Simulizi ya mfanyabiashara aliyesababisha Waziri Mkuu kumsimamisha kazi ofisa wa TRA
Mfanyabiashara mmoja a jijini Dar es Salaam leo ametumia wasaa wa kikao cha Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na wafanyabiashara wa Ilala kueleza mkasa wake ambapo anadai TRA imeshikilia mizigo yake kwa miaka mitatu sasa baada ya yeye kukataa kutoa rushwa ya Sh2 milioni.
#AzamTVApp #AzamTVUpdates #KeroWafanyabiashara #Kariakoo
Пікірлер: 437
Kama unaamini huyu nikakaake na brother K tajiri wa kigoma,like hapa.
@veronicatweve4786
5 жыл бұрын
Theobard Dimoso 😂😂
@batchivitalis2282
5 жыл бұрын
Hongera kaka kweli
@batchivitalis2282
5 жыл бұрын
Wachunguzwe tra na police ndo zao
@luganomasebo6606
5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 uko makini
@mayungarichard7443
5 жыл бұрын
Wabishi hao😄😄😄
Waziri mkuu umenifurahisha mungu akulinde kwa kusimamia haki mungu ibariki Tanzania na viongozi wake
@jobemjema1661
5 жыл бұрын
Kwahili waziri mkuu mungu akubariki sana
@rashidialiuwali939
4 жыл бұрын
tumepata Rais na wazili mkuu hiii nch sijawahi kuona haya yanayotokea askali wanakuwa majambazi
@rashidialiuwali939
4 жыл бұрын
walikuwa wanachukulia kama sio mtanzania wanayuwa ni mrundi nini
@rashidialiuwali939
4 жыл бұрын
ni vizuri hapo TRA wote watimuliwe. mbona tunachukua wahuni kuwaweka sehemu za kiselikali tatizo kubwa
@ericklaura7511
2 жыл бұрын
Imagine mzigo alisharudishiwa ila mpaka Leo tarehe 18/01/2022 Bado hajapewa stahiki zake zote zikiwemo za usumbufu kama alivoagiza Hayati JPM . I hate my country😠
😭 asante sana kaka Majaliwa ww ndio umebaki mtetezi wetu
Daa! Jmaaa kapitia kugum sn 🙏🙏
Rahaa ya ukwel hata ukifa unaenda peponi
Wel done waziri mkuu hapo ndipo mjue kama siyo kama mtu anapenda kutoa pesa zake(rushwa) alizotolea jasho kirahisi ni usumbufu tunaopewa na hawa watu wa tra na mapolisi ila hapa mapolisi wapo safi.
Kumbe bdo tunao watetezi Nchin, pole San Baba mpka machozi yamenitoka Kwa walivyokuonea hivyo jaman, Mungu azidi kukupa HEKIMA zaidi waziri wetu kasim majaliwa ❤❤❤❤
Wow ! Waziri wewe ni kiboko good job .
Ee mungu watetee wanyonge.Baba huyu amejikakamua sana katika kujieleza.Waziri mkuu wa Tanzania Mungu aendelee kukupigania na kukulinda pia.AMEN.TUMEKUSIKIA MARA KWA MARA UKITENDA HAKI
Waziri mkuu mungu hakuzidishie Ekima Amani na maisha marefu kwa kulinda haki zetu wanyonge mungu ibariki Tanzania na viongozi wenye mioyo ya upendo na Utii Amina
Ahsante Mh; Waziri mkuu Pole kwa kazi unayofanya kwa ajili ya kulipigania Taifa letu Hakika nakuombea kwa MUNGU azidi kukulinda na kukupatia maisha marefu na kulitumikia Taifa yetu Amen.
@yesuanikumbukejanuary8363
Жыл бұрын
Ameeni
Hakika inahuzunisha inatisha maisha tunayofanyiana mungu atajbu kwa wakat wake
Dhalimu tre mungu walaani uwape magonjwa yasotibika uwakoseshe furaha katika maisha yao uwajaalie wawe kuni za motoni kwa dhuluma zao na kuwatesa watu wanotafuta riziki za halali mungu nitakabalie duahii
Hii serikali kiukweli wamenyooka mungu awajalie
@jafariakili2360
4 жыл бұрын
Bado kidogo
Pole sana brother K
@luganomasebo6606
5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 kanaongea kama brother K
Hatua ambazo magufuli angechukua zingekuwa Kali zaidi . Ila waziri mkuu kajitahidi ilibidi afunguliwe na Duka lake
@simbawateranga7020
5 жыл бұрын
Sasa watu wa5 hawana job
@petrusmakupe2093
Жыл бұрын
Miaka mitatu hajafanya biashara?angekuwa nafaida kiasi gani...angaliani hilo
Yaani dunia hii,mungu awaazibu wote waliomfanyia ivo,mungu ajawahi kushindwa atakulipia tu.nasisi watanzania tunakuombea kwa mungu ,namungu atakulipia tu lazima duwa ya masikini haipotei.wamekutesa sana.pole,Ewe mwenyezimungu mja wako msaidie.amina
Mungu akupe kila lakheri Mh. Kasim Kwakurudusha furaha na matumaini brother K👍
Haya ndo mambo yanatakiwa yafanywe na serikari kuliko kudili na wapinzani asante sana waziri mkuu,kwa kujali wanyonge
@happymahega2000
4 жыл бұрын
True
Waziri mkuu njema....Allah akujaalie kwa kumsaidia huyu baba
Good kwa ujasiri na uadilifu
@lucassamwel5544
4 жыл бұрын
Safi San
Baadhi ya maafisa wa serikali wanaroho za kishetani. Waziri Saidia watu wanaoonewa. Amini Mungu atakulipa.
Pole mkuu kwa usumbusu na ni serikali yako
TRA lazma wabadilike
@shomytventertainmenttanzan7842
5 жыл бұрын
Yani wamekuwa wezii sana jamani
Mungu akubaliki Sana mheshiwa Waziri mkuu
Kuna haja ya kuwabadili wafanyakazi karibu wote wa TRA ktk hi nchi,waende taasisi zingine,Kuna network mbaya Sanaa,Ukitaka kuamini waliojuu ya huyo ofisa muovu kwa Nini hawajachukua hatua juu ya Jambo hili?
Hii nchi rushwa Ni shida mnooooooooooooooo ,yaani wenye mamlaka wananyanyasa.Hongera waziri mkuu.
Bravoo Waziri Mkuu, hongera mzee baba, dah umenikumbusha. Enzi zenu na Mzee baba Magu..Mungu akulipe mema kutokomeza maovu nchini
Huu Ni uonevu wa Hali ya juu jamani 😭😭😭 inasikitisha Sana watu tunateswa mwenye nchi yetu,huyu baba nimemuonea huruma Sana
@liannsambu7264
Жыл бұрын
Sana sema Yuko na MUNGU hakika nchi hii inanuka DHURUMA TUPU ,AIBU KWA SERIKALI ,MAANA NDO WANAOAJIRI WATU WA HOVYO HOVYOO , INAWEZEKANAJE MZALENDO KAMA HUYU WANATESEKA HIVI , UONEVU ULOZIDI ,ASISIMAMISHWE TU , AFUKUZWE KAZI , NA AMLIPE FIDIA ZOTE NA WAMFUNGE MIAKA 100 JELA
Hii ndio Tanzania. Dunia inatazama jinsi nchi yetu ilivyo. Hivi kwnn jamani vituko vya namna hii. Kudhalilisha watu hivi.😭😭😭 Viongozi wetu polisi na mizigo ni wapi na wapi. Tatizo watu hawafanyi kazi kwa ufanisi na hawamuogopi Mungu. Kwnn wanadamu hamna huruma hivi. Kwnn lkn. Mungu tusaidie kushughulikia hawa wanyang'anyi. Watoe kwenye viti wale wote wasio haki, wanaotesa watu na wala rushwa. Ni sb tu hamyajui Maandiko sb unapeleka mauti sufuriani kwa familia zenu. Mungu aseme na nyie. Moto uwake juu yenu sb mnasb watu wapate pressure na sukari yaani wawafanyie nyie kazi familia zao ziteketee sb yenu. Mungu awe mtetezi wa watanzania
@akimjames-vq2wo
Жыл бұрын
😅😅😮😮😅
Asantee saana Waziri Mkuu Mungu akubariki siku zote na akupe / awape afya njema pamoja na familia zenu, ni shidaaa bin matatizo makubwa wananchi tunataabika , tunasurubika kupata haki zetu
Mbona mungu mkubwa japo umeteseka haki yako imepatikana
Katika siku nilizowahi kufurahi ni baada ya kumsikia waziri mkuu juu ya hili ,,yesuuuu mtenda miujiza asante kwa baba huyu na kiungozi wetu waziri mkuu hakika ww ww ndie
Waziri Mkuu God Bless
Mfanyabiashara amefungiwa vitu miaka 3 mtaji c umeisha jaman
Asante waziri mkuu
Pole sana kaka! Dai haki zako mpaka kieleweke
Safiiii waziri wetu wew kiongoz Bora ..jamn watanzania wanatesek sn jamniii
Duh pole sana mtanzania mwenzetu kwa mkasa uliomkumba , na hongera waziri mkuu kwa kutenda haki
Hongera waziri wetu mkuuu, kassim majiliwa mwenyezi Mungu akulinde, Ameen
Hata fine ya EFD iwe 15000000 ni mbinu za kutaka rushwa nzuri bigup serikali yetu kurekebisha❤❤❤
Nimeumizwa sana na hii simulizi ya huyu mfanya biashara wazir mkuu mungu akujaalie sana kama jina lako lilivyo rais hajakosea kukuchagua
@hasanalimbinga8874
5 жыл бұрын
Baba waziri oyeeeee live ccm naipenda
Polisi watanzania nimajambaz kama polisi wa kongo serekali ya tanzania ikachukue mfano nchin rwanda polis wa rwanda wana maadili mazur.
@TamuzaKale
5 жыл бұрын
Nimesikia hiyo. Rwanda polisi hawana tabu kabisa!
Waziri mkuu Mungu azidi kukuinua...wewe ni jembe...khs TRA Mungu anawaona
Hiyo ndió kazi ya kiongozi kutetea haki za raiya wake na si kuwakandamiza hongera waziri mkuu,, mungu akupe maisha marefu.
Wewe majaliwa nimagufuli tosha ❤❤❤❤❤
Mfanyabiashara ata km ajasoma lkn kutunza kumbumbuku hodali sana
@lucky9285
5 жыл бұрын
Wanatafuta kwa jasho sanaaa
@lucanusnickata8852
5 жыл бұрын
Kusoma na kuhifadhi kumbukumbu kuna uhusiano gani watu wenyewe wanasoma kwa jili ya kujibu mtihani na kupata cheti basi
Daah! Uyu jamaa amenitoa machozi, watumishi kma hao ni wakuchapa bakora adharani kabla ya kifungo
Ndivyo watanzania wanavyoteseka katika nchi yao, ahsante sana waziri mkuu
Jambazi sio lazima atumie siraha 🙈🙈Hongea kwa ujasili wako
Waziri Mkuuu juuuuuuuuuuuu Makondaaaaa Oyeeeeeeeeeeeeee
Mama Samia mama,, hukukosea kumchagua Majaliwa, huyu ni msaidizi jasiri na mwenye huruma Kwa raia.
Sijapata kuona MTU jasiri kama huyu big up broo hii nchi maafisa ni shida tupu.
@user-zj3ke9gc2u
5 жыл бұрын
Mkigoma uyo jembe
@irenemwambungu5683
Жыл бұрын
Mungu hakubariki mweshimiwa
Jmn kuna watu wanatesa wenzao Mungu uone asante waziri mkuu Mungu akubariki🙏🙏👍
Mkuu na mshahara usimame mara moja maana ushahidi unatosha kumfukuza kazi.
Japo huwa naumizwa sana na jeshi la police kwa kutumia vibaya malaka waliyopewa lakn leo Nmefurahishwa na Jeshi la police kituo ch tandamti kariokoo, hiv ndivyo wanatakiwa waenende Maadili ya kaz yao. Thanks wazr Mkuu, Thanks Jeshi la Police.
Omg daaaah noma hao ma offisa hadi aibu hawakuona au kuona huruma daaaah kweli noma pole mzee yaliokukuta hi ndio nchi ya kikomando sema mkombozi kashapatikana na timu yake mungu awabariki ,hapa kazi tu love u JPM
Nimekupenda sn mh kassimu majaliwa umetenda haki mungu akuweke uzidi kuwatetea wanyoge
Pole sana"" brother K""
Kwa hili na mengine Rais Mtamlaumu bure. Je ungekuwa wewe usingechukua hatua kwa hawa watu wa TRA?
Mshukuru sana Mungu hukupigwa risasi baba
@wamaladenis4915
5 жыл бұрын
apa kazi tuu
Majaliwa kasim majaliwa nakuuita Tena majaliwa kasim majaliwa muheshimiwa mungu ndo atakae kulipa piga kazi watanzania tuna Imani na ww sanaaaaaaaa
Safi sana mh. waziri mkuu... Wewe unafaa kuwa raisi ajae 2020
Kama ni kweli kwa maelezo hayo hii nchi iko hatarini kabisa.Taasisi zote Kuna shida
Hongera sana mheshimiwa mungu akujslie afya
Ntunzwe. Hongera. TRA mnaiangusha nchi kwa ubnafsi. Hizo hela na mali zote mtaviacha. Jifunzeni toka kwa Zakayo.
Mungu akulinde Waziri Mkuu kwa kuwatetea wanyonge wanaodai haki zao.
Wanahaha watu wamejielewa siku hizi hawatoi rushwa
Waziri wetu mpendwa safi sana kwa maana ya very good kwa maamzi mazuri na yenye tija pongezi kwako
Dah pole sana babaangu tena pole sana na haki yako haipotei kwa hali yyte ile dah is very so sad
Hao maofisa wa TRA na commissioner na polisi lazima wahojiwe na kuchukuliwa hatua.
@gemkachar
5 жыл бұрын
na takukuru pia wahojiwe
@marymsuya4928
Жыл бұрын
Ina umma sana chako mwenyewe kinakuuwa
Safi sana👏👏😍
@smarty1064
5 жыл бұрын
Asha Ally upogo mdada?
Good waziri mkuu
Mhe. Waziri Mkuu asante Kwa kumuelewa huyu mfanyabiashara. Wasiwasi wangu haya uliyoagiza huenda yasifanyike Kwa uaminifu. Wezi hawana mshipa Wa aibu.
Huyu ndo magufur alyebakia ap tanzania dar ❤❤❤❤
Múngu akulinde waziziwetu mkuu hongera Sana mkuu
Ajabu hakuna kilicho fanyika mpaja juzi June habari za huyu mfanyibiashara zimemfikia Rais Magufuli ! Waziri mkuu hakusikizwa !!!
@Baba_Ben.
2 жыл бұрын
Natamani nipate feedback za kilichofuata kama alipata stahiki zake
Haya mambo yanaumiza sana. moyo.Kuna mambo yanayoendelea chini kwa chini watu wanaumizwa sana.Tanzania ni nchi ya amani ila watu wake kweli wanahuzuni kwa ubabe huu.asante waziri japo kupata muda wa kuongea na wananchi.watu wanamambo mioyoni .hii husababisha chuki sana.Mungu aturehemu.
@calvinloveambroce842
Жыл бұрын
Huyo mfanyabiashara nae ni mjinga maana una angaika na watu wanaopumua km wewe usiwaroge nini....mimi uwa sipotezi muda nikijua jina lako nakutia bridi miaka 50
@liannsambu7264
Жыл бұрын
AMANI YA KWENYE MAANDISHI LAKINI WATU WAKE WENGI WANAMAJONZI ,HAWANA AMANI NA RAHA MAANA SI KWA MANYANYASO HAYA
Makonda ana akili sana za politics. Nimegundua leo
Ndio maana nashindwa ama kukosq sababu ya kumchukia mzungu….sababu miwatu meusi ina shida kuliko yale meupe…nmejisikia vby sana
kasimu kasimu kasimu majaliwa nimekuita mala tatu mungu akuongoze vema kuliongoza taifa wapiganie wanyonge amina
Nimeumizwa sana na tukio hili, ni dhahiri kwamba baadhi yetu bado hatumwelewi JPM na kasi yake ya kuleta mabadiliko katika taifa hili. Mungu ibariki Tanzania, hongera Majaliwa Kassim
@abelsteven3189
Жыл бұрын
Ngoma imeanza mwaka 2016 kaka
Ndugu na mweshiwa waziri mkuu Mungu akuzidishie maisha marefu. na nakuombea uje kuwa rais wa awamu ya sits na mambo yatanoga zaidi.
@salmasimai2375
Жыл бұрын
Umesema kaka
Asante
Watendaji wenye tabia hizi wapo wengi sanaaaaa.
kwa nn kila kitu mpaka viongozi wa juu ndo washugulikie hawa watumishi wakawaida wanafanya kazi gani?
@jovinekahwa9628
5 жыл бұрын
Good question
@tanzanianchiyangutaifalang8376
4 жыл бұрын
Wafanyakazi wa chini si ndio hao wanaolazimisha kupewa rushwa.
@aishamkumba9857
4 жыл бұрын
Hawa T.R.A mungu anawaona wallah
@abershima6592
4 жыл бұрын
Mungu,akubariki,wa,ziri,mkuu
Nimesisimka mwili hadi machozi yamenitoka kutokana majaribu aliyopitia mfanyabiashara hyu. je ambao hatuonani na vingozi tunafanya biashara ktk mazingira gani?.
safi waziri 👏👏👏
Polisi wa nchi hii ni mtapel sana,wezi na mafisadi na TRA sio sehemu salama.
@oliverswalo
Жыл бұрын
Pole sana kaka
Aisee inauma sana yani kunawatu Wanajifanya nchi hii nimali ya babazao Yani yote haya yanamkuta kwakua ametaka kulinda haki yake Aiseee kaka mungu atakusimamia Mimi kama mtanzania mwenzako mzalendo nasimama nawewe big up Nakama yupo anaemuunga mkono agonge like hapa
@salmasimai2375
Жыл бұрын
Nipo
Kasim majaliwa shikamoooooo kijiti nichako mheshiwa kura yangu mwaka 2025
@rukhsanashamshu1727
5 жыл бұрын
Umeletwa na mungu duniani akuzidishie maisha sana
@rashidialiuwali939
4 жыл бұрын
Hii ndo kanakwamba nch ilikuwa imedumaaa Kwa miaka mingi Sana tatizo lilikuwa ndo hili
MAJALIWA KAMA MAJALIWA NAKUPENDA BABA YAANI WEWE NDIYO WA TANZANIA TUNAKUANGALIA SASA. YESU AKULINDE BABA I LOVE YOU SOMUCH
Jamaa huyu kafukuzisha kazi kamishna na watumish wa'3
@juliusjohn9453
5 жыл бұрын
Lucas Makamishina wameshindwa kusoma Alama za nyakati. Wako watu wananeemeka kwa kuwaonea wengine nawanalinfwa! ila wahenga walisema "Huwezi kuwaonea watu wote wakati wote".
This is MZEE TOBOA MAMBO. Safi sana
Dah...kumbe alipatwa na maswahiba hivi...Yani huu ninuuaji nakubaliana na maamuzi ya JPM hao TRA wafukuzwe KAZI na wapelekwe mahakamani Tu hakuna namna...wamemsakama Sana jamani..Mungu atakurejezea haki zako zooteee
Asante sana waziri mkuu tuangalie sisi wanyonge
Tutaendelea kwa hali hii
Ubarikiwe baba na Mungu azdi kukupa kibari katika nchii hii ya kuwatetea watanzania
@geofreybalyobalyo4538
Жыл бұрын
Hatar kidgo sasa...haya mambo yasikie tu yasikukute.....sema muha jasiri sana safi
Hongera sana waziri mkuu Mungu akuongoze nakuomba baadae uje uwe rais wet wa baadae tunakupenda San WW ndiye umekuwa watetezi wawanyonge
Tunakukubali sana MWESHIMIWA WAZIRI MKUU wewe na magufuri hatuna wasi wasi na nyie