MBUNGE MATIKO Apiga SIMU 'LAIVU' Kuongea na POLEPOLE, Ambana kwa MASWALI...
MBUNGE MATIKO Apiga SIMU 'LAIVU' Kuongea na POLEPOLE, Ambana kwa MASWALI...
KATIKA kipindi cha 255 Front Page leo Mei 25, Katibu Mwenezi wa CCM, Humphrey Polepole, ameshiriki na kutolea ufafanuzi masuala mbalimbali ya kisiasa yanayoendelea nchini, hususani ndani ya chama chao...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Пікірлер: 762
Kwanini wanaocoment wanatukana badala ya kujenga hoja, tujifunze kupingana bila ktukanana
@davidcurtis8556
4 жыл бұрын
Hilo ndio tatizo la uteam wa vyama maslahi ya nchi hatujal ndio linalocost
@praykyara2604
4 жыл бұрын
Kwel kabisa
@witneskilinda5034
4 жыл бұрын
watanzania wengi tumekuwa wajinga sana, wamezoea ndioooo
@solemba595
4 жыл бұрын
WaTz wengi hawajui wanachoongea, wanategemea mwanasiaa wawatafsirie...
@h.jrugashaula1296
4 жыл бұрын
Tangu lini Watanzania tukajibu hoja kwa hoja....Tumelelewa hivyo ukihoji unachapwa makonde au unatiwa korokoroni
Hongera sana Ester Matiko! Kumbe unasoma ilani ya chama cha mapinduzi!!
Ester matiko: humpherey una miaka mingapi? Humphrey: Unajua mtoto wang ana miaka tisa na mke wang ana miaka 30 😂😂😂.
Kweli polepole Kashindwa kujibu hoja za Matiku
Natamani tufike mahali tunasikiliza hoja na kujibu hoja kwa maslahi ya taifa bila kujali uchama, Yaani kuna muda natamani watu waache uchama tusimamie maendeleo ya taifa kwa ujumla, Naipenda serekali yangu na nampenda rais wangu, Ninapenda kukoselewa ili kunisukuma kusonga mbele, siku zote changamoto ni daraja la kutuvusha. Kipekee mimi nawachukulia wapinzani kama Kioo cha chama tawala, bila wao tunaweza tusione madhaifu yetu, Nimependa hoja zilizohojiwa zinatupa dira, hongera Esther kwa utulivu wakati wa kuhoji Upo vizuri, Changamoto zipo kwenye utekelezaji na haya yanajibiwa kwa hoja kuntu, Mheshimiwa Rais anapambana Sana na anatamani Sana tufike mbali ila utekelezaji wa watendaji wengine ni changamoto.
@jenyyusuph4973
4 жыл бұрын
Aaa bwana we ukosowaji gani huu wakinafiki hembu tujuzane yani hiyo tabia haina tofauti na vipofu tisa Waliyopo yew alafu kumshukuru bure wesjindwa
@sweetbertrwiza5982
4 жыл бұрын
Kuna wengine wakisoma ulivyompongeza Esta roho zitawauma sanaaa!!
@angojothammbossa6385
3 жыл бұрын
Ukiacha uchama ccm inatoka madarakani
Daaaah......! Ni kheri nizime nisimalize bando langu maana swali lingine majibu mengine anajibu vingine 🤣🤣
Global Tv huu ndiyo muundo mzuri wa kuijenga nchi yetu. Vyama vitoe upeo yakinifu wa kuipeleka nchi yetu mbali zaidi. Vilevile muwaonye watu ambao muda wote ni matusi. Mitandao itumike kuijenga nchi yetu
Duh hayo majibu yapo tofauti na maswali aliyoulizwa
story balanced. good 👍👍
Polepole ni katibu mwenezi wa ccm anayejua kazi yake the best ever
Mh. Polepole umejibu vizuri maswali ya Mh. Matiko, mimi nafikiri kwa wale wanaoona umejibu tofauti na maswali yalivyoulizwa ni mtazamo wao pengine wanajua namna moja ya kujibu lakini kimsingi Mh. Matiko ameuliza juu ya utekelezaji wa ilani ya CCM na msingi wa majibu ya Mh. Polepole ni ilani ya CCM.
Well done kumbe lami hadi inataka kufika mugumu kazi nzuri
Mheshimiwa polepole elewa kuwa watanzania kwa sasa tunajielewa sana baada ya kujibu maswali straight unatueleza habari za maji sijui barabara hayo sio maswali uliyoulizwa
Amemjibu kisomi kabisa,asiemuelewa Polepole hawezi kuelewa hata jina lake milele
@sweetbertrwiza5982
4 жыл бұрын
Maswali alioulizwa hajayajibu
@suzanaagustinookelo4953
3 жыл бұрын
Nami nimewambiyaa a watu ivyo ivyo
Ama kweli uwalimu ni kazi ya kupewa heshima kubwa sana. Hivi mtu wa aina gani usiyeweza kuelewa alicho kiongea POLEPOLE na ni mtanzania unayeishi wapi uliyeshindwa kujua serikali ya chama cha mapinduzi ilivyo tekeleza ilani yake kwa vitendo kwa zaidi ya 100%. Ama kweli sio wote wenye macho wanaweza kuona na sio wote wenye masikio wanaweza kusikia na sio wote wenye miguu wanaweza kutembea hii ni sawa na kumpigia mbuzi guitar. POLEPOLE kiatu ulicho kivaa kinakutosha kweli wewe ni mwenezi wa chama cha mapinduzi taifa. Keep it up!!
Ukiwasikiliza wanaCCM wanapojieleza utafikiri kwamba kuna chama fulani kilikuweko madarakani halafu kikatolewa ndio sasa CCM ikaingia.
@twaibumatimbwa5023
4 жыл бұрын
unakili sana
@sweetbertrwiza5982
4 жыл бұрын
Ni kweli kabisa
@brysonkaale7106
4 жыл бұрын
Paka anakimbizana na mkia wake,siku akiukamata atakuwa kajikamata!
@sasha-ri7tf
4 жыл бұрын
Ndio propaganda za ccm kuwadanganya wa baazi ya Tz wasiojitambua, chama kimechoka ndio sababu kimepata Rais wazim kama alivyosema kikwete.
@enockniko5834
4 жыл бұрын
Kweli aisee
Out of my marking scheme lol
@nashirkamugisha9425
3 жыл бұрын
😃😃😃
Asante sana mbunge wangu Matiko
Kila kitu kitaanza itakapo fikaa december, na pesa ishatengwaa🤣🤣🤣Hapo tunaenda mitano minginee hivyooo
Vizuri sana vijana ,kulikoko kuingia mitandaoni-kilakitu wazi sauti picha hukweli wazi
Kama hakuna mtu aliyeelewa majibu ya ndugu Pole pole akajifungie mpaka 2021
@faustinluambano2958
4 жыл бұрын
Hiyo ni story nyingine hajibu hoja. Mnabahati sana wananchi wengi upeo mdogo.
@simonmanyelezi628
4 жыл бұрын
@@faustinluambano2958 Wananchi hatuhitaji kuelewa tunahitaji kuona nn kinafanyika na aliyosema polepole yote yanafanyika.
@sweetbertrwiza5982
4 жыл бұрын
Wewe kama umemwelewa basi unatafuta cheo
@hassaname3534
4 жыл бұрын
akili ni nywele wewe unakipara du
@josephatjohn1848
3 жыл бұрын
Bahat hayo sio maswl kama alivyoulizwa
Mh. Polepole tunashukuru kwakutufikishia habari njema za Miradi ya Maendeleo ilio tekekelezwa sehem mbalimbali hapa Nchini na Serikali yetu ya Chama Cha Mapinduzi.
Umemjibu vizuri sana mwenezi wangu wa kitaifa hongera sana kwa ujuaji wa kiswahili fasaha kabisa kabisa unaongea nikama wewe ndiye uliye fanya hayo kaka Nikupongeze sana ..... Sina cha kukupa ila moyo wangu wa dhati nakushukuru sana kijibu majibu mepesi kwakua unayajua sana...
Duuuuh!! Huyu jamaa anajibu ambacho hajaulizwa. Kweli akili ni nywele na jamaa ana upara
Big up da ester real to educate a woman is to educate the whole society
@robertcharles4836
3 жыл бұрын
Mbona anajibu maswali mengine sio yaliyoulizwa?
Mimi shahidi nimepitia njia Ya Serengeti. Najua Nata Na Mugumu togea nina 1972. Haikuwa na lami.
Twende kwenye swali. Muda autoshi
Chadema hawajui kinacho endelea humu TZ in maskini was akili hawaoni,hawasikii jamani mbunge naelimu yako unauliza maswali ya kitoto! Du!! Poleni
Safi sana ndugu pole pole awamu hii hawana hoja . hapa kazi tu
Siasa
Hivi nyie watangazaji mnafanyakazi gani hapo? yani mtu anaulizwa maswali mengine yeye anaongea yakwake. mnatumika!!
@dianapeter1914
3 жыл бұрын
Hayo siyo maswali uliyo ulizwa
Pozi Kwake Mzee Wa Ruksaaaa Bila Yeyeeee Mpaka Sasa Raizo, Bugaluu. Pekozi. Chachacha. Na Vingine Vingi. Mungu Hampe Afya Njema Na Uwai Mrefu na Kauri Thabiti.
Watanzania hebu tumuache Magufuli amepiga kazi awamu hii tena kwa speed sana, mi niko Arusha sioni kitu Lema amefanya huku kazi ni majungu tu
@edwardmassawe5116
4 жыл бұрын
Una mavi nini lema anakusanya kodi ? Unamlinganishaje na mh rais
@angojothammbossa6385
3 жыл бұрын
Atoe pesa yake ya mfukoni?
We pole pole hayo sio maswali ulioulizwa
Hongera CCM
Polepole uko vizuri..... CCM Oyeeeee
@masanjamalimi5357
3 жыл бұрын
Polepole upo vizuri aiseeee! Much respect
Jibu maswali uliyoulizwa wananchi sasa tunajitambua sana hizo siasa tumezichoka
Daaaaa Polepole Noma aseeeee Nimekaa Longido Kuanzia Mwezi wa Pili mpaka wa Saba Ni Ukweli Mtupu Kwa wanalongido Bomba Linatokea West Kilimanjaro to Longido na Sasa wanataraji kuupeleka Namanga Lakini Mifugo Na wananchi wa Longido ni wanufaika DC Frank Mwaisumbe Ni Shuhuda
Me cjamuelew polepole alichongea km na ww hujanielew naomb like
@nashonkalinga8806
4 жыл бұрын
WATU WAPINGE, WAKATAE AU WAKUBALI, UKWELI NI HUU: RAIS MH. J.P. MAGUFULI KAZI ILIYOFANYIKA KATIKA KIPINDI CHAKE NI KUBWA SANA; WANANCHI WAMEONA ,HAKUNA HAJA KAMPENI YEYE ANAPITA BILA KUPINGWA , AENDELEE TUU , ANAFAA SANA. RAIS WETU KWA SABABU AMETAMBUA NAFASI YA MUNGU KTK TAIFA LAKE , MUNGU ATAMUINUA NA KUMTUKUZA.
@faridhassan2308
4 жыл бұрын
Huwezi kumuelewa Kwa sababu tayari ushapanga usimuelewe
Watangazaji wa Global Tv mimi nilitegemea wakat polepole anajibu Matiko angekua hewani ili awe anaanamuongoza kujibu maswali alio uzwa ama nyinyi ndo mngemuongoza Polepole kujibu maswali yale alio uliza Matiko kimsingi watangazaji mmepoteza radha ya kipindi maana Polepole hajajibu hata swali moja alilo uzizwa na Matiko Au nakosea jaman
@Ranaimuye
4 жыл бұрын
Global TV behaves as a mouth piece. Very unprofessional
@hajiharun3587
4 жыл бұрын
Wanaogopa kumuongoza,utasikia wafutwa kwenye air.
@korekalukumay7197
4 жыл бұрын
Ndgu watangazaji mbona mweshimiwa hendi kujibu maswali ya mwingi,hapo ndyo unapata siasa na kazi kazini pamoja
Yani nilicho kiona hapo Ni hili. Swali : Mhe Ester 1 + 1. Jibu : Polee Unajua bwana hauwezi kutoa hesabu ya mtoto wa darasa la kwanza Yani Kwakweli si Jambo la kunipima Yani nadhani Mimi Kama Mimi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Jibu swali moja kwa moja acha kuzunguka zunguka 😂😂😂. Fisiemu Kama Fisiemu bana toka 1961 porojo porojo
Naomba nimuulize rais maswali kodi zetu ndio zinae mueka madarakan alifu leo anaongea kwamba tusipo mpa kura ata leta maendelea hata kidogo jee hizo kodi zetu sindio zinaojenga nchii au nipesa zake mfukon atuambie kuusu Ilo
Mhe polepole umemjibu vizuri sana mhe matiko.
@edwardmassawe5116
4 жыл бұрын
Mqzuzu wenzio
@jumasaidi8157
4 жыл бұрын
Haya
TUNAWAPENDA VIONGOZI WETU NA TUNAWAONBEA ILA TUNAWAOMBA WAUNGANISHE WATANZANIA NA WAACHE KUWAGAWA WATANZANI KWA KUPITIA SIASA.
Yeeaaa
Upo vizuri Pole pole uchambuzi wako nakumbuka enzi zile unachambua soka na Musiba.
@issamasimba9813
4 жыл бұрын
Yuko vizuri jinsi ulivyo wewe hoja anaacha majibu as nakimbilia yasiokueepo kwenye mada
Puuuuumbaaaa kabsaaa.
Ester Matiko ni mwanasiasa mzuri sana
Weoooooo mungu awabaliki ccm oyeeeeeeee
@imanasagwile8279
4 жыл бұрын
Kamuwaoo mume wako
Comrade kwa sehemu ambayo serikali yetu imesahau ni Serengeti kwenye barabara , barabara ya kutoka Serengeti to bundi ni vumbi , barabara ya Serengeti to Arusha ni vumbi , barabara ya Serengeti to Tarime ni vumbi , barabara ya Serengeti to musoma ni vumbi , , Watu wa Serengeti wamesahaulika sana wanadhaniwa nao ni wanyama pori , that is why Mara kuna upinzani mkali kisiasa coz wanaona kwamba wanabaguliwa
Mmechimba marambo mangapi?hilo ndo swali usizuge
@godfreymahava2640
3 жыл бұрын
Hujaelewa maana ya matoleo means uboreshaji zaidi ya marambo au ?????
@claragood5014
3 жыл бұрын
Esther matiko acha abali za kishamba unauliza nini apo atukuelewi sawa
Asante san kiongozi wangu porepore kwa maerezo wako mazuri mwenyezi MUNGU azidi kukuongoza vyema
Huyo ester matiko kwenye kampeni yake alisema kuwa atajenga gorofa kwenye shule ya msingi sabasaba ila Hadi SASA hatujaiona hiyo gorofa je! Yeye ametekeleza? Alisema kuwa Tarime tutapata maji kutoka kwenye visima vya kuchimba na MASHINE pamoja na maji kutoka ziwa Victoria ila Hadi SASA hakuna maji na ninashindwa kujua NI wapi alipotusaidia.
Pumba Kama Pumba Meli 5 ndio meli ya utafiti sio 😂😂😂😂😂😂😂😂
This is my Tanzania
Kaka humphrey umetishaa kw maelezo ya kina na kw mifano
Kuna tofauti KUBWA sana kati ya Esther matiko na mh polepole....
Hiyo barabara ya makutano to Mugumu imejengwa kwa miaka nane na hazifiki 120km Polepole umetaja suguti roho imeniuma namna shida ya maji ilivyo.
Umeulizwa mengne unajibu mengne nyny globo mnamsikiliza badala ya kumhoji
Hata roma haikujengwa kwa ck moja wapinzani tulieni mambo ni polepole mwisho tutafika
Ingekuwa POLEPOLE anajibu mtiani wa shule, tayali Kisha feli, maana yupo out of point, mliahidi kununua meli 5 yeye anatuambia habari ya kufungua shirika la meli tz, daaaah kwenye meli 5 kataja MV Victoria tu na bado haija Anza kazi,,,,,,""
Nasikiliza majibu na maswali naona ngoja nizime cm tu
@mshindikahise8035
4 жыл бұрын
Yuko nje ya maada kabisa kwanin asijibu maswali anayoulizwa?
@girbartmaganga3778
4 жыл бұрын
Kachamka kweli kweli
@johnedward2489
4 жыл бұрын
Kwa kweli nikuzima simu tu
@sweetbertrwiza5982
4 жыл бұрын
At a mimi nimemshangaa
@kabogeof9597
4 жыл бұрын
Hayuko makini na swali
Dada nimekupenda Sana katika kuuliza maswali bt huwezi sema imetekelezwa 30 % hapana talk of 80 %
Sasa huyu mama ni katika zile sampuli za kutaka watu wamsikie akisema upuuzi,kwanini asipeleke hoja hii mahali panapo husika? (BUNGENI)Halafu hakufanya utafiti kabla ya kuja kwenye kipindi na kumwaga uharo.Kitu kimoja huyo mbunge wa Chadomo lazima afahamishwe kwamba,ukubwa wa kiwanja cha ndege sio majengo ya ghorofa. Ukubwa wa kiwanja cha ndege ni barabara zinazo tumika kutua na kupaza ndege,kama yeye anapenda maghorofa aende akawajengee Chadomo ghorofa la makao makuu yao. Tanzania Kwanza Magufuli Juuuuu CCM Daima A.R.Msimbazy
Yote haya ni mazao ya upinzani japo wengi hawajui kama wapinzani wasingepaza sauti hata haya tunayaona tusingeyaona so bg up sana wapinzani
Vipo au vutakuwepo?
Mbona Watu hamna shukrani! Yaani anasema vitu ambavyo bado havijatimizwa na Ana conclude kuwa ni asilimia 30tu muongo. Ester
@kazembally6032
4 жыл бұрын
ajajibu hoja hata moja ii ndy ccm mpya hata katibu mwenezi ajui hat kujibu maswali mepes jibu hoja kwa takwim
Mama yangu mzazi aliwahi niambia,nanukuu mwananga duniani mtu yeyote!anaekushinda kwa kuongea nawewe mshinde kwa kunyamaza,mwisho wa kunukuu,ila mimi namkubali mh.Rais magufuli na CCM 🇹🇿 kwa utawala wake
@janethjustin5256
4 жыл бұрын
Mimi pia kwakweli 😍
Majubu ypo vizuriii😘
Polepole uelewa mdogo hajajibu swali hata moja kaulizwa maswali ya mifugo na uvuvi anaeleza barabara na maji pia sasa anawananga ccm wenzake màana waliongaza nchi muda wote ni wawo sasa anasema haijawahi kuwepo kumbe kuna uzembe sasa kumbe walituchelewesha na hajuw zamani kulikuwa ccm?
Mimi chama changu magufuri tu. Sina cha ccm wala chadema. Napita 😏😏😒
Hawezi kujibu huyu mwanaharakati ambaye aliyefariki kwenye uwanaharakati amebaki majungu na porojo........ Mdada tu unamtoa jasho .
kijana umepikwa umeiva mimi shangwe nakuelewa sana upinzani hapo vip?
Polepole kashindwa kujibu maswali alioulizwa badala yake anaongelea mambo mengine ambayo hajaulizwa, na yale aliojaribu kuyaongelea bado kachemka kwakweli hana la kujitetea
Hakuna mpinzani yeyote anayeifagilia serikali iliyoko madarakani huyo atakuwa sio mpinzani
@bishopmosesmagadula7572
4 жыл бұрын
Sio KAZI yao kusifia.serikali Bali KAZI ya upinzani Ni kukosoa huo NDIO wajibu wa mpinzani imara
@e.j.starelia5672
4 жыл бұрын
@@bishopmosesmagadula7572 upinzani hauna maana ya kupinga maendeleo Kwa wananchi Bali kurekebisha pale penye makosa ili kuleta ufanisi zaidi ktk utendaji serikalini lkn si kupinga maendeleo kueni waelewa
@sweetbertrwiza5982
3 жыл бұрын
Hakuna mtu anayepinga maendeleo tunapinga kwa nini mkikosolewa mnatengeza chuki?
Namuona Matico anavyo cheka huko .. Yani kukubali ukweli ni vigumu sana. Swala ni kwamba Magu yeye ana njiazake na amenaza kutimiza ilani za miaka 90,s kama kuhamia Dodoma, bwawa la umeme wa maji moro na mengine mengi.. ambayo Chama kilikuwa kinajikongoja nayo na hapa Magu ni jembe sasa shida ilani ya mwaka 2015 ambayo mambo mengi ni hadithi tu na Magu hakubali na ndomaana ndani ya chama mwanzoni aliwatikisa sana na wale viburi akatumbua. Pia Magu nimfuatiliaji sana hivyo anajua mpaka katiba ya wapinzani ndiomaana kamalizia miladi yote iliyopigiwa kelele na wapinzani kwa miaka. Shida ni mfumo na wajumbe wa CCM ambao hawafuatilii wanabaki kusema Magu Oye, sababu ya woga na kutetea vibarua. Esta yupo sahii kabisa na ndio kazi ya upinzani,. Wakati mwingine tukubali tu ukweli mambo ya ende.. all in all Naopenza Tanzania. Asante Magu asante wapinzani. Asante viongozi mliotangulia kwa kuto kung'ang'ania madaraka kama wale maraisi jirani zeru wasioachia usukani na hakuna lolote jipya. Amina.
Binafsi namuelewa Mr. President tu hawa akina polepole ni wasaka tonge tu, kura ya kwa kwa upande wa CCM nampa Rais tu. Wabunge na madiwani mkasubir, nawapa upinzani maana CCM kule Bungeni mnatia Aibu Kazi ndio ndio ndiooooooooo looooh
@gloriashirima7254
4 жыл бұрын
Kura yangu ni kwa Mh. Maghufuli wabunge watabaki na ndiyo ni ooo
Serikali ya Awamu ya 5 imefanya makubwa upinzani wamekosa hoja wabunge kama hawa wanatafuta makosa au kiki za kipuuzi CCM IMARA TUMEIAMINI TUTAZIDI KUIENZI
@abdhihariabdhallah760
4 жыл бұрын
Kwani chadema wametawala lini tuiseme ccm toka 64 mpaka Leo hayo maendeleo yawapi
@hassaniidrissa5916
4 жыл бұрын
Tumekuwelewa bablai
@hassaniidrissa5916
4 жыл бұрын
Lakini bablai kwanini ndege zetu zisibebe minofu?
@depaolo3461
4 жыл бұрын
@@abdhihariabdhallah760 maendeleo ya tz Kwan we unataka ya wapi
Safi muheshimiwa polepole wataelewa tuu
@girbartmaganga3778
4 жыл бұрын
Maswali yamemshinda ndo meli tano hizo
@mtavangumenace6611
4 жыл бұрын
Hamna kitu, mi kwenye barabara na umeme mi sina tatizo kabisaa hapo mia kwa mia. Lakini kwenye mengine kama hapo kwenye ajira waulize walimu tuu waliomaliza vyuo baada ya 2015. Watakuambia ndio maana wanakwambia anayecheza ngoma ndiye anayejua utamu wa ngoma. Alafu kutukanana sio ishu jibizaneni kwa hoja alafu kingine siasa zisikufifishe kufikiri kiasi hata kitu we unashangilia tuu. Alafu tusiangalie nani kasema tuanagalie nini kasema ndio tutakuwa wazelendo tofauti na hapo hakuna uzalendo maana utakuwa tunachochea fujo maana hata anayekupinga nae ni mtanzania sio Mburundi.
@mtavangumenace6611
4 жыл бұрын
@@girbartmaganga3778 anarukaruka hasa hapo kwenye ajira kafanya km hajasikia siasa bhana
@sweetbertrwiza5982
3 жыл бұрын
Hajajibu maswali
Wengine nadhani hawajui historia ya Tanzania. Watachie sisi tuliosoma kuanzia 1960 .....b4 uhuru.
pole pole R. I. p
mimi huwa najiuluza sana hivi ccm imekua madarakani nusu karine ukisema ccm tuta fufua viwanda nk kwani kulikua na chama chengine ambacho kilitawala kikaua viwanda na miradi mengine au ccm iliua sijawahi kusikia wapizani mafisadi walarushwa
Polepole bhana usituvuruge tunataka ujibu maswali
Sasa kuchelewa kooote huko ni kwa sababu CCM ndiyo imechelewesha maana ndiyo imenadi ilani yake kipindi chote hicho
@zabronyusuph2611
3 жыл бұрын
Majibu ni tofauti na maswali jamani
Kwani tangu kupatikana kwa uhuru wa Tanzania mpaka kufikia saivi serikali inaongozwa na chama gani? Na wahujumu wa uchumi na wapiga dili wako chama gani? Mbona majibu yake Pole pole hayaendani na mwaswali aliyoulizwa?
@mbarikiwambarikiwa3988
4 жыл бұрын
Chama cha Ccm lkn viongozi tofauti, hvyo punguzeni midomo mushukuru kwa mnayoyaona na siyo kulaumu tu kwa kila kitu wakati macho yenu yanaona.
Huhuhuhuhuhu katibu unakwama sana. Hayo mliyoyafanya ni kwa asilimia hata 80
Jibu la kutosha kuwa yamebaki madogo kuna vtu vimetekelezwa na havipo kweny Iran ya chama kwaiyo àta ayo mengine yatakamilika
Upinzan mgekua mnaakil kama hii tungejvunia lakni tatzo lenu mmekalia majungu na kumnufaisha bwana wenu Mbowe
Polepole unajua kujieleza sana,hongera
Umejibu vizuri sanaa, mzee polepole
@dominicusmapunda405
4 жыл бұрын
Mbona hakuna mkeka kutoka makutano kwenda natta, yaani barabara iliyoanza kujengwa mwaka 2013 mpaka leo hata km 20 hakuna unadanganya watu, hata hayo maji Butiama hamna.
Hapo umezunguka sana umepoteza muda
Esta!
Kwanz hao wapinzan wangeshinda 2015 wangekamilisha vyote kwawakati mmoja au zarau t kwamwenye akili atajua kua kweli ccm imefanya bhan acheni upinzani wakijinga
Huyu dads alikuwa anajishughurisha na uvamizi wa magereza kwa muda mwingi hiyo ilikuwa kwa manufaa yake 2 alichukuwa wiki mbili wanavyo jipenda chadema eti wanajifungia karantini usisahau hapo kila mbunge alichukua mamillion ya pesa wakaenda nyumba za kulala wageni huko ndiko walikuwa wanatanua.sasa anachukua agenda zake kwa pole pole hilo nikosa alikuwa na wakati mwingi aliutumia kufanya vurugu zilizo mshushia umashuhuri sana. Pole pole siyo bunge.
Jaman m siusiki m najichekea ty mana ayo majibu kama kaulizawa kiziwi 😀😀😀😀😀😀😀😀
@suzanaagustinookelo4953
3 жыл бұрын
Tatizo we ni mpumbavu
Chadema achen. Kupotosha wat. Kwa hoja za kitoto. Najua huwez kukubal. Hazalan. Utakiuka mashalti ya chama na itaonekana. Msalit wa chadema nakupoteza. Kibalua chako. Hebu badiliken wapinzan. Upinzan. Upotu hata ukipongeza ccm Dada Usipangiwe lakusema kua Hulu unpoteza. Haki zako mojawapo. !!
hii
Barabara mpaka leo ina mahanda hivi hamuoni aibu ?
Mh jee wilaya ya nayo ina lami ? au haiko Tanzania ?
Mradi wa maji wilaya ya Mwanga(Lembeni,Mgagao,kisangara,ishinde etc)-Kilimanjaro umeishia wapi? Muheshimiwa @Polepole