Пікірлер

  • @user-kp3hz3qw4m
    @user-kp3hz3qw4m6 сағат бұрын

    Askari wa mwanza hongereni sana mungu awasaidie zaidi majambazi wakome wafanye kaz kihalali sio kuua watu na kuteka mali zao alafu wapate adhabu kari uku wakihojiwa mauaj waliyofanya pia

  • @khamissaleh921
    @khamissaleh92114 сағат бұрын

    Mbona kimya kulikoni haijaanza ?

  • @khamissaleh921
    @khamissaleh92114 сағат бұрын

    Mbona tuko july kimya nini sababu?

  • @khamissaleh921
    @khamissaleh92114 сағат бұрын

    Imefeli mbona haijaanza kazi mpaka leo July 😊

  • @rashidkapile
    @rashidkapile21 сағат бұрын

    Daa! Sina chakuwapa makamanda mmefanya kazi mzuli Sana Napenda wapewe zawad na wizara ya mambo ya ndani

  • @adamdaudi6191
    @adamdaudi61912 күн бұрын

    Kila mtu ana mabaya na mazuri, ukiachana na mabaya, JPM alikuwa si wakutilia shaka juu ya uthabiti wa maamuzi, hayupo hata mmoja aliyekuwa na sauti juu ya serikali, na hiyo ndo maana ya serikali!.

  • @goodlackriwa6728
    @goodlackriwa67284 күн бұрын

    Acha kisasi na chuki weewe , wote ulio wa hukumu hatua Gani ilichukuliwa kuwahukumu ,kesi zote umeishindwa, huyo Gwajima unayomzungumzia kma kweli alikuwa mchafu Mbona ulimsamamisha kugombea ubunge wa Kawe,

  • @wosiakyunga9995
    @wosiakyunga99955 күн бұрын

    Tutakukumbuka daima

  • @seemanishekiao
    @seemanishekiao5 күн бұрын

    Rais

  • @paschalsafari9747
    @paschalsafari97475 күн бұрын

    Apumzike kwa amani Raisi wa wa awamu ya tano ..j.p.mafufuli.

  • @majutojackson5718
    @majutojackson57186 күн бұрын

    kwa kweli kwahili sikukuunga mkono maana ulituumiza wengi kwa ajili ya kijana wako makonda,hivi kesi iliishaje?

  • @florakweyunga4490
    @florakweyunga44905 күн бұрын

    Kuhusu madawa ya kulevya....unasema hukumuunga mkono.mmmmmh.....!!!

  • @ElvisTabula
    @ElvisTabula7 күн бұрын

    Kiburi cha uzima

  • @user-fw5bu9pj3b
    @user-fw5bu9pj3b13 күн бұрын

    Pigo limkute nani nanishoga wewe ayatakuteni nyie wezi watanzania

  • @jovijaco4287
    @jovijaco428713 күн бұрын

    Dah! Afadhali Baraka hata ulijifunza sauti ya Mh rais Magufuli maana tunafarijika sana, ubarikiwe.

  • @speciozakaloli
    @speciozakaloli21 күн бұрын

    Du kazi kweli

  • @speciozakaloli
    @speciozakaloli21 күн бұрын

    Du mpaka unachoka kazi ngumu

  • @HeriMohamedi
    @HeriMohamedi22 күн бұрын

    Namwona marehem jonathan shana

  • @AnaniasAndrew-mk5vj
    @AnaniasAndrew-mk5vjАй бұрын

    Gereza butimba

  • @mubarakmohammed7311
    @mubarakmohammed7311Ай бұрын

    Hakuna haja ya kumtafuta wala kumhoji, kila kitu kilikuwa wazi.

  • @gideonwafula5527
    @gideonwafula5527Ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @user-ik4hc8rm4x
    @user-ik4hc8rm4xАй бұрын

    Huyu ndie maghufuli mwenyewe Acha Oscar

  • @latifafaustin3331
    @latifafaustin3331Ай бұрын

    Nawapnda mburee❤

  • @chibelube
    @chibelubeАй бұрын

    😭😭😭😭😭😭😭

  • @HJ-wf2vi
    @HJ-wf2viАй бұрын

    Yaani 50b zaidi ya kilichokadiriwa khaaaaaah

  • @vitusnicodem9620
    @vitusnicodem9620Ай бұрын

    Safi sana

  • @SimonyMbogo-qh4yh
    @SimonyMbogo-qh4yhАй бұрын

    Naomba connection niwe ajenti nipo nzega ndogo hapa mtaji ninao

  • @veronicamaghembe2102
    @veronicamaghembe2102Ай бұрын

    Kama unaweza fanya ujee shy itakuwa rahisi kufanikisha

  • @pendoKassian-bi2th
    @pendoKassian-bi2thАй бұрын

    Wachawi mmezid Yesu ndiyo kiboko yenu mtakoma

  • @WilliamIkasilon
    @WilliamIkasilon2 ай бұрын

    kzread.info/dash/bejne/aqaTk7mzdsfZe9o.htmlsi=oEeX2CG0JN_qjZql

  • @user-mp6zd2ui7r
    @user-mp6zd2ui7r2 ай бұрын

    Kunamambo tunakumbuka jamani

  • @shaameshaame9721
    @shaameshaame97212 ай бұрын

    huna lolote mwizi mkubwa

  • @chuzilapweza6517
    @chuzilapweza65172 ай бұрын

    kwanini sasa wanajitangaza kipindi cha nane nane na matasha peke yake?

  • @JorynSamuel
    @JorynSamuel2 ай бұрын

    Mko vzur

  • @frankjackson2784
    @frankjackson27842 ай бұрын

    Nimeipenda

  • @SAADAOTHMAN-tn7ur
    @SAADAOTHMAN-tn7ur2 ай бұрын

    Kazi mzuri

  • @marcbiroturo4937
    @marcbiroturo49372 ай бұрын

    Wimbo wa kitambo sana

  • @MagnusWoisso
    @MagnusWoisso2 ай бұрын

    Hongera san kak😂

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy62983 ай бұрын

    Hao wakuuwa tuu

  • @Ce.cilia98
    @Ce.cilia983 ай бұрын

    I was today years old,,2024 ,,when I learnt that kymo wa The dominion family ni the same na huyu mwenye anaimba hapa😢😢😅😅😅

  • @AliceChege-lt9dh
    @AliceChege-lt9dh2 ай бұрын

    I know Adi siamini😂😂😂😂😂 comedian

  • @MUSK_HARMONY
    @MUSK_HARMONY3 ай бұрын

    Congratulations to patriotic inventors

  • @user-iy2jd6eo7j
    @user-iy2jd6eo7j3 ай бұрын

    Aheshimike Baraka Magufuri

  • @BarakaSimon
    @BarakaSimon3 ай бұрын

    Harmashauri ya buchosa 10:31

  • @FollowGospelSingers
    @FollowGospelSingers3 ай бұрын

    🎉🎉🎉

  • @user-fs7xc2bb5d
    @user-fs7xc2bb5d3 ай бұрын

    SubhanAllah

  • @fakihassan9021
    @fakihassan90213 ай бұрын

    Kafara iyo simba ndoo ngoma zaooo

  • @user-fs7xc2bb5d
    @user-fs7xc2bb5d3 ай бұрын

    Acha ujinga

  • @josephngassa7073
    @josephngassa70733 ай бұрын

    RIP

  • @shindanoshija8919
    @shindanoshija89193 ай бұрын

    😅

  • @Sangaligospel
    @Sangaligospel3 ай бұрын

    Naitwa Godfrey sangali nipo geita bro sengo naomba namba Yako tuwasiliane nina nyimbo zangu za injili nikutumie hapo redioni

  • @SAIDIMUKSIN-iy2op
    @SAIDIMUKSIN-iy2op3 ай бұрын

    Rafiki yk jee

  • @user-jh9yv1zp1l
    @user-jh9yv1zp1l3 ай бұрын

    Bwana yesu asifiwe

  • @RudelphZabron
    @RudelphZabron3 ай бұрын

    Naomba namba zenu ili ninje tuwasiliane ofisini kwenu