No video

LIVE | UZINDUZI WA IKULU YA CHAMWINO, DODOMA - 20/05/2023

Fuatilia Matangazo Mbashara ya Uzinduzi wa Jengo Jipya la Ikulu ya Chamwino Dodoma, ambapo Rais Samia Suluhu Hassan anaongoza shughuli hiyo.
#AzamTVUpdates #AzamNews

Пікірлер: 12

  • @akilichristopher3202
    @akilichristopher3202 Жыл бұрын

    Hongera sana bella

  • @musamshema7838
    @musamshema7838 Жыл бұрын

    Ilitakiwa picha za JPM ziwekwe kwenye kilakona ya Dodoma

  • @tamimumzamilu2726
    @tamimumzamilu2726 Жыл бұрын

    Hongera watanzania

  • @kubewaiddy9088
    @kubewaiddy9088 Жыл бұрын

    Watu wa bustani mbona wanafeli hapo panatakiwa papigwe maji pawe kijani

  • @abdilahjuma2493
    @abdilahjuma2493 Жыл бұрын

    Nafikiri huku ndani pasingeoneshwa sio kila mtu ajue ikulu ikoje

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi82412 ай бұрын

    Mrisho Mpoto hajamueleza vizuri bali kamsema kapunje kadogo msukuumaji wa maono ya Nyerere ambaye ni Magufuli. sikutegemea kwa kweli

  • @MakameAbdallah-wn3hc
    @MakameAbdallah-wn3hc Жыл бұрын

    Nurdin umemmaliza Marehemu Marini Hassan Kwa atakae sikia simulizi hii katikati bila kuanza mwanzoni si hasha akajiuliza ni kipindi kilichorekodiwa enzi za uhai wa marehemu (Marini)

  • @selemanihamisi6648

    @selemanihamisi6648

    Ай бұрын

    jamaa anajuaa kunogeshaa simuliziii nimependaa

  • @musamshema7838
    @musamshema7838 Жыл бұрын

    AHSANTE JPM,,KAZINZURI YA HAYATI MAGUFULI, NCHIYETU INGEKUWA NA MARAISI KAMA JPM INGEFIKAMBALISANA.

  • @kambamazig02024
    @kambamazig020245 ай бұрын

    Nyerere was a diplomacy, alipoamua matawi yote ya TANU kulijadiri alikuwa ana-wa-empower watanzania wote. Baadhi ya watu wanafikiri yeye binafsi ndiye aliyefanya uamuzi huo na wengi hawakumwelewa na wakiwemo baadhi ya wapinzani wapiga madebe tupu. Mwinyi, Mkapa, na Kikwete walitoa mchango wao lakini wakashindwa kufikia pale JPM aliweza kufikia na Mama anamalizia yale yalianzishwa na mwasisi wa nchi yetu. Nashukuru mama umeweza kumuenzi JPM na kuimaliza hii kazi. Dodoma ni pazuri sana, watu sasa hivi ukiwaambia warudi Dar hawapendi kabisa.

  • @kaisimwantindili397
    @kaisimwantindili397 Жыл бұрын

    ASNTE, JPM KWA NDOTO ZAKO, MWENDO UMEUMALIZA NDOTO UMEITEKELEZA ,,

  • @lulurubby2235
    @lulurubby2235 Жыл бұрын

    Huyu anajikutaga kama rais