MAKONDA AWAFUKUZA KAZI WATUMISHI ARUSHA

#JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►KZread: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/

Пікірлер: 254

  • @user-md7ug5dd9r
    @user-md7ug5dd9rАй бұрын

    Mungu akulinde sana . Kazi unyofa ni Mungu

  • @deejeydaev
    @deejeydaevАй бұрын

    Yani tunamalizana hapo hapo...safi sana my future president

  • @suleimanabdillah7490
    @suleimanabdillah7490Ай бұрын

    Tuangalieni lakini haya maisha tusichukue maamuzi kwapupa tuelewe Kila anayeumizwa ana watu. La pili masuala mengi ya manunuzi yanaongezwa na mifumo na kuwatatiza wengi,tusipoangalia mifumo hii itawadhulumu wafanyakazi wetu. Wanachelewa kupata fedha kutokana na mifumo baadae wanakutana na spana wanapoteza KAZI zao. Lakini pia halmashauri zetu na mabaraza Yao kuna bureaucracy nyingi na mizunguko ya uamuzi. Nadhani ni vyema kutoa maelekezo Ili baadae watakaoshindwa wawajibike. Nimemsikiliza Mhe Rais jana katika gawio wasiofanya vyema wametakiwa wakaguzi wa hesabu kwenda kubaini kwanza tatizo. Wapo wazembe na wabadhirifu Hawa endapo Takukuru watabaini wachukuliwe hatua na sio hoja na hapohapo kuwamaliza watu nadhani tunahitaji zaidi utulivu katika kuwafuatilia haya.

  • @Gloria-vh5bz

    @Gloria-vh5bz

    25 күн бұрын

    Shida watanzania tunaendeshwa na mihemko, watu wanashangilia bila kujua kuna familia zitaumizwa bila makosa kwa huu UJINGA wa kutaka sifa za wananchi ,HUWEZ kumfukuza mtu ambae anafanya kazi kwenye system ya wengi bila uchunguz kisa sifa ,Dah huyu mtu ataharibu Mambo km Kawaida yake.watu wameshasahau kuwa huyu ndio wale watu wasiojulikana waliopotezs roho za wengi kipindi cha mwendazake

  • @judithkisinini8546
    @judithkisinini8546Ай бұрын

    Hongera sana Mh.Makonda.Mama hakukosea kukupa moja.Mh.kwa vile Una hofu Mungu,Una uwezo.Unatosha na unastahili.Hongera mwana wa Paul.

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054Ай бұрын

    Kama supana Jestitepo UKISIKIA KIMENUKA KIMEUMANA NDIO HIKI SASA KIMEVUNDA KIMECHACHA BRAVO MKUU MAKONDA MZALENDO 🇹🇿 👏😂

  • @LeonardLugange
    @LeonardLugangeАй бұрын

    Hii nchi inakuhitaji wewe kaka yetu ungeliwezekana kaka yetu wacha niseme mumhh!! Big up sana mh. Makonda

  • @edwinnzigo4670
    @edwinnzigo4670Ай бұрын

    Asee Makonda kazi unayoifanya Mungu azidi kukupigania sana sana unastahili kupewa nchi hii tumeshachelewa sana Mkuu

  • @SaimonMwashinga

    @SaimonMwashinga

    Ай бұрын

    Kaka unaweza kazi apa kazi tu

  • @AlanusGerodi-mo3dm
    @AlanusGerodi-mo3dmАй бұрын

    Makonda Mungu akubariki ,endelea kukutetea wanyonge

  • @JudyAssey
    @JudyAsseyАй бұрын

    Mungu amlinde huyu baba..mama Samia mpandishe cheo awe waziri mkuu

  • @nowamateyo3318
    @nowamateyo3318Ай бұрын

    Mungu akubariki sana mku wamkoa wa Arusha piga kazi mungu akupe uongozi wa urais

  • @eliamatinya2791
    @eliamatinya2791Ай бұрын

    Daaaahhh mungu Akuinue juu kwa ajili ya nchi yetu.

  • @TaisonPangani-nw2om
    @TaisonPangani-nw2omАй бұрын

    Mungu azid kukuongoza katika utendaji wako Wewi ni kiongozi bora hakika

  • @ChristianMkumbo-ix2ke
    @ChristianMkumbo-ix2keАй бұрын

    Ccm vs ccm tatizo ni mweyekiti wenu

  • @jamalkishangu

    @jamalkishangu

    Ай бұрын

    Mwenyekiti ndio aende mpaka mikoani atawasaidie wananchi?

  • @dausonmuganguzi463
    @dausonmuganguzi4634 күн бұрын

    Hongera sana kiongozi kwa kuokoa wanyonge Mungu yupo pamoja nawe

  • @KhamisRajab-kf5ve
    @KhamisRajab-kf5veАй бұрын

    khamis rajab: mh Rc Paul makonda...Arusha. hongera kwa ziara zako,, kwa kufuatilia kero za wananchi, hao ulio wafukuza haki yao adhabu uliyotoa,wengine watajifunza.

  • @user-xc4gr6by1y
    @user-xc4gr6by1yАй бұрын

    Makonda mungu akulinde kila hatua

  • @user-dm8ys5uz8q
    @user-dm8ys5uz8q17 күн бұрын

    Makonda mungu akupemyw mingi mana watu wapotu kazini

  • @williammarete3970
    @williammarete397021 күн бұрын

    Mh. Makonda!Pongezi sana,Yawezekana sana MUNGU amekuandaa uwe MKOMBOZI wetu mtarajiwa nchi hii. Ila simama peke yako! Usiige tabia za Magufuli! Utaharibu.

  • @DeogratiusAndrew-zi7zv
    @DeogratiusAndrew-zi7zvАй бұрын

    Nakuja na gris ili spana zisigome, na grisi nimaombi tunakuombea mnooo Mungu awe kilakitu kwako,

  • @olivernyange2349

    @olivernyange2349

    Ай бұрын

    😂😂😂😂😂 umenichekesha mpaka basi Asante kwa kuniongezea siku

  • @DeogratiusAndrew-zi7zv

    @DeogratiusAndrew-zi7zv

    Ай бұрын

    @@olivernyange2349 nimekukuchekesha nini ndugu yangu

  • @mose82
    @mose82Ай бұрын

    Huyu mtu Alindwe

  • @rebmanwillbard7464
    @rebmanwillbard746419 күн бұрын

    Hongera Mh Makonda,kwa kazi Arusha.Hivi wakuu wa mikoa wengine wanafanya Nini??? Mbona km wako likizo wakati nchi hii imejaa uozo km wa Arusha?

  • @user-wv1pu4jo3k
    @user-wv1pu4jo3kАй бұрын

    Kwelii makonda nakuaminia baba Arusha wataipenda safari hii mbona raha jamani raha au siyo raha mm naona rahaaaa

  • @ZuhuraAbdallah-gx7vm
    @ZuhuraAbdallah-gx7vmАй бұрын

    Hongera sana makonda uwe mfano kwa wakuu wa mikoa mingine kutatua kero za wananchi wannyonge

  • @MohamediKapilima
    @MohamediKapilimaАй бұрын

    Makonda hanaweza ongera sana

  • @mussakilo4916
    @mussakilo4916Ай бұрын

    Arusha dah kumbe ndio kumeoza hivi dah makonda mungu akulinde sana

  • @leahkabura4271
    @leahkabura4271Ай бұрын

    Makonda ni kichwa🔥🔥

  • @catherinechami5287
    @catherinechami528724 күн бұрын

    Mungu aendelee kukulinda kweli unastaili kuwa Rais wa hii nchi Kwa miakaijayo baada ya mama kumaliza muda wake nakuombe sana kwa Mungu uendelee kuwatetea wanyonge wenye kustahili haki zao waliopokonywa na wanaojiita wenye pesa na wenye dhamana kutowasaidia kupata haki

  • @PaschalVincent-y4b
    @PaschalVincent-y4b8 күн бұрын

    Mungu akuweke ktk viwango vua juu zaid

  • @user-zv7qr9eq4s
    @user-zv7qr9eq4sАй бұрын

    Nakuombea mungu akupe nguvu na ulinzi ili uendelee kutumikia wananchi wanyongee

  • @Elias-gy8qu
    @Elias-gy8qu24 күн бұрын

    Akiamungu makonda basi mimi chakukusawadia maan unazitaili sawadi tena kubwa. Lakini mungu atakusawadia usijali na mambo yote mazuri unayo yafanya mungu anaziona na atazidi kukupa uwezo mukubwa sana

  • @AnnaNgobola-pm7fz
    @AnnaNgobola-pm7fzАй бұрын

    Bwana akulinde sana tunakuombea

  • @user-ck6ny9nt9x
    @user-ck6ny9nt9xАй бұрын

    Mhe, makonda.nakutakia maisha marefu mwenyezi mungu akutetee katika jazi yako

  • @Thomasmvungi-ft8gc
    @Thomasmvungi-ft8gc24 күн бұрын

    Nashukuru mungu sana maana naona kabisa magufuli karudi kivingine

  • @zakariaswai9180
    @zakariaswai9180Ай бұрын

    ivii Hawa wakuu wamikoa wegine wanafanya kazigani waige kwamakonda

  • @MamaHafsa-cj3fo
    @MamaHafsa-cj3fo25 күн бұрын

    Mungu azidi kukupa hekima makonda

  • @RASHIDMPUMU
    @RASHIDMPUMU24 күн бұрын

    RC P Makonda pambana ndugu yetu wananchi wanangoaja huduma yako

  • @user-cx9lt8hh4l
    @user-cx9lt8hh4lАй бұрын

    Piga spana makonda tunaona kazi yko nchi ni yetu sote🫡🇹🇿

  • @qassimislam5291
    @qassimislam5291Ай бұрын

    Aliesikia Mh Raisi kama mimi tujuane 😂😂😂😂 Makonda kiboko

  • @davidmogaka7055
    @davidmogaka7055Ай бұрын

    Kumbe kuna magufuli congratulations makonde

  • @geophreylunyungu1124
    @geophreylunyungu1124Ай бұрын

    Awafukeze tu mbwa hawa

  • @PeterChonya-ju8oo
    @PeterChonya-ju8ooАй бұрын

    Hapo ndo chama kinaimarika sasa hongera sana Makonda na wengine wangeiga hivo 100%chama kingeaminika na kuimarika sana

  • @fredericntihabose
    @fredericntihaboseАй бұрын

    kama unapenda vipindi mbalimbali kutoka JAMBO TV bonyeza kwahio picture yangu unipe support na like

  • @marcojohn1175

    @marcojohn1175

    Ай бұрын

    😂❤

  • @GeboAthanas
    @GeboAthanas24 күн бұрын

    President Future.

  • @umsulaiman7468
    @umsulaiman7468Ай бұрын

    Makonda Allah akuhifadh yarab kwakweli unatenda haki fukuza mazembe na wezi matapeli arusha saivi itakaa sawa hamna nchezo

  • @petermlay9169
    @petermlay9169Ай бұрын

    Nyota Ina wakaaaaa hakuna wa kuizima

  • @user-zf4px1di4f
    @user-zf4px1di4f28 күн бұрын

    Mkoa wa nilipo mm angekuwa huyu ndo mkuu wa mkoa ingekuwa amaizing sana

  • @nehemiamwailongano2960
    @nehemiamwailongano2960Ай бұрын

    Mikoa mengine wakuu wa mikoa anzeni iyoo sio vibaya kuigiliza mazuri ayoo. Tanzania iwake mbaka inyooke

  • @allymoshi2053

    @allymoshi2053

    Ай бұрын

    Wengine wanasubiri t posho na mishahara basii

  • @khadjamhozya
    @khadjamhozyaАй бұрын

    Huyu mkurugenzi nae mzembe kwani mpaka mambo anaharibika yeye yuko wapi

  • @NuwaYakubu
    @NuwaYakubuАй бұрын

    Hongera mkuu kwa kazi nzuri, na DC mzembe hakagui miradi,

  • @wilfredmlaki822
    @wilfredmlaki822Ай бұрын

    Safi sana makonda( magufuli style)

  • @user-ug5cm7uq4m
    @user-ug5cm7uq4m25 күн бұрын

    Kaka mkuu ongesewa mda ukaetu Arusha imashida ya manyanyaso ishee Arusha ihii ongera na kaxi kubwa uliyo fanya kwa mda mfup ihii uliyo kuja mwenyexi mungu asidi kukulinda ju ya vita vingi itakayo inuka juuyako

  • @PsRuthMalick
    @PsRuthMalick27 күн бұрын

    Asante Mungu kunaviongozi watenda haki

  • @davidlemooli4011
    @davidlemooli4011Ай бұрын

    Nakukubali mkuu makonda, njoo lengijave.

  • @user-tw8cx4ml2f
    @user-tw8cx4ml2fАй бұрын

    Mungu akulinde mtumishi.tunakuomba uchukue form ya urais

  • @MaryLuoga
    @MaryLuogaАй бұрын

    Hongera baba makonda kwa kazi unayo ifanya munge akuongezee siku za kuishi.

  • @SamwelMwilwa

    @SamwelMwilwa

    Ай бұрын

    Natamani wote wafuate nyao zako Nchi itafika mbali

  • @BeatriceMsoffe
    @BeatriceMsoffeАй бұрын

    Mungu awatetee viongozi awape hekima mkiongozwa na makonda .

  • @kyaa006
    @kyaa006Ай бұрын

    Baraza la madiwani Arusha jiji ndiyo tatizo kubwa hapo hawaisimamii kikamilifu Halmashauri yao

  • @sebastianmwantuge5597

    @sebastianmwantuge5597

    Ай бұрын

    Hawana nguvu kutokana na mfumo wa utawala

  • @robertcyriacus208
    @robertcyriacus208Ай бұрын

    Kiongozi mahili sana Makonda,piga kazi mkuu!!!

  • @omaryally5600
    @omaryally560021 күн бұрын

    Safi sana

  • @user-kt3bb7mr4e
    @user-kt3bb7mr4e23 күн бұрын

    Mungu wetu mlinde makonda azidi kutetea wanyonge😢

  • @mohamedjakaya5355
    @mohamedjakaya5355Ай бұрын

    Matatizo hayo yapo mikoa yote ila wakuu wa mikoa wengine hawajui wajibu wao ama wamelala au wanataka kumwangusha Raisi Samia aonekane hafai. Kwanini hawaigi mfano wa Mh. Makonda au Mh. Chalamila nae pia anajitahidi mkoa wa Dar es salaam

  • @khadjamhozya

    @khadjamhozya

    Ай бұрын

    Huo Samia pamoja na hayo hafai

  • @HillaryKobia
    @HillaryKobia28 күн бұрын

    Makonda for president

  • @user-nn2cz6zc9o
    @user-nn2cz6zc9oАй бұрын

    Piga spana mpaka lieleweke

  • @BeatriceMsoffe
    @BeatriceMsoffeАй бұрын

    Makonda upo vizuri lkn ni Kwa neema ya Mungu mtegemee Mungu ktk kazi yako

  • @user-kn6bd2ep8m
    @user-kn6bd2ep8mАй бұрын

    Makond mungu akuzidishie maisha malefu uwenderee kutuokowa

  • @hussentecno6167
    @hussentecno6167Ай бұрын

    The honored head of the Arusha region has the reputation of being a president for 25+ years

  • @juliusjoseph8550
    @juliusjoseph8550Ай бұрын

    Trust me magufuli is back

  • @leahkabura4271

    @leahkabura4271

    Ай бұрын

    Sure

  • @Japhary-sx3je
    @Japhary-sx3jeАй бұрын

    Makonda na rc wake mnapendana sana fanyeni kazi mama samia ongera sana

  • @CristinLyanga
    @CristinLyangaАй бұрын

    Wewe unassembled Makonda sio maulana yake asiwafukuze kazi? Unataka nani awafukuze kama hata wenye maulana wameshindwa na haohao pia ni wezi? Pumbafuuuuu tena kaa pembeni hukooo nyooo. Watanzania tuna hasira za long hatuna pa kupumulia wewe Ng'weee acheni Makondo awatimulie huko. Tenaaaaaa!!@

  • @MichaelShigela
    @MichaelShigelaАй бұрын

    😂😂 hawajakuelewa Badoo ni wazito kuelewa 😂😂😂😂

  • @fredmbossa-kc3qn

    @fredmbossa-kc3qn

    Ай бұрын

    😆😆😆😆😆😆😆

  • @GeorgeMwasibata
    @GeorgeMwasibata26 күн бұрын

    Duu hakika unaweza broo maana wengi tunaangamia kwa kukosa elim

  • @KambaleElisha
    @KambaleElishaАй бұрын

    Asante kwa KAZI

  • @paullengai4923
    @paullengai4923Ай бұрын

    Chapa kazi Mungu akutangulie

  • @happinessmarijani2783
    @happinessmarijani2783Ай бұрын

    Hongera sana mwanangu God bless you

  • @justacemutazaha
    @justacemutazahaАй бұрын

    KOMAA MAKONDA MUNGU AKUZIDISHIE MALAIKA WALINZI KIJANA.

  • @shabanungando5169
    @shabanungando5169Ай бұрын

    Fanya kazi kaka saf sana

  • @user-it8su6ss5v
    @user-it8su6ss5v28 күн бұрын

    Mweshimiwa Mimi ni chadema njoo chadema upewe urais wa nchi

  • @HadijaZabroni-pu1lt
    @HadijaZabroni-pu1ltАй бұрын

    Mimi nakupa hongera sana makonda

  • @SadockgSombi
    @SadockgSombiАй бұрын

    Mungu akupiganie Sana Mr makonda

  • @EdwardOkemba
    @EdwardOkemba5 күн бұрын

    Makonda tunakuomba uje mkoa mara utusaidie shida nyingi sana

  • @RachelHaonga
    @RachelHaongaАй бұрын

    Mungu akulinde na watokee wengine kama wewe wa kusimamia haki za wanyonge.

  • @SahaniKihongwe
    @SahaniKihongweАй бұрын

    Yes my boy

  • @YusuphMarcOgaga
    @YusuphMarcOgagaАй бұрын

    Sikubaliani na walichofanya hao afisa elimu lakn mkuu wa mkoa hajawapa muda wa kujieleza ni kwann wamefanya makosa hayo.....ukute hata mfumo ndo ulikuwa hafifu tungewasikia tungejua tatizo

  • @allyabdallah1183
    @allyabdallah1183Ай бұрын

    Mungu akulinde makonda

  • @AbubakariMakoke-kk5kq
    @AbubakariMakoke-kk5kq24 күн бұрын

    Mambo yaliyoibuliwa Arusha watendaji wanataka kuzika nchi

  • @maimunamunisigloyyixigjsgs6638
    @maimunamunisigloyyixigjsgs6638Ай бұрын

    Baba unaweza na mungu akulinde. Maana hawa majizi na wala rushwa ni wengi mno

  • @ErickSperatus
    @ErickSperatus23 күн бұрын

    Mitano tena raisi makonda nafatilia hotuba zako kuzid hotuba za.......

  • @MawazoKitumbo
    @MawazoKitumbo25 күн бұрын

    Makonda uwe makin maana vitu vzr hua havidum

  • @bitonyFabian
    @bitonyFabianАй бұрын

    Piga kazi Bab katiba ingeruhusu mwakan chukuaga from uraisi unakutaka brooo

  • @Dionizistacio-be1ph
    @Dionizistacio-be1phАй бұрын

    Our future president we❤

  • @TsunamiBaraka
    @TsunamiBarakaАй бұрын

    Hongera makonda

  • @leonardobedi4779
    @leonardobedi4779Ай бұрын

    piga spana kaka 😂😂😂

  • @HadijaZabroni-pu1lt
    @HadijaZabroni-pu1ltАй бұрын

    Daaamtihani sana MAsikini 😭😭😭😭😭😭

  • @shabanungando5169
    @shabanungando5169Ай бұрын

    Hawa ndio wanao kwamisha chama chetu

  • @InnocentShayo-ku9il
    @InnocentShayo-ku9ilАй бұрын

    Baba nakuombea mungu akulinde sana

  • @Sarahnanyangwe-yk4to
    @Sarahnanyangwe-yk4toАй бұрын

    Piga kazz mkuu na mungu akubariki

  • @umsulaiman7468
    @umsulaiman7468Ай бұрын

    Hee mze mpaka afe jaman mpeni haki yke kabla hajafa Makonda msaidie washa iuza aridh hawaogopi nunda wakubwa ndo washa zowea kuhonga

  • @user-wf7oh9jr7v
    @user-wf7oh9jr7v19 күн бұрын

    Raisi mtarajiwa.

  • @claudbusumilo3979
    @claudbusumilo3979Ай бұрын

    MAKONDA MUNGU AKUTUNZE AKUPE KUISHI SANA

  • @jamalkishangu
    @jamalkishanguАй бұрын

    Kaza supana ukiona gali halitengenezeki tupa jaani nunua mpya. Haki ipelekwe sehemu inayo stahiki.

Келесі