Rais Magufuli aagiza TRA kumlipa fidia mfanyabiashara aliyelazimishwa kutoa rushwa
Rais John Magufuli ameagiza watumishi wa TRA waliohusika kudai rushwa na kushikilia mali za mfanyabiashara kwa miaka mitatu wasimamishwe kazi na wapelekwe mahakamani. Pia ameagiza TRA kumlipa fidia mfanyabiashara huyo.
#JPMNaWafanyabiashara #AzamTVUpdates #AzamNews
Пікірлер: 62
Safi sanaaa mheshimiwa rais wetu hakika mwenyezi Mungu akusimamie vyema mzee wetu uzidi kutetea wanyonge jamani 👏🙏
🤗"Kwa staili!!! hii sina swali Mkuu.Dozi inaingia tar-tibuuu,ikikolea -Watakusoma tuuu."
Am from Kenya but nafuraiya Sana uwongozi wa prezo wenu Allah awaekee JPM
Honourable you are a man and a half , God bless you "Safisha"
Mbona hawajamlipa jamani baba wa watu mpaka mkewe kawa kichaa hii ni haki kweri eee Mungu
Raisii huyu ndio wa kwanza Tanzania waliopita wangekua kama huyu nafikiri leo Tanzania ingekua juu juu zaidii we Love you mr president
Hata Kenya twahitaji kiongozi kama huyu. Anyway,, God Almighty bless you President Magufuli
Huyu ndie raisi peke atake weza kuifanya incha yangu ifikie japo robo ya maisha ya Dubai inshaallah Allah akuongoze katika haki mzee
Asante hongera mr president
Kwa style hiii mtanyooka2 maana mlizoea pesa chafu
Mungu amupe afia ameen thuma ameen baba wa taifa
Apo namsubiria mnyika na mbowe na zito maoni yao awakawii kusema uyo mfanyabiashara nae kanunuliwa
@theophilotheodosy5565
5 жыл бұрын
🤣🤣🤣
Haki ya mungu nakupenda Rais wangu kipenzi,yaani mhh weacha tu.Ivi wehujuwi kuna watu tunakupenda mpaka tunachanganyikiwa?Natamani unipe kazi ya kujitolea yoyote ike napenda sana utawala ila sijasoma niliishia LA saba.Unachapa kazi baba.Hongera mno .ubarikiwe ndio maombi yangu kwako
This can never happen in Kenya. Hell No
Hatutaki uchaguzi wa rais 2020 Magufuli anatosha.
@RuzoOwzy
5 жыл бұрын
Ukifanya hivyo, watu wanaweza kuja kutumia vibaya siku za mbele. Tuombee tu kwa anachofanya kiwe kimeImpact change kwenye vichwa vya wengine, ili waamini vitu vinawezekana na wafanye km yy au zaidi yake.
@karimmunis8302
4 жыл бұрын
Mpaka leo hola hajalipwa
MUNGU ibaliki Tanzania pia mubariki raisi wetu MAGUFULI
Hongera mh. Rais kwa juhudi zako kuwaonesha viongozi wako uelekeo unaoutaka! Sasa mi najiuliza hao ambao bado wanamentality za rushwa rushwa watakuja kuaibika na familia zao zitashindwa kuaminika na serikali ebu waridhike Tu...
@catherinechifebe5800
4 жыл бұрын
kweli Gwaspika.....psychologically and socially ndio ilivyo
Mpaka.kufikia leo huyo jamaa.ajalipwa pesa.zake na juzi kaongea wamekosa kumtoa roho na chakula cha sumu
Rais wang nakuombea miaka 1000 uishi mana unafanya uzalendo halalii
Mheshima heti tunasikia yule mzee bado ajalipwa .....
Good politics!But many people don't have the opportunity for their cases to be heard and known to the President.In the end we need to create fair systems which will accommodate everyone.
@dachjunior4766
5 жыл бұрын
Ndg yangu wazo lako ni jema kabisa ... Lakini hiyo FAIR SYSTEM itakuwaje CREATED wakati WENGI WA WANASIASA iwe RULING PARTY ama OPPOSITION PARTIES NI WANAFIKI WAKUBWA?
@smarty1064
5 жыл бұрын
Paul Mdumi, the very issue is not the system itself, just ask yourself if we have the constitution unfortunately we are not to willingly to abide with it then how will that system work? issue here is mentality, public service officers creates loopholes for corruption they tend to bend every law as they know we are not willing to waste time so at the end we will ask for our issues to be solved quickly and at that is their opportunity as the scales weight on their favor! it's mentality
@theophilotheodosy5565
5 жыл бұрын
Which system while 90% of the people are corrupt including the so called opposition...!!
@pemdumi
5 жыл бұрын
@@dachjunior4766 Nafikiri tatizo kubwa ni wasaidizi wa kiongozi.Walipaswa wajifunze kile ambacho kiongozi anakitamani kitokee kisha wao watengeneze mpango wa kulifanya hilo litokee.Mikutani hii ilipaswa kuzaa mabadiliko mskubwa ya kisera na sheria za nchi ili kuweza kuaccomodate maono ya kiongozi.Kwa kufanya hivyo mifumo rafiki na ya haki itatengenezwa.Rais hawezi kuitisha mikutano kama hii kila siku ili aweze kuyasikia yanayotokea Kigoma.Lazima mifumo ijikite huko huko Kigoma ili itatue matatizo ya wananchi.Hichi ndicho ninachokimaanisha.
@theophilotheodosy5565
5 жыл бұрын
@@dachjunior4766 kweli asee.... At least ukiwa na mmoja anayejitahifi kufanya haki. It's better
Rais wetu uishi miaka mingi tunakuombea kwa mwenyezi MUNGU
kuna watu waliwajengea wafanyabiashara uadui kabisa na serekali lkn kwa mwendo huu .mh rais tupo pamoja ktk kuijenga Tanzania yetu .
Kiongozi wetu nakukubali
Safi sana
Hongera sana jembe letu MUNGU azidi kukupigania kazi unayoifanya kwa wananchi wako kila mtu anaiona wenye kukuelewa tunakuelewa wenye roho zao mbaya watabaki na kelele zao za roho mbaya na vinyongo vyao chapa kazi Rais wetu tumbua majipu nchi isonge mbele
Punde tutanyooka kwa stail hii
@jamalimusam5019
5 жыл бұрын
Wanyooshe
Safi sana raisi umetumia maamuzi ya busara sana mungu akuzidishie kila la kheri
A.A.JEE HUYU MFANYIBIASHARA AMELIPWA KWELI AMA NI SIYASA
Usinisaulishe.
Hyo aliyosimama mweusi hata rangi ya lami inaafadhali wezi wakubwa
Ramadhani ajaripwa mpaka leo analalamika
@catherinechifebe5800
4 жыл бұрын
Atalipwa
R.I.P Magufuli
Magufuli ni rais na sirahisi
Machozi yamenitoka , Tunashukuru Asante Mungu kwa huyu mja wako🤲, kwakweli tutalia Kila siku na tutamkumbuka kwa mema Yake, MOLA WETU wewe ndio mjuzi
Taratibu si zilifuatwa ? Inakuwaje mpaka inafikia hatua hii ? Nadhan baada ya kupokea taarifa uchunguz wa serikali uwe unafanyika kwanza ili kujua nani anamkosa mfanyabiashara au TRA ndipo maamuz yafanyike
@st99ngeni35
5 жыл бұрын
Hujaelewa nini ndg. Uchunguzi ulishanywa ndio maana kamishna amesema hadi wazir mkuu majuzi aliingilia kati ndipo mali ikaachiliwa. Hii ni baada ya miaka mitatu. Hivyo ni wazi kuwa uchunguzi ulifanyika na ikathibitika mfanyabiashara hakuwa na makosa.
R.I.P Ramadhan himis ntunze ulionesha namna haki inavyo tafutwa ndugu yangu kabisa kwenu na kwetu ninyumba kadhaa
TRA wote wezi umewaweka wezi
Mungu atupe nini?
Je ni kweli yatatekelezeka ayo yaliyoahidiwa??
@adrianmanja7540
5 жыл бұрын
Fuatilia uta Pata majib
@catherinechifebe5800
4 жыл бұрын
weeeee
@naturelle1097
2 жыл бұрын
Hadi leo hajalipwa
Safi sana
Hyo aliyosimama mweusi hata rangi ya lami inaafadhali wezi wakubwa
Safi sana
@pendogesase237
5 жыл бұрын
Jamani hawa watu was tra mbona.wamemfanyia huyo MTU madudu sana hii ni aibu