PART 2: AGIZO la MAGUFULI kwa MFANYABIASHARA BABU RAMA wa KARIAKOO MWENYE MGOGORO na TRA....

PART 2: AGIZO la MAGUFULI kwa MFANYABIASHARA BABU RAMA wa KARIAKOO MWENYE MGOGORO na TRA....
GLOBAL TV imefunga safari mpaka eneo la biashara la Kariakoo na kufika dukani kwa mfanyabiashara maarufu eneo hilo anayetambulika zaidi kwa jina la RAMADHAN HAMISSI NTUNZWE, au Babu Rama, ambaye mwaka 2016 aliingia katika mgogoro na mamlaka ya mapato nchini (TRA) ambao ulishatolewa maamuzi na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, kwa mara ya kwanza na baadae Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli nae akaingilia kati na kutoa maamuzi ya mwisho kuwa alipwe fidia, lakini agizo hilo Ramadhani amedai halijatelekezwa hadi leo....
UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE
( +255 784 888982)
( +255 739 750910)
Email: globaltvbest@gmail.com
abbymrisho@gmail.com
HABARI MPYA DAILY: bit.ly/habarimpya
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania
Subscribe bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 483

  • @globaltv_online
    @globaltv_online4 ай бұрын

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

  • @johnchiponde316
    @johnchiponde3164 жыл бұрын

    Aiseee,,All the best,,Mungu akulinde Ramadhan Hamis Ntunzwe..Amen

  • @reyonceramadhan9486

    @reyonceramadhan9486

    4 жыл бұрын

    Amen

  • @teddyoscar6876
    @teddyoscar68764 жыл бұрын

    Bonge la story ya kutisha, na jamaa anajua kuongea 👍

  • @aminaam281

    @aminaam281

    2 жыл бұрын

    Ningejaliwa Mimi ningeringa

  • @nestor384
    @nestor3844 жыл бұрын

    Kamishna Mpya naye kamezwa na mfumo tuongeze kui-share hii video mpaka Mhe. Rais na Mhe. W/Mkuu iwafikie kwa mara nyingine ikiwezekana kamishna mpya naye awe sacked keshasahau wajibu wake na kiapo chake! My motherland watu wanasota kiasi hiki kupata haki zao japo wakiwa na maelekezo ya Rais vipi wale ambao hawana na masuala yao hayajafikia kule ambako swala la Ramadhan lilifikia!!! Mungu endelea kumsaidia Ramadhan mpaka siku moja apate haki yake na wadharimu wote wawajibishwe🙏🏻

  • @ustadhyassir3460

    @ustadhyassir3460

    4 жыл бұрын

    Yatupasa tuwenae bega kwa bega kupaza sauti zetu zimfikie mueshimiwa raisi hawa tra wanataka kumletea dhuma huyu mwenye haki yake

  • @zumbeshauri8114

    @zumbeshauri8114

    4 жыл бұрын

    Kabisa yani kweli

  • @mwinukafundibombanjombe
    @mwinukafundibombanjombe4 жыл бұрын

    IQ yake ya kumbukumbu iko juu sana ,, japokuwa umri umeenda.. Haki haipotei mzee wangu.

  • @ahmadnassor7375

    @ahmadnassor7375

    4 жыл бұрын

    He is very smart

  • @estheradriel9829

    @estheradriel9829

    4 жыл бұрын

    Sana yani

  • @nahyialetomia9284

    @nahyialetomia9284

    4 жыл бұрын

    Mwinuka Rabbitkeeper, ana 45

  • @mwinukafundibombanjombe

    @mwinukafundibombanjombe

    4 жыл бұрын

    @@nahyialetomia9284 sawa mkuu

  • @aminaam281

    @aminaam281

    2 жыл бұрын

    Jaman kwa umri huu apoteze kumbukumbu kaah

  • @williamibrahim2823
    @williamibrahim28234 жыл бұрын

    Kaka Ramadhani baba kichwa kizuri hongera sana

  • @adamkabila7113

    @adamkabila7113

    4 жыл бұрын

    William Ibrahim umeona nimempenda anakichwa kweli anaelezwa kwa utulivyu

  • @shubebunyesi542
    @shubebunyesi5424 жыл бұрын

    Anaeona mzee IQ yake zaid ya flyer over, Allah akufanyie wepesi Inshaallah

  • @dicksonmwanyambo5314

    @dicksonmwanyambo5314

    4 жыл бұрын

    Shube Bunyesi Mimi mzigo wangu umekaa Border ya Mutukula kwa miaka 3 sasa Nasubiri Commissioner TRA atoe kibali cha kuteketeza madawa yaliyoexpire,

  • @dicksonmwanyambo5314

    @dicksonmwanyambo5314

    4 жыл бұрын

    TRA ni issue kwa kweli

  • @tafsiriyaqurantukufukwakis966

    @tafsiriyaqurantukufukwakis966

    4 жыл бұрын

    Ameen

  • @tumainicareen5282
    @tumainicareen52824 жыл бұрын

    Mungu hatokuacha mtangulize MUNGU mbele kweli wanadam hatuna huruma Hongera Rais wetu mtetezi wa wanyonge

  • @silvesterrichardhelenya1319

    @silvesterrichardhelenya1319

    3 ай бұрын

    Amejipiga risasi baada ya kuona hakuna msaada nadhani kesho tarehe 15/ 03/2024

  • @msuyaherbalresearcher7184
    @msuyaherbalresearcher71844 жыл бұрын

    Watanzania hebu tuvae vazi la Mh.Raisi wetu,tukitenda haki kwa wenzetu.TRA mmezoea kuzulumu na kula pesa za zuluma.Mshindwe

  • @nelsonpharles8556
    @nelsonpharles85564 жыл бұрын

    Pole sana mzee kwa imani utalipwa haki yako Mungu aksaidie ktk hilo.

  • @mangalilikilawe6788
    @mangalilikilawe67884 жыл бұрын

    Kiupande wangu nimejifunza mengi sanaaaa ambayo sikuwa na yajua namshukuru huyu mfanya bishara

  • @geofreybalyobalyo4538

    @geofreybalyobalyo4538

    Жыл бұрын

    Hata mimi aiseee...kwel nilikuwa gizani duh😮😮😮😮😮

  • @zuberimasoud5728
    @zuberimasoud57284 жыл бұрын

    Very sad! Pole sana Mzee na hongera sana kwa kuonesha subra kubwa!

  • @mathiasmsese6128
    @mathiasmsese61284 жыл бұрын

    sijaelewa why mtu aliyekabidhiwa kumlinda mtu hapokei simu. something is not right we need to dig more

  • @eliaalex8118

    @eliaalex8118

    4 жыл бұрын

    Ezekiel Leonidas ina wezekana lakn angalia usi tafutwe

  • @Amani715

    @Amani715

    4 жыл бұрын

    Exactly my point. And when he is out there he is busy saying how he is helping a common mwananchi, hypocrite. The fact that Mr. Ntunzwe sent him a message he was in a position to see how important it is given the fact that he was delegated by His Excellence President Magufuli to make sure this issue is closed. Why can’t people do one simple thing? I would record each and every meeting so as they don’t deny the day His Excellence gets to know this. There is a need for a reshuffle at TRA. Total madness 😡

  • @changboy5658
    @changboy56584 жыл бұрын

    Story ya Mzee unatengenezea movies nzuri mno. Mzee Ana akili sana na ni mjanja mno. Naomba Waziri na raisi au watendaji wake wasaidie aione hii taarifa maana wanamuonea sana huyu mzee. Pole sana mzee Uko vizuri.

  • @mariuscyprian1235

    @mariuscyprian1235

    4 жыл бұрын

    Kwa hiyo mpaka wakati huu mzee baba ajaiona au ndio anajipanga ila watanyonyoka wengi manyoya hasa TRA

  • @batulimabewa6953

    @batulimabewa6953

    4 жыл бұрын

    Chezea muha wewe

  • @issakawaya8315

    @issakawaya8315

    4 жыл бұрын

    Haki yako ni ya lalih

  • @subirajohn728
    @subirajohn7284 жыл бұрын

    Naamini hii taarifa utawafikia Vuongozi wetu haki itatendeka! Pole sana kaka Mwenyezimungu atatenda jambo!

  • @alikhamisog3422
    @alikhamisog34224 жыл бұрын

    Sasa nimeamin viongoz wa ccm ndo wanao fanya wApinzan kupata kura nying Nilitaman MH Rais angeongoza tena hata miaka 10 ila najua zipo changamoto lakin hongera Rais wetu

  • @stevenkatina968
    @stevenkatina9684 жыл бұрын

    Mko vizuli jmn ushauri wangu mtafuteni waziri mkuu direct in box mmtumie hiyo clip jmn mzee huyu kaumizwa sana jmn

  • @bulugubujashi6378
    @bulugubujashi63784 жыл бұрын

    Hawa TRA wanarudisha Sana uchumi wa nchi

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus93034 жыл бұрын

    Kumbe wafanyabiashara wakubwa ndio wanavyo pata hela. Kuna na TRA kukandamiza wafanya biashara wadogo na wananchi wa kawaida. Alafu huyo mkurungezi wa TRA juzi tu alikataa rushwa ya wachina wale wa Tabora kumbe angechukua kama wangempanga vizuri. Hii nchi badooo Sana rushwa ni ulemavu tunao. Kaka Ramadhani pole kwa yote, endelea kupambana nauona haki hiyo inakuja🤗💪💪👌👍👍

  • @jonathanakhabuhaya1693

    @jonathanakhabuhaya1693

    4 жыл бұрын

    Kukataa rushwa ya Wachina ilikuwa geresha tu. Shida ni kuwa walimletea mzigo Ofisini moja kwa moja.Walipaswa kupitia kwa "mshikaji" wake

  • @saitotisaitoti6734
    @saitotisaitoti67344 жыл бұрын

    Siku nyingine usipande magari yao watakuua hata kwa sumu ya hewa.tumia magar yako

  • @lucymtui8680

    @lucymtui8680

    4 жыл бұрын

    Mungu akiwa upande wako utapitishwa ktk misukosuko nakutoka dhahabu safi....

  • @issamichoro.5278

    @issamichoro.5278

    4 жыл бұрын

    Safari xote kuanzia leo uwe na watatu kila ulipo

  • @just_this_way

    @just_this_way

    4 жыл бұрын

    Comment imeendana na jina lako, wajina wako, SAITOTI wa kenya aliuwawa kwa sumu ya hewa (cyanide)

  • @loner_wolf

    @loner_wolf

    4 жыл бұрын

    Hii comment iweke kichwani mwako.....iko hivyo sumu ziko aina nyingi Sana......kuwa makini sana

  • @hopesesilius6104

    @hopesesilius6104

    Жыл бұрын

    Sahihi

  • @jobmoffat7844
    @jobmoffat78444 жыл бұрын

    Pole sana mzee,,, TRA hawana namna ya kufanya zaidi ya kumpa haki yake huyu mzee

  • @KASWIZAOnlineTV8933
    @KASWIZAOnlineTV89334 жыл бұрын

    Uyu ni ndugu wa brother k

  • @amosurio8045
    @amosurio80454 жыл бұрын

    nakuomba Sana mzee wangu uwe makini na awo watu

  • @faridakhamis7994
    @faridakhamis79944 жыл бұрын

    Asalam aleykum kaka pole sana kwa msuko msuku uliyo kufika wallah unavyo ongea mpka iman

  • @calvinpaul2171
    @calvinpaul21714 жыл бұрын

    Muheshimiwa 2naombaa ulifanyiee kazii ilii uyu nimoja kati ya watanzaniaa milion48 wanao nyanyaswa Na TRA Na Askarii

  • @bahatimayala6494

    @bahatimayala6494

    4 жыл бұрын

    Pole sana mtanzania harisi uliye jawa na uzarendo pambana mzee mungu yu pamoja nawe haki ya mtu haipotei bali hucheliweshwa tu serikali yetu tukufu ipo haki yako utaipata

  • @kenybenjiz7850
    @kenybenjiz78504 жыл бұрын

    Very smart guy

  • @fortunataangelo5575
    @fortunataangelo55754 жыл бұрын

    Hivi kwa maagizo yote haya YA MH, Bado Watu wana fanya danadana, Kweli Hao wasaidizi pasua kichwa,

  • @EK-kp2np

    @EK-kp2np

    4 жыл бұрын

    Fortunata Angelo Hela za kumlipa watatoa wapi, washalipa ada za vyuo Malaysia na nyingine nyumba ndogo, nyingine jaza jedwali mwenyewe 😏, pagumu hapo, lazima atafutwe bwege mmoja wa kuchapwa ili huyu alipwe 😖

  • @saitotisaitoti6734
    @saitotisaitoti67344 жыл бұрын

    TRA hamuendi mbinguni,mtachomwa moto na hizo pesa za dhuluma kama mnasomeshea watoto wenu mnatengeneza kizazi cha laana.vizazi vyenu vitalaaniwa shenzi nyie

  • @reyonceramadhan9486

    @reyonceramadhan9486

    4 жыл бұрын

    Na mungu awalaani kabisa kunyanyasa wanyonge ili hali wanajaza matumbo kwa dhuluma

  • @smarty1064

    @smarty1064

    4 жыл бұрын

    saitoti saitoti unadhani wanaamini kama kuna mbinguni?

  • @yahyashariff5693

    @yahyashariff5693

    4 жыл бұрын

    Pesa ya dhulma hakuna itako wapeleka, watajibiwa hapa hapa duniani

  • @hosenimwelekwa6200

    @hosenimwelekwa6200

    4 жыл бұрын

    Hahaaaa kweli

  • @samsonmathew7562

    @samsonmathew7562

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @janethpallangyo2633
    @janethpallangyo26334 жыл бұрын

    Mungu akusaidie kwa kweli, watu wanadhambi sana, Mungu yupo nawe. Nakuombea upate haki yako.

  • @annahayasanday7174
    @annahayasanday71744 жыл бұрын

    Nimekupenda baba, uko makini sana Mungu azidi kukulinda.Haki yako haitapotea kamwe,una msimamo sana Mungu hawezi kukuacha.Hili ni funzo kubwa sana kwetu

  • @mwitikageofrey6175
    @mwitikageofrey61754 жыл бұрын

    Mungu akupe ujasir na uvumilivu na akuzidishie maarifa zaid

  • @justinegabriel5854
    @justinegabriel58544 жыл бұрын

    Mungu akubariki sana Baba Magufuli tunakupenda watanzania Ongoza nchi mpk utakapo amua ww kuachia kiti we love you much much much much Dadyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyy Very Be blessed

  • @madeintanzania2995
    @madeintanzania29954 жыл бұрын

    This is another covid-19, Mr. Presedent please make your decissions!!

  • @gladysalbinus7646

    @gladysalbinus7646

    4 жыл бұрын

    Kweli hii ndio Covid

  • @hassankasigwa477
    @hassankasigwa4774 жыл бұрын

    Yaani watanzania wahaogopi maagizo ya raisi bado walitaka kufanya magumashi tu Sasa CORONA tutaiogopaje bana mpaka ituue kwanza

  • @emmanueljohn5162
    @emmanueljohn51624 жыл бұрын

    Wamemtekenya Magu kubaya Kama namwona mzee baba akila watu vichwa

  • @lucymtui8680

    @lucymtui8680

    4 жыл бұрын

    Nataman awaleee....Hawa wanyanyasaji

  • @ashapearubart2624
    @ashapearubart26244 жыл бұрын

    Mmm kazi iko. Pole sana.

  • @watakaniitaje1215
    @watakaniitaje12154 жыл бұрын

    Muandishi unaongea kama unaogopa jamani😆😆😆 Mpigieni Rais 🤣🤣🤣🤣

  • @mariamfaicalhassan2890

    @mariamfaicalhassan2890

    4 жыл бұрын

    Rais siyo sawa na makonda wewe

  • @jamesassanga9220
    @jamesassanga92204 жыл бұрын

    Big up kwa waha!!! Wanajiamin sana

  • @endruwguzula5993

    @endruwguzula5993

    4 жыл бұрын

    yani huwa tunaonekana wabishi ila tunatetea haki ye2 mpaka mwisho

  • @alicelucas4082
    @alicelucas40824 жыл бұрын

    Huyo baba lazima atakuwa muha, hatunaga ujinga.

  • @jannathibrahim9589

    @jannathibrahim9589

    4 жыл бұрын

    Ogopa MTU alietoka kigoma kwa baiskel na Sasa hivi anamiliki mamilioni

  • @neemajoseph3823

    @neemajoseph3823

    4 жыл бұрын

    alice lucas kabisaa wahaa hatunagaa ujingaa kabisaa

  • @tinyaanosiatha1118

    @tinyaanosiatha1118

    4 жыл бұрын

    alice lucas unauliza embe kibada asilimia mia ni mha

  • @buguzajemedar3631

    @buguzajemedar3631

    4 жыл бұрын

    allah akusimamie kwenye kuipigania haki.yako

  • @h.alshidhani8971

    @h.alshidhani8971

    4 жыл бұрын

    Hatunaga ndio nini???

  • @zuhurajuma1528
    @zuhurajuma15284 жыл бұрын

    Hiyo nihaki yako inshaallah utaipata namungu atawaadhibu kwa aina yoyote ile🙏

  • @emanuelandedela2771
    @emanuelandedela27714 жыл бұрын

    Yaani ni Kama move yakutafsiriwa. Ahsante mzee wetu nimejifunza zaidi ya kwenda chuo kikuu.

  • @shamimhayat7637
    @shamimhayat76374 жыл бұрын

    Mwenyezi Mungu amlinde Raisi wetu wa wanyonge Magufuli, pole ndugu yetu Ramadan pia wewe ni smart sana

  • @msuyaherbalresearcher7184
    @msuyaherbalresearcher71844 жыл бұрын

    Hao wafilisiwe na kufukuzwa kazi

  • @saadomari7150
    @saadomari71504 жыл бұрын

    Haki inayocheleweshwa ni sawa na haki inayodhulumiwa,wote wanaofanya hii dhuluma wanastahili kumalizia maisha yao gerezani.

  • @jonathanakhabuhaya1693
    @jonathanakhabuhaya16934 жыл бұрын

    Huyu Mwanahabari aidha hajui kuuliza maswali, au ni mwoga. Bw, Kayombo wa TRA alipaswa kuulizwa moja kwa moja ni kwa nini TRA imekaidi kwa miezi 9 kutekeleza amri ya Rais ya kumlipa Ramadan. Alipaswa kujibu ni nani ktk TRA anazuia malipo hayo, na kwa nini. Alipaswa aulizwe wale wafanyakazi watatu wa TRA Rais aliosemaa wafukuzwe kazi walishafukuzwa au la, na walishapelekwa mahakamani. Kayombo ajibu ni kwa nini wafanyakazi wawili wa TRA wanaohusika na sakata hili walihamishwa kinyemela kwenda mikoani badala ya kuchukuliwa hatua. Alipaswa kujibu hizo milioni 900+ ambazo TRA iliagizwa kulipa zitatoka fungu gani au zitalipwa na nani. Mwandishi ulipaswa kumwuliza Kayombo ni utaratibu gani TRA ilitumia kumkadiria kodi ya kumwumiza Ramadhan, na ni kwa nini ilifunga duka lake na kutumia polisi kumweka mahabusi. Kayombo atwambie ni kwa vipi maafisa wa TRA walishirikiana na wafanyabiashara wawili ili hao wafanyabiashara wamlipe Ramadhan badala ya wao TRA kumlipa. Kayombo ajibu ni kwa nini wafanyakazi waandamizi wa TRA kila mara wanamsihi Ramadhan asimwambie Waziri MKuu au Rais jinsi sakata hili linavyokwenda. Kayombo aseme kwa kukataa kumlipa Ramadhan, na kupenda kufanya vitu kisirisiri, watendaji wakuu wa TRA, akiwemo yeye mwenyewe, wana interest gani katika sakata lote hili nk. nk. Na mwisho Kayombo atwambie kwa nini watendaji wakuu wa TRA, akiwemo yeye mwenyewe, wasifukuzwe kazi kwa utovu wa nidhamu wa kumdhalilisha Rais. kayombo aseme ni kwa nini ydeye na watendaji wakuu wa TRA wasifilisiwe mali zao na kupelekwa mahakamani kwa uhujumu uchumi (kama TRA inavyofanyaga mara nyingine) kwa kuisababishia TRA na Ramadhan hasara. Haya ndo maswali ambayo waandishi wa habari wa kimataifa (kama CNN,BBC na ALJAZEERA) huwa wanauliza. Naomba mwandishi wa habari umtembelee Ofisini Mkurugenzi Mkuu wa TRA na Bwana Kayombo ili waweze kujibu maswali haya. Aidha wasiliana na Ofisi ya Waziri Mkuu na Rais kupata habari zaidi. Wananchi tunangoja kuona haki ikitendeka.

  • @dr_godfrey
    @dr_godfrey4 жыл бұрын

    Da! TRA ni matapeli uwiiiiiiii inaumiza sana

  • @awadhally1052

    @awadhally1052

    4 ай бұрын

    Hawa TRA. Ni nguruwe kabisaaaa

  • @darkplatnum9006
    @darkplatnum90064 жыл бұрын

    Maaana nakumbuka ulisema kua kesi zot uleshinda ulizo mbakiziwa na TRA nakusubili tu uon utapewa kesi ipi tena na mwanzo wa yot ni mzgo kukamatwa kutok south na kuvunjiwa maduka yako ya thamn ya milon 800 na chanzo kuvunjww ni chen tu ya shiling miatano tena usio iuza ww asant mungu allah ww ndie kila kitu

  • @bwerumaster6691
    @bwerumaster66914 жыл бұрын

    Dah bonge la movie!! Kanumba RIP angekuwepo angefanya bonge la movie!

  • @hosenimwelekwa6200

    @hosenimwelekwa6200

    4 жыл бұрын

    Hahahaaaa kweli ndugu

  • @happymaiga4963
    @happymaiga49634 жыл бұрын

    Wana movie mwende kwa Ramadhani mkafanye movie stories take itapendeza sana.

  • @barryryoba1489
    @barryryoba14894 жыл бұрын

    TRA Mnanyanyasa Sana Na Kuzulumu Wanyonge, Hata Kama Mnajiona Mnafanikiwa Sana Kimaisha Na Hii Zuluma Bado Mtateseka Sana Na Ngono Zembe Hatimae Kufa Kwa Ukimwi.. Na Pia Hata Kama Watoto Wenu Wanasoma Shule Za Juu Bado Wataishia Ulevi, Anasa Na Hatimae Kifo Kwasababu Watu Mnaowazulumu Wanatoa Kilio Kikubwa Sana Kinachofika Mbinguni Na Hamtabaki Salama Hata Kama Mmejaza Hizo Pesa Za Zuluma Kwenye Magunia.

  • @allythabit5175

    @allythabit5175

    4 жыл бұрын

    Duh hatreee sana

  • @faridmnyamike556

    @faridmnyamike556

    4 ай бұрын

    Allahuma Amiiiiiiin

  • @faridmnyamike556

    @faridmnyamike556

    4 ай бұрын

    Allahuma Amiiiiiiin

  • @johnsnip1563
    @johnsnip15634 жыл бұрын

    Watu watata da yani mtu anapewa maagizo na rais lakini bado hayatekelezi

  • @hadijamandanje6189

    @hadijamandanje6189

    4 жыл бұрын

    Binadamu tuna roho chafu hata hofu ya muumba wetu hatuna tumejisahau sana

  • @mgongolwajoseph6901
    @mgongolwajoseph69014 жыл бұрын

    Inaumiza Sana pole

  • @emiliamulaki3600
    @emiliamulaki36004 жыл бұрын

    Baba una akili nyingi. Mungu akulinde sana.

  • @nyangarojumanne3034
    @nyangarojumanne30344 жыл бұрын

    Nindugu wa bro k

  • @bahatisejua9944
    @bahatisejua99444 жыл бұрын

    Huyu niusalama wa Taifa hawaTRA huwahawajui kwambawengine siowafanyabiashara wapokwaajili yakuchunguza hatahizo hela zamtaji zaserikali.

  • @mariuscyprian1235

    @mariuscyprian1235

    4 жыл бұрын

    Sasa mjomba naanza kukuelewa

  • @catherinebassanga2252
    @catherinebassanga22524 жыл бұрын

    Mbona kama wanafanana na mh raisi

  • @jacksonmathayo6510
    @jacksonmathayo65104 жыл бұрын

    Pole sana mzee duuh Ni hataree sana

  • @jrayim
    @jrayim4 жыл бұрын

    Mwana habari, mbona mpole... uliza maaswali nawe. Kwa mfano, hawa askari kesi zao ziko mahakama gani ili ufuatilie?

  • @jonathanakhabuhaya1693

    @jonathanakhabuhaya1693

    4 жыл бұрын

    huyu mwanahabari naona ni mwoga au bado hajakomaa.

  • @abdallaanton5210
    @abdallaanton52104 жыл бұрын

    Duuu watamuuahuyu ee mwenyezi MUNGU msaidie mjawako anatetea hakiyake kamaulivyotuagiza tusidhurumu wala tusikubali kudhulumiwa

  • @saimonmanyerezi7169

    @saimonmanyerezi7169

    4 жыл бұрын

    Rais alishawambia wao wenyewe wamlinde.

  • @salminmabrouk9567
    @salminmabrouk95674 жыл бұрын

    Du mtihani babu kubwa kuliko wote

  • @enessamramba5542
    @enessamramba55424 жыл бұрын

    Jaman unapokuwa na shida za kiofisi kama hizi ndo utajua kama rais bado anakaz kubwa sio TRA tu Tanzania 🇹🇿 watu wa chini tunaumia sana basi tu

  • @joshualukumay5667
    @joshualukumay56674 жыл бұрын

    mi nkisikia ivi nakata tamaa ya biashara .ila pia waziri mkuu na raisi nimewapenda. mungu awabariki.

  • @issazakaria9704
    @issazakaria97044 жыл бұрын

    Sidhani kama baadhi ya maofisa wa TRA wanaamini katika MUNGU.

  • @benysprian3143

    @benysprian3143

    4 жыл бұрын

    Uta shinda tuu

  • @masiyomasiyo

    @masiyomasiyo

    4 жыл бұрын

    Pesa ndio mungu wao

  • @ndundetommasz9158
    @ndundetommasz91584 жыл бұрын

    It's so painful, I thought this nonsense only happens in Kenya, kumbe it's all in Africa

  • @kassimrajabu7805

    @kassimrajabu7805

    4 жыл бұрын

    Afrika imeoza....sio kenya tu.

  • @ambrosiamlinga8402

    @ambrosiamlinga8402

    4 жыл бұрын

    NDUNDE TOMMASZ Kenya is worse

  • @augustuss4503

    @augustuss4503

    4 жыл бұрын

    This is exactly why I don't want to invest in Tanzania or Africa in general, so much injustice and corruption, na sisi Watanzania ambao tuko nnje tunakuombea ulipwe haki yako

  • @rosekaiza2716
    @rosekaiza27164 жыл бұрын

    Hizi ndio habari za kutuletea watanzania kwakua tunajifunza mambo muhimu mnaboa sana pale mnapotuletea upuuzi wakina amba ruti!nimependa sana hii story mungu mkubwa atamsaidia huyu baba

  • @layannalcis4789
    @layannalcis47894 жыл бұрын

    Kamabado fanya kukinukisha uende TBC

  • @eliaalex8118

    @eliaalex8118

    4 жыл бұрын

    Layan Nalcis kwel

  • @samsonmathew7562

    @samsonmathew7562

    4 жыл бұрын

    TBC ni kama kupeleka kesi ya nyani kwa ngedere........ Huyu anatakiwa kupata mtu kama mange kimambi ampigie kelele

  • @makepoundbemillionire9688
    @makepoundbemillionire96884 жыл бұрын

    Babu rama pole nakujua wew muha

  • @moshaomary4304
    @moshaomary43044 жыл бұрын

    Waziri wa fedha mbona yuko kimya kwa swala hili nawakati nimaagizo kutoka juu ,waziri msaidie huyu mzee,

  • @isihakazombokooo1647
    @isihakazombokooo16474 жыл бұрын

    Mtafute waziri mkuu naimani utampata hao ni wezi mnooo.

  • @hmk..
    @hmk..4 жыл бұрын

    Pole. Global TV good interview

  • @allyabdulatif934
    @allyabdulatif9344 жыл бұрын

    Mkuu was nchi anakuona mnyonge wa mungu anazulumiwa da futa wate hawa kazi

  • @annkim2690
    @annkim26904 жыл бұрын

    😭😭😭mpaka dadake alikufa jamani Mungu anawaona vile mmemfanyie huyu mwanaume

  • @imamuhamisi4421

    @imamuhamisi4421

    4 ай бұрын

    Nayeye mwenyew leo amekufa kw kujipiga risas😢

  • @annkim2690

    @annkim2690

    4 ай бұрын

    @@imamuhamisi4421 waa ameruka mikojo akaangukia mavini

  • @user-tz9ic7jn4j
    @user-tz9ic7jn4j4 жыл бұрын

    Asante sana

  • @mjige9088
    @mjige90884 жыл бұрын

    Na huyo makonda vipi asipokee simu ya huyu bwana na aliambiwa amlinde na hata SMS yake hajibu something is cooking on here

  • @aishakhatib3107

    @aishakhatib3107

    4 жыл бұрын

    Huyo makonda amehucka sana tu , mafya wacjemuua

  • @pashcompomongo3347
    @pashcompomongo33474 жыл бұрын

    Haki haipotei.. haki yako utaipata japo kwakuchelewa mungu yupo

  • @margaretwambete1228
    @margaretwambete12284 жыл бұрын

    Kelli mwerevu kama mayahudi👍👏

  • @flaviankato1697
    @flaviankato16974 жыл бұрын

    Duh kwa hili naona kuna watu watapoza vibarua vyake nimependa uyu tajir kwa maelezo yake

  • @tafsiriyaqurantukufukwakis966
    @tafsiriyaqurantukufukwakis9664 жыл бұрын

    Asalam alaikum, namshauri ndugu Ramadhani Hamisi afanye video au Audio clip rasmi Kwenda kwa Mheshimiwa Raisi Magufuli, kisha aitume clip hiyo kwa njia ya whatsapp (aelezee kila kitu Kwenye clip hiyo) In Sha Allah itamfikia Raisi Magufuli, Raisi ndio atayekusaidia In Sha Allah, inavyo onyesha TRA hawana nia ya kukulipa kitu kwa njia ya kihalali (wanakuzungusha tu)

  • @chrissg4026
    @chrissg40264 жыл бұрын

    Mungu akusaidie, You are rl at big risk!!

  • @mariambuhanza5953
    @mariambuhanza59534 жыл бұрын

    duuuh! hii kubwa kuliko kwa Imani utapata haki yako mzee

  • @samsonmathew7562
    @samsonmathew75624 жыл бұрын

    TRA nu takataka sana hawa nguruwe

  • @mtumishimathias7762
    @mtumishimathias77624 жыл бұрын

    Watu kama hawa kwenye hospital za Umma hawahitajiki kabisa, wapo wengi wanataka Kaza.

  • @rajabumalupu4184
    @rajabumalupu41844 жыл бұрын

    Global is the best we want enclusive part3

  • @ericstephenm.844

    @ericstephenm.844

    4 жыл бұрын

    Nenda pia Tanzanite KZread channel. Wao ndio wameanza kutoa stori hii na ipo kamili kabisa!

  • @gracemima5234
    @gracemima52344 жыл бұрын

    Wana habari tunawapongeza sana kwa kufumuwa ukweli wa mambo. Endeleeni kupata ukweli pande zote ili Tanzania iwe nchi ya haki kwa wote

  • @reyonceramadhan9486
    @reyonceramadhan94864 жыл бұрын

    TRA uozo mtupu ivi kunyanyasa wafanyabiashara mpaka lini kichwa cha mzee sio poa

  • @mosesmacha1080
    @mosesmacha10804 жыл бұрын

    Haki iitapatikana

  • @bahatisejua9944

    @bahatisejua9944

    4 жыл бұрын

    Niusalama waTaifa huyu yupo kazini hawakumjua

  • @fabianmilanga4980
    @fabianmilanga49804 жыл бұрын

    TRA wezi aisee

  • @johnmasanja1762
    @johnmasanja17622 жыл бұрын

    Duh, jamanii kufarik kwa Mzee magu, ni pengo kubwa sana,

  • @ireneassey3685
    @ireneassey36854 жыл бұрын

    Kudadek wanavimba matumbo kwa pesaa zetu wajinga hawaa

  • @awadhally1052

    @awadhally1052

    4 ай бұрын

    Hawa ni nguruwee kabisaaa

  • @zakiamsafiri123zakiamsafir7
    @zakiamsafiri123zakiamsafir74 жыл бұрын

    Rais wa wanyonge amekusikia baba wataitapika tu pesa yako

  • @enockadam887
    @enockadam8874 жыл бұрын

    Never give up keep going

  • @didassadik8075
    @didassadik80754 жыл бұрын

    Comred

  • @jamallysayd3886
    @jamallysayd38864 жыл бұрын

    Allah atakulinda mzee wetu

  • @mulebamnaku4130

    @mulebamnaku4130

    Жыл бұрын

    Hizio siasa kayombo funguka mpe ni ela yake, mbona mnamishahara mono njaa gani hiyo,

  • @andumwatonoka2889
    @andumwatonoka28894 жыл бұрын

    Anko magufuli muskie kilio chake huyu kaka mweeee

  • @stephanokanyika6321
    @stephanokanyika63214 жыл бұрын

    Kumbe kamishina mkuu mpya nae ni jipu tumbua magufuri

  • @karimmunis8302

    @karimmunis8302

    4 жыл бұрын

    Huyu jamaa alisema haogopi kitu kumbe naye ni walewale

  • @jacklineraymond6487

    @jacklineraymond6487

    4 жыл бұрын

    Utatumbuliwa wewe humjui magu

  • @reyonceramadhan9486

    @reyonceramadhan9486

    4 жыл бұрын

    Atumbuliwe hafai

  • @mbarikiwambarikiwa3988
    @mbarikiwambarikiwa39884 жыл бұрын

    Kweli hyu Mha ni kiboko na ana akili za Waisirael kweli.

  • @st99ngeni35
    @st99ngeni354 жыл бұрын

    Leo ndiyo nimeelewa ni kwanini mafisadi na watumishi wasio weredi wanataka raisi Magufuri atoke madarakani, ikiwezekana hata kumuua. kumbe sababu ndiyo kama hii...watu wamefanya madudu yao, dhuruma, ufisadi nk sasa mheshimiwa kawabana koo wanahaha watapoteza kazi au mafao yao. ukiangalia hawa TRA wanachofanya ni kila mmoja anajaribu kufunika jambo hili lipite salama bila kumuangukia ikiwezekana kwa walio karibu kustaafu liwakute wameshastaafu. Mimi naomba kwa yeyote aliye na uwezo wa kumfikishia raisi taarifa hii afanye hima. Pili, kwa TRA na polisi pokeeni onyo hili; Chondechonde msije mkathubutu kumuua huyu mzee, hiyo dhambi haitavumiliwa na wananchi, huo utakuwa ndiyo mwisho wenu.

  • @awadhally1052

    @awadhally1052

    4 ай бұрын

    Allah awalaan wote kama wame muuaa

  • @awadhally1052

    @awadhally1052

    4 ай бұрын

    Na awalipize na wao kama walivo mfanyiaa

  • @carlosn_tz
    @carlosn_tz4 жыл бұрын

    Makonda Makonda simu nane na msg bado haupokei!!!Kweli mkuu!!!!! uko busy kweli kaka.

  • @alamnyopo9739

    @alamnyopo9739

    4 жыл бұрын

    Mimi pia imenitia mashaka...yawezekana kuna kitu nyuma ya pazia....🤔

  • @mamaamourtamba7801
    @mamaamourtamba78014 жыл бұрын

    IQ yako kubwa sana big up baba

  • @dayana5513story
    @dayana5513story3 ай бұрын

    Uyu jamaa kashushwa na wanabiashara wenzie,Mungu Akuna atakae ishi milele

Келесі