NONDO ZA PROF KABUDI BUNGENI ZAMKOSHA NAIBU SPIKA AMUITA AJE AKAE KITI CHA MBELE"HALIKINZANI KABISA"
Жүктеу.....
Пікірлер: 74
@Carolina-sm5zt5 ай бұрын
Nakupenda Baba unanikumbusha mbali sana Mungu awalinde ninyi nyote viongozi na muitende kazi kwa Moyo wote
@andrewmasele19635 ай бұрын
Huyu anafaa kuwa Rais wa Nchi kwa maslahi ya wanyonge maana mambo yake yamenyooka, Hongera sana Prof . Paramaganda Kabudi
@fatimahants15265 ай бұрын
Kiongozi, mwana sasa Mkongwe jasiri mwenye ueledi wakina mheshim kabuda ❤❤❤❤❤uwepo wake muhimu sana unahistory nzuri yako Tanzania 🇹🇿..haina yako Tanzania
@ndamezerevocatus10784 ай бұрын
Namkubali huyu mzee ❤ kabudi Nampenda naibu speaker as well ❤
@EdwardSadocMwangamba5 ай бұрын
Palamagamba Kabudi ni professor wakuigwa. He is always very royal in speech and he deserves to lead the people accordingly
@chedielimrutu69555 ай бұрын
You are always my best professor. Hongera sana kwa kutwnabahisha mambo kwa mawanda mapana.
@bishopfrederickchingwaba53375 ай бұрын
Big Brain! A very Brilliant Professor! Strong Speech!
@comradejonasrwegoshoramwal57275 ай бұрын
Paramagamba Kabudi ni hazina ya taifa. Huyu ni mwalimu hasa
@jonathanmlinda25805 ай бұрын
Niliimiss sana hii sauti
@MeshackKamenya5 ай бұрын
Kiukweli nakuombea maisha marefu sana tena sana
@damianmachira75355 ай бұрын
Safi sana mwamba kabudi. Watu exception utawala unataibia ya kuwaficha. Kongole sana
@jumanneenos24815 ай бұрын
Huyu jamaa mwamba sana, ni Prof kwelikweli, Mwl. Labon
@Cryptocurrency_Tanzania
5 ай бұрын
😊😊😊
@metiliole71895 ай бұрын
Le Professor maneno mengi utekelezaji
@mohdmood97265 ай бұрын
Amechambua vizuri, ingawa ameshindwa kuchambua Uhuru wa tume inategemea inapatikana vipi.
@mosesmwasanga7661
5 ай бұрын
Sidhani Kama Ameshindwa, ila kwa Uelewa wangu Namuona kama Kuna Mambo mengine alilenga zaidi, ndio maana Penye Kipengele hicho Amekipita,
@user-pd7cu2pg7y5 ай бұрын
Huyu mtu ni mnafiki tu anajifanya yanayofanyika hayaoni na haoni sababu katiba mpya
Kwa serikali ya ccm unapata ujasiri wa kusema huyu ni hazina.? Haizina zip ambazo tumewah kuzitumia tangu kwa mwalimu.?
@FrancesMngoya
5 ай бұрын
@@vamitv873 kwa serkali ya chadema Kamuweke Mbowe pale ikulu,tutamsupport pia,
@HuliloDonard-gu9bp5 ай бұрын
KABUDI nikiongozi bora namkubali anajua na mnyenyekevu
@emmanuelmwiyulege79235 ай бұрын
Tunaomba serikali impe nafasi ya kuzungumza mara kwa mara hotuba zake zinatujenga sana na ni hotuba za kizalendo
@jojigeorige10565 ай бұрын
Kwa hiyo Naibu Spika aliamua kuweka UPAJA makusudi kwa mwanetu dah
@smsno14155 ай бұрын
Wish him be 1st citizen
@user-rc1dp6ux3k5 ай бұрын
Hakuna mzalendo au mwadilifu atakayetokana na serikali ya ccm na watendaji wake watanzania tumeyawaona mengi katika chaguzi mizengwe tu ccm na serikali yake haina mpango wowote wa uchaguzi huru na wa haki na kuwa na tume huru ya uchaguzi ya uchaguzi kuna miingiliano ya mihimili lengo ni kuilinda ccm iliyoozesha nchi
@jukiboy70124 ай бұрын
Ndugai kafurahi
@vicentrogers94655 ай бұрын
Apewe ulinzi🖐️🖐️🖐️
@maclucky41495 ай бұрын
Kabudi ni mnoma kwenye sheria....
@BarakaWaya5 ай бұрын
Hii Ni hazina kwa nchi
@user-rw9pi7gc8l3 ай бұрын
This is law iron men
@erastomwambeje99205 ай бұрын
Hivi ni Kwa nini wanapenda sana kuchukua muda mwingi kupongeza pongeza tu
@robertphilip385
5 ай бұрын
Huyu jamaa tapta wa hatari
@josephzacharia63795 ай бұрын
Mfundishe waitara ajifunze kwa maneno yenye elimu na busara aache kuropoka apo ni bungeni sio baa
@jukiboy70124 ай бұрын
Uko bungeni mwamba ni kabudi paramagamba
@MatembereMsabiraАй бұрын
🎉🎉🎉
@abuu00015 ай бұрын
I suggest bongo tupate kiongozi mmoja imara atakae ongoza miaka mingiii bac kama Russia na China afuuu tuwe busy na maendeleo aya mauchaguzi daily yanatucheleweshaaa na tuna incur much cost daily
@allentindya51444 ай бұрын
Tumechelewa sana
@robertphilip3855 ай бұрын
Huyu jamaa tapeli. Lakukufa mtu chawa wahatari
@samwelkavwanga44915 ай бұрын
Professor Majalala😂😂
@ibrahimmadihinah69185 ай бұрын
Dah viongoz sindo hawa bwana
@jukiboy70124 ай бұрын
Mwamba kabudi
@jumbeojaso57675 ай бұрын
Mbona viti vingi viko wazi humo bungeni? Wabunge wameenda wapi?
@user-pj3sd9ld5l5 ай бұрын
Sawa waeshimiwa wabunge mnaongea mwema na mazuri ya dct Samia suluhu mbona amtohi madhaifu yake au ndo ile mkiongea madhaifu chama kinakufungia
@andrewmasele19635 ай бұрын
CCM pendekezeni mmoja ya wafuatao kwa uchaguzi ujao kuwa Rais wa Nchi kwa maslahi ya wanyonge : 1. Prof Paramaganda Kabidi, 2. Dr Hussein Mwinyi, 3. Kassimu Majaliwa 4. Williamu Lukuvi
@richardmuyango6106
5 ай бұрын
Ndugu yangu nakuunga mkono lkn kwa lukuvi hapana bora polepole
@stanleysilinge33955 ай бұрын
Huyu ni rais ajae apewe nafasi
@user-pd7cu2pg7y5 ай бұрын
Hacha maigizo sheria iseme hivi ambaye atakapewa maulana ya kusimamia uchaguzzi asiwe muadilifu apple kwenye maakamani ahukumiwe ikipedezwa hadi kifo
@chachachacha13145 ай бұрын
Sasa hapo nondo ziko wapi 11:15 11:17
@salumhassanallymkurdistan70065 ай бұрын
HUYU ANAFAA KUWA RAISI WA NCHI AU MAKAMO WA RASI AU WAZIRI MKUU WA NCHI NI KICHWA KWELI KWELI
@MeshackKamenya5 ай бұрын
Kiukweli najivunia sana kuwa katika nchi ya watu wenye upeo mkubwa kama wewe
@benedictmrisho18005 ай бұрын
Kama TZ ilivyounda CAG office iunde tume ya uchaguzi huru kama CAG office ilivyo huru. Tume itakuwa na kazi za kudumu mf kusimamia daftari ( register) ya wapiga kura kupunguza watakaokufa, kuinviza wanaotimiza umri nk, kuandaa chaguzi nk. Chombo huria kitasaidia chaguzi kuheshimika. Hakuna fedheha kama uchaguzi wa nchi huru tena kibabu cha miaka 63 kuwa wa malumbano oo sio halali, ooo ni uchafuzi nk. Mbona ligi za mpira mbeba kombe halalamikiwi? Tunifunze kwao. Tuondokane na aibu ya lawama na fedheha za chaguzi.
@user-xd4lu1xl6c5 ай бұрын
Kwn wale wabunge 19 wa chadema wako bungeni??nauliza
@renatusngolongolo5 ай бұрын
Bonge la kiongozi
@user-rc1dp6ux3k5 ай бұрын
Siamini chochote chema toka bunge la ccm huyu msomi aliyemwita rais mungu aliyemwokota jalalani hana jema tamaa na kujipendekeza kumeharibu elimu yako na ya wasomi wengi wa nchii hawana la maana ubinfisi wa ccm na dhambi ya unafiki wizi mkubwa wa viongozi wa serikali ya ccm mnaiba kila kitu hamjali maisha ya watanzania porojo tu na unafki
@kamndemwakitosha14395 ай бұрын
Alikosea tu alipoenda kubeba Mitishamba Madagasca
@hajihassan5433
5 ай бұрын
Hajakosea chochote Covid 19 kila mmoja kapambana kwa hali yake. Muhimu upovu umepatikana.
@jumbeojaso5767
5 ай бұрын
Na alipomuita JPM Mungu? Au huna hiyo clip
@mvukiedavid4332
5 ай бұрын
Na aliposema ameitwa Jalalani,hata hivyo enzi za mwendazake waliku bootlickers
@hajihassan5433
5 ай бұрын
@jumbeojaso5767 Kwenye masuala ya Imani kuna tafsiri tofauti kulingana na Imani. Mfano Waislam tunaamini Nabii ndio Mtume na wa mwisho ni Muhammad SAW lakini imani nyingine maana ni tofauti Manabii hata sasa bado wanazaliwa kama haitoshi Yesu ambae kwetu ni Nabii wa Mungu wengine kwao ndio Mungu, sijuwi kabla hajazaliwa ilikuwaje
@hajihassan5433
5 ай бұрын
@@mvukiedavid4332Ni tafsiri tu Kiswahili kina tafsida. Alijiona kwa umuhimu wake hakustahiki alikokuwa.
@anastahiliutawala38795 ай бұрын
Ccm hakuna mtu mkweli wanafiki wote kum' nyoko zao
@stephanokaaya1881
5 ай бұрын
Wewe unaetukana huna akili kabisa
@likimaro65 ай бұрын
Yaan anaenda mbele, anarudi nyuma anaboa sana
@VotanVotan-gb3hd5 ай бұрын
We ni professor bwana pokea Maua yako
@Zaward-zj9ee4 ай бұрын
Hakika wewe ni tunu ya tz
@martineshija27125 ай бұрын
Kati yawa2 bola kabisa waliofanyakazi bola wakalitumikia taifa kwaubola kabisa wapi Lukuvi Wapi Kalemani
@Mundi-oz7os
5 ай бұрын
"Bola," "ubola", maana yake nini.ujinga tu mnaeneza kwenye mitandao
@user-un1lh2rk5x5 ай бұрын
Tafuta nafasi urais wewe ni mzalendo sana mheshimiwa 4:35
@alexchawe-ln7dq5 ай бұрын
Huyo ni mnafiki tu anajali sana tumbo kuliko nchi,alimuita Magufuri mh Mungu hafai kabisa
Пікірлер: 74
Nakupenda Baba unanikumbusha mbali sana Mungu awalinde ninyi nyote viongozi na muitende kazi kwa Moyo wote
Huyu anafaa kuwa Rais wa Nchi kwa maslahi ya wanyonge maana mambo yake yamenyooka, Hongera sana Prof . Paramaganda Kabudi
Kiongozi, mwana sasa Mkongwe jasiri mwenye ueledi wakina mheshim kabuda ❤❤❤❤❤uwepo wake muhimu sana unahistory nzuri yako Tanzania 🇹🇿..haina yako Tanzania
Namkubali huyu mzee ❤ kabudi Nampenda naibu speaker as well ❤
Palamagamba Kabudi ni professor wakuigwa. He is always very royal in speech and he deserves to lead the people accordingly
You are always my best professor. Hongera sana kwa kutwnabahisha mambo kwa mawanda mapana.
Big Brain! A very Brilliant Professor! Strong Speech!
Paramagamba Kabudi ni hazina ya taifa. Huyu ni mwalimu hasa
Niliimiss sana hii sauti
Kiukweli nakuombea maisha marefu sana tena sana
Safi sana mwamba kabudi. Watu exception utawala unataibia ya kuwaficha. Kongole sana
Huyu jamaa mwamba sana, ni Prof kwelikweli, Mwl. Labon
@Cryptocurrency_Tanzania
5 ай бұрын
😊😊😊
Le Professor maneno mengi utekelezaji
Amechambua vizuri, ingawa ameshindwa kuchambua Uhuru wa tume inategemea inapatikana vipi.
@mosesmwasanga7661
5 ай бұрын
Sidhani Kama Ameshindwa, ila kwa Uelewa wangu Namuona kama Kuna Mambo mengine alilenga zaidi, ndio maana Penye Kipengele hicho Amekipita,
Huyu mtu ni mnafiki tu anajifanya yanayofanyika hayaoni na haoni sababu katiba mpya
@sawackoswald9322
5 ай бұрын
.mchumia tumbo
Mwamba huyu bhnaa,,cnaga ubaya naye kbs,,, Hazina hazina tz
@vamitv873
5 ай бұрын
Kwa serikali ya ccm unapata ujasiri wa kusema huyu ni hazina.? Haizina zip ambazo tumewah kuzitumia tangu kwa mwalimu.?
@FrancesMngoya
5 ай бұрын
@@vamitv873 kwa serkali ya chadema Kamuweke Mbowe pale ikulu,tutamsupport pia,
KABUDI nikiongozi bora namkubali anajua na mnyenyekevu
Tunaomba serikali impe nafasi ya kuzungumza mara kwa mara hotuba zake zinatujenga sana na ni hotuba za kizalendo
Kwa hiyo Naibu Spika aliamua kuweka UPAJA makusudi kwa mwanetu dah
Wish him be 1st citizen
Hakuna mzalendo au mwadilifu atakayetokana na serikali ya ccm na watendaji wake watanzania tumeyawaona mengi katika chaguzi mizengwe tu ccm na serikali yake haina mpango wowote wa uchaguzi huru na wa haki na kuwa na tume huru ya uchaguzi ya uchaguzi kuna miingiliano ya mihimili lengo ni kuilinda ccm iliyoozesha nchi
Ndugai kafurahi
Apewe ulinzi🖐️🖐️🖐️
Kabudi ni mnoma kwenye sheria....
Hii Ni hazina kwa nchi
This is law iron men
Hivi ni Kwa nini wanapenda sana kuchukua muda mwingi kupongeza pongeza tu
@robertphilip385
5 ай бұрын
Huyu jamaa tapta wa hatari
Mfundishe waitara ajifunze kwa maneno yenye elimu na busara aache kuropoka apo ni bungeni sio baa
Uko bungeni mwamba ni kabudi paramagamba
🎉🎉🎉
I suggest bongo tupate kiongozi mmoja imara atakae ongoza miaka mingiii bac kama Russia na China afuuu tuwe busy na maendeleo aya mauchaguzi daily yanatucheleweshaaa na tuna incur much cost daily
Tumechelewa sana
Huyu jamaa tapeli. Lakukufa mtu chawa wahatari
Professor Majalala😂😂
Dah viongoz sindo hawa bwana
Mwamba kabudi
Mbona viti vingi viko wazi humo bungeni? Wabunge wameenda wapi?
Sawa waeshimiwa wabunge mnaongea mwema na mazuri ya dct Samia suluhu mbona amtohi madhaifu yake au ndo ile mkiongea madhaifu chama kinakufungia
CCM pendekezeni mmoja ya wafuatao kwa uchaguzi ujao kuwa Rais wa Nchi kwa maslahi ya wanyonge : 1. Prof Paramaganda Kabidi, 2. Dr Hussein Mwinyi, 3. Kassimu Majaliwa 4. Williamu Lukuvi
@richardmuyango6106
5 ай бұрын
Ndugu yangu nakuunga mkono lkn kwa lukuvi hapana bora polepole
Huyu ni rais ajae apewe nafasi
Hacha maigizo sheria iseme hivi ambaye atakapewa maulana ya kusimamia uchaguzzi asiwe muadilifu apple kwenye maakamani ahukumiwe ikipedezwa hadi kifo
Sasa hapo nondo ziko wapi 11:15 11:17
HUYU ANAFAA KUWA RAISI WA NCHI AU MAKAMO WA RASI AU WAZIRI MKUU WA NCHI NI KICHWA KWELI KWELI
Kiukweli najivunia sana kuwa katika nchi ya watu wenye upeo mkubwa kama wewe
Kama TZ ilivyounda CAG office iunde tume ya uchaguzi huru kama CAG office ilivyo huru. Tume itakuwa na kazi za kudumu mf kusimamia daftari ( register) ya wapiga kura kupunguza watakaokufa, kuinviza wanaotimiza umri nk, kuandaa chaguzi nk. Chombo huria kitasaidia chaguzi kuheshimika. Hakuna fedheha kama uchaguzi wa nchi huru tena kibabu cha miaka 63 kuwa wa malumbano oo sio halali, ooo ni uchafuzi nk. Mbona ligi za mpira mbeba kombe halalamikiwi? Tunifunze kwao. Tuondokane na aibu ya lawama na fedheha za chaguzi.
Kwn wale wabunge 19 wa chadema wako bungeni??nauliza
Bonge la kiongozi
Siamini chochote chema toka bunge la ccm huyu msomi aliyemwita rais mungu aliyemwokota jalalani hana jema tamaa na kujipendekeza kumeharibu elimu yako na ya wasomi wengi wa nchii hawana la maana ubinfisi wa ccm na dhambi ya unafiki wizi mkubwa wa viongozi wa serikali ya ccm mnaiba kila kitu hamjali maisha ya watanzania porojo tu na unafki
Alikosea tu alipoenda kubeba Mitishamba Madagasca
@hajihassan5433
5 ай бұрын
Hajakosea chochote Covid 19 kila mmoja kapambana kwa hali yake. Muhimu upovu umepatikana.
@jumbeojaso5767
5 ай бұрын
Na alipomuita JPM Mungu? Au huna hiyo clip
@mvukiedavid4332
5 ай бұрын
Na aliposema ameitwa Jalalani,hata hivyo enzi za mwendazake waliku bootlickers
@hajihassan5433
5 ай бұрын
@jumbeojaso5767 Kwenye masuala ya Imani kuna tafsiri tofauti kulingana na Imani. Mfano Waislam tunaamini Nabii ndio Mtume na wa mwisho ni Muhammad SAW lakini imani nyingine maana ni tofauti Manabii hata sasa bado wanazaliwa kama haitoshi Yesu ambae kwetu ni Nabii wa Mungu wengine kwao ndio Mungu, sijuwi kabla hajazaliwa ilikuwaje
@hajihassan5433
5 ай бұрын
@@mvukiedavid4332Ni tafsiri tu Kiswahili kina tafsida. Alijiona kwa umuhimu wake hakustahiki alikokuwa.
Ccm hakuna mtu mkweli wanafiki wote kum' nyoko zao
@stephanokaaya1881
5 ай бұрын
Wewe unaetukana huna akili kabisa
Yaan anaenda mbele, anarudi nyuma anaboa sana
We ni professor bwana pokea Maua yako
Hakika wewe ni tunu ya tz
Kati yawa2 bola kabisa waliofanyakazi bola wakalitumikia taifa kwaubola kabisa wapi Lukuvi Wapi Kalemani
@Mundi-oz7os
5 ай бұрын
"Bola," "ubola", maana yake nini.ujinga tu mnaeneza kwenye mitandao
Tafuta nafasi urais wewe ni mzalendo sana mheshimiwa 4:35
Huyo ni mnafiki tu anajali sana tumbo kuliko nchi,alimuita Magufuri mh Mungu hafai kabisa
@alexmalindo8179
5 ай бұрын
Ndugu mbona majina yetu huwa siyo wajinga wewe imekuwaje unaleta previous inshu?
Uko bungeni mwamba ni kabudi paramagamba
Mwamba kabudi