AFISA ARDHI ATIWA NGUVUNI JUU KWAJUU NA RC MAKONDA LIVE AKIPOKEA RUSHWA YA MILIONI 5

Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
KZread : www.youtube.com/@kusagatv6320...
Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...

Пікірлер: 37

  • @ladislausmoris9638
    @ladislausmoris96382 ай бұрын

    Hakika ww ni jembe mh makonda udumu miaka mara dufu❤❤❤❤

  • @boazmaobe7245
    @boazmaobe72452 ай бұрын

    Mungu akupe maisha marefu...huku kenya mbona hamna viongozi kama hawa??? Wezi tu

  • @samirsamson3996
    @samirsamson39962 ай бұрын

    This Man is so brighter keep it up Hon Makonda piga supana kaka

  • @williamwanga2126
    @williamwanga2126Ай бұрын

    Unafanya kazi nzuri Arusha DC hakufai

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts2 ай бұрын

    T M U Mungu azidi kuwalinda....kaazi yeenu ni ngumu zaidi ya kawaida.

  • @scolasticakaduma5143
    @scolasticakaduma51432 ай бұрын

    Makonda hoyeeeeeeeee

  • @OmaryChipeta-mh2wi
    @OmaryChipeta-mh2wi2 ай бұрын

    Wote 2pa ndan

  • @aganolamotoeliya2027
    @aganolamotoeliya2027Ай бұрын

    Mkuu wa mkoa ni mmoja tu tazania Master Makonda.

  • @liliankayoka5892
    @liliankayoka58922 ай бұрын

    Safi sana mh mkonda uje na njombe mkuu

  • @witnessmollel149
    @witnessmollel1492 ай бұрын

    Mungu amlinde jmn, anafanya kazi nzuri

  • @TumainMwambombo
    @TumainMwambomboАй бұрын

    Safi sana makonda karibu songwe

  • @pascalmsechu6874
    @pascalmsechu6874Ай бұрын

    Dada Mzito kwel

  • @mountaincoffee7
    @mountaincoffee72 ай бұрын

    😅😅😅😂😂😂 uyo dada kigugumizi dah noma sana

  • @aganolamotoeliya2027
    @aganolamotoeliya2027Ай бұрын

    Wakipatikana kina makonda10 nchi inanyooka 😢😢😢

  • @evaemil856
    @evaemil8564 күн бұрын

    Madungulushi ni mengi Sana.

  • @amanisereni1708
    @amanisereni17082 ай бұрын

    Makondo wewe ni nyundo mungu akupe nguvu zaidi ya kuwapiga nyundo.

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio40542 ай бұрын

    Sukuma ndani majambazi wote Ao😂😂😂

  • @zebedayokatamaduni9676

    @zebedayokatamaduni9676

    2 ай бұрын

    😂😂😂 sukuma ndani

  • @user-qd2bz1ik8g
    @user-qd2bz1ik8g2 ай бұрын

    Nawingi lake mungu wangu dada anajuta kuwa kwenye kitengo hicho

  • @marianmartin7483
    @marianmartin7483Ай бұрын

    Huyo dada anakiburi sana, anavoonekana. Mh piga spana tu.

  • @mussahancy6591
    @mussahancy65912 ай бұрын

    CHUMA KIKO ARUSHA

  • @romanamassawe814
    @romanamassawe8142 ай бұрын

    Sasa nakubali, na kweli vinakaa kama vinatafuta mchumba,

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith54792 ай бұрын

    Huyu hana akili yaani kabisa unaona kabisa mambo sio bado unathubutu kupokea hela? Kweli za mwizi 40

  • @zidatv1122
    @zidatv11222 ай бұрын

    Ukienda ofisini wanakuangalia tu

  • @user-cq2lt6ho5w
    @user-cq2lt6ho5w2 ай бұрын

    Million mia600 duh

  • @jacksonsilaa415
    @jacksonsilaa4152 ай бұрын

    Mfumo mfumo mbaya hauwezi pata kitu chema

  • @josephnemgosi8804
    @josephnemgosi88042 ай бұрын

    Tatizo mfumo

  • @gilliardgodfriend5745
    @gilliardgodfriend57452 ай бұрын

    ASKARI AKIONGEA HATA NDEGE WALISEMA AMNGANI MWONGO MWOOONGO 😅😅😅 MNASHINDW kumpata😅😅😅

  • @ladislausmoris9638
    @ladislausmoris96382 ай бұрын

    Kaimu wa magufuli oyeeeeeee!!; chapa kazi.

  • @kwisa4899
    @kwisa48992 ай бұрын

    Ccm hii nchi imewashinda

  • @hajihassan5433

    @hajihassan5433

    2 ай бұрын

    Ilikuwa CCM ifanyeje?

  • @kwisa4899

    @kwisa4899

    2 ай бұрын

    ​@@hajihassan5433watengeneze mifumo ya kila mtu kushtakiwa chini ya katiba akiwemo Rais

  • @dismaslalubare4196
    @dismaslalubare41962 ай бұрын

    Muheshimiwa makonda.. huyo ocd anakwambia mtuhumiwa amekaa siku kumi lock cup . Hakuogopi kweli kuna sheria ya kumuweka mahabusu mtu siku kumi ?

  • @victaboy7273

    @victaboy7273

    2 ай бұрын

    😂😂😂 wewe jamaa bhna unafatilia sana ishu za makonda

  • @AllyMaya-yj3xd

    @AllyMaya-yj3xd

    2 ай бұрын

    Yaan unawekwa ndani ili usiharibu uchunguzi

  • @hajihassan5433

    @hajihassan5433

    2 ай бұрын

    Ni kweli sheria ipo hivyo lakini unaweza kumuweka ndani mtu technically kwa zaidi ya mwaka yaani kila siku unamkamata upya na siku inaaza hapo. Hoja hapa ilikuwa useme RC hana mamlaka ya kuingilia wala kuwapa amri yoyote Polisi kwa sababu kila mteule wa Rais ana mamlaka kwenye eneo moja tu. RC anamuwakilisha Rais kwa upande wa Serikali tu. Rais ana mamlaka 3, mkuu wa Serikali, Mkuu wa nchi (hii haikasimiwi) na Mkuu wa Majeshi.

  • @khaliphaabubakar9466

    @khaliphaabubakar9466

    20 күн бұрын

    @@hajihassan5433na RC ni mwakilishi wa raisi.Hizo lele mama ndio maana nchi inadorora.

Келесі