Je! Ulishawahi Kuona Soda Ikitengenezwa? TAZAMA HAPA

#JAMBOFOODPRODUCT
Je! Ulishawahi Kuona Soda Ikitengezwa? TAZAMA HAPA
Katika kuunga mkono harakati za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli katika kuendeleza uchumi wa viwanda, kupitia kipindi cha uchumi wa viwanda, Global TV imefunga safari mpaka mkoa wa Shinyanga katika kiwanda cha Jmbo Food Product.
Kiwanda hiki ambacho kinaongoza kanda ya nzima ya ziwa kwa ukubwa na ubora wa bidhaa wanazozalisha lakini pia ubora wa aina za mashine na mitambo ya kisasa.
Kwa upande wa Kanda ya ziwa kiwanda cha Jambo Food Products ndicho kinachoongoza kwa ukubwa na kuwa na wafanyakazi wachache ukiachilia mbali mitambo na mashine za kisasa walizonazo, kwa asilimia kubwa mashine ndizo zinafanya kazi sana na kuzalisha bidhaa za vinywaji baridi zaidi ya aina 12.
inawezekana unatamani kuwa wakala wa bidhaa zao kwa ndani na nje ya nchi basi wasiliana nao kwa namba hizi
0766444445 au 0715757552
bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe ww.kzread.info FACEBOOK: Globalpublis... TWITTER: GlobalHabari Visit globalpublishers.co.tz/, Suazi1 www.kzread.info1 WEBSITE:
globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: Globalpublis... TWITTER: GlobalHabari INSTAGRAM: globalpubli.

Пікірлер: 37

  • @alexlingwendu6780
    @alexlingwendu67804 жыл бұрын

    Syrup+additives+flavors=Problems (Matatizo ya kiafya)Ushauri Tengenezeni juice halisi Kwa matunda utayoenda kununua mwenyewe sokoni

  • @user-ht1dd5mi1f
    @user-ht1dd5mi1f5 ай бұрын

    Naomba kazi hapo

  • @mohamedbawaly2331
    @mohamedbawaly23314 жыл бұрын

    Mashalla Allahi Barik

  • @alphonceelias2551
    @alphonceelias25512 жыл бұрын

    Fine sana.good work.

  • @benjamininyambaso5041
    @benjamininyambaso50415 жыл бұрын

    Nice

  • @amosurio718
    @amosurio7185 жыл бұрын

    vizuri sana

  • @jemakhalifa6807
    @jemakhalifa68075 жыл бұрын

    hamjui kutangaza mnatangaza km vile kipind cha mapenzi.tangazeni km uhamasishaji

  • @raji3432
    @raji34325 жыл бұрын

    Well done

  • @mwamengele
    @mwamengele5 жыл бұрын

    Msingetuwekea production mbaya hivi bora mrudie tu

  • @dametumerry7701
    @dametumerry77012 жыл бұрын

    Jmn me naombeni kazi

  • @charlessimon640
    @charlessimon6404 жыл бұрын

    Sielewi hata kinazungumzwa nini mtangazaji utafikili anatangaza kipindi cha mapenzi

  • @hamisihassan5114
    @hamisihassan51145 жыл бұрын

    Home

  • @MrEve1975
    @MrEve19754 жыл бұрын

    Sijaelewa wala kuona jinsi wanavyotengeneza maelezo bila vitendo haina mashiko jipangeni upya na mtangazaji ongea kwa sauti uliyopewa na MUNGU na ongea km wewe usiige angalia sana CNN, ALJAZEERA na BBC wale wanaotangaza wakiwa nje ya ofisi utaelewa ninachoongea

  • @awadhirajabu7754
    @awadhirajabu77544 жыл бұрын

    Hata Matunda Ayaonekani Jamani Makubwa Ayo

  • @mechanicaldesignbrain
    @mechanicaldesignbrain4 жыл бұрын

    nafikiri hata crew inayoenda kufanya tour wawemo wanajua mambo ya kifundi na mtangazaji asimulie kidocumentally sio kama hadithi na background ichangamshe na kuchanganya kidogo.kamera mzoom kitu mnachoona ni kidogo.

  • @zabibubashiri3034
    @zabibubashiri3034 Жыл бұрын

    Doo

  • @micamathew6433
    @micamathew64334 жыл бұрын

    Lkn hiyo jambo soda maranyingi inakuwaga sio tamu..hahahahaaa lkn pw tu.

  • @michaelmasalago5397
    @michaelmasalago53974 жыл бұрын

    Matunda yako wapi? au niharufu tu ya tunda

  • @yohanabundala9162
    @yohanabundala91622 жыл бұрын

    Tatizo vikopo vya soda vinaujazo mchache sana, mkitaka kuuza zaidi tengenezeni walau ml350 au 500ml kwa shi500 hapo mtaiteka Tanzania nzima

  • @godyritte1238
    @godyritte12385 жыл бұрын

    duuu

  • @raphaeljobb5862
    @raphaeljobb58625 жыл бұрын

    mmmmh mbn sion hata matunda mnatengeneza na nn hizo juice kama sio sumu mnataka kutuua tu . bora uende gengen ukanunue matunda yako utengeneze mwenyewe.

  • @fadhilaramadan5143

    @fadhilaramadan5143

    4 жыл бұрын

    Hakika baba angu wanataka kutumaliza mana kufa tunakufa makundi kwa makundi

  • @shamsahabibu6862

    @shamsahabibu6862

    3 жыл бұрын

    Hamjatumwa kunywa bizaa zetu ,za Jambo kunazngine nying tu

  • @emanuelmtandiji4432
    @emanuelmtandiji44325 жыл бұрын

    Global tv mna shida ya sauti kwenye mitambo yenu hii sio mara ya kwanza jitahidini jamani, nyi mnatoka ngoma droo na Millard ayo, hata kwenye subscribers mna zaidi ya million moja

  • @mwamengele

    @mwamengele

    5 жыл бұрын

    Kero kero kero mb zinapotea tu

  • @antipaschaulo87

    @antipaschaulo87

    5 жыл бұрын

    Nilimsikiliza sana Musiba akimlaumu Shubash Patel kwa ufisadi wa jengo la umoja wa vijana. Nadhani hiki ni kiwanda chake. Ni nashauri huyu jamaa kwa uwekezaji huu apewe muda wa kurejesha aliyoyaiba kama ni kweli ili aendeleze nchi. Kama ahusiki asafishwe mara moja ili Watanzania tusiwe na mtazamo asi kwake na products zake. Kama wezi wa mabilioni ya Dola km Membe, January na wengine wako huru na hakuna walichowekeza kwa maendeleo ya nchi. Ni bora huyu mhindi mara kumi ya hao. Serikali ifanye kila linalowezekana kuweka us usawa ktk kuwashughulikia Mafisadi. Double standard inatuumiza. Just imagine kiwanda kimya cha National miling kimefungwa Zambia na kinafanyakazi huko pasipo kurejeshwa na kujulikana kwa umma ili Pele ilipelekwa huko vipi? Naomba viongozi wetu wajue kuwa hayo ndiyo ufisadi ulioiumiza Tanzania. Pombe chukuwa hatua. Kinana anahusika na kampuni ya Azam

  • @yusuphjuma4638
    @yusuphjuma46384 жыл бұрын

    Sijaona maembe wala matunda mengine

  • @neydtz6826
    @neydtz68265 жыл бұрын

    well done but fruits sijaona

  • @michaelmathew8309
    @michaelmathew83095 жыл бұрын

    Mbn kuna sehem hamna sauti

  • @salmarashid5971
    @salmarashid59714 жыл бұрын

    HamuelewEki cJuw mnaelezea nn kw kweli

  • @raji3432
    @raji34325 жыл бұрын

    Kumbe kufiller ni kujaza!

  • @tuphujekumuhkunonyiile3739

    @tuphujekumuhkunonyiile3739

    5 жыл бұрын

    Jamani we ulijuanini😂😂😂😂

  • @geofreymsengi9971

    @geofreymsengi9971

    4 жыл бұрын

    Ulichukulia Kama neno la matuc vile eti

  • @jellyyatta7597

    @jellyyatta7597

    4 жыл бұрын

    Kunywa Mo soda habar ya mjini potero

  • @frkMD

    @frkMD

    3 жыл бұрын

    We hujasoma kweli

  • @alexkasisikasisi2153
    @alexkasisikasisi21535 жыл бұрын

    Nice