BONGO DAR ES SALAAM S02EP01 - IST

Ойын-сауық

Hii ni Episode ya Pili ya SEASON 2 Katika Drama ya #BongoDaresalaam Kutoka kwa #DudeBongo ambayo inaoneshwa kupitia #WasafiTV
Kama Ulikosa Season 1 Basi Hii Si ya Kukosa Kabisa, Ubunifu, Ujanja, Akili Nyingi na Maarifa ya Kuweza Kumtegua Masta Mwenye Dar es Salaam Yake DUDE Umeboreshwa Zaidi
USIKOSE KUTAZAMA KILA JUMANNE #BONGODARESSALAAM KUPITIA WASAFI TV

Пікірлер: 349

  • @augustmj4573
    @augustmj45734 жыл бұрын

    nyinyi kweli wasafii nimewakubalii u tube ya bongo yote yenu sas tumewapa anaekubali like zetu tuztenge hapa 🤗🤗🤗

  • @rehemaaugustino1948

    @rehemaaugustino1948

    4 жыл бұрын

    august mj wamebugi simu moja wanatumia wote

  • @itaelnanyaroministries7064

    @itaelnanyaroministries7064

    3 жыл бұрын

    Ivi unavoomba like, ukizipewa unafaidikaje?????

  • @beleoneo8395

    @beleoneo8395

    Жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/h2l11buHmMmef8o.html

  • @chafumirro5617
    @chafumirro56174 жыл бұрын

    Duuuhhhh nilijua leo kapatikana kumbe wapiiii.........dude noma xna

  • @martindeogratius6547
    @martindeogratius65474 жыл бұрын

    Wekeni ule mlio wa bongoooo daresalaaam huwa unaonesha msisitizo sana

  • @neemamayco3238

    @neemamayco3238

    4 жыл бұрын

    Afu mm mwenyw naupenda kweli

  • @martindeogratius6547

    @martindeogratius6547

    4 жыл бұрын

    @@neemamayco3238 gud

  • @vincentauxerbius7554
    @vincentauxerbius75544 жыл бұрын

    Nilijua jamaa atanasa Leo kumbe watu fireeee

  • @sirbentv39
    @sirbentv394 жыл бұрын

    Me natamani kuwaona wale dadaz wawili wa zamani kma unakubaliana na mm gonga like kubwa

  • @khatibujuma8880
    @khatibujuma88804 жыл бұрын

    Gonga like,japo techno ni moja

  • @abdallahrashid4901
    @abdallahrashid49014 жыл бұрын

    wabongo bhna tunafelii wap simu moja wanatumia watu wawilii

  • @jumashabani5473

    @jumashabani5473

    4 жыл бұрын

    Sasaa tena tecno

  • @allymngwaya9855

    @allymngwaya9855

    4 жыл бұрын

    Simu au cover moja?

  • @florabaruti8032

    @florabaruti8032

    4 жыл бұрын

    Ally Mngwaya ndio hapo sasa

  • @issanaseeb7699

    @issanaseeb7699

    4 жыл бұрын

    😂😂😁😁😁😁👊👊👊

  • @famitoissanawanda6295
    @famitoissanawanda62954 жыл бұрын

    Kkkķk dude fala sana daaa hatari sana

  • @abdulndash9214
    @abdulndash92144 жыл бұрын

    Acha iitwe Wasafi TV channel number1 Ester African Big up Kwako Dudu na Team nzima ya Bongo Dsm nim enjoy san piga like kama unaipenda wasafi Tv

  • @ayaotheboss9516

    @ayaotheboss9516

    3 жыл бұрын

    Mbona cm ya mwarabu na ya huyo dada km zinafanana

  • @arqamibnarqam.7185

    @arqamibnarqam.7185

    3 жыл бұрын

    @@ayaotheboss9516 ili Baki moja dukani

  • @faudhimaulid5678
    @faudhimaulid56784 жыл бұрын

    sawa ni mzuri....ila kunavitu waigizaji wanafeli sasa hyo dude kapajuaje hapo nyumban kwa huyo jamaa hapo inaonesha ni jinsi gani wahusika wanafeli

  • @idiembete6696
    @idiembete66964 жыл бұрын

    Huyo boss koko nikama mcongo hivi!

  • @theafricanprincevivecongo8632

    @theafricanprincevivecongo8632

    4 жыл бұрын

    Idi Embete wew una mzidi mkongo nini

  • @johnmwakalyelye6846
    @johnmwakalyelye68464 жыл бұрын

    dude ni balaaa zitooo

  • @selemanimsahani3919
    @selemanimsahani39194 жыл бұрын

    Mwarabu kwenye unga alikwama kinyama yaan

  • @hamdallahmedia1911
    @hamdallahmedia19114 жыл бұрын

    Kama umegundua simu ya Mwarabu na Queen Suzzy ni ile ile, nyoosha mkono 🤣🤣🤣

  • @juliusuronu8812

    @juliusuronu8812

    4 жыл бұрын

    Yani director wao....anafanya makosa ya kizembe kabisa sasa kulikuwa na ulazima gani wa kushare simu? Tanzania ni Tanzania tu

  • @smileboy8979

    @smileboy8979

    4 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @brandonpoint5212

    @brandonpoint5212

    4 жыл бұрын

    nimepause hapo dk ya 7 nije kusoma comments kwanza kama kuna alieligundua hilo

  • @filbertkapama8824

    @filbertkapama8824

    4 жыл бұрын

    Wayu Abdallah 😂😂😂😂

  • @andreahereman273

    @andreahereman273

    4 жыл бұрын

    Kondo ktu ulivho kuja kkiangalia au una kaz

  • @emmanuelmuhili6812
    @emmanuelmuhili68124 жыл бұрын

    Nakubali nakubali sana

  • @wilfredmgowe9153
    @wilfredmgowe91534 жыл бұрын

    Nmempenda huyo mtoto wa mwenye nyumba asee....anajua kuigiza

  • @barakakasim4724

    @barakakasim4724

    4 жыл бұрын

    Sema umempenda alivo mrembo weweeee

  • @balo_tixer9
    @balo_tixer94 жыл бұрын

    wanao ona simu ni moja katika scene ya muarabu na huyo Demu

  • @binzid9046

    @binzid9046

    2 жыл бұрын

    Nimeona ata mm pia

  • @paschalmkutho4635
    @paschalmkutho46354 жыл бұрын

    Dude ingenoga story ungeondoka na harier yao uwaachie ist.

  • @solomonitv7808
    @solomonitv78084 жыл бұрын

    Noma sana wangapi wanataka Dude akamatwe

  • @akpaekhtb7776

    @akpaekhtb7776

    4 жыл бұрын

    Peke yako mm sitak

  • @hancemagembe8221
    @hancemagembe82214 жыл бұрын

    Da nimecheka kweli jamaa ametokea kwenye mkokoteni

  • @saadsalum3253
    @saadsalum32534 жыл бұрын

    Kama umeskia dude anachomoa betri ya mwarabu gonga like hapa

  • @neykweyamba8052

    @neykweyamba8052

    4 жыл бұрын

    Nielekeze jinsi ya kuweka profile ya you tube

  • @neykweyamba8052

    @neykweyamba8052

    4 жыл бұрын

    Nielekeze jinsi ya kuweka profile ya you tube ples

  • @iamthad7663
    @iamthad76634 жыл бұрын

    Kazinzur sana na burudi kwakwel na wasaf tv on KZread ila nigependa translate kwa chini kwa kingereza ila niangalia nao iwe wepes kuelewa ma shabiki wengi walugha yakigeni wanaangalia pia asante 😍😍😍

  • @neemamayco3238

    @neemamayco3238

    3 жыл бұрын

    Ushaur mzuri

  • @emmanuelsamwel2865
    @emmanuelsamwel28654 жыл бұрын

    Kama umeon cm ya mwalabu na queen zinafanan nip like kubwaaaa ya wasf

  • @davidmnyagwia5627

    @davidmnyagwia5627

    4 жыл бұрын

    Mbn kweli sjaelewa bado hapo ndo wametuuza Mr

  • @ktravel3527

    @ktravel3527

    4 жыл бұрын

    Kwani haiwezekani watu kua na sim sawa?

  • @florahraymond3547
    @florahraymond35474 жыл бұрын

    Gonga like hapo kama upo tayarii kuliamsha DUDEEEEE tuna liamshaa DUDEEEEE.....like

  • @malkiabintimfalme6820
    @malkiabintimfalme68204 жыл бұрын

    Coco, analafudhi ya kikwetu, *like*

  • @iddyrashid4515
    @iddyrashid45154 жыл бұрын

    Bongo move hamna lolote askari anakuja badala afuate mhalifu anaanz siasa,,hovyo,,

  • @chengem.costantine6110

    @chengem.costantine6110

    4 жыл бұрын

    Igizo hili wewe mbumbumbu...siyo uhalisia

  • @aloyceiluminata3650
    @aloyceiluminata36504 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂 dude Ni msenge kinomaaa...eti kavaa na kitambulisho daah !!

  • @anoldbashube7954
    @anoldbashube79543 жыл бұрын

    Maaskari bado awjakaa vizuri kwenye hualisia

  • @officialkamdudu
    @officialkamdudu4 жыл бұрын

    aise nilijua leo kimebuma kumbe we dude ni noma ...

  • @jacksonkimario6033
    @jacksonkimario60334 жыл бұрын

    kali ila wamefeli tu pale kwenye kutumia simu moja mwarabu na yule dada hvo umakini unatakiwa kuongezka zaidi

  • @desamavevo

    @desamavevo

    4 жыл бұрын

    Simu sio moja ila zinafanana

  • @doctorptz1641

    @doctorptz1641

    4 жыл бұрын

    Izo simu ni infinix naona hawatak kutangaza brand ndo maan wameziba na karatasi ila ni sim zinazofanana na ni different

  • @bone102

    @bone102

    4 жыл бұрын

    @@doctorptz1641 wange tofautisha kwa kuweka karatasi white na nyingine black

  • @jacksonkimario6033

    @jacksonkimario6033

    4 жыл бұрын

    Praygod charles kile kikaratas kama vile cha risit kilichobandikwa nyuma ndo kmetujulisha we angalia vzr

  • @queensuzy6847

    @queensuzy6847

    4 жыл бұрын

    Kilamtu anacmyake but zinafanana hawakutaka zionyeshe label ndiomaana wakaziba nakaratasi

  • @lampungaofficial6323
    @lampungaofficial63233 жыл бұрын

    Wame zingua ao wanatumiaje cm moja au director kazingua

  • @abdoullateefsappy3359
    @abdoullateefsappy33594 жыл бұрын

    kama umegundua mwarabu na queen suzy wametumia simu moja gonga like twende sawa

  • @yassinhashim1046

    @yassinhashim1046

    4 жыл бұрын

    We jamaa noma mno

  • @akpaekhtb7776

    @akpaekhtb7776

    4 жыл бұрын

    Kweliii na mm nimeonaa hyo

  • @AngelAngel-it7jv

    @AngelAngel-it7jv

    4 жыл бұрын

    nlkua natafta koment inayosema kuhusu sim nilike

  • @mustaphagairo1936

    @mustaphagairo1936

    4 жыл бұрын

    Wew zaid ya F.B.I

  • @abdoullateefsappy3359

    @abdoullateefsappy3359

    4 жыл бұрын

    @@AngelAngel-it7jv kwa hapo wamepuyanga

  • @NeneMedia
    @NeneMedia4 жыл бұрын

    Ofcourse umakini unatakiwa lakini simu ni kawaida watu kutumia simu moja hata kama hamjuani si ndiyo zina trend kwenye soko, nimecheka sana hapo kwenye mkokoteni... safi sana

  • @zayumar2955
    @zayumar29553 жыл бұрын

    Du sjui nmefata nn huku 2021 natizanama bongo dare salama kitambooo😂😂😂

  • @emmanuelnicholaus8795
    @emmanuelnicholaus87953 жыл бұрын

    Jina lenyewe linatishia amaniiii etiii DUDEE 😆😆😆🤣🤣

  • @issakamangila9113
    @issakamangila91134 жыл бұрын

    Mhh ongereni kwa kz nzuri

  • @sallyraidan6867
    @sallyraidan68674 жыл бұрын

    Dude like naombeni jaman ata na mm leo nioshe nimepata like

  • @ommie_nyzer

    @ommie_nyzer

    4 жыл бұрын

    😂😂

  • @amininurdin8607

    @amininurdin8607

    4 жыл бұрын

    Hii

  • @husseinlaizer7983
    @husseinlaizer79834 жыл бұрын

    Mmecheza vizur character anaendana na movie yenyw ttzo simu mmeweka zimefnana ingekuwa tofaut kidgo

  • @shayopaterini8678
    @shayopaterini86784 жыл бұрын

    Hahahahahahaha co mchezo hili dude noma

  • @mbwanahussein2014
    @mbwanahussein20144 жыл бұрын

    Alie ona simu aweke like hapa

  • @dullahcheckbob9358
    @dullahcheckbob93584 жыл бұрын

    Nakubali sana

  • @godwinjunior297
    @godwinjunior2974 жыл бұрын

    Kama umekuwa wakwanza kutazama leo gonga like hapa

  • @kisshydirector2630
    @kisshydirector26304 жыл бұрын

    kam umeon vibali vya TRA vimebandikwa kweny kioo cha mbele upande wa kulia alafu wanatuambia gari halina vibali gonga like kwangu

  • @naseebjoseph5330

    @naseebjoseph5330

    4 жыл бұрын

    Wewe ni mshamba

  • @mikehjackson8146

    @mikehjackson8146

    4 жыл бұрын

    Sio kosa lako

  • @ramadhanihussen4695
    @ramadhanihussen46954 жыл бұрын

    Goma liko powa sana nakupa 100/1000 ila unayumba kukamatwa kiboya nawewe ni intaneshino.way

  • @kingss6709
    @kingss67094 жыл бұрын

    dah dude we ms**** ni nyoko😂😂😂🙌🙌🙌

  • @zenombele1798

    @zenombele1798

    4 жыл бұрын

    K

  • @finiaskabungulu1239
    @finiaskabungulu12394 жыл бұрын

    Simu ya mwarabu na mdada ni smu moja wamebadlishana tuu

  • @chafumirro5617

    @chafumirro5617

    4 жыл бұрын

    Yap mm pia nimeliona hilo

  • @abdulndash9214

    @abdulndash9214

    4 жыл бұрын

    Yeah is true

  • @jumashabani5473

    @jumashabani5473

    4 жыл бұрын

    Umeonaeee

  • @queensuzy6847

    @queensuzy6847

    4 жыл бұрын

    Kwani tatizo likowapi?

  • @rashidinyakanyaka5992

    @rashidinyakanyaka5992

    4 жыл бұрын

    Niliona hilo alafu walijsahau kutoa karatas ila baadae walitoa

  • @sefukanga964
    @sefukanga9644 жыл бұрын

    Nimekubari sana bongo dar es salaam dude umetisha sana

  • @ahmedsule1520
    @ahmedsule15204 жыл бұрын

    Maaaaaninaaa dudeee ww nowmaaaa ✌😅😅😅😅✌💪

  • @mohamedishabani4167
    @mohamedishabani41674 жыл бұрын

    Nakubali dude we noma duuuhh

  • @tanzaniamycountry9308
    @tanzaniamycountry93084 жыл бұрын

    Kutumia cm moja watu wawil huo ndo udhaif nlouna ila dude umetisha

  • @salehsaleh591
    @salehsaleh5914 жыл бұрын

    Nilipo muona makala nimekumbuka kiss me. , sindi na kendy love you more makala

  • @erickhaule8680

    @erickhaule8680

    4 жыл бұрын

    Acha kabisa aisee

  • @mussakisoma4369
    @mussakisoma43694 жыл бұрын

    Leo mimi wa kwanza kukoment. hahaha karibuni na Muyo Tv kwa mada za mahusiano. nakubali sana wasafi na hii Bongo Dar.....

  • @aljunijohn5395
    @aljunijohn53954 жыл бұрын

    Hahahaaaaaa kwel bongo ni hataaaaari dude umetishaaa safi

  • @idrissaabeidy7984
    @idrissaabeidy79843 жыл бұрын

    Kama umemuona makala wa movie ya #kissme gonga like

  • @shabaninyanda4262
    @shabaninyanda42623 жыл бұрын

    Hata dem hajakubal ushaanza ita shemej mwarabu hahahaha

  • @mussakisoma4369
    @mussakisoma43694 жыл бұрын

    Tisha sana Dude

  • @harunakayega5531
    @harunakayega55314 жыл бұрын

    Mpigaji nae kapigwa leo hahahah

  • @ommie_nyzer
    @ommie_nyzer4 жыл бұрын

    Cmu moja 😂😂

  • @rahimbukutu6904

    @rahimbukutu6904

    4 жыл бұрын

    Hakika nimeona

  • @fahadfahmy

    @fahadfahmy

    4 жыл бұрын

    wamechemsha

  • @experansia100

    @experansia100

    4 жыл бұрын

    Amna sio moja n tofauti ila ilo karatas limezba brand ya cm zao ..😉

  • @bernardmdendemi7347
    @bernardmdendemi73474 жыл бұрын

    Hivi gari isipopata usajilii wa tra inaweza kuwa na pleti namba kwelii 🤣

  • @jelasnkoma4240

    @jelasnkoma4240

    4 жыл бұрын

    Sikiliza vizuri amesema plate number amebandika tu ametembelea miezi sita

  • @neemamayco3238

    @neemamayco3238

    4 жыл бұрын

    Haiwezekani kwanza hat kutembea nayo noma

  • @issajohn8688

    @issajohn8688

    4 жыл бұрын

    Bernard Mdendemi wanachukua plet namba za gari zilizopataga ajali wakazikata

  • @stn4873
    @stn48732 жыл бұрын

    Ooh waaw muarabu, nyoooo mamamae!!

  • @rechojonas508
    @rechojonas5084 жыл бұрын

    Kwaiyo wote wanatumia tecno Spark 3😂😂km mm tyu

  • @issanaseeb7699

    @issanaseeb7699

    4 жыл бұрын

    Wote naon kampuni ya Tecno😁😁😁😁😂😂😂😂

  • @rosejasiry8502

    @rosejasiry8502

    4 жыл бұрын

    Nan anamkumbuka makala kwenye movie ya sindi na kendi

  • @mulastar
    @mulastar4 жыл бұрын

    Hii ya Leo kweli mmeumiza vichwa cs imekuwa ni ngumu ku guess kuwa kitu gani kitafwatia tofauti na ep1. Hongereni sana nimeipenda but Dude ur always killn' me wit dis 25:19 na hicho kisauti na macho, inaonyesha kabisa mtu ameshaingizwa mkenge huko

  • @shareeph2223
    @shareeph22234 жыл бұрын

    nakusubiria hapa utanimalizia sendo zangu

  • @abdulbandidu119
    @abdulbandidu1194 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂. Kawaachia manyonya msenge kumamamake. Dude mzito jaman dah

  • @aloycesteven5998

    @aloycesteven5998

    3 жыл бұрын

    Acha matusi sasa kaka huo sio uungwana kwani hauwezi kukomenti bila matusi?

  • @aloycesteven5998

    @aloycesteven5998

    3 жыл бұрын

    Acha matusi sasa kaka huo sio uungwana kwani hauwezi kukomenti bila matusi?

  • @evaristmollel5584
    @evaristmollel55844 жыл бұрын

    kiburudisho safi sana

  • @dennisjulius1136
    @dennisjulius11364 жыл бұрын

    😂😂😂 jombaa kachomozaa km anord jane vlee kudadekii hahahahahaahahahaaa

  • @jennifernduka720
    @jennifernduka7204 жыл бұрын

    Daaaa bora aise Dude umetuletea Bongo Dar-esalaam 😃😃😃😃😃

  • @mashototv7510

    @mashototv7510

    4 жыл бұрын

    Hi

  • @jennifernduka720

    @jennifernduka720

    4 жыл бұрын

    @@mashototv7510 hi

  • @hkfreeboy9533
    @hkfreeboy95334 жыл бұрын

    😂😂😂😂dude hakamatwi tena

  • @kennedymwagambo7197
    @kennedymwagambo71973 жыл бұрын

    Good stuff, top creativity

  • @BoniKazimoto
    @BoniKazimoto4 жыл бұрын

    Hahaha haha dude hatari sana

  • @wazirmasokola5951
    @wazirmasokola59513 жыл бұрын

    Dah dude mkali sana

  • @bonshayo3458
    @bonshayo34584 жыл бұрын

    Hahahahah Cm Wametumia Moja Alafu Mnatuchanganya

  • @yussuphkazumar6229
    @yussuphkazumar62294 жыл бұрын

    😂😂😂 dude bhna na hyo mawan dah waniachaga hoi kwl

  • @jameschilongo161
    @jameschilongo1614 жыл бұрын

    IST kutoka kutoka sauth Africa jamn

  • @bongomsasa2496
    @bongomsasa24964 жыл бұрын

    I dont know you, but its August 4th 2018, and the worlds a scary place right now. But I just thought I'd let you know, no matter what race, religion, culture, sex, orientation, or belief you are, from one human to another. I love you. @

  • @favourmusic4692
    @favourmusic46924 жыл бұрын

    Kma umesikia tunduma home weka like zako apo

  • @lucywarioba2908

    @lucywarioba2908

    4 жыл бұрын

    Mmmh hatar

  • @ishakamhina8274
    @ishakamhina82744 жыл бұрын

    Mjaribu kuboresha bt for sure n tamthiliya mbovu haijawahi tokea

  • @benimagaya2968
    @benimagaya29684 жыл бұрын

    Safi sana Dude👍👍

  • @deograssiusmatembo3430
    @deograssiusmatembo34304 жыл бұрын

    Kwa hii kasi wasafi wasumbua sana youtube

  • @majotv3405
    @majotv34054 жыл бұрын

    Aisee dude ni motooooo 😁😁😁😁😁😁😁😁😁

  • @hancemagembe8221
    @hancemagembe82214 жыл бұрын

    Sasa mbona ule mlio wa bongooooobongo dar salam haupo

  • @Johnjoo196

    @Johnjoo196

    4 жыл бұрын

    Hiyo season 2 hiyo mzee huwez kucopy kutoka season 1

  • @vaghoghontweki9827
    @vaghoghontweki98273 жыл бұрын

    Mkiigiza muweke na uhalisia,,how comes gari haina vibali hata kimoja alafu ina registration namba🙉🙉🙉

  • @desamavevo
    @desamavevo4 жыл бұрын

    Daa hii baba umeua yaani umebuni alafu ukapiga bonge la jicho

  • @philosophygilbertgaspermol5505
    @philosophygilbertgaspermol55054 жыл бұрын

    Dude alitakiwa kuondoka na hiyo gari hapo harrier happy njee brother

  • @queensuzy6847
    @queensuzy68474 жыл бұрын

    Motooo Bongo dar es salaam nimotoooooooo🔥🔥🔥🔥🔥🍾🥂 hongera sn Dude kwakazi nzuri

  • @banjiog5567

    @banjiog5567

    4 жыл бұрын

    Umetishaa

  • @gibsongeorge8801
    @gibsongeorge88014 жыл бұрын

    Make up zenu Usoni mna kuwa kama hulk bana.

  • @mohamedhamdan4956
    @mohamedhamdan49564 жыл бұрын

    Hii filamu ni kali

  • @staralive9260
    @staralive92602 жыл бұрын

    Ila hapo Dude angeondoka na Gari ili maisha yaendelee!!!

  • @kileoamani6744
    @kileoamani67444 жыл бұрын

    Jmn kesho jmosi maneno yakuambiwa sijui tupo wangapi uku

  • @payanally_official_18

    @payanally_official_18

    4 жыл бұрын

    Kileo Amani tupo wengi mzee

  • @komboomar8275
    @komboomar82754 жыл бұрын

    *Badala ya kutoa mapungufu mengine au kusifu kazi mzuri watu wameona cmu tuu hakuna chengine cmu tuu huo ni ushamba kuangalia mambo ya cmu kwani kuna tatizo gani kutumia cku aina moja?*

  • @seifmassoud2686
    @seifmassoud26863 жыл бұрын

    Dude hapa umeuwaaa duh😆😆

  • @NEXTtz
    @NEXTtz4 жыл бұрын

    Hawa jamaa ni 🔥🔥🔥🔥🙌🙌😂

  • @ttinuga
    @ttinuga4 жыл бұрын

    Afisa wa TRA uwa haruhusiwi kufanya kazi peke yake. Hivyo kwa anayejua siyo rahisi kukubali kizembe hivyo. Fanyieni marekebisho popote mtakapo taka ku tumia nafasi ya Afisa wa TRA tena. Lamiza wawe kuanzia mawili na kuendelea.

  • @rosemaryjoseph2346

    @rosemaryjoseph2346

    2 жыл бұрын

    Kwa washamba Kama mm tusiojua na tulio wooga tutakamatwa mpaka kiama

  • @generallydangote7629
    @generallydangote76294 жыл бұрын

    hahahaahhaaaaaaaa dude nimekukubali iyo staili

  • @theosiyantemi4150
    @theosiyantemi41504 жыл бұрын

    Mimi nikawanajua dude leo kapatikna aisee

  • @stn4873
    @stn48732 жыл бұрын

    Maascary Maascary...

  • @bukurudaudi1543
    @bukurudaudi15434 жыл бұрын

    Jamani 😂😂 😂🤣 😂 dude jizi

  • @kelvingeorgefido7814
    @kelvingeorgefido78144 жыл бұрын

    Weka mbali na watoto

  • @ibrahibakar1167
    @ibrahibakar11673 жыл бұрын

    Dude hujawahi kuumbuka hata siku moja!

  • @wilsonbalama2849
    @wilsonbalama28494 жыл бұрын

    dude ni shiiiiiida😂😂😂

Келесі