"KABUDI NA MPANGO NIMEWATUKANA PUMBAVU SANA JAPO WANANIZIDI UMRI" RAIS MAGUFULI
Жүктеу.....
Пікірлер: 119
@hadijahalifa54185 жыл бұрын
Oooh! My President u don't even sleep!pole baba,ila pambana!tunakuombea☝mungu anakuona!utashinda tu!love u my President
@jacoblaiser76345 жыл бұрын
Tunajivunia kuwa na wewe Mheshimiwa Rais. Hongera mno kwa kazi zako zinazopambanua aina ya Uchapakazi unaoutaka.CCM daima.
@simonkasya65005 жыл бұрын
Pole mh. Rais tunakuombea baba, japo hali ningumu Mtaani lakin the future is bright, tunakuombea Sana na tunakuunga mkono
@rickrosswabongo4116
5 жыл бұрын
Umeongea vema
@salimzaidi92035 жыл бұрын
Nampenda sana rais wangu kila siku natamani kumsikia mungu akulinde baba etu akupe wepes wa kila jambo
@lawmaina785 жыл бұрын
Safi sana rais, wapelekeshe kijeshi hadi kazi ifanyike.
@legends-corner83283 жыл бұрын
Baba R.I .P ...He was the boss, natamani kuiga mfano wake huyu baba🌏 ili nikashinde maishani mwangu na nitakaowaongoza. Ewe mwenyezi Muumba wa bingu na nchi ombi langu nipee hekima na busara hii nikasaindie nchi yangu Kenya🙏🙏
@mthc8767
3 жыл бұрын
Amen
@kagamedimaria47873 жыл бұрын
Tanzania mlibahatika kua na nchi haina ukabila,sio kama hapa kenya ambapo ukitingua mtu inakua ni Kabila letu... I wish ningekua mtanzania
@mwakasegeshukuru37205 жыл бұрын
Daaaah!nakukubali sn my special president,umekuja kwa wakati ambao Mungu alikupangia
@frankfiretz5 жыл бұрын
Kweliiii kabisa Rais unaongea ukweli hukoseagi salute
@jacobkeleman80015 жыл бұрын
Ukweli Mjomba yani TRA Wanaboa sana huwa tunafikiri unawatuma kumbe njaa zao
@dionistindwa74295 жыл бұрын
hongera rais 🙏🙏
@lusajolamsonmgala61845 жыл бұрын
Ubarikiwe sana ,,rais,,nakuombea mwaka uchaguz mwingne ujao,,2020》 upita 100%
@husseinkonz51925 жыл бұрын
Kaz kwa mazoea bado tatizo liko jaman Mambo ni 🔥 utumbuaji uendelee
@malale45805 жыл бұрын
kutumbua si njia ya kuufikia uchumi Wa kati, mtatumbua mpaka siku ya uchaguzi 2020
@mkabesamaashao6805
5 жыл бұрын
Yaani uzembe kama huo awalee tu @MALALE
@johnmalembo64643 жыл бұрын
Hizi hotuba ziwekewe vipindi maalumu virushwe tena ķwa kuamsha uongozi ulioimara. Mungu tubariki watoto wa Tz
@dicksonsheja2515 жыл бұрын
Rais Wangu nakuombea sana
@samateryusuf4345 Жыл бұрын
Huyu mpumbavu kapigika Hadi Raha Asante mungu
@kibilawazebanga74555 жыл бұрын
Big up Rais
@mbarikiwalazarowatisa20865 жыл бұрын
Hii kasi ya raisi inaitaji watu kama sisi, sema basi tu!
@allykigatta3239
5 жыл бұрын
Hahahahahajaja....jamaa we noma....YANI HATA MIMI NILIKUWA NAWAZA HIVYO IVYO....WATU C TUPO BHANA...WATUPE MASHAVU BHANAAAA...Mbarikiwa oyeeeee
@ksnjos001
5 жыл бұрын
Upo wapi... nje ya nchi nini kwasababu hapa Australia watu wapo fast sana katika kazi... nyumba inajengwa in 3 months...
@lazaromwafula181
3 жыл бұрын
Watu tupo kweli sema basi tu
@felixmuzambele90315 жыл бұрын
Daah Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi Raisi wa wanyonge.
@cherilydavid30665 жыл бұрын
Pole mh Rais wetu una mipango mizuri na nchi yetu pamoja na wananchi wake lkn wako viongozi na mawaziri wanakuangusha sana jamani inauma TZ yetu kwanini lkn utafikiri sio WATZ.
@raphaelsamwel2640
5 жыл бұрын
Ana mipango ipi huyu???
@hamedabashir9
3 жыл бұрын
@@raphaelsamwel2640 ko naona umefurai alivyo tyutoka maana unaonekana unaroho mbaya km sio mtanzania wallah
@salehmdemu57225 жыл бұрын
Nakupenda sana mh rais wangu Magufuri
@mariamfaki11665 жыл бұрын
TRA wana akili ya kuomba rushwa tu sio ya kusoma pumbavu zao
@shabanilugi39693 жыл бұрын
chima anaongea Mungu mbariki rais wangu john magufuli amen
@rajabugoa55855 жыл бұрын
upo vzr mkuu
@tz4ever5795 жыл бұрын
My Prezidaaa🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🙏
@hassanmakamba71665 жыл бұрын
For the first time congratulation
@DanielSinavangi8 ай бұрын
Pumzika kwa Amani 🙏🇹🇿 babaetu
@ngaismedia5 жыл бұрын
#Maghufulification of #postcolonialafricaneconomy Naomba Rais Maghufuli afunguwe #MaghufuliSchoolofEconomics. ♥️♥️♥️✊🏿✊🏿✊🏿
@wolfgangkichai85775 жыл бұрын
Hakuna kubembelezana 👏👏👏👏
@angelinaelishachisongela78595 жыл бұрын
Nakupenda bure
@ernestsaguti66905 жыл бұрын
Napenda raisi anavyoyapeleka haya mambo. Kweli nchi za ulaya zinatucheka mno Waafrika. Tuna utajiri lakini hatuwezi kuutumia. Hakuna bara tajiri duniani kama Afrika na wazungu wanaotamani ila Afrika tumekosa viongozi kama Magufuri. Ndio maana raisi wa Urusi anasema raisi bora aliyewahi kutokea Afrika ni Gadafi tu.
@towerodispensary32555 жыл бұрын
Sasa kwanini nisikupatie kula yangu mzee JP upo vizuri
@baracknicholaus29443 жыл бұрын
leo ume lala 😭😭😭
@munnawwaryaqoob34145 жыл бұрын
Nipe Ajira mzee baba hutajutia kuniteua,nakuelewa sana
@tozzaalexandar49055 жыл бұрын
Safii magu upo sahihi kabisa
@thomasndumila43825 жыл бұрын
Twendeni tu mpaka tuheshimiane kitaani
@rosekweka95445 жыл бұрын
Kweli raisi unajitaidi Sana lakini napenda kukwambia huna mtu wote ninjaa tu akuna kitu hapo unaongea kwenye mioyo yao wanasema utamaliza saa gapi tukale pole baba
@happygw6930
5 жыл бұрын
kweli kabisa
@damasgodfrey31675 жыл бұрын
Yes
@marthamasue40095 жыл бұрын
👏👏👏👏👏👏👏
@alexandersonmbembela53285 жыл бұрын
tatzo walizoea mchele robo nazi 8 sasa mambo yamebadirik kande mwanzo mwisho ........tumbua viongoz hewa hao
@ksnjos0015 жыл бұрын
Raisi anateseka sana yaani watu wanaogopana kama vile wanakula pamoja... kazi ya serikali haitaki mambo ya kujuana... nchi za watu wengi hawalali kutekeleza kazi zao wengi wanarudi nyumbani saa nne usiku na kuanza kazi saa mbili asubuhi... Hamna uzuri katika kazi😂😂😂
@lwihokajigili245 жыл бұрын
nakuelewa baba...format secta zote mhimu..weka wazalendo kama sisi....maana hawamuogopi mungu
@semanasitv83035 жыл бұрын
ndio dhambi inavyokuaga ulitenda inajibu hapo hapo
@stannymapulanga80165 жыл бұрын
Tunakupenda baba wa wanyonge
@Africana2555 жыл бұрын
President halali .... Jamani sisi tunaamka sa mbili
@barnabaschuwa78205 жыл бұрын
Tz hatakaa atokee rais km huyu
@nyambelewinfrida90745 жыл бұрын
Watendaji badiliken jaman mwatakanini?
@hamisidaud99125 жыл бұрын
President uko Sawa kwa spirit hii, ila hawa watendaji unaowateua, wanakuogopa Sana, hawajiamini kwa kweli. Sijui waweje aseee,
@revocatusemanuely98095 жыл бұрын
Mjomba wakati mwingine nakuelewa sana
@nassorkhatib6345 жыл бұрын
Na kuhusu hivyo viwanda, itabidi Serikali iangalie uwezekano baadala ya kupewa watu wengine Serikali iangalie namna ya kuviendesha wenyewe kwa kuwaajiri watu wenye utaalamu kupitia wizara husika kama kilimo, (kwenye kiwanda labda cha kubangua korosho, kiwanda cha kuchakata mkonge n.k)
@erickswai6985 жыл бұрын
Utendaj kaz ndo unaohitajika
@badmanno.16503 жыл бұрын
Sema hapo pakusema amewatukana mawaziri pumbavu was not necessary... Pia kiongozi sio yule anaewakaripia na kutukana anaowaongoza kisa wamekosea...
@mtanzaniamzalendo70015 жыл бұрын
Magu Ni noma
@angelinaelishachisongela78595 жыл бұрын
Jamani kama humpendi raisi magufuli jua unatatizo
@sabihimngetuka69715 жыл бұрын
Naomba kaz yakukusanya kod mm ni mwaminifu
@ibrahimfrank13825 жыл бұрын
Yanimpaka nywele zinasisimka pole mjomba magukaziipo
@Johnmasanja273 жыл бұрын
Kaa tu🤣🤣
@goodluckmushi88783 жыл бұрын
Tusahau kabisa sisi wa Kanda ya ziwa huyu ndie jicho inawezekana la mwisho Africa Co Tz
@chariuskiita89425 жыл бұрын
Tanzania bado hatuna uzalendo ndo maana tunakwamisha juhudi za mhe rais
@gozbertmmassy29435 жыл бұрын
Le akili kubwazzzzzz hii ni Vita mkuu,we must move forward,asiweza speed ahamie somalia,lazima tuheshimiane
@samiraali5505
3 жыл бұрын
Somalia is not the perfect example,mr
@kizungarashid45225 жыл бұрын
Iv nyie watendaji mbona mnataka kumpa ugonjwa wa moyo Mr President, badilikeni watendaji
@janejoel7798
5 жыл бұрын
Wala haumwi moyo aiseee, hataki kujiongezea matatizo ya moyo rais wetu, akiona madudu anatumbuatuu safi sana our president
@sinajuma4403
5 жыл бұрын
Kwa kweli Dk JMP,Ni zaidi rais,anauchungu na nchi hii tumuunge mkono
@kalumbugideon41593 жыл бұрын
Speech hii mpaka Kesho....TRA labda wabadirishiwe jina lao maana duh.....
@charlesjmartin19355 жыл бұрын
Kiboko yaoooooooooo
@mohamedasaid79103 жыл бұрын
TRA kweli balaa. Hawana bongo.
@moringelangas72765 жыл бұрын
Mimi huwa nikitukanwa narudishia hivyo hivyo!ndio maana sipewi uwaziri mimi.
@josephmalisa29875 жыл бұрын
Huyu jamaa ni msumeno kweli kweli. Shida ni kwamba ni wachache wanamwelewa. Shidaaaaaa
@mcsimonmzungutv20845 жыл бұрын
Kiukweli Viongozi walinalyo
@abdulmalickupete9015
5 жыл бұрын
Du! Nalooli
@barutisaidi1105 жыл бұрын
mzee tuoneeni huruma mtulipe korosho sasa tushachoka kula ugali wamihogo na majani yake (kisavu)
@MultiSeptember28
5 жыл бұрын
Yaani kamanda tuna njaa ile mbaya
@eshyndibalema15293 жыл бұрын
Wamesoma ila ni wala rushwa
@kiumbechambinguni5 жыл бұрын
MAIGIZO.COM, Waziri hakusema amepata wateja preda akasema wamechelewa? sasa unamlaum waziri kivip wakati anapokea maelekezo Tu, Kocha wa timu amepwaya... mwishowe sisi tutateua rais mwinginee
@adillhabib20065 жыл бұрын
tume kuelewa lakini ipo bei chini
@juliethmacha77685 жыл бұрын
bado miezi mitano zinavunwa nyingine.
@simondinday3475 жыл бұрын
duh!! anko atiiiii??? kabudi na mpango ni wapu........??
@superbosskijanamrmkinga517
5 жыл бұрын
Mbavu😀😀😀😀
@nassorkhatib6345 жыл бұрын
Hapa nimekuelewa Mheshimiwa Raisi, Kwakweli Korosho ziliwekwa Ghalani, na nilifikiri ule mkataba ulifanikisha kwa kuuzwa zile korosho. Daah haya, Wacha tuangalie. Tengua tu baba. Hivi mfano katika Wizara, angepatikana mfanyakazi mmoja tu au mpaka watatu wakapewa kibali cha kutafuta soko nchi za nje? ...
@octaviuskazimoto8571
5 жыл бұрын
Ni hatar sana mzee baba wa nchi magufuli
@mbarikiwalazarowatisa20865 жыл бұрын
Awamu ijayo watu watabadilika sana..
@shabanmohamed1545
5 жыл бұрын
Isingekuwa mawaziri lazima wawe wa chichim ,ningewapendekeza ,wabunge wafuatao wateuliwe uwaziri ,inaweza ikasaidia ,mfano ,peter msigwa, mh.silinde ,mh,zito zuberi kabwe ,mh.mnyika , na wengineo Ni maoni yangu kwani nawafatilia sana wakisimama kuchangia hoja bungeni .mkuu bila kumsahau huseni bashe big up .
@moringelangas72765 жыл бұрын
Baba si ulivyoenda lindi na mtwara ulituambia korosho zimelipwa na buashara imeenda vizuri?
@obadiaanyelwisye9723
5 жыл бұрын
JPM is the choosen one
@manenoalex74535 жыл бұрын
waambie ukwer mjomba maana tumechezewa mno vya kutoxha axanter kwa ukwer wako
@piusmdoe3551
5 жыл бұрын
Maneno Alex sio tumechezewa,tunachezewa
@saidkulwa1251
5 жыл бұрын
bado wanataka kutuchezea ila mwisho wa siku wanaangukia pua puuuu wanabakia kujilaumu tu
@sudymgeni7015 жыл бұрын
Mtamtaka tu
@missmoona44975 жыл бұрын
Muheshimiwa hayo ni majipu baba haina haja ya kupigakelele ww humvua tu kwan Tz vijana weng wamesoma na hawana kaz hao wamelewa madaraka na maisha pia wape wenye njaaa muheshimiwa
@nassernajm5417
5 жыл бұрын
True...!! Mbona wako wengi tu.! Hata wako Watanzania nje ya nchi ambao ni mahodari, wasomi na wameshika nyadhifa kubwa kubwa nje ya TZ. Warudishe Mzee waje kukusaidia na kuisaidia maendeleo ya nchi yao. Wengi wao watakuelewa na hata spidi zako wataziweza....! Mhe Kabudi akuletee list ya Watanzania waliokuwa njee na position zao walizonazo ili upate kuchaguwa mzee.....
@georgemashauri4657
5 жыл бұрын
Nenda nao jumla jumla
@wilsonkilua6309
5 жыл бұрын
Mzee wa nchii hao watendaji wako wameshiba maharage ambayo hayana nazi yani hata hawaelewi wape vijana uone moto wake mzee kila siku unaongea hayohayo hata hawasikii kwanini hawajirekebishi hao watu kwa mzee wa nchii wanamsumbua mzee wa wawatu kwakweli ,mzee wawatu anatakiwa akae atulie ale maisha mnamtesa huyo mzee wawatu jamani mbona mko hivo nyinyi mawazili msio jitambua
@erickswai6985 жыл бұрын
Tunakwama wap lkn Mbona mamb mengine hayahitaj elim sana ila akil ya kibinaadam tu
@pemdumi5 жыл бұрын
Kama mimi ningekuwa rais,ningeanza upya,ningeitisha referendum kuingiza kipengere cha serikali ya umoja wa kitaifa,ningetafuta vipaji kutoka kila pembe,kisha tungeanza upya kama taifa.
@rogastianmuhogo6615
5 жыл бұрын
elimu ya vyeti ubunifu ziro kwa wafanyakazi wa TRA but big up Mr President
@rehmashamte281
5 жыл бұрын
Kuhusu swala la korosho hali bado ni tete kucni waloanzia kg 1500 na kuendelea mpk leo malipo bado hapo mkuranga wengine wana kilo chin ya 1000 pia hawajalipwa
@mbegesdigita51825 жыл бұрын
Tumbuaaaaa
@ttec94315 жыл бұрын
Hizi comment humu watu wanavyojisahau ... Hamukumbuki aliposema kwamba hela Ipo ya kutosha ya kununua korosho ... Sasa anamlaumu nani hapoo
@abusaeed90375 жыл бұрын
Mzee wacha kutumia nguvu tumia akili
@swahilikeyboard3345 жыл бұрын
Tunahitaji sisi tunakula mapipi tu
@chrishani30565 жыл бұрын
Treating grown men like school children 👶🏻...yet wonders aloud why everything he touches turns into garbage
@Gamba1775 жыл бұрын
CCM kumbe wote wapumbavu hahahahahaha sasa naamini kuwa kuanzia Rais na mawaziri wote wapumbavu, na wabunge ni dhaifu wote mpaka spika wao ni dhaifu.
Пікірлер: 119
Oooh! My President u don't even sleep!pole baba,ila pambana!tunakuombea☝mungu anakuona!utashinda tu!love u my President
Tunajivunia kuwa na wewe Mheshimiwa Rais. Hongera mno kwa kazi zako zinazopambanua aina ya Uchapakazi unaoutaka.CCM daima.
Pole mh. Rais tunakuombea baba, japo hali ningumu Mtaani lakin the future is bright, tunakuombea Sana na tunakuunga mkono
@rickrosswabongo4116
5 жыл бұрын
Umeongea vema
Nampenda sana rais wangu kila siku natamani kumsikia mungu akulinde baba etu akupe wepes wa kila jambo
Safi sana rais, wapelekeshe kijeshi hadi kazi ifanyike.
Baba R.I .P ...He was the boss, natamani kuiga mfano wake huyu baba🌏 ili nikashinde maishani mwangu na nitakaowaongoza. Ewe mwenyezi Muumba wa bingu na nchi ombi langu nipee hekima na busara hii nikasaindie nchi yangu Kenya🙏🙏
@mthc8767
3 жыл бұрын
Amen
Tanzania mlibahatika kua na nchi haina ukabila,sio kama hapa kenya ambapo ukitingua mtu inakua ni Kabila letu... I wish ningekua mtanzania
Daaaah!nakukubali sn my special president,umekuja kwa wakati ambao Mungu alikupangia
Kweliiii kabisa Rais unaongea ukweli hukoseagi salute
Ukweli Mjomba yani TRA Wanaboa sana huwa tunafikiri unawatuma kumbe njaa zao
hongera rais 🙏🙏
Ubarikiwe sana ,,rais,,nakuombea mwaka uchaguz mwingne ujao,,2020》 upita 100%
Kaz kwa mazoea bado tatizo liko jaman Mambo ni 🔥 utumbuaji uendelee
kutumbua si njia ya kuufikia uchumi Wa kati, mtatumbua mpaka siku ya uchaguzi 2020
@mkabesamaashao6805
5 жыл бұрын
Yaani uzembe kama huo awalee tu @MALALE
Hizi hotuba ziwekewe vipindi maalumu virushwe tena ķwa kuamsha uongozi ulioimara. Mungu tubariki watoto wa Tz
Rais Wangu nakuombea sana
Huyu mpumbavu kapigika Hadi Raha Asante mungu
Big up Rais
Hii kasi ya raisi inaitaji watu kama sisi, sema basi tu!
@allykigatta3239
5 жыл бұрын
Hahahahahajaja....jamaa we noma....YANI HATA MIMI NILIKUWA NAWAZA HIVYO IVYO....WATU C TUPO BHANA...WATUPE MASHAVU BHANAAAA...Mbarikiwa oyeeeee
@ksnjos001
5 жыл бұрын
Upo wapi... nje ya nchi nini kwasababu hapa Australia watu wapo fast sana katika kazi... nyumba inajengwa in 3 months...
@lazaromwafula181
3 жыл бұрын
Watu tupo kweli sema basi tu
Daah Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi Raisi wa wanyonge.
Pole mh Rais wetu una mipango mizuri na nchi yetu pamoja na wananchi wake lkn wako viongozi na mawaziri wanakuangusha sana jamani inauma TZ yetu kwanini lkn utafikiri sio WATZ.
@raphaelsamwel2640
5 жыл бұрын
Ana mipango ipi huyu???
@hamedabashir9
3 жыл бұрын
@@raphaelsamwel2640 ko naona umefurai alivyo tyutoka maana unaonekana unaroho mbaya km sio mtanzania wallah
Nakupenda sana mh rais wangu Magufuri
TRA wana akili ya kuomba rushwa tu sio ya kusoma pumbavu zao
chima anaongea Mungu mbariki rais wangu john magufuli amen
upo vzr mkuu
My Prezidaaa🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🙏
For the first time congratulation
Pumzika kwa Amani 🙏🇹🇿 babaetu
#Maghufulification of #postcolonialafricaneconomy Naomba Rais Maghufuli afunguwe #MaghufuliSchoolofEconomics. ♥️♥️♥️✊🏿✊🏿✊🏿
Hakuna kubembelezana 👏👏👏👏
Nakupenda bure
Napenda raisi anavyoyapeleka haya mambo. Kweli nchi za ulaya zinatucheka mno Waafrika. Tuna utajiri lakini hatuwezi kuutumia. Hakuna bara tajiri duniani kama Afrika na wazungu wanaotamani ila Afrika tumekosa viongozi kama Magufuri. Ndio maana raisi wa Urusi anasema raisi bora aliyewahi kutokea Afrika ni Gadafi tu.
Sasa kwanini nisikupatie kula yangu mzee JP upo vizuri
leo ume lala 😭😭😭
Nipe Ajira mzee baba hutajutia kuniteua,nakuelewa sana
Safii magu upo sahihi kabisa
Twendeni tu mpaka tuheshimiane kitaani
Kweli raisi unajitaidi Sana lakini napenda kukwambia huna mtu wote ninjaa tu akuna kitu hapo unaongea kwenye mioyo yao wanasema utamaliza saa gapi tukale pole baba
@happygw6930
5 жыл бұрын
kweli kabisa
Yes
👏👏👏👏👏👏👏
tatzo walizoea mchele robo nazi 8 sasa mambo yamebadirik kande mwanzo mwisho ........tumbua viongoz hewa hao
Raisi anateseka sana yaani watu wanaogopana kama vile wanakula pamoja... kazi ya serikali haitaki mambo ya kujuana... nchi za watu wengi hawalali kutekeleza kazi zao wengi wanarudi nyumbani saa nne usiku na kuanza kazi saa mbili asubuhi... Hamna uzuri katika kazi😂😂😂
nakuelewa baba...format secta zote mhimu..weka wazalendo kama sisi....maana hawamuogopi mungu
ndio dhambi inavyokuaga ulitenda inajibu hapo hapo
Tunakupenda baba wa wanyonge
President halali .... Jamani sisi tunaamka sa mbili
Tz hatakaa atokee rais km huyu
Watendaji badiliken jaman mwatakanini?
President uko Sawa kwa spirit hii, ila hawa watendaji unaowateua, wanakuogopa Sana, hawajiamini kwa kweli. Sijui waweje aseee,
Mjomba wakati mwingine nakuelewa sana
Na kuhusu hivyo viwanda, itabidi Serikali iangalie uwezekano baadala ya kupewa watu wengine Serikali iangalie namna ya kuviendesha wenyewe kwa kuwaajiri watu wenye utaalamu kupitia wizara husika kama kilimo, (kwenye kiwanda labda cha kubangua korosho, kiwanda cha kuchakata mkonge n.k)
Utendaj kaz ndo unaohitajika
Sema hapo pakusema amewatukana mawaziri pumbavu was not necessary... Pia kiongozi sio yule anaewakaripia na kutukana anaowaongoza kisa wamekosea...
Magu Ni noma
Jamani kama humpendi raisi magufuli jua unatatizo
Naomba kaz yakukusanya kod mm ni mwaminifu
Yanimpaka nywele zinasisimka pole mjomba magukaziipo
Kaa tu🤣🤣
Tusahau kabisa sisi wa Kanda ya ziwa huyu ndie jicho inawezekana la mwisho Africa Co Tz
Tanzania bado hatuna uzalendo ndo maana tunakwamisha juhudi za mhe rais
Le akili kubwazzzzzz hii ni Vita mkuu,we must move forward,asiweza speed ahamie somalia,lazima tuheshimiane
@samiraali5505
3 жыл бұрын
Somalia is not the perfect example,mr
Iv nyie watendaji mbona mnataka kumpa ugonjwa wa moyo Mr President, badilikeni watendaji
@janejoel7798
5 жыл бұрын
Wala haumwi moyo aiseee, hataki kujiongezea matatizo ya moyo rais wetu, akiona madudu anatumbuatuu safi sana our president
@sinajuma4403
5 жыл бұрын
Kwa kweli Dk JMP,Ni zaidi rais,anauchungu na nchi hii tumuunge mkono
Speech hii mpaka Kesho....TRA labda wabadirishiwe jina lao maana duh.....
Kiboko yaoooooooooo
TRA kweli balaa. Hawana bongo.
Mimi huwa nikitukanwa narudishia hivyo hivyo!ndio maana sipewi uwaziri mimi.
Huyu jamaa ni msumeno kweli kweli. Shida ni kwamba ni wachache wanamwelewa. Shidaaaaaa
Kiukweli Viongozi walinalyo
@abdulmalickupete9015
5 жыл бұрын
Du! Nalooli
mzee tuoneeni huruma mtulipe korosho sasa tushachoka kula ugali wamihogo na majani yake (kisavu)
@MultiSeptember28
5 жыл бұрын
Yaani kamanda tuna njaa ile mbaya
Wamesoma ila ni wala rushwa
MAIGIZO.COM, Waziri hakusema amepata wateja preda akasema wamechelewa? sasa unamlaum waziri kivip wakati anapokea maelekezo Tu, Kocha wa timu amepwaya... mwishowe sisi tutateua rais mwinginee
tume kuelewa lakini ipo bei chini
bado miezi mitano zinavunwa nyingine.
duh!! anko atiiiii??? kabudi na mpango ni wapu........??
@superbosskijanamrmkinga517
5 жыл бұрын
Mbavu😀😀😀😀
Hapa nimekuelewa Mheshimiwa Raisi, Kwakweli Korosho ziliwekwa Ghalani, na nilifikiri ule mkataba ulifanikisha kwa kuuzwa zile korosho. Daah haya, Wacha tuangalie. Tengua tu baba. Hivi mfano katika Wizara, angepatikana mfanyakazi mmoja tu au mpaka watatu wakapewa kibali cha kutafuta soko nchi za nje? ...
@octaviuskazimoto8571
5 жыл бұрын
Ni hatar sana mzee baba wa nchi magufuli
Awamu ijayo watu watabadilika sana..
@shabanmohamed1545
5 жыл бұрын
Isingekuwa mawaziri lazima wawe wa chichim ,ningewapendekeza ,wabunge wafuatao wateuliwe uwaziri ,inaweza ikasaidia ,mfano ,peter msigwa, mh.silinde ,mh,zito zuberi kabwe ,mh.mnyika , na wengineo Ni maoni yangu kwani nawafatilia sana wakisimama kuchangia hoja bungeni .mkuu bila kumsahau huseni bashe big up .
Baba si ulivyoenda lindi na mtwara ulituambia korosho zimelipwa na buashara imeenda vizuri?
@obadiaanyelwisye9723
5 жыл бұрын
JPM is the choosen one
waambie ukwer mjomba maana tumechezewa mno vya kutoxha axanter kwa ukwer wako
@piusmdoe3551
5 жыл бұрын
Maneno Alex sio tumechezewa,tunachezewa
@saidkulwa1251
5 жыл бұрын
bado wanataka kutuchezea ila mwisho wa siku wanaangukia pua puuuu wanabakia kujilaumu tu
Mtamtaka tu
Muheshimiwa hayo ni majipu baba haina haja ya kupigakelele ww humvua tu kwan Tz vijana weng wamesoma na hawana kaz hao wamelewa madaraka na maisha pia wape wenye njaaa muheshimiwa
@nassernajm5417
5 жыл бұрын
True...!! Mbona wako wengi tu.! Hata wako Watanzania nje ya nchi ambao ni mahodari, wasomi na wameshika nyadhifa kubwa kubwa nje ya TZ. Warudishe Mzee waje kukusaidia na kuisaidia maendeleo ya nchi yao. Wengi wao watakuelewa na hata spidi zako wataziweza....! Mhe Kabudi akuletee list ya Watanzania waliokuwa njee na position zao walizonazo ili upate kuchaguwa mzee.....
@georgemashauri4657
5 жыл бұрын
Nenda nao jumla jumla
@wilsonkilua6309
5 жыл бұрын
Mzee wa nchii hao watendaji wako wameshiba maharage ambayo hayana nazi yani hata hawaelewi wape vijana uone moto wake mzee kila siku unaongea hayohayo hata hawasikii kwanini hawajirekebishi hao watu kwa mzee wa nchii wanamsumbua mzee wa wawatu kwakweli ,mzee wawatu anatakiwa akae atulie ale maisha mnamtesa huyo mzee wawatu jamani mbona mko hivo nyinyi mawazili msio jitambua
Tunakwama wap lkn Mbona mamb mengine hayahitaj elim sana ila akil ya kibinaadam tu
Kama mimi ningekuwa rais,ningeanza upya,ningeitisha referendum kuingiza kipengere cha serikali ya umoja wa kitaifa,ningetafuta vipaji kutoka kila pembe,kisha tungeanza upya kama taifa.
@rogastianmuhogo6615
5 жыл бұрын
elimu ya vyeti ubunifu ziro kwa wafanyakazi wa TRA but big up Mr President
@rehmashamte281
5 жыл бұрын
Kuhusu swala la korosho hali bado ni tete kucni waloanzia kg 1500 na kuendelea mpk leo malipo bado hapo mkuranga wengine wana kilo chin ya 1000 pia hawajalipwa
Tumbuaaaaa
Hizi comment humu watu wanavyojisahau ... Hamukumbuki aliposema kwamba hela Ipo ya kutosha ya kununua korosho ... Sasa anamlaumu nani hapoo
Mzee wacha kutumia nguvu tumia akili
Tunahitaji sisi tunakula mapipi tu
Treating grown men like school children 👶🏻...yet wonders aloud why everything he touches turns into garbage
CCM kumbe wote wapumbavu hahahahahaha sasa naamini kuwa kuanzia Rais na mawaziri wote wapumbavu, na wabunge ni dhaifu wote mpaka spika wao ni dhaifu.
👏👏👏👏👏👏👏👏👏