JAMBO FOOD PRODUCT MBIONI KUANZA UZALISHAJI JUICE YA VIAZI VITAMU

Kampuni ya utengenezaji wa vinywaji na chakura nchini Jambo Food Product inatarajia kuanza uzalishaji wa juice ya viazi vitamu .
Akizungumza mkurugenzi wa kampuni hiyo Salum Hamis amesema wanatarajia kuanza uzalishaji wa bidhaa hiyo hivi karibuni
Kwa upande wake mkuu wa mkoa wa Shinyanga Christina Mndeme ameipongeza kampuni hiyo kwa hatua waliyofikia kwani uzalishaji huo wa kutumia zao la viazi vitamu utaongeza thama ni ya zao hilo lakini pia kupunguza tatizo la udumavu.
#kalungwatv #jambofoodproduct #uzalishaji #christinamndeme #shinyanga

Пікірлер

    Келесі