Shuhudia namna Rais Samia alivyoingia Ikulu mpya ya Chamwino
Shuhudia namna msafara wa Rais Samia Suluhu Hassan ulivyoingia Ikulu ya Chamwino tayari kwa ufunguzi wa jengo jipya, ambapo rasmi ndio itakuwa Ikulu kubwa iliyopo Makao Makuu ya nchi, Dodoma.
TUKO LIVE #UTV108 na mitandao yetu ya kijamii.
#UzinduziIkuluChamwino #IkuluChamwino #Dodoma #IkuluDodoma #IkuluTanzania
Пікірлер: 25
Kazi kubwa naheshima tumpe rais jonh pombe magufuli bila yeye haya yasingekuwepu mungu mpunguzie laisi wetu magufuli
Viva le prezidaa John Magufuli 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Woow ikulu Iko Sawa kabisa 💯🔥
Inapendeza sana inavutia sanaaa' 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 TANZANIA 🇹🇿 nipazuri saaana' jamani
Wote wanazungumzia Ikulu Ya Chamwino, lakini sio APPRECIATION YA kutosha Ya Maamuzi magumu ya HAYATI J. P. Magufuli kuanzisha Ujenzi wa Ikulu hii...
Rais wa Tanzania 🇹🇿 Samia Anatumia PESA vibaya sana ikiwezekana anitafute nifundishe jissi ya matumizi. Anaumiza nguvu za wanyonge Rais Samia anahitaji maelekezo utumiaji wa pesa
Sasa mama weka juhudi kwenye treni. TRC wanakuharibia maneno yamekuwa mengi mno. Walishataka kutuingiza mkenge wa kutaka kuleta vichwa vya dizeli.
RIP jpm hata kama hawataki ukweli utasimama
@abuumtoa2336
Жыл бұрын
Sawa kabsa ila mama alikuwa na uwezo wa kuitelekeza pia lkn hakfany hivyo so mama pia anastahili pongezi nyng
@leonardpaulo4890
Жыл бұрын
@@abuumtoa2336 pongezi Kwa lipi kama mikataba yote alishasaini magufuli. Lakini yeye kazi yake amekuja kuivunja mikataba tu. Kuhusu ikulu simpongezi chochote samia
@NMS0193
Жыл бұрын
@@abuumtoa2336 well done kwa kufaham kuw siasa ni kupeana kijiti
@jonasdaniel1025
Жыл бұрын
@@leonardpaulo4890 team marehemu utawajia tu,,
@leonardpaulo4890
Жыл бұрын
@@jonasdaniel1025 tunaumia ila BX tu
Merci
❤
R l P . Jembe letu pumzika amani kazi umeiza wengine wanamalizia tu.
Mnapambaaaaaa irii mtuibie
Ndiyo umeonyesha nini sasa hapo? Uzinduzi wenyewe mbona haujaonekana...
mama😂😂😂😂😂mimi niaskali mgambo mg ni sienanamba yakiaskali jambo afande mkuu shikamoo mama tunaumizwa natunateswa sana nawatu mliowapa vibali vyakumiliki makampuni yaulinzi wakishilikiana najeshi rapolisi mkoanimorogoro tunafanyishwakazi biramalipo yetu kwawakati inafika mbakamiezimitatu mtuanadai akiyake alipwi tukikimbiliapolisi iliwatusaidie polis wanakuwaupande wawenyemakampuni wanachokifanya polis wanapewaera ilitusiendekuwadai wanatupigamarungu nakutufungiachumba chamaabusu kicha wanatutishia ukiendelea kudai unapotezwa mama raisi mkuuu wamajeshi yote tutazame sisi jeshi ramgambo kwajicho rapili tunazaraulikasana kwa wenyemakampuni wakishilikiana napolis morogoro mama kuchafu kiraidara ombirangu kwako kwamiaba yaaskaliwote wajeshi lamgambo mama tafutanamna yoyote ili askalipolisi pamoja nawenyemakampini waweze kutueshim nawajue sisi nimiungoni waaskali wakiba wakati tunapoitajika
Hongera Mama Samia.
Mikwala 2
@user-io2rj2yp5d
4 ай бұрын
Acha makasiriko
𝐑.𝐈.𝐏 𝐌𝐀𝐆𝐔𝐅𝐔𝐋𝐈
JENGO LINAONEKANA ZURI NJE LAKINI NDANI WANAJESHI WAMELIPUA, SAMIA MWENYEWE AMEKILI KIWAULOZA MBONA JENGO KUBWA LAKINI NDANI WAMEBANA BANA