BONGO DAR ES SALAAM S02EP01 - IST
Ойын-сауық
Hii ni Episode ya Pili ya SEASON 2 Katika Drama ya #BongoDaresalaam Kutoka kwa #DudeBongo ambayo inaoneshwa kupitia #WasafiTV
Kama Ulikosa Season 1 Basi Hii Si ya Kukosa Kabisa, Ubunifu, Ujanja, Akili Nyingi na Maarifa ya Kuweza Kumtegua Masta Mwenye Dar es Salaam Yake DUDE Umeboreshwa Zaidi
USIKOSE KUTAZAMA KILA JUMANNE #BONGODARESSALAAM KUPITIA WASAFI TV
Пікірлер: 349
nyinyi kweli wasafii nimewakubalii u tube ya bongo yote yenu sas tumewapa anaekubali like zetu tuztenge hapa 🤗🤗🤗
@rehemaaugustino1948
4 жыл бұрын
august mj wamebugi simu moja wanatumia wote
@itaelnanyaroministries7064
3 жыл бұрын
Ivi unavoomba like, ukizipewa unafaidikaje?????
@beleoneo8395
Жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/h2l11buHmMmef8o.html
Duuuhhhh nilijua leo kapatikana kumbe wapiiii.........dude noma xna
Wekeni ule mlio wa bongoooo daresalaaam huwa unaonesha msisitizo sana
@neemamayco3238
4 жыл бұрын
Afu mm mwenyw naupenda kweli
@martindeogratius6547
4 жыл бұрын
@@neemamayco3238 gud
Nilijua jamaa atanasa Leo kumbe watu fireeee
Me natamani kuwaona wale dadaz wawili wa zamani kma unakubaliana na mm gonga like kubwa
Gonga like,japo techno ni moja
wabongo bhna tunafelii wap simu moja wanatumia watu wawilii
@jumashabani5473
4 жыл бұрын
Sasaa tena tecno
@allymngwaya9855
4 жыл бұрын
Simu au cover moja?
@florabaruti8032
4 жыл бұрын
Ally Mngwaya ndio hapo sasa
@issanaseeb7699
4 жыл бұрын
😂😂😁😁😁😁👊👊👊
Kkkķk dude fala sana daaa hatari sana
Acha iitwe Wasafi TV channel number1 Ester African Big up Kwako Dudu na Team nzima ya Bongo Dsm nim enjoy san piga like kama unaipenda wasafi Tv
@ayaotheboss9516
3 жыл бұрын
Mbona cm ya mwarabu na ya huyo dada km zinafanana
@arqamibnarqam.7185
3 жыл бұрын
@@ayaotheboss9516 ili Baki moja dukani
sawa ni mzuri....ila kunavitu waigizaji wanafeli sasa hyo dude kapajuaje hapo nyumban kwa huyo jamaa hapo inaonesha ni jinsi gani wahusika wanafeli
Huyo boss koko nikama mcongo hivi!
@theafricanprincevivecongo8632
4 жыл бұрын
Idi Embete wew una mzidi mkongo nini
dude ni balaaa zitooo
Mwarabu kwenye unga alikwama kinyama yaan
Kama umegundua simu ya Mwarabu na Queen Suzzy ni ile ile, nyoosha mkono 🤣🤣🤣
@juliusuronu8812
4 жыл бұрын
Yani director wao....anafanya makosa ya kizembe kabisa sasa kulikuwa na ulazima gani wa kushare simu? Tanzania ni Tanzania tu
@smileboy8979
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@brandonpoint5212
4 жыл бұрын
nimepause hapo dk ya 7 nije kusoma comments kwanza kama kuna alieligundua hilo
@filbertkapama8824
4 жыл бұрын
Wayu Abdallah 😂😂😂😂
@andreahereman273
4 жыл бұрын
Kondo ktu ulivho kuja kkiangalia au una kaz
Nakubali nakubali sana
Nmempenda huyo mtoto wa mwenye nyumba asee....anajua kuigiza
@barakakasim4724
4 жыл бұрын
Sema umempenda alivo mrembo weweeee
wanao ona simu ni moja katika scene ya muarabu na huyo Demu
@binzid9046
2 жыл бұрын
Nimeona ata mm pia
Dude ingenoga story ungeondoka na harier yao uwaachie ist.
Noma sana wangapi wanataka Dude akamatwe
@akpaekhtb7776
4 жыл бұрын
Peke yako mm sitak
Da nimecheka kweli jamaa ametokea kwenye mkokoteni
Kama umeskia dude anachomoa betri ya mwarabu gonga like hapa
@neykweyamba8052
4 жыл бұрын
Nielekeze jinsi ya kuweka profile ya you tube
@neykweyamba8052
4 жыл бұрын
Nielekeze jinsi ya kuweka profile ya you tube ples
Kazinzur sana na burudi kwakwel na wasaf tv on KZread ila nigependa translate kwa chini kwa kingereza ila niangalia nao iwe wepes kuelewa ma shabiki wengi walugha yakigeni wanaangalia pia asante 😍😍😍
@neemamayco3238
3 жыл бұрын
Ushaur mzuri
Kama umeon cm ya mwalabu na queen zinafanan nip like kubwaaaa ya wasf
@davidmnyagwia5627
4 жыл бұрын
Mbn kweli sjaelewa bado hapo ndo wametuuza Mr
@ktravel3527
4 жыл бұрын
Kwani haiwezekani watu kua na sim sawa?
Gonga like hapo kama upo tayarii kuliamsha DUDEEEEE tuna liamshaa DUDEEEEE.....like
Coco, analafudhi ya kikwetu, *like*
Bongo move hamna lolote askari anakuja badala afuate mhalifu anaanz siasa,,hovyo,,
@chengem.costantine6110
4 жыл бұрын
Igizo hili wewe mbumbumbu...siyo uhalisia
😂😂😂😂😂 dude Ni msenge kinomaaa...eti kavaa na kitambulisho daah !!
Maaskari bado awjakaa vizuri kwenye hualisia
aise nilijua leo kimebuma kumbe we dude ni noma ...
kali ila wamefeli tu pale kwenye kutumia simu moja mwarabu na yule dada hvo umakini unatakiwa kuongezka zaidi
@desamavevo
4 жыл бұрын
Simu sio moja ila zinafanana
@doctorptz1641
4 жыл бұрын
Izo simu ni infinix naona hawatak kutangaza brand ndo maan wameziba na karatasi ila ni sim zinazofanana na ni different
@bone102
4 жыл бұрын
@@doctorptz1641 wange tofautisha kwa kuweka karatasi white na nyingine black
@jacksonkimario6033
4 жыл бұрын
Praygod charles kile kikaratas kama vile cha risit kilichobandikwa nyuma ndo kmetujulisha we angalia vzr
@queensuzy6847
4 жыл бұрын
Kilamtu anacmyake but zinafanana hawakutaka zionyeshe label ndiomaana wakaziba nakaratasi
Wame zingua ao wanatumiaje cm moja au director kazingua
kama umegundua mwarabu na queen suzy wametumia simu moja gonga like twende sawa
@yassinhashim1046
4 жыл бұрын
We jamaa noma mno
@akpaekhtb7776
4 жыл бұрын
Kweliii na mm nimeonaa hyo
@AngelAngel-it7jv
4 жыл бұрын
nlkua natafta koment inayosema kuhusu sim nilike
@mustaphagairo1936
4 жыл бұрын
Wew zaid ya F.B.I
@abdoullateefsappy3359
4 жыл бұрын
@@AngelAngel-it7jv kwa hapo wamepuyanga
Ofcourse umakini unatakiwa lakini simu ni kawaida watu kutumia simu moja hata kama hamjuani si ndiyo zina trend kwenye soko, nimecheka sana hapo kwenye mkokoteni... safi sana
Du sjui nmefata nn huku 2021 natizanama bongo dare salama kitambooo😂😂😂
Jina lenyewe linatishia amaniiii etiii DUDEE 😆😆😆🤣🤣
Mhh ongereni kwa kz nzuri
Dude like naombeni jaman ata na mm leo nioshe nimepata like
@ommie_nyzer
4 жыл бұрын
😂😂
@amininurdin8607
4 жыл бұрын
Hii
Mmecheza vizur character anaendana na movie yenyw ttzo simu mmeweka zimefnana ingekuwa tofaut kidgo
Hahahahahahaha co mchezo hili dude noma
Alie ona simu aweke like hapa
Nakubali sana
Kama umekuwa wakwanza kutazama leo gonga like hapa
kam umeon vibali vya TRA vimebandikwa kweny kioo cha mbele upande wa kulia alafu wanatuambia gari halina vibali gonga like kwangu
@naseebjoseph5330
4 жыл бұрын
Wewe ni mshamba
@mikehjackson8146
4 жыл бұрын
Sio kosa lako
Goma liko powa sana nakupa 100/1000 ila unayumba kukamatwa kiboya nawewe ni intaneshino.way
dah dude we ms**** ni nyoko😂😂😂🙌🙌🙌
@zenombele1798
4 жыл бұрын
K
Simu ya mwarabu na mdada ni smu moja wamebadlishana tuu
@chafumirro5617
4 жыл бұрын
Yap mm pia nimeliona hilo
@abdulndash9214
4 жыл бұрын
Yeah is true
@jumashabani5473
4 жыл бұрын
Umeonaeee
@queensuzy6847
4 жыл бұрын
Kwani tatizo likowapi?
@rashidinyakanyaka5992
4 жыл бұрын
Niliona hilo alafu walijsahau kutoa karatas ila baadae walitoa
Nimekubari sana bongo dar es salaam dude umetisha sana
Maaaaaninaaa dudeee ww nowmaaaa ✌😅😅😅😅✌💪
Nakubali dude we noma duuuhh
Kutumia cm moja watu wawil huo ndo udhaif nlouna ila dude umetisha
Nilipo muona makala nimekumbuka kiss me. , sindi na kendy love you more makala
@erickhaule8680
4 жыл бұрын
Acha kabisa aisee
Leo mimi wa kwanza kukoment. hahaha karibuni na Muyo Tv kwa mada za mahusiano. nakubali sana wasafi na hii Bongo Dar.....
Hahahaaaaaa kwel bongo ni hataaaaari dude umetishaaa safi
Kama umemuona makala wa movie ya #kissme gonga like
Hata dem hajakubal ushaanza ita shemej mwarabu hahahaha
Tisha sana Dude
Mpigaji nae kapigwa leo hahahah
Cmu moja 😂😂
@rahimbukutu6904
4 жыл бұрын
Hakika nimeona
@fahadfahmy
4 жыл бұрын
wamechemsha
@experansia100
4 жыл бұрын
Amna sio moja n tofauti ila ilo karatas limezba brand ya cm zao ..😉
Hivi gari isipopata usajilii wa tra inaweza kuwa na pleti namba kwelii 🤣
@jelasnkoma4240
4 жыл бұрын
Sikiliza vizuri amesema plate number amebandika tu ametembelea miezi sita
@neemamayco3238
4 жыл бұрын
Haiwezekani kwanza hat kutembea nayo noma
@issajohn8688
4 жыл бұрын
Bernard Mdendemi wanachukua plet namba za gari zilizopataga ajali wakazikata
Ooh waaw muarabu, nyoooo mamamae!!
Kwaiyo wote wanatumia tecno Spark 3😂😂km mm tyu
@issanaseeb7699
4 жыл бұрын
Wote naon kampuni ya Tecno😁😁😁😁😂😂😂😂
@rosejasiry8502
4 жыл бұрын
Nan anamkumbuka makala kwenye movie ya sindi na kendi
Hii ya Leo kweli mmeumiza vichwa cs imekuwa ni ngumu ku guess kuwa kitu gani kitafwatia tofauti na ep1. Hongereni sana nimeipenda but Dude ur always killn' me wit dis 25:19 na hicho kisauti na macho, inaonyesha kabisa mtu ameshaingizwa mkenge huko
nakusubiria hapa utanimalizia sendo zangu
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂. Kawaachia manyonya msenge kumamamake. Dude mzito jaman dah
@aloycesteven5998
3 жыл бұрын
Acha matusi sasa kaka huo sio uungwana kwani hauwezi kukomenti bila matusi?
@aloycesteven5998
3 жыл бұрын
Acha matusi sasa kaka huo sio uungwana kwani hauwezi kukomenti bila matusi?
kiburudisho safi sana
😂😂😂 jombaa kachomozaa km anord jane vlee kudadekii hahahahahaahahahaaa
Daaaa bora aise Dude umetuletea Bongo Dar-esalaam 😃😃😃😃😃
@mashototv7510
4 жыл бұрын
Hi
@jennifernduka720
4 жыл бұрын
@@mashototv7510 hi
😂😂😂😂dude hakamatwi tena
Good stuff, top creativity
Hahaha haha dude hatari sana
Dah dude mkali sana
Hahahahah Cm Wametumia Moja Alafu Mnatuchanganya
😂😂😂 dude bhna na hyo mawan dah waniachaga hoi kwl
IST kutoka kutoka sauth Africa jamn
I dont know you, but its August 4th 2018, and the worlds a scary place right now. But I just thought I'd let you know, no matter what race, religion, culture, sex, orientation, or belief you are, from one human to another. I love you. @
Kma umesikia tunduma home weka like zako apo
@lucywarioba2908
4 жыл бұрын
Mmmh hatar
Mjaribu kuboresha bt for sure n tamthiliya mbovu haijawahi tokea
Safi sana Dude👍👍
Kwa hii kasi wasafi wasumbua sana youtube
Aisee dude ni motooooo 😁😁😁😁😁😁😁😁😁
Sasa mbona ule mlio wa bongooooobongo dar salam haupo
@Johnjoo196
4 жыл бұрын
Hiyo season 2 hiyo mzee huwez kucopy kutoka season 1
Mkiigiza muweke na uhalisia,,how comes gari haina vibali hata kimoja alafu ina registration namba🙉🙉🙉
Daa hii baba umeua yaani umebuni alafu ukapiga bonge la jicho
Dude alitakiwa kuondoka na hiyo gari hapo harrier happy njee brother
Motooo Bongo dar es salaam nimotoooooooo🔥🔥🔥🔥🔥🍾🥂 hongera sn Dude kwakazi nzuri
@banjiog5567
4 жыл бұрын
Umetishaa
Make up zenu Usoni mna kuwa kama hulk bana.
Hii filamu ni kali
Ila hapo Dude angeondoka na Gari ili maisha yaendelee!!!
Jmn kesho jmosi maneno yakuambiwa sijui tupo wangapi uku
@payanally_official_18
4 жыл бұрын
Kileo Amani tupo wengi mzee
*Badala ya kutoa mapungufu mengine au kusifu kazi mzuri watu wameona cmu tuu hakuna chengine cmu tuu huo ni ushamba kuangalia mambo ya cmu kwani kuna tatizo gani kutumia cku aina moja?*
Dude hapa umeuwaaa duh😆😆
Hawa jamaa ni 🔥🔥🔥🔥🙌🙌😂
Afisa wa TRA uwa haruhusiwi kufanya kazi peke yake. Hivyo kwa anayejua siyo rahisi kukubali kizembe hivyo. Fanyieni marekebisho popote mtakapo taka ku tumia nafasi ya Afisa wa TRA tena. Lamiza wawe kuanzia mawili na kuendelea.
@rosemaryjoseph2346
2 жыл бұрын
Kwa washamba Kama mm tusiojua na tulio wooga tutakamatwa mpaka kiama
hahahaahhaaaaaaaa dude nimekukubali iyo staili
Mimi nikawanajua dude leo kapatikna aisee
Maascary Maascary...
Jamani 😂😂 😂🤣 😂 dude jizi
Weka mbali na watoto
Dude hujawahi kuumbuka hata siku moja!
dude ni shiiiiiida😂😂😂