MAKONDA KUENDELEA KUPIGA SPANA WATUMISHI WAZEMBE NA WALA RUSHWA ASISITIZA KUTOBABAISHWA NA MITANDAO

NA ALBERT G.SENGO/MWANZA
Ameyasema hayo leo wakati akizungumza na watendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Monduli ikiwa ni muendelezo wa ziara yake kutembelea wilaya zote za mkoa wa Arusha aliyoipa jina la SIKU 6 ZA MOTO.
Kauli hiyo ya Makonda inakuja kufuatia baadhi ya watu kunukuliwa na vyombo vya habari wakimtaja kama mdhalilishaji wa watumishi wa Umma ndani ya Mkoa wa Arusha, suala ambalo amelitaja kutombabaisha ama kumpunguzia kasi katika kusimamia watendaji wavivu na wazembe wanaoshindwa kutimiza majukumu yao katika kuwatumikia wananchi wa Mkoa wa Arusha.

Пікірлер