JAMBO FOOD PRODUCT CO LTD WAINGIZA BIDHAA 3 SOKONI KWA MPIGO

Jambo Apple Crush Soda, Jambo Ubuyu na Jambo Ukwaju ni bidhaa tatu zilizoingizwa sokoni hivi karibuni na Kiwanda cha kutengeneza vinywaji baridi cha Jambo Food Products chanya maskani yake mjini Shinyanga nchini Tanzania.
Hamis Salum ni mmoja kati ya Wakurugenzi waandamizi wa kiwanda hicho akiwa ameambatana na Meneja wa Masoko wa Kampuni hiyo hapa wanakupa taarifa zaidi.
KUHUSU KIWANDA
Kiwanda cha Jambo Food Products Company Limited kinachojihusisha na uzalishaji wa vinywaji baridi ikiwemo soda, juisi na maji kimejichukulia umaarufu wa bidhaa zake bora ambazo zinapendwa na watu wa rika zote kutokana na uhalisia wake.
Kiwanda hicho ambacho kilizinduliwa na Rais Dkt. John Pombe Magufuli, mnamo Januari 13, mwaka 2017, hadi sasa kimekuwa moja wa viwanda vya uzalishaji bidhaa bora za viwango vya kimataifa toka hapa nchini, vywenye radha murua kukufanya ujisikie fresh kabisa muda wote, kuupa mwili nguvu na mzuka zaidi, afya bora na kukuburudisha.
Jambo wanazalisha na kusambaza vinywaji aina mbalimbali kwa jumla na rejareja.
Vinywaji kama, Jambo Malta Lemon, Jambo Apple, Jambo Embe, Jambo Energy, Jambo Malta Pineapple, Jambo Lemon, Jambo Vito, Jambo Orange, Jambo Drinking Water na nyingine kibaooooo!
Kiwanda cha Jambo kipo Shinyanga Mjini.
Simu: +255622666692 au +255622666680
Email: info@jambogrouptz.net.
Website: jambogroup.co.tz

Пікірлер: 8

  • @latifafaustin3331
    @latifafaustin3331Ай бұрын

    Nawapnda mburee❤

  • @maigajohn5828
    @maigajohn5828 Жыл бұрын

    Hongera sana wa kwetu Meneja masoko mafuru jambo

  • @phillipmatola6964
    @phillipmatola69644 жыл бұрын

    Apple....ni flavoured product au 100% Apple juice? maana tunajua uzalishaji wa Apple kwa Tanzania in duni sana..

  • @wisaamsajid-km7dh
    @wisaamsajid-km7dh Жыл бұрын

    May allah help you

  • @mosesburton184
    @mosesburton1842 жыл бұрын

    Jambo for Life

  • @loycemalima7490
    @loycemalima74902 жыл бұрын

    Habari? Mimi ni mteja ambaye niko Kigoma katika wilaya ya Kasulu naitwa Loyce Malima , nikihitaji kupata vinywaji vinavyopatikana katika kiwanda hiki natumia utaratibu gani mpaka bidhaa kunifikia?

  • @SimonyMbogo-qh4yh
    @SimonyMbogo-qh4yhАй бұрын

    Naomba connection niwe ajenti nipo nzega ndogo hapa mtaji ninao

  • @veronicamaghembe2102

    @veronicamaghembe2102

    Ай бұрын

    Kama unaweza fanya ujee shy itakuwa rahisi kufanikisha

Келесі