kazi ya wizi, vibaka na shughuli za uvunjifu wa amani wanategemea ukipata watumie fursa hiyo kuonekana hawana makosa. Wakati wa kubembelezana haupo tena. Piga kazi
Mzee KAVAA COMBAT SASA TAREHE 24 wewe jifanye MBUBU UANDAMANE KISA ZITO KAKWAMBIA AU MBOWE
@mhojamsafiri2273
4 жыл бұрын
🤭🤭
@swahibal-karama1454 жыл бұрын
Hapa kiukweli umenimaliza MH:RAISI MAGUFULI WEWE NI RAISI WA PEKEE USIONDOKE MADARAKANI WALA HAKUNA HAJA YA UCHAGUZI.
@lexisavage17704 жыл бұрын
asante sana rais wetu mpendwa Magufuli mtetezi wa wanyonge
@lamecktheonest2254 жыл бұрын
Kila lakheri Mungu akutangulie safari hiyo
@mosesmzakwe7774
4 жыл бұрын
JPM NAKUPONGEZA SANA HUKUUMBWA KUWA MNAFIKI KWA WALE UNAOWAONGOZA KATIKA ZIARA ZAKO USIKOSEEE KWENDA KIJIJINI MZAKWE TUMEZURUMIWA KIJIJI CHETU.
@isackcsimba14364 жыл бұрын
Yan Uyo Salange Mjinga Kwel Kaambiwa Una Shida Gan Yeye Kajitetea Baada Akubal . Mweshimiwa Ujue Alikua Anataka Amwachie Mpunga Mrefu tu . Lakin Sio Mbaya Kajisemea Ukwel
@temkezatv43814 жыл бұрын
Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI
@micamathew64334 жыл бұрын
Mkuu leo suti iko wap??? Hahahahaaa ahhh natania tu. Kiukweli mimi huwa nafurahi sana punde tu napokuona. Huwa najisikia raha sana. Comando uko juu milele.
@J4UPro
4 жыл бұрын
Mica Mathew huyu niamir jeshi mkuu.
@batulimwasisime56014 жыл бұрын
Hapo ndiyo huwa nakukubari ukiona Bei juu kalime yakwako
@travsscott66034 жыл бұрын
Afande C.I.C U Get our saLute
@babaelisha66204 жыл бұрын
Hongera,Mh,Rais kwa kuwasikiliza wapiga kila wako, yaani nafikiria ukomo wa uongozi wako ifikapo 2025 Rais ajae atafuata nyayo Zako? Mungu atujulie atupe uzima tuifke 2025.
@swahibal-karama1454 жыл бұрын
NAAMINI UNA UWEZO WA KUIREKEBISHA ZANZIBAR MIEZI SITAA TU. MAENDELEO MAZITO YATAKUWA YASHAPATIKANWA.
@J4UPro4 жыл бұрын
Piga kazi baba
@batulimwasisime56014 жыл бұрын
BABA KILA UNAKO KWENDA WATU WANAPENDA KUZUNGUMZA NA WEWE MBARALI TULIKOSA NAFASI HII NJOO TENA BABA KIFUKU KIMESOGEA MAMBO NI MENGI
@majaliwagibson72954 жыл бұрын
Piga Kazi Mkuu Tupo Nyuma yako
@mhojamsafiri22734 жыл бұрын
Madebe yakiisha utapiga nn🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@solomonrein54404 жыл бұрын
shetani ashindwee na alegee haswaa
@flightclubtanzania16384 жыл бұрын
Kwa anayeona wapiga debe ni wazururaji wezi nipe like.
Пікірлер: 37
Naomba like zenu mm ni mtu wa mwanzo kukoment Leo magufuli ni mchapakazi sana anaeamini hili agonge like hapa chini 🙏
@athumanfather6080
4 жыл бұрын
Abdulihafidh Ali saanatu
@mosesmzakwe7774
4 жыл бұрын
HAPO SAWA MHESHIMIWA RAIS
Kam unamkubar jpm gong like za nguvu
Asante sana mheshimiwa baba yetu mpendwa
Safi sana Mheshimiwa rais, penye ukweli sema ukweli baba. Wengine wanafanya kazi ya wizi, vibaka na shughuli za uvunjifu wa amani wanategemea ukipata watumie fursa hiyo kuonekana hawana makosa. Wakati wa kubembelezana haupo tena. Piga kazi
AMRI JESHI WA MAJESHI
Ndani ya kombat president
Salute kwako mkuu...
Mungu.akujalie.rais.wetu.tunaona.kz.nzur.taifa.lako.laenda.mbele.uchumi..saf.sana
Wananchi bwana UKIWA UNAONGOPA WANAKUZOMEA 😀😀hawataki UJINGA
Hapa kazi tu. Piga kazi baba JPM
mzee wa zeke halilali
Mzee KAVAA COMBAT SASA TAREHE 24 wewe jifanye MBUBU UANDAMANE KISA ZITO KAKWAMBIA AU MBOWE
@mhojamsafiri2273
4 жыл бұрын
🤭🤭
Hapa kiukweli umenimaliza MH:RAISI MAGUFULI WEWE NI RAISI WA PEKEE USIONDOKE MADARAKANI WALA HAKUNA HAJA YA UCHAGUZI.
asante sana rais wetu mpendwa Magufuli mtetezi wa wanyonge
Kila lakheri Mungu akutangulie safari hiyo
@mosesmzakwe7774
4 жыл бұрын
JPM NAKUPONGEZA SANA HUKUUMBWA KUWA MNAFIKI KWA WALE UNAOWAONGOZA KATIKA ZIARA ZAKO USIKOSEEE KWENDA KIJIJINI MZAKWE TUMEZURUMIWA KIJIJI CHETU.
Yan Uyo Salange Mjinga Kwel Kaambiwa Una Shida Gan Yeye Kajitetea Baada Akubal . Mweshimiwa Ujue Alikua Anataka Amwachie Mpunga Mrefu tu . Lakin Sio Mbaya Kajisemea Ukwel
Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI
Mkuu leo suti iko wap??? Hahahahaaa ahhh natania tu. Kiukweli mimi huwa nafurahi sana punde tu napokuona. Huwa najisikia raha sana. Comando uko juu milele.
@J4UPro
4 жыл бұрын
Mica Mathew huyu niamir jeshi mkuu.
Hapo ndiyo huwa nakukubari ukiona Bei juu kalime yakwako
Afande C.I.C U Get our saLute
Hongera,Mh,Rais kwa kuwasikiliza wapiga kila wako, yaani nafikiria ukomo wa uongozi wako ifikapo 2025 Rais ajae atafuata nyayo Zako? Mungu atujulie atupe uzima tuifke 2025.
NAAMINI UNA UWEZO WA KUIREKEBISHA ZANZIBAR MIEZI SITAA TU. MAENDELEO MAZITO YATAKUWA YASHAPATIKANWA.
Piga kazi baba
BABA KILA UNAKO KWENDA WATU WANAPENDA KUZUNGUMZA NA WEWE MBARALI TULIKOSA NAFASI HII NJOO TENA BABA KIFUKU KIMESOGEA MAMBO NI MENGI
Piga Kazi Mkuu Tupo Nyuma yako
Madebe yakiisha utapiga nn🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
shetani ashindwee na alegee haswaa
Kwa anayeona wapiga debe ni wazururaji wezi nipe like.
Raïsi anaye tosha haya ku mafrika kabisa
Huyu jamaa anafaaa miaka 1000
@mamasandra542
4 жыл бұрын
Mungu akutangulie