NEMC YAUFUNGIA MGODI KUPISHA UCHUNGUZI BAADA YA SAMAKI, NDEGE NA MIFUGO KUFA OVYO

NA ALBERT G. SENGO/MWANZA
Baada ya malalamiko kutoka kwa baadhi ya Wananchi wa Kijiji cha Imalamate kilichopo Wilayani Busega Mkoa wa Simiyu, kuitaka Serikali kuufunga mgodi wa Dhahabu wa SHIYUAN Tanzania Co. LTD uliopo kwenye kijiji chao kutokana na madhara ambayo wamenza kupata kwa baadhi ya mifugo kufa vikiwemo viumbe vingine kama ndege na samaki huku chanzo kikidaiwa kuwa ni maji yaliyo na sumu yanayotiririshwa na mgodi hadi kwenye bwawa lao la maji.
Siku tatu baadaye yaani leo Juni 06/2024 Baraza La Taifa La Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira NEMC Kanda ya Ziwa Victoria, limesitisha shughuli za mgodi huo kwa lengo la kupisha uchunguzi.
Jerome Kayombo ni Meneja wa NEMC Kanda ya Ziwa
#nemc
#samiasuluhuhassan
#mwanza
#simiyu

Пікірлер