Mfahamu Mmiliki wa Mlimani City|Gullaam Hussain|Maisha na Mafanikio yake

Ойын-сауық

#dullysantz #santzmedia #mlimanicity#millardayo #siri #wasafi#wasafimedia#wasafitv #efm#clouds #simulizi
Historia ya mwanzilishi na Mmiliki wa Mlimani City ifuatilie hapa...

Пікірлер: 44

  • @amourmohamedfaki4506
    @amourmohamedfaki45069 ай бұрын

    Ndugu yangu tofautisha r na l tujue unamaanisha nn

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi13089 ай бұрын

    Hakuna kitu kigumu kama ukiwajibika na kumtegemea Mungu.

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    9 ай бұрын

    Safi sana Erick na usiache kumuamini mungu utafanikiwa ,pia usiache kufuatilia SAN TZ MEDIA

  • @PLAYPROGAMING568K

    @PLAYPROGAMING568K

    3 ай бұрын

    Ukweli ni kwamba majengo mengi ya nhc na hata maelezo mengi ya sarekali wanaigia ubia kuwa ardhi ni yako mimi na jenga na kwasababu naingiza pesa zangu nitakupa gharama ya pesa na kiasi fulani ya eneo la jengo kodi itapokea sarekali na hata baada ya kujenga matengenezo yote ya baada hata miaka 35 anajenga ndiyo anamiliki na kila mara kufanyia matebgenezo kwa Tanzania inajulikana kwa ubiq au joint venture) na umoja wa sarekali ya Tanzanian na sector binafsi yaani kitu kimoja wote ni wazawa na nchi ya Tanzania ni nchi inajengwa majengo mengi ubia sector binafisi na sector ya sarekali na umoja kama huo ndiyo unaona majengo mengi marefu yako vizuri na marekebisho ya mara kwa mara ukiacha yale yaliyotaifishwa yako halo mbaya ndiyo sasa sarekali imeanza kutengeneza tena kwa hiyo Tanzania tuko vizuri sana katika kushirianq na sarekali yetu kujenga taifa letu . Tanzania haina ubaguzi wa rangi na dini ,na kabilq katika wananchi wake alhamdullilah mungu aibariki Tanzania yetu na watanzania wote kwa hali na Mali na umoja wetu ameen

  • @revocatusbarnaba1491
    @revocatusbarnaba14912 ай бұрын

    Nilichokuelewa hapo ni jina la mmiliki tu. Mengine mwache mwenyewe alikopita anakujua.

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    2 ай бұрын

    😂😂😂

  • @mathewdyzymaleyafrica9128
    @mathewdyzymaleyafrica91283 ай бұрын

    Lakini mnajua kitu ikimilikiwa na serikali inazorota siombaya kwani simnapata huduma

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    3 ай бұрын

    Serikali wao wapo kwenye share

  • @deogratiusyudatadei5658
    @deogratiusyudatadei56583 ай бұрын

    Yani history na safari ya mtu na ukweli ana boss mwenyew sisi wengi wapiga kelele tu

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    3 ай бұрын

    Tuelezee Vizuri comment yako haijeleweka😟

  • @deogratiusyudatadei5658

    @deogratiusyudatadei5658

    3 ай бұрын

    @@Santzmedia huja elewa nn mbn ilikuwa rahisi kutupa story ya huyo boss alafu imekuwa ngumu kuelewa yangu wacha nikwambie na hili na semaga kila siku acheni kuwa potosha watu hakuna utajiri unakuja kirahisi kama unasoma gazeti la udaku na hakuna tajiri anayesema ukweli kapataje utajiri wake kwa hiyo

  • @seketawaissa1129
    @seketawaissa11292 ай бұрын

    Serikali ya bostwana ndio wamewekeza hapo mlimani city

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    2 ай бұрын

    Sw lakini umeiskiliza Kwa umakini Makala hii

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu31492 ай бұрын

    Adimin ungefanya uchunguzi wa taharifa yako, Mmiliki tunamjua we umedanganya

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    2 ай бұрын

    Ni Vizuri ukatuambia mkuu ni Nani ??,maana record zetu na details zetu zinatuambia hivyo. Kama haukubariani na ukweli Huu , Basi waaminishe watu Kwa kuwaekea mmiliki halali wa Mlimani city utakuwa umeisahidia jamii kuepukana na uwongo Huu😂

  • @user-vb9ys5qg6u
    @user-vb9ys5qg6u3 ай бұрын

    Kiswahili bado ni tatizo kwa waandishi wa habari

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    3 ай бұрын

    Tunaitaji Darassa "Tumepokea mawazo yako Mpendwa Ahsante

  • @jitathminitv3429
    @jitathminitv34296 ай бұрын

    Miyeyusho

  • @frankngajilo7137
    @frankngajilo71373 ай бұрын

    Ni mpangaji

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    3 ай бұрын

    Mfanyabiashara

  • @PLAYPROGAMING568K
    @PLAYPROGAMING568K3 ай бұрын

    Na yeye ndiyo mmiliki hata Leo wako share ila amejenga yeye ubia

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    3 ай бұрын

    Thanks bro's

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk3 ай бұрын

    Sio mchezo

  • @jomba6514
    @jomba65143 ай бұрын

    Sisi tunaweza nini?

  • @MujuniKamugisha
    @MujuniKamugisha3 ай бұрын

    Unapotosha umma acha kudanganya watu

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    3 ай бұрын

    Tupe ukweli

  • @PLAYPROGAMING568K

    @PLAYPROGAMING568K

    3 ай бұрын

    Hapotoshi wewe ndiyo hujui ukweli.wa jengo na ndiyo maana unaona mtu anapotosha hata Leo makaratasi yote yanasoma ubia ya mzee gulam hussein na ndiyo hata Leo anakarabati yeye na kusimamia pale yeye wewe ndiyo Acha kupotosha usichokijua ukweli wake wa mmiliki ni yeye

  • @PLAYPROGAMING568K
    @PLAYPROGAMING568K3 ай бұрын

    Ni kweli ni mmiliki wa gulam hussein hiyo haikujengwa na sarekali imejengwa na mtu binafsi

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    3 ай бұрын

    👊👊

  • @josephfrank4446
    @josephfrank44463 ай бұрын

    Nikweli hata magufur alisema

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    3 ай бұрын

    🤓

  • @NgengeMkeni-uo5hq
    @NgengeMkeni-uo5hq3 ай бұрын

    Huu ni uongo

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    3 ай бұрын

    Upi sasa?

  • @user-ex2yp9vn9k
    @user-ex2yp9vn9k3 ай бұрын

    Muongo

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    3 ай бұрын

    Ni Vizuri ukatuelezea ukweli Ili wasiofahamu ukweli waujue kutokea kwako

  • @DoriceSawaki-vg4sb
    @DoriceSawaki-vg4sb5 ай бұрын

    Unapotosha umma

  • @Santzmedia

    @Santzmedia

    5 ай бұрын

    Ukweli ni upi sasa

  • @AbdulhNiheka-ck3pk
    @AbdulhNiheka-ck3pk9 ай бұрын

    Mbona watu wanasema mmiliki wa mliman city ni serikali vp ww unasema ni mtu binafsi

  • @MtuSafi

    @MtuSafi

    6 ай бұрын

    weeee sio la serikali kajenga mtu binafsi ila mkataba na serikali ni miaka 100 ikimalizika hyo miaka basi ndo jengo linakuwa na serikali ila kwasasa serikali inachukua asilimia zake kodi zake.

  • @PLAYPROGAMING568K

    @PLAYPROGAMING568K

    3 ай бұрын

    Siyo kweli ila jengo lofote baada ya miaka mia inakuja karne nyingine na jengo linachakaq kwa hiyo ina title ya miaka 99 ila wakaguzi wakikqgua wakaona bado ina ubora wa kuweza kuendelea huwa wana endelea renew title na hata hivyo hiyo ubia humo bia kuna waliyonunua ofisi na waliyonunua apartment na magalaa kwa hiyo kuna subtitles kwahiyo kunyanganywa siyo rahisi labda jengo lianguke au lipasuke kwa zalzala kwahiyo swala la 100 ni ubora wa ardhi na mahali jengo lilipo hiyo hafa ukiwa na hati miliki title yako inesoma miaka 66 au 99 ni sheria ya wizara ya ardhi kuweka kikomo ya jengo au ardhi hiyo ni kwa hati zote dear

  • @bensonmwakasege3799

    @bensonmwakasege3799

    3 ай бұрын

    Hi mtu Binafsi kaingia ubia na selikari

  • @GeofreyKalo-ot3we

    @GeofreyKalo-ot3we

    3 ай бұрын

    Ni kweli mlimani city sio ya selikali

  • @princesaha3262

    @princesaha3262

    3 ай бұрын

    Eneo ni la serikali yy kainvest tuu!!

Келесі