MAPYA YAIBUKA ARUSHA|USIMFANANISHE MAKONDA NA MRISHO GAMBO|MPAKA AOMBE MSAMAHA|MAKONDA HESHIMIW3
#nembo #fidovatonembo #nemboyounglung#kaligraphjones #kenyavstanzania #khaligrajonessongs #fidovatosongs #papamafido #fidovato #johmakini #chindoman #jcbwatengwa #chaba #stopa #johmakonibobea #bobea #rasomega #johmakini #weusi #rivercampsolders #maggav #frestyle #frestylebattle #cypher #cyprus #hiphop #rayvanny #fidovatoftrayvanny #kiswahilitv #fidovatochugahio #rayvanny #rayvany #rayvann #ray
#mario #mimimars #paula #mimimarsmarioo #marionamimimars #burudani #entertainment #mapenzi #wasanii #kingwendu #msaniikingwendu #wimbowakingwendu #vichekeshovyakingwendu #komedizakingwendu #kingwendu #komedi #komedian #vichekesho #burudani #comedy #comedyvideo #comedia #juakalialhamisi #juakaliseries #juakalileousiku #juakali #juakalijumatano #juakali #juakaliseries #juakalileousiku #firauni #farao #egypt #egyptian #mfungo #ramadhani #ramadhani #ramadhan2023 #ramadhankareem #taifastars #taifastarsvsuganda #gizauwanjawataifa #raissamia #raissamiasuluhuhassan #raissamiasuluhu. #taifastars #taifastarsvsuganda #taifa #tanzania #tanzanite #caf #car2023 #magoliyataifastars #video #samatta #golilataifastars #bondia #boking #boxing #mwakinyo #myweather #floydmayweather #floyd #floydmayweather #ngumi #vitasa #mandonga #single #singleagain #singles #singleagain #harmonize #harmonize_tz #mario #mariotz ##singleagainremixftmario #burudani #harmonizeftmario. #mandonga #mandongakenya #ngumi #ngumizamandonga #vitasa #boxing #boxingtraining #burudani #harmonize #entatenment #chama #simbasc #sport #mpira #harmonize #ramadhan #ramadhani #mfungo #mwezimtukufu #mwisilamu #waislam #mafuriko #arusha #mtongarenaro #sikatitamaa #kiswahilitv #inatisha #inauzunisha #itakutoamachozi #ukimwi #virus #virusi #virusivyaukimwi #mapenzi #dawazaukimwi #magonjwasugu #ngono. #ottoman #ottomanempire #ottomanempirehistory #ottomanbattle #ottoman_empire #revenge #revengeseries #revengekill #juakali #juakaliepisode #inswahili #kwakiswahili #mwendelezo #mario #harmonize #single #singleagain
#chama #simbasc #simba #simbafc #golilachama #prank #pranks #prankvideo #prankfreefire #prankcall #prankcall #prankindonesia #prankinindia #swahiliprank #kiswahili #kiswahiliprank #inswahili #kwakiswahili #movie #movies #movies #bubu #bubuwamchongo #wimbo #harmonize_tz #harmonizetz #harmonizenakajala #harmonizediamond #muziki #ziikimedia #diamond #diamondplatnumz #diamondplatinumz #diamondplantnumz #chitaki #wimbo #harmonize #wasafi #alikiba #shabiki #muziki #burudani #burudanikemkem #wasanii #trending #trendingshorts #trendingvideo #msanii #feisal #feisalsalum #taifastars #yangasc #yangaleo #michezolive #michezo #sports #sport #taifastarsvsuganda#uwanjani #kwamkapa #ugandavstaifastars
#alikiba #diamond #ligikuu #chitaki #harmonize #harmonize #shabiki #burudani #burudani #burudanikemkem #diamondplantnumz # livematch #ajinyonga #inatisha #itakutoamachozi #mshituko #hatari #video #chama #simbasc #chamamchezajibora #caf #mchezaji #yangasc #cafinal #usajilisimba #usajilileo #usajilisimbaleo #harmonize #harmonize_tz #harmonizenakajala #harmonizemusic #mpeziwaharmonize #wimbowaharmonize #wimbo #nyimbompyayadiamo #mario #mariokart #nyimboyamario
#alikiba #alikibasalute #darasa #burudani #burudanikemkem #trending #trendingshorts #trendingvideo #trend #treanding #video #video #videogames #videoshow #videoshort #audio
#wasafi #wasafitv #wasafifm #wasafimedia #wasafibet #wasafidigital #cludstv #cloudsfm #cloudsmedia #millardayo #millardayosports #millardayoupdates #mpira #match #livestream #livestream #live #yangasc #yangafc #yanga #yanganasimba #yangatv #simbasc #simba #simbafc #ligikuu #ligikuunbc #ligikuutanzaniabara #ligikuuyanbc #mayele #golilamayele #chama #golilachama #tamthilia #series #mchezo #juakali #juakaliepisode #juakaliseries #juakalidstv #juakalileo #juakalileousiku #ourstory #revenge #revengeseries #reversemoviefx #ottoman #theottoman #azamtv #azamtvupdates #azamtv #azam #diamond #diamondplantnumz #diamondplatinumz #diamonds #costatitch #costa #costatitch #msaniicostatitch #afariki #harmonize #harmonize_tz #harmonizenakajala #harmonizemusic #mpeziwaharmonize #wimbowaharmonize #bongofavour #bongofavourkhaligraph #khaligraphdistrack #kenyarappers #tanzaniarappers #trending #trendingshorts #trendingvideo #trend #treanding #video #video #videogames #videoshow #videoshort #audio #wasanii
#wasafitv #alikiba, #ayotv, #block 89, #bongo #chapchap, #bunge, #bungeni, #burnaboy, #ccm, #chadema, #davido, #diamondplatnumz,#good #morning, #habarizaleo, #habarizamillard #ayo, #harmonize, #lavalava, #lavidavi, #live, #magufuli #makonda, #mbosso, #mgahawa, #millard, #millardayo, #millardayo, #millardayotv, #rayvanny, #refresh, #serikali, #sportsarena #sportscourt, #spots, #sundayworship, #tanzanianews, #thestorybook, #theswitch, #tiwasavage, #trending, #uchaguzi, #wasafi, #wasafifm,#wasafimedia, #wasafi tv, #wizkid, #yope, #yope #remix, #zuchu
#BinaTv #WasafiTv #ManaraTv #jrtvtanzania #jrtvonline #jamaicandreadlocksarusha #jrtvtanzania #arusha
Пікірлер: 121
Tuzidi kumuombea Makonda Mungu amwongezee hekima katika ufanyaji wa kazi zake.
Hongera kwa maneno mazuri mkuu
Safi sana tunamfuatilia sana makonda Niko marekani
@AlexMosha-ci5uq
26 күн бұрын
Much Respect
Wote ni Majembe ila Makonda ana kitu extra ordinary.
MAKONDA MAKONDA HE IS SENT FROM GOD AS GOD'S WORKER ✌️
Kweli makonda ni levo nyingine
Makonda mungu akubark San, makonda ni noma San gamboo mbali san
Safi kabisaa ,Na kama wao wanaona makomda anatafuta kiki basi kuanzia leo viongozi wote wafanye kazi ili waipate iyo kiki ili wananchi wafaidike na kazi zao.
Wala hujakosea mzee.
I'm from Kenya but for now niko sehemu ya uwarabuni. I love makonda so much God bless you makonda
@jedidahbintidaudi8241
27 күн бұрын
Gambo too is good. so they are all unique in theire ways
Kenyan we love Makonda sana # Makonda my cousin from sukuma tribe @ abagusii,kuria ,meru and sukuma jamii moja
🎉🎉🎉🎉 maua yake mkuu wa mkoa wa arusha
Ni aibu sana Kuona Viongozi wengine hawajifunzi... Makonda ni Modal🎉🎉🎉
Makknda ni moto wakuotea mbali Mungu amsaidie
Chapka kazi baba makonda tunamwomba mama Samia akulete kigoma Kuna uozo mwingi hasa wilaya ya buhigwe natunaamini atakuleta tuna Imani naye
Asante mzee kama Kuna cheo Cha mkuu wa mikoa Apewe makonda
Safi sana kada wrtu
Nchini Kenya tunamtambua Makonda na kazi yake njema
Magufuli alisema akiwaambia wakuu wa mikoa Tz kwanini wasijifunze Kwa Makonda!!? Harafu akamwambia chapa KAZI Makonda.Namimi nasema Makonda chapa KAZI we love you Brother Barikiwa sanaaaa
@user-bz2yc2td3c
25 күн бұрын
Ameen
Unasema kweli mzee wangu. Makonda anafanya kazi nzuri ,wapiga dili hawawezi kufuraia utumishi wake.
Ni zaidi ya mkuu wa mkoa, haina ubishi jamani
HIYO NI MKUU WA MIKOWA YOTE YA TANZ
Makondaaa ni chombo ya kaziiiii daima 🎉🎉🎉🎉🎉
Mungu amtunze Makonda amzungushie ukuta wa moto adui wasimukute hao wauaji wakubwa wa Tanzania
Makonda🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Kweli uchaguzi unaokuja wa ccm makonda ataokoa kura za mama sana tofauti na hapo kura zitaenda chadema kiukweli
Kabisa makonda NI zaidi ya mkuu WA mkoa huyo NI rais WA mkoa jembe letu na rais ajae
hujakoseya mzee mimi niko burundi ila bando langu makonda analimaliza kila kujicha makonda oye
Ni kweli kabisa... Kila siku napitia Habari za Arusha... Kuhusu Makonda...
Tz mama ingewezekana mim kama kocha tungechua makonda na wz jerr sila idala moja hapo kama ni tm tunauwezo wa kushinda lakini kwa kapasti ya ukubwa wa kichwa cha makonda hata ulais atkuja kuongoza tz mugu ikimpendeza mungu tuombe sana TZ kwa huku zambia wote waTZ ukifungua mtandaon hbali kubwa ni MKONDA Tuuuuuuuuu
We acha makonda nianga nyingine
Makonda asifananishwe kabsaa na mtuu yeyotee
Ni kweli ndugu
Ni kweli ni zaidi ya mikoa yote yaani hakuna wakumfananisha ila tunamfananisha na hayati magufuli jamani tuamini magufuli hajafa yeleuwiiiii hakuna kamammh makonda niko dar nakuja kumpa maua yake na nitamletea na bibilia aisome kabla ya kuamka na kabla ya kulala ndiyo zawadi yangu k
Makonda safi sanaaa
jumapili hapo umenena tangu nimekufahamu ujawahi sema ukweli ila leo ndiyo umesema UKWELI
Ni kweli mzee Nasisi uku tunamfatilia saaaana
Makonda ni hatari hatari msingi mkuu duniani Cha kwanza utu pili heshima tatu haki haki haki busara baadae ya kupata gambo alifanya vizuri Kwa uwezo wake makonda mwisho wa matatizo
Wa Kenya tuko Qatar lakini twafuatalia Makonda, kazi safi ❤
@jedidahbintidaudi8241
27 күн бұрын
asante sana baba. Mungu akubariki na abariki kazi ya mikono yako. tuendlee kuombeana nchi zetu hizi mbili..Kenya/Tanzania na Africa nzima
Habari ya mjini makonda hakuna kama yeye wengine wanaiga tu ila kwa makonda inatoka ndani zaidi
Rais Samia ampe unaibu Makonda ashirikiane na waziri Jerry Salaa waziri wa ardhi wizara hii itakuwa ishakamilika
Ahsante sana wewe Baba alitaka asikosolewe kisa mwanamke huyo Chatanda katumwa na mahasidi wasiompenda Makonda na wala hatafanikiwa kamwe Ccm inashinda kwa kishindo Arusha
Mzee safi
Makonda❤❤❤
BMakonda hoyeeeeeeee❤❤❤❤🎉
Makonda ni habari ingine jamen
Makonda tuliisha sema hicheokinamupwaya mambo maovuhayafanywikijinsia haowanahalakati haowanahalakati wakikewasuangushe mamartiwanawake waachwewavulugetu bilakuguswa.
Nikweli usiofichika makonda anamalza mb zetu
Basi gambo alikuwa vizuri kama wanamfanamisha namakonda makonda niatari sana niabari nyingine yule jamaa
Ni kweli mzee kaja kutumalizia kiu chetu kwa jpm makonda anaweza
Makonda ni mwamba! Haina namna.
Makonda Ni gegedu chukua maua🎉🎉🎉
Kama ccm wakimpa ugombea urais mwaka 2025 atazoa KURA nyingi kuliko mgombea yoyote aliyepo ccm
Hapana makonda achukue fomu yakugombea uraisi
Viva makonda
Ni kweli huyu ni zaidi ya wakuuu wa mikoa
Huyu baba ana akili sana
Makonda hafananishwi
Mwandishi tumia taaluma vizuri hiyo style ya kuuliza maswali kama haulewi unachofanya ndo maana mwisho tunaambiwa wachochezi. Mwandishi unatakiwa kuweka jamii pamoja kumbuka misingi ya KAZI YAKO. Kahabarisha, kuelimisha na kuburudisha. Jitafuten waandishi
Waandishi wa habari mmeanza sikuhizi hakuna kabisa ubunifu juu ya habari zenye tija kazi yenu saivi kuchonganisha tu,
Fanya kazi makonda usiogope mtu
Makonda Ana wakumlinganisha
Makonda balaaa kweli sio utani tuna mtamani aje hata kwetu huku mkoa wa ....
Makonda kila mtanzani mwenye akili ana mtazama makonda
Makonda anamsaidia , Rais, Chama na Serikali
Jerry slaa uje arusha jamani uungane kidogo na makonda tutapona majeraha ya ardhi 😢
Akwepeshii huyo.. mbn watakaaa kwenye laini tu
Makonda anafanya vizr aendelee kchapa kaz
Makonda ni mkuu wa mkoa wa mikoa yote
Mnipeye ongera saaaaqna
Kada wa ccm nimekupata nilishawambia watu huku kwetu iringa kuwa makonda akiwa rc dar alikuwa rc wa mikoa yote tanzania na leo makonda ni rc arusha amekuwa ni dira ya mikoa yote tanzania unamuona na chalamila naye anaigiza eti kero za wananchi
Nimfano wa kuigwa na marc wote tz
Wote ni watu makini sana
@khadjamhozya
29 күн бұрын
acha unafiki makonda 1
Pamoja
Duhuuu
Ni kweli hata mimi naweka bando ili nifatilie makonda
Usimfananishe makonda na huyo sariboko bhana makonda mpango mnzima
Mama kuna watu huko wanasema wanasema wanamtaka mikoani mwao, usije kumtoa makonda arusha amegusa mahitaji ya watu wa arusha haswa kulikuwa ni uozo hakuna kazi inayofanyika watu wanakula hela tu mabarabara yamelala magomvi ya ardhi ni mengi mnoo ila kwa kiasi yatapungua
Watanzania wote wanamtazama makonda tu
Kiongozi Na Cheo Chake Mbio Kwenda Kukamata Makahaba Makonda Ni Mkombozi Wa Maendeleo
Giving nyie Sisi ni Vipofu matizo wasababishe wao tena watatue wao....
Huyu jamaa aachane na ccm aachane na chadema,makonda sio wa vyama ni wa wanainchi
Makonda tunamgonja kule mbele mama akimaliza tam yake yaurais makonda aendelee pia kama rais watanzania awamu ya saba
Achen unafik kulinganisha viongoz
Mwongo gambo hajafanya chochote makonda yuko juuuuuuuuuuu sana magufuli kila kitu awe rais. Tu
Makonda yuko safi
John mongera na wewe acha ushamba hata viongozi waliopita huwajui
.tangazqj8 hilo sio swala la kuuliza hiyo ni fitna unataks kugswa watu. Elizabeth maswali yasio vhonganishi.
Mrisho hafui daf Kwa RC Makonnda.Makonda kawashinda mikoa yote Tanzania .
Makonda nirato nyie anawafukua wasenge
Weee unamfananisha makonda na mrisho gambo makoda yuko juuzaid wewe acha
Km yule wa KAGERA BORA ASTAAFU TUUU AU AONDOKE TUBAK8 NA KATIBU KATA
Why umemhoji mtu mmoja tu
S
Wote Majembe
@khadjamhozya
29 күн бұрын
acha ujinga wewe makond 1
Kabisa
Huyu mwandishi wa abari na muhojiwa wote ni matako. Mrisho gambo ni mbunge wa jimbo na makonda ni mkuu wa mkoa. Utamlinhanishaje mbunge wa jimbo na mkuu wa mkoa? Kwani mkoa una wabunge wangapi???? Bora angemsema mkuu wa mkoa alopita amosi makala ningemuelewa.
@user-xd9kw6nt8w
29 күн бұрын
Anamaanisha gambo alivyokuwa mkuu wa mkoa wa Arusha Hali ilikuaje
@kakurukakuru3317
29 күн бұрын
@@user-xd9kw6nt8w kumbe mrisho gambo alisha wai kuwa mkuu wa mkoa Arusha? Mimi nimemjuwa katika ubunge. Apo sawa tuendelee asante kwa kunibust.
@user-xd9kw6nt8w
29 күн бұрын
Unajua wakati gambo ni mkuu wa mkoa alikubalika sana alitusaidia pia kwa kiasi chake sasa magu akaona Bora agombe ubunge achuane na Lena akamshinda Lena kwa kura nyingi sana maana alikubalika
@akutiboysolomon9418
29 күн бұрын
Anamaanisha alipokuwa mkuu wa Mkoa
@stellakiula3497
28 күн бұрын
Acha kutukana sikiliza kwanza nini kinaongelewa
Hivi mtuambie Nini kimefanyika arusha. Kazi za kufanya mitandaoni ni maigizo tu. Kila tukio ni habari,Kila tukio ni habari. Arusha ilikuwa nzuri upinzani walipokuwa wamelishika Jiji. Naamini Kila kiongozi angekuwa anatumia media basi mitandaoni kungejaa kick za kutosha
@GibsonNtamamilo
28 күн бұрын
Kuferi kwako shule na Maisha usituambukuze tuliifaulu
@JeremiahMwalukosya-eh5nf
28 күн бұрын
Ushamba unakusumbua sana ndugu Bado unaongerea vyama
Uchonganishi
Mrisho ni fara