"KARIAKOO KUNA SIASA, NILITUMA TIMU KWA SIRI" RAIS SAMIA AFICHUA YA KARIAKOO
Жүктеу.....
Пікірлер: 117
@MiwagoTz3 күн бұрын
"Nenda"Mama Hongera Kazi iendelee.. Maendelea Daima,utaratibu ukifuatwa mambo yataenda Vizuri..Kariakooo❤❤❤❤❤
@user-sk1yd4pw1v
3 күн бұрын
Ataki machawa
@JafariHamisi-gu4ef3 күн бұрын
Hongera sana raisi wetu samia
@RaT84933 күн бұрын
We love you Mama 🎉, yani I wonder how can't you perform unapokuwa na boss mzuri kama hivi, au ndo mipango tuu ya watu kusabotage , Mama hongera na kaza buti 2025 tupo na weeewe , Mama kasema kweupe kabisa Kuhusu Wachina waouza kama sisi wazawa
@mussamsakamali39303 күн бұрын
Mama komaa hivyo hivyo.
@omarybakunda25543 күн бұрын
Hongera sana Raisi wetu
@FredrickKabura-gd7hg7 сағат бұрын
Mama Tuko nyuma yako tunakuombea ila pia jiombee mwenyewe kesha ukiomba usiingie majaribuni.
@OmallyMkindeКүн бұрын
Kwa tuliokuelewa mama❤ kazi iendelee💯
@SelemanAlly-lz4sb3 күн бұрын
Hongera mama 2025 ni wwe
@lilangasayi16893 күн бұрын
Hao watu uliowateua wakusaidie ndiyo hao wanaofanya wananchi wakuchukie wewe kutokana na utendaji wao mbovu,weka sahihi
@mohammadoman89633 күн бұрын
Sasa simfunguke na ninyi wafanya biashara kumweleza mh rais ukweli kinachowahangaisha kama ni kodi si mseme tu kweli ili watumbuliwe viongozi wanaoendesha kuliko gomagoma hiyo itawasaidia nini
@user-hd5bg8qw1b
2 күн бұрын
SIKUHIZI HAWATUMBULIWE BALI WANAHAMISHWA,VIVA JPM JEMBE LA ULIMWENGU
@BartonMwakyejo3 күн бұрын
Madai yao mbona yalikuwa waz siasa ipo wapi
@EmmanuelChrispin-bo5xh
3 күн бұрын
@@BartonMwakyejo cheif b yeye ndio anatuletea siasa
@ShesheJahsh
3 күн бұрын
@@BartonMwakyejo kwani ww hujui kua kariakoo hawatoi risit Sawa wanaandika bei ndogo
@MickyMgeri2 күн бұрын
Kkoo kuna biashara hakuna siasa nyoosha maelezo,chukua hatua za msingi sio bla bla.
@jedidahbintidaudi82413 күн бұрын
Mh Jafo, you need to be innovative- mbunifu. haya anayosema Mama ni sawa kabisa ila isiwe unataka tuu kupokea kutoka kwake ya utekelezaji na wewe jiongeze..go ouit there and think what needs to be done then act accordingly. this is now your ministry, sit down with your subordinates and draw done a plan come up with tactics and strategies, then assign to your team. Review PERFORMANCE- this needs to be in the field like she is saying and also in the books. You have to be extremely SERIOUS Jafo. Kariako na kwengine kote malalamishi ni yakweli..hao wakisema hawajui wamegomea nn mie sina uhakika. You also need to involve enterprenuers for more ideas and w/nchi in general. you will be very successful..Jafo, our nation has a huge expectation from yu man!!!
@GodfreyOsward
3 күн бұрын
Woga bwana, wajuzi wa mambo siku zote, ni kuzama kwenye mzizi. Mgomo wa kariokkoo kabla ya huu. Mfanyabiashara alisema kwa TRA wanajua pesa hawajui hesabu. Kiini cha kelele unazosikia Ziko hapo. Kwa mzani ambao ni hesabu haviko sawa. Kwa Maana nyingine ni kama unatumia nguvu kuchukua kingi. Ambacho kinasabisha watu kukiuka matumizi ya risiti. Tukisemazana kama wadau kodi zitafurika. Shida ni pale upande mmoja kumiliki maarifa ya biashara huku hata genge hajawai kufanya. Sisi tuna nidhamu ya uoga. Mwl Nyerere aliomba msamaha kwamba kama ni Yeye alifanya watanzania kuwa waoga. Katika mazingira ya migomo raia wako haraka kusema hakuna shida kwa kuhofu.
@mufaddalmoawalla85222 күн бұрын
Ahsante sana mama,hongera sana sasa tutukuwa n uhuru tulikuwa kama tumefungwa.jela
@RamadhaniMachenjeКүн бұрын
Safi sana mama yetu wa taifa
@nickson34733 күн бұрын
GEN Z WAKIAMKA UTAKOMA , OLD BRAINS CAN NOT MATCH NEW IDEAS AND CAN NOT CHALLENGE YOUNG BRAINS
@alzawahirabdallah2299
3 күн бұрын
Hakuna kwetu gen z
@DewGroupTech
3 күн бұрын
K@@alzawahirabdallah2299
@HASASON
2 күн бұрын
Unaongea pumba tu, kafanye kazi pumbavu wewe unataka serikali ikuwekee pesa mfukoni? Hao vijana wanaojituma na kufanikiwa huko mitaani walipewa pesa na nani?
@davidrweyemamu9382 күн бұрын
Ahsante sana Mheshimiwa rais hili nilishauri muda mrefu kuhusu wamachinga kuuza bidhaa za wenye maduka makubwa ili kukwepa kodi!
@AbdilahiMriri3 күн бұрын
Shikamoo afande wangu shikamoo Mhe daktari Rais Samia Suluhu Hasani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mke wangu mtarajiwa jamani naomba umma wa Tanzania mtuombee sana Dua zenu nyingi zinahitajika sana enyi halaiki ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jamani ndugu zangu jamani.
@kefamwakipesile2753 күн бұрын
Sawa kama kuna siasa wewe endelea na hao TRA kufanya operation zao ipo siku utajua,mimi niko huku keko ambako wakongo,wazambia ,wamalawi na kila wageni wanafikia huku tukipiga nao story wanasema kwamba wansumbuliwa. Ukienda bandarin magazine ya watu wanaibiwa vitu vya ndani vyote. Sasa kama utatuma watu wako wa siri alafu wanakupa majibu kama hayo ujue wanakudanya. Mama nakuomba kama unatuma watu wako ebu waambie waje petrol station ya oilcom ya hapa VETA alafu utajionea
@saeedally2683 күн бұрын
Sio mzanzibar tatizo watendaji wake na yeye sio mkali mbona magufuli alipokuwepo alikuwa moto tatizo kila kitu hapo ndo mnafeli tatizo mama kawarejesha mafisadi ambao magufuli aliwatowa tuje kwa mama mbona vyakula juu tatizo mb juu mbona viongozi ambao walikuwa wanawasaidiya wananchi mfano uenezi makonda katolewa tatizo kuwasaidiya wananchi nyie hamujui ccm hawataki wanyonge wasaidiwe wanataka watu kama akina nape makamba makala ambao sio watendaji wazuri hawajali pili wakati wa magufuli uliona kila kitu sawa kuanzia vyakula mb watu wanasikilizwa lazima kwa samia wataleta tafrani sio mnamsifu mtu wakati kila kitu juu hawajali wananchi hawasikilizwi kwa sasa hivi watu wakisema mnasema kwa sababu mzanzibar tatizo utendaji mfano samia angekuwa rais wa zanzibar wangesema hatufai kama ilivyokuwa kwa karume shein mwinyi angalieni samia na magufuli yupi vitu vilikuwa rahisi yupi alikuwa anasikiliza anatatuwa kero toka magufuli afariki umeme umekuwa shida vyakula shida mb shida wananchi hawasikilizwi hilo ndilo tatizo lazima mujue hivyo juzi nilikuwa zanzibar ndo kwetu lakini kuna watu bado kwa samia hawazioni shida kueni na akili wakati wa magufuli vyakula mpka zenji bei rahisi ebu msikilize yule mama wa donge alivyokuwa anamwambia mkuu wa mkowa ayoub mbona wakati wa magufuli vyakula vilikuwa rahisi mwisho
@husseinmkanga7794
3 күн бұрын
Kweli kabisa tatizo Mama kazungukwa na mafisadi na wanasema wao ndio watampitisha kwenye kamati kuu chama kwahiyo atashinda tu uchaguzi ujao ndio maana hasikilizi wananchi. Kwahiyo sasa wanataka kuzuwia wamachinga ili tuwe tunakabwa mitaani. Magufuri alikuwa kiongozi hawa wapo kwa kuchuma Mali. Hata nakubali wakati wa Magufuri upande wa nzanzibar na bara kote maisha yalikuwa Afadhali ndio maana tuliona hata nzanzibar wananchi walilia sana kifo cha Magufuri.
@magorymara55153 күн бұрын
Kufanya kazi na wageni ni lazima uwepo wao ndo unasababisha watu kusafiri kutoka nchi jiran kuja kufunga mizigo kariakoo teyari kuna mtandao mkubwa biashara ndani ya kariakoo kitu ambacho kinaifanya kariakoo iwe busy sasa mkijichanganya kisa mnataka kuwafurahisha watu hayo majengo yenu yatabaki matupu na abiria wa kutoka nchi jirani watapungua na isistoshe wanaolala mijin wengi ndo hao wageni j'e kod za majengo mtazikusanya kwa nani asiengiza pesa
@ShesheJahsh
3 күн бұрын
Elewa anachoongea ndio otoe comment, hajakataza wageni kariakoo
@imallya65133 күн бұрын
Hapo nimekukubali mama swala la wageni kurusiwa kufany biashara kama mwenyeji sio sawa maduka kila kona za mikoa wahindi haswaa warudishwe wote kariakoo
@Worldunite
3 күн бұрын
Siku hizi watching,wadosi walishapitwa na wakati
@user-df7xo5nu9z3 күн бұрын
Kwakwel jafo yuko vizr sbb utendaj wake ukoje tunaamini hili ni jembe na atamaliza mzozo
@AwardHakimu
3 күн бұрын
Binafsi namkubali hanaga sifa sifa za kijinga au mihemko
@russia12533 күн бұрын
😮 mama tuma watu wakanunue vitu usikie kama awaja kamatwa na Tra nakuwaambia risiti azitoshi 😢 kenge hao
@apolinarymboya32313 күн бұрын
Kweli mama machinga alipi.kodi afu wanazuiya walipa kodi kufanya kazi wakijengewa machinga complex akakai.sasa wakionekana kariakoo ata mikowani wamejazana barabarani ushuru awalipi wengine wanalipa ushuru halmashauri ikayazingatiye piya mama❤
@EmmanuelChrispin-bo5xh3 күн бұрын
Hakuna siasa mama kwani ukweli ukowazii
@ShesheJahsh
3 күн бұрын
Ukweli gani wote tupo kariakoo hamna duka linalo toa risiti full ukinunua mzigo wa mil 5 risit inaandikwa mil 1 au laki nane, ww nitajie Nani anaandika bei yote kwenye rist kama sio kukwepa kodi ni nini?
@bahatielias6443
3 күн бұрын
@@ShesheJahshlazima wafanye hivo bcz ya utitiri wa Kodi,wewe simfanya biashara hivo hujui vingi
@ShesheJahsh
3 күн бұрын
@@bahatielias6443 Sawa vizur kama unakiri hawatoi risiti Sawa ila hiyo sio suluhisho la kupunguza utitiri wa kodi, wote sis tupo kariakoo Kuna mpak rist ya kuonyesha njiani na ya kuacha transport ile ya njiani unardisha dukani
@birianination7097
3 күн бұрын
@@bahatielias6443 Utitiri gani, uwizi tuu
@BarakerZeonlist
2 күн бұрын
@@ShesheJahsh HII YOTE INATOKANA NA KUWA KODI KUWA NYINGI KODI HAIANGALII FAIDA INAANGALIA MAUZO
@MohammedGabaye3 күн бұрын
Machinga kazi munayo mamae
@khamishemedi85173 күн бұрын
MAMA Allah akulinde unajitahidi kuweka sawa but wachache wenye kuelewa unachokusudia kwenye taifa letu
@abednego3876
3 күн бұрын
Kwa lipi hasa!
@SuleimanMussa-x5i
Күн бұрын
Muna mchukia kwa xababu ni mzanzbar ndugu zenu kila miaka mitano wanatuletea wanajeshi wana tua zanzbr mama ss wazanzibar tuna taka mzanzbar mpya Zanzibar moja mamlaka kamili tuna kuangalia watoto wko wa kizanzibar mama yetu hii ni nafas alio kuletea mungu kutufanya wazanzibar tuwe na mamlaka kamili mama yetu mpendwa @@abednego3876
@NijuzetzdigitalКүн бұрын
hakuna mfanyabiashara anaegoma akiwa hajui kitu kwann anagoma
@dulasele-ud8cw2 күн бұрын
Mama uyo wazili wako anaetumia karolaiti ndo anazingua;
@hashimuuhehwa13203 күн бұрын
Huyu mtu Urais sio saizi yake kabisa 😮😮
@robertzingu98893 күн бұрын
Sasa bibie Rais Samia Suluhu Hassan kwani hujui kuwa siasa iko kila sehemu ya maisha ya mwanadamu? Na ukumbuke tu serikali yako ikileta siasa tu kwenye maisha ya watu, basi ujue na wewe utapigwa vitasa vya siasa mpaka ukome!
@abednego38763 күн бұрын
Kwaio kariakoo watu wanagoma hawajui wanagoma nini ?? Mungu wangu 😅😅😅
@Sidrasidra6363 күн бұрын
😂😂😂watanzania hamnaga umoja masikini yooooh wenzenu wame wauza😂
@ikulunimahalipatakatifu76422 күн бұрын
SASA MAMA NAKUELEWA KUNA WAHUNI WANATAFUTA PA KUTOKEA, , MIMI KADI YANGU NAITUNZA
@user133752 күн бұрын
Umeelewa kuwa wanaume ndo wanauwezo eeee😮
@FerickKazori-rt5cw2 күн бұрын
Vizuri ila msing ushaanza bomolewa
@elijahfresh598512 сағат бұрын
Mama hajawahi kufanya biashara kwa hy haelewi watu wanazungumzia nn. Lakini kiukweli sera, taratinu na sheria hazilengi kumsaidia mfanyabiashara afanye kazi katika mazingira mazuri. Yani kila mtu iwe TRA, halmashauri, Fire, Polisi, Nemc, Osha na taasisi lundo zote zinategemea kula kwenye hizihizi biashara. Rushwa imekua kubwa na siku hizi kama polisi wanaiomba kwa mtutu wa bunduki na hakuna mtu anawakemea. Sasa kwa namna hii biashara inakua na changamoto nyingi.
@J4Mnokote2 күн бұрын
Usipokua makini wafanya buashara watatumia sana udhaifu wako , Kumbuka kila mwamba ngoma huvutia kwake😂
@dennisezakiel33803 күн бұрын
Huo muungano sio
@RamadhaniMadanga-ne7jk3 күн бұрын
Nimetuma mashushu kwasiri Kwa viwanabiashara😢😢😢😢
@PhilipoMwita-wc1ku3 күн бұрын
Jamni jamani huyu mama duh
@onespour71893 күн бұрын
Hivi siasa ina nini,,,mpaka wanasiasa hawaikubali
@lazarombuze97763 күн бұрын
Hao uliowatuma nao watumie watu kwa siri wawachunguze
@user-kk6gj7cw3h3 күн бұрын
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@kalengashoppingcenter11083 күн бұрын
Kwahili nakupongeza❤
@salumchema50983 күн бұрын
Safiiii
@gilbertmchai24903 күн бұрын
Kwanza huyo mkuu wa mkoa hatumuelewi. Biashara Tanzania imeanguka kwa asilimia kubwa sana wageni sasa hivi hamna. Ni maumivu matupu
@user-et8wy1us9t3 күн бұрын
Mama sio kweli machinations wananunua kwa hao hao?wachina wengi,wahindi,ndio balaa??mama mabos wankimbia kodi
@MohamedSaidnassor3 күн бұрын
Humu mbeya siasa zipi zinafuatwa jamani
@victaboy72733 күн бұрын
Simuelewi mama
@msafiriomary8932 күн бұрын
Wanakudanganya watu wako hakuna siasa bari ni rushwa za TRA
@feisalkhamis94453 күн бұрын
Sio kweli hakuna siasa mnazingua
@ShesheJahsh
3 күн бұрын
Wote tupo kariakoo risiti hakuna anaye andika Sawa mzigo mteja anatoa mil 5 rist inaandikwa 1-5 huo ndio ukweli
@user-qg3nu1kv2n
3 күн бұрын
@@ShesheJahsh ina maana we pia ni miongoni mwa wanaoiibia serikali yetu 😂😂😂
@feisalkhamis9445
3 күн бұрын
@@user-qg3nu1kv2n bro mm ni mzanzibar lkn bimkubwa anazingua kijinga yni
@ShesheJahsh
3 күн бұрын
@@user-qg3nu1kv2n huo ndio ukweli
@HASASON
2 күн бұрын
Wezi ninyi wafanyabishara cha ajabu mnajifanya mmeshika dini majizi makwepa kodi
@jedidahbintidaudi82413 күн бұрын
Wee Jafo usituangushe..angalia kwa jicho la hali ya juu..w/biashara pia wanamwazo chana,,washirikishe muweke mikutano WASKIE. tembelea mikoani pia jmni
@mfaumeally44763 күн бұрын
Wadanganyika mpoo?
@mamlomamlo90643 күн бұрын
Bishara ya transporter nayo ni vurugu tupu kariakoo na mtaa wa amana ilala
@jamilahjamilah41573 күн бұрын
Rais hapo umepatia jafu k koo ataiweza mkuu wa mkoa na yy ana siasa yg
@HajiKlein-so1rk3 күн бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👑
@checkchannel38762 күн бұрын
Mh. Rais naona unamwamini sana Waziri wako wa fedha, lakini nae ni tatizo! Tena bomu kwelikweli! Hawezi kufikiri kwa kina namna ya kuiendesha nchi kiuchumi, na hivyo hawezi pia kukushauri wewe na baraza zima la Mawaziri ipasavyo. Ninajua na kuamini pia kuwa hii migogoro nae ni moja ya sababu.
@avitusmichael53 күн бұрын
Uliowatuma huenda walikudanganya ila ukweli upo wazi
@ramadhanichuma7925
3 күн бұрын
Wamempanga bimkubwa 😂😂
@febby8308Күн бұрын
Mwiguru punguza makodi mai nimagumu kupituliza
@wilsonandlea86143 күн бұрын
Mafisadi wote mmekutana mnapanga jinsi yakutunyosha hongereni kwahilo mmefauru😢😢
@zawadix9574
3 күн бұрын
Ukweli 😅😅😅😅
@lovemusicnoreen91853 күн бұрын
WAKO HURU SANAA WACHINA ALAFU MAKWAO WANAUMIZA WAGENI HASWA WATU WEUSI
@magorymara5515
3 күн бұрын
Hatuwez kubadilisha ukweli ni ngum kufanya biashara wazawa peke yake kule China wabongo wamejaa wanafanya hivyo hivyo biashara ndogo nasi China tu Dunia yote ndivyo ilivyo na kufanya kwao biashara kuna effect nyingi kama kulipa kod ya majengo ya kulala na ya biashara pamoja na kununua vyakula hiyo inachangia mzunguko kuwa mkubwa
@mohammededy70863 күн бұрын
mama Simama ivo cc wa mtaan tunajua Kwann wanafanya ivo kwnn shda matusi ubaya hauishi kwako mama una maduwi wing sana ila MUNGU akusimamie
@user-sk1yd4pw1v
3 күн бұрын
Ukiwa kama kijana uchawa aukufai
@NijuzetzdigitalКүн бұрын
Utendaji mbovu na kodi kubwa hujui???? Unajua hakuna mtu ambae hakodolewi na hakosei, hoja za wafanyabiashara toka yalipofanyika maazimio ya nyuma kupunguza baadhi ya kodi hayakufanyiwa kazi.
@iddysonyo13563 күн бұрын
kumbe hata viongozi wasiasa hawaiyamini siasa
@gilbertkalanda9354
3 күн бұрын
Nimecheka
@AleiHadji-js3ed3 күн бұрын
Kweli mama Samia nakukubal kisa mzanzibari wanataka wakuzinguwee
@MasterOil-qm6vw3 күн бұрын
Usimueke mtu kwenye?kazi ambayo wamjua haiwezi atakuangusha weka pembeni watu wapo na ambao hawatakuangusha
@GivenMgani3 күн бұрын
Mmh
@GreezyMaker3 күн бұрын
Mitano tena
@user-sk1yd4pw1v
3 күн бұрын
Acha uchawa
@benardmwinuka69483 күн бұрын
Mtu katolewa kafara
@HASASON2 күн бұрын
Malamiko mengi ya wafanyabishara ni ya kipumbavu hawataki kulipa kodi halali na tukienda kununua bidhaa risiti wanazotupa ni za uongo na wizi, msiwasikilize wabaneni vizuri walipe kodi inavyotakiwa
@dulasele-ud8cw
2 күн бұрын
We boya unazingua simu umenunuliwa na baasha wako ndo unaleta zalau kavae eleni;
@lovemusicnoreen91853 күн бұрын
TRA HAKUNA SIASA TRA NI KWELI WANASUMBUA
@ShesheJahsh
3 күн бұрын
@@lovemusicnoreen9185 ukiuza hasa ww andika risit Sawa na ela unayo pokea Kwa mteja uone kama utasumbuliwa
@nin6324
2 күн бұрын
TRA hawajawahi kusumbua mtu ila nyie msiotaka kulipa kodi ndio mnasumbua kazi kurubuni maofisa tuu. Lipeni kodi halali muone kama kuna mtu atawasumbua. Mfanyabiashara ananunua gari la milioni 200 halafu kwa TRA anasema huo mwaka amepata hasara au mnadhani maafisa hawatumii akili??? Kwa TRA unasema hujauza bidhaa wakikuambia tuoneshe bidhaa ulizoingiza zimeisha... kumbe zote umewapa machinga na hawajaota EFD. Maofisa TRA wana akili kama mchwa na kwa taarifa yako wanajua mbinu zote za ukwepaji kodi
@wilsonandlea86143 күн бұрын
Mafisadi wote mmekutana mnapanga jinsi yakutunyosha hongereni kwahilo mmefauru😢😢
@mosesnyelo1380
3 күн бұрын
Nchi yoyote duniani lazma ilipe kodi, kwanza unaweza kuta una lalamika na huna hata biashara
@wilsonandlea8614
3 күн бұрын
Hujui unachokizungumuza ila tetea ugar wako
@mosesnyelo1380
3 күн бұрын
@@wilsonandlea8614 malalamiko hayawez kukutoa ulipo kikubwa nku pambana, mbona wafanya biashara wengine hawa lalamik
@husseinmkanga7794
3 күн бұрын
@@mosesnyelo1380Tatizo sio kulipa kodi hizo kodi zinafanya nini? Ilikuwa raha kulipa kodi wakati wa Magufuri kwa sababu tuliona mafanikio yake.
Пікірлер: 117
"Nenda"Mama Hongera Kazi iendelee.. Maendelea Daima,utaratibu ukifuatwa mambo yataenda Vizuri..Kariakooo❤❤❤❤❤
@user-sk1yd4pw1v
3 күн бұрын
Ataki machawa
Hongera sana raisi wetu samia
We love you Mama 🎉, yani I wonder how can't you perform unapokuwa na boss mzuri kama hivi, au ndo mipango tuu ya watu kusabotage , Mama hongera na kaza buti 2025 tupo na weeewe , Mama kasema kweupe kabisa Kuhusu Wachina waouza kama sisi wazawa
Mama komaa hivyo hivyo.
Hongera sana Raisi wetu
Mama Tuko nyuma yako tunakuombea ila pia jiombee mwenyewe kesha ukiomba usiingie majaribuni.
Kwa tuliokuelewa mama❤ kazi iendelee💯
Hongera mama 2025 ni wwe
Hao watu uliowateua wakusaidie ndiyo hao wanaofanya wananchi wakuchukie wewe kutokana na utendaji wao mbovu,weka sahihi
Sasa simfunguke na ninyi wafanya biashara kumweleza mh rais ukweli kinachowahangaisha kama ni kodi si mseme tu kweli ili watumbuliwe viongozi wanaoendesha kuliko gomagoma hiyo itawasaidia nini
@user-hd5bg8qw1b
2 күн бұрын
SIKUHIZI HAWATUMBULIWE BALI WANAHAMISHWA,VIVA JPM JEMBE LA ULIMWENGU
Madai yao mbona yalikuwa waz siasa ipo wapi
@EmmanuelChrispin-bo5xh
3 күн бұрын
@@BartonMwakyejo cheif b yeye ndio anatuletea siasa
@ShesheJahsh
3 күн бұрын
@@BartonMwakyejo kwani ww hujui kua kariakoo hawatoi risit Sawa wanaandika bei ndogo
Kkoo kuna biashara hakuna siasa nyoosha maelezo,chukua hatua za msingi sio bla bla.
Mh Jafo, you need to be innovative- mbunifu. haya anayosema Mama ni sawa kabisa ila isiwe unataka tuu kupokea kutoka kwake ya utekelezaji na wewe jiongeze..go ouit there and think what needs to be done then act accordingly. this is now your ministry, sit down with your subordinates and draw done a plan come up with tactics and strategies, then assign to your team. Review PERFORMANCE- this needs to be in the field like she is saying and also in the books. You have to be extremely SERIOUS Jafo. Kariako na kwengine kote malalamishi ni yakweli..hao wakisema hawajui wamegomea nn mie sina uhakika. You also need to involve enterprenuers for more ideas and w/nchi in general. you will be very successful..Jafo, our nation has a huge expectation from yu man!!!
@GodfreyOsward
3 күн бұрын
Woga bwana, wajuzi wa mambo siku zote, ni kuzama kwenye mzizi. Mgomo wa kariokkoo kabla ya huu. Mfanyabiashara alisema kwa TRA wanajua pesa hawajui hesabu. Kiini cha kelele unazosikia Ziko hapo. Kwa mzani ambao ni hesabu haviko sawa. Kwa Maana nyingine ni kama unatumia nguvu kuchukua kingi. Ambacho kinasabisha watu kukiuka matumizi ya risiti. Tukisemazana kama wadau kodi zitafurika. Shida ni pale upande mmoja kumiliki maarifa ya biashara huku hata genge hajawai kufanya. Sisi tuna nidhamu ya uoga. Mwl Nyerere aliomba msamaha kwamba kama ni Yeye alifanya watanzania kuwa waoga. Katika mazingira ya migomo raia wako haraka kusema hakuna shida kwa kuhofu.
Ahsante sana mama,hongera sana sasa tutukuwa n uhuru tulikuwa kama tumefungwa.jela
Safi sana mama yetu wa taifa
GEN Z WAKIAMKA UTAKOMA , OLD BRAINS CAN NOT MATCH NEW IDEAS AND CAN NOT CHALLENGE YOUNG BRAINS
@alzawahirabdallah2299
3 күн бұрын
Hakuna kwetu gen z
@DewGroupTech
3 күн бұрын
K@@alzawahirabdallah2299
@HASASON
2 күн бұрын
Unaongea pumba tu, kafanye kazi pumbavu wewe unataka serikali ikuwekee pesa mfukoni? Hao vijana wanaojituma na kufanikiwa huko mitaani walipewa pesa na nani?
Ahsante sana Mheshimiwa rais hili nilishauri muda mrefu kuhusu wamachinga kuuza bidhaa za wenye maduka makubwa ili kukwepa kodi!
Shikamoo afande wangu shikamoo Mhe daktari Rais Samia Suluhu Hasani Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mke wangu mtarajiwa jamani naomba umma wa Tanzania mtuombee sana Dua zenu nyingi zinahitajika sana enyi halaiki ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jamani ndugu zangu jamani.
Sawa kama kuna siasa wewe endelea na hao TRA kufanya operation zao ipo siku utajua,mimi niko huku keko ambako wakongo,wazambia ,wamalawi na kila wageni wanafikia huku tukipiga nao story wanasema kwamba wansumbuliwa. Ukienda bandarin magazine ya watu wanaibiwa vitu vya ndani vyote. Sasa kama utatuma watu wako wa siri alafu wanakupa majibu kama hayo ujue wanakudanya. Mama nakuomba kama unatuma watu wako ebu waambie waje petrol station ya oilcom ya hapa VETA alafu utajionea
Sio mzanzibar tatizo watendaji wake na yeye sio mkali mbona magufuli alipokuwepo alikuwa moto tatizo kila kitu hapo ndo mnafeli tatizo mama kawarejesha mafisadi ambao magufuli aliwatowa tuje kwa mama mbona vyakula juu tatizo mb juu mbona viongozi ambao walikuwa wanawasaidiya wananchi mfano uenezi makonda katolewa tatizo kuwasaidiya wananchi nyie hamujui ccm hawataki wanyonge wasaidiwe wanataka watu kama akina nape makamba makala ambao sio watendaji wazuri hawajali pili wakati wa magufuli uliona kila kitu sawa kuanzia vyakula mb watu wanasikilizwa lazima kwa samia wataleta tafrani sio mnamsifu mtu wakati kila kitu juu hawajali wananchi hawasikilizwi kwa sasa hivi watu wakisema mnasema kwa sababu mzanzibar tatizo utendaji mfano samia angekuwa rais wa zanzibar wangesema hatufai kama ilivyokuwa kwa karume shein mwinyi angalieni samia na magufuli yupi vitu vilikuwa rahisi yupi alikuwa anasikiliza anatatuwa kero toka magufuli afariki umeme umekuwa shida vyakula shida mb shida wananchi hawasikilizwi hilo ndilo tatizo lazima mujue hivyo juzi nilikuwa zanzibar ndo kwetu lakini kuna watu bado kwa samia hawazioni shida kueni na akili wakati wa magufuli vyakula mpka zenji bei rahisi ebu msikilize yule mama wa donge alivyokuwa anamwambia mkuu wa mkowa ayoub mbona wakati wa magufuli vyakula vilikuwa rahisi mwisho
@husseinmkanga7794
3 күн бұрын
Kweli kabisa tatizo Mama kazungukwa na mafisadi na wanasema wao ndio watampitisha kwenye kamati kuu chama kwahiyo atashinda tu uchaguzi ujao ndio maana hasikilizi wananchi. Kwahiyo sasa wanataka kuzuwia wamachinga ili tuwe tunakabwa mitaani. Magufuri alikuwa kiongozi hawa wapo kwa kuchuma Mali. Hata nakubali wakati wa Magufuri upande wa nzanzibar na bara kote maisha yalikuwa Afadhali ndio maana tuliona hata nzanzibar wananchi walilia sana kifo cha Magufuri.
Kufanya kazi na wageni ni lazima uwepo wao ndo unasababisha watu kusafiri kutoka nchi jiran kuja kufunga mizigo kariakoo teyari kuna mtandao mkubwa biashara ndani ya kariakoo kitu ambacho kinaifanya kariakoo iwe busy sasa mkijichanganya kisa mnataka kuwafurahisha watu hayo majengo yenu yatabaki matupu na abiria wa kutoka nchi jirani watapungua na isistoshe wanaolala mijin wengi ndo hao wageni j'e kod za majengo mtazikusanya kwa nani asiengiza pesa
@ShesheJahsh
3 күн бұрын
Elewa anachoongea ndio otoe comment, hajakataza wageni kariakoo
Hapo nimekukubali mama swala la wageni kurusiwa kufany biashara kama mwenyeji sio sawa maduka kila kona za mikoa wahindi haswaa warudishwe wote kariakoo
@Worldunite
3 күн бұрын
Siku hizi watching,wadosi walishapitwa na wakati
Kwakwel jafo yuko vizr sbb utendaj wake ukoje tunaamini hili ni jembe na atamaliza mzozo
@AwardHakimu
3 күн бұрын
Binafsi namkubali hanaga sifa sifa za kijinga au mihemko
😮 mama tuma watu wakanunue vitu usikie kama awaja kamatwa na Tra nakuwaambia risiti azitoshi 😢 kenge hao
Kweli mama machinga alipi.kodi afu wanazuiya walipa kodi kufanya kazi wakijengewa machinga complex akakai.sasa wakionekana kariakoo ata mikowani wamejazana barabarani ushuru awalipi wengine wanalipa ushuru halmashauri ikayazingatiye piya mama❤
Hakuna siasa mama kwani ukweli ukowazii
@ShesheJahsh
3 күн бұрын
Ukweli gani wote tupo kariakoo hamna duka linalo toa risiti full ukinunua mzigo wa mil 5 risit inaandikwa mil 1 au laki nane, ww nitajie Nani anaandika bei yote kwenye rist kama sio kukwepa kodi ni nini?
@bahatielias6443
3 күн бұрын
@@ShesheJahshlazima wafanye hivo bcz ya utitiri wa Kodi,wewe simfanya biashara hivo hujui vingi
@ShesheJahsh
3 күн бұрын
@@bahatielias6443 Sawa vizur kama unakiri hawatoi risiti Sawa ila hiyo sio suluhisho la kupunguza utitiri wa kodi, wote sis tupo kariakoo Kuna mpak rist ya kuonyesha njiani na ya kuacha transport ile ya njiani unardisha dukani
@birianination7097
3 күн бұрын
@@bahatielias6443 Utitiri gani, uwizi tuu
@BarakerZeonlist
2 күн бұрын
@@ShesheJahsh HII YOTE INATOKANA NA KUWA KODI KUWA NYINGI KODI HAIANGALII FAIDA INAANGALIA MAUZO
Machinga kazi munayo mamae
MAMA Allah akulinde unajitahidi kuweka sawa but wachache wenye kuelewa unachokusudia kwenye taifa letu
@abednego3876
3 күн бұрын
Kwa lipi hasa!
@SuleimanMussa-x5i
Күн бұрын
Muna mchukia kwa xababu ni mzanzbar ndugu zenu kila miaka mitano wanatuletea wanajeshi wana tua zanzbr mama ss wazanzibar tuna taka mzanzbar mpya Zanzibar moja mamlaka kamili tuna kuangalia watoto wko wa kizanzibar mama yetu hii ni nafas alio kuletea mungu kutufanya wazanzibar tuwe na mamlaka kamili mama yetu mpendwa @@abednego3876
hakuna mfanyabiashara anaegoma akiwa hajui kitu kwann anagoma
Mama uyo wazili wako anaetumia karolaiti ndo anazingua;
Huyu mtu Urais sio saizi yake kabisa 😮😮
Sasa bibie Rais Samia Suluhu Hassan kwani hujui kuwa siasa iko kila sehemu ya maisha ya mwanadamu? Na ukumbuke tu serikali yako ikileta siasa tu kwenye maisha ya watu, basi ujue na wewe utapigwa vitasa vya siasa mpaka ukome!
Kwaio kariakoo watu wanagoma hawajui wanagoma nini ?? Mungu wangu 😅😅😅
😂😂😂watanzania hamnaga umoja masikini yooooh wenzenu wame wauza😂
SASA MAMA NAKUELEWA KUNA WAHUNI WANATAFUTA PA KUTOKEA, , MIMI KADI YANGU NAITUNZA
Umeelewa kuwa wanaume ndo wanauwezo eeee😮
Vizuri ila msing ushaanza bomolewa
Mama hajawahi kufanya biashara kwa hy haelewi watu wanazungumzia nn. Lakini kiukweli sera, taratinu na sheria hazilengi kumsaidia mfanyabiashara afanye kazi katika mazingira mazuri. Yani kila mtu iwe TRA, halmashauri, Fire, Polisi, Nemc, Osha na taasisi lundo zote zinategemea kula kwenye hizihizi biashara. Rushwa imekua kubwa na siku hizi kama polisi wanaiomba kwa mtutu wa bunduki na hakuna mtu anawakemea. Sasa kwa namna hii biashara inakua na changamoto nyingi.
Usipokua makini wafanya buashara watatumia sana udhaifu wako , Kumbuka kila mwamba ngoma huvutia kwake😂
Huo muungano sio
Nimetuma mashushu kwasiri Kwa viwanabiashara😢😢😢😢
Jamni jamani huyu mama duh
Hivi siasa ina nini,,,mpaka wanasiasa hawaikubali
Hao uliowatuma nao watumie watu kwa siri wawachunguze
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Kwahili nakupongeza❤
Safiiii
Kwanza huyo mkuu wa mkoa hatumuelewi. Biashara Tanzania imeanguka kwa asilimia kubwa sana wageni sasa hivi hamna. Ni maumivu matupu
Mama sio kweli machinations wananunua kwa hao hao?wachina wengi,wahindi,ndio balaa??mama mabos wankimbia kodi
Humu mbeya siasa zipi zinafuatwa jamani
Simuelewi mama
Wanakudanganya watu wako hakuna siasa bari ni rushwa za TRA
Sio kweli hakuna siasa mnazingua
@ShesheJahsh
3 күн бұрын
Wote tupo kariakoo risiti hakuna anaye andika Sawa mzigo mteja anatoa mil 5 rist inaandikwa 1-5 huo ndio ukweli
@user-qg3nu1kv2n
3 күн бұрын
@@ShesheJahsh ina maana we pia ni miongoni mwa wanaoiibia serikali yetu 😂😂😂
@feisalkhamis9445
3 күн бұрын
@@user-qg3nu1kv2n bro mm ni mzanzibar lkn bimkubwa anazingua kijinga yni
@ShesheJahsh
3 күн бұрын
@@user-qg3nu1kv2n huo ndio ukweli
@HASASON
2 күн бұрын
Wezi ninyi wafanyabishara cha ajabu mnajifanya mmeshika dini majizi makwepa kodi
Wee Jafo usituangushe..angalia kwa jicho la hali ya juu..w/biashara pia wanamwazo chana,,washirikishe muweke mikutano WASKIE. tembelea mikoani pia jmni
Wadanganyika mpoo?
Bishara ya transporter nayo ni vurugu tupu kariakoo na mtaa wa amana ilala
Rais hapo umepatia jafu k koo ataiweza mkuu wa mkoa na yy ana siasa yg
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👑
Mh. Rais naona unamwamini sana Waziri wako wa fedha, lakini nae ni tatizo! Tena bomu kwelikweli! Hawezi kufikiri kwa kina namna ya kuiendesha nchi kiuchumi, na hivyo hawezi pia kukushauri wewe na baraza zima la Mawaziri ipasavyo. Ninajua na kuamini pia kuwa hii migogoro nae ni moja ya sababu.
Uliowatuma huenda walikudanganya ila ukweli upo wazi
@ramadhanichuma7925
3 күн бұрын
Wamempanga bimkubwa 😂😂
Mwiguru punguza makodi mai nimagumu kupituliza
Mafisadi wote mmekutana mnapanga jinsi yakutunyosha hongereni kwahilo mmefauru😢😢
@zawadix9574
3 күн бұрын
Ukweli 😅😅😅😅
WAKO HURU SANAA WACHINA ALAFU MAKWAO WANAUMIZA WAGENI HASWA WATU WEUSI
@magorymara5515
3 күн бұрын
Hatuwez kubadilisha ukweli ni ngum kufanya biashara wazawa peke yake kule China wabongo wamejaa wanafanya hivyo hivyo biashara ndogo nasi China tu Dunia yote ndivyo ilivyo na kufanya kwao biashara kuna effect nyingi kama kulipa kod ya majengo ya kulala na ya biashara pamoja na kununua vyakula hiyo inachangia mzunguko kuwa mkubwa
mama Simama ivo cc wa mtaan tunajua Kwann wanafanya ivo kwnn shda matusi ubaya hauishi kwako mama una maduwi wing sana ila MUNGU akusimamie
@user-sk1yd4pw1v
3 күн бұрын
Ukiwa kama kijana uchawa aukufai
Utendaji mbovu na kodi kubwa hujui???? Unajua hakuna mtu ambae hakodolewi na hakosei, hoja za wafanyabiashara toka yalipofanyika maazimio ya nyuma kupunguza baadhi ya kodi hayakufanyiwa kazi.
kumbe hata viongozi wasiasa hawaiyamini siasa
@gilbertkalanda9354
3 күн бұрын
Nimecheka
Kweli mama Samia nakukubal kisa mzanzibari wanataka wakuzinguwee
Usimueke mtu kwenye?kazi ambayo wamjua haiwezi atakuangusha weka pembeni watu wapo na ambao hawatakuangusha
Mmh
Mitano tena
@user-sk1yd4pw1v
3 күн бұрын
Acha uchawa
Mtu katolewa kafara
Malamiko mengi ya wafanyabishara ni ya kipumbavu hawataki kulipa kodi halali na tukienda kununua bidhaa risiti wanazotupa ni za uongo na wizi, msiwasikilize wabaneni vizuri walipe kodi inavyotakiwa
@dulasele-ud8cw
2 күн бұрын
We boya unazingua simu umenunuliwa na baasha wako ndo unaleta zalau kavae eleni;
TRA HAKUNA SIASA TRA NI KWELI WANASUMBUA
@ShesheJahsh
3 күн бұрын
@@lovemusicnoreen9185 ukiuza hasa ww andika risit Sawa na ela unayo pokea Kwa mteja uone kama utasumbuliwa
@nin6324
2 күн бұрын
TRA hawajawahi kusumbua mtu ila nyie msiotaka kulipa kodi ndio mnasumbua kazi kurubuni maofisa tuu. Lipeni kodi halali muone kama kuna mtu atawasumbua. Mfanyabiashara ananunua gari la milioni 200 halafu kwa TRA anasema huo mwaka amepata hasara au mnadhani maafisa hawatumii akili??? Kwa TRA unasema hujauza bidhaa wakikuambia tuoneshe bidhaa ulizoingiza zimeisha... kumbe zote umewapa machinga na hawajaota EFD. Maofisa TRA wana akili kama mchwa na kwa taarifa yako wanajua mbinu zote za ukwepaji kodi
Mafisadi wote mmekutana mnapanga jinsi yakutunyosha hongereni kwahilo mmefauru😢😢
@mosesnyelo1380
3 күн бұрын
Nchi yoyote duniani lazma ilipe kodi, kwanza unaweza kuta una lalamika na huna hata biashara
@wilsonandlea8614
3 күн бұрын
Hujui unachokizungumuza ila tetea ugar wako
@mosesnyelo1380
3 күн бұрын
@@wilsonandlea8614 malalamiko hayawez kukutoa ulipo kikubwa nku pambana, mbona wafanya biashara wengine hawa lalamik
@husseinmkanga7794
3 күн бұрын
@@mosesnyelo1380Tatizo sio kulipa kodi hizo kodi zinafanya nini? Ilikuwa raha kulipa kodi wakati wa Magufuri kwa sababu tuliona mafanikio yake.