KABUDI AWAACHA HOI IKULU AKIMSHUKURU JPM KWA KUMPA UWAZIRI "ULINITOA JALALANI KUNIWEKA MEZA KUU"

Пікірлер: 59

  • @saidbarawa9096
    @saidbarawa90966 ай бұрын

    Love for prof kabudi from 30:29 🇰🇪may God give him long Life to work for east Africa community

  • @pqolai7740
    @pqolai77403 жыл бұрын

    Nakukubali Sana mwenyezi Mungu azidi kuwalinda viongozi wa taifa letu la Tanzania much love ❤❤❤❤

  • @zenj1986
    @zenj19863 жыл бұрын

    Dkt Mpango hats off. Hotuba ya aina yake. Kweli ikiwa kiongozi akiwa na uchungu wa nchi basi na Mungu atampa wasaidizi wema na wenye nia kama yake. Mungu ibariki Tanzania

  • @saidbarawa9096
    @saidbarawa90966 ай бұрын

    Kenya leaders are you listening, this is good lesson for kenya leaders who're very poor in matters leadership

  • @johnmutevu196
    @johnmutevu1963 жыл бұрын

    A very good speech from the finance minister. God bless you.

  • @saidbarawa9096

    @saidbarawa9096

    6 ай бұрын

    Not finance minister, but foreign affairs minister

  • @robertfrank1207
    @robertfrank12073 жыл бұрын

    Kwa mwalimu kabudi umetisha

  • @furahamwajeka7463
    @furahamwajeka74633 жыл бұрын

    Thanks finance Minister

  • @michaelbwoma2760
    @michaelbwoma27603 жыл бұрын

    "Usiruhusu watu wakuandae kwa cheo chochote na wewe mwenyewe usijiandae kwa cheo chochote..."

  • @saidbarawa9096
    @saidbarawa90966 ай бұрын

    Please cometo kenya and give a lecture to our so called leaders who're corrupt and boastful and poor in speech

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi13083 жыл бұрын

    Mtoto wa mzee john mwaluko ni bonge la Hazina ya Taifa hili.hongera sana.

  • @isidorimayagilo3806
    @isidorimayagilo38063 жыл бұрын

    Bwana Mungu awaongoze

  • @furahamwajeka7463
    @furahamwajeka74633 жыл бұрын

    Excellent speech kabudi indeed

  • @MegaAlexison
    @MegaAlexison3 жыл бұрын

    Wahubiliye baba mungu aendeleye kukupa nguvu nahekima in Jesus name Amen

  • @fidelslick2086
    @fidelslick20863 жыл бұрын

    Profesa Kabudi knows hows to pull Magufuli Legs Hes tryin so hard, But Jpm Wisely and kindly Listernin n Smile..Dont mess around with the President Anaona mbali

  • @saidbarawa9096
    @saidbarawa90966 ай бұрын

    Ruto and team are you listening to the speech of this great leader,ihope you have learnt something on matters leadership

  • @selinalukwembe7363
    @selinalukwembe73633 жыл бұрын

    Safi sana kijana wa feza unajuwa kuongea na kazi tunaiona

  • @saidbarawa9096
    @saidbarawa90966 ай бұрын

    Great leader, good speech,God bless,next Tanzania president, God willing

  • @kalutalumenge5260
    @kalutalumenge52602 жыл бұрын

    Kwa nini Utuba kama hizi za matumaini ya Taifa atuzisikie tena? Kuna nini? Ni JPM tu mmoja aliye tangulia, lakini wengine wote bado wapo. Nisaidieni kunanini??????

  • @jasminzumbe

    @jasminzumbe

    Жыл бұрын

    Wema hawapewi nafasi wanapewa wale wezi

  • @kamishina7853
    @kamishina78533 жыл бұрын

    Prof: Palamagamba Mwaruko kabudi ulilonji mabuya,sande sana koko ane nitya Maciwo ulilume elo.

  • @khaiddiiddi7630

    @khaiddiiddi7630

    3 жыл бұрын

    P0p00000000000

  • @johnjoseph3039
    @johnjoseph30393 жыл бұрын

    prof kabudi you deserve it congra

  • @bangirgimanayustas5206
    @bangirgimanayustas52063 жыл бұрын

    Nimehakiki rais wetu ni mcha Mungu; kila afanyacho ktk maandalizi yake ya kuongoza taifa hili Mungu huonekana mfano ni kwa hawa watu wawili Mpango na Kabudi Mungu awabariki

  • @sudiyahya9276
    @sudiyahya92763 жыл бұрын

    Aliejibu uliokotwa jararani, alidharau kwakua hamjui mungu

  • @protasmangu6418
    @protasmangu64183 жыл бұрын

    Phillip mpango uko vzr

  • @KUTOKA-ep2fk
    @KUTOKA-ep2fk3 жыл бұрын

    Nimesikia mheshimiwa mungu hahahaaahahaa! Dakika ya 18:02 ila amekosea kutamka kibahati mbaya

  • @samwelsengati1369

    @samwelsengati1369

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @clementhiddi1486
    @clementhiddi14863 жыл бұрын

    Hizo saa za taarifa za uteuzi, kweli jpm halali

  • @jordanmilio8101
    @jordanmilio81013 жыл бұрын

    Kabud uko vzr ndo Mimi na kukubali Sana mie sinaga jipya kwako

  • @amosimusso7589

    @amosimusso7589

    3 жыл бұрын

    Kabudi, kabudi, kabudi, god bless u mkuu wewe ni kichwa cha nchi

  • @ismailnamtuma1830
    @ismailnamtuma18303 жыл бұрын

    mpango katulia sana kichwani hapo

  • @winterkasela9033
    @winterkasela90333 жыл бұрын

    Philipo mpango ni kichwa tena chenye busara ila tu sauti yake ni ndogo na isingekua changamoto yake ya sauti kua ndogo anafaa sana kua raisi

  • @dorahy1579
    @dorahy15793 жыл бұрын

    Good statement

  • @thieryniyonkuru5023
    @thieryniyonkuru50233 жыл бұрын

    Buhigwe na kigoma kwa ujumla uwakumbuke saana wapige miradi ya uhakika

  • @furahamwajeka7463
    @furahamwajeka74633 жыл бұрын

    Kweli waziri was fedha wazembe waondoke...

  • @lawjoseph6590
    @lawjoseph65903 жыл бұрын

    Kabudi unajuwa ww Karibu 2025

  • @emanuelkenethkanyela9137
    @emanuelkenethkanyela91373 жыл бұрын

    Kabudi kaongea vizuri sana

  • @filbertkumburu8015
    @filbertkumburu801510 ай бұрын

    Mheshimiwa mungu,hatar sana,amtegemeaye mwanadamu hana mwendo...kabudi wewe

  • @kombokombo829
    @kombokombo8293 жыл бұрын

    Muheshimiwa mpina umeongea maneno mazima sannaa...na sasa umeona hali ya watanzania. Tunakuombea Afya ili uweze kuyasimamia yote ulio yasema

  • @nyangimarwa3448
    @nyangimarwa34482 ай бұрын

    Hili lilikuwa kweli baraza la mawaziri

  • @ismailnamtuma1830
    @ismailnamtuma18303 жыл бұрын

    we bwana mpango ndo waziri muhimu kuliko mawaziri wote,,yani ww ni zaid ya wazir mkuu kutokana na umuhimu wa wizara yako,

  • @issackjoseph6436

    @issackjoseph6436

    3 жыл бұрын

    Cyo kosa lako,ni sawa na useme financial manager ni muhimu kuliko director

  • @safisimkoko1932
    @safisimkoko19323 жыл бұрын

    Kama umli ukiluusu 2025 tumpe ridhaa KABUD kua rais wa TANZANIA

  • @MK_AFRICAN_VLOG

    @MK_AFRICAN_VLOG

    3 жыл бұрын

    For real

  • @selector728

    @selector728

    3 жыл бұрын

    Umri siyo umli

  • @protasmangu6418

    @protasmangu6418

    3 жыл бұрын

    Ana kipi cha ajabu kwani.

  • @Nyanda506
    @Nyanda5063 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣 kabudi

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr3 жыл бұрын

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏🇹🇿

  • @reubenbuchege8577
    @reubenbuchege85773 жыл бұрын

    Injili ya Yesu kwa watu wote, bonya link hii tujifunze neno La Mungu t.co/Cy4o3wiIdo

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr3 жыл бұрын

    Kabudi ur good 👍

  • @edwinkimambo9473
    @edwinkimambo94733 жыл бұрын

    Kabud John pamalamagamba

  • @sylivanussyliacus5064
    @sylivanussyliacus50643 жыл бұрын

    Gafula najiita AKA Kabudi

  • @braysonchalamila1199

    @braysonchalamila1199

    3 жыл бұрын

    Mjukuu wa kabudi 😄😄

  • @furahamwajeka7463
    @furahamwajeka74633 жыл бұрын

    Excellent speech kabudi indeed