Rais Magufuli aeleza kwanini hapendi sana kusafiri nje ya nchi
Ni maneno ya Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akiwa Rwanda alikokwenda kufanya ziara ya siku mbili kuanzia April 6 2016
Жүктеу.....
Пікірлер: 12
@najmaaxo12098 жыл бұрын
muheshimiwa wewe ni baba wa Taifa ni baba wa Tanzania hongera sana mungu akuweke daima
@mamymamy89717 жыл бұрын
nakupenda rais wangu upo vizuri sana mungu akuweke
@pathoryone52378 жыл бұрын
hio ya kubana matumiz nimeipenda .....asante maguful
@safinatv15998 жыл бұрын
😂😂😂😂safi snaa mkuu yani unanimalizaje
@pathoryone52378 жыл бұрын
umetisha maguful
@rosenamilia41408 жыл бұрын
Mpendwa MH.JOHN POMBE MAGUFULI wanaokualika Ulaya Waambie waje Tanzania kukutembelea ili walete hizo dollars zao kwa ajili ya manufaa ya watanzania masikini.wakatembelee mbuga za wanyama na kupanda mlima KILMANAJARO fahari ya TANZANIA na AFRICA pia .
@mwanahella96508 жыл бұрын
😂😂😂 wallahi bana matumizi baba alopita alisafiri vya kutosha💃💃💃
Пікірлер: 12
muheshimiwa wewe ni baba wa Taifa ni baba wa Tanzania hongera sana mungu akuweke daima
nakupenda rais wangu upo vizuri sana mungu akuweke
hio ya kubana matumiz nimeipenda .....asante maguful
😂😂😂😂safi snaa mkuu yani unanimalizaje
umetisha maguful
Mpendwa MH.JOHN POMBE MAGUFULI wanaokualika Ulaya Waambie waje Tanzania kukutembelea ili walete hizo dollars zao kwa ajili ya manufaa ya watanzania masikini.wakatembelee mbuga za wanyama na kupanda mlima KILMANAJARO fahari ya TANZANIA na AFRICA pia .
😂😂😂 wallahi bana matumizi baba alopita alisafiri vya kutosha💃💃💃
babaa swadakta😘
bana baba
Bana tu uko vizur
Good
JPM uko fiti sana kamanda wangu!