Rais Magufuli aeleza kwanini hapendi sana kusafiri nje ya nchi

Ni maneno ya Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akiwa Rwanda alikokwenda kufanya ziara ya siku mbili kuanzia April 6 2016

Пікірлер: 12

  • @najmaaxo1209
    @najmaaxo12098 жыл бұрын

    muheshimiwa wewe ni baba wa Taifa ni baba wa Tanzania hongera sana mungu akuweke daima

  • @mamymamy8971
    @mamymamy89717 жыл бұрын

    nakupenda rais wangu upo vizuri sana mungu akuweke

  • @pathoryone5237
    @pathoryone52378 жыл бұрын

    hio ya kubana matumiz nimeipenda .....asante maguful

  • @safinatv1599
    @safinatv15998 жыл бұрын

    😂😂😂😂safi snaa mkuu yani unanimalizaje

  • @pathoryone5237
    @pathoryone52378 жыл бұрын

    umetisha maguful

  • @rosenamilia4140
    @rosenamilia41408 жыл бұрын

    Mpendwa MH.JOHN POMBE MAGUFULI wanaokualika Ulaya Waambie waje Tanzania kukutembelea ili walete hizo dollars zao kwa ajili ya manufaa ya watanzania masikini.wakatembelee mbuga za wanyama na kupanda mlima KILMANAJARO fahari ya TANZANIA na AFRICA pia .

  • @mwanahella9650
    @mwanahella96508 жыл бұрын

    😂😂😂 wallahi bana matumizi baba alopita alisafiri vya kutosha💃💃💃

  • @hawahamisi6237
    @hawahamisi62378 жыл бұрын

    babaa swadakta😘

  • @magrethmzava873
    @magrethmzava8738 жыл бұрын

    bana baba

  • @saumusalimuhassan772
    @saumusalimuhassan7728 жыл бұрын

    Bana tu uko vizur

  • @richardkatunka2804
    @richardkatunka28048 жыл бұрын

    Good

  • @dickkieluther2351
    @dickkieluther23518 жыл бұрын

    JPM uko fiti sana kamanda wangu!

Келесі