Je! Ulishawahi Kuona Soda Ikitengenezwa? TAZAMA HAPA
#JAMBOFOODPRODUCT
Je! Ulishawahi Kuona Soda Ikitengezwa? TAZAMA HAPA
Katika kuunga mkono harakati za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli katika kuendeleza uchumi wa viwanda, kupitia kipindi cha uchumi wa viwanda, Global TV imefunga safari mpaka mkoa wa Shinyanga katika kiwanda cha Jmbo Food Product.
Kiwanda hiki ambacho kinaongoza kanda ya nzima ya ziwa kwa ukubwa na ubora wa bidhaa wanazozalisha lakini pia ubora wa aina za mashine na mitambo ya kisasa.
Kwa upande wa Kanda ya ziwa kiwanda cha Jambo Food Products ndicho kinachoongoza kwa ukubwa na kuwa na wafanyakazi wachache ukiachilia mbali mitambo na mashine za kisasa walizonazo, kwa asilimia kubwa mashine ndizo zinafanya kazi sana na kuzalisha bidhaa za vinywaji baridi zaidi ya aina 12.
inawezekana unatamani kuwa wakala wa bidhaa zao kwa ndani na nje ya nchi basi wasiliana nao kwa namba hizi
0766444445 au 0715757552
bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe ww.kzread.info FACEBOOK: Globalpublis... TWITTER: GlobalHabari Visit globalpublishers.co.tz/, Suazi1 www.kzread.info1 WEBSITE:
globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: Globalpublis... TWITTER: GlobalHabari INSTAGRAM: globalpubli.
Пікірлер: 37
Syrup+additives+flavors=Problems (Matatizo ya kiafya)Ushauri Tengenezeni juice halisi Kwa matunda utayoenda kununua mwenyewe sokoni
Naomba kazi hapo
Mashalla Allahi Barik
Fine sana.good work.
Nice
vizuri sana
hamjui kutangaza mnatangaza km vile kipind cha mapenzi.tangazeni km uhamasishaji
Well done
Msingetuwekea production mbaya hivi bora mrudie tu
Jmn me naombeni kazi
Sielewi hata kinazungumzwa nini mtangazaji utafikili anatangaza kipindi cha mapenzi
Home
Sijaelewa wala kuona jinsi wanavyotengeneza maelezo bila vitendo haina mashiko jipangeni upya na mtangazaji ongea kwa sauti uliyopewa na MUNGU na ongea km wewe usiige angalia sana CNN, ALJAZEERA na BBC wale wanaotangaza wakiwa nje ya ofisi utaelewa ninachoongea
Hata Matunda Ayaonekani Jamani Makubwa Ayo
nafikiri hata crew inayoenda kufanya tour wawemo wanajua mambo ya kifundi na mtangazaji asimulie kidocumentally sio kama hadithi na background ichangamshe na kuchanganya kidogo.kamera mzoom kitu mnachoona ni kidogo.
Doo
Lkn hiyo jambo soda maranyingi inakuwaga sio tamu..hahahahaaa lkn pw tu.
Matunda yako wapi? au niharufu tu ya tunda
Tatizo vikopo vya soda vinaujazo mchache sana, mkitaka kuuza zaidi tengenezeni walau ml350 au 500ml kwa shi500 hapo mtaiteka Tanzania nzima
duuu
mmmmh mbn sion hata matunda mnatengeneza na nn hizo juice kama sio sumu mnataka kutuua tu . bora uende gengen ukanunue matunda yako utengeneze mwenyewe.
@fadhilaramadan5143
4 жыл бұрын
Hakika baba angu wanataka kutumaliza mana kufa tunakufa makundi kwa makundi
@shamsahabibu6862
3 жыл бұрын
Hamjatumwa kunywa bizaa zetu ,za Jambo kunazngine nying tu
Global tv mna shida ya sauti kwenye mitambo yenu hii sio mara ya kwanza jitahidini jamani, nyi mnatoka ngoma droo na Millard ayo, hata kwenye subscribers mna zaidi ya million moja
@mwamengele
5 жыл бұрын
Kero kero kero mb zinapotea tu
@antipaschaulo87
5 жыл бұрын
Nilimsikiliza sana Musiba akimlaumu Shubash Patel kwa ufisadi wa jengo la umoja wa vijana. Nadhani hiki ni kiwanda chake. Ni nashauri huyu jamaa kwa uwekezaji huu apewe muda wa kurejesha aliyoyaiba kama ni kweli ili aendeleze nchi. Kama ahusiki asafishwe mara moja ili Watanzania tusiwe na mtazamo asi kwake na products zake. Kama wezi wa mabilioni ya Dola km Membe, January na wengine wako huru na hakuna walichowekeza kwa maendeleo ya nchi. Ni bora huyu mhindi mara kumi ya hao. Serikali ifanye kila linalowezekana kuweka us usawa ktk kuwashughulikia Mafisadi. Double standard inatuumiza. Just imagine kiwanda kimya cha National miling kimefungwa Zambia na kinafanyakazi huko pasipo kurejeshwa na kujulikana kwa umma ili Pele ilipelekwa huko vipi? Naomba viongozi wetu wajue kuwa hayo ndiyo ufisadi ulioiumiza Tanzania. Pombe chukuwa hatua. Kinana anahusika na kampuni ya Azam
Sijaona maembe wala matunda mengine
well done but fruits sijaona
Mbn kuna sehem hamna sauti
HamuelewEki cJuw mnaelezea nn kw kweli
Kumbe kufiller ni kujaza!
@tuphujekumuhkunonyiile3739
5 жыл бұрын
Jamani we ulijuanini😂😂😂😂
@geofreymsengi9971
4 жыл бұрын
Ulichukulia Kama neno la matuc vile eti
@jellyyatta7597
4 жыл бұрын
Kunywa Mo soda habar ya mjini potero
@frkMD
3 жыл бұрын
We hujasoma kweli
Nice