EXCLUSIVE: "UAMINIFU, KUFANYA KAZI KWA BIDII NA KUHESHIMU RIKA ZOTE" SALAAH MOHAMED

Salaah Mohamed ni Mtanzania anaeishi China kwa zaidi ya miaka 10 pia ndie Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa Kampuni ya SILENT OCEAN kwenye mahojiano na AyoTV na millardayo.com anasema ili uweze kufikia malengo kwenye maisha unapaswa kuwa muaminifu, kufanya kazi kwa juhudi na kuheshimu rika zote.

Пікірлер: 18

  • @raphaelamour385
    @raphaelamour385 Жыл бұрын

    Tajiri mtata Kama salaah✊

  • @upendowakwelinaamani1060
    @upendowakwelinaamani10604 жыл бұрын

    Nikazi nzuri sana kaka mm nauliza kupitia kmpuni hii ya kitanzania maana naita hivi maana wamiliki wa kampuni hii ni wa Tz wenzetu. Ss ukiwa unamzigo wako kutokea nchi ya Indonesia je wanafika na huko kwa huduma hii au ni china na Dubai.

  • @gasparlubaga5866
    @gasparlubaga58664 жыл бұрын

    Mnafanyakazi nzuri sana, Im real interested with what silent ocean is doing.

  • @carlosmzena548
    @carlosmzena5484 жыл бұрын

    Tajiri mtata Kama Salah big up brother

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 Жыл бұрын

    Mashaallah wallah allah awabariki jomn nawapeda saaaan 👏👏👏❤️🔥

  • @abdulkadirali3330
    @abdulkadirali33304 жыл бұрын

    Kazi nzuri sana

  • @nathanaelboay1313
    @nathanaelboay13133 жыл бұрын

    Habari za Leo, kaka nakupongeza ,nakuomba mawasiliano, tufanye kazi ya biashara ,Niko Tz

  • @lujainamahir6266
    @lujainamahir62663 жыл бұрын

    Kazi nzuri mie nauliza zanzibar mnayo ofisi

  • @allymakangana6450
    @allymakangana64502 жыл бұрын

    Flana za silent ocean zingekua jezi ya mpira ni uzi mkali sana

  • @pickmaxtv7689
    @pickmaxtv76894 жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/h6mnstyvdsuueNo.html gusa link kutizama maajabu ya Juventus dhidi ya inter Milan mechi imechezwa Jana jumla ya magoli 11 yalifungwa

  • @hemedbakari8997
    @hemedbakari89972 жыл бұрын

    Mdogo wake GSM

  • @clementalu3925
    @clementalu39255 ай бұрын

    Nina furaiya uduma yao naomba namba

  • @maumaulid1452
    @maumaulid14523 жыл бұрын

    Kwa sasa nauza viatu vya kinamama najichanga changa ili niweze kuchukua mzigo kupitia kammpuni yako mzeee

  • @mariamndimbo8833
    @mariamndimbo88332 жыл бұрын

    Nina laki 5 naweza kuagiza mzigo china

  • @Edumastermind01
    @Edumastermind013 ай бұрын

    Anaongea kama vile akumzingua mwenez

  • @maumaulid1452
    @maumaulid14523 жыл бұрын

    Mzee tajiri mtata salaah unanishawishi nizamie uko China ivi munakaa mtaa gani hapo China tajiri

  • @fadhilimhagama2650

    @fadhilimhagama2650

    2 жыл бұрын

    Safi sana

Келесі