#PART2
#PART2: BABU RAMA ALIYEJIPIGA RISASI ya KICHWA IKATOKEA KISOGONI - ALIFICHUA MADUDU ya KUTISHA...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Пікірлер: 40
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
WAZIRI KASSIM MAJALIWA UNATAKIWA KUJIUZULU KISHERIA. WITHOUT MJADALA WOWOTE
UMESHINDWA KUTIMIZA KILE AMBACHO UMETUMWA NA IKAFIKIA MR. RAMA KUJITOWA UHAI WEWE UNATAKIWA KUJIUZULU KISHERIA
Hii selikali ni selikali ya kidikiteta pole sana mzee lama R.I.P😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Nina Imani ka uwawa hajajiua mwenyewe huu mze mana kama kujiua angekua kashajua kitambo Iinakuaj avumilie mwanzoni mwishoni ashindwe? ka uwawa
Damu yake iko juu yao waliohusika na vizazi vyao. 😢
Mama samia km hii kero ulikuwa unaijua na ulipeleleza ukaona huyu babu rama anahaki au anahaki lkn alikiuka kidogo ndo. Naomba watoto wake walipwe pesa zake samia samia ww km mkuu wa nchi yatakutokea makubwa endapo ukikaa kimya. Ila km hujui ktu ralax
@aishaalbalushaishabalush8291
4 ай бұрын
anajua na yeye ndio aliesababisha swala la huyu baba kutupiliwa mbali magu alitoa amri waliomdhulum niwatoto wa mafisad makubwa ndio maana kashindwa kuyataja jina kasema mfanya biashara mkubwa samia na majaliwa laana yahuyu itawatafuna sana bado laana ya kifo cha magu kwa sumu
Yaani hawa watu wanaoshulimu haki za watu ,Mungu anawaona , ingekuwa hawafi kidogo ningesikitika , ila kama na wao watakufa na hawatenda na chochote basi tuwaachie maana hiyo ni laana wanajitengenezea na kizazi chao. Yaani Mungu awaone tu kwa hizi dhuluma wanazizifanya na wapokee ujira wa dhuluma wanazozifanya .
Ishallah akuweke kwenye pepo yake
WEWE WAZIRI MKUU MBONA HUKUCHUKUA UAMUZI WA HARAKA KUMLIPA PESA ZAKE WAKATI RAIS ALISHASEMA HADI AMEUAWA HALAFU MNATUAMINISHA WANANCHI KWAMBA KAJIUA HUO NI UONGO
Haa haa 😮😮😮 Ina maana huyu ndugu alishakufa kwa kujiua mwenyewe na hakuwahi kulipwa pesa zake alizodhulumiwa na wafanyakazi wa TRA kwa mizengwe?
Kapigwa risasi huyo na watu wazito 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢mmmh ngumu kumeza
tatizo hawa vijana wa tra ni watoto wa vigogo
Hii risasi ajajipiga mwenyewe Wapo walio husika kumpiga kuna zengwe apa
🤔nakataa !huyu wamemuua kisinema 😢😢😢
Mama samia atamua Nini ???? kama alivosema !? yéyé ni mama namarehemu ? yéyé ni baba itakuaje ??? watoto wake ? pamoja namke wake ???????
Hii nchi ina vijana wa hovyo kweli😊
INASIKITISHA SANA HII SERIKALI NA HATUNA IMANI TENA NA VIONGOZI WOTE WA SERIKALI MPAKA RAIS SAMIA HUKUJUA HILI MPAKA MZEE WA WATU KAULIWA?
Dhuruma
Hajajiua huyu huyu KAUWAWAA kuna mchezo mchafu unaendelea dam ya mtu haiendi bure hii mungu atailipa😢
Ila mtetezi wa wanyonge ni kwasababu ametangulia mbele za haki ndo mana yasingekuwepo haya
Chama cha Maharamia ndio wahusika wa kifo cha huyu mzee
Hakika Allah atakulipa hata huko huko akhera😢
Kuna watu ni MA GENEUS ILA HAWAPO serekalini
@jedidahbintidaudi8241
Ай бұрын
ni kweli
Wauaji
Very sad
Viongozi wana nia njema lakini watendaji ndio shida nnchi hii
Bora hata angewambia akina mbowe na lissu wangepiga kelele angepewa haki yake kuliko Serikali ya CCM hii miaka karibu saba mtu hajapata haki yake
Kumbe alijua mwanzo kua haki yake itamietea risasi badae Yalale Salama ishallah ndio ? magufuli amefariki kila mtru anajiruhusu kufanya anavotaka sasa hivi eeeh ? Tanzania yaleo ? mambo Bado mtaaona mengi zaidi
Eee Mungu tusamehe kwa uovu huuu uliokithiri
@jedidahbintidaudi8241
Ай бұрын
kweli kaka MUNGU wetu Atuhurumie na Kuturehemu jmni
👊✌️👍.
Makonda is part of the game 😢
Sa mbona ajiue lkn jmn
🇹🇿🇹🇿🇹🇿 Tumaitaji jeshi kuchukua nchi.Waziri mwenye sekta hii Yuko wapi?Watanzania pesa zinapita.Watu weusi wajinga kwenye kila kitu hata kitu cha kutumia common sense
marehemu alikua muisilamu kujipiga risasi ?? kama anavojua nidhambi kubwa mbele yamungu
@neemamasimba2981
4 ай бұрын
Inawezekana hakujipiga mwenyewe , kashakufa hakuna ushahidi ,yote tumwachie Mungu anayejuwa yote ya sirini.
@annamussa185
4 ай бұрын
Ebu tutolee ujinga we nawe,unatuletea udini wa kijinga watu wanadhulumiwa hujuwi kitu kaa utulie