EXCLUSIVE: HISTORIA YA MFANYABIASHARA "GSM" GHARIB SAID NA SAFARI YA UTAJILI WAKE/ KUKUZA BRAND YAKE
#dullysantz #santzmedia #gsm#gharibgsm#simulizinasauti#millardayo #wasafimedia#cloudsmedia#bongofive#rickmedia#birthday #gsmbirthday
Gharib Said Mohamed Maarufu kama GSM huyu ni mjasiriamali ,mfanyabiashara pia ni Tajili mwenye ushawiahi mkubwa katika nchi ya Tanzania
gharib pia ni mdhamini wa Young African,club kubwa ya mpila wa miguu nchini Tanzania.
kupitia simulizi hii utafahamu mengi kuhusu maisha ,wazazi ,watoto,Umri,elimu,UTAJILI, umaarufu na Heshima yake kwa jamii
Itazame simulizi hii mpaka mwisho then weka comment yako nini umejifunza kuhusiana na Maisha ya Gharib said Mohamed (GSM)
Unaweza ukajiunga na group letu la Whatsapp kupitia link hii : chat.whatsapp.com/H9MbERaCWMn...
Pia Unaweza Ukanicheki kwa mawasiliano na Matangazo Zaidi kwa No:0683171338
Tazama simulizi hii: • EXCLUSIVE: HISTORIA YA...
© 2023 Copyright All rights reserved
Пікірлер: 28
Hamna kitu bongo movie
Achaga uwongo silent ocean haimilikiwi na GSM
@Santzmedia
3 ай бұрын
Inamilikiwa na Nani Kwasasa?🤐
Wewe Jamaa mwongo sana. Yani GSM kazaliwa 1986?
@Santzmedia
6 ай бұрын
Unataka kusema amezaliwa mwaka gani?
@labaniakyoolabaniakyoo4247
6 ай бұрын
Hata Mimi nimeshangaa huo mwaka, Ina maana ni mdogo kuliko mo, au mwandishi hujui
@yasinizedi4246
5 ай бұрын
Mtu anaonekana kabisa Mzee afu 86 jamaa mwongo sana
@SalimAbdallah-tg1yo
3 ай бұрын
Hapo kwenye mwaka Nina mashaka😂
@zaidihussein4311
2 ай бұрын
😂😂 Tena ni muongoooo nno
Jamani kila mukuta coment zangu uta kuta na omba namba za compini ya usafishaji yani silent ocean
@Santzmedia
5 ай бұрын
Ukiwa unamaana gani?
@clementalu3925
5 ай бұрын
Mimi naitaji Mariamu naishi musumbiji nimufanya biashara mudogo uwa tuna fichwa Siri za china lakini kupitia aya matangazo munikosha moyo naitaji namba za sm ya apo tanzania
Acha kuwadanganya
@Santzmedia
4 ай бұрын
Sawa wapee ukweli wewe 😅
Cyo mwenyekit wa yanga
@Santzmedia
3 ай бұрын
Ninani?
Kazaliw 86?
@Santzmedia
6 ай бұрын
Mbona unashangaa?!
@thabitngangila8562
6 ай бұрын
@@Santzmedia sio kweli
@e.e5698
5 ай бұрын
Sio kweli bwana...Mdogo wake tu Salaah kazaliwa kabla ya hapo ndo GSM awe wa 86...Ana mtoto mkubwa ambaye anaonekana yuko kwenye late 20s halafu ye awe wa 86....@@Santzmedia
Uyu mtangazaji Bogus kabsa
@Santzmedia
3 ай бұрын
Hana Shida gan?
@user-ng6ep3hi4c
3 ай бұрын
@@Santzmedia kuna vitu vingi aviko sawa kwenye i story ya GSM
Acha uongo wewe
@Santzmedia
3 ай бұрын
Njoo na ukweli tufahamu ndugu!?