Haya ndio majanga yanayowakuta waendesha malori ya mizigo

Raj Smart ni dereva wa malori ya mazigo. Hapa anaeleza changamoto wanazozipitia

Пікірлер: 19

  • @kreamagdfsa1697
    @kreamagdfsa16973 жыл бұрын

    Hakuna Kazii nyepesii ni mapambano tu

  • @josephlyicho9867
    @josephlyicho98673 жыл бұрын

    JamaA yupo kama king crayz Gk

  • @jacobjoseph9505
    @jacobjoseph95053 жыл бұрын

    Hamna link kwenye description Sky as you said,,,umezingua mzee baba

  • @aminaabdallah3644
    @aminaabdallah36443 жыл бұрын

    Kazi ngumu sana dah poleni madereva😐

  • @elijahm.muthini
    @elijahm.muthini3 жыл бұрын

    Story tamu kweli🇰🇪

  • @diahemedsalumdia6594
    @diahemedsalumdia65943 жыл бұрын

    Kazi ngumu nyingi kupamban tu

  • @julihanjosephyjs6361
    @julihanjosephyjs63613 жыл бұрын

    Kitonga mlima hatari Sana nilipita naenda south Africa acha nafumba macho.kaka hapo kwa watoto wengi vijana wapate somo,utakuta umependana na mwenzio Ili awe mwenza ila akikuambia hidadi ya watoto unakata tamaa ,unamkuta Hana lolote maisha magumu anahitaji ata kitu Cha milioni Hana ela ,hapohapo wewe uwezo unao ila ukiwaza juu ya watoto kichwa kinauma,unasema ela zangu zinaenda kuhudumia watoto wengine,simu mda wote watoto huduma adi unataka kugaili.vijana mbadirike wapo wanawake wenyeuwezo wa kumsapoti mwenzie ila mmmh mnakera wanaume .

  • @user-gv5wn2kz8v
    @user-gv5wn2kz8v9 ай бұрын

    Nice

  • @julihanjosephyjs6361
    @julihanjosephyjs63613 жыл бұрын

    Mtihani madereva magari makubwa

  • @ismailramadhani500
    @ismailramadhani5003 жыл бұрын

    Baba hiyo k 9 hatari Sana nakumbuka wakat naelekea burundi nilisoma dua kabisa

  • @ommary75
    @ommary754 ай бұрын

    Mbona ss madavo wa fuso hatujawahi fanyiwa intaviw shida nn au Kwa sababu hatujulikani au

  • @majigepeter6661
    @majigepeter66612 жыл бұрын

    Tatizo lenu hamjitambui maderva mbona hamuongeragi malipo. Mishahara kama madada wandani. Na mkiangaria mnabeba Mari za garama kubwa

  • @zaidyabed
    @zaidyabed2 ай бұрын

    Rusumo k 9 sekenke mayi mayi machinjion weweeeeeee

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything2 жыл бұрын

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌

  • @kingsamuel5779
    @kingsamuel57793 жыл бұрын

    Sauti kama Jux🤣🤔🔥

  • @julihanjosephyjs6361

    @julihanjosephyjs6361

    3 жыл бұрын

    Kweli aujadanganya

  • @LyonWalker_
    @LyonWalker_3 жыл бұрын

    Binafsi siioni hiyo link

  • @ivonnecseroney5233
    @ivonnecseroney52332 жыл бұрын

    Madereva wana kazi ngumu sanakzread.info/dash/bejne/fn9mx6SaZ8i0eqQ.html

Келесі