MHE.RAIS DKT JPM ACHUKUA FOMU YA KUOMBA RIDHAA YA KUGOMBEA URAIS CCM

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akikabidhiwa Fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kugombea Urais kwa Tiketi ya CCM katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika baadae mwaka huu kutoka kwa Katibu Mkuu wa CCM Dkt. Bashiru Ally Kakurwa katika Ofisi za Makao Makuu ya CCM White House Dodoma leo tarehe 17-06-2020

Пікірлер: 49

  • @mswanawamswana3129
    @mswanawamswana31294 жыл бұрын

    Mr. President Sir. You look energetic and young at your age. I always pray for you. God bless you God bless Tanzania

  • @nyanda427
    @nyanda4274 жыл бұрын

    I love this man of God

  • @godlovemgoji4357
    @godlovemgoji43574 жыл бұрын

    Asante Mungu kwa Kumpa Mh.J.Pombe Magufuli,Mimi tayari leo leo tarehe 19-06-2020 nimeshaenda Kumdhamini ,TUNATEKELEZA . KILA LA KHERI MWKT WETU. Godlove J.Mgoji MANYARA.

  • @omarisjuma3198
    @omarisjuma31984 жыл бұрын

    Kila la kheir Baba Magu mollah akupe afya njema urudi tena 2021 Inshallah basi mm nitakuwa mzamini wa hamzamini wako wa Hamsini.

  • @josephmlela9757
    @josephmlela97574 жыл бұрын

    Mungu akutangulie DR. Mh Jpjm

  • @luckygmdegela8477
    @luckygmdegela84774 жыл бұрын

    MWENYEZI MUNGU Akujalie na akushindie dhidi ya adui zako maana ni wengi mno ,tuna jivunia kuwa na wewe pia tunakuombea kwa MUNGU ushinde tena kwa kishindo utimize yale yote uliyo anzisha na utufikishe sehemu nzuri kama MUNGU apendavyo yeye.

  • @ozacsic2832
    @ozacsic28324 жыл бұрын

    My president is very humble coz normally Hiyo form ilibidi imfuate ikulu. God bless u boss. Umepita mazee wangu

  • @athumaniomari2833
    @athumaniomari28334 жыл бұрын

    Asante sana mwenyezi MUNGU Asante sana mwenyezi MUNGU mkuu

  • @aminamtikaonlinetv7305
    @aminamtikaonlinetv73054 жыл бұрын

    Mh Rais,umepita kwa kishindo kikubwa Sana, watanzania tunakupenda Sana na hatuna hofu na wewe yupo pamoja songa mbele. Baba tunakuombea Sana usiku na mchana uwe na amani Rais wetu. Kuna nchi wanalia,ivo watanzania Sasa ni wakati wa kumshukuru mungu na kumuombea maisha marefu rais wetu.

  • @SuperKibwana
    @SuperKibwana4 жыл бұрын

    Mungu Mtukufu amlinde Mh Rais Wetu. Nchi bado inamuhitaji na sisi watanzania tunauhitaji.

  • @josephholela136
    @josephholela1362 жыл бұрын

    Mungu akulinde Sana huko uliko

  • @elminakalunga4030
    @elminakalunga40304 жыл бұрын

    Our President. A Man of God like Jushua of the Bible; firm and credit.

  • @huhesodigitaltv815
    @huhesodigitaltv8154 жыл бұрын

    Hongera sana Mkuu

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema4 жыл бұрын

    Mungu akutangulie Mr. President. Himo, Kilimanjaro tunakusubiri kwa hamu kubwa.

  • @fatmamazige865
    @fatmamazige8654 жыл бұрын

    Mungu akubariki upite tena.

  • @emmanuelredman503
    @emmanuelredman5034 жыл бұрын

    Hapa kazi tu

  • @lexisavage1770
    @lexisavage17704 жыл бұрын

    asante sana baba yetu mpendwa wetu rais Magufuli tunakupenda sana tunafurahi sana na asante kwa kukubali kugombea urais Mwenyezi Mungu akubariki na akulinde na familia yako asante Mungu

  • @lexisavage1770
    @lexisavage17704 жыл бұрын

    rais wetu mpendwa Magufuli Mimi Joanne nakudhamini rais wangu mpendwa

  • @tusajigwemathias3758
    @tusajigwemathias37584 жыл бұрын

    Umepita baba weeeeee wanyakyusa tunasema ungapasyaghaaaa

  • @natafutapesa9678

    @natafutapesa9678

    4 жыл бұрын

    Naloliiii dada ghwangu

  • @tusajigwemathias3758

    @tusajigwemathias3758

    4 жыл бұрын

    Uketie mama kyala antule itolo

  • @lexisavage1770
    @lexisavage17704 жыл бұрын

    tunaomba Mwenyezi Mungu akupitishe na tunaamini Watanzania watakuchagua umewafanyia mema mengi tunakupenda sana

  • @apostlejohn.k.mutukaa.k.aj2837
    @apostlejohn.k.mutukaa.k.aj28374 жыл бұрын

    Mbingu zimekuchagua tayari. Wananchi watajaza karatasi tu [√]

  • @samjoseph3954
    @samjoseph39544 жыл бұрын

    October nitarudi mbeya kukupigia kura tu mzee na kurudi zangu tena lizaboni.

  • @pancrasskazimoto4094
    @pancrasskazimoto40944 жыл бұрын

    Tunakuamini Rais wetu Sisi tushakudhami Mkuu tunaimani Vijana wako wazalendo tupo tunajitoa kwa ajili yako tunaimani uatatuajili tuu Mkuu we ndie Rais wetu wawanyonge.

  • @temkezatv4381
    @temkezatv43814 жыл бұрын

    "Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI

  • @aviationwonders7575
    @aviationwonders75754 жыл бұрын

    ❤❤❤🙏🙏🙏🙏

  • @athumaniomari2833
    @athumaniomari28334 жыл бұрын

    Asante sana mwenyezi MUNGU

  • @josephholela136
    @josephholela1362 жыл бұрын

    Pumzika kwa amani

  • @mkamariamstaarabu4931
    @mkamariamstaarabu49314 жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥

  • @fatmamazige865
    @fatmamazige8654 жыл бұрын

    Hadi laha

  • @francismukirya9611
    @francismukirya96114 жыл бұрын

    Kutoka Mara Mimi Francis Mukirya Kwisema Senda Nina mdhamini mwanachama mwenzangu Ndg Dkt John Pombe Joseph Magufuli Wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa ajili ya kuchaguliwa kupeperusha bendera ya Chama chetu kwenye uchaguzi Mkuu Wa Rais Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. 1Samuel 2:35

  • @Satier47
    @Satier4711 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤😢

  • @raymondanthony6207
    @raymondanthony62074 жыл бұрын

    Mshua Master

  • @issakabwende5083
    @issakabwende50834 жыл бұрын

    Mzee magu kwa utan utan tuu

  • @natafutapesa9678
    @natafutapesa96784 жыл бұрын

    Rais wa Africa na dunia sisi kama wananchi wako tunakuomba kwamba usijisumbue kuzunguka kufanya kampeni we pumzika tu sisi tutakuchagua

  • @goddymassawe213

    @goddymassawe213

    4 жыл бұрын

    Kabsa mzee wetu wepumzkatuu...wendo raisi wetu akuna mwingine..jembe letu laukweli...

  • @aviationwonders7575
    @aviationwonders75754 жыл бұрын

    Tuna bahati saaaaana 👌👌

  • @godfreylyimo4177
    @godfreylyimo41774 жыл бұрын

    Rais wetu Mungu anajua ulivyojitoa kwa Taifa letu kila Mtz leo anatamani kukudhamini..2015 ulikosa support kbs...Ushauri wangu usiruhusu wanaotaka kutumia jasho lako kupata ubunge. Tumeona wanaonda kukudhamini kwa Camera..No wewe sasa sio wa wanaharakati hao wachache wanaotaka kujinufaisha leo. Wanawake,wazee na wamyonge ulirudisha tumaini la maisha yao ni mara 100 ya 250 kila Mkoa..Mungu akupe afya njema na uhai ndio ili utufikishe sawa sawa na maono yako

  • @saidomar6806
    @saidomar68064 жыл бұрын

    Kura zote kw Magufuli mpenda maendelea na mpenda watu wake🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @emanuelshayayi54
    @emanuelshayayi544 жыл бұрын

    Tayari nimekudhamini mh.Rais.

  • @jordanmachaninga330
    @jordanmachaninga3304 жыл бұрын

    Nasubiri kwa hamu kukupa kura ya ndiyo

  • @sellemaninjimbwi7002
    @sellemaninjimbwi70024 жыл бұрын

    Mr president njoo na huku pwani tukudhamini

  • @mmaulid4532
    @mmaulid45324 жыл бұрын

    Yaani wewe hata usimalize mda wakuache tu miaka yote. Mola yu pamoja nawe

  • @nsikanyigwinshimpinga9132
    @nsikanyigwinshimpinga91324 жыл бұрын

    Sifa za udhamini ni zipi nikudhamini tu baba yangu

  • @charlesmvula7313

    @charlesmvula7313

    4 жыл бұрын

    Kadi ya uanachama ya ccm tu mfate mjumbe wako washina anayoform ujaze

  • @temkezatv4381
    @temkezatv43814 жыл бұрын

    "Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI

  • @justinerespicius755

    @justinerespicius755

    4 жыл бұрын

    Kweli kabisa wananchi tunayo nguvu yakuibadlisha katiba na huu ndo muda mwafaka wa kuunganisha nguvu kwa pamoja na kuibadilsha katiba

  • @francismukirya9611
    @francismukirya96114 жыл бұрын

    Kutoka Mara Mimi Francis Mukirya Kwisema Senda Nina mdhamini mwanachama mwenzangu Ndg Dkt John Pombe Joseph Magufuli Wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa ajili ya kuchaguliwa kupeperusha bendera ya Chama chetu kwenye uchaguzi Mkuu Wa Rais Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. 1Samuel 2:35

Келесі