Simulizi ya mfanyabiashara aliyesababisha Waziri Mkuu kumsimamisha kazi ofisa wa TRA

Mfanyabiashara mmoja a jijini Dar es Salaam leo ametumia wasaa wa kikao cha Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na wafanyabiashara wa Ilala kueleza mkasa wake ambapo anadai TRA imeshikilia mizigo yake kwa miaka mitatu sasa baada ya yeye kukataa kutoa rushwa ya Sh2 milioni.
#AzamTVApp #AzamTVUpdates #KeroWafanyabiashara #Kariakoo

Пікірлер: 437

  • @theobarddimoso8835
    @theobarddimoso88355 жыл бұрын

    Kama unaamini huyu nikakaake na brother K tajiri wa kigoma,like hapa.

  • @veronicatweve4786

    @veronicatweve4786

    5 жыл бұрын

    Theobard Dimoso 😂😂

  • @batchivitalis2282

    @batchivitalis2282

    5 жыл бұрын

    Hongera kaka kweli

  • @batchivitalis2282

    @batchivitalis2282

    5 жыл бұрын

    Wachunguzwe tra na police ndo zao

  • @luganomasebo6606

    @luganomasebo6606

    5 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂 uko makini

  • @mayungarichard7443

    @mayungarichard7443

    5 жыл бұрын

    Wabishi hao😄😄😄

  • @mohamedmohamed614
    @mohamedmohamed6145 жыл бұрын

    Waziri mkuu umenifurahisha mungu akulinde kwa kusimamia haki mungu ibariki Tanzania na viongozi wake

  • @jobemjema1661

    @jobemjema1661

    5 жыл бұрын

    Kwahili waziri mkuu mungu akubariki sana

  • @rashidialiuwali939

    @rashidialiuwali939

    4 жыл бұрын

    tumepata Rais na wazili mkuu hiii nch sijawahi kuona haya yanayotokea askali wanakuwa majambazi

  • @rashidialiuwali939

    @rashidialiuwali939

    4 жыл бұрын

    walikuwa wanachukulia kama sio mtanzania wanayuwa ni mrundi nini

  • @rashidialiuwali939

    @rashidialiuwali939

    4 жыл бұрын

    ni vizuri hapo TRA wote watimuliwe. mbona tunachukua wahuni kuwaweka sehemu za kiselikali tatizo kubwa

  • @ericklaura7511

    @ericklaura7511

    2 жыл бұрын

    Imagine mzigo alisharudishiwa ila mpaka Leo tarehe 18/01/2022 Bado hajapewa stahiki zake zote zikiwemo za usumbufu kama alivoagiza Hayati JPM . I hate my country😠

  • @tatoorashedi1787
    @tatoorashedi17872 жыл бұрын

    😭 asante sana kaka Majaliwa ww ndio umebaki mtetezi wetu

  • @ibrahimkhatibu4561
    @ibrahimkhatibu45615 жыл бұрын

    Daa! Jmaaa kapitia kugum sn 🙏🙏

  • @bilalikambo7202
    @bilalikambo72025 жыл бұрын

    Rahaa ya ukwel hata ukifa unaenda peponi

  • @masterfelimaster1014
    @masterfelimaster10145 жыл бұрын

    Wel done waziri mkuu hapo ndipo mjue kama siyo kama mtu anapenda kutoa pesa zake(rushwa) alizotolea jasho kirahisi ni usumbufu tunaopewa na hawa watu wa tra na mapolisi ila hapa mapolisi wapo safi.

  • @hekimajonathan9874
    @hekimajonathan9874 Жыл бұрын

    Kumbe bdo tunao watetezi Nchin, pole San Baba mpka machozi yamenitoka Kwa walivyokuonea hivyo jaman, Mungu azidi kukupa HEKIMA zaidi waziri wetu kasim majaliwa ❤❤❤❤

  • @tinyaanosiatha1118
    @tinyaanosiatha11185 жыл бұрын

    Wow ! Waziri wewe ni kiboko good job .

  • @annahngururi6595
    @annahngururi6595 Жыл бұрын

    Ee mungu watetee wanyonge.Baba huyu amejikakamua sana katika kujieleza.Waziri mkuu wa Tanzania Mungu aendelee kukupigania na kukulinda pia.AMEN.TUMEKUSIKIA MARA KWA MARA UKITENDA HAKI

  • @johnsondiscoequipments992
    @johnsondiscoequipments992 Жыл бұрын

    Waziri mkuu mungu hakuzidishie Ekima Amani na maisha marefu kwa kulinda haki zetu wanyonge mungu ibariki Tanzania na viongozi wenye mioyo ya upendo na Utii Amina

  • @fredrickmuono1228
    @fredrickmuono1228 Жыл бұрын

    Ahsante Mh; Waziri mkuu Pole kwa kazi unayofanya kwa ajili ya kulipigania Taifa letu Hakika nakuombea kwa MUNGU azidi kukulinda na kukupatia maisha marefu na kulitumikia Taifa yetu Amen.

  • @yesuanikumbukejanuary8363

    @yesuanikumbukejanuary8363

    Жыл бұрын

    Ameeni

  • @erickkihuru4529
    @erickkihuru45295 жыл бұрын

    Hakika inahuzunisha inatisha maisha tunayofanyiana mungu atajbu kwa wakat wake

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 Жыл бұрын

    Dhalimu tre mungu walaani uwape magonjwa yasotibika uwakoseshe furaha katika maisha yao uwajaalie wawe kuni za motoni kwa dhuluma zao na kuwatesa watu wanotafuta riziki za halali mungu nitakabalie duahii

  • @jamalmmoja1277
    @jamalmmoja12775 жыл бұрын

    Hii serikali kiukweli wamenyooka mungu awajalie

  • @jafariakili2360

    @jafariakili2360

    4 жыл бұрын

    Bado kidogo

  • @mochings8012
    @mochings80125 жыл бұрын

    Pole sana brother K

  • @luganomasebo6606

    @luganomasebo6606

    5 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂 kanaongea kama brother K

  • @danfordaugustino3461
    @danfordaugustino34615 жыл бұрын

    Hatua ambazo magufuli angechukua zingekuwa Kali zaidi . Ila waziri mkuu kajitahidi ilibidi afunguliwe na Duka lake

  • @simbawateranga7020

    @simbawateranga7020

    5 жыл бұрын

    Sasa watu wa5 hawana job

  • @petrusmakupe2093

    @petrusmakupe2093

    Жыл бұрын

    Miaka mitatu hajafanya biashara?angekuwa nafaida kiasi gani...angaliani hilo

  • @ashamwandu3781
    @ashamwandu37814 жыл бұрын

    Yaani dunia hii,mungu awaazibu wote waliomfanyia ivo,mungu ajawahi kushindwa atakulipia tu.nasisi watanzania tunakuombea kwa mungu ,namungu atakulipia tu lazima duwa ya masikini haipotei.wamekutesa sana.pole,Ewe mwenyezimungu mja wako msaidie.amina

  • @mkambamaulid447
    @mkambamaulid4473 жыл бұрын

    Mungu akupe kila lakheri Mh. Kasim Kwakurudusha furaha na matumaini brother K👍

  • @mwinjumathomas5132
    @mwinjumathomas51325 жыл бұрын

    Haya ndo mambo yanatakiwa yafanywe na serikari kuliko kudili na wapinzani asante sana waziri mkuu,kwa kujali wanyonge

  • @happymahega2000

    @happymahega2000

    4 жыл бұрын

    True

  • @halimangaure4527
    @halimangaure45274 жыл бұрын

    Waziri mkuu njema....Allah akujaalie kwa kumsaidia huyu baba

  • @myembegrayson964
    @myembegrayson9645 жыл бұрын

    Good kwa ujasiri na uadilifu

  • @lucassamwel5544

    @lucassamwel5544

    4 жыл бұрын

    Safi San

  • @richardsaston3285
    @richardsaston3285 Жыл бұрын

    Baadhi ya maafisa wa serikali wanaroho za kishetani. Waziri Saidia watu wanaoonewa. Amini Mungu atakulipa.

  • @sigorijoseph4977
    @sigorijoseph49775 жыл бұрын

    Pole mkuu kwa usumbusu na ni serikali yako

  • @salimalamri5897
    @salimalamri58975 жыл бұрын

    TRA lazma wabadilike

  • @shomytventertainmenttanzan7842

    @shomytventertainmenttanzan7842

    5 жыл бұрын

    Yani wamekuwa wezii sana jamani

  • @allykimeru944
    @allykimeru944 Жыл бұрын

    Mungu akubaliki Sana mheshiwa Waziri mkuu

  • @mtanzaniamzalendo7001
    @mtanzaniamzalendo70015 жыл бұрын

    Kuna haja ya kuwabadili wafanyakazi karibu wote wa TRA ktk hi nchi,waende taasisi zingine,Kuna network mbaya Sanaa,Ukitaka kuamini waliojuu ya huyo ofisa muovu kwa Nini hawajachukua hatua juu ya Jambo hili?

  • @mtanzaniamzalendo7001
    @mtanzaniamzalendo70015 жыл бұрын

    Hii nchi rushwa Ni shida mnooooooooooooooo ,yaani wenye mamlaka wananyanyasa.Hongera waziri mkuu.

  • @user-oj3fq4pi2u
    @user-oj3fq4pi2u4 ай бұрын

    Bravoo Waziri Mkuu, hongera mzee baba, dah umenikumbusha. Enzi zenu na Mzee baba Magu..Mungu akulipe mema kutokomeza maovu nchini

  • @mauajuma3762
    @mauajuma3762 Жыл бұрын

    Huu Ni uonevu wa Hali ya juu jamani 😭😭😭 inasikitisha Sana watu tunateswa mwenye nchi yetu,huyu baba nimemuonea huruma Sana

  • @liannsambu7264

    @liannsambu7264

    Жыл бұрын

    Sana sema Yuko na MUNGU hakika nchi hii inanuka DHURUMA TUPU ,AIBU KWA SERIKALI ,MAANA NDO WANAOAJIRI WATU WA HOVYO HOVYOO , INAWEZEKANAJE MZALENDO KAMA HUYU WANATESEKA HIVI , UONEVU ULOZIDI ,ASISIMAMISHWE TU , AFUKUZWE KAZI , NA AMLIPE FIDIA ZOTE NA WAMFUNGE MIAKA 100 JELA

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 Жыл бұрын

    Hii ndio Tanzania. Dunia inatazama jinsi nchi yetu ilivyo. Hivi kwnn jamani vituko vya namna hii. Kudhalilisha watu hivi.😭😭😭 Viongozi wetu polisi na mizigo ni wapi na wapi. Tatizo watu hawafanyi kazi kwa ufanisi na hawamuogopi Mungu. Kwnn wanadamu hamna huruma hivi. Kwnn lkn. Mungu tusaidie kushughulikia hawa wanyang'anyi. Watoe kwenye viti wale wote wasio haki, wanaotesa watu na wala rushwa. Ni sb tu hamyajui Maandiko sb unapeleka mauti sufuriani kwa familia zenu. Mungu aseme na nyie. Moto uwake juu yenu sb mnasb watu wapate pressure na sukari yaani wawafanyie nyie kazi familia zao ziteketee sb yenu. Mungu awe mtetezi wa watanzania

  • @akimjames-vq2wo

    @akimjames-vq2wo

    Жыл бұрын

    😅😅😮😮😅

  • @SaadaHussein-qt1co
    @SaadaHussein-qt1co Жыл бұрын

    Asantee saana Waziri Mkuu Mungu akubariki siku zote na akupe / awape afya njema pamoja na familia zenu, ni shidaaa bin matatizo makubwa wananchi tunataabika , tunasurubika kupata haki zetu

  • @amnaalshabani2777
    @amnaalshabani27775 жыл бұрын

    Mbona mungu mkubwa japo umeteseka haki yako imepatikana

  • @bahakyejo3800
    @bahakyejo3800 Жыл бұрын

    Katika siku nilizowahi kufurahi ni baada ya kumsikia waziri mkuu juu ya hili ,,yesuuuu mtenda miujiza asante kwa baba huyu na kiungozi wetu waziri mkuu hakika ww ww ndie

  • @hkdarmys
    @hkdarmys5 жыл бұрын

    Waziri Mkuu God Bless

  • @chrismassawe326
    @chrismassawe3265 жыл бұрын

    Mfanyabiashara amefungiwa vitu miaka 3 mtaji c umeisha jaman

  • @wolframmwalo2432
    @wolframmwalo24325 жыл бұрын

    Asante waziri mkuu

  • @esnartmagoti9292
    @esnartmagoti92925 жыл бұрын

    Pole sana kaka! Dai haki zako mpaka kieleweke

  • @loveremedy5348
    @loveremedy53482 жыл бұрын

    Safiiii waziri wetu wew kiongoz Bora ..jamn watanzania wanatesek sn jamniii

  • @FulbertFisoo
    @FulbertFisoo Жыл бұрын

    Duh pole sana mtanzania mwenzetu kwa mkasa uliomkumba , na hongera waziri mkuu kwa kutenda haki

  • @salumhatman7223
    @salumhatman7223 Жыл бұрын

    Hongera waziri wetu mkuuu, kassim majiliwa mwenyezi Mungu akulinde, Ameen

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si11 күн бұрын

    Hata fine ya EFD iwe 15000000 ni mbinu za kutaka rushwa nzuri bigup serikali yetu kurekebisha❤❤❤

  • @wazirisukari5178
    @wazirisukari51785 жыл бұрын

    Nimeumizwa sana na hii simulizi ya huyu mfanya biashara wazir mkuu mungu akujaalie sana kama jina lako lilivyo rais hajakosea kukuchagua

  • @hasanalimbinga8874

    @hasanalimbinga8874

    5 жыл бұрын

    Baba waziri oyeeeee live ccm naipenda

  • @ismailihassan4593
    @ismailihassan45935 жыл бұрын

    Polisi watanzania nimajambaz kama polisi wa kongo serekali ya tanzania ikachukue mfano nchin rwanda polis wa rwanda wana maadili mazur.

  • @TamuzaKale

    @TamuzaKale

    5 жыл бұрын

    Nimesikia hiyo. Rwanda polisi hawana tabu kabisa!

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts Жыл бұрын

    Waziri mkuu Mungu azidi kukuinua...wewe ni jembe...khs TRA Mungu anawaona

  • @user-zf2hx1cq4d
    @user-zf2hx1cq4d Жыл бұрын

    Hiyo ndió kazi ya kiongozi kutetea haki za raiya wake na si kuwakandamiza hongera waziri mkuu,, mungu akupe maisha marefu.

  • @ElnestJohn-nh6yy
    @ElnestJohn-nh6yy14 күн бұрын

    Wewe majaliwa nimagufuli tosha ❤❤❤❤❤

  • @kondwaninyirenda98
    @kondwaninyirenda985 жыл бұрын

    Mfanyabiashara ata km ajasoma lkn kutunza kumbumbuku hodali sana

  • @lucky9285

    @lucky9285

    5 жыл бұрын

    Wanatafuta kwa jasho sanaaa

  • @lucanusnickata8852

    @lucanusnickata8852

    5 жыл бұрын

    Kusoma na kuhifadhi kumbukumbu kuna uhusiano gani watu wenyewe wanasoma kwa jili ya kujibu mtihani na kupata cheti basi

  • @erickzephania1030
    @erickzephania10305 жыл бұрын

    Daah! Uyu jamaa amenitoa machozi, watumishi kma hao ni wakuchapa bakora adharani kabla ya kifungo

  • @medardjustinian5223
    @medardjustinian52235 жыл бұрын

    Ndivyo watanzania wanavyoteseka katika nchi yao, ahsante sana waziri mkuu

  • @felisterapornary2612
    @felisterapornary26125 жыл бұрын

    Jambazi sio lazima atumie siraha 🙈🙈Hongea kwa ujasili wako

  • @adelaidedaycareprenurseryk6324
    @adelaidedaycareprenurseryk63245 жыл бұрын

    Waziri Mkuuu juuuuuuuuuuuu Makondaaaaa Oyeeeeeeeeeeeeee

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts Жыл бұрын

    Mama Samia mama,, hukukosea kumchagua Majaliwa, huyu ni msaidizi jasiri na mwenye huruma Kwa raia.

  • @darzolamacha5169
    @darzolamacha51695 жыл бұрын

    Sijapata kuona MTU jasiri kama huyu big up broo hii nchi maafisa ni shida tupu.

  • @user-zj3ke9gc2u

    @user-zj3ke9gc2u

    5 жыл бұрын

    Mkigoma uyo jembe

  • @irenemwambungu5683

    @irenemwambungu5683

    Жыл бұрын

    Mungu hakubariki mweshimiwa

  • @annamachaki3644
    @annamachaki3644 Жыл бұрын

    Jmn kuna watu wanatesa wenzao Mungu uone asante waziri mkuu Mungu akubariki🙏🙏👍

  • @christophermalongo1577
    @christophermalongo15775 жыл бұрын

    Mkuu na mshahara usimame mara moja maana ushahidi unatosha kumfukuza kazi.

  • @msabahamalonda2249
    @msabahamalonda22495 жыл бұрын

    Japo huwa naumizwa sana na jeshi la police kwa kutumia vibaya malaka waliyopewa lakn leo Nmefurahishwa na Jeshi la police kituo ch tandamti kariokoo, hiv ndivyo wanatakiwa waenende Maadili ya kaz yao. Thanks wazr Mkuu, Thanks Jeshi la Police.

  • @saloujohn3639
    @saloujohn36395 жыл бұрын

    Omg daaaah noma hao ma offisa hadi aibu hawakuona au kuona huruma daaaah kweli noma pole mzee yaliokukuta hi ndio nchi ya kikomando sema mkombozi kashapatikana na timu yake mungu awabariki ,hapa kazi tu love u JPM

  • @aminaagapty5565
    @aminaagapty55654 жыл бұрын

    Nimekupenda sn mh kassimu majaliwa umetenda haki mungu akuweke uzidi kuwatetea wanyoge

  • @mwantebeexpertsurvive672
    @mwantebeexpertsurvive6725 жыл бұрын

    Pole sana"" brother K""

  • @juliusjohn9453
    @juliusjohn94535 жыл бұрын

    Kwa hili na mengine Rais Mtamlaumu bure. Je ungekuwa wewe usingechukua hatua kwa hawa watu wa TRA?

  • @gloriamichael3698
    @gloriamichael36985 жыл бұрын

    Mshukuru sana Mungu hukupigwa risasi baba

  • @wamaladenis4915

    @wamaladenis4915

    5 жыл бұрын

    apa kazi tuu

  • @zaidihussein4311
    @zaidihussein4311 Жыл бұрын

    Majaliwa kasim majaliwa nakuuita Tena majaliwa kasim majaliwa muheshimiwa mungu ndo atakae kulipa piga kazi watanzania tuna Imani na ww sanaaaaaaaa

  • @cleverboy3812
    @cleverboy38125 жыл бұрын

    Safi sana mh. waziri mkuu... Wewe unafaa kuwa raisi ajae 2020

  • @georgemaganga3804
    @georgemaganga3804 Жыл бұрын

    Kama ni kweli kwa maelezo hayo hii nchi iko hatarini kabisa.Taasisi zote Kuna shida

  • @mwanduchuma6189
    @mwanduchuma61895 жыл бұрын

    Hongera sana mheshimiwa mungu akujslie afya

  • @juliusjohn9453
    @juliusjohn94535 жыл бұрын

    Ntunzwe. Hongera. TRA mnaiangusha nchi kwa ubnafsi. Hizo hela na mali zote mtaviacha. Jifunzeni toka kwa Zakayo.

  • @HamisHusseinBwenya-nc7pj
    @HamisHusseinBwenya-nc7pj Жыл бұрын

    Mungu akulinde Waziri Mkuu kwa kuwatetea wanyonge wanaodai haki zao.

  • @mayungarichard7443
    @mayungarichard74435 жыл бұрын

    Wanahaha watu wamejielewa siku hizi hawatoi rushwa

  • @a.msanga1621
    @a.msanga16215 жыл бұрын

    Waziri wetu mpendwa safi sana kwa maana ya very good kwa maamzi mazuri na yenye tija pongezi kwako

  • @masoudrashidmohammed4124
    @masoudrashidmohammed41242 жыл бұрын

    Dah pole sana babaangu tena pole sana na haki yako haipotei kwa hali yyte ile dah is very so sad

  • @husseinkarim7839
    @husseinkarim78395 жыл бұрын

    Hao maofisa wa TRA na commissioner na polisi lazima wahojiwe na kuchukuliwa hatua.

  • @gemkachar

    @gemkachar

    5 жыл бұрын

    na takukuru pia wahojiwe

  • @marymsuya4928

    @marymsuya4928

    Жыл бұрын

    Ina umma sana chako mwenyewe kinakuuwa

  • @ashaally6993
    @ashaally69935 жыл бұрын

    Safi sana👏👏😍

  • @smarty1064

    @smarty1064

    5 жыл бұрын

    Asha Ally upogo mdada?

  • @ricksonmrema1693
    @ricksonmrema16935 жыл бұрын

    Good waziri mkuu

  • @nsiamassawe3075
    @nsiamassawe30754 жыл бұрын

    Mhe. Waziri Mkuu asante Kwa kumuelewa huyu mfanyabiashara. Wasiwasi wangu haya uliyoagiza huenda yasifanyike Kwa uaminifu. Wezi hawana mshipa Wa aibu.

  • @user-nc5bf3ez8q
    @user-nc5bf3ez8q Жыл бұрын

    Huyu ndo magufur alyebakia ap tanzania dar ❤❤❤❤

  • @ChristineMagessa-xq8nl
    @ChristineMagessa-xq8nl Жыл бұрын

    Múngu akulinde waziziwetu mkuu hongera Sana mkuu

  • @mwanamutemi
    @mwanamutemi5 жыл бұрын

    Ajabu hakuna kilicho fanyika mpaja juzi June habari za huyu mfanyibiashara zimemfikia Rais Magufuli ! Waziri mkuu hakusikizwa !!!

  • @Baba_Ben.

    @Baba_Ben.

    2 жыл бұрын

    Natamani nipate feedback za kilichofuata kama alipata stahiki zake

  • @ericamwakyokile1889
    @ericamwakyokile18895 жыл бұрын

    Haya mambo yanaumiza sana. moyo.Kuna mambo yanayoendelea chini kwa chini watu wanaumizwa sana.Tanzania ni nchi ya amani ila watu wake kweli wanahuzuni kwa ubabe huu.asante waziri japo kupata muda wa kuongea na wananchi.watu wanamambo mioyoni .hii husababisha chuki sana.Mungu aturehemu.

  • @calvinloveambroce842

    @calvinloveambroce842

    Жыл бұрын

    Huyo mfanyabiashara nae ni mjinga maana una angaika na watu wanaopumua km wewe usiwaroge nini....mimi uwa sipotezi muda nikijua jina lako nakutia bridi miaka 50

  • @liannsambu7264

    @liannsambu7264

    Жыл бұрын

    AMANI YA KWENYE MAANDISHI LAKINI WATU WAKE WENGI WANAMAJONZI ,HAWANA AMANI NA RAHA MAANA SI KWA MANYANYASO HAYA

  • @MayaMaya-ov9xz
    @MayaMaya-ov9xz Жыл бұрын

    Makonda ana akili sana za politics. Nimegundua leo

  • @denishaule6314
    @denishaule6314 Жыл бұрын

    Ndio maana nashindwa ama kukosq sababu ya kumchukia mzungu….sababu miwatu meusi ina shida kuliko yale meupe…nmejisikia vby sana

  • @santinosabugo2114
    @santinosabugo2114 Жыл бұрын

    kasimu kasimu kasimu majaliwa nimekuita mala tatu mungu akuongoze vema kuliongoza taifa wapiganie wanyonge amina

  • @philipmbunda3610
    @philipmbunda36105 жыл бұрын

    Nimeumizwa sana na tukio hili, ni dhahiri kwamba baadhi yetu bado hatumwelewi JPM na kasi yake ya kuleta mabadiliko katika taifa hili. Mungu ibariki Tanzania, hongera Majaliwa Kassim

  • @abelsteven3189

    @abelsteven3189

    Жыл бұрын

    Ngoma imeanza mwaka 2016 kaka

  • @emmanuelmuntuju4937
    @emmanuelmuntuju49375 жыл бұрын

    Ndugu na mweshiwa waziri mkuu Mungu akuzidishie maisha marefu. na nakuombea uje kuwa rais wa awamu ya sits na mambo yatanoga zaidi.

  • @salmasimai2375

    @salmasimai2375

    Жыл бұрын

    Umesema kaka

  • @user-hq5mo3dx7l
    @user-hq5mo3dx7l Жыл бұрын

    Asante

  • @babaog9583
    @babaog95835 жыл бұрын

    Watendaji wenye tabia hizi wapo wengi sanaaaaa.

  • @ikrissaidrissa8613
    @ikrissaidrissa86135 жыл бұрын

    kwa nn kila kitu mpaka viongozi wa juu ndo washugulikie hawa watumishi wakawaida wanafanya kazi gani?

  • @jovinekahwa9628

    @jovinekahwa9628

    5 жыл бұрын

    Good question

  • @tanzanianchiyangutaifalang8376

    @tanzanianchiyangutaifalang8376

    4 жыл бұрын

    Wafanyakazi wa chini si ndio hao wanaolazimisha kupewa rushwa.

  • @aishamkumba9857

    @aishamkumba9857

    4 жыл бұрын

    Hawa T.R.A mungu anawaona wallah

  • @abershima6592

    @abershima6592

    4 жыл бұрын

    Mungu,akubariki,wa,ziri,mkuu

  • @mbarikiwambarikiwa3988
    @mbarikiwambarikiwa39885 жыл бұрын

    Nimesisimka mwili hadi machozi yamenitoka kutokana majaribu aliyopitia mfanyabiashara hyu. je ambao hatuonani na vingozi tunafanya biashara ktk mazingira gani?.

  • @seifmohamedseif9384
    @seifmohamedseif93845 жыл бұрын

    safi waziri 👏👏👏

  • @bensonmwakyando5776
    @bensonmwakyando57765 жыл бұрын

    Polisi wa nchi hii ni mtapel sana,wezi na mafisadi na TRA sio sehemu salama.

  • @oliverswalo

    @oliverswalo

    Жыл бұрын

    Pole sana kaka

  • @rajabungatanda3749
    @rajabungatanda37494 жыл бұрын

    Aisee inauma sana yani kunawatu Wanajifanya nchi hii nimali ya babazao Yani yote haya yanamkuta kwakua ametaka kulinda haki yake Aiseee kaka mungu atakusimamia Mimi kama mtanzania mwenzako mzalendo nasimama nawewe big up Nakama yupo anaemuunga mkono agonge like hapa

  • @salmasimai2375

    @salmasimai2375

    Жыл бұрын

    Nipo

  • @jimsonjimmy9232
    @jimsonjimmy92325 жыл бұрын

    Kasim majaliwa shikamoooooo kijiti nichako mheshiwa kura yangu mwaka 2025

  • @rukhsanashamshu1727

    @rukhsanashamshu1727

    5 жыл бұрын

    Umeletwa na mungu duniani akuzidishie maisha sana

  • @rashidialiuwali939

    @rashidialiuwali939

    4 жыл бұрын

    Hii ndo kanakwamba nch ilikuwa imedumaaa Kwa miaka mingi Sana tatizo lilikuwa ndo hili

  • @patrickmunishi2277
    @patrickmunishi2277 Жыл бұрын

    MAJALIWA KAMA MAJALIWA NAKUPENDA BABA YAANI WEWE NDIYO WA TANZANIA TUNAKUANGALIA SASA. YESU AKULINDE BABA I LOVE YOU SOMUCH

  • @simbawateranga7020
    @simbawateranga70205 жыл бұрын

    Jamaa huyu kafukuzisha kazi kamishna na watumish wa'3

  • @juliusjohn9453

    @juliusjohn9453

    5 жыл бұрын

    Lucas Makamishina wameshindwa kusoma Alama za nyakati. Wako watu wananeemeka kwa kuwaonea wengine nawanalinfwa! ila wahenga walisema "Huwezi kuwaonea watu wote wakati wote".

  • @josephcosmas2025
    @josephcosmas20254 жыл бұрын

    This is MZEE TOBOA MAMBO. Safi sana

  • @luizabahati5198
    @luizabahati51985 жыл бұрын

    Dah...kumbe alipatwa na maswahiba hivi...Yani huu ninuuaji nakubaliana na maamuzi ya JPM hao TRA wafukuzwe KAZI na wapelekwe mahakamani Tu hakuna namna...wamemsakama Sana jamani..Mungu atakurejezea haki zako zooteee

  • @adamuhango4590
    @adamuhango45904 жыл бұрын

    Asante sana waziri mkuu tuangalie sisi wanyonge

  • @salumnuhu9066
    @salumnuhu9066 Жыл бұрын

    Tutaendelea kwa hali hii

  • @estermeshack610
    @estermeshack610 Жыл бұрын

    Ubarikiwe baba na Mungu azdi kukupa kibari katika nchii hii ya kuwatetea watanzania

  • @geofreybalyobalyo4538

    @geofreybalyobalyo4538

    Жыл бұрын

    Hatar kidgo sasa...haya mambo yasikie tu yasikukute.....sema muha jasiri sana safi

  • @YusraMadodo-sl5oh
    @YusraMadodo-sl5oh Жыл бұрын

    Hongera sana waziri mkuu Mungu akuongoze nakuomba baadae uje uwe rais wet wa baadae tunakupenda San WW ndiye umekuwa watetezi wawanyonge

  • @violethmtalemwa5190
    @violethmtalemwa51905 жыл бұрын

    Tunakukubali sana MWESHIMIWA WAZIRI MKUU wewe na magufuri hatuna wasi wasi na nyie

Келесі