No video

🔴

🔴#Live: DC MAGOTI ALIVYOTATUA KERO za WANANCHI PAPO kwa HAPO - AWAPA MAAGIZO WATUMISHI wa UMMA"....
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 32

  • @globaltv_online
    @globaltv_onlineАй бұрын

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @MichaelKingazi-wm7xj
    @MichaelKingazi-wm7xj25 күн бұрын

    This is such the kind how the leader hes supposed to do.this dc is doing very wonderful job.God bless you too hon Magoti.

  • @agustinogodfrey6583
    @agustinogodfrey6583Ай бұрын

    Dc upo vizuri Mungu akulinde katika majukumu yako

  • @HamadaZubeirTahir
    @HamadaZubeirTahirАй бұрын

    Huyu Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Wallahi ni mzuuri

  • @geofrypaul9960
    @geofrypaul9960Ай бұрын

    Nilikuwa na ugum wa kuweka comment yangu lakini ukweli mh magoti yupo vizuri, amekuwa mtu wa mhimu sana na amechukua nafasi ya Mkuu wa mkoa. Mkoa wa pwani sahivi Mkuu wa mkoa hajulikani anajulikana Mkuu wa wilaya.

  • @WazirJuma-gd5oo
    @WazirJuma-gd5ooАй бұрын

    DC uko vzri sana mungu akujalie unajitahidi Sana. Wewe na makonda mungu awabariki mnawajali watu wenu mnao waongoza. Kisarawe mmepata mtu

  • @sautiyamunguduniani4620
    @sautiyamunguduniani4620Ай бұрын

    Respect mkuu ukovizur sana na MUNGU wa mbinguni ☝️ akulinde na kukubaliki

  • @alexkonza4506
    @alexkonza4506Ай бұрын

    Mheshimiwa speaker! Uko vizuri tuendelee

  • @user-ig5yn4zp2u
    @user-ig5yn4zp2uАй бұрын

    Kitu ambacho nimekufatilia kindakindaki mkuu wa wilaya magoti wewe sio mnafiki kabisa mwenyezi mungu akuongoze ktk kazi yako.

  • @hashimchepa
    @hashimchepa23 күн бұрын

    Nafasi ya joketi sasa magoti Kaja kuhiziba sahii sasa kisarawe munabati kupata dc waziri ongereni sana

  • @RutaEmmaMachumu
    @RutaEmmaMachumuАй бұрын

    Aisee Kisarawe mmepata Jembe

  • @buberwarugaiganisa5190
    @buberwarugaiganisa5190Ай бұрын

    Wananchi wa Kisarawe ni mwendo wa furaha kwa Dc Magoti

  • @JumaAbdallah-gn5qu
    @JumaAbdallah-gn5quАй бұрын

    Dc Sina mengi 👍👍👍👍🤝🤝🤝🤝👍👍👍👍🤝🤝🤝👍👍👍👍

  • @AlphonceMagessa
    @AlphonceMagessaАй бұрын

    Mhe magoti uko vizuri chapa kazi

  • @RamadhanHamis-pz7gq
    @RamadhanHamis-pz7gqАй бұрын

    Very good

  • @user-bs7cw1oi6z
    @user-bs7cw1oi6zАй бұрын

    Mmh,rais tunaomba DC magoti aje nyamagana nitafurahi kabisa , jamani kaka magoti aje nyamagana ,asanteni

  • @mapereceofficial-ng9nn
    @mapereceofficial-ng9nnАй бұрын

    akili kubwa inahitajika

  • @user-bs7cw1oi6z
    @user-bs7cw1oi6zАй бұрын

    Kwenye wengine lazima mmoja abarikiwe,kaka Mungu amekuona kabisa ,DC huyo ni rais samia ana roho nzuri, Enzi za magufuri huyo

  • @SAMISAI.
    @SAMISAI.Ай бұрын

    DC: Anakuchezesha ngoma? Mzee:Anichezeshe ngoma vp tena! 😂😂😂😂😂😂

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidhАй бұрын

    Nilishangaa nicki wa pili kupewa hii wilaya yule ni msanii wp na wp ktk uongozi

  • @MonayLai
    @MonayLaiАй бұрын

    Mhhh nchi hii kila kitu kinaingizwa siasa 😃

  • @JumaBakari-ld5rr
    @JumaBakari-ld5rrАй бұрын

    Huyu ndio awe mkuu wa mkoa

  • @salumudir9087
    @salumudir908727 күн бұрын

    Namkubali cn napenda awe mkuu wa mkoa

  • @MonayLai
    @MonayLaiАй бұрын

    Dc kama maigizo vile ............. 😄😄Benki wanawezaje kutokuwa na vikundi hewa na wakakopesha pasipo tatizo?? ............... Ni dili za watu hizo kutoka kwa hao hao wanaokopesha ndio wanaundaga vikundi hewa.

  • @machujamathias7165
    @machujamathias7165Ай бұрын

    Apandishwe cheo, watuletee awe mkuu wa mkoa wa mwanzaa ,kijana mwenzetu

  • @solomondanny-1507
    @solomondanny-1507Ай бұрын

    Magoti wewe ni msanii aisee.

  • @nicodemashaggite8429
    @nicodemashaggite8429Ай бұрын

    Homboza hoyeeeee

  • @Emmanuelmwafugo-xo7xl
    @Emmanuelmwafugo-xo7xlАй бұрын

    DC wa mfanoooo

  • @kasimramadhani1502
    @kasimramadhani1502Ай бұрын

    DC wa mfano tz

  • @bundaman8542
    @bundaman8542Ай бұрын

    😅😅😅😂😂

  • @matthewmichaelsylvester5612
    @matthewmichaelsylvester5612Ай бұрын

    JEMBE

  • @alexjulius54
    @alexjulius54Ай бұрын

    😂

Келесі