MHE.RAIS DKT JPM ACHUKUA FOMU YA KUOMBA RIDHAA YA KUGOMBEA URAIS CCM
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akikabidhiwa Fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kugombea Urais kwa Tiketi ya CCM katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika baadae mwaka huu kutoka kwa Katibu Mkuu wa CCM Dkt. Bashiru Ally Kakurwa katika Ofisi za Makao Makuu ya CCM White House Dodoma leo tarehe 17-06-2020
Пікірлер: 49
Mr. President Sir. You look energetic and young at your age. I always pray for you. God bless you God bless Tanzania
I love this man of God
Asante Mungu kwa Kumpa Mh.J.Pombe Magufuli,Mimi tayari leo leo tarehe 19-06-2020 nimeshaenda Kumdhamini ,TUNATEKELEZA . KILA LA KHERI MWKT WETU. Godlove J.Mgoji MANYARA.
Kila la kheir Baba Magu mollah akupe afya njema urudi tena 2021 Inshallah basi mm nitakuwa mzamini wa hamzamini wako wa Hamsini.
Mungu akutangulie DR. Mh Jpjm
MWENYEZI MUNGU Akujalie na akushindie dhidi ya adui zako maana ni wengi mno ,tuna jivunia kuwa na wewe pia tunakuombea kwa MUNGU ushinde tena kwa kishindo utimize yale yote uliyo anzisha na utufikishe sehemu nzuri kama MUNGU apendavyo yeye.
My president is very humble coz normally Hiyo form ilibidi imfuate ikulu. God bless u boss. Umepita mazee wangu
Asante sana mwenyezi MUNGU Asante sana mwenyezi MUNGU mkuu
Mh Rais,umepita kwa kishindo kikubwa Sana, watanzania tunakupenda Sana na hatuna hofu na wewe yupo pamoja songa mbele. Baba tunakuombea Sana usiku na mchana uwe na amani Rais wetu. Kuna nchi wanalia,ivo watanzania Sasa ni wakati wa kumshukuru mungu na kumuombea maisha marefu rais wetu.
Mungu Mtukufu amlinde Mh Rais Wetu. Nchi bado inamuhitaji na sisi watanzania tunauhitaji.
Mungu akulinde Sana huko uliko
Our President. A Man of God like Jushua of the Bible; firm and credit.
Hongera sana Mkuu
Mungu akutangulie Mr. President. Himo, Kilimanjaro tunakusubiri kwa hamu kubwa.
Mungu akubariki upite tena.
Hapa kazi tu
asante sana baba yetu mpendwa wetu rais Magufuli tunakupenda sana tunafurahi sana na asante kwa kukubali kugombea urais Mwenyezi Mungu akubariki na akulinde na familia yako asante Mungu
rais wetu mpendwa Magufuli Mimi Joanne nakudhamini rais wangu mpendwa
Umepita baba weeeeee wanyakyusa tunasema ungapasyaghaaaa
@natafutapesa9678
4 жыл бұрын
Naloliiii dada ghwangu
@tusajigwemathias3758
4 жыл бұрын
Uketie mama kyala antule itolo
tunaomba Mwenyezi Mungu akupitishe na tunaamini Watanzania watakuchagua umewafanyia mema mengi tunakupenda sana
Mbingu zimekuchagua tayari. Wananchi watajaza karatasi tu [√]
October nitarudi mbeya kukupigia kura tu mzee na kurudi zangu tena lizaboni.
Tunakuamini Rais wetu Sisi tushakudhami Mkuu tunaimani Vijana wako wazalendo tupo tunajitoa kwa ajili yako tunaimani uatatuajili tuu Mkuu we ndie Rais wetu wawanyonge.
"Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI
❤❤❤🙏🙏🙏🙏
Asante sana mwenyezi MUNGU
Pumzika kwa amani
🔥🔥🔥🔥
Hadi laha
Kutoka Mara Mimi Francis Mukirya Kwisema Senda Nina mdhamini mwanachama mwenzangu Ndg Dkt John Pombe Joseph Magufuli Wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa ajili ya kuchaguliwa kupeperusha bendera ya Chama chetu kwenye uchaguzi Mkuu Wa Rais Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. 1Samuel 2:35
❤❤❤❤❤😢
Mshua Master
Mzee magu kwa utan utan tuu
Rais wa Africa na dunia sisi kama wananchi wako tunakuomba kwamba usijisumbue kuzunguka kufanya kampeni we pumzika tu sisi tutakuchagua
@goddymassawe213
4 жыл бұрын
Kabsa mzee wetu wepumzkatuu...wendo raisi wetu akuna mwingine..jembe letu laukweli...
Tuna bahati saaaaana 👌👌
Rais wetu Mungu anajua ulivyojitoa kwa Taifa letu kila Mtz leo anatamani kukudhamini..2015 ulikosa support kbs...Ushauri wangu usiruhusu wanaotaka kutumia jasho lako kupata ubunge. Tumeona wanaonda kukudhamini kwa Camera..No wewe sasa sio wa wanaharakati hao wachache wanaotaka kujinufaisha leo. Wanawake,wazee na wamyonge ulirudisha tumaini la maisha yao ni mara 100 ya 250 kila Mkoa..Mungu akupe afya njema na uhai ndio ili utufikishe sawa sawa na maono yako
Kura zote kw Magufuli mpenda maendelea na mpenda watu wake🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Tayari nimekudhamini mh.Rais.
Nasubiri kwa hamu kukupa kura ya ndiyo
Mr president njoo na huku pwani tukudhamini
Yaani wewe hata usimalize mda wakuache tu miaka yote. Mola yu pamoja nawe
Sifa za udhamini ni zipi nikudhamini tu baba yangu
@charlesmvula7313
4 жыл бұрын
Kadi ya uanachama ya ccm tu mfate mjumbe wako washina anayoform ujaze
"Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI
@justinerespicius755
4 жыл бұрын
Kweli kabisa wananchi tunayo nguvu yakuibadlisha katiba na huu ndo muda mwafaka wa kuunganisha nguvu kwa pamoja na kuibadilsha katiba
Kutoka Mara Mimi Francis Mukirya Kwisema Senda Nina mdhamini mwanachama mwenzangu Ndg Dkt John Pombe Joseph Magufuli Wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa ajili ya kuchaguliwa kupeperusha bendera ya Chama chetu kwenye uchaguzi Mkuu Wa Rais Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. 1Samuel 2:35