Yani tunamalizana hapo hapo...safi sana my future president
@suleimanabdillah7490Ай бұрын
Tuangalieni lakini haya maisha tusichukue maamuzi kwapupa tuelewe Kila anayeumizwa ana watu. La pili masuala mengi ya manunuzi yanaongezwa na mifumo na kuwatatiza wengi,tusipoangalia mifumo hii itawadhulumu wafanyakazi wetu. Wanachelewa kupata fedha kutokana na mifumo baadae wanakutana na spana wanapoteza KAZI zao. Lakini pia halmashauri zetu na mabaraza Yao kuna bureaucracy nyingi na mizunguko ya uamuzi. Nadhani ni vyema kutoa maelekezo Ili baadae watakaoshindwa wawajibike. Nimemsikiliza Mhe Rais jana katika gawio wasiofanya vyema wametakiwa wakaguzi wa hesabu kwenda kubaini kwanza tatizo. Wapo wazembe na wabadhirifu Hawa endapo Takukuru watabaini wachukuliwe hatua na sio hoja na hapohapo kuwamaliza watu nadhani tunahitaji zaidi utulivu katika kuwafuatilia haya.
@Gloria-vh5bz
25 күн бұрын
Shida watanzania tunaendeshwa na mihemko, watu wanashangilia bila kujua kuna familia zitaumizwa bila makosa kwa huu UJINGA wa kutaka sifa za wananchi ,HUWEZ kumfukuza mtu ambae anafanya kazi kwenye system ya wengi bila uchunguz kisa sifa ,Dah huyu mtu ataharibu Mambo km Kawaida yake.watu wameshasahau kuwa huyu ndio wale watu wasiojulikana waliopotezs roho za wengi kipindi cha mwendazake
@judithkisinini8546Ай бұрын
Hongera sana Mh.Makonda.Mama hakukosea kukupa moja.Mh.kwa vile Una hofu Mungu,Una uwezo.Unatosha na unastahili.Hongera mwana wa Paul.
@kilogreekachananawatuwasio4054Ай бұрын
Kama supana Jestitepo UKISIKIA KIMENUKA KIMEUMANA NDIO HIKI SASA KIMEVUNDA KIMECHACHA BRAVO MKUU MAKONDA MZALENDO 🇹🇿 👏😂
@LeonardLugangeАй бұрын
Hii nchi inakuhitaji wewe kaka yetu ungeliwezekana kaka yetu wacha niseme mumhh!! Big up sana mh. Makonda
@edwinnzigo4670Ай бұрын
Asee Makonda kazi unayoifanya Mungu azidi kukupigania sana sana unastahili kupewa nchi hii tumeshachelewa sana Mkuu
@SaimonMwashinga
Ай бұрын
Kaka unaweza kazi apa kazi tu
@AlanusGerodi-mo3dmАй бұрын
Makonda Mungu akubariki ,endelea kukutetea wanyonge
@JudyAsseyАй бұрын
Mungu amlinde huyu baba..mama Samia mpandishe cheo awe waziri mkuu
@nowamateyo3318Ай бұрын
Mungu akubariki sana mku wamkoa wa Arusha piga kazi mungu akupe uongozi wa urais
@eliamatinya2791Ай бұрын
Daaaahhh mungu Akuinue juu kwa ajili ya nchi yetu.
@TaisonPangani-nw2omАй бұрын
Mungu azid kukuongoza katika utendaji wako Wewi ni kiongozi bora hakika
@ChristianMkumbo-ix2keАй бұрын
Ccm vs ccm tatizo ni mweyekiti wenu
@jamalkishangu
Ай бұрын
Mwenyekiti ndio aende mpaka mikoani atawasaidie wananchi?
@dausonmuganguzi4634 күн бұрын
Hongera sana kiongozi kwa kuokoa wanyonge Mungu yupo pamoja nawe
@KhamisRajab-kf5veАй бұрын
khamis rajab: mh Rc Paul makonda...Arusha. hongera kwa ziara zako,, kwa kufuatilia kero za wananchi, hao ulio wafukuza haki yao adhabu uliyotoa,wengine watajifunza.
@user-xc4gr6by1yАй бұрын
Makonda mungu akulinde kila hatua
@user-dm8ys5uz8q17 күн бұрын
Makonda mungu akupemyw mingi mana watu wapotu kazini
@williammarete397021 күн бұрын
Mh. Makonda!Pongezi sana,Yawezekana sana MUNGU amekuandaa uwe MKOMBOZI wetu mtarajiwa nchi hii. Ila simama peke yako! Usiige tabia za Magufuli! Utaharibu.
@DeogratiusAndrew-zi7zvАй бұрын
Nakuja na gris ili spana zisigome, na grisi nimaombi tunakuombea mnooo Mungu awe kilakitu kwako,
@olivernyange2349
Ай бұрын
😂😂😂😂😂 umenichekesha mpaka basi Asante kwa kuniongezea siku
Hongera Mh Makonda,kwa kazi Arusha.Hivi wakuu wa mikoa wengine wanafanya Nini??? Mbona km wako likizo wakati nchi hii imejaa uozo km wa Arusha?
@user-wv1pu4jo3kАй бұрын
Kwelii makonda nakuaminia baba Arusha wataipenda safari hii mbona raha jamani raha au siyo raha mm naona rahaaaa
@ZuhuraAbdallah-gx7vmАй бұрын
Hongera sana makonda uwe mfano kwa wakuu wa mikoa mingine kutatua kero za wananchi wannyonge
@MohamediKapilimaАй бұрын
Makonda hanaweza ongera sana
@mussakilo4916Ай бұрын
Arusha dah kumbe ndio kumeoza hivi dah makonda mungu akulinde sana
@leahkabura4271Ай бұрын
Makonda ni kichwa🔥🔥
@catherinechami528724 күн бұрын
Mungu aendelee kukulinda kweli unastaili kuwa Rais wa hii nchi Kwa miakaijayo baada ya mama kumaliza muda wake nakuombe sana kwa Mungu uendelee kuwatetea wanyonge wenye kustahili haki zao waliopokonywa na wanaojiita wenye pesa na wenye dhamana kutowasaidia kupata haki
@PaschalVincent-y4b8 күн бұрын
Mungu akuweke ktk viwango vua juu zaid
@user-zv7qr9eq4sАй бұрын
Nakuombea mungu akupe nguvu na ulinzi ili uendelee kutumikia wananchi wanyongee
@Elias-gy8qu24 күн бұрын
Akiamungu makonda basi mimi chakukusawadia maan unazitaili sawadi tena kubwa. Lakini mungu atakusawadia usijali na mambo yote mazuri unayo yafanya mungu anaziona na atazidi kukupa uwezo mukubwa sana
@AnnaNgobola-pm7fzАй бұрын
Bwana akulinde sana tunakuombea
@user-ck6ny9nt9xАй бұрын
Mhe, makonda.nakutakia maisha marefu mwenyezi mungu akutetee katika jazi yako
@Thomasmvungi-ft8gc24 күн бұрын
Nashukuru mungu sana maana naona kabisa magufuli karudi kivingine
@zakariaswai9180Ай бұрын
ivii Hawa wakuu wamikoa wegine wanafanya kazigani waige kwamakonda
@MamaHafsa-cj3fo25 күн бұрын
Mungu azidi kukupa hekima makonda
@RASHIDMPUMU24 күн бұрын
RC P Makonda pambana ndugu yetu wananchi wanangoaja huduma yako
@user-cx9lt8hh4lАй бұрын
Piga spana makonda tunaona kazi yko nchi ni yetu sote🫡🇹🇿
@qassimislam5291Ай бұрын
Aliesikia Mh Raisi kama mimi tujuane 😂😂😂😂 Makonda kiboko
@davidmogaka7055Ай бұрын
Kumbe kuna magufuli congratulations makonde
@geophreylunyungu1124Ай бұрын
Awafukeze tu mbwa hawa
@PeterChonya-ju8ooАй бұрын
Hapo ndo chama kinaimarika sasa hongera sana Makonda na wengine wangeiga hivo 100%chama kingeaminika na kuimarika sana
@fredericntihaboseАй бұрын
kama unapenda vipindi mbalimbali kutoka JAMBO TV bonyeza kwahio picture yangu unipe support na like
@marcojohn1175
Ай бұрын
😂❤
@GeboAthanas24 күн бұрын
President Future.
@umsulaiman7468Ай бұрын
Makonda Allah akuhifadh yarab kwakweli unatenda haki fukuza mazembe na wezi matapeli arusha saivi itakaa sawa hamna nchezo
@petermlay9169Ай бұрын
Nyota Ina wakaaaaa hakuna wa kuizima
@user-zf4px1di4f28 күн бұрын
Mkoa wa nilipo mm angekuwa huyu ndo mkuu wa mkoa ingekuwa amaizing sana
@nehemiamwailongano2960Ай бұрын
Mikoa mengine wakuu wa mikoa anzeni iyoo sio vibaya kuigiliza mazuri ayoo. Tanzania iwake mbaka inyooke
@allymoshi2053
Ай бұрын
Wengine wanasubiri t posho na mishahara basii
@khadjamhozyaАй бұрын
Huyu mkurugenzi nae mzembe kwani mpaka mambo anaharibika yeye yuko wapi
@NuwaYakubuАй бұрын
Hongera mkuu kwa kazi nzuri, na DC mzembe hakagui miradi,
@wilfredmlaki822Ай бұрын
Safi sana makonda( magufuli style)
@user-ug5cm7uq4m25 күн бұрын
Kaka mkuu ongesewa mda ukaetu Arusha imashida ya manyanyaso ishee Arusha ihii ongera na kaxi kubwa uliyo fanya kwa mda mfup ihii uliyo kuja mwenyexi mungu asidi kukulinda ju ya vita vingi itakayo inuka juuyako
@PsRuthMalick27 күн бұрын
Asante Mungu kunaviongozi watenda haki
@davidlemooli4011Ай бұрын
Nakukubali mkuu makonda, njoo lengijave.
@user-tw8cx4ml2fАй бұрын
Mungu akulinde mtumishi.tunakuomba uchukue form ya urais
@MaryLuogaАй бұрын
Hongera baba makonda kwa kazi unayo ifanya munge akuongezee siku za kuishi.
@SamwelMwilwa
Ай бұрын
Natamani wote wafuate nyao zako Nchi itafika mbali
@BeatriceMsoffeАй бұрын
Mungu awatetee viongozi awape hekima mkiongozwa na makonda .
@kyaa006Ай бұрын
Baraza la madiwani Arusha jiji ndiyo tatizo kubwa hapo hawaisimamii kikamilifu Halmashauri yao
@sebastianmwantuge5597
Ай бұрын
Hawana nguvu kutokana na mfumo wa utawala
@robertcyriacus208Ай бұрын
Kiongozi mahili sana Makonda,piga kazi mkuu!!!
@omaryally560021 күн бұрын
Safi sana
@user-kt3bb7mr4e23 күн бұрын
Mungu wetu mlinde makonda azidi kutetea wanyonge😢
@mohamedjakaya5355Ай бұрын
Matatizo hayo yapo mikoa yote ila wakuu wa mikoa wengine hawajui wajibu wao ama wamelala au wanataka kumwangusha Raisi Samia aonekane hafai. Kwanini hawaigi mfano wa Mh. Makonda au Mh. Chalamila nae pia anajitahidi mkoa wa Dar es salaam
@khadjamhozya
Ай бұрын
Huo Samia pamoja na hayo hafai
@HillaryKobia28 күн бұрын
Makonda for president
@user-nn2cz6zc9oАй бұрын
Piga spana mpaka lieleweke
@BeatriceMsoffeАй бұрын
Makonda upo vizuri lkn ni Kwa neema ya Mungu mtegemee Mungu ktk kazi yako
@user-kn6bd2ep8mАй бұрын
Makond mungu akuzidishie maisha malefu uwenderee kutuokowa
@hussentecno6167Ай бұрын
The honored head of the Arusha region has the reputation of being a president for 25+ years
@juliusjoseph8550Ай бұрын
Trust me magufuli is back
@leahkabura4271
Ай бұрын
Sure
@Japhary-sx3jeАй бұрын
Makonda na rc wake mnapendana sana fanyeni kazi mama samia ongera sana
@CristinLyangaАй бұрын
Wewe unassembled Makonda sio maulana yake asiwafukuze kazi? Unataka nani awafukuze kama hata wenye maulana wameshindwa na haohao pia ni wezi? Pumbafuuuuu tena kaa pembeni hukooo nyooo. Watanzania tuna hasira za long hatuna pa kupumulia wewe Ng'weee acheni Makondo awatimulie huko. Tenaaaaaa!!@
@MichaelShigelaАй бұрын
😂😂 hawajakuelewa Badoo ni wazito kuelewa 😂😂😂😂
@fredmbossa-kc3qn
Ай бұрын
😆😆😆😆😆😆😆
@GeorgeMwasibata26 күн бұрын
Duu hakika unaweza broo maana wengi tunaangamia kwa kukosa elim
@KambaleElishaАй бұрын
Asante kwa KAZI
@paullengai4923Ай бұрын
Chapa kazi Mungu akutangulie
@happinessmarijani2783Ай бұрын
Hongera sana mwanangu God bless you
@justacemutazahaАй бұрын
KOMAA MAKONDA MUNGU AKUZIDISHIE MALAIKA WALINZI KIJANA.
@shabanungando5169Ай бұрын
Fanya kazi kaka saf sana
@user-it8su6ss5v28 күн бұрын
Mweshimiwa Mimi ni chadema njoo chadema upewe urais wa nchi
@HadijaZabroni-pu1ltАй бұрын
Mimi nakupa hongera sana makonda
@SadockgSombiАй бұрын
Mungu akupiganie Sana Mr makonda
@EdwardOkemba5 күн бұрын
Makonda tunakuomba uje mkoa mara utusaidie shida nyingi sana
@RachelHaongaАй бұрын
Mungu akulinde na watokee wengine kama wewe wa kusimamia haki za wanyonge.
@SahaniKihongweАй бұрын
Yes my boy
@YusuphMarcOgagaАй бұрын
Sikubaliani na walichofanya hao afisa elimu lakn mkuu wa mkoa hajawapa muda wa kujieleza ni kwann wamefanya makosa hayo.....ukute hata mfumo ndo ulikuwa hafifu tungewasikia tungejua tatizo
@allyabdallah1183Ай бұрын
Mungu akulinde makonda
@AbubakariMakoke-kk5kq24 күн бұрын
Mambo yaliyoibuliwa Arusha watendaji wanataka kuzika nchi
@maimunamunisigloyyixigjsgs6638Ай бұрын
Baba unaweza na mungu akulinde. Maana hawa majizi na wala rushwa ni wengi mno
@ErickSperatus23 күн бұрын
Mitano tena raisi makonda nafatilia hotuba zako kuzid hotuba za.......
@MawazoKitumbo25 күн бұрын
Makonda uwe makin maana vitu vzr hua havidum
@bitonyFabianАй бұрын
Piga kazi Bab katiba ingeruhusu mwakan chukuaga from uraisi unakutaka brooo
@Dionizistacio-be1phАй бұрын
Our future president we❤
@TsunamiBarakaАй бұрын
Hongera makonda
@leonardobedi4779Ай бұрын
piga spana kaka 😂😂😂
@HadijaZabroni-pu1ltАй бұрын
Daaamtihani sana MAsikini 😭😭😭😭😭😭
@shabanungando5169Ай бұрын
Hawa ndio wanao kwamisha chama chetu
@InnocentShayo-ku9ilАй бұрын
Baba nakuombea mungu akulinde sana
@Sarahnanyangwe-yk4toАй бұрын
Piga kazz mkuu na mungu akubariki
@umsulaiman7468Ай бұрын
Hee mze mpaka afe jaman mpeni haki yke kabla hajafa Makonda msaidie washa iuza aridh hawaogopi nunda wakubwa ndo washa zowea kuhonga
@user-wf7oh9jr7v19 күн бұрын
Raisi mtarajiwa.
@claudbusumilo3979Ай бұрын
MAKONDA MUNGU AKUTUNZE AKUPE KUISHI SANA
@jamalkishanguАй бұрын
Kaza supana ukiona gali halitengenezeki tupa jaani nunua mpya. Haki ipelekwe sehemu inayo stahiki.
Пікірлер: 254
Mungu akulinde sana . Kazi unyofa ni Mungu
Yani tunamalizana hapo hapo...safi sana my future president
Tuangalieni lakini haya maisha tusichukue maamuzi kwapupa tuelewe Kila anayeumizwa ana watu. La pili masuala mengi ya manunuzi yanaongezwa na mifumo na kuwatatiza wengi,tusipoangalia mifumo hii itawadhulumu wafanyakazi wetu. Wanachelewa kupata fedha kutokana na mifumo baadae wanakutana na spana wanapoteza KAZI zao. Lakini pia halmashauri zetu na mabaraza Yao kuna bureaucracy nyingi na mizunguko ya uamuzi. Nadhani ni vyema kutoa maelekezo Ili baadae watakaoshindwa wawajibike. Nimemsikiliza Mhe Rais jana katika gawio wasiofanya vyema wametakiwa wakaguzi wa hesabu kwenda kubaini kwanza tatizo. Wapo wazembe na wabadhirifu Hawa endapo Takukuru watabaini wachukuliwe hatua na sio hoja na hapohapo kuwamaliza watu nadhani tunahitaji zaidi utulivu katika kuwafuatilia haya.
@Gloria-vh5bz
25 күн бұрын
Shida watanzania tunaendeshwa na mihemko, watu wanashangilia bila kujua kuna familia zitaumizwa bila makosa kwa huu UJINGA wa kutaka sifa za wananchi ,HUWEZ kumfukuza mtu ambae anafanya kazi kwenye system ya wengi bila uchunguz kisa sifa ,Dah huyu mtu ataharibu Mambo km Kawaida yake.watu wameshasahau kuwa huyu ndio wale watu wasiojulikana waliopotezs roho za wengi kipindi cha mwendazake
Hongera sana Mh.Makonda.Mama hakukosea kukupa moja.Mh.kwa vile Una hofu Mungu,Una uwezo.Unatosha na unastahili.Hongera mwana wa Paul.
Kama supana Jestitepo UKISIKIA KIMENUKA KIMEUMANA NDIO HIKI SASA KIMEVUNDA KIMECHACHA BRAVO MKUU MAKONDA MZALENDO 🇹🇿 👏😂
Hii nchi inakuhitaji wewe kaka yetu ungeliwezekana kaka yetu wacha niseme mumhh!! Big up sana mh. Makonda
Asee Makonda kazi unayoifanya Mungu azidi kukupigania sana sana unastahili kupewa nchi hii tumeshachelewa sana Mkuu
@SaimonMwashinga
Ай бұрын
Kaka unaweza kazi apa kazi tu
Makonda Mungu akubariki ,endelea kukutetea wanyonge
Mungu amlinde huyu baba..mama Samia mpandishe cheo awe waziri mkuu
Mungu akubariki sana mku wamkoa wa Arusha piga kazi mungu akupe uongozi wa urais
Daaaahhh mungu Akuinue juu kwa ajili ya nchi yetu.
Mungu azid kukuongoza katika utendaji wako Wewi ni kiongozi bora hakika
Ccm vs ccm tatizo ni mweyekiti wenu
@jamalkishangu
Ай бұрын
Mwenyekiti ndio aende mpaka mikoani atawasaidie wananchi?
Hongera sana kiongozi kwa kuokoa wanyonge Mungu yupo pamoja nawe
khamis rajab: mh Rc Paul makonda...Arusha. hongera kwa ziara zako,, kwa kufuatilia kero za wananchi, hao ulio wafukuza haki yao adhabu uliyotoa,wengine watajifunza.
Makonda mungu akulinde kila hatua
Makonda mungu akupemyw mingi mana watu wapotu kazini
Mh. Makonda!Pongezi sana,Yawezekana sana MUNGU amekuandaa uwe MKOMBOZI wetu mtarajiwa nchi hii. Ila simama peke yako! Usiige tabia za Magufuli! Utaharibu.
Nakuja na gris ili spana zisigome, na grisi nimaombi tunakuombea mnooo Mungu awe kilakitu kwako,
@olivernyange2349
Ай бұрын
😂😂😂😂😂 umenichekesha mpaka basi Asante kwa kuniongezea siku
@DeogratiusAndrew-zi7zv
Ай бұрын
@@olivernyange2349 nimekukuchekesha nini ndugu yangu
Huyu mtu Alindwe
Hongera Mh Makonda,kwa kazi Arusha.Hivi wakuu wa mikoa wengine wanafanya Nini??? Mbona km wako likizo wakati nchi hii imejaa uozo km wa Arusha?
Kwelii makonda nakuaminia baba Arusha wataipenda safari hii mbona raha jamani raha au siyo raha mm naona rahaaaa
Hongera sana makonda uwe mfano kwa wakuu wa mikoa mingine kutatua kero za wananchi wannyonge
Makonda hanaweza ongera sana
Arusha dah kumbe ndio kumeoza hivi dah makonda mungu akulinde sana
Makonda ni kichwa🔥🔥
Mungu aendelee kukulinda kweli unastaili kuwa Rais wa hii nchi Kwa miakaijayo baada ya mama kumaliza muda wake nakuombe sana kwa Mungu uendelee kuwatetea wanyonge wenye kustahili haki zao waliopokonywa na wanaojiita wenye pesa na wenye dhamana kutowasaidia kupata haki
Mungu akuweke ktk viwango vua juu zaid
Nakuombea mungu akupe nguvu na ulinzi ili uendelee kutumikia wananchi wanyongee
Akiamungu makonda basi mimi chakukusawadia maan unazitaili sawadi tena kubwa. Lakini mungu atakusawadia usijali na mambo yote mazuri unayo yafanya mungu anaziona na atazidi kukupa uwezo mukubwa sana
Bwana akulinde sana tunakuombea
Mhe, makonda.nakutakia maisha marefu mwenyezi mungu akutetee katika jazi yako
Nashukuru mungu sana maana naona kabisa magufuli karudi kivingine
ivii Hawa wakuu wamikoa wegine wanafanya kazigani waige kwamakonda
Mungu azidi kukupa hekima makonda
RC P Makonda pambana ndugu yetu wananchi wanangoaja huduma yako
Piga spana makonda tunaona kazi yko nchi ni yetu sote🫡🇹🇿
Aliesikia Mh Raisi kama mimi tujuane 😂😂😂😂 Makonda kiboko
Kumbe kuna magufuli congratulations makonde
Awafukeze tu mbwa hawa
Hapo ndo chama kinaimarika sasa hongera sana Makonda na wengine wangeiga hivo 100%chama kingeaminika na kuimarika sana
kama unapenda vipindi mbalimbali kutoka JAMBO TV bonyeza kwahio picture yangu unipe support na like
@marcojohn1175
Ай бұрын
😂❤
President Future.
Makonda Allah akuhifadh yarab kwakweli unatenda haki fukuza mazembe na wezi matapeli arusha saivi itakaa sawa hamna nchezo
Nyota Ina wakaaaaa hakuna wa kuizima
Mkoa wa nilipo mm angekuwa huyu ndo mkuu wa mkoa ingekuwa amaizing sana
Mikoa mengine wakuu wa mikoa anzeni iyoo sio vibaya kuigiliza mazuri ayoo. Tanzania iwake mbaka inyooke
@allymoshi2053
Ай бұрын
Wengine wanasubiri t posho na mishahara basii
Huyu mkurugenzi nae mzembe kwani mpaka mambo anaharibika yeye yuko wapi
Hongera mkuu kwa kazi nzuri, na DC mzembe hakagui miradi,
Safi sana makonda( magufuli style)
Kaka mkuu ongesewa mda ukaetu Arusha imashida ya manyanyaso ishee Arusha ihii ongera na kaxi kubwa uliyo fanya kwa mda mfup ihii uliyo kuja mwenyexi mungu asidi kukulinda ju ya vita vingi itakayo inuka juuyako
Asante Mungu kunaviongozi watenda haki
Nakukubali mkuu makonda, njoo lengijave.
Mungu akulinde mtumishi.tunakuomba uchukue form ya urais
Hongera baba makonda kwa kazi unayo ifanya munge akuongezee siku za kuishi.
@SamwelMwilwa
Ай бұрын
Natamani wote wafuate nyao zako Nchi itafika mbali
Mungu awatetee viongozi awape hekima mkiongozwa na makonda .
Baraza la madiwani Arusha jiji ndiyo tatizo kubwa hapo hawaisimamii kikamilifu Halmashauri yao
@sebastianmwantuge5597
Ай бұрын
Hawana nguvu kutokana na mfumo wa utawala
Kiongozi mahili sana Makonda,piga kazi mkuu!!!
Safi sana
Mungu wetu mlinde makonda azidi kutetea wanyonge😢
Matatizo hayo yapo mikoa yote ila wakuu wa mikoa wengine hawajui wajibu wao ama wamelala au wanataka kumwangusha Raisi Samia aonekane hafai. Kwanini hawaigi mfano wa Mh. Makonda au Mh. Chalamila nae pia anajitahidi mkoa wa Dar es salaam
@khadjamhozya
Ай бұрын
Huo Samia pamoja na hayo hafai
Makonda for president
Piga spana mpaka lieleweke
Makonda upo vizuri lkn ni Kwa neema ya Mungu mtegemee Mungu ktk kazi yako
Makond mungu akuzidishie maisha malefu uwenderee kutuokowa
The honored head of the Arusha region has the reputation of being a president for 25+ years
Trust me magufuli is back
@leahkabura4271
Ай бұрын
Sure
Makonda na rc wake mnapendana sana fanyeni kazi mama samia ongera sana
Wewe unassembled Makonda sio maulana yake asiwafukuze kazi? Unataka nani awafukuze kama hata wenye maulana wameshindwa na haohao pia ni wezi? Pumbafuuuuu tena kaa pembeni hukooo nyooo. Watanzania tuna hasira za long hatuna pa kupumulia wewe Ng'weee acheni Makondo awatimulie huko. Tenaaaaaa!!@
😂😂 hawajakuelewa Badoo ni wazito kuelewa 😂😂😂😂
@fredmbossa-kc3qn
Ай бұрын
😆😆😆😆😆😆😆
Duu hakika unaweza broo maana wengi tunaangamia kwa kukosa elim
Asante kwa KAZI
Chapa kazi Mungu akutangulie
Hongera sana mwanangu God bless you
KOMAA MAKONDA MUNGU AKUZIDISHIE MALAIKA WALINZI KIJANA.
Fanya kazi kaka saf sana
Mweshimiwa Mimi ni chadema njoo chadema upewe urais wa nchi
Mimi nakupa hongera sana makonda
Mungu akupiganie Sana Mr makonda
Makonda tunakuomba uje mkoa mara utusaidie shida nyingi sana
Mungu akulinde na watokee wengine kama wewe wa kusimamia haki za wanyonge.
Yes my boy
Sikubaliani na walichofanya hao afisa elimu lakn mkuu wa mkoa hajawapa muda wa kujieleza ni kwann wamefanya makosa hayo.....ukute hata mfumo ndo ulikuwa hafifu tungewasikia tungejua tatizo
Mungu akulinde makonda
Mambo yaliyoibuliwa Arusha watendaji wanataka kuzika nchi
Baba unaweza na mungu akulinde. Maana hawa majizi na wala rushwa ni wengi mno
Mitano tena raisi makonda nafatilia hotuba zako kuzid hotuba za.......
Makonda uwe makin maana vitu vzr hua havidum
Piga kazi Bab katiba ingeruhusu mwakan chukuaga from uraisi unakutaka brooo
Our future president we❤
Hongera makonda
piga spana kaka 😂😂😂
Daaamtihani sana MAsikini 😭😭😭😭😭😭
Hawa ndio wanao kwamisha chama chetu
Baba nakuombea mungu akulinde sana
Piga kazz mkuu na mungu akubariki
Hee mze mpaka afe jaman mpeni haki yke kabla hajafa Makonda msaidie washa iuza aridh hawaogopi nunda wakubwa ndo washa zowea kuhonga
Raisi mtarajiwa.
MAKONDA MUNGU AKUTUNZE AKUPE KUISHI SANA
Kaza supana ukiona gali halitengenezeki tupa jaani nunua mpya. Haki ipelekwe sehemu inayo stahiki.