MSTAAFU KIKWETE AFICHUA WALIOKATAA IKULU IJENGWE CHAMWINO, MBELE ya RAIS SAMIA AFUNGUKA...

MSTAAFU KIKWETE AFICHUA WALIOKATAA IKULU IJENGWE CHAMWINO, MBELE ya RAIS SAMIA AFUNGUKA...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akishiriki Uzinduzi wa Ikulu mpya ya Chamwino mkoani Dodoma leo tarehe 20 Mei, 2023
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 91

  • @globaltv_online
    @globaltv_online Жыл бұрын

    BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ...

  • @naishiyemollel

    @naishiyemollel

    8 ай бұрын

    Mama ongera kwa kazi nzuri kazi iendelee dodomaaa

  • @denisdamiano726
    @denisdamiano726 Жыл бұрын

    R.I.P Raisi wa TANZANIA JOHN JOSEPH MAGUFULI

  • @marthalusega8948
    @marthalusega8948 Жыл бұрын

    Hongereni wapambanaji wetu wote kuanzia awamu ya kwanza hadi ya sita. Mungu awabariki kwa uzalendo muliofanya kwa Taifa letu.

  • @bcozhenry2698
    @bcozhenry2698 Жыл бұрын

    Pamoja na porojo nyingi, JPM ni chanzo cha tukio lililowakusanya hapo! Nyerere mwenyewe aliishia kwenye idea tu miaka 20+ lakini ndani ya miaka 2 tu ya JPM akaanza kutenda badala ya kupiga porojo. Pumzika baba JPM!

  • @mariamnimbo8394

    @mariamnimbo8394

    Жыл бұрын

    Ni kweli!!!

  • @modestwenceslaus9

    @modestwenceslaus9

    Жыл бұрын

    Hii ni sherehe ya kuzindua Ikulu mpya ya Tanzania na Wala siyo Arobaini ya kumaliza msiba hivyo siyo sahihi kila Jambo linaloendelea hapo kuwataja viongozi waliotangulia mbele ya haki wao wanasiku yao ya kukumbuka.🎉🎉

  • @ndukulusudikucho_

    @ndukulusudikucho_

    Жыл бұрын

    @@modestwenceslaus9 hahahahhahahahh

  • @ndukulusudikucho_

    @ndukulusudikucho_

    Жыл бұрын

    Viongozi wetu wote wamefanya kazi kubwa tena kubwa mno, Ila ninacho kupa tu dondoo Wengine wote wanafanya Maendeleo Kwa kuwa Baba wa Taifa aliweka misingi mizuri mno na hatukupitia walio pitia wengi barani Africa 🌍 kwahiyo tuwape Heshima zao

  • @modestwenceslaus9

    @modestwenceslaus9

    Жыл бұрын

    @@ndukulusudikucho_ Sahihi kabisa Mkuu,tatazo Kuna baadhi ya Wantanzania wanajifanya kutokuona mazuri mengi yaliyofanywa na viongozi walioongoza Nchi hii kabla ya awamu ya Tano,imefikia hatua baadhi yao kutoona umuhimu wa umoja wa Kitaifa aliousimamia Mwl J.K Nyerere ambao ndiyo chachu ya mafanikio yote haya tunayoyaona.

  • @abrahamsamweli-wg8ck
    @abrahamsamweli-wg8ck Жыл бұрын

    Hatutaki sihasa Magufuli ndiye kajenga

  • @abelmbilinyi1262
    @abelmbilinyi1262 Жыл бұрын

    Hongera sana JPM

  • @mariamnimbo8394

    @mariamnimbo8394

    Жыл бұрын

    Site tunaona na tunajua, we are not stupid!!!! JPM ndiye aliyefanya yote haya. Ideas za Nyerere katendea kazi. Kuamua na kufanya those are two different ideas. Kafanya kweli ni JPM!!! RIP JPM!!!!

  • @wilsonsikahanga1761
    @wilsonsikahanga1761 Жыл бұрын

    Mtajipamba sanaaaa lkn wa tz hatutamsahau mwamba JPM❤

  • @hassanmfaume4522

    @hassanmfaume4522

    4 ай бұрын

    Utamsahau kwani sasa unamkumbuka kwa yapi kupotea kwa watu😅😅😅

  • @marianmartin7483
    @marianmartin7483 Жыл бұрын

    JPM lala salama, ww ndie simba wa Yuda. Polojo nyingi sana hapo. Alama zake JPM hazitofutika kwamwe, na ndie aliyewafumbua akili Watanzania.

  • @deogratiuswambura7597
    @deogratiuswambura7597 Жыл бұрын

    Wee ulikua mra batatu akuna rorote mpe magufuli pongezi zake zita mfikia huko aliko pumzika

  • @masanjanyanda9775
    @masanjanyanda9775 Жыл бұрын

    Hahaha kwa hiyo hapo hatujakopa maana tabia zenu kila mkopo mnamtupia jpm usijitetee kikwete hukufanya chochote na hauna mchango ktk hiyo ikulu ifisi ya rais alijega jpm na alianza kuitumia ww ongelea chuo ila nishukulu umekili hela iliyojenga ikulu sio mkopo hii ni kuonyesha miradi yote jpm alijenga bila mkopo aibu yenu wote

  • @japhetkarori5230
    @japhetkarori5230 Жыл бұрын

    Rest In Peace JPM

  • @mariamnimbo8394

    @mariamnimbo8394

    Жыл бұрын

    We miss you JPM!!! GENIUS!!!

  • @zuusaidibushiri5556

    @zuusaidibushiri5556

    Жыл бұрын

    Sijasikia akitajwa jembe kwenye maraisi wastaafu ila sisi twakutaja jpm

  • @victoriabayo7704
    @victoriabayo77047 ай бұрын

    Hongera sana jpm

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli3974 Жыл бұрын

    Hayo ni maono ya jpm mzalendo wa kweli ,wote mlio baki nyinyi wapigaji,

  • @davidsimbeye1548

    @davidsimbeye1548

    Жыл бұрын

    Wajinga tu na waliozaliwa juzi ndo wanafikiri hivyo

  • @mangulimanguli3974

    @mangulimanguli3974

    Жыл бұрын

    @@davidsimbeye1548 magu alikua asemi tu, anatenda, Kina Nyerere na wengineo, walikua maneno mengi vitendo akuna, Hakuna Rais kama magu miaka 5 tu kafanya mambo makubwa

  • @rahmahersi6584
    @rahmahersi6584 Жыл бұрын

    Makao makuu kuhamia Dodoma.. Dodoma hoyeeee Dodoma Hoyer Mwenyeezi Mungu amrehemu Baraka Mwishee...

  • @deogratiuswambura7597
    @deogratiuswambura7597 Жыл бұрын

    ulierekeza ukashindwa magufuli kwa jina maarufu kwa wati huo akiitwa tingatinga akaanzisha kunjenga akaweza ivo apewe sifa zake katika tifa hili

  • @b.warron4631
    @b.warron4631 Жыл бұрын

    Magufuri hii ni kazi yake wewe umekaa miaka 10 ukujenga.. JPM miaka miwili. tu kafanya mambo... sifa ziende kwa magu sio wewe.. wewe ulikuwa unakula bata tuuu..unajisifia tuu ukufanya lolote acha kupiga poyoyo.. kazi ni JPM

  • @SaidihusseinAthumani-dy9kw

    @SaidihusseinAthumani-dy9kw

    Жыл бұрын

    Uwe na nidhamu ww na viongozi wetu

  • @kefamwakipesile275
    @kefamwakipesile275 Жыл бұрын

    Jpm

  • @zahiribrahim8319
    @zahiribrahim8319 Жыл бұрын

    Alhamdulillah ❤❤❤❤❤❤🎉

  • @ZuberiNguhuni-ch9tk
    @ZuberiNguhuni-ch9tk Жыл бұрын

    Asanteee mama

  • @mathewtwimanye92
    @mathewtwimanye92 Жыл бұрын

    Sio kila kichwa ndani kina madini, mzee anatafuta kujichomeka ktk historia hii hata kusema ukweli kwamba hujafanya kitu nakumsifia mwenzako hasa jpm ni historia, eti ktk kipindi changu niliamua .... Hii yeyote anaweza kuamua issue ni uthubutu ktk vitendo mzee hizo zingine ni story tu bila nyama ha ha ha ha

  • @j.c.maxima816

    @j.c.maxima816

    Жыл бұрын

    'Katika kila Awamu, kuna yaliyofanyika,,, maana uongozi ni kazi ya kupokezana kijiti ... Unafanya unamalizia, anakuja mwenzako anafanya anasogeza mbele, mpaka mnafika mwisho wa safari'... Jamhuri ya Muungano wa Tz, kazi iendelee!

  • @ahmadmpinzire5649

    @ahmadmpinzire5649

    Жыл бұрын

    Nyie ndio zao la LGBTQ,hivi kweli kuna mtanzania anaweza andika upumbavu dhidi ya Kikwete km vile hakufanya kitu? Ni kweli hakuna mkamilifu lkn sio kufunika kila jambo zuri amefanya huyu mzee, Sisi tulikuwepo na tumesoma kwa huyu mzee,tuliona mazuri yake na mabaya yake sio kumuandika km vile hakuna alichofanya kenge ww, Huku ulipo lolote likukute,umbwa koko wewe

  • @TheSalimMash

    @TheSalimMash

    Жыл бұрын

    @@ahmadmpinzire5649 safi sana kaka! Mshenzi anachuki binafsi huyu umbwa

  • @lucasmgalula8022

    @lucasmgalula8022

    Жыл бұрын

    Daaah wewe bwana nooma umeongea point

  • @modestwenceslaus9

    @modestwenceslaus9

    Жыл бұрын

    @@ahmadmpinzire5649 Vijana hao hawajitambui na hawajui tulikotoka,tuko wapi na tunaelekea wapi.

  • @richardnott4403
    @richardnott4403 Жыл бұрын

    Jpm na nyerere

  • @tabarokaijage3257
    @tabarokaijage3257 Жыл бұрын

    SHERIA YA THE CAPITAL CITY ACT YA MWAKA 2018 ILISAINIWA NA MAGUFULI... IKULU YENYEWE IMEJENGWA NA MAGUFULI

  • @TheSalimMash

    @TheSalimMash

    Жыл бұрын

    Kwahiyo! Nonsense 😇

  • @prosperjuma905

    @prosperjuma905

    Жыл бұрын

    Wenzio wanangumzia mchakato mzima. Kuanzia maamuzi hadi ukamilifu wake

  • @marianmartin7483
    @marianmartin7483 Жыл бұрын

    Nchi hii unafki mwingi sana, aliyefanya vizuri anastahili sifa zake. Na ambaye hajafanya vizuri nae anastahili ambiwe ukweli.

  • @joerichards1000
    @joerichards1000 Жыл бұрын

    I love ❤ TZ

  • @mabugamussa2860
    @mabugamussa2860 Жыл бұрын

    JPM oyee

  • @deogratiuswambura7597
    @deogratiuswambura7597 Жыл бұрын

    Mzee ulishindwa magufuli aka weza

  • @kefamwakipesile275
    @kefamwakipesile275 Жыл бұрын

    JPM

  • @FurahaEliya-df5fo
    @FurahaEliya-df5fo Жыл бұрын

    Mbona unamwita kama vile sijui ni nanii wako.......🏃🏃🏃🏃

  • @basitv2299
    @basitv2299 Жыл бұрын

    Porojo na siasa sizitofautishi,ziko nyingi ameziongea ila ukweli...JPM ni mwamba. Kwanini mnashindwa kusema kwa ukubwa aoichofanya JIWE?.roho mbaya mnazo ninyi mnaoishi miaka mingi

  • @kefamwakipesile275
    @kefamwakipesile275 Жыл бұрын

    Magufuli the great

  • @rebekamutta3033
    @rebekamutta3033 Жыл бұрын

    Powerful speech from former President Dr. Jakaya Mrisho Kikwete. 💯💯💯👏👏👏

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli3974 Жыл бұрын

    Maneno mbali vitendo mbali, Jpm kafanya vitendo nyinyi blabla tu ata uyo mama ana lolote yy kajenga nn chake zaidi ya kuuza Nnchi,

  • @josephmuchiri3180
    @josephmuchiri3180 Жыл бұрын

    r.i.p Magufuri

  • @habibashabani5689
    @habibashabani5689 Жыл бұрын

    Mpeni maua yake jpm mwamba ni dhahabu kwetu Tanzania

  • @jacobsimkoko3096
    @jacobsimkoko3096 Жыл бұрын

    Mama ni Muungwana sana

  • @jumaigoti7541
    @jumaigoti7541 Жыл бұрын

    Magufuri kidume .uwazi ulifanya Nini ?babwajababwaja tu utoke hapo. Ulikuwa mpigaji tu.

  • @victorishengoma4599
    @victorishengoma4599 Жыл бұрын

    RIP chuma

  • @user-xo4ds2bh6s
    @user-xo4ds2bh6s Жыл бұрын

    Mwalimu Nyerere alitamka "Mpumbavu ni yule asiyetaka kujifunza kutoka mataifa mengine" Kwa Mhe kusema wamejifunza kutoka Malaysia kuijenga Ikulu, ndio usahihi wa ustaarabu wa mataifa yaliyoendelea. China inasema imefanikisha kwa kufuata nyayo za waliopita. Tanzania mnapendeza kwa kukamilisha ndoto za Mwalimu Nyerere na wale waliotutangulia. Mungu awabariki Watanzania

  • @MeenaHassan-fd9vv
    @MeenaHassan-fd9vv9 күн бұрын

    Nikupoteza muda kumsikiliza jk, Tangu tanzania imepata uhuru marais ni wawili tuuu jpm na Nyerere

  • @paschalkassonta9737
    @paschalkassonta9737 Жыл бұрын

    Mhhhhh!

  • @deogratiuswambura7597
    @deogratiuswambura7597 Жыл бұрын

    Hayo hupashwi kuongea wewe anapashwa aongee rais sio wewe

  • @josephmuchiri3180
    @josephmuchiri3180 Жыл бұрын

    Anaongea nn uyu

  • @kostajoseph5811
    @kostajoseph5811 Жыл бұрын

    Mungu akupe maisha marefu mzee wetu kwa maneno mazuri ya kumpa moyo Rais wetu aliyepo marakan dr Samia Suluhu Hassan

  • @bakarimtange570

    @bakarimtange570

    Жыл бұрын

    Waendelee kutunyonya cndio

  • @kostajoseph5811

    @kostajoseph5811

    Жыл бұрын

    @@bakarimtange570 kwan ww una maziwa

  • @deogratiuswambura7597
    @deogratiuswambura7597 Жыл бұрын

    iliandikwa na magufuli mbona unaruka kumtaja magifuri

  • @florencemeza6540

    @florencemeza6540

    Жыл бұрын

    Hawezi kumtaja moyo unamusuta

  • @bakarimtange570
    @bakarimtange570 Жыл бұрын

    Kwenda zako fisadi mkubwa ww

  • @mbwanamungia9921
    @mbwanamungia9921 Жыл бұрын

    Yote ni mazuri tu

  • @bakarimtange570
    @bakarimtange570 Жыл бұрын

    Nmeskia tetesi limonti IPO msoga

  • @kaswahilianatoli4173
    @kaswahilianatoli4173 Жыл бұрын

    Sio kazi yake mseme aliefanikisha hilo

  • @florencemeza6540

    @florencemeza6540

    Жыл бұрын

    Hawezi kumusema

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary8932 ай бұрын

    Bra magu nyinyi msinge weza

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary8932 ай бұрын

    Sku nikiwa rais Mimi nitaweka mabago yenye picha ya jpm inchi nzima maana bra yeye kra kitu kingekuwa hakuna

  • @jiweg-unit5408
    @jiweg-unit5408 Жыл бұрын

    Jk alikuwa poteza bovu he did nothing when he was a president

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Жыл бұрын

    UJENZI WA IKULU YA DODOMA HILI JAMBO KILA KIONGOZI ANAINGIA KTK HISTORIA NA WATANZANIA WOTE ,JAPO KILA MTU ANASEHEMU YAKE KTK KUHAKIKISHA HILO LINATIMIA NA LEO LIMETIMIA japo nashangaa sana Kuna watu wanapenda kubagua viongozi KWAMBA huyu kafanya huyu hajafanya mnayatoa wapi

  • @kefamwakipesile275
    @kefamwakipesile275 Жыл бұрын

    Jpm

  • @abrahamuisrael6161
    @abrahamuisrael6161 Жыл бұрын

    JPM

  • @miltonjohn9779
    @miltonjohn97797 ай бұрын

    Huyu delila na kiwete wa mzoga siwapendi, ila ipo siku na nyie mtanyamazishwa na Mungu

  • @keiferuz4869
    @keiferuz4869 Жыл бұрын

    Jpm

  • @kefamwakipesile275
    @kefamwakipesile275 Жыл бұрын

    Jpm

  • @kefamwakipesile275
    @kefamwakipesile275 Жыл бұрын

    Jpm

  • @kefamwakipesile275
    @kefamwakipesile275 Жыл бұрын

    Jpm

  • @kefamwakipesile275
    @kefamwakipesile275 Жыл бұрын

    Jpm

  • @kefamwakipesile275
    @kefamwakipesile275 Жыл бұрын

    Jpm

  • @kefamwakipesile275
    @kefamwakipesile275 Жыл бұрын

    Jpm

  • @kefamwakipesile275
    @kefamwakipesile275 Жыл бұрын

    Jpm

  • @kefamwakipesile275
    @kefamwakipesile275 Жыл бұрын

    Jpm

  • @silivesterjoachim4954

    @silivesterjoachim4954

    Жыл бұрын

    Jpm

Келесі