AFISA ARDHI ATIWA NGUVUNI JUU KWAJUU NA RC MAKONDA LIVE AKIPOKEA RUSHWA YA MILIONI 5
Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
KZread : www.youtube.com/@kusagatv6320...
Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...
Пікірлер: 37
Hakika ww ni jembe mh makonda udumu miaka mara dufu❤❤❤❤
Mungu akupe maisha marefu...huku kenya mbona hamna viongozi kama hawa??? Wezi tu
This Man is so brighter keep it up Hon Makonda piga supana kaka
Unafanya kazi nzuri Arusha DC hakufai
T M U Mungu azidi kuwalinda....kaazi yeenu ni ngumu zaidi ya kawaida.
Makonda hoyeeeeeeeee
Wote 2pa ndan
Mkuu wa mkoa ni mmoja tu tazania Master Makonda.
Safi sana mh mkonda uje na njombe mkuu
Mungu amlinde jmn, anafanya kazi nzuri
Safi sana makonda karibu songwe
Dada Mzito kwel
😅😅😅😂😂😂 uyo dada kigugumizi dah noma sana
Wakipatikana kina makonda10 nchi inanyooka 😢😢😢
Madungulushi ni mengi Sana.
Makondo wewe ni nyundo mungu akupe nguvu zaidi ya kuwapiga nyundo.
Sukuma ndani majambazi wote Ao😂😂😂
@zebedayokatamaduni9676
2 ай бұрын
😂😂😂 sukuma ndani
Nawingi lake mungu wangu dada anajuta kuwa kwenye kitengo hicho
Huyo dada anakiburi sana, anavoonekana. Mh piga spana tu.
CHUMA KIKO ARUSHA
Sasa nakubali, na kweli vinakaa kama vinatafuta mchumba,
Huyu hana akili yaani kabisa unaona kabisa mambo sio bado unathubutu kupokea hela? Kweli za mwizi 40
Ukienda ofisini wanakuangalia tu
Million mia600 duh
Mfumo mfumo mbaya hauwezi pata kitu chema
Tatizo mfumo
ASKARI AKIONGEA HATA NDEGE WALISEMA AMNGANI MWONGO MWOOONGO 😅😅😅 MNASHINDW kumpata😅😅😅
Kaimu wa magufuli oyeeeeeee!!; chapa kazi.
Ccm hii nchi imewashinda
@hajihassan5433
2 ай бұрын
Ilikuwa CCM ifanyeje?
@kwisa4899
2 ай бұрын
@@hajihassan5433watengeneze mifumo ya kila mtu kushtakiwa chini ya katiba akiwemo Rais
Muheshimiwa makonda.. huyo ocd anakwambia mtuhumiwa amekaa siku kumi lock cup . Hakuogopi kweli kuna sheria ya kumuweka mahabusu mtu siku kumi ?
@victaboy7273
2 ай бұрын
😂😂😂 wewe jamaa bhna unafatilia sana ishu za makonda
@AllyMaya-yj3xd
2 ай бұрын
Yaan unawekwa ndani ili usiharibu uchunguzi
@hajihassan5433
2 ай бұрын
Ni kweli sheria ipo hivyo lakini unaweza kumuweka ndani mtu technically kwa zaidi ya mwaka yaani kila siku unamkamata upya na siku inaaza hapo. Hoja hapa ilikuwa useme RC hana mamlaka ya kuingilia wala kuwapa amri yoyote Polisi kwa sababu kila mteule wa Rais ana mamlaka kwenye eneo moja tu. RC anamuwakilisha Rais kwa upande wa Serikali tu. Rais ana mamlaka 3, mkuu wa Serikali, Mkuu wa nchi (hii haikasimiwi) na Mkuu wa Majeshi.
@khaliphaabubakar9466
20 күн бұрын
@@hajihassan5433na RC ni mwakilishi wa raisi.Hizo lele mama ndio maana nchi inadorora.