#PART2

#PART2: BABU RAMA ALIYEJIPIGA RISASI ya KICHWA IKATOKEA KISOGONI - ALIFICHUA MADUDU ya KUTISHA...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 40

  • @globaltv_online
    @globaltv_online4 ай бұрын

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

  • @user-zp6ub1nc3v
    @user-zp6ub1nc3v4 ай бұрын

    WAZIRI KASSIM MAJALIWA UNATAKIWA KUJIUZULU KISHERIA. WITHOUT MJADALA WOWOTE

  • @user-zp6ub1nc3v
    @user-zp6ub1nc3v4 ай бұрын

    UMESHINDWA KUTIMIZA KILE AMBACHO UMETUMWA NA IKAFIKIA MR. RAMA KUJITOWA UHAI WEWE UNATAKIWA KUJIUZULU KISHERIA

  • @kingbkmusic
    @kingbkmusic4 ай бұрын

    Hii selikali ni selikali ya kidikiteta pole sana mzee lama R.I.P😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @miraculolopa
    @miraculolopa4 ай бұрын

    Nina Imani ka uwawa hajajiua mwenyewe huu mze mana kama kujiua angekua kashajua kitambo Iinakuaj avumilie mwanzoni mwishoni ashindwe? ka uwawa

  • @EK-kp2np
    @EK-kp2np4 ай бұрын

    Damu yake iko juu yao waliohusika na vizazi vyao. 😢

  • @user-wj6zj1ly4e
    @user-wj6zj1ly4e4 ай бұрын

    Mama samia km hii kero ulikuwa unaijua na ulipeleleza ukaona huyu babu rama anahaki au anahaki lkn alikiuka kidogo ndo. Naomba watoto wake walipwe pesa zake samia samia ww km mkuu wa nchi yatakutokea makubwa endapo ukikaa kimya. Ila km hujui ktu ralax

  • @aishaalbalushaishabalush8291

    @aishaalbalushaishabalush8291

    4 ай бұрын

    anajua na yeye ndio aliesababisha swala la huyu baba kutupiliwa mbali magu alitoa amri waliomdhulum niwatoto wa mafisad makubwa ndio maana kashindwa kuyataja jina kasema mfanya biashara mkubwa samia na majaliwa laana yahuyu itawatafuna sana bado laana ya kifo cha magu kwa sumu

  • @neemamasimba2981
    @neemamasimba29814 ай бұрын

    Yaani hawa watu wanaoshulimu haki za watu ,Mungu anawaona , ingekuwa hawafi kidogo ningesikitika , ila kama na wao watakufa na hawatenda na chochote basi tuwaachie maana hiyo ni laana wanajitengenezea na kizazi chao. Yaani Mungu awaone tu kwa hizi dhuluma wanazizifanya na wapokee ujira wa dhuluma wanazozifanya .

  • @user-wt5nc9cn7t
    @user-wt5nc9cn7t4 ай бұрын

    Ishallah akuweke kwenye pepo yake

  • @stevensosipita
    @stevensosipita4 ай бұрын

    WEWE WAZIRI MKUU MBONA HUKUCHUKUA UAMUZI WA HARAKA KUMLIPA PESA ZAKE WAKATI RAIS ALISHASEMA HADI AMEUAWA HALAFU MNATUAMINISHA WANANCHI KWAMBA KAJIUA HUO NI UONGO

  • @robertzingu9889
    @robertzingu98894 ай бұрын

    Haa haa 😮😮😮 Ina maana huyu ndugu alishakufa kwa kujiua mwenyewe na hakuwahi kulipwa pesa zake alizodhulumiwa na wafanyakazi wa TRA kwa mizengwe?

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon15624 ай бұрын

    Kapigwa risasi huyo na watu wazito 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢mmmh ngumu kumeza

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa51794 ай бұрын

    tatizo hawa vijana wa tra ni watoto wa vigogo

  • @EvordMkulasi
    @EvordMkulasi4 ай бұрын

    Hii risasi ajajipiga mwenyewe Wapo walio husika kumpiga kuna zengwe apa

  • @siyabamnubimohamed-yr9jx
    @siyabamnubimohamed-yr9jx4 ай бұрын

    🤔nakataa !huyu wamemuua kisinema 😢😢😢

  • @MoinaminaAmina-qh1jb
    @MoinaminaAmina-qh1jb4 ай бұрын

    Mama samia atamua Nini ???? kama alivosema !? yéyé ni mama namarehemu ? yéyé ni baba itakuaje ??? watoto wake ? pamoja namke wake ???????

  • @naimatemba8061
    @naimatemba80614 ай бұрын

    Hii nchi ina vijana wa hovyo kweli😊

  • @stevensosipita
    @stevensosipita4 ай бұрын

    INASIKITISHA SANA HII SERIKALI NA HATUNA IMANI TENA NA VIONGOZI WOTE WA SERIKALI MPAKA RAIS SAMIA HUKUJUA HILI MPAKA MZEE WA WATU KAULIWA?

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba3134 ай бұрын

    Dhuruma

  • @tamashaharuna9345
    @tamashaharuna93453 ай бұрын

    Hajajiua huyu huyu KAUWAWAA kuna mchezo mchafu unaendelea dam ya mtu haiendi bure hii mungu atailipa😢

  • @user-mh6nb5gn9d
    @user-mh6nb5gn9d4 ай бұрын

    Ila mtetezi wa wanyonge ni kwasababu ametangulia mbele za haki ndo mana yasingekuwepo haya

  • @oyay2821
    @oyay28214 ай бұрын

    Chama cha Maharamia ndio wahusika wa kifo cha huyu mzee

  • @OmanOman-fb8mj
    @OmanOman-fb8mj3 ай бұрын

    Hakika Allah atakulipa hata huko huko akhera😢

  • @alfoncejohn2104
    @alfoncejohn21044 ай бұрын

    Kuna watu ni MA GENEUS ILA HAWAPO serekalini

  • @jedidahbintidaudi8241

    @jedidahbintidaudi8241

    Ай бұрын

    ni kweli

  • @jessicaesthermakungu1693
    @jessicaesthermakungu16934 ай бұрын

    Wauaji

  • @maclaudismail6606
    @maclaudismail66064 ай бұрын

    Very sad

  • @KassimHanga-xr7rb
    @KassimHanga-xr7rb4 ай бұрын

    Viongozi wana nia njema lakini watendaji ndio shida nnchi hii

  • @user-yk6rd9xe2z
    @user-yk6rd9xe2z5 күн бұрын

    Bora hata angewambia akina mbowe na lissu wangepiga kelele angepewa haki yake kuliko Serikali ya CCM hii miaka karibu saba mtu hajapata haki yake

  • @MoinaminaAmina-qh1jb
    @MoinaminaAmina-qh1jb4 ай бұрын

    Kumbe alijua mwanzo kua haki yake itamietea risasi badae Yalale Salama ishallah ndio ? magufuli amefariki kila mtru anajiruhusu kufanya anavotaka sasa hivi eeeh ? Tanzania yaleo ? mambo Bado mtaaona mengi zaidi

  • @jessepando9591
    @jessepando95914 ай бұрын

    Eee Mungu tusamehe kwa uovu huuu uliokithiri

  • @jedidahbintidaudi8241

    @jedidahbintidaudi8241

    Ай бұрын

    kweli kaka MUNGU wetu Atuhurumie na Kuturehemu jmni

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything4 ай бұрын

    👊✌️👍.

  • @coms2640
    @coms26403 ай бұрын

    Makonda is part of the game 😢

  • @user-nk4oq4ek9y
    @user-nk4oq4ek9y4 ай бұрын

    Sa mbona ajiue lkn jmn

  • @hbdina
    @hbdina4 ай бұрын

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿 Tumaitaji jeshi kuchukua nchi.Waziri mwenye sekta hii Yuko wapi?Watanzania pesa zinapita.Watu weusi wajinga kwenye kila kitu hata kitu cha kutumia common sense

  • @MoinaminaAmina-qh1jb
    @MoinaminaAmina-qh1jb4 ай бұрын

    marehemu alikua muisilamu kujipiga risasi ?? kama anavojua nidhambi kubwa mbele yamungu

  • @neemamasimba2981

    @neemamasimba2981

    4 ай бұрын

    Inawezekana hakujipiga mwenyewe , kashakufa hakuna ushahidi ,yote tumwachie Mungu anayejuwa yote ya sirini.

  • @annamussa185

    @annamussa185

    4 ай бұрын

    Ebu tutolee ujinga we nawe,unatuletea udini wa kijinga watu wanadhulumiwa hujuwi kitu kaa utulie

Келесі